Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 2
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Lucas Mhaville ni maalum sana, kwa ki vyovyote vile utakakavyotaka wewe, ki maisha, ki muonekano, ki uelewa na jinsi anavyokua mpya kila siku kwenye ulimwengu wake, jinsi anavyo jipa matawi na kujigawa kisanaa. Jinsi anavyotoa character wapya kila mara kwaajili tu ya kuleta ladha mpya kwenye sanaa yake, hili linamfanya aendelee kuwa mchekeshaji pekee kwenye kizazi chetu ambaye huwezi kuona amechuja au hana jipya kwenye kukufurahisha wewe.
Kabla sijaiandika hii, kipande kidogo cha video kilienda kwenye ukurasa wangu wa Instagram (@ecejay) kwaajili ya kuwafahamisha watu kwamba JOTI atakua ndo mgeni wetu wa usiku wa leo, na kwenye hiyo video nilimuuliza kuhusu kabila lake ambalo kwa mujibu wake ni kabila dogo tu kutoka huko Morogoro na yeye na Baba yake mdogo ambaye ni Polisi ndo watu waarufu zaidi, ila kwa wingi wa replies kutoka kwa watu wengi wa kabila hilo inaonyesha si kabila dogo kama yeye alivyodhani, ila hiyo ni tisa, kumi ni jinsi ambayo watu WANAMPENDA na kusikiliza KILA ANACHOSEMA, hiko ni kipawa tofauti kabisa, sio kila mtu anaweza kuwa na uwezo huo.
Yeye ni mzaliwa wa Morogoro na alikuja Dar es Salaam baada ya mzazi wake mmoja kufariki, alichukuliwa na ndugu yake na kuja kulelewa hapa, amesoma hapa na sanaa yake pia ilianzia hapa alipokua shuleni. Nani alimsukuma? Na je alisoma mpaka daraja lipi? Mimi na yeye pia tunazungumzia umuhimu wa elimu na malezi bora. Maisha yake alipokua mdogo na mafunzo aliyoyapata growing up.
Joti si wa leo, akiwa na miaka yake 38 anajielewa vizuri sana tu. Maongezi yetu pia yalitupeleka kwa uanzishwaji wa kundi la Original Comedy ambalo lilitufanya sote tuwapende sana na enzi hizo za EATV wao wanapokua hewani basi nchi nzima ilikua inasimama kwaajili ya kuangalia walichotuandalia. Yalikua mafanikio haswa! So nini kilitokea mpaka wakaomdoka EATV? Na wao kama kundi kuna lolote kwa sasa? Au kila mtu ndo solo? Na vipi kuhusu Vengu? Yule mwenzao (mwenzetu) ambaye alipata matatizo makubwa ya ki afya na mpaka naandika hii bado yuko kitandani? Shida yake hasa ni nini? Haina tiba?
Humu pia tumeongelea mahusiano yake na Seki, ambaye alikua naye toka enzi za OC akiwa kama kiongozi na mtayarishaji. Mahusiano yake na Mpoki, Masanja ambaye sasa amejikita kwenye masuala ya ki kanisa, Wa Kuvanga na McRegan? Wako wapi? Kama kuna comeback ya kundi? Lini?
Wakati nafanya hii pia nilitiwa elimu na Director wangu wa siku hiyo (Ms Lydia Igarabuza) kwamba, ukitaka kuongea na mchekeshaji, ili upate utakacho, basi usimpe nafasi ya yeye kukuchekesha mpaka ukasahau kilichomleta pale, namshkuru sana kwa hilo maana nadhani ki kawaida kama wana tungecheka zaidi kabla ya kuyasikia yote ambayo tumeongea humu.
Respect nyingi ziende kwa Joti ambaye ameweza ku maintain status yake ya heshima ya juu kwenye kazi yake, na kama binadamu.
Yangu matumaini utaokota mawili matatu hapa ambayo yatazidi kukutia mafuta ya kukufanya utake maendeleo zaidi na heshima kwenye jina lako na maisha yako.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 235
Aisee sikuwahi kuwaza Joti ametulia kwenye usahili kama hivi. Anaonekana ana nidhamu ya kazi....
Joti kanipa elimu kubwa sana,Mwenyezi Mungu anavyokuumba ana sababu zake,Joti ni " mfupi" kwa ufupi wake na umbile lake dogo ,limemfanya kucheza "character " nyingi,sema Alhamudullah kwa kila jambo,Mwenyezi Mungu ana sababu zake.
Yaan Mungu alikupangia kabisa huyo mke aisee,hiyo style yakukutana nmeipenda sana 😂😂😂
Dada salama wewe ni muhimu kwenye jamii watanzania wanaoelewa na mimi nimo mungu wangu anae ishi akupe mwisho mwema in fact you're the best
salama umetisha sana..joti is my favourite star in TZ
Sister utuletee na masanja he has something we need to learn mama
Nime notice joti hataki mchezo na chakula kabisa🤗
@assoum_N
3 жыл бұрын
😂😂
Bora Ume uliza swali la vengu. Dah🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️Yule kaka jamani. Alikuwa. Ana ish makumbosho alikuwa jirani yetu alikuwa mchesh sana😪😭😭roho ime nuuma kweli
Lucas Mhuvile aka *JOTI* is my all-time Comedian. *Salama* , continue to be the light that inspires others to dream 🙏🙏🙏
Salama kila engo anakaa ukimuweka ujaji anafiti dah watyu munakipaji mashallah nakufatilia sana salama Allah akuzidishie Amina
THE BEST SHOW IN TANZANIA Yah Stone Town...Salama your best presentar in Tz i like your style keep focus many things utatuletea....
Naomba youtube wafute chaneli za ovyo ovyo zibaki chaneli za maana kama izi za salama,sky,
Joti yuko vema sana kwny kujibu maswali. But nawewe umeuliza maswali mazuri pia. So professional in my opinion
Maelezo marefu...kweli na wewe, Salama, unampenda mno Joti. Asante mwa mazungumzo mazuri. Nimemjua zaidi Joti. Naomba utuletee Hakika Reuben sasa
"President of comedy africa"..POCA
Mazy nmefurahi sana kuskia historia fupi ya joti, wow! Thanks mr lukas for making the world happy, na wanaotudharau sisi watu wafupi be warned meen!
Yes nimenjoy saana na nimefurahi ulivyomuuliza mgonjwa anaendelwaje Nilikuwa nahamu kweli kujua nini kilimpata before mpka akawa mgonjwa for that long. Thank you Salama keep it up.
Salama kitale namuomba
Salama dada kipindi kizuli tangia nianze kukujua wewe kila kukicha unabuni /mmubunifu na unacho kibuni kina kua nice big up sister
@maloomaalmnsj5111
3 жыл бұрын
Kumbe salama kanenepa arafu naona kama kawa mpole ivi
Mimi pia mtu mfupi na ni fans wenu🥰🥰🥰🥰
Joti bonge la legend yani.unajua Sana😂😂😂.
Joti ni mtu sana
Joti kwenye kula ataki mchezoo😀😀😀😀
@shamsamikidadi1662
3 жыл бұрын
😂😂🤣😄😌🏃
😂😂😂 Yani ww joti comedy kabsaa mtu akikuangalia tu anaaza kucheka
Hongera sana Salama kwa kutuandalia watu wenye karia mbalimbali.
Nakuaga mvivu kufuatilia ichi kipindi lkn nilivyo muona joti 😂😂 naangalia
@fathiyaabdullah
3 жыл бұрын
Same here
@fredybundala2336
3 жыл бұрын
Me too
@isackmwaipole147
3 жыл бұрын
Kam Mimi 2😄😄
I watched all the parts of this show and let me say, this was very informative, educational and inspirational to me.
Karibuu morogoro at
Salama naomba utuleteee Madam na Master j
True comedian joti nakubali
Wandamba wanapenda wali na samaki, hupenda wali sana nimekaa nao nilipokuwa morogoro mang‘ula.
@jesuslove2205
3 жыл бұрын
Ni wangoni
Ongera kwa kujua ukubwa wa MUNGU
Ila mamdogo Salama nilikuwa natamani sana nijue namna walivyokutana yeye na Mpoki,halafu hukumuuliza😊
@abdulhamidmachano404
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂.. Mwambie machano akuelezeee
@salymkingungo5229
3 жыл бұрын
@@abdulhamidmachano404 🤣🤣🤣na halafu inaonekana huyu bibiye mpoki hamuelewi maana hata kwenye mkasi hakuwahi kumuita
Mungu akubariki BWANA joti. You are so humble and the best ever
Joti kama Joti. Ongera kwakipawa Mungu aenderee kukusimamia
Salama untouchable great minded much love from 254
Kipindi kizuri sana.. Najikuta nakifatilia sana
Gari ilikuwa chini tenga!!😀
Tido muhando... Legend
Tuletee kitale ,,salama
Asante sana salama Kwa kutuletea Joti na kuweza kuyajua mambo kadhaa nje ya box..
Mmetisha Sana cjwah kuon umekopi Wala joti kukopi sehem msonge mbele
Kusema kweli sijawahi angalia hii video mpaka mwisho heshima kwa sarama. Heshima kwa joti pia
hongela Sana salamander jabari, tunakupenda Sana hususanikwenye kufanaya intv nawatu kiukweli unauwezo mkubwa, yaniunafanya intv ambayo mtuanafurahia kusikiliza Mungu akubalikisana ufanikiwe zaidi
We love you all, nice of you🙌
Nime enjoy pia nifurahi kusikia habari ya vengu
Nime enjoy mno thankx sis sj
Ecejay tbsam limetawala nkupnda san
@iamabel6912
3 жыл бұрын
Marco chali feat.One the incredible & Msamiati-yeah
Yaani jotti namkubali sana All the way from Leeds uk Thanks Salama kwa kutuletea 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Aiseee jamaaa hongeraa kwako mkali wetu pia ant salama kwako pongezi umetisha
Joti kanifurahisha kwenye ma PACHA... joto vipi kama umeni surprise....two in ONE
Na mpenda sana joti from Drc congo 🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🍾🍾
Salama mmenifurahisha 😁😁😁😁nimependa leo
Hii ni ya kipekee,, nilitamani kujua pia ni vipi wanakua sad and how do they handle their heartbreaks.. Celebrities wanakua hawana namna zaidi ya kuonyesha tabasamu kwa jamii but on the other hand maumivu yao hatuelewi.. Nice show Salama, unaustarabu flani wa kuuliza maswali and let other upcoming waangalie hiyo.
Jamani kila nikiwaangalia nacheka tu.
Usintie ubayaa
Da!???? Uchukuaji namba hii ni mbinu ya kijeshi 😁😁🙌
Well done Salama
Safi sana
Bigg up sana salma
for the first time nawatch kwasabab y joti
Bonge ya show.. Mwana Morogoro mwenzangu... Na Mbunge wake wa Malinyi Mndamba hahaha
Nakubal sana huyu mwamba
Ze King of Comedy#JOTI❤❤❤❤❤
Nme enjoy nakujifunza kwakweli na nampenda sana joti sister salama please fanya utuletee na KITALE jmn
Characters wote ni noma ila Nishai hatari sana 🔥🔥🔥 Big up joti
🤗🤗 mmenifurahisha na kuelimisha... @SalamaJabir @JotiLucas
Salama your the best.
Tumeenjoy sana 👏👏
Il est très intelligent Joti Lucas. Bravo!!!!
@blessedservant6020
3 жыл бұрын
Vraiment.
Kura na mahojiano haikawi poa ilitakiwa angekula kabisa hapo angebaki na soft drink au maji kisha mahojiano yanaendelea
Nice one 🔥💯👌
🔥🔥🔥🔥nakubaliii @Jotii big up Salma👏🏽
Baba wawili huyoooo ndani ya shati la size yake kama tangazo lake
Nimeudhika hujam discuss nishai as a character... He's the best character
Nimeipenda hii salama
Best comedian in 🇹🇿
Salama endelea mama na ahsante kwa joti
Best show ...keep it coming Salama
Nakubali Sana joti
Salama safi sana
Joti Kuna kitu umekifungua katika maisha yangu
Je umeagiza GARI nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza, Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT / CONTAINER & MAGARI yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa.....Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa, Asante 1: IST old - 850,000/= 2: HARRIER New-1,000,000/= 3: HARRIER Old-950,000/= 4: RAV 4 - 950,000/= 5: RAUM - 850,000/= 6: SPACIO - 850,000/= 7: PASSO - 800,000/= 8: VITZ - 800,000/= 9: PREMIO - 850,000/= 10: ALTEZA - 850,000/= 11: SUBARU - 850,000/= 12: CARINA - 850,000/= ---------------------------------------- Gharama hizi zinahusisha malipo ya 1: Port Charges 2: Shipping Line 3: Walfage 4: Agent Fee 5: Plate no ---------------------------------------- DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876 Whatsap +255 653953900 Company: Mofaz movers Location: PSSSF Tower, Samora Avenue Dar es salaam, Tanzania *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏 *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA NI BURE🙏
Yaan salama una moyo sana Mimi ningecheka sijui ingekuwaje
Salama ,Salama Kweli💥
Jotiiiiiiiii umemaind baada ya kukuuliza yuke mwanamke ni nishai 😁😁😁😁🤣🙌
Wapi mama Imma.
Namkubali sana Joti
Mkuu wa idara ya uchekeshaji
Interview nzuri sana
Joti unapoint sana hasa jinsi unavyolea watoto
Safi sana Joti. Uko vizuri
Makin sana home boy jot me from mlimba
@mabroukhamdani234
3 жыл бұрын
Mabrouk from Burundi imenifurahisha kinoma
Salama so much love Manchester mwenzangu
Joti is the best
Nawapenda salama na joti muludie tena kipindi
Love u jotiiii
Great
Mimi character nampenda Nishai
@rashyramy8066
3 жыл бұрын
Hahahaha, tupo pamoja, nishai na mashati yake yale
Joti bana nacheka sana ila piga kaz bwana napenda Hujali wala nini