Salama Na Khadija Kopa Ep 9 | ALIYEPEWA KAPEWA Part 1
Ойын-сауық
#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Khadija Omar Kopa.
Malkia wa mipasho na lejendari wa muziki wa Taarab kwenye ukanda huu na duniani kwa ujumla, mwenyewe kaniambia yeye kwenda Arabuni na Ulaya ni jambo la kawaida tu kwake maana hayo kayaanza kuyafanya kitaaambo sana. Kitambo kweli naweza sema, mimi nimeanza kumfahamu Da Khadija toka kigori kabisa, na amekua hapo kwenye standard hiyo hiyo kwa miaka nenda na miaka rudi. Hii bila ya shaka imetokana na kwamba na yeye alianza kufanya hizo kazi akiwa bado msichana mbichi kabisa. Na ameweza kutuliza akili yake na ku maintain standard na status yake kwa miaka nenda miaka rudi kitu ambacho ni kigumu kwa mwanamke, tena kwa mwanamke wa visiwani ambako miongozo ya kidini ina mizizi kama ya mbuyu lakini ameweza kutunza heshima yake na kuonyesha kipaji chake huku akiwa na staha yake. Inabidi uwe na nguvu ya ziada kuweza kuwa na ujasiri wa aina hiyo.
Bila ya shaka alikua pia akipambana na mengi, pengine kukatishwa tamaa au hata vitisho ili aache kufanya alichokua anafanya kwa kutumia kipaji alichopewa na Mwenyezi Mungu lakini wapi, kwa mbwembwe za hali ya juu yeye ndo ameibuka kidedea kwenye vita hiyo na ndo maana heshima ya ulejendari inamhusu moja kwa moja Dada yangu huyu.
Wengine watasema pengine yeye si muimbaji wa taarab mwenye sauti nzuri zaidi ya flani na fulani, pengine kuna ukweli ndani yake, lakini je, hao wenye hizo sauti nzuri zaidi yake wako wapi? Je wana uwezo wa kucheza na kuringa jukwaani kama Khadija Kopa? Je wanajulikana kama yeye? Je wana ushirikiano na wana muziki wa kizazi kipya cha Bongo Flava na kutoa nao nyimbo zilizoshika chati ya juu? Je wana uwezo wa kuingiza Taarab yao kwenye matamasha ya muziki wa kizazi kipya na watu waka bang kama kawa? Mimi na wewe tunajua jibu.
Hii ni kwa ajili ya Dada yangu, fundi wa hizi kazi, tumpe heshima yake maana ‘Mpewa hapokonyeki, aliyepewa kapewa...’
Tafadhali Enjoy.
Love,
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 137
i love sister Khadija my mother used to listen on her music very much i wish her to live longer
Black beauty queen Khadija Kopa. Hajawahi kugusa rangi ya ngozi yake, siyo kama hawa wasanii wa sasa mikorogo magamba mwili mzima kama mburukenge. Salute you Bi Khadija Kopa.
Huyu mama yetu tunamupenda saana kwa heshima aliojijengea anajiheshimu saana bi ghadija kopa mimi ni fan wako natoka Mombasa naishi swiss
Daaah salama mm Naomba tu ukiwa unafanya production ya hiki kipindi niwe among yo team hata kuoanga vitu, meza behind camera. Nijitoleee kabisa nijinoe... Yo the best Tv present we ever,
Bi Khadija Kopa nakupenda sana, Mungu akupe umri mrefu InshaaAllah ❤️
@rehemaothman2200
3 жыл бұрын
Ameen
Mama mwenye kipaji chake. Nampenda sanaaaaaaa.
Salama MNASUBIRI NN KUMLETA CHIDI APA AAAH KWNZ CHIDI INTERVIEW YAK UKI UPLOAD HAIPUNGUI VIEWS 300K NASEMA IVY KWA SABABU ATAMIMI KZreadR LETEN CHIDI BENZ APA 🔥🔥🔥
Akhwan safaa.......(ndugu wependanao)
I started listening since i was a kid till date,she still rocks. Thank you for sharing your talent 🤗💝
Bravo Al Jabri Love U So Much
Legend good to see her still up and running keep on going Great soul
Akhwan means brothers and Safa means purity,serenity in short in Swahili purity means usafi serenity means utulivu in Swahili,basi tuamanishe ni ndugu watulivu very nice 👍
Leo Wazanzibari wamekutana
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
MashaAllah tabarakaAllah napenda Sana salama uko nature
One of our National Treasures. Tumuenzi kabla hajatuacha.
Salama you are very creative, I love you
Legendary, Kati wa wamama ninaowakubali, kiukweli bajeti ndio Mpango mzima mamake ❤️
Mama lao🙏🏻
Waambie Bi khadija, heshima ni kitu chako tu 👌
Beat🎺 tulivu mambo yetu wa mji mkongwe 🌴 🇧🇴 bless up sis Amani tu.
Nawapenda sana 🥰🥰🥰
Queen mwenyewe 👌👌👌🔥🔥🔥
Bi khadija mashallah
I love those bits salama
Salama more love 💕
Vizuri kusikiya Kiswahili safi. Beautiful
@aviwaomar439
4 жыл бұрын
Numependa kiswahili chenuu
Bi hadija kagoma kuzeekaa!!!....
@salumchande2702
4 жыл бұрын
Teh teh teh
@antybabybintrashid2333
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@jasminyiddysulaiman9807
3 жыл бұрын
😃😂😂😂😂
Nawapenda salama na bi khadija kopa. Kabisa
Alhamdullah mama k Love you
Salama unabusara sanaa nimependa kipindi cako
Marehem omar koppa alifariki march 2007.akiwa na umri wa miaka 26...cwez sahau hili tukio.
Mashalaa Zuchu kiboko, Mama mzaa chema
Mashallag
Jmn uyu mama kiukwel yupo vzr san yan kwanz binafc mm ninamkubali san kam unamkubal kam mm gonga like hap
🤣🤣🤣🤣😂 ukitak kufanya hujali maneno ya watu, hujengi zahanati ya kijiji😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@mwanahella9650
4 жыл бұрын
😂😂mama kasema simamia ndoto
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
Mercy Makundi hahaha
Bi khadija Anabuunno balaaa Mashallah
Good interview.... Tunaomba utuletee Jimmy mafufu dada salamaa
Mashallah
Salam plz interview Feza KESSY Zamaradi mketema Diamond platnumz Adam. Mchomvu Wema sepetu na faiza ally
@FM-xi3on
4 жыл бұрын
Wema sepetu hatumtaki
@akidasimba745
4 жыл бұрын
@@FM-xi3on hata yeye hakutaki
@mugheiry
4 жыл бұрын
akimaliza hapo akufanyie interview na wewe pia
Harudii nguo hyo sema anavaa black tu alafu ndio nzuri ata mm nimeipenda nyie mnaokuja ndio mjitutumue
Zuchu umepata mama.kapitia mengi.jifunze kupitia kwake.zuchu zuchu zuchu nakuita mara3 tc.we luv u mdgoangu 🥰🥰
Salama big up sis
Salama umenichekeshaa atachelewaa sana🤣🤣🤣
Baba mhimu kwenye family
Hongera
Mama!!
Napenda kipindi hiki
Da salama big up
Sallama Hodar sana anajua sana kazi yake.
Toka nakua uso wa mama yetu uko hivi hivi kuwa na baby face raha.
Nime I like hata kabla haijaanza
Uyo baba ako ashajivua jukumu kwa mungu mas_ula utakua n ww jiandae mama
@hajivuai3454
4 жыл бұрын
Naam maneno yako,sisi wanaume hatunaga mbwembwe
@abujuhaifah7461
4 жыл бұрын
Yah
@mohamedothman9769
4 жыл бұрын
Huyu anadhani yuko sahihi wakati elimu anayo. Allah amuongoze Inshaallah.
Tumekuelewa mama ila wakati ushakua mbali sana sasa,fanya urudi kwa Muungu haya yote tena achana nayo.
salama tunasubiri mama dangoti,umualikike Esma,zari,hamisa,wema,tanasha.
Mletee hamisa mobeto
Basi tosha rudi kwa mungu wako mdaa umeendaa
@monalisagian1834
4 жыл бұрын
Nowadays kuimba Ni Kama Kali .mungu ywaangalia matendo yako .
Mtafute chid benzi umfanyie interview hahahahaaaaa
@kisasarob751
4 жыл бұрын
Chid shda mzenguz sana...hachelew kutoa mamb hayaeleweki
@oyay2821
4 жыл бұрын
Teja hawezi jibu maswali vizuri
@noxlosingida2369
4 жыл бұрын
@@oyay2821 Chid yupo vizuri sana kujibu maswali ana kuzidi hata wewe ambae sio teja
@gladnesskimati
4 жыл бұрын
Hili swala nililiwaza pia😂
@abduljvo5549
4 жыл бұрын
@@noxlosingida2369 great reply
Hongera sana kipindi kizuri sana kupita maelezo. Its a shame hakirushwi kwenye Tv sio wote wanaocheki KZread. I hope soon kitakuwa kwenye Television. Big up Salama jabir.
@kurthoomibrahim821
4 жыл бұрын
Inaoneshwa eatv siku ya alhamis saa3 usiku
Mama laoooo. @mama zuchu
Bi khadija anatumia dawa gani ya kutokuzeeka jmn ☺️
@nadhraabdulaziz9193
3 жыл бұрын
Kuna interview alisemaanakunywa maji mengi mazoezi halafu anaogea sabuni zile za asili na hatumii macream na anakula matunda mengi alisema ivo
Mtazamo wangu ni muda muafaka Sasa salama afundishe kwenye chuo kutangaza coz Wana habari siku hizi ni baridi Sana hawana jipya,wanaigana tu.
@abduljvo5549
4 жыл бұрын
Yasser Abubakar umewaza vizur sana, they need to learn from the best kama wanahitaji kufika mbali.
ila uyu bbi salama kakupenda ajakujibu mbovu mkpa mwisho
Ikhwan swafaa..safu ya ndugu....
Kidumbaki ni nzuri sana
Nampenda huyu mama kwa misemo yake jamani,, huna haya kama kibakuli cha pumba,
Ikifikia wakati wa kumleta sepetu,, naomba utuambie mapema tuandae dictionary.....
@jinaanhkareem3650
3 жыл бұрын
Hahaaa
Kopa-hatari
Hahahaha salama ati adabu kwenye pesa
Mama laooo
tuletee hamisa mobeto🌚🌚
Omary kopa alikurithi na alikuwa anaimba kwel kwel. Rip omary kopa
@othumanlorenzo260
4 жыл бұрын
Alikuwa anajua sema alikuwa mpunga wa wazi kabisa kabisa
@ibraimoissiaca6058
3 жыл бұрын
@@othumanlorenzo260 mpunga wa waz .sijaelewa?
Siumwache khadija anyweiyo juice kidogo umempa glass ya juice na umpi nafas yakunywa
Naelewa kaz yako
Hujengi zahanati yakijiji 😂😂😂😍😍
@jumamuhando2504
3 жыл бұрын
Nhehehe nawe umepaskia kumbe hapo
Twamtaka wema sepetu
Omary alikuwa na sauti kama Mama yake Hadija
Maana ya Ahwani safaa maana yake Ndugu wapendanao
Mama Z ////nipe chance ya kuwa na Mama ketu Zuchu jaman Ee
Omar kopa amekufa 26/3/2007
Salama mzm mm nataka ufanyiwe wewe mahujiano
Kwan Dasalama nguo hizohzo kila interview kwanini??
@latriciah01augustino67
4 жыл бұрын
Nguo anabadili😄 nadhani kaamua iwe black tu angalia Interview zilizopita itaona tofaut na kuna nyingine alivaa hood lakin nyeusi😊
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
Mamus mama Anapenda kuvaa nguo nyeusi harudii nguo na akirudia c kwenye kipindi
@husnastylist5134
4 жыл бұрын
Its called branding
What is the language they talk? Looks interesting.
@rosesamwelitenga4648
4 жыл бұрын
It's swahili language
@leenta4834
4 жыл бұрын
Rhoda Richard Thanks 🙏🏻
@rosesamwelitenga4648
4 жыл бұрын
@@leenta4834 welcome again,,
@veeJesus
4 жыл бұрын
Where are from
@leenta4834
4 жыл бұрын
Veila Onesmo Do you mean me? Or the people in the video? If you mean me I’m from Saudi Arabia but I don’t know where are the people from.🌷
Mtafute diamondi umfanyie interview itanoga mno
@frankassey5971
4 жыл бұрын
tumemchoka hana jipya 😂
Omar alifariki 2004 or 2005
@1stladyafrica402
3 жыл бұрын
2007
Mcheni unamtoa mtu jela
@naynavitalis262
4 жыл бұрын
😂😂😂
@akidasimba745
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Salama anaumri gani ?
Rangi ya nywele zako salama na style mbaya..inaonekana kma umejitwika Pamba🤔🤔
Dar ndio bara?
@gloriammasi5607
4 жыл бұрын
Yes
@abujuhaifah7461
4 жыл бұрын
Dar ndio tanganyika
nyengine iko wapi???