"Siwezi kumsamehe Khadija Kopa hata Nikifa": Kaptaini Temba

Ойын-сауық

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 198

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika74776 жыл бұрын

    waaa mwanamke jeuri ni nyimbo nzuri kumbe katunga mtt wa watu...walah c vyema

  • @khadijaomar2723

    @khadijaomar2723

    4 жыл бұрын

    Sana

  • @salmadashlaquimanelaquiman4427
    @salmadashlaquimanelaquiman44276 жыл бұрын

    We dida sababu sio pesa yako mma khadija lipa pesa wajifedheesha

  • @sultanmganzira4388
    @sultanmganzira43886 жыл бұрын

    Temba upo vizuri sana

  • @ajuayekilendirewxaqefo2525

    @ajuayekilendirewxaqefo2525

    6 жыл бұрын

    mtangazaji anabusara

  • @hajistshariast6335
    @hajistshariast63356 жыл бұрын

    Dida Unaweza Mshahara Wako ukausamehee Miezi Mitatu

  • @fatumatunu2208
    @fatumatunu22086 жыл бұрын

    Pole kka.dhulma.dhulmathi.umall kiama

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael79355 жыл бұрын

    pole Temba inauma sana mtu kutokulipa hela yako .mimi ni mwathilika wa kutokulipwa haki zang hata mtu akikopa huwa harudishi hela yangu yaani imepelekea huwa ckopeshi mtu hela yangu.hata nikimfanyia mtu kazi kulipwa ni shida huwa nabaki na kushangaa tu na kulia kumwomba Mungu aniepushe na balaa hili

  • @mwaijaramadhani6662
    @mwaijaramadhani66626 жыл бұрын

    Nimekupenda ni muwazi

  • @nufailmohamed4408

    @nufailmohamed4408

    6 жыл бұрын

    Mwaija Ramadhani jaman mpeni pesa zake nakupenda temba wewe ni muwaz nakupenda sana temba kama auna mke nitafute niko tayar kuwa naww my no +96871834535 nimechoka kuvumilia❤❤❤❤ nimetoa la moyoni

  • @MaryA-yf4cq
    @MaryA-yf4cq6 жыл бұрын

    Huyu kijana Temba ana maneno mazuri yenye busara. Na ni mvumilivu sana. Mungu akuzidishie akili yako Captain Temba uzidi kua na mvumilivu. Ahadi ni deni na haki ya mtu hailiki. Mpeni pesa zake.

  • @maryamali9229
    @maryamali92294 жыл бұрын

    Bi khadija lipa deni sio vizuri

  • @salmaabed8579
    @salmaabed85796 жыл бұрын

    uko sawa temba

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421
    @khadijahomankweliyamjahaya74215 жыл бұрын

    Hahahahaha wallaah mm khadija mlipe huyu kijana ........ maneno makali sana mungu atakuhukumu mlipe

  • @mzizirashid709
    @mzizirashid7096 жыл бұрын

    Pole kaka mungu akusimamie

  • @TheSalma1999
    @TheSalma19995 жыл бұрын

    Da pole Kaka bongo bahati mbaya kweli unatunga wimbo bure bure dah

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni42586 жыл бұрын

    🙆🏾Subhanallah

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e6 жыл бұрын

    Nakukubali broo. Umesema kweli. Mungu hulipa kwa njia yake.wee msamehe.

  • @antonywilliama2868

    @antonywilliama2868

    Жыл бұрын

    kwani ww ni mungu

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he6 жыл бұрын

    Waooo temba unajuwa kusema sana ungekuwa loya mashalah akunjuwe mpaka amlipe

  • @subirachuttar6490
    @subirachuttar64906 жыл бұрын

    Ila Temba uko vizuri ktk kujibu maswali aisee!!!

  • @merinamichael8014

    @merinamichael8014

    5 жыл бұрын

    Mama lipa deni

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br4 жыл бұрын

    Khadija kumbuuka mungu nihatari dada haki yamtu nisumu dada

  • @aldanaudana2633
    @aldanaudana26336 жыл бұрын

    Mtangaaji uko sawa wedada Alla akuzidishie

  • @zubedasaid5962
    @zubedasaid59626 жыл бұрын

    Uhalisia wa kuitwa KOPA ni tabia yake ya kukopakopa, i know her very well wakati tupo umoja wa vijanza Zanzibar kabla hajawa muimbaji wa tarab..

  • @lilyisma2292
    @lilyisma22926 жыл бұрын

    Duh hataree dhuluma si nzur jaman

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma16 жыл бұрын

    Jamaa ana maneno jamani. Mswahili wa wapi huyu kha! Kiswahili kitamu sana.

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    k chezea watu wataarabu mwa maneno hatari

  • @aminamuhamad897
    @aminamuhamad8976 жыл бұрын

    khadija kopa ujue ahera hakuna pesa kuna bakora kwenda mbele

  • @malackmgalla2838

    @malackmgalla2838

    6 жыл бұрын

    Amina Muhamad

  • @alkindy1651

    @alkindy1651

    6 жыл бұрын

    Swadaktah

  • @antoineakimanayase5996

    @antoineakimanayase5996

    6 жыл бұрын

    Amina Muhamad kwani anadai shilingi ngapi huyo Kaka? Nipe namba yake nimpe hiyo laki 2 na nusu? Mie bi Kopa nampenda sana kwa nyimbo zake

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    Amina Muhamad 😁😁😁asisahau na marungu

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    Antoine Akimanayase utamlipia mpaka lini mbona niwengi wanao mdai mama dhulumati haogopi kamfanya mungu mjomba wake

  • @wlkmwlkm2912
    @wlkmwlkm29126 жыл бұрын

    Mungu anasemehe basi naww samehe 2

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96796 жыл бұрын

    Umeongea ukweli Kaptain Temba dawa ya deni nikulipa, Maneno yako ya gusa kweli Duuh mpaka kiama bila msamaha.Atalipa ln shaa Allah.

  • @mashmashmkeyenge9210
    @mashmashmkeyenge92106 жыл бұрын

    Big up Temba

  • @anifamapunda2640

    @anifamapunda2640

    6 жыл бұрын

    mashmash mkeyenge ooh

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta43606 жыл бұрын

    khadija kopa unadhambi kwa ili sio vizuri snaa pole kka

  • @zahramunir8596
    @zahramunir85966 жыл бұрын

    True...umechoka kudai sawa ulivofanya.! hiyo haki yako lzm akulipe..

  • @rehemadeli8896

    @rehemadeli8896

    4 жыл бұрын

    Alipwe Huyo mkk ety hkadija

  • @aldanaudana2633
    @aldanaudana26336 жыл бұрын

    Mna imani na sio mafisadi mashallah

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan13656 жыл бұрын

    Dah! Bi khadijakopa lipa mamy

  • @shaabanmusa5127

    @shaabanmusa5127

    6 жыл бұрын

    Saumu Hassan Tuchange tumlipie 😀😁😁😂

  • @Basagamp4
    @Basagamp46 жыл бұрын

    Pole Kaptein

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he6 жыл бұрын

    Akulipe hela zako kabisa

  • @justusn.timothy3587
    @justusn.timothy35876 жыл бұрын

    Kopa anafanya "season" movie. Na hii ni aina ya kutengeza ajira kwa blogers.

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus72556 жыл бұрын

    Jamani nina taarifa. Huo ndio mwanzo wa fedheha na majuto kwa Bi Hadija. MZEE YUSUF alitoka huko mapemaaaaa na kastirika. Bi Hadija hebu mrudie ALLAH, muziki ni HARAAM

  • @asiahmariam3942
    @asiahmariam39426 жыл бұрын

    Mmmh bibie mlipe kijana pesa yake amekataa hato kusameh mbele ya mungu utaangamia

  • @faridahangedo5554
    @faridahangedo55545 жыл бұрын

    Hataarrr

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he6 жыл бұрын

    Kweli akulipe pesa zako anazo pesa

  • @salumanadsalumanad5900
    @salumanadsalumanad59005 жыл бұрын

    adija ripa deni sio vizuri

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xoАй бұрын

    Doh,maisha Yana mambo mengi sana jamani

  • @jonaselias7729
    @jonaselias77296 жыл бұрын

    hee....

  • @saudahassan6667
    @saudahassan66672 жыл бұрын

    Dah didaaa aisee hapa ulizeekaa jaman wasafiiii wanaela dah

  • @bridgitakinyi3597
    @bridgitakinyi35975 жыл бұрын

    Siamini huyu kijana mdogo nyimbo nne alitunga ya kwanza hakulipwa ya pili hadi ya nne,,,muache kuhukumu Khadija ni Mungu pekee ana haki ya kuhukumu ,,,,waletwe wote waekwe waseme wote

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Жыл бұрын

    Hii

  • @rukyakimolo2947
    @rukyakimolo29476 жыл бұрын

    e mungu msaidie hadija alipe deni lake

  • @gracerosi6179
    @gracerosi61796 жыл бұрын

    Staa nzima iv huakwann matajir hua wanapenda kuzurumu maskini kijana anafanya kz halipwi atatoboa vp? Wabaya watu

  • @reginakibona9052
    @reginakibona90526 жыл бұрын

    TEMBA nikopeda tuu maneo yakoo jamani

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale6 жыл бұрын

    If God can forgive us why can we forgive one another....?????

  • @asuntaasunta4204
    @asuntaasunta42046 жыл бұрын

    lipa we mama

  • @jacquethomasgal7227
    @jacquethomasgal72276 жыл бұрын

    Dawa ya deni kulipa jamani kijana anajituma kwa bidii haki yke apewe pliiz na sio tafadhali lipa deni mlitaka awe shoga ndio mumsimange kaamua kujituma kihalali mlipeni

  • @antoineakimanayase5996

    @antoineakimanayase5996

    6 жыл бұрын

    Jacquethomas Gal naam

  • @gracerosi6179

    @gracerosi6179

    6 жыл бұрын

    Jacquethomas Gal alipwe jaman

  • @TheSalma1999
    @TheSalma19995 жыл бұрын

    Dah khadija kopa ulichokifanya si kitendo cha kistaarabu wewe ni mama yetu lipa deni jamani tunajua maisha magumu

  • @sadiaabeid7552
    @sadiaabeid75526 жыл бұрын

    hadija nimtu mzima lakini akiwa hana busara hawezi kuhishimiwa kumbe wato wazima wanadaiwa naujeuri pia

  • @malaikasamweli7464
    @malaikasamweli74645 жыл бұрын

    Kaka pole mway

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe6 жыл бұрын

    Mhhh heheee

  • @sofiaahmed8880
    @sofiaahmed88806 жыл бұрын

    iwapo mungu humsamehe mja wake.jee wewe kaka? msamehe na mungu atakulipa kwa njia nyingine,Haina haja kumuadhiri kwenye social media,mungu ndie hakimu wa haki.

  • @swamadujumanne795
    @swamadujumanne7955 жыл бұрын

    kwani Huyo kijana anaezungumza hawezi kumsameeh khadija kopa yeye anamkosea mungu mangpi

  • @khadijaqatar9080
    @khadijaqatar90805 жыл бұрын

    Khadija kopa tunakuhshim saan mama lkn kw huy kijan haujamtendea haki wallah, hadi ni deni na daw yake ni kulipa hapa dunian na kesh akhera na mahesebu tu ya matendo. Lipa deni mum sio poa unajidhalilisha sana

  • @fredmankaingu4172
    @fredmankaingu41726 жыл бұрын

    Mtangazaji mzungu apiga kiswahili ile mbaya......hahaha bongo bahati mbaya

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    Fredman Kaingu kumbe mzungu nilidhani mkorogo 😁😁

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567Ай бұрын

    MAMA zuchu lipa pesa ya kijana huyo:sio vizuri kama ni kweli lipa wewe ni mtu mzima na kama una pesa chukua pesa kwa zuchu mpe kijana.

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he6 жыл бұрын

    Temba akulipe

  • @julietkambenga4299
    @julietkambenga42995 жыл бұрын

    dar mdai kakosea sana

  • @shanymrope2122
    @shanymrope21226 жыл бұрын

    dida punguza crem khaaaa!

  • @sheillahchisika8414
    @sheillahchisika84146 жыл бұрын

    Dar hii ndio shida ya kufanya kazi na mtu amekuzidi umri saana

  • @stevenmhosole2635
    @stevenmhosole26355 жыл бұрын

    jamaha muhungwana sana

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula34546 жыл бұрын

    una haki ya kudai kws kweli

  • @mwambarockmwambarock739
    @mwambarockmwambarock7395 жыл бұрын

    duu ipokaz hapa

  • @mwanjinzala9030
    @mwanjinzala90306 жыл бұрын

    watunxi muwe na mikataba na mnaowatungia nyimbo sio wao wanaimba kutunga hawajui fyuuuuu bi khadija lipa tu na mwexi mtukufu

  • @rahmstifaallahndiemwenyeku6765
    @rahmstifaallahndiemwenyeku67656 жыл бұрын

    Msamehe tu

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    6 жыл бұрын

    rahms tifa Allah ndie mwenyekuja salum loh aishi vipi?

  • @mariachombo9276
    @mariachombo92766 жыл бұрын

    Duu hadja kopa aibu

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif472 жыл бұрын

    Anayoo ila han tabia nzury tu mtumzim sio vizuri

  • @joycemakori3835
    @joycemakori38356 жыл бұрын

    wakulipe tu kwakweli hakuna kitu cha bure

  • @munaliza2788

    @munaliza2788

    6 жыл бұрын

    joyce makori u

  • @salmajuma4015

    @salmajuma4015

    5 жыл бұрын

    Bure kafaaa

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi2635 жыл бұрын

    Kabla sijamaliza kukusikiza nimekupenda dina umepatika watangazaji vigugumizi vimewashika.ukweli usemwe japo unauma.nimempenda bure uyu kijana

  • @fatmaalrashdi1577
    @fatmaalrashdi15776 жыл бұрын

    Lipa dada hadja Deni sio nzuri Yani aibu Sana mama mtu mkubwa Judaica mpakamtandaoni jaman

  • @aldanaudana2633
    @aldanaudana26336 жыл бұрын

    Leo kwabikhadija kesho kwako hata km halijatokea baina yenu lkn huwenda yakatokea kwamtu mwengine juu yko muhimu akulipe lkn sio kusema kwamba umeambiwa akikupa usipokee

  • @lasttwelve8026

    @lasttwelve8026

    5 жыл бұрын

    Khadija kopa aibu

  • @rehemadeli8896
    @rehemadeli88964 жыл бұрын

    Pole kaka huo so ubindmu

  • @rosemarykaroli9572
    @rosemarykaroli95726 жыл бұрын

    Pore sana temba ila mungu yupo pamoja nawe na hiyo Hera haitomfikisha kokote we achana nae na msamehee tu ataona aibu endapo ukifanikiwa ila big p sana unafanya Kaz nzur

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi6 жыл бұрын

    HADIJA KOPA ACHANGIWE NA MASHABIKI WAKE KULIPA DENI HILO, HILO NI DENI LA DHIMA SHINGONI, MASHABIKI WAKE WAMCHANGIE.

  • @arabmwinyi8646

    @arabmwinyi8646

    6 жыл бұрын

    Mfanyakazi analipwa jewewe akulipe tu ila

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno17966 жыл бұрын

    FATHILA MFATHILI MBUZI BINADAMU WANA MAUTHI, MKUKI KWA NGURUWE MTAM KWA BINADAMU MCHUNGU.

  • @oddaissa4055

    @oddaissa4055

    4 жыл бұрын

    IF GOD SAY YES. NO BODY CAN SAY NO.

  • @asmabintikiwashatz9321
    @asmabintikiwashatz93216 жыл бұрын

    naalipe aache utaper

  • @ashazaharan1750
    @ashazaharan17506 жыл бұрын

    Mtihani huo kwakweli

  • @gracerosi6179
    @gracerosi61796 жыл бұрын

    Wenda nakufunga alifunga nn nawakat unakula vya zuruma ushumgi nkubwa

  • @saidmnenuka9939
    @saidmnenuka99393 жыл бұрын

    Bihadija mlipe huyo temba izo pesa!! kauli utazikuta kiama tafadhali usizalau.

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri55566 жыл бұрын

    Mi nacheka eti pesa za upatu

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma53646 жыл бұрын

    Mung wang kumbe uyu mama yuko ivyo jamani

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani31696 жыл бұрын

    Au anakuhitaji nini jamani!!!

  • @annewanjiku52
    @annewanjiku525 жыл бұрын

    upewe haki yako

  • @khamisabdallah8014
    @khamisabdallah80145 жыл бұрын

    Uyo hana adabu tangia lini mchaga na tarabu tena atuwachie hasa mm sipend umtie abu mzee wetu uyo hana nyimbo bwana

  • @nsonmxi9298
    @nsonmxi92986 жыл бұрын

    Heri usamehe upate mazuri kwa mola ukisema humsamehi ujue una dhambi pia ww

  • @annievibes8794
    @annievibes87946 жыл бұрын

    lahaula wala quwata dunia hii

  • @asuntaasunta4204
    @asuntaasunta42046 жыл бұрын

    hekima unayo kwasababu umemvumiliya sana akulipe

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny20656 жыл бұрын

    Daaa! Siri imetoka nje ndiyo basi tena hapo.siri ya ukata aijuaye mtungi!.kama ni kweli basi bi koppa kajiharibia umaarufu wake. Mchezo machafu huo na aibu kibao.

  • @iddchasany1227

    @iddchasany1227

    6 жыл бұрын

    Ummy

  • @gracerosi6179

    @gracerosi6179

    6 жыл бұрын

    Catherine Mogensen et nauzima wake wote

  • @doreenmalesi6039
    @doreenmalesi60396 жыл бұрын

    Dawa ya deni ni kulipa

  • @khadijaomar2723
    @khadijaomar27234 жыл бұрын

    Usinipe pesa kama tunacheza upato😄😄😄😄😄

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku20716 жыл бұрын

    😂😂😂dida kacheka sitaki ela ya upatu

  • @halimahamis5866
    @halimahamis58666 жыл бұрын

    joomon mama lipa huyo anahangaika kama ww!

  • @aldanaudana2633
    @aldanaudana26336 жыл бұрын

    Nakuaminieni watangazaji

  • @aishahaytham4124
    @aishahaytham41246 жыл бұрын

    Jmn pole sn temba,bi hadija ebu lipa ilo den jmn tena umepunguziwa mama mbona unataka kujdhalilisha

  • @rahmamteri5592
    @rahmamteri55926 жыл бұрын

    Nikweli huyu jamaa mstarabu bi khadija alipe

  • @upendorobert7298
    @upendorobert72986 жыл бұрын

    dida huo mkorogo duuh, huwa unajitizamaga kwenye kioo. duuh

  • @blacknature7637

    @blacknature7637

    6 жыл бұрын

    Upendo Robert 😁😁😁😁 unenivunja mbavu zangu

  • @samahstyles6776

    @samahstyles6776

    5 жыл бұрын

    Upendo Robert looo 😂😂😂😂

  • @oyay2821
    @oyay28216 жыл бұрын

    Kumbe ndio maana hapati mume

  • @fofomohammed6253

    @fofomohammed6253

    6 жыл бұрын

    Ommy Azzy 😂😂😂

  • @mariamhaidarijamali806

    @mariamhaidarijamali806

    6 жыл бұрын

    Ommy Azzy mmh iyo kali 😂😂😂😂

  • @khamisabdallah8014

    @khamisabdallah8014

    5 жыл бұрын

    Ommy Azzy ww hadija kopa hana shida ya mume ww mpe bbiyako mume

  • @khalekichambo1131

    @khalekichambo1131

    5 жыл бұрын

    Yamehusiana vipi na deni?daah watu wazushi sana 😂😂😂😂

  • @shakiramwenye1683
    @shakiramwenye16835 жыл бұрын

    Wasanii tushawazoea vituko haviishii

Келесі