Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 2

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Lucas Mhaville ni maalum sana, kwa ki vyovyote vile utakakavyotaka wewe, ki maisha, ki muonekano, ki uelewa na jinsi anavyokua mpya kila siku kwenye ulimwengu wake, jinsi anavyo jipa matawi na kujigawa kisanaa. Jinsi anavyotoa character wapya kila mara kwaajili tu ya kuleta ladha mpya kwenye sanaa yake, hili linamfanya aendelee kuwa mchekeshaji pekee kwenye kizazi chetu ambaye huwezi kuona amechuja au hana jipya kwenye kukufurahisha wewe.
Kabla sijaiandika hii, kipande kidogo cha video kilienda kwenye ukurasa wangu wa Instagram (@ecejay) kwaajili ya kuwafahamisha watu kwamba JOTI atakua ndo mgeni wetu wa usiku wa leo, na kwenye hiyo video nilimuuliza kuhusu kabila lake ambalo kwa mujibu wake ni kabila dogo tu kutoka huko Morogoro na yeye na Baba yake mdogo ambaye ni Polisi ndo watu waarufu zaidi, ila kwa wingi wa replies kutoka kwa watu wengi wa kabila hilo inaonyesha si kabila dogo kama yeye alivyodhani, ila hiyo ni tisa, kumi ni jinsi ambayo watu WANAMPENDA na kusikiliza KILA ANACHOSEMA, hiko ni kipawa tofauti kabisa, sio kila mtu anaweza kuwa na uwezo huo.
Yeye ni mzaliwa wa Morogoro na alikuja Dar es Salaam baada ya mzazi wake mmoja kufariki, alichukuliwa na ndugu yake na kuja kulelewa hapa, amesoma hapa na sanaa yake pia ilianzia hapa alipokua shuleni. Nani alimsukuma? Na je alisoma mpaka daraja lipi? Mimi na yeye pia tunazungumzia umuhimu wa elimu na malezi bora. Maisha yake alipokua mdogo na mafunzo aliyoyapata growing up.
Joti si wa leo, akiwa na miaka yake 38 anajielewa vizuri sana tu. Maongezi yetu pia yalitupeleka kwa uanzishwaji wa kundi la Original Comedy ambalo lilitufanya sote tuwapende sana na enzi hizo za EATV wao wanapokua hewani basi nchi nzima ilikua inasimama kwaajili ya kuangalia walichotuandalia. Yalikua mafanikio haswa! So nini kilitokea mpaka wakaomdoka EATV? Na wao kama kundi kuna lolote kwa sasa? Au kila mtu ndo solo? Na vipi kuhusu Vengu? Yule mwenzao (mwenzetu) ambaye alipata matatizo makubwa ya ki afya na mpaka naandika hii bado yuko kitandani? Shida yake hasa ni nini? Haina tiba?
Humu pia tumeongelea mahusiano yake na Seki, ambaye alikua naye toka enzi za OC akiwa kama kiongozi na mtayarishaji. Mahusiano yake na Mpoki, Masanja ambaye sasa amejikita kwenye masuala ya ki kanisa, Wa Kuvanga na McRegan? Wako wapi? Kama kuna comeback ya kundi? Lini?
Wakati nafanya hii pia nilitiwa elimu na Director wangu wa siku hiyo (Ms Lydia Igarabuza) kwamba, ukitaka kuongea na mchekeshaji, ili upate utakacho, basi usimpe nafasi ya yeye kukuchekesha mpaka ukasahau kilichomleta pale, namshkuru sana kwa hilo maana nadhani ki kawaida kama wana tungecheka zaidi kabla ya kuyasikia yote ambayo tumeongea humu.
Respect nyingi ziende kwa Joti ambaye ameweza ku maintain status yake ya heshima ya juu kwenye kazi yake, na kama binadamu.
Yangu matumaini utaokota mawili matatu hapa ambayo yatazidi kukutia mafuta ya kukufanya utake maendeleo zaidi na heshima kwenye jina lako na maisha yako.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 235

  • @Kazoba2011
    @Kazoba20113 жыл бұрын

    Aisee sikuwahi kuwaza Joti ametulia kwenye usahili kama hivi. Anaonekana ana nidhamu ya kazi....

  • @keifatuke99
    @keifatuke993 жыл бұрын

    Joti kanipa elimu kubwa sana,Mwenyezi Mungu anavyokuumba ana sababu zake,Joti ni " mfupi" kwa ufupi wake na umbile lake dogo ,limemfanya kucheza "character " nyingi,sema Alhamudullah kwa kila jambo,Mwenyezi Mungu ana sababu zake.

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry29193 жыл бұрын

    Yaan Mungu alikupangia kabisa huyo mke aisee,hiyo style yakukutana nmeipenda sana 😂😂😂

  • @amonrushambila1273
    @amonrushambila12733 жыл бұрын

    Dada salama wewe ni muhimu kwenye jamii watanzania wanaoelewa na mimi nimo mungu wangu anae ishi akupe mwisho mwema in fact you're the best

  • @yowtz5450
    @yowtz54503 жыл бұрын

    salama umetisha sana..joti is my favourite star in TZ

  • @jayspermlewa7425
    @jayspermlewa74253 жыл бұрын

    Sister utuletee na masanja he has something we need to learn mama

  • @kevinhussein5229
    @kevinhussein52293 жыл бұрын

    Nime notice joti hataki mchezo na chakula kabisa🤗

  • @assoum_N

    @assoum_N

    3 жыл бұрын

    😂😂

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72793 жыл бұрын

    Bora Ume uliza swali la vengu. Dah🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️Yule kaka jamani. Alikuwa. Ana ish makumbosho alikuwa jirani yetu alikuwa mchesh sana😪😭😭roho ime nuuma kweli

  • @zaweki
    @zaweki3 жыл бұрын

    Lucas Mhuvile aka *JOTI* is my all-time Comedian. *Salama* , continue to be the light that inspires others to dream 🙏🙏🙏

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir93 жыл бұрын

    Salama kila engo anakaa ukimuweka ujaji anafiti dah watyu munakipaji mashallah nakufatilia sana salama Allah akuzidishie Amina

  • @rhymekings5170
    @rhymekings51703 жыл бұрын

    THE BEST SHOW IN TANZANIA Yah Stone Town...Salama your best presentar in Tz i like your style keep focus many things utatuletea....

  • @michaeljeremiah8305
    @michaeljeremiah83053 жыл бұрын

    Naomba youtube wafute chaneli za ovyo ovyo zibaki chaneli za maana kama izi za salama,sky,

  • @salminibakarimbonde6458
    @salminibakarimbonde64583 жыл бұрын

    Joti yuko vema sana kwny kujibu maswali. But nawewe umeuliza maswali mazuri pia. So professional in my opinion

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita3 жыл бұрын

    Maelezo marefu...kweli na wewe, Salama, unampenda mno Joti. Asante mwa mazungumzo mazuri. Nimemjua zaidi Joti. Naomba utuletee Hakika Reuben sasa

  • @musakaphu4581
    @musakaphu45813 жыл бұрын

    "President of comedy africa"..POCA

  • @elijahm.muthini
    @elijahm.muthini3 жыл бұрын

    Mazy nmefurahi sana kuskia historia fupi ya joti, wow! Thanks mr lukas for making the world happy, na wanaotudharau sisi watu wafupi be warned meen!

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky3 жыл бұрын

    Yes nimenjoy saana na nimefurahi ulivyomuuliza mgonjwa anaendelwaje Nilikuwa nahamu kweli kujua nini kilimpata before mpka akawa mgonjwa for that long. Thank you Salama keep it up.

  • @othumanomary4032
    @othumanomary40323 жыл бұрын

    Salama kitale namuomba

  • @peterkatumain2299
    @peterkatumain22993 жыл бұрын

    Salama dada kipindi kizuli tangia nianze kukujua wewe kila kukicha unabuni /mmubunifu na unacho kibuni kina kua nice big up sister

  • @maloomaalmnsj5111

    @maloomaalmnsj5111

    3 жыл бұрын

    Kumbe salama kanenepa arafu naona kama kawa mpole ivi

  • @joycejohn3445
    @joycejohn34453 жыл бұрын

    Mimi pia mtu mfupi na ni fans wenu🥰🥰🥰🥰

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz47173 жыл бұрын

    Joti bonge la legend yani.unajua Sana😂😂😂.

  • @mikemike7198
    @mikemike71983 жыл бұрын

    Joti ni mtu sana

  • @eshalibaba1195
    @eshalibaba11953 жыл бұрын

    Joti kwenye kula ataki mchezoo😀😀😀😀

  • @shamsamikidadi1662

    @shamsamikidadi1662

    3 жыл бұрын

    😂😂🤣😄😌🏃

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud47413 жыл бұрын

    😂😂😂 Yani ww joti comedy kabsaa mtu akikuangalia tu anaaza kucheka

  • @rashidndunda5469
    @rashidndunda54693 жыл бұрын

    Hongera sana Salama kwa kutuandalia watu wenye karia mbalimbali.

  • @ramxoketti7521
    @ramxoketti75213 жыл бұрын

    Nakuaga mvivu kufuatilia ichi kipindi lkn nilivyo muona joti 😂😂 naangalia

  • @fathiyaabdullah

    @fathiyaabdullah

    3 жыл бұрын

    Same here

  • @fredybundala2336

    @fredybundala2336

    3 жыл бұрын

    Me too

  • @isackmwaipole147

    @isackmwaipole147

    3 жыл бұрын

    Kam Mimi 2😄😄

  • @renovatusndikuriyo8094
    @renovatusndikuriyo80943 жыл бұрын

    I watched all the parts of this show and let me say, this was very informative, educational and inspirational to me.

  • @HassanMohamed-vs4re
    @HassanMohamed-vs4re3 жыл бұрын

    Karibuu morogoro at

  • @joxebongole268
    @joxebongole2683 жыл бұрын

    Salama naomba utuleteee Madam na Master j

  • @benardsamwelministry7024
    @benardsamwelministry70243 жыл бұрын

    True comedian joti nakubali

  • @francissamson8028
    @francissamson80283 жыл бұрын

    Wandamba wanapenda wali na samaki, hupenda wali sana nimekaa nao nilipokuwa morogoro mang‘ula.

  • @jesuslove2205

    @jesuslove2205

    3 жыл бұрын

    Ni wangoni

  • @barakachalres9316
    @barakachalres93163 жыл бұрын

    Ongera kwa kujua ukubwa wa MUNGU

  • @salymkingungo5229
    @salymkingungo52293 жыл бұрын

    Ila mamdogo Salama nilikuwa natamani sana nijue namna walivyokutana yeye na Mpoki,halafu hukumuuliza😊

  • @abdulhamidmachano404

    @abdulhamidmachano404

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂.. Mwambie machano akuelezeee

  • @salymkingungo5229

    @salymkingungo5229

    3 жыл бұрын

    @@abdulhamidmachano404 🤣🤣🤣na halafu inaonekana huyu bibiye mpoki hamuelewi maana hata kwenye mkasi hakuwahi kumuita

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr3 жыл бұрын

    Mungu akubariki BWANA joti. You are so humble and the best ever

  • @atujohn6737
    @atujohn67372 жыл бұрын

    Joti kama Joti. Ongera kwakipawa Mungu aenderee kukusimamia

  • @shaniahrachma3114
    @shaniahrachma31143 жыл бұрын

    Salama untouchable great minded much love from 254

  • @stuartson90
    @stuartson903 жыл бұрын

    Kipindi kizuri sana.. Najikuta nakifatilia sana

  • @kelvinokelo7992
    @kelvinokelo79923 жыл бұрын

    Gari ilikuwa chini tenga!!😀

  • @TheBuildersHomeTz
    @TheBuildersHomeTz Жыл бұрын

    Tido muhando... Legend

  • @ramsonrugonzi8249
    @ramsonrugonzi82493 жыл бұрын

    Tuletee kitale ,,salama

  • @justinejackson1731
    @justinejackson17312 жыл бұрын

    Asante sana salama Kwa kutuletea Joti na kuweza kuyajua mambo kadhaa nje ya box..

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje28873 жыл бұрын

    Mmetisha Sana cjwah kuon umekopi Wala joti kukopi sehem msonge mbele

  • @shebybruce4718
    @shebybruce47183 жыл бұрын

    Kusema kweli sijawahi angalia hii video mpaka mwisho heshima kwa sarama. Heshima kwa joti pia

  • @michaelmahona6948
    @michaelmahona69483 жыл бұрын

    hongela Sana salamander jabari, tunakupenda Sana hususanikwenye kufanaya intv nawatu kiukweli unauwezo mkubwa, yaniunafanya intv ambayo mtuanafurahia kusikiliza Mungu akubalikisana ufanikiwe zaidi

  • @wellbrand3415
    @wellbrand34153 жыл бұрын

    We love you all, nice of you🙌

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything78483 жыл бұрын

    Nime enjoy pia nifurahi kusikia habari ya vengu

  • @MS.independent8934
    @MS.independent89343 жыл бұрын

    Nime enjoy mno thankx sis sj

  • @othumanomary4032
    @othumanomary40323 жыл бұрын

    Ecejay tbsam limetawala nkupnda san

  • @iamabel6912

    @iamabel6912

    3 жыл бұрын

    Marco chali feat.One the incredible & Msamiati-yeah

  • @delilahbutterwick9789
    @delilahbutterwick97893 жыл бұрын

    Yaani jotti namkubali sana All the way from Leeds uk Thanks Salama kwa kutuletea 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu11513 жыл бұрын

    Aiseee jamaaa hongeraa kwako mkali wetu pia ant salama kwako pongezi umetisha

  • @SirdickOmondi
    @SirdickOmondi3 жыл бұрын

    Joti kanifurahisha kwenye ma PACHA... joto vipi kama umeni surprise....two in ONE

  • @tresorkongolo8591
    @tresorkongolo85913 жыл бұрын

    Na mpenda sana joti from Drc congo 🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🍾🍾

  • @gabrielmurro7134
    @gabrielmurro71343 жыл бұрын

    Salama mmenifurahisha 😁😁😁😁nimependa leo

  • @faridmussa9579
    @faridmussa95793 жыл бұрын

    Hii ni ya kipekee,, nilitamani kujua pia ni vipi wanakua sad and how do they handle their heartbreaks.. Celebrities wanakua hawana namna zaidi ya kuonyesha tabasamu kwa jamii but on the other hand maumivu yao hatuelewi.. Nice show Salama, unaustarabu flani wa kuuliza maswali and let other upcoming waangalie hiyo.

  • @dorcusmacha6804
    @dorcusmacha68043 жыл бұрын

    Jamani kila nikiwaangalia nacheka tu.

  • @HassanMohamed-vs4re
    @HassanMohamed-vs4re3 жыл бұрын

    Usintie ubayaa

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn56933 жыл бұрын

    Da!???? Uchukuaji namba hii ni mbinu ya kijeshi 😁😁🙌

  • @rehemaramadhan7357
    @rehemaramadhan73573 жыл бұрын

    Well done Salama

  • @peninasayanga8412
    @peninasayanga84123 жыл бұрын

    Safi sana

  • @diemercimgisho1644
    @diemercimgisho16443 жыл бұрын

    Bigg up sana salma

  • @abousamirfakhii7757
    @abousamirfakhii77573 жыл бұрын

    for the first time nawatch kwasabab y joti

  • @robertselasela6271
    @robertselasela62713 жыл бұрын

    Bonge ya show.. Mwana Morogoro mwenzangu... Na Mbunge wake wa Malinyi Mndamba hahaha

  • @kelvinarnold
    @kelvinarnold Жыл бұрын

    Nakubal sana huyu mwamba

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda60393 жыл бұрын

    Ze King of Comedy#JOTI❤❤❤❤❤

  • @hanifaally4694
    @hanifaally46943 жыл бұрын

    Nme enjoy nakujifunza kwakweli na nampenda sana joti sister salama please fanya utuletee na KITALE jmn

  • @maverickcreativesolutions8285
    @maverickcreativesolutions82853 жыл бұрын

    Characters wote ni noma ila Nishai hatari sana 🔥🔥🔥 Big up joti

  • @goldaernest240
    @goldaernest2403 жыл бұрын

    🤗🤗 mmenifurahisha na kuelimisha... @SalamaJabir @JotiLucas

  • @jeremiahmhulula3515
    @jeremiahmhulula35153 жыл бұрын

    Salama your the best.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72573 жыл бұрын

    Tumeenjoy sana 👏👏

  • @michellesorin6849
    @michellesorin68493 жыл бұрын

    Il est très intelligent Joti Lucas. Bravo!!!!

  • @blessedservant6020

    @blessedservant6020

    3 жыл бұрын

    Vraiment.

  • @jacksonnduna4419
    @jacksonnduna44193 жыл бұрын

    Kura na mahojiano haikawi poa ilitakiwa angekula kabisa hapo angebaki na soft drink au maji kisha mahojiano yanaendelea

  • @najmasoudnaj8211
    @najmasoudnaj82113 жыл бұрын

    Nice one 🔥💯👌

  • @josephinepatrick6026
    @josephinepatrick60263 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥nakubaliii @Jotii big up Salma👏🏽

  • @claraedwardmalingumu3565
    @claraedwardmalingumu35653 жыл бұрын

    Baba wawili huyoooo ndani ya shati la size yake kama tangazo lake

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16503 жыл бұрын

    Nimeudhika hujam discuss nishai as a character... He's the best character

  • @ntakilwankingwa8250
    @ntakilwankingwa82503 жыл бұрын

    Nimeipenda hii salama

  • @danielhaule155
    @danielhaule1553 жыл бұрын

    Best comedian in 🇹🇿

  • @michaelkusenta8960
    @michaelkusenta89603 жыл бұрын

    Salama endelea mama na ahsante kwa joti

  • @twiserchaki6029
    @twiserchaki6029 Жыл бұрын

    Best show ...keep it coming Salama

  • @arrfamush3285
    @arrfamush32853 жыл бұрын

    Nakubali Sana joti

  • @jamalmdee414
    @jamalmdee4143 жыл бұрын

    Salama safi sana

  • @dazk7861
    @dazk78613 жыл бұрын

    Joti Kuna kitu umekifungua katika maisha yangu

  • @MrSABYY
    @MrSABYY3 жыл бұрын

    Je umeagiza GARI nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza, Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT / CONTAINER & MAGARI yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa.....Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa, Asante 1: IST old - 850,000/= 2: HARRIER New-1,000,000/= 3: HARRIER Old-950,000/= 4: RAV 4 - 950,000/= 5: RAUM - 850,000/= 6: SPACIO - 850,000/= 7: PASSO - 800,000/= 8: VITZ - 800,000/= 9: PREMIO - 850,000/= 10: ALTEZA - 850,000/= 11: SUBARU - 850,000/= 12: CARINA - 850,000/= ---------------------------------------- Gharama hizi zinahusisha malipo ya 1: Port Charges 2: Shipping Line 3: Walfage 4: Agent Fee 5: Plate no ---------------------------------------- DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876 Whatsap +255 653953900 Company: Mofaz movers Location: PSSSF Tower, Samora Avenue Dar es salaam, Tanzania *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏 *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA NI BURE🙏

  • @carinadavid8214
    @carinadavid82143 жыл бұрын

    Yaan salama una moyo sana Mimi ningecheka sijui ingekuwaje

  • @wycliffegift6180
    @wycliffegift61803 жыл бұрын

    Salama ,Salama Kweli💥

  • @awazamis8186
    @awazamis81863 жыл бұрын

    Jotiiiiiiiii umemaind baada ya kukuuliza yuke mwanamke ni nishai 😁😁😁😁🤣🙌

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom5093 жыл бұрын

    Wapi mama Imma.

  • @kulwakajoro3047
    @kulwakajoro30473 жыл бұрын

    Namkubali sana Joti

  • @christianmichael5331
    @christianmichael53313 жыл бұрын

    Mkuu wa idara ya uchekeshaji

  • @ifraimifraimuhusen282
    @ifraimifraimuhusen2828 ай бұрын

    Interview nzuri sana

  • @minormine4417
    @minormine44173 жыл бұрын

    Joti unapoint sana hasa jinsi unavyolea watoto

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel46713 жыл бұрын

    Safi sana Joti. Uko vizuri

  • @mrululu9105
    @mrululu91053 жыл бұрын

    Makin sana home boy jot me from mlimba

  • @mabroukhamdani234

    @mabroukhamdani234

    3 жыл бұрын

    Mabrouk from Burundi imenifurahisha kinoma

  • @carinadavid8214
    @carinadavid82143 жыл бұрын

    Salama so much love Manchester mwenzangu

  • @starshinetz
    @starshinetz3 жыл бұрын

    Joti is the best

  • @bahatykiugu1516
    @bahatykiugu15163 жыл бұрын

    Nawapenda salama na joti muludie tena kipindi

  • @angelaloyce8944
    @angelaloyce89443 жыл бұрын

    Love u jotiiii

  • @shabanshaban1259
    @shabanshaban12593 жыл бұрын

    Great

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto72123 жыл бұрын

    Mimi character nampenda Nishai

  • @rashyramy8066

    @rashyramy8066

    3 жыл бұрын

    Hahahaha, tupo pamoja, nishai na mashati yake yale

  • @marthangufala64
    @marthangufala643 жыл бұрын

    Joti bana nacheka sana ila piga kaz bwana napenda Hujali wala nini

Келесі