MJUE WILLIAM BENJAMIN MKAPA - SAFARI YAKE - KUZALIWA HADI KIFO - NI HISTORIA TAMU na CHUNGU...

MJUE WILLIAM BENJAMIN MKAPA - SAFARI YAKE - KUZALIWA HADI KIFO - NI HISTORIA TAMU na CHUNGU...
Mtoto mdogo aliyezaliwa kwenye jamii ya watu wa Ndanda️, Masasi Kusini mwa Tanzania ambaye baba yake mzazi alitamani kuona anakuja kuwa mmoja kati ya madaktari, walimu au Padri. Hata hivyo hakuwa chochote kile ambacho baba yake alitamani awe bali akawa Rais wa Jamhuri ya Tanzania na mtoto huyo ni Mhe. Benjamin William Mkapa.
Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 739 750 910)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 54

  • @violetnandwa2022
    @violetnandwa20224 жыл бұрын

    From 🇰🇪 Kenya poleni Sana Tanzania rest in peace Mzee mukapa

  • @jayzeem14
    @jayzeem144 жыл бұрын

    Pumzika kwa Amani ya Mungu Baba Yetu na Rais wetu wa Awamu ya Tatu! Kaziumeifanya na vita vizuri umeipiga! Bwana ametoa na vwana ametwaa jina lake lihimidiwe! Pole Mama Ana Mkapa watoto na wajukuu na familia nzima na waTanzania. Tutakukumbuka kwa utumishi wako uliotukuka! RIP President Mkapa.

  • @peteremanuel1016
    @peteremanuel10164 жыл бұрын

    Tulikupenda sana ila mungu kakupenda zaidi upumzike kwa amani baba yetu mkapa

  • @thomasngede7190
    @thomasngede71904 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani mzee wetu mpendwa BENJAMINI W. MATWANI.MKAPA

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi97614 жыл бұрын

    Mungu akupe kauli thabit.Amiin

  • @saumjengi9786
    @saumjengi97864 жыл бұрын

    Rest in peace Rais wetu,,,Mungu akuepushe na adhabu ya kaburini.Amiin

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20584 жыл бұрын

    Roho ya marehemu ipumzike mahala pema peponi Amina

  • @melinajuma764
    @melinajuma7644 жыл бұрын

    R.I.P our lovely President poleni watanzania kwa msiba huu mzito,

  • @digidocs1284
    @digidocs12844 жыл бұрын

    Pole kwa WaTanzania. Amekwenda, na jambo la busara kufanya, baada ya kuomboleza...watu wanao ipenda Tanzania na Afrika kwa ujumla...ifikapo uchaguzi, mpeni Magufuli, na CCM kipindi kingine...Tanzania izidi kung'aa.

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir52994 жыл бұрын

    Inalila inalila rajiun pole sana ndungu zote mungu amuake pema penye wema peponi inshallah

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris30004 жыл бұрын

    Binadam anapofariki vitu vitatu humsindikiza safari yake Kwanza - Watu wake wa karibu Pili - Mali yake aliyoichuma Tatu - Amali yake aliyoitengeneza 1 Watu wako hawatobaki naww bali watarudi majumbani mwao na watakusahau kabisa na km ulikua na mke au mume atarithiwa na mwengine. 2 Mali yko pia itarudi haitobaki naww na wengine watazirithi bila ya kuzitumilia jasho lao ispokua ile uliyoiwacha au kuitoa kama Zakatul jaaria ambayo uliichuma kwa halali. 3 Amali zako ndo zitabaki naww ktk safari yko popote utakapopelekwa au utakapokwenda. Amali zikiwa ni njema bc mina lfaaidhiin (umefuzu) ila amali zikiwa mbaya minal khaasirin (umekula khasara) Amali njema ndio itakayomfaa kiumbe kaburini ila km amali zitakua mbovu bc umekula khasara

  • @kennedyjohn6788
    @kennedyjohn67884 жыл бұрын

    Pole sana mzee mungu akuandalie pumziko la milele

  • @melinajuma764
    @melinajuma7644 жыл бұрын

    Peter hongera kwa utangazaji mzuri Mungu azidi kukuza kipaji chako

  • @azizamaki7860
    @azizamaki78604 жыл бұрын

    Allaaah ampunzushe mahal pema pepon

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir52994 жыл бұрын

    Kazi ya mungu haina makosa

  • @ramadhanmpuku8953
    @ramadhanmpuku89534 жыл бұрын

    Nawapa pole wafiwa wote pia na wamakua wote kwa kumpteza shujaa wetu r i p

  • @teresiamutua4487
    @teresiamutua44874 жыл бұрын

    So sad condolences to the entire family of Tanzania may God give you strength at this hard tym,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪we are together,rest in peace legendary

  • @DMENDTVmusicMovie1
    @DMENDTVmusicMovie14 жыл бұрын

    R . I . P BABA , MH. DR. RAISI BENJAMIN MKAPA. BADO UNAISHI NASI NDANI YA NAFSI ZETU. AMIN , AMINA

  • @nancykenya4007
    @nancykenya40074 жыл бұрын

    Poleni Sana safiri salama mkapa

  • @allylichimba1493
    @allylichimba14934 жыл бұрын

    Tushike sana maneno yake anayosema" *kiongozi hujengwa na matukio chana na matukio hadi yanayo mkuta katika maisha yake binafsi na maisha yake yakiuongozi"

  • @MAPETEE
    @MAPETEE4 жыл бұрын

    Alhamdulilah

  • @challsmazagazaga566
    @challsmazagazaga5664 жыл бұрын

    R.l.P mzee wetu mungu ailaze mahala pema peponi roho yake

  • @Thairuwan
    @Thairuwan4 жыл бұрын

    May his soul rest in eternal peace.

  • @aloysiousnickmillan3132
    @aloysiousnickmillan31324 жыл бұрын

    R.I.P William mkapa

  • @martinhinda5233
    @martinhinda52334 жыл бұрын

    Polen family ya Mzee mkapa

  • @zenamshana6852
    @zenamshana68524 жыл бұрын

    R,I,p,,,,,

  • @zuberyvijeru3636
    @zuberyvijeru3636 Жыл бұрын

    Kweli kazi ya mungu haina makosa na kizuri yakidumu

  • @agnessjason9366
    @agnessjason93664 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani baba nakumbuka mama yang alinambia nimezaliwa kwenye utawala wako

  • @amosmahona433
    @amosmahona4334 жыл бұрын

    R. I. P baba

  • @lutymtegasafisananimekupen5628
    @lutymtegasafisananimekupen56284 жыл бұрын

    Rip

  • @jansansandiego4613
    @jansansandiego46134 жыл бұрын

    RIP

  • @safiaothman1098
    @safiaothman10984 жыл бұрын

    Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raji'uun.

  • @maida2710

    @maida2710

    4 жыл бұрын

    Inalilah wainalilah rajighunni sisi kweke tutarejea mungu ailaze roho yake mahala pema peponi

  • @joshuamiseyeki4028
    @joshuamiseyeki40284 жыл бұрын

    R. I. P

  • @mkwizusele6455
    @mkwizusele64554 жыл бұрын

    R.i.p

  • @shijalameckmpemba4529
    @shijalameckmpemba45294 жыл бұрын

    R.l.P

  • @simonmakoye5754
    @simonmakoye57544 жыл бұрын

    R.I.p mkapa tutakumbka kwa meng

  • @halimamanture8098
    @halimamanture80984 жыл бұрын

    Rlp

  • @johneliuteri3796
    @johneliuteri37964 жыл бұрын

    R I p mkapa

  • @ericjonstz3120
    @ericjonstz31204 жыл бұрын

    R-I-P

  • @helenjoshua6168
    @helenjoshua61684 жыл бұрын

    R .I p

  • @kilasioliver7088

    @kilasioliver7088

    4 жыл бұрын

    Pumzika kwa Amani

  • @johntogoro6191
    @johntogoro61914 жыл бұрын

    R I P Babu

  • @gervasliundi4163

    @gervasliundi4163

    4 жыл бұрын

    Mungu akulaze mahali pema peponi Mzee wetu.

  • @annamahenda4562

    @annamahenda4562

    4 жыл бұрын

    R.I.p baba mwenyezi mungu ailaze roho yako mahali pema peponi amina

  • @sophiamsusa7519

    @sophiamsusa7519

    4 жыл бұрын

    R I P BABAYETU

  • @massijustin229
    @massijustin2294 жыл бұрын

    Pumzka kwa aman baba

  • @loyceemacy9185
    @loyceemacy91854 жыл бұрын

    Pumzika Baba

  • @salimmohamed5232
    @salimmohamed52324 жыл бұрын

    Rip

  • @binzid9046
    @binzid90464 жыл бұрын

    R.I.P

  • @chachakitareti1778
    @chachakitareti17784 жыл бұрын

    Rip

  • @jacklinemazinge3653
    @jacklinemazinge36534 жыл бұрын

    R.I.P

  • @mimwaninelitha6666
    @mimwaninelitha66664 жыл бұрын

    R.I.P

Келесі