"Siwezi kumsamehe Khadija Kopa hata Nikifa": Kaptaini Temba
Ойын-сауық
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 198
waaa mwanamke jeuri ni nyimbo nzuri kumbe katunga mtt wa watu...walah c vyema
@khadijaomar2723
4 жыл бұрын
Sana
We dida sababu sio pesa yako mma khadija lipa pesa wajifedheesha
Temba upo vizuri sana
@ajuayekilendirewxaqefo2525
6 жыл бұрын
mtangazaji anabusara
Dida Unaweza Mshahara Wako ukausamehee Miezi Mitatu
Pole kka.dhulma.dhulmathi.umall kiama
pole Temba inauma sana mtu kutokulipa hela yako .mimi ni mwathilika wa kutokulipwa haki zang hata mtu akikopa huwa harudishi hela yangu yaani imepelekea huwa ckopeshi mtu hela yangu.hata nikimfanyia mtu kazi kulipwa ni shida huwa nabaki na kushangaa tu na kulia kumwomba Mungu aniepushe na balaa hili
Nimekupenda ni muwazi
@nufailmohamed4408
6 жыл бұрын
Mwaija Ramadhani jaman mpeni pesa zake nakupenda temba wewe ni muwaz nakupenda sana temba kama auna mke nitafute niko tayar kuwa naww my no +96871834535 nimechoka kuvumilia❤❤❤❤ nimetoa la moyoni
Huyu kijana Temba ana maneno mazuri yenye busara. Na ni mvumilivu sana. Mungu akuzidishie akili yako Captain Temba uzidi kua na mvumilivu. Ahadi ni deni na haki ya mtu hailiki. Mpeni pesa zake.
Bi khadija lipa deni sio vizuri
uko sawa temba
Hahahahaha wallaah mm khadija mlipe huyu kijana ........ maneno makali sana mungu atakuhukumu mlipe
Pole kaka mungu akusimamie
Da pole Kaka bongo bahati mbaya kweli unatunga wimbo bure bure dah
🙆🏾Subhanallah
Nakukubali broo. Umesema kweli. Mungu hulipa kwa njia yake.wee msamehe.
@antonywilliama2868
Жыл бұрын
kwani ww ni mungu
Waooo temba unajuwa kusema sana ungekuwa loya mashalah akunjuwe mpaka amlipe
Ila Temba uko vizuri ktk kujibu maswali aisee!!!
@merinamichael8014
5 жыл бұрын
Mama lipa deni
Khadija kumbuuka mungu nihatari dada haki yamtu nisumu dada
Mtangaaji uko sawa wedada Alla akuzidishie
Uhalisia wa kuitwa KOPA ni tabia yake ya kukopakopa, i know her very well wakati tupo umoja wa vijanza Zanzibar kabla hajawa muimbaji wa tarab..
Duh hataree dhuluma si nzur jaman
Jamaa ana maneno jamani. Mswahili wa wapi huyu kha! Kiswahili kitamu sana.
@blacknature7637
6 жыл бұрын
k chezea watu wataarabu mwa maneno hatari
khadija kopa ujue ahera hakuna pesa kuna bakora kwenda mbele
@malackmgalla2838
6 жыл бұрын
Amina Muhamad
@alkindy1651
6 жыл бұрын
Swadaktah
@antoineakimanayase5996
6 жыл бұрын
Amina Muhamad kwani anadai shilingi ngapi huyo Kaka? Nipe namba yake nimpe hiyo laki 2 na nusu? Mie bi Kopa nampenda sana kwa nyimbo zake
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Amina Muhamad 😁😁😁asisahau na marungu
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Antoine Akimanayase utamlipia mpaka lini mbona niwengi wanao mdai mama dhulumati haogopi kamfanya mungu mjomba wake
Mungu anasemehe basi naww samehe 2
Umeongea ukweli Kaptain Temba dawa ya deni nikulipa, Maneno yako ya gusa kweli Duuh mpaka kiama bila msamaha.Atalipa ln shaa Allah.
Big up Temba
@anifamapunda2640
6 жыл бұрын
mashmash mkeyenge ooh
khadija kopa unadhambi kwa ili sio vizuri snaa pole kka
True...umechoka kudai sawa ulivofanya.! hiyo haki yako lzm akulipe..
@rehemadeli8896
4 жыл бұрын
Alipwe Huyo mkk ety hkadija
Mna imani na sio mafisadi mashallah
Dah! Bi khadijakopa lipa mamy
@shaabanmusa5127
6 жыл бұрын
Saumu Hassan Tuchange tumlipie 😀😁😁😂
Pole Kaptein
Akulipe hela zako kabisa
Kopa anafanya "season" movie. Na hii ni aina ya kutengeza ajira kwa blogers.
Jamani nina taarifa. Huo ndio mwanzo wa fedheha na majuto kwa Bi Hadija. MZEE YUSUF alitoka huko mapemaaaaa na kastirika. Bi Hadija hebu mrudie ALLAH, muziki ni HARAAM
Mmmh bibie mlipe kijana pesa yake amekataa hato kusameh mbele ya mungu utaangamia
Hataarrr
Kweli akulipe pesa zako anazo pesa
adija ripa deni sio vizuri
Doh,maisha Yana mambo mengi sana jamani
hee....
Dah didaaa aisee hapa ulizeekaa jaman wasafiiii wanaela dah
Siamini huyu kijana mdogo nyimbo nne alitunga ya kwanza hakulipwa ya pili hadi ya nne,,,muache kuhukumu Khadija ni Mungu pekee ana haki ya kuhukumu ,,,,waletwe wote waekwe waseme wote
Hii
e mungu msaidie hadija alipe deni lake
Staa nzima iv huakwann matajir hua wanapenda kuzurumu maskini kijana anafanya kz halipwi atatoboa vp? Wabaya watu
TEMBA nikopeda tuu maneo yakoo jamani
If God can forgive us why can we forgive one another....?????
lipa we mama
Dawa ya deni kulipa jamani kijana anajituma kwa bidii haki yke apewe pliiz na sio tafadhali lipa deni mlitaka awe shoga ndio mumsimange kaamua kujituma kihalali mlipeni
@antoineakimanayase5996
6 жыл бұрын
Jacquethomas Gal naam
@gracerosi6179
6 жыл бұрын
Jacquethomas Gal alipwe jaman
Dah khadija kopa ulichokifanya si kitendo cha kistaarabu wewe ni mama yetu lipa deni jamani tunajua maisha magumu
hadija nimtu mzima lakini akiwa hana busara hawezi kuhishimiwa kumbe wato wazima wanadaiwa naujeuri pia
Kaka pole mway
Mhhh heheee
iwapo mungu humsamehe mja wake.jee wewe kaka? msamehe na mungu atakulipa kwa njia nyingine,Haina haja kumuadhiri kwenye social media,mungu ndie hakimu wa haki.
kwani Huyo kijana anaezungumza hawezi kumsameeh khadija kopa yeye anamkosea mungu mangpi
Khadija kopa tunakuhshim saan mama lkn kw huy kijan haujamtendea haki wallah, hadi ni deni na daw yake ni kulipa hapa dunian na kesh akhera na mahesebu tu ya matendo. Lipa deni mum sio poa unajidhalilisha sana
Mtangazaji mzungu apiga kiswahili ile mbaya......hahaha bongo bahati mbaya
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Fredman Kaingu kumbe mzungu nilidhani mkorogo 😁😁
MAMA zuchu lipa pesa ya kijana huyo:sio vizuri kama ni kweli lipa wewe ni mtu mzima na kama una pesa chukua pesa kwa zuchu mpe kijana.
Temba akulipe
dar mdai kakosea sana
dida punguza crem khaaaa!
Dar hii ndio shida ya kufanya kazi na mtu amekuzidi umri saana
jamaha muhungwana sana
una haki ya kudai kws kweli
duu ipokaz hapa
watunxi muwe na mikataba na mnaowatungia nyimbo sio wao wanaimba kutunga hawajui fyuuuuu bi khadija lipa tu na mwexi mtukufu
Msamehe tu
@ilovejesus9303
6 жыл бұрын
rahms tifa Allah ndie mwenyekuja salum loh aishi vipi?
Duu hadja kopa aibu
Anayoo ila han tabia nzury tu mtumzim sio vizuri
wakulipe tu kwakweli hakuna kitu cha bure
@munaliza2788
6 жыл бұрын
joyce makori u
@salmajuma4015
5 жыл бұрын
Bure kafaaa
Kabla sijamaliza kukusikiza nimekupenda dina umepatika watangazaji vigugumizi vimewashika.ukweli usemwe japo unauma.nimempenda bure uyu kijana
Lipa dada hadja Deni sio nzuri Yani aibu Sana mama mtu mkubwa Judaica mpakamtandaoni jaman
Leo kwabikhadija kesho kwako hata km halijatokea baina yenu lkn huwenda yakatokea kwamtu mwengine juu yko muhimu akulipe lkn sio kusema kwamba umeambiwa akikupa usipokee
@lasttwelve8026
5 жыл бұрын
Khadija kopa aibu
Pole kaka huo so ubindmu
Pore sana temba ila mungu yupo pamoja nawe na hiyo Hera haitomfikisha kokote we achana nae na msamehee tu ataona aibu endapo ukifanikiwa ila big p sana unafanya Kaz nzur
HADIJA KOPA ACHANGIWE NA MASHABIKI WAKE KULIPA DENI HILO, HILO NI DENI LA DHIMA SHINGONI, MASHABIKI WAKE WAMCHANGIE.
@arabmwinyi8646
6 жыл бұрын
Mfanyakazi analipwa jewewe akulipe tu ila
FATHILA MFATHILI MBUZI BINADAMU WANA MAUTHI, MKUKI KWA NGURUWE MTAM KWA BINADAMU MCHUNGU.
@oddaissa4055
4 жыл бұрын
IF GOD SAY YES. NO BODY CAN SAY NO.
naalipe aache utaper
Mtihani huo kwakweli
Wenda nakufunga alifunga nn nawakat unakula vya zuruma ushumgi nkubwa
Bihadija mlipe huyo temba izo pesa!! kauli utazikuta kiama tafadhali usizalau.
Mi nacheka eti pesa za upatu
Mung wang kumbe uyu mama yuko ivyo jamani
Au anakuhitaji nini jamani!!!
upewe haki yako
Uyo hana adabu tangia lini mchaga na tarabu tena atuwachie hasa mm sipend umtie abu mzee wetu uyo hana nyimbo bwana
Heri usamehe upate mazuri kwa mola ukisema humsamehi ujue una dhambi pia ww
lahaula wala quwata dunia hii
hekima unayo kwasababu umemvumiliya sana akulipe
Daaa! Siri imetoka nje ndiyo basi tena hapo.siri ya ukata aijuaye mtungi!.kama ni kweli basi bi koppa kajiharibia umaarufu wake. Mchezo machafu huo na aibu kibao.
@iddchasany1227
6 жыл бұрын
Ummy
@gracerosi6179
6 жыл бұрын
Catherine Mogensen et nauzima wake wote
Dawa ya deni ni kulipa
Usinipe pesa kama tunacheza upato😄😄😄😄😄
😂😂😂dida kacheka sitaki ela ya upatu
joomon mama lipa huyo anahangaika kama ww!
Nakuaminieni watangazaji
Jmn pole sn temba,bi hadija ebu lipa ilo den jmn tena umepunguziwa mama mbona unataka kujdhalilisha
Nikweli huyu jamaa mstarabu bi khadija alipe
dida huo mkorogo duuh, huwa unajitizamaga kwenye kioo. duuh
@blacknature7637
6 жыл бұрын
Upendo Robert 😁😁😁😁 unenivunja mbavu zangu
@samahstyles6776
5 жыл бұрын
Upendo Robert looo 😂😂😂😂
Kumbe ndio maana hapati mume
@fofomohammed6253
6 жыл бұрын
Ommy Azzy 😂😂😂
@mariamhaidarijamali806
6 жыл бұрын
Ommy Azzy mmh iyo kali 😂😂😂😂
@khamisabdallah8014
5 жыл бұрын
Ommy Azzy ww hadija kopa hana shida ya mume ww mpe bbiyako mume
@khalekichambo1131
5 жыл бұрын
Yamehusiana vipi na deni?daah watu wazushi sana 😂😂😂😂
Wasanii tushawazoea vituko haviishii