Salama Na RIYAMA Ep 32 | UTAKWENDA UTARUDI Part 1
Ойын-сауық
#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Riyama Seleman Ally, malkia wa kazi aifanyayo na kila alitilialo msisitizo hulifanya kwa asilimia 100, hata kama akichelewa kama pengine alivyochelewa kupata heshima yake na malipo yake anayostahili, kama ambavyo anapata sasa au ambayo anapata maana safari bado ni ndefu. Na kwa mazungumzo haya nilofanya naye huo ndo muelekeo na ndo nia na madhumuni. Sote tunajua PENYE NIA PANA NJIA, so kazi ni kwetu.
Mzaliwa wa Unguja Tanzania, kakua katika familia ya kidini na malezi bora ila kwa mujibu wa maongezi yetu haya yeye alipenda zaidi kuwa muimbaji, kitu ambacho Mwenyezi Mungu mtoa vipaji hakumjaalia kipaji hicho na uzuri ni kwamba aligundua mapema na akafanya ustaarabu wa kutafuta kitu chengine cha kusogeza maisha yake.
Ule usemi wa Mungu anakupa unachostahili na sio unachotaka hapa umetulia mahala pake. Imagine kutoka kutaka kulazimisha kuwa Khadija Kopa (ndo muimbaji anayempenda zaidi) na kuwa mmoja wa wasanii wa filamu hodaaari kabisa hapa kwetu na kama SI NDIO MUIGIJAZI BORA WA KIKE WA FILAMU hapa Tanzania.
Heshima zangu za dhati zinaenda kwake kwa kukubali kuja kuongea nami na kunielezea kinaga ubaga juu ya ukuaji wake, maamuzi fulani fulani ambayo ashawahi kufanya maishani mwake. Elimu yake, alisoma? Shule ipi? Alikua mwanafunzi wa aina gani? Kuhusu familia? Ana mtoto? Na pia tulizungumzia filamu na maisha yake kama kioo cha jamii. Majibu yalikua mazuri na marefu na kwa hilo namshkuru sana yeye kwa kuweza kuja na kuongea nami huku mume wake mpendwa akiwa anamgojea kwenye parking lot.
Yangu matumaini uta enjoy maongezi haya kama nami nilivyo enjoy kuongea naye.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 271
Huyu mwanamke nampenda mpaka najishangaaaa hakika namuombeaga kilaa mala #riyama nakupenda dadaang😔😔😔
riyama mm nakupenda sana pia napenda unavyo ongea mashallha rafuzi mzuri pia watu wengi wananiambia nimefanana na ww natamani siku moja tuonane
Fungu la kukosa best movie ever! 🙌🙌🙌
Riyama nampenda jmn huyu dada anajua kuigiza mpk anakera awee anajua asee ila bongo move mnafeli wapi soko lenu linazidi kushuka kila siku pls mnatuangusha jmn tunawapenda mno
Hivi kwa majibu ya huyu dada Riyama una haja kumuuliza Elimu yake ??? Binafsi naridhika sana namna anavojibu
Salama muite shekhe mazingeeee
Nimechelewa ila nimefika kw wapendwa wngu ❤️❤️❤️💓💓🇰🇪
Kazi nzuri sana salama natamani siku moja na wew ukae upande wa kuhojiwa tukujue my sister i love
Salama you're number one kwenye interview, nampenda sana Da Riyama umefanya vizuri
Mama mateso best wife ,jamani, mm kiukweli nakukubali sana Rihama, wewe salama ndo hata usiseme, you the best man trust me
Na kupenda sana dada Riyama uko vizuri mama mungu akupe mutoto na mumeo..inshaa Allah..mupende mutoto wamumeo jombaraka may
Salama jamani nakupenda, miss you kwenye bongo star search na ile mikuki yako unayo choma watu ukweli kama hawajui kuimba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jamani I really miss such moments
Wallah Wabillah Da.Riyama huwa nakuiga unavyo ongea mpaka nimekuwa addicted ....na watu wanapenda ninavyo ongea hawachoki kunisikia
@khalidshabani7600
3 жыл бұрын
Yani I feel you namna ulivyotoa hizo hisia kutoka moyoni kabisa...
@firdausgreen1391
3 жыл бұрын
@@khalidshabani7600 kwenye kutoa hisia mie nipo vizuri hahahahhaha
@khalidshabani7600
3 жыл бұрын
Hahaaa... Nakubali yan I feel you... kutoka kwny uvungu wa moyo kabisa
Napenda Sana nyote hamukupaka makeup wala mawig inapendeza sana
@ilhamsalum6815
3 жыл бұрын
Ao ndo wazanzibar bwana
Kweli riyama fungu la kukosa ni film bora.from kenya
Nampenda Riyama saaaana pia napenda ndoa yake na bwana Riyoo 💝💝💝💝💝💝💕💕💕🤝
Love u much more Ryama Ally😘😘😘God bless u abundantly
Nakipendaa sana hiki kipindii....nakuenda sana salamaa unafanya kweli hatari
Honestly watu wengi wanafanya interview na celebrities ila salama ur giving us the best ur questions are interesting to me and many,ur the best....... love u riyama ur the girl am looking up to
@yusuphsaid8920
3 жыл бұрын
True
@anitakamene5073
3 жыл бұрын
True
@alipqasse9967
3 жыл бұрын
Ur correct zee
Safi ,Kiswahili safi. Mungu awabariki mnajielewa mpaka raha.
One day I will be there if Allah wishes on SalamaNa
Nilikuw naipend hyo fungu la kukosa, mama mateso
Riyama angejitahidi sasa nae akawa producerdirector wa swahili movies,miaka yake kwenye industry amefikia kua nae aongoze wenzie especially wanawake wenzie. Interview za Riyama hazichokeshi
Yaani dah! Riyama tunakupenda mno mungu akuhifadhi my dear
Riyama nakupenda
this is my best interview.
Nashukuru kwa kuleta riyama nimefurah sana
Mwamba MUSSA BANZI 🔥Long time snaa sjaskia ili jina
Nawapenda sana salama and riyama from
😂😂😂😂😂Leo komando ! Gonga like team komando
Mbio mpaka kwa fungu lakukosa 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Nakukubali sanaa
Nakupenda sana Riyama
Hupewi mtoto hospitali mpaka alie
Odo wangu riyama
Nampenda rihama walah kwanzia uigizaji mpaka uongeaji love u
Nafurahia sana interviews zako Salama, na kuna wakati nakuona wewe mwenyewe unazifurahia kabisa, Mungu akuzidishie
When pure talents meet,what you have seen is what just happened,beyond dopeness INTERVIEW
@burger53backyard18
3 жыл бұрын
Salama he is not man she is a girl
@saunakatauyanawausufanyeni9504
3 жыл бұрын
nakupendaga sana liama
Naipenda sana hio mama mateso
Nakupenda saana mashallah
Nakubari sana rihama
Thank you guys.. for inviting Riyama , she's a legend and very good entertainer we love her so much ...❤️💚💛
Nakupenda Sana pacha wangu
Tuletee na diamond
SALAMA INTERVIEW ZOTE AMEVAA BLACK ⚫ 🔥🔥🔥 Kama CASTO DICKSON na Vipensi Kwny SIZ KITAA
I love both of you,😍
Nice
Nawakubal sanaaaa
Riyama nakukubali sana
Assalam aleikum salama uko na sauti poa sana una umakinifu wa kuuliza maswali Mimi na kukubali sana
Heshima yako Dada salama tu naomba. Umuhoji inspector Haroon, . Juma nature, ferooz.
love u guys your the best
Nakupenda riyama Allah akuongoze
ninakukubali sana riyama ally
Nakupenda da salama
Nampenda uyu dada riama
Hongera lihama
Hata me xntokata tamaa ndoto yangu niingie kwenye tansinia ya filam naipenda ila mazingira ndiopo yananivunja nia Dada lyiama kaanzia mbali nimependa alivyo ingia hongera dada salute kwake
Salama mzurii
We dada nakupenda bure🥰🥰🥰 hvyo tyu
Sasa nyinyi wawili vile nawapenda buree na sana😍😍😍
Show haikuwa nzuri sana....tofauti na tulivyotegemea,, ingawa dada Tizama ni muigizaji nguli Lkn c mzuri katika Interview,ukilinganisha na wasanii wali wahi kufanya kipindi na salama... Kama vile Gabo, Monalisa, zilikuwa suspense,lkn hii ya Riyama haikuchapuka ukilinganisha na umaarufu wa Da Riama
Nakupenda riyama jaman
Jamani uyu riama namppendasana nitampata wap nnampenda kama mama angu
Nakupenda jamani unahekima sana ungechaguliwa mbunge au mkuu wawilaya unafaa kabisa
My lovely sister 😘❤️
Kiukwer nampenda sana jesika yaani nikiwa naangali salama afu nichelewe kumuona jesika yaan nalalamika mbka kwa baby wng namwambia baby jesika kachelewa kuleta chakula
Salama utuletee Dr. Kumbuka pls
Nimexhelewa sana jamani kukijuwa iki kipindi
Salama Huyu jamaa mi namkubali sanaa
I love salama bila sabb ♥️♥️♥️
🔥
umenifurahisha kwenye kuimba adi mimi napenda lkn pumzi sina😀
🔥..... Nakupenda mgeni
Salama na Dudu Baya
Sista yupo fact kabisa tena yupo vzr kabisa
Nice interview 👏🏻👏🏻👏🏻❤️love her
salama tunataka na ww
I love riyama....beutiful
Yani Salama unanichekesha sanaana daah
🙏🙏🙏😍
Salama umekamatika
Salama nimependa umebadilisha style yanywele, pendeza
Sura nzur rihama bila make up ww n mrembo👌
Hongera mama riyama
Hongera sana dada Riyama ...uko vizuri sana
Naomba nAmba ya da riyama
Nakupenda. Bure.mam
Salama na chidbenz
❤️❤️♥️❤️
tuleteeeni sabahi muchacho
Scola mpole nipo hapa
Eti Leo komando
Nimekupenda sana rihama
Sijawahi kucheka interview nakuoendaga sana riyama kwa kila hali
Mother of Bongo Movi👍👍👍❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👌👌👌nakupendaaaaaa Aunt Riahamaa nakupenda Sanaa mama na heshima zake
Leo Kiswahili Safi sana
Wazenji wamekutana
Nampenda Sana huyu dada
Nawapenda wazanzibari wanaustaarabu wa kuonea hasa kiswahili chao
@sgfdhaikuhusu6086
3 жыл бұрын
Ahsanteee nasi twakupenda
@hawaynatimam982
3 жыл бұрын
Shukrani karibu zanzibar
@veeJesus
3 жыл бұрын
Wabaguzi hao hatar usiombe
@dadasim2749
3 жыл бұрын
Tunakupenda 100%
@saidjuma9782
3 жыл бұрын
@@veeJesus.... Nani amekubagua wewe!!??