HII NDIO SABABU YA MRISHO MPOTO KUTEMBEA BILA VIATU...
Ойын-сауық
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 918
Amen Amen. Leo nimepata mfuasi wangu. Siku zote nawambia watu pesa aishiki dunia bali pesa ni sehemu ya matumizi ya mwanadamu. Mungu ndiyo ameshika dunia. Amen.
@dominafredrick7999
Жыл бұрын
Q😊
si kwamba mjomba havai viatu............anavaa viatu vya kuzaliwa (soli ya Mungu)
@deograsiakigodi6701
2 ай бұрын
🤣🤣😂😂 umetisha san
Hongera sana mjomba Mrisho Mpoto,mimi nakubali kazi yako,maneno yako ni ya uhakika.
This guy is intelligent, the issue of shoes he is talking about is true,walking bare feet has importance in our life, sometimes is good to practice this.
As an African who understands tradition,culture and religion we mpoto iko sawa!!!
@fatumantirampeba8186
2 жыл бұрын
Mjombaunasemakweli
Binaadam asili yake ni udongo lazima uwepo uhusiano wa binaadam na ardhi kwa chakula na kuikanyaga kams asemvo mjomba,Big up kwako
Very very true... We have to release all the electromagnetic static & releasing the negative energy back to the ground instead of recycling it back into our system.. .He knows what he's talking about except the part where he gives the theory of dead bodies giving back their talents back.....
Mpoto hio akili nikubwa sana, umewajibu wambea hao, mungu akuneemeshee neema
Mjombaa waambie ukweli vijana wasikuhizi na Mungu akuzidishie Ameen
Kicheko chako dida rekebisha akionyoshi umakini wa kazi yako . PUBLIC
Somo lako niko ndani darasani i say mjomba😊
Mjomba bhana, 😂😂😂😂 haya bisheni, ndio kwanza leo najua mjomba ni mwislam, hongera sana Mjomba.
@yosefalkhalil6112
6 жыл бұрын
Saumu Hassan kumbe wasanii wengi ni waislamu mm pia sijui wallahi leo nimejua
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Yosef Alkhalil Wallah, nina mwaka kama wa kumi na hivi, ndio nimejua kupitia hii video kuwa mjomba ni Mwislam.
@petronasor23
6 жыл бұрын
ok
@mtoto_wa_kiba79mo_fayatz76
6 жыл бұрын
Hivi umeshaambiwa Anaitwa MRISHO,MRISHO anakuwaje Mkristo,....yaani wamekosea sana kuuliza hili swall wallah....Halikuwa na Faida
@abdulramadhan981
6 жыл бұрын
Nimuislam tena thabiti last year Alifuturisha..kwake Mbgl.Kuu kichemchem..ithnk thc yr pia..
Mjombaa asantee nikwelii yanii natamani ningekua karibuu unifundishee. Kitu daah
Kama umexikia mjomba hana masiala kwenye mambo yetu gonga like
Mjomba salute ww unaweza unatufunza mengi 🤲🤲💯
Igwe igwe igwe ,isweno hahahahah da ! Mmenifurahisha
😂😂 sijui mnani elew 😂 gong like tulisongeshe
Scientifically he is very right. Stay grounded.
Hakika unastaili kuitwa mjomba 👏👏👏💪💪💪😘😘😘
Mjomba nakupenda bure tokana na ucheshi, ubunifu na nasaha katika jamii si kuimba tu🇰🇪🇰🇪👏
Mjomba mifumo ya maisha imebadilika
Safi sana mjomba kwa maneno yako
Mrisho Mpoto du! Leo niekuelewa sana.Mila zetu ni muhimu tuzifuate.Zina thamani zaidi ya hela
Nimeipenda hiyo mjomba, wanaume siku hizi wa vivu sana tena sana
Kila mtu ana lifestyle yake KWAHIYO mjomba yupo sahihi kabisa Keep up mjomba
Yesu mwenyewe Ali Vivaa Mtume Mwamadi pia Ali Vivaa Sasa wewe je? kapambane Na miungu yako uko.
@luqmanhakeem3685
6 жыл бұрын
Kutembea bila viatu ni alama ya qiama
@jumbeojaso5767
6 жыл бұрын
Yesu hakuvaa viatu altembea na malapa open shoe's .na hata kafya damu huzunguka vyema mguuni kwa aliyevaa malapa kukiko alebana muguu kwa Sox ma viatu vya kufunika
@wlkmwlkm2912
6 жыл бұрын
Ulimuona huyo mtumee
@ashelimihila7242
6 жыл бұрын
nyooooo
@judithmkopoka9290
6 жыл бұрын
hahahahahaa
Mjomba uneasema kweli kabisa maneno yako MashaAllah nakuunga mkono
Asante sana kwa kutufundisha mjomba mpoto ❤❤❤❤❤❤
Yesu tu alikua na sendos
@EvangelistJsolomonMkwata
3 ай бұрын
Wapi imeandikwa kuwa yesu alikuwa na sola
@user-px7ef5oc2x
2 ай бұрын
Yule sio yesu ni muvi ile
Hiyo akili ya mpoto ni faida ya kutembea bila viatu yaani kapata vipawa vya walioshindwa kuvitumia wakafariki jamaa hatari huyu kama tupo pa1 nipe like embu.
@syliviaibrahim5315
Жыл бұрын
Kweli mjomba
@saidajabu9289
11 ай бұрын
😊
@mabujuma9355
9 ай бұрын
@@syliviaibrahim5315😂😂
@Duniakuu25
3 ай бұрын
Ni kweli ata mtume mohmad alikuwa havai viatu lkn alikuwa na tarent nyingi kichwani
💯😂😂 dida upoo 👍 habari ndio mjomba mjomba mrisho mpoto wape vdongee, wakomeshe ubishi nakubalii😂😂😂💯
Duh mjomba io iman nimeipenda... 🙌🙌🙌
Nakupenda mjomba hahahaha nmekupenda bure
Getting charged: The benefits of earthing can be especially important in our modern society. "We wear artificial fibres and shoes all the time and indoor spaces are carpeted with synthetic materials," says McFarlane. "We are very isolated from the earth's environment and this means we slowly but surely build up an electrical charge. Not everybody is going to benefit from earthing, but there does appear to be some truth in the concept and [it] warrants further research. "Our nervous system is electrical and you really only need slight alterations to your [body's equilibrium] over long periods of time to have health effects." The best way to release the accumulated charge is by taking our shoes and socks off. "Walking barefoot on moist earth makes better electrical contact with our bodies and hence allows discharge [earthing]," says McFarlane, who adds that earthing may feel strange initially. "Because we constantly wear shoes, our feet are soft and we don't like that feeling of pressure."
Shukrani sana kwa somo ni sahihi kabisaa
Mjomba anaongea point sana love you so much
mbali na kufurahi ....nimepata uelewa .....I am Me...😍😍😍😍😍
@zainabswaleh4907
6 жыл бұрын
Hahaaa
Nimekuwlewa mjomba 101%
😂😂😂Nimecheka kifalankweli. sijuwi mnanielewa 😁🏃🏃🏃
Asante mjomba upo sahihi..sana..
Nikimualika mjomba Ulaya wakati wa baridi (winter) hataweza kwenda bila viatu. Viatu ni stara na ustaarabu kutokana na mazingira. Sitoweza kuingia kwenye choo cha Mswahili bila viatu.
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Kabisaa na kuna vyoo vingine ni vichafu sana,bila viatu jmn haiwezekani
@sbchris2277
3 ай бұрын
Yeye ni mu Africa
Me nimevunja kitanda tafadhali 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀kila siku nachomelea😁😁😁😁Alhamdulillah nimefurahi kiukweli
@janethpallangyo2633
6 жыл бұрын
Simulizi Mix Duuuù
@edwardkachwele7299
4 жыл бұрын
Inategemea kiwango cha kitanda chako, jaribu kuuvunja mkongo au mninga utavunjika mgongo tu ,hizi mastory hakuna mpya
Amna ukwel wowote hayo maneno tu😌et mtu yupo kny shughul anachat 😂
Masha Allah we love u mjomba+974 following u.
Mambo ni 🔥🔥🔥
Mmm, sina hakika na majibu hayo kama ni geunine au la ! Ila kuvua viatu kabla ya kuingia ndani siyo lazima, hiyo utegemeana na mambo yafuatayo; 1. Aina ya nyumba, 2. Aina ya watu, 3. Mazingira, 4. Mfumo wa maisha nk ! Maana kulingana na hayo manne hapo juu, basi kuna wengine wakitoka kazini, anashuka kwenye gari yake na kuingia sebuleni, then jikoni nk bila kuvua viatu, yaani mazingira yake, mfumo wake wa maisha nk vinaruhusu !
@leonardfrednand6810
3 жыл бұрын
Anatuchanganyat
@geraldtarimo2550
2 жыл бұрын
Mchawi wewe
@johnmamba682
2 жыл бұрын
Anasema pale unapovua viatu unajisikiaje?
@amanipriva6055
Жыл бұрын
Kwan hvyo viatu unalal navyo o
@amanipriva6055
Жыл бұрын
Lazma uvue tu
mjomba nakukubali miaka yote mungu akujalie miaka mingi tutafahamu mengi kupitia wewe mjombaaaaaaaaaaaaa
Mjomba mi ndo yule mpwa wako adela nakubali maneno yako
Tunakuelewa mjomba, mzee wa nyumba ni choo. Eti kitanda sita kwa sita kuna ndoa hapooo
Wazee wetu walikuwa wanachomeka mkuki nje wanafunga mlango watu wakigonga wanaambiwa tumesafiri 😁😁😁😁😁😁😁😁Mjombaa hapo nimekuelewa
@bilalbinali1227
6 жыл бұрын
Noel Mbwilo 😂😂😂wameenda kwenye shuhuli
@kitonekantasha1687
6 жыл бұрын
Noel Mbwilo ndo kamaniisha nn
@kitonekantasha1687
6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@yoeljaphet4557
6 жыл бұрын
Kitone Kantasha1 😁😁😁😁cku hizi ukiwa romantic ya mkeo mara jirani anagonga kuja kuazima chaji ya smartphone
@yoeljaphet4557
6 жыл бұрын
Bilal Bin Ali .😁😁😁😁😁
kwl ww mjomba you deserve one love
Penda sana kaka mpoto wa kunyumba ,ruvuma kwetu
Ingekuwa kutembea peku unapata hizo taranta basi waokota makopo wangekuwa nazo nyingi maana wanatembea mpaka kwenye mabwawa
@josephmwachalula6134
6 жыл бұрын
fabian sylivestet nimecheka mnoo kaka. Ila kweli kabisa. Taranta za kuokota pekupeku nazisikia kwa Mpoto
@aminakawiche6867
5 жыл бұрын
hahahahahaaaaaaa
@jeremiajuma9659
5 жыл бұрын
standard TV unajitahidi kutembea bila viat
Mmmhh!!! Ni imani yake ,kuna watu wanamini kuwa ng'ombe ni mungu .
@ruthogungo
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Mmmmhu hili la kuvaa viatu maelezo yako sijayaelewe sio kutokuvaa viatu labda umepewa masharti sehemu fulani hivi amazing ila hapa unataka kutuzuga tu. Hayaaaa yetu macho.
Mfano mjomba bint anajarbu mara Moja tu. Tyari mjamzito tunatumia Uzaz wa mpango Uzaz upon sana maisha magumu mjomba..
noma sana
mtukutokuvaa viatu nimasharti aliyopewa muachekudanganywa uyomuongo kweli😂😂
@mariakilimo5577
3 жыл бұрын
Na ww kapewe mashart
@mariakilimo5577
3 жыл бұрын
Na ww kapewe mashart
💯 nakubaliana. Na. Mjombangu. Mrisho. Aisei. Yupo. Sahihi. Maneno. Anayo yasema. 🤝
😂😂😂😂Nimependa sana
😂😂😂😂 hii ni interview ya mwakaaaa
ivi sijui mnanielewaaa😂😂😂
@fofomohammed6253
6 жыл бұрын
Johnny Anthony 😂😂😂
@shanimbaruku2071
6 жыл бұрын
Nakuelewa sana mjomba
@dicksonbakari5679
4 жыл бұрын
Johnny Anthony MN
Mjomba nimekuelewa sn kwa somo😅😅😅😅Jmn mjomba
Apana chezea mjomba 👏👏👏👏👏
Goli moja tu hoihaaaaahaaaaHaaaa mjomba mbavu zangu miee
@tysonmichael7322
5 жыл бұрын
Umecheka mwenyew yaan mmh
@hussenadam5143
5 жыл бұрын
Aisha Hassan ooo
Did you know that you can benefit a lot by walking barefoot? When your bare skin comes in contact with the earth directly, the negative ions present in the earth can help balance the positive ions in your body and this will improve your health in many aspects. Many of us have read or heard that there are pressure points in our body. When we walk barefoot on sand or on grass, the pressure on our foot activates the acupuncture points. This in turn, energizes our body and improves our health.
Mjomba mm namwelewa Sana maneno yake
Mjomba hongela kwa majibu yako ,
Sijui mnanielewa lakini 😂😂😂😂😂 tuna kuelewa mjombaaa
@bantuempress1744
6 жыл бұрын
😂😂😂😂nmecheka kishenzi
@vanessadahnilly8551
6 жыл бұрын
chriss cherry hunishindi mimi sijui unanielewa? 😂😂😂😂😂😂😂
@mbunahchannel2179
6 жыл бұрын
rahaaaaa
@InnohubGroup
6 жыл бұрын
Vanessa Dahnilly 😂😂😂😂😂😂
@sadaabdallah1641
6 жыл бұрын
Vanessa Dahnilly hahahaahaa
Hapo ndipo mjomba!! Support 💯 🇰🇪
doctor kimbuka basi shemeji yetu Leo hapumui😂😂😂😂😂😂😂😂
Mjombaaa ,,,napenda nyimbo zako
mjombaaaaaa👊👊🔥
@allybanda8252
6 жыл бұрын
Johnson Chonja p
Huyu aende nchi za uarabun miez Kama hii afu atembee bila viatu ndo atajua kwann watu wanavaa viatu😂
@Slama-bq1hb
6 жыл бұрын
Akhui Rama Mzuzu 😂😂😂kwa jua hili
@masikaninah9078
6 жыл бұрын
Aje hapa riadh kwanza
@chubaali3090
6 жыл бұрын
Akhui Rama Mzuzu hahahahahaha atakoma yeye solar 45 degrees
@akhuiramamzuzu7130
6 жыл бұрын
Slama9876 9876 kwaiyo kwa hii namba nakupata 😛😛
@edinaokhonga1255
6 жыл бұрын
Miguu zitaaka moto😂
Hahahahah mjomba wew ni noma sikuwezi
Mjombaaaa da dida sio kwa kicheko hichoo 😘😘😘
siri ya anko kutovaa viatu ni yakwake mwenyewe sinaimani na hayo anayoyasema tumwachie mwenyewe ##
@safielchambua9798
4 жыл бұрын
Mjomba mjomba mh
@aminaluttu649
4 жыл бұрын
Unaakil sana
@zachaamaster5378
2 ай бұрын
#ww kichw san kuliko wote humu walio comment
😂😊😂😂😂😂😂😂😂dah! Sijacheka interview ingine HIVI 🤣🤣 Mjomba waeleze hao watoto.. ati wanawahi KIPINDI 😂😂
@maryannqueen7356
6 жыл бұрын
@mrishompoto sio FEK
@mussamaduka2828
5 жыл бұрын
@@maryannqueen7356 mbona unatuonea wanaume
@maryannqueen7356
5 жыл бұрын
mjomba kanena........muache kuwahai kuingia insta hahhahhahhah!
@mussamaduka2828
5 жыл бұрын
@@maryannqueen7356 naomba tuchat whatsapp 0767973122
@daniellyimo8610
5 жыл бұрын
Maryann Queen Huo ni Mtazamo wake
Big Up MJombaaaaaa We mkali
kwa kweli maneno yko ni mafundisho tosha nimependa sana sana
Tunaomba ushaidi wa maandiko wapi m/mungu ameelekeza ivyo....
@neemabarikiely1640
3 жыл бұрын
Kwel baba ushuhuda wa maandiko
@SabasMbuya-vn4yz
Жыл бұрын
Sikila kitu kinafaa. Usivutwe kwa maneno Mazuri ya kinywa. Kama hakuna andiko lolote hilo jambo siyo kweli. Mnarisishwa na vitu au tabia. Nanukuu km baba ni mchawi n.k utarithi Mjomba amekubali kurithi vyote alivyo fanya baba yake. Je imekaa sawa
@richardnganya2311
11 ай бұрын
Huyu Mpoto sio mtaaluma kwenye historia. Asemayo ni ya kufikirika tu. Yeye aimbe tu. Nabii Daudi aliimba na alivaa viatu hata vitani !! Ni UONGO USIOVUMILIKA KWA MWANA MAZINGIRA YEYOTE.
😳😂😂😂Mjomba ume tisha 🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️
mlangoo umefungaaa hyo statement inamchechetooo sana
😂Mjomba, Ubarikiwe sana
Njooni tuvunje vitanda wadau 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hoyeeeh
@ndugusanga4779
5 жыл бұрын
Hahahaha utawezaa
@joelkamunga1604
5 жыл бұрын
Angie Ladyheart mhuu
@bahatialex5243
4 жыл бұрын
Utaweza kumiliki masaa 12
Mm pia nampenda sana mjomba
@jasminebaibe7355
6 жыл бұрын
Binesi Harun mjomba yuwaniwacha hoi 😂😂
@mamafatuma138
6 жыл бұрын
+Jasmine baibe mjumba maneno yake wacha wengi hoi lkn penda sana nikipata nauli nitakuja mjomba❤❤❤
@stadiusbarongo761
6 жыл бұрын
+Binesi Harun gooda
@mamafatuma138
6 жыл бұрын
+stadius barongo maan
😂😂 hiyo ni Siri ya mjomba ni ngumu kuiweka wazi
daaaaaaa mjombaaaaa hatar sanaaaaa tuna weka 😛😛😛
Haya bana mrisho mpoto
Maneno yake ni kweli kabisa
@chalesminja4930
5 жыл бұрын
Du hapana
😂😂😂😂 Mjomba umetisha bhanaaa km nakubali vileee
@mwassyazeez26
5 жыл бұрын
Mjomba umetisha🤣😂😂 Lkn vaaa viatu buanah🙊
uko sawa mjomba big upp
mbavu zangu mie 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jonathanmagayane4765
6 жыл бұрын
ambasada
@rosechaula3147
6 жыл бұрын
mjomba kuanzia leohatamiminaachakuvaaviatu.
@luganuzimuwelu9544
6 жыл бұрын
Salma Othman !
@jamalalhabsi5649
5 жыл бұрын
Jamen mjomba asemaukwell
wenye shughuli zao waache wafanye shughuli zao
@aminamsinjepindonn5345
5 жыл бұрын
Mjomba 😁😁😁😁
I love you mjomba elim yako nzuri sana
Mtume صلى الله عليه وسلم. Pia alikua anawaa amrisha maswahaba wake. Baadhi ya mda watembee miguu. Chini.
Mjomba hyo baba ako alikuwa mkali kama baba angu aliowa wake 13 na alipata watoto 30 haki kwamaisha yasasa sio pouwa
Kutovaa viatu ni uchafu!!!!
@silvanussinda6637
6 жыл бұрын
DIOO DEO mjinga ww
@kikerekasusu7155
6 жыл бұрын
Ninachojua KUTOKANA NA kusoma vitabu vya afya vyenye makala na tafiti mbalimbali angalau kwa wiki upate dk 5-15 za kukanyaga chini bila viatu na sababu kubwa inayoelezwa Ni kwamba Kuna seli huwa zinakufa huko nyayoni na pia Kuna taarifa zinapaswa kupitia huko kwa hiyo ukikanyaga chini Kuna mchanga au changarawe vitaamsha mawasiliano mliosoma sayansi mnajua majina kamili ya hivyo vitoa na vipokea taarifa.Hiyo ya kutokuvaa kabisa nayo Ni kitu kingine!!madaktari tuelezeni vizuri kuhusu hili la kutovaa viatu
Pole shangazi hanaga masihara kwenye hyo shughuli😂😂😂😂😂
Hapo kwenye kutokuvaa viatu hajaeleza vizuri