MJUE WILLIAM BENJAMIN MKAPA - SAFARI YAKE - KUZALIWA HADI KIFO - NI HISTORIA TAMU na CHUNGU...
MJUE WILLIAM BENJAMIN MKAPA - SAFARI YAKE - KUZALIWA HADI KIFO - NI HISTORIA TAMU na CHUNGU...
Mtoto mdogo aliyezaliwa kwenye jamii ya watu wa Ndanda️, Masasi Kusini mwa Tanzania ambaye baba yake mzazi alitamani kuona anakuja kuwa mmoja kati ya madaktari, walimu au Padri. Hata hivyo hakuwa chochote kile ambacho baba yake alitamani awe bali akawa Rais wa Jamhuri ya Tanzania na mtoto huyo ni Mhe. Benjamin William Mkapa.
Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 739 750 910)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 54
From 🇰🇪 Kenya poleni Sana Tanzania rest in peace Mzee mukapa
Pumzika kwa Amani ya Mungu Baba Yetu na Rais wetu wa Awamu ya Tatu! Kaziumeifanya na vita vizuri umeipiga! Bwana ametoa na vwana ametwaa jina lake lihimidiwe! Pole Mama Ana Mkapa watoto na wajukuu na familia nzima na waTanzania. Tutakukumbuka kwa utumishi wako uliotukuka! RIP President Mkapa.
Tulikupenda sana ila mungu kakupenda zaidi upumzike kwa amani baba yetu mkapa
Pumzika kwa amani mzee wetu mpendwa BENJAMINI W. MATWANI.MKAPA
Mungu akupe kauli thabit.Amiin
Rest in peace Rais wetu,,,Mungu akuepushe na adhabu ya kaburini.Amiin
Roho ya marehemu ipumzike mahala pema peponi Amina
R.I.P our lovely President poleni watanzania kwa msiba huu mzito,
Pole kwa WaTanzania. Amekwenda, na jambo la busara kufanya, baada ya kuomboleza...watu wanao ipenda Tanzania na Afrika kwa ujumla...ifikapo uchaguzi, mpeni Magufuli, na CCM kipindi kingine...Tanzania izidi kung'aa.
Inalila inalila rajiun pole sana ndungu zote mungu amuake pema penye wema peponi inshallah
Binadam anapofariki vitu vitatu humsindikiza safari yake Kwanza - Watu wake wa karibu Pili - Mali yake aliyoichuma Tatu - Amali yake aliyoitengeneza 1 Watu wako hawatobaki naww bali watarudi majumbani mwao na watakusahau kabisa na km ulikua na mke au mume atarithiwa na mwengine. 2 Mali yko pia itarudi haitobaki naww na wengine watazirithi bila ya kuzitumilia jasho lao ispokua ile uliyoiwacha au kuitoa kama Zakatul jaaria ambayo uliichuma kwa halali. 3 Amali zako ndo zitabaki naww ktk safari yko popote utakapopelekwa au utakapokwenda. Amali zikiwa ni njema bc mina lfaaidhiin (umefuzu) ila amali zikiwa mbaya minal khaasirin (umekula khasara) Amali njema ndio itakayomfaa kiumbe kaburini ila km amali zitakua mbovu bc umekula khasara
Pole sana mzee mungu akuandalie pumziko la milele
Peter hongera kwa utangazaji mzuri Mungu azidi kukuza kipaji chako
Allaaah ampunzushe mahal pema pepon
Kazi ya mungu haina makosa
Nawapa pole wafiwa wote pia na wamakua wote kwa kumpteza shujaa wetu r i p
So sad condolences to the entire family of Tanzania may God give you strength at this hard tym,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪we are together,rest in peace legendary
R . I . P BABA , MH. DR. RAISI BENJAMIN MKAPA. BADO UNAISHI NASI NDANI YA NAFSI ZETU. AMIN , AMINA
Poleni Sana safiri salama mkapa
Tushike sana maneno yake anayosema" *kiongozi hujengwa na matukio chana na matukio hadi yanayo mkuta katika maisha yake binafsi na maisha yake yakiuongozi"
Alhamdulilah
R.l.P mzee wetu mungu ailaze mahala pema peponi roho yake
May his soul rest in eternal peace.
R.I.P William mkapa
Polen family ya Mzee mkapa
R,I,p,,,,,
Kweli kazi ya mungu haina makosa na kizuri yakidumu
Pumzika kwa amani baba nakumbuka mama yang alinambia nimezaliwa kwenye utawala wako
R. I. P baba
Rip
RIP
Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raji'uun.
@maida2710
4 жыл бұрын
Inalilah wainalilah rajighunni sisi kweke tutarejea mungu ailaze roho yake mahala pema peponi
R. I. P
R.i.p
R.l.P
R.I.p mkapa tutakumbka kwa meng
Rlp
R I p mkapa
R-I-P
R .I p
@kilasioliver7088
4 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani
R I P Babu
@gervasliundi4163
4 жыл бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi Mzee wetu.
@annamahenda4562
4 жыл бұрын
R.I.p baba mwenyezi mungu ailaze roho yako mahali pema peponi amina
@sophiamsusa7519
4 жыл бұрын
R I P BABAYETU
Pumzka kwa aman baba
Pumzika Baba
Rip
R.I.P
Rip
R.I.P
R.I.P