Salama Na Khadija Kopa Ep 9 | ALIYEPEWA KAPEWA Part 1

Ойын-сауық

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru‬
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Khadija Omar Kopa.
Malkia wa mipasho na lejendari wa muziki wa Taarab kwenye ukanda huu na duniani kwa ujumla, mwenyewe kaniambia yeye kwenda Arabuni na Ulaya ni jambo la kawaida tu kwake maana hayo kayaanza kuyafanya kitaaambo sana. Kitambo kweli naweza sema, mimi nimeanza kumfahamu Da Khadija toka kigori kabisa, na amekua hapo kwenye standard hiyo hiyo kwa miaka nenda na miaka rudi. Hii bila ya shaka imetokana na kwamba na yeye alianza kufanya hizo kazi akiwa bado msichana mbichi kabisa. Na ameweza kutuliza akili yake na ku maintain standard na status yake kwa miaka nenda miaka rudi kitu ambacho ni kigumu kwa mwanamke, tena kwa mwanamke wa visiwani ambako miongozo ya kidini ina mizizi kama ya mbuyu lakini ameweza kutunza heshima yake na kuonyesha kipaji chake huku akiwa na staha yake. Inabidi uwe na nguvu ya ziada kuweza kuwa na ujasiri wa aina hiyo.
Bila ya shaka alikua pia akipambana na mengi, pengine kukatishwa tamaa au hata vitisho ili aache kufanya alichokua anafanya kwa kutumia kipaji alichopewa na Mwenyezi Mungu lakini wapi, kwa mbwembwe za hali ya juu yeye ndo ameibuka kidedea kwenye vita hiyo na ndo maana heshima ya ulejendari inamhusu moja kwa moja Dada yangu huyu.
Wengine watasema pengine yeye si muimbaji wa taarab mwenye sauti nzuri zaidi ya flani na fulani, pengine kuna ukweli ndani yake, lakini je, hao wenye hizo sauti nzuri zaidi yake wako wapi? Je wana uwezo wa kucheza na kuringa jukwaani kama Khadija Kopa? Je wanajulikana kama yeye? Je wana ushirikiano na wana muziki wa kizazi kipya cha Bongo Flava na kutoa nao nyimbo zilizoshika chati ya juu? Je wana uwezo wa kuingiza Taarab yao kwenye matamasha ya muziki wa kizazi kipya na watu waka bang kama kawa? Mimi na wewe tunajua jibu.
Hii ni kwa ajili ya Dada yangu, fundi wa hizi kazi, tumpe heshima yake maana ‘Mpewa hapokonyeki, aliyepewa kapewa...’
Tafadhali Enjoy.
Love,
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 137

  • @GivenTobago
    @GivenTobago Жыл бұрын

    i love sister Khadija my mother used to listen on her music very much i wish her to live longer

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert94894 жыл бұрын

    Black beauty queen Khadija Kopa. Hajawahi kugusa rangi ya ngozi yake, siyo kama hawa wasanii wa sasa mikorogo magamba mwili mzima kama mburukenge. Salute you Bi Khadija Kopa.

  • @josphinedarani6203
    @josphinedarani62034 жыл бұрын

    Huyu mama yetu tunamupenda saana kwa heshima aliojijengea anajiheshimu saana bi ghadija kopa mimi ni fan wako natoka Mombasa naishi swiss

  • @annakattoa7502
    @annakattoa75024 жыл бұрын

    Daaah salama mm Naomba tu ukiwa unafanya production ya hiki kipindi niwe among yo team hata kuoanga vitu, meza behind camera. Nijitoleee kabisa nijinoe... Yo the best Tv present we ever,

  • @hanifakimaro2179
    @hanifakimaro21794 жыл бұрын

    Bi Khadija Kopa nakupenda sana, Mungu akupe umri mrefu InshaaAllah ❤️

  • @rehemaothman2200

    @rehemaothman2200

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @ngulowitness171
    @ngulowitness1714 жыл бұрын

    Mama mwenye kipaji chake. Nampenda sanaaaaaaa.

  • @Yessjamal
    @Yessjamal4 жыл бұрын

    Salama MNASUBIRI NN KUMLETA CHIDI APA AAAH KWNZ CHIDI INTERVIEW YAK UKI UPLOAD HAIPUNGUI VIEWS 300K NASEMA IVY KWA SABABU ATAMIMI KZreadR LETEN CHIDI BENZ APA 🔥🔥🔥

  • @minnahhers7437
    @minnahhers7437 Жыл бұрын

    Akhwan safaa.......(ndugu wependanao)

  • @wairimumosha9655
    @wairimumosha96552 жыл бұрын

    I started listening since i was a kid till date,she still rocks. Thank you for sharing your talent 🤗💝

  • @abdulkhalim5564
    @abdulkhalim55644 жыл бұрын

    Bravo Al Jabri Love U So Much

  • @serahchava8469
    @serahchava84693 жыл бұрын

    Legend good to see her still up and running keep on going Great soul

  • @nooromar6233
    @nooromar62334 жыл бұрын

    Akhwan means brothers and Safa means purity,serenity in short in Swahili purity means usafi serenity means utulivu in Swahili,basi tuamanishe ni ndugu watulivu very nice 👍

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy4 жыл бұрын

    Leo Wazanzibari wamekutana

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    3 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi53314 жыл бұрын

    MashaAllah tabarakaAllah napenda Sana salama uko nature

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto72123 жыл бұрын

    One of our National Treasures. Tumuenzi kabla hajatuacha.

  • @salumchande2702
    @salumchande27024 жыл бұрын

    Salama you are very creative, I love you

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Legendary, Kati wa wamama ninaowakubali, kiukweli bajeti ndio Mpango mzima mamake ❤️

  • @a.856
    @a.8564 жыл бұрын

    Mama lao🙏🏻

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63654 жыл бұрын

    Waambie Bi khadija, heshima ni kitu chako tu 👌

  • @feifei9620
    @feifei96204 жыл бұрын

    Beat🎺 tulivu mambo yetu wa mji mkongwe 🌴 🇧🇴 bless up sis Amani tu.

  • @samirarashid8186
    @samirarashid81864 жыл бұрын

    Nawapenda sana 🥰🥰🥰

  • @faizadulla8663
    @faizadulla86634 жыл бұрын

    Queen mwenyewe 👌👌👌🔥🔥🔥

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie74434 жыл бұрын

    Bi khadija mashallah

  • @yassirashur1934
    @yassirashur19343 жыл бұрын

    I love those bits salama

  • @e.jacobi3330
    @e.jacobi33304 жыл бұрын

    Salama more love 💕

  • @karthala6676
    @karthala66764 жыл бұрын

    Vizuri kusikiya Kiswahili safi. Beautiful

  • @aviwaomar439

    @aviwaomar439

    4 жыл бұрын

    Numependa kiswahili chenuu

  • @mercymakundi3582
    @mercymakundi35824 жыл бұрын

    Bi hadija kagoma kuzeekaa!!!....

  • @salumchande2702

    @salumchande2702

    4 жыл бұрын

    Teh teh teh

  • @antybabybintrashid2333

    @antybabybintrashid2333

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @jasminyiddysulaiman9807

    @jasminyiddysulaiman9807

    3 жыл бұрын

    😃😂😂😂😂

  • @yemamaulidi4969
    @yemamaulidi49693 жыл бұрын

    Nawapenda salama na bi khadija kopa. Kabisa

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima38474 жыл бұрын

    Alhamdullah mama k Love you

  • @happyfamilly1049
    @happyfamilly10494 жыл бұрын

    Salama unabusara sanaa nimependa kipindi cako

  • @maidasaid9449
    @maidasaid94494 жыл бұрын

    Marehem omar koppa alifariki march 2007.akiwa na umri wa miaka 26...cwez sahau hili tukio.

  • @vanessastafford5120
    @vanessastafford51204 жыл бұрын

    Mashalaa Zuchu kiboko, Mama mzaa chema

  • @khamissshaban4016
    @khamissshaban40164 жыл бұрын

    Mashallag

  • @mossisilima2309
    @mossisilima23094 жыл бұрын

    Jmn uyu mama kiukwel yupo vzr san yan kwanz binafc mm ninamkubali san kam unamkubal kam mm gonga like hap

  • @mercymakundi3582
    @mercymakundi35824 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣😂 ukitak kufanya hujali maneno ya watu, hujengi zahanati ya kijiji😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @mwanahella9650

    @mwanahella9650

    4 жыл бұрын

    😂😂mama kasema simamia ndoto

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    4 жыл бұрын

    Mercy Makundi hahaha

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper57654 жыл бұрын

    Bi khadija Anabuunno balaaa Mashallah

  • @edinamkubwa2629
    @edinamkubwa262910 ай бұрын

    Good interview.... Tunaomba utuletee Jimmy mafufu dada salamaa

  • @shadyaalhabsi7996
    @shadyaalhabsi79964 жыл бұрын

    Mashallah

  • @wedream7506
    @wedream75064 жыл бұрын

    Salam plz interview Feza KESSY Zamaradi mketema Diamond platnumz Adam. Mchomvu Wema sepetu na faiza ally

  • @FM-xi3on

    @FM-xi3on

    4 жыл бұрын

    Wema sepetu hatumtaki

  • @akidasimba745

    @akidasimba745

    4 жыл бұрын

    @@FM-xi3on hata yeye hakutaki

  • @mugheiry

    @mugheiry

    4 жыл бұрын

    akimaliza hapo akufanyie interview na wewe pia

  • @antidiusmachusi3775
    @antidiusmachusi37754 жыл бұрын

    Harudii nguo hyo sema anavaa black tu alafu ndio nzuri ata mm nimeipenda nyie mnaokuja ndio mjitutumue

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu70394 жыл бұрын

    Zuchu umepata mama.kapitia mengi.jifunze kupitia kwake.zuchu zuchu zuchu nakuita mara3 tc.we luv u mdgoangu 🥰🥰

  • @keyla3641
    @keyla36414 жыл бұрын

    Salama big up sis

  • @zainababdullsadik1247
    @zainababdullsadik12474 жыл бұрын

    Salama umenichekeshaa atachelewaa sana🤣🤣🤣

  • @MrMasterMathew
    @MrMasterMathew3 жыл бұрын

    Baba mhimu kwenye family

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman22003 жыл бұрын

    Hongera

  • @mjukuuwanyerere1626
    @mjukuuwanyerere16264 жыл бұрын

    Mama!!

  • @minaelyfrenck-qq9ih
    @minaelyfrenck-qq9ih Жыл бұрын

    Napenda kipindi hiki

  • @naziakijangwa983
    @naziakijangwa983 Жыл бұрын

    Da salama big up

  • @asmahussein2779
    @asmahussein27792 жыл бұрын

    Sallama Hodar sana anajua sana kazi yake.

  • @funnyvideosandvichekesho.1862
    @funnyvideosandvichekesho.18624 жыл бұрын

    Toka nakua uso wa mama yetu uko hivi hivi kuwa na baby face raha.

  • @johnsteven6467
    @johnsteven64674 жыл бұрын

    Nime I like hata kabla haijaanza

  • @zuwenamasoud8624
    @zuwenamasoud86244 жыл бұрын

    Uyo baba ako ashajivua jukumu kwa mungu mas_ula utakua n ww jiandae mama

  • @hajivuai3454

    @hajivuai3454

    4 жыл бұрын

    Naam maneno yako,sisi wanaume hatunaga mbwembwe

  • @abujuhaifah7461

    @abujuhaifah7461

    4 жыл бұрын

    Yah

  • @mohamedothman9769

    @mohamedothman9769

    4 жыл бұрын

    Huyu anadhani yuko sahihi wakati elimu anayo. Allah amuongoze Inshaallah.

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 Жыл бұрын

    Tumekuelewa mama ila wakati ushakua mbali sana sasa,fanya urudi kwa Muungu haya yote tena achana nayo.

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes31614 жыл бұрын

    salama tunasubiri mama dangoti,umualikike Esma,zari,hamisa,wema,tanasha.

  • @salumhemed3699
    @salumhemed36993 жыл бұрын

    Mletee hamisa mobeto

  • @hawaasaidi2246
    @hawaasaidi22464 жыл бұрын

    Basi tosha rudi kwa mungu wako mdaa umeendaa

  • @monalisagian1834

    @monalisagian1834

    4 жыл бұрын

    Nowadays kuimba Ni Kama Kali .mungu ywaangalia matendo yako .

  • @esterdoriye4304
    @esterdoriye43044 жыл бұрын

    Mtafute chid benzi umfanyie interview hahahahaaaaa

  • @kisasarob751

    @kisasarob751

    4 жыл бұрын

    Chid shda mzenguz sana...hachelew kutoa mamb hayaeleweki

  • @oyay2821

    @oyay2821

    4 жыл бұрын

    Teja hawezi jibu maswali vizuri

  • @noxlosingida2369

    @noxlosingida2369

    4 жыл бұрын

    @@oyay2821 Chid yupo vizuri sana kujibu maswali ana kuzidi hata wewe ambae sio teja

  • @gladnesskimati

    @gladnesskimati

    4 жыл бұрын

    Hili swala nililiwaza pia😂

  • @abduljvo5549

    @abduljvo5549

    4 жыл бұрын

    @@noxlosingida2369 great reply

  • @mahirawadh5863
    @mahirawadh58634 жыл бұрын

    Hongera sana kipindi kizuri sana kupita maelezo. Its a shame hakirushwi kwenye Tv sio wote wanaocheki KZread. I hope soon kitakuwa kwenye Television. Big up Salama jabir.

  • @kurthoomibrahim821

    @kurthoomibrahim821

    4 жыл бұрын

    Inaoneshwa eatv siku ya alhamis saa3 usiku

  • @neemalister1677
    @neemalister16774 жыл бұрын

    Mama laoooo. @mama zuchu

  • @beautymasatu1200
    @beautymasatu12004 жыл бұрын

    Bi khadija anatumia dawa gani ya kutokuzeeka jmn ☺️

  • @nadhraabdulaziz9193

    @nadhraabdulaziz9193

    3 жыл бұрын

    Kuna interview alisemaanakunywa maji mengi mazoezi halafu anaogea sabuni zile za asili na hatumii macream na anakula matunda mengi alisema ivo

  • @yasserabubakar6167
    @yasserabubakar61674 жыл бұрын

    Mtazamo wangu ni muda muafaka Sasa salama afundishe kwenye chuo kutangaza coz Wana habari siku hizi ni baridi Sana hawana jipya,wanaigana tu.

  • @abduljvo5549

    @abduljvo5549

    4 жыл бұрын

    Yasser Abubakar umewaza vizur sana, they need to learn from the best kama wanahitaji kufika mbali.

  • @mmn7480
    @mmn7480 Жыл бұрын

    ila uyu bbi salama kakupenda ajakujibu mbovu mkpa mwisho

  • @abedkarume9088
    @abedkarume90883 жыл бұрын

    Ikhwan swafaa..safu ya ndugu....

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Жыл бұрын

    Kidumbaki ni nzuri sana

  • @christopheritambo1315
    @christopheritambo1315 Жыл бұрын

    Nampenda huyu mama kwa misemo yake jamani,, huna haya kama kibakuli cha pumba,

  • @tinosvinci3076
    @tinosvinci30764 жыл бұрын

    Ikifikia wakati wa kumleta sepetu,, naomba utuambie mapema tuandae dictionary.....

  • @jinaanhkareem3650

    @jinaanhkareem3650

    3 жыл бұрын

    Hahaaa

  • @thabitkhamis7596
    @thabitkhamis75963 жыл бұрын

    Kopa-hatari

  • @antybabybintrashid2333
    @antybabybintrashid23334 жыл бұрын

    Hahahaha salama ati adabu kwenye pesa

  • @alibell5246
    @alibell52463 жыл бұрын

    Mama laooo

  • @rashidrajab4878
    @rashidrajab48784 жыл бұрын

    tuletee hamisa mobeto🌚🌚

  • @NonoNono-qp3zu
    @NonoNono-qp3zu4 жыл бұрын

    Omary kopa alikurithi na alikuwa anaimba kwel kwel. Rip omary kopa

  • @othumanlorenzo260

    @othumanlorenzo260

    4 жыл бұрын

    Alikuwa anajua sema alikuwa mpunga wa wazi kabisa kabisa

  • @ibraimoissiaca6058

    @ibraimoissiaca6058

    3 жыл бұрын

    @@othumanlorenzo260 mpunga wa waz .sijaelewa?

  • @mwanampotevu5442
    @mwanampotevu54423 жыл бұрын

    Siumwache khadija anyweiyo juice kidogo umempa glass ya juice na umpi nafas yakunywa

  • @hassanmzee1807
    @hassanmzee18074 жыл бұрын

    Naelewa kaz yako

  • @hanifaally4694
    @hanifaally46943 жыл бұрын

    Hujengi zahanati yakijiji 😂😂😂😍😍

  • @jumamuhando2504

    @jumamuhando2504

    3 жыл бұрын

    Nhehehe nawe umepaskia kumbe hapo

  • @anitakamene5073
    @anitakamene50734 жыл бұрын

    Twamtaka wema sepetu

  • @fridanyoni2867
    @fridanyoni28672 жыл бұрын

    Omary alikuwa na sauti kama Mama yake Hadija

  • @arafamohamed4442
    @arafamohamed44423 жыл бұрын

    Maana ya Ahwani safaa maana yake Ndugu wapendanao

  • @amaahtheoo8639
    @amaahtheoo86393 жыл бұрын

    Mama Z ////nipe chance ya kuwa na Mama ketu Zuchu jaman Ee

  • @ilhamhabuba5241
    @ilhamhabuba52413 жыл бұрын

    Omar kopa amekufa 26/3/2007

  • @salmasimba5572
    @salmasimba5572 Жыл бұрын

    Salama mzm mm nataka ufanyiwe wewe mahujiano

  • @mamusmama2882
    @mamusmama28824 жыл бұрын

    Kwan Dasalama nguo hizohzo kila interview kwanini??

  • @latriciah01augustino67

    @latriciah01augustino67

    4 жыл бұрын

    Nguo anabadili😄 nadhani kaamua iwe black tu angalia Interview zilizopita itaona tofaut na kuna nyingine alivaa hood lakin nyeusi😊

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    4 жыл бұрын

    Mamus mama Anapenda kuvaa nguo nyeusi harudii nguo na akirudia c kwenye kipindi

  • @husnastylist5134

    @husnastylist5134

    4 жыл бұрын

    Its called branding

  • @leenta4834
    @leenta48344 жыл бұрын

    What is the language they talk? Looks interesting.

  • @rosesamwelitenga4648

    @rosesamwelitenga4648

    4 жыл бұрын

    It's swahili language

  • @leenta4834

    @leenta4834

    4 жыл бұрын

    Rhoda Richard Thanks 🙏🏻

  • @rosesamwelitenga4648

    @rosesamwelitenga4648

    4 жыл бұрын

    @@leenta4834 welcome again,,

  • @veeJesus

    @veeJesus

    4 жыл бұрын

    Where are from

  • @leenta4834

    @leenta4834

    4 жыл бұрын

    Veila Onesmo Do you mean me? Or the people in the video? If you mean me I’m from Saudi Arabia but I don’t know where are the people from.🌷

  • @sambayoo6441
    @sambayoo64414 жыл бұрын

    Mtafute diamondi umfanyie interview itanoga mno

  • @frankassey5971

    @frankassey5971

    4 жыл бұрын

    tumemchoka hana jipya 😂

  • @hadijagere
    @hadijagere4 жыл бұрын

    Omar alifariki 2004 or 2005

  • @1stladyafrica402

    @1stladyafrica402

    3 жыл бұрын

    2007

  • @oyay2821
    @oyay28214 жыл бұрын

    Mcheni unamtoa mtu jela

  • @naynavitalis262

    @naynavitalis262

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @akidasimba745

    @akidasimba745

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @meedaafarai9677
    @meedaafarai96774 жыл бұрын

    Salama anaumri gani ?

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity45033 жыл бұрын

    Rangi ya nywele zako salama na style mbaya..inaonekana kma umejitwika Pamba🤔🤔

  • @MrsMabusu
    @MrsMabusu4 жыл бұрын

    Dar ndio bara?

  • @gloriammasi5607

    @gloriammasi5607

    4 жыл бұрын

    Yes

  • @abujuhaifah7461

    @abujuhaifah7461

    4 жыл бұрын

    Dar ndio tanganyika

  • @zuberysmohamed4851
    @zuberysmohamed48514 жыл бұрын

    nyengine iko wapi???

Келесі