HII NDIO SABABU YA MRISHO MPOTO KUTEMBEA BILA VIATU...

Ойын-сауық

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 918

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.35396 жыл бұрын

    Amen Amen. Leo nimepata mfuasi wangu. Siku zote nawambia watu pesa aishiki dunia bali pesa ni sehemu ya matumizi ya mwanadamu. Mungu ndiyo ameshika dunia. Amen.

  • @dominafredrick7999

    @dominafredrick7999

    Жыл бұрын

    Q😊

  • @geofreychambua2560
    @geofreychambua25606 жыл бұрын

    si kwamba mjomba havai viatu............anavaa viatu vya kuzaliwa (soli ya Mungu)

  • @deograsiakigodi6701

    @deograsiakigodi6701

    2 ай бұрын

    🤣🤣😂😂 umetisha san

  • @HamadAbdul-mw3jm
    @HamadAbdul-mw3jm23 күн бұрын

    Hongera sana mjomba Mrisho Mpoto,mimi nakubali kazi yako,maneno yako ni ya uhakika.

  • @gasperkiwo8279
    @gasperkiwo82795 жыл бұрын

    This guy is intelligent, the issue of shoes he is talking about is true,walking bare feet has importance in our life, sometimes is good to practice this.

  • @oyugikwasi1667
    @oyugikwasi16673 жыл бұрын

    As an African who understands tradition,culture and religion we mpoto iko sawa!!!

  • @fatumantirampeba8186

    @fatumantirampeba8186

    2 жыл бұрын

    Mjombaunasemakweli

  • @thabitmohamed8744
    @thabitmohamed87446 жыл бұрын

    Binaadam asili yake ni udongo lazima uwepo uhusiano wa binaadam na ardhi kwa chakula na kuikanyaga kams asemvo mjomba,Big up kwako

  • @rabbithare381
    @rabbithare3813 жыл бұрын

    Very very true... We have to release all the electromagnetic static & releasing the negative energy back to the ground instead of recycling it back into our system.. .He knows what he's talking about except the part where he gives the theory of dead bodies giving back their talents back.....

  • @fredmankaingu4172
    @fredmankaingu41726 жыл бұрын

    Mpoto hio akili nikubwa sana, umewajibu wambea hao, mungu akuneemeshee neema

  • @anwarjamal5066
    @anwarjamal50666 жыл бұрын

    Mjombaa waambie ukweli vijana wasikuhizi na Mungu akuzidishie Ameen

  • @swalehmwamazola7100
    @swalehmwamazola71006 жыл бұрын

    Kicheko chako dida rekebisha akionyoshi umakini wa kazi yako . PUBLIC

  • @magaraombogo7335
    @magaraombogo73354 ай бұрын

    Somo lako niko ndani darasani i say mjomba😊

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan13656 жыл бұрын

    Mjomba bhana, 😂😂😂😂 haya bisheni, ndio kwanza leo najua mjomba ni mwislam, hongera sana Mjomba.

  • @yosefalkhalil6112

    @yosefalkhalil6112

    6 жыл бұрын

    Saumu Hassan kumbe wasanii wengi ni waislamu mm pia sijui wallahi leo nimejua

  • @saumuhassan1365

    @saumuhassan1365

    6 жыл бұрын

    Yosef Alkhalil Wallah, nina mwaka kama wa kumi na hivi, ndio nimejua kupitia hii video kuwa mjomba ni Mwislam.

  • @petronasor23

    @petronasor23

    6 жыл бұрын

    ok

  • @mtoto_wa_kiba79mo_fayatz76

    @mtoto_wa_kiba79mo_fayatz76

    6 жыл бұрын

    Hivi umeshaambiwa Anaitwa MRISHO,MRISHO anakuwaje Mkristo,....yaani wamekosea sana kuuliza hili swall wallah....Halikuwa na Faida

  • @abdulramadhan981

    @abdulramadhan981

    6 жыл бұрын

    Nimuislam tena thabiti last year Alifuturisha..kwake Mbgl.Kuu kichemchem..ithnk thc yr pia..

  • @lamickwazanzibar863
    @lamickwazanzibar8633 жыл бұрын

    Mjombaa asantee nikwelii yanii natamani ningekua karibuu unifundishee. Kitu daah

  • @jackmwakalunde2808
    @jackmwakalunde28084 жыл бұрын

    Kama umexikia mjomba hana masiala kwenye mambo yetu gonga like

  • @Elijahfondo.
    @Elijahfondo.4 ай бұрын

    Mjomba salute ww unaweza unatufunza mengi 🤲🤲💯

  • @panadomadola3064
    @panadomadola30643 ай бұрын

    Igwe igwe igwe ,isweno hahahahah da ! Mmenifurahisha

  • @heriethkambanyuma6835
    @heriethkambanyuma68355 жыл бұрын

    😂😂 sijui mnani elew 😂 gong like tulisongeshe

  • @ceikai5722
    @ceikai57226 жыл бұрын

    Scientifically he is very right. Stay grounded.

  • @suzanaelia7084
    @suzanaelia70845 жыл бұрын

    Hakika unastaili kuitwa mjomba 👏👏👏💪💪💪😘😘😘

  • @bonventrychevai5183
    @bonventrychevai51833 ай бұрын

    Mjomba nakupenda bure tokana na ucheshi, ubunifu na nasaha katika jamii si kuimba tu🇰🇪🇰🇪👏

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz6 жыл бұрын

    Mjomba mifumo ya maisha imebadilika

  • @azizisalamanda7194
    @azizisalamanda71946 жыл бұрын

    Safi sana mjomba kwa maneno yako

  • @badboy2577
    @badboy25776 жыл бұрын

    Mrisho Mpoto du! Leo niekuelewa sana.Mila zetu ni muhimu tuzifuate.Zina thamani zaidi ya hela

  • @kendajoseph3693
    @kendajoseph36934 жыл бұрын

    Nimeipenda hiyo mjomba, wanaume siku hizi wa vivu sana tena sana

  • @stevenpaul4818
    @stevenpaul48186 жыл бұрын

    Kila mtu ana lifestyle yake KWAHIYO mjomba yupo sahihi kabisa Keep up mjomba

  • @sulejiTv
    @sulejiTv6 жыл бұрын

    Yesu mwenyewe Ali Vivaa Mtume Mwamadi pia Ali Vivaa Sasa wewe je? kapambane Na miungu yako uko.

  • @luqmanhakeem3685

    @luqmanhakeem3685

    6 жыл бұрын

    Kutembea bila viatu ni alama ya qiama

  • @jumbeojaso5767

    @jumbeojaso5767

    6 жыл бұрын

    Yesu hakuvaa viatu altembea na malapa open shoe's .na hata kafya damu huzunguka vyema mguuni kwa aliyevaa malapa kukiko alebana muguu kwa Sox ma viatu vya kufunika

  • @wlkmwlkm2912

    @wlkmwlkm2912

    6 жыл бұрын

    Ulimuona huyo mtumee

  • @ashelimihila7242

    @ashelimihila7242

    6 жыл бұрын

    nyooooo

  • @judithmkopoka9290

    @judithmkopoka9290

    6 жыл бұрын

    hahahahahaa

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Жыл бұрын

    Mjomba uneasema kweli kabisa maneno yako MashaAllah nakuunga mkono

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika19962 ай бұрын

    Asante sana kwa kutufundisha mjomba mpoto ❤❤❤❤❤❤

  • @wilingsonadam6388
    @wilingsonadam63883 жыл бұрын

    Yesu tu alikua na sendos

  • @EvangelistJsolomonMkwata

    @EvangelistJsolomonMkwata

    3 ай бұрын

    Wapi imeandikwa kuwa yesu alikuwa na sola

  • @user-px7ef5oc2x

    @user-px7ef5oc2x

    2 ай бұрын

    Yule sio yesu ni muvi ile

  • @regnaldobadia753
    @regnaldobadia7534 жыл бұрын

    Hiyo akili ya mpoto ni faida ya kutembea bila viatu yaani kapata vipawa vya walioshindwa kuvitumia wakafariki jamaa hatari huyu kama tupo pa1 nipe like embu.

  • @syliviaibrahim5315

    @syliviaibrahim5315

    Жыл бұрын

    Kweli mjomba

  • @saidajabu9289

    @saidajabu9289

    11 ай бұрын

    😊

  • @mabujuma9355

    @mabujuma9355

    9 ай бұрын

    ​@@syliviaibrahim5315😂😂

  • @Duniakuu25

    @Duniakuu25

    3 ай бұрын

    Ni kweli ata mtume mohmad alikuwa havai viatu lkn alikuwa na tarent nyingi kichwani

  • @omarndege811
    @omarndege81111 ай бұрын

    💯😂😂 dida upoo 👍 habari ndio mjomba mjomba mrisho mpoto wape vdongee, wakomeshe ubishi nakubalii😂😂😂💯

  • @cedratjaivu8905
    @cedratjaivu89056 жыл бұрын

    Duh mjomba io iman nimeipenda... 🙌🙌🙌

  • @dianashemakulenge6878
    @dianashemakulenge68786 жыл бұрын

    Nakupenda mjomba hahahaha nmekupenda bure

  • @semhineshauri3410
    @semhineshauri34105 жыл бұрын

    Getting charged: The benefits of earthing can be especially important in our modern society. "We wear artificial fibres and shoes all the time and indoor spaces are carpeted with synthetic materials," says McFarlane. "We are very isolated from the earth's environment and this means we slowly but surely build up an electrical charge. Not everybody is going to benefit from earthing, but there does appear to be some truth in the concept and [it] warrants further research. "Our nervous system is electrical and you really only need slight alterations to your [body's equilibrium] over long periods of time to have health effects." The best way to release the accumulated charge is by taking our shoes and socks off. "Walking barefoot on moist earth makes better electrical contact with our bodies and hence allows discharge [earthing]," says McFarlane, who adds that earthing may feel strange initially. "Because we constantly wear shoes, our feet are soft and we don't like that feeling of pressure."

  • @tinagorges3741
    @tinagorges37416 жыл бұрын

    Shukrani sana kwa somo ni sahihi kabisaa

  • @nasryomary6203
    @nasryomary62034 жыл бұрын

    Mjomba anaongea point sana love you so much

  • @SimuliziMix
    @SimuliziMix6 жыл бұрын

    mbali na kufurahi ....nimepata uelewa .....I am Me...😍😍😍😍😍

  • @zainabswaleh4907

    @zainabswaleh4907

    6 жыл бұрын

    Hahaaa

  • @jacksongithae5173
    @jacksongithae51736 жыл бұрын

    Nimekuwlewa mjomba 101%

  • @MhamooodmoMhamooodmo
    @MhamooodmoMhamooodmo4 жыл бұрын

    😂😂😂Nimecheka kifalankweli. sijuwi mnanielewa 😁🏃🏃🏃

  • @geoffreyluckson8866
    @geoffreyluckson88666 жыл бұрын

    Asante mjomba upo sahihi..sana..

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo6234 жыл бұрын

    Nikimualika mjomba Ulaya wakati wa baridi (winter) hataweza kwenda bila viatu. Viatu ni stara na ustaarabu kutokana na mazingira. Sitoweza kuingia kwenye choo cha Mswahili bila viatu.

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    2 жыл бұрын

    Kabisaa na kuna vyoo vingine ni vichafu sana,bila viatu jmn haiwezekani

  • @sbchris2277

    @sbchris2277

    3 ай бұрын

    Yeye ni mu Africa

  • @SimuliziMix
    @SimuliziMix6 жыл бұрын

    Me nimevunja kitanda tafadhali 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀kila siku nachomelea😁😁😁😁Alhamdulillah nimefurahi kiukweli

  • @janethpallangyo2633

    @janethpallangyo2633

    6 жыл бұрын

    Simulizi Mix Duuuù

  • @edwardkachwele7299

    @edwardkachwele7299

    4 жыл бұрын

    Inategemea kiwango cha kitanda chako, jaribu kuuvunja mkongo au mninga utavunjika mgongo tu ,hizi mastory hakuna mpya

  • @annyrutty657
    @annyrutty6574 жыл бұрын

    Amna ukwel wowote hayo maneno tu😌et mtu yupo kny shughul anachat 😂

  • @zainabguthera7923
    @zainabguthera79236 жыл бұрын

    Masha Allah we love u mjomba+974 following u.

  • @nasibumbiro5526
    @nasibumbiro55266 жыл бұрын

    Mambo ni 🔥🔥🔥

  • @christophermlaponi534
    @christophermlaponi5344 жыл бұрын

    Mmm, sina hakika na majibu hayo kama ni geunine au la ! Ila kuvua viatu kabla ya kuingia ndani siyo lazima, hiyo utegemeana na mambo yafuatayo; 1. Aina ya nyumba, 2. Aina ya watu, 3. Mazingira, 4. Mfumo wa maisha nk ! Maana kulingana na hayo manne hapo juu, basi kuna wengine wakitoka kazini, anashuka kwenye gari yake na kuingia sebuleni, then jikoni nk bila kuvua viatu, yaani mazingira yake, mfumo wake wa maisha nk vinaruhusu !

  • @leonardfrednand6810

    @leonardfrednand6810

    3 жыл бұрын

    Anatuchanganyat

  • @geraldtarimo2550

    @geraldtarimo2550

    2 жыл бұрын

    Mchawi wewe

  • @johnmamba682

    @johnmamba682

    2 жыл бұрын

    Anasema pale unapovua viatu unajisikiaje?

  • @amanipriva6055

    @amanipriva6055

    Жыл бұрын

    Kwan hvyo viatu unalal navyo o

  • @amanipriva6055

    @amanipriva6055

    Жыл бұрын

    Lazma uvue tu

  • @mansalu112
    @mansalu1126 жыл бұрын

    mjomba nakukubali miaka yote mungu akujalie miaka mingi tutafahamu mengi kupitia wewe mjombaaaaaaaaaaaaa

  • @AdelaMusa-ut5mx
    @AdelaMusa-ut5mx3 ай бұрын

    Mjomba mi ndo yule mpwa wako adela nakubali maneno yako

  • @salomepwele4962
    @salomepwele49624 жыл бұрын

    Tunakuelewa mjomba, mzee wa nyumba ni choo. Eti kitanda sita kwa sita kuna ndoa hapooo

  • @yoeljaphet4557
    @yoeljaphet45576 жыл бұрын

    Wazee wetu walikuwa wanachomeka mkuki nje wanafunga mlango watu wakigonga wanaambiwa tumesafiri 😁😁😁😁😁😁😁😁Mjombaa hapo nimekuelewa

  • @bilalbinali1227

    @bilalbinali1227

    6 жыл бұрын

    Noel Mbwilo 😂😂😂wameenda kwenye shuhuli

  • @kitonekantasha1687

    @kitonekantasha1687

    6 жыл бұрын

    Noel Mbwilo ndo kamaniisha nn

  • @kitonekantasha1687

    @kitonekantasha1687

    6 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @yoeljaphet4557

    @yoeljaphet4557

    6 жыл бұрын

    Kitone Kantasha1 😁😁😁😁cku hizi ukiwa romantic ya mkeo mara jirani anagonga kuja kuazima chaji ya smartphone

  • @yoeljaphet4557

    @yoeljaphet4557

    6 жыл бұрын

    Bilal Bin Ali .😁😁😁😁😁

  • @sidebale3163
    @sidebale31636 жыл бұрын

    kwl ww mjomba you deserve one love

  • @shamumaabdala6341
    @shamumaabdala63413 жыл бұрын

    Penda sana kaka mpoto wa kunyumba ,ruvuma kwetu

  • @standardtv3494
    @standardtv34946 жыл бұрын

    Ingekuwa kutembea peku unapata hizo taranta basi waokota makopo wangekuwa nazo nyingi maana wanatembea mpaka kwenye mabwawa

  • @josephmwachalula6134

    @josephmwachalula6134

    6 жыл бұрын

    fabian sylivestet nimecheka mnoo kaka. Ila kweli kabisa. Taranta za kuokota pekupeku nazisikia kwa Mpoto

  • @aminakawiche6867

    @aminakawiche6867

    5 жыл бұрын

    hahahahahaaaaaaa

  • @jeremiajuma9659

    @jeremiajuma9659

    5 жыл бұрын

    standard TV unajitahidi kutembea bila viat

  • @fremwamedia1976
    @fremwamedia19766 жыл бұрын

    Mmmhh!!! Ni imani yake ,kuna watu wanamini kuwa ng'ombe ni mungu .

  • @ruthogungo

    @ruthogungo

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @elizabethmwandu9899
    @elizabethmwandu98996 жыл бұрын

    Mmmmhu hili la kuvaa viatu maelezo yako sijayaelewe sio kutokuvaa viatu labda umepewa masharti sehemu fulani hivi amazing ila hapa unataka kutuzuga tu. Hayaaaa yetu macho.

  • @user-xj3ss3rq9n
    @user-xj3ss3rq9n4 ай бұрын

    Mfano mjomba bint anajarbu mara Moja tu. Tyari mjamzito tunatumia Uzaz wa mpango Uzaz upon sana maisha magumu mjomba..

  • @edgarngomani8208
    @edgarngomani82086 жыл бұрын

    noma sana

  • @asumaniwilongela1310
    @asumaniwilongela13105 жыл бұрын

    mtukutokuvaa viatu nimasharti aliyopewa muachekudanganywa uyomuongo kweli😂😂

  • @mariakilimo5577

    @mariakilimo5577

    3 жыл бұрын

    Na ww kapewe mashart

  • @mariakilimo5577

    @mariakilimo5577

    3 жыл бұрын

    Na ww kapewe mashart

  • @omarndege811
    @omarndege8114 ай бұрын

    💯 nakubaliana. Na. Mjombangu. Mrisho. Aisei. Yupo. Sahihi. Maneno. Anayo yasema. 🤝

  • @millyisiji3577
    @millyisiji35776 жыл бұрын

    😂😂😂😂Nimependa sana

  • @idrisarashidi7453
    @idrisarashidi74534 жыл бұрын

    😂😂😂😂 hii ni interview ya mwakaaaa

  • @kissjohantho6722
    @kissjohantho67226 жыл бұрын

    ivi sijui mnanielewaaa😂😂😂

  • @fofomohammed6253

    @fofomohammed6253

    6 жыл бұрын

    Johnny Anthony 😂😂😂

  • @shanimbaruku2071

    @shanimbaruku2071

    6 жыл бұрын

    Nakuelewa sana mjomba

  • @dicksonbakari5679

    @dicksonbakari5679

    4 жыл бұрын

    Johnny Anthony MN

  • @mariaamosy2701
    @mariaamosy27014 жыл бұрын

    Mjomba nimekuelewa sn kwa somo😅😅😅😅Jmn mjomba

  • @nassorojuma6250
    @nassorojuma62506 жыл бұрын

    Apana chezea mjomba 👏👏👏👏👏

  • @aishahassan9211
    @aishahassan92116 жыл бұрын

    Goli moja tu hoihaaaaahaaaaHaaaa mjomba mbavu zangu miee

  • @tysonmichael7322

    @tysonmichael7322

    5 жыл бұрын

    Umecheka mwenyew yaan mmh

  • @hussenadam5143

    @hussenadam5143

    5 жыл бұрын

    Aisha Hassan ooo

  • @semhineshauri3410
    @semhineshauri34105 жыл бұрын

    Did you know that you can benefit a lot by walking barefoot? When your bare skin comes in contact with the earth directly, the negative ions present in the earth can help balance the positive ions in your body and this will improve your health in many aspects. Many of us have read or heard that there are pressure points in our body. When we walk barefoot on sand or on grass, the pressure on our foot activates the acupuncture points. This in turn, energizes our body and improves our health.

  • @maikofrae560
    @maikofrae5604 жыл бұрын

    Mjomba mm namwelewa Sana maneno yake

  • @omarndege811
    @omarndege81111 ай бұрын

    Mjomba hongela kwa majibu yako ,

  • @vanessadahnilly8551
    @vanessadahnilly85516 жыл бұрын

    Sijui mnanielewa lakini 😂😂😂😂😂 tuna kuelewa mjombaaa

  • @bantuempress1744

    @bantuempress1744

    6 жыл бұрын

    😂😂😂😂nmecheka kishenzi

  • @vanessadahnilly8551

    @vanessadahnilly8551

    6 жыл бұрын

    chriss cherry hunishindi mimi sijui unanielewa? 😂😂😂😂😂😂😂

  • @mbunahchannel2179

    @mbunahchannel2179

    6 жыл бұрын

    rahaaaaa

  • @InnohubGroup

    @InnohubGroup

    6 жыл бұрын

    Vanessa Dahnilly 😂😂😂😂😂😂

  • @sadaabdallah1641

    @sadaabdallah1641

    6 жыл бұрын

    Vanessa Dahnilly hahahaahaa

  • @fklouisviutton9424
    @fklouisviutton94246 жыл бұрын

    Hapo ndipo mjomba!! Support 💯 🇰🇪

  • @jovinabunyomyo3993
    @jovinabunyomyo39936 жыл бұрын

    doctor kimbuka basi shemeji yetu Leo hapumui😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @anesmusbuchichi2555
    @anesmusbuchichi25555 жыл бұрын

    Mjombaaa ,,,napenda nyimbo zako

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja40326 жыл бұрын

    mjombaaaaaa👊👊🔥

  • @allybanda8252

    @allybanda8252

    6 жыл бұрын

    Johnson Chonja p

  • @akhuiramamzuzu7130
    @akhuiramamzuzu71306 жыл бұрын

    Huyu aende nchi za uarabun miez Kama hii afu atembee bila viatu ndo atajua kwann watu wanavaa viatu😂

  • @Slama-bq1hb

    @Slama-bq1hb

    6 жыл бұрын

    Akhui Rama Mzuzu 😂😂😂kwa jua hili

  • @masikaninah9078

    @masikaninah9078

    6 жыл бұрын

    Aje hapa riadh kwanza

  • @chubaali3090

    @chubaali3090

    6 жыл бұрын

    Akhui Rama Mzuzu hahahahahaha atakoma yeye solar 45 degrees

  • @akhuiramamzuzu7130

    @akhuiramamzuzu7130

    6 жыл бұрын

    Slama9876 9876 kwaiyo kwa hii namba nakupata 😛😛

  • @edinaokhonga1255

    @edinaokhonga1255

    6 жыл бұрын

    Miguu zitaaka moto😂

  • @princesssalmahtz4531
    @princesssalmahtz45316 жыл бұрын

    Hahahahah mjomba wew ni noma sikuwezi

  • @wlkmwlkm2912
    @wlkmwlkm29126 жыл бұрын

    Mjombaaaa da dida sio kwa kicheko hichoo 😘😘😘

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja69804 жыл бұрын

    siri ya anko kutovaa viatu ni yakwake mwenyewe sinaimani na hayo anayoyasema tumwachie mwenyewe ##

  • @safielchambua9798

    @safielchambua9798

    4 жыл бұрын

    Mjomba mjomba mh

  • @aminaluttu649

    @aminaluttu649

    4 жыл бұрын

    Unaakil sana

  • @zachaamaster5378

    @zachaamaster5378

    2 ай бұрын

    #ww kichw san kuliko wote humu walio comment

  • @maryannqueen7356
    @maryannqueen73566 жыл бұрын

    😂😊😂😂😂😂😂😂😂dah! Sijacheka interview ingine HIVI 🤣🤣 Mjomba waeleze hao watoto.. ati wanawahi KIPINDI 😂😂

  • @maryannqueen7356

    @maryannqueen7356

    6 жыл бұрын

    @mrishompoto sio FEK

  • @mussamaduka2828

    @mussamaduka2828

    5 жыл бұрын

    @@maryannqueen7356 mbona unatuonea wanaume

  • @maryannqueen7356

    @maryannqueen7356

    5 жыл бұрын

    mjomba kanena........muache kuwahai kuingia insta hahhahhahhah!

  • @mussamaduka2828

    @mussamaduka2828

    5 жыл бұрын

    @@maryannqueen7356 naomba tuchat whatsapp 0767973122

  • @daniellyimo8610

    @daniellyimo8610

    5 жыл бұрын

    Maryann Queen Huo ni Mtazamo wake

  • @bayserjr4713
    @bayserjr47136 жыл бұрын

    Big Up MJombaaaaaa We mkali

  • @salmahanai3601
    @salmahanai36012 жыл бұрын

    kwa kweli maneno yko ni mafundisho tosha nimependa sana sana

  • @damslandscapeworksadams6793
    @damslandscapeworksadams67936 жыл бұрын

    Tunaomba ushaidi wa maandiko wapi m/mungu ameelekeza ivyo....

  • @neemabarikiely1640

    @neemabarikiely1640

    3 жыл бұрын

    Kwel baba ushuhuda wa maandiko

  • @SabasMbuya-vn4yz

    @SabasMbuya-vn4yz

    Жыл бұрын

    Sikila kitu kinafaa. Usivutwe kwa maneno Mazuri ya kinywa. Kama hakuna andiko lolote hilo jambo siyo kweli. Mnarisishwa na vitu au tabia. Nanukuu km baba ni mchawi n.k utarithi Mjomba amekubali kurithi vyote alivyo fanya baba yake. Je imekaa sawa

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    11 ай бұрын

    Huyu Mpoto sio mtaaluma kwenye historia. Asemayo ni ya kufikirika tu. Yeye aimbe tu. Nabii Daudi aliimba na alivaa viatu hata vitani !! Ni UONGO USIOVUMILIKA KWA MWANA MAZINGIRA YEYOTE.

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni42586 жыл бұрын

    😳😂😂😂Mjomba ume tisha 🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️

  • @gaspermlay6963
    @gaspermlay69635 жыл бұрын

    mlangoo umefungaaa hyo statement inamchechetooo sana

  • @mwanjammassa8563
    @mwanjammassa85636 ай бұрын

    😂Mjomba, Ubarikiwe sana

  • @angienas7161
    @angienas71616 жыл бұрын

    Njooni tuvunje vitanda wadau 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hoyeeeh

  • @ndugusanga4779

    @ndugusanga4779

    5 жыл бұрын

    Hahahaha utawezaa

  • @joelkamunga1604

    @joelkamunga1604

    5 жыл бұрын

    Angie Ladyheart mhuu

  • @bahatialex5243

    @bahatialex5243

    4 жыл бұрын

    Utaweza kumiliki masaa 12

  • @mamafatuma138
    @mamafatuma1386 жыл бұрын

    Mm pia nampenda sana mjomba

  • @jasminebaibe7355

    @jasminebaibe7355

    6 жыл бұрын

    Binesi Harun mjomba yuwaniwacha hoi 😂😂

  • @mamafatuma138

    @mamafatuma138

    6 жыл бұрын

    +Jasmine baibe mjumba maneno yake wacha wengi hoi lkn penda sana nikipata nauli nitakuja mjomba❤❤❤

  • @stadiusbarongo761

    @stadiusbarongo761

    6 жыл бұрын

    +Binesi Harun gooda

  • @mamafatuma138

    @mamafatuma138

    6 жыл бұрын

    +stadius barongo maan

  • @GraceHassan-sy3tt
    @GraceHassan-sy3tt10 ай бұрын

    😂😂 hiyo ni Siri ya mjomba ni ngumu kuiweka wazi

  • @jobnmp2487
    @jobnmp24876 жыл бұрын

    daaaaaaa mjombaaaaa hatar sanaaaaa tuna weka 😛😛😛

  • @athanastheonest6728
    @athanastheonest67286 жыл бұрын

    Haya bana mrisho mpoto

  • @helenmark7965
    @helenmark79656 жыл бұрын

    Maneno yake ni kweli kabisa

  • @chalesminja4930

    @chalesminja4930

    5 жыл бұрын

    Du hapana

  • @debrastudio8213
    @debrastudio82136 жыл бұрын

    😂😂😂😂 Mjomba umetisha bhanaaa km nakubali vileee

  • @mwassyazeez26

    @mwassyazeez26

    5 жыл бұрын

    Mjomba umetisha🤣😂😂 Lkn vaaa viatu buanah🙊

  • @yhohandoto9521
    @yhohandoto95216 жыл бұрын

    uko sawa mjomba big upp

  • @salmaothman153
    @salmaothman1536 жыл бұрын

    mbavu zangu mie 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jonathanmagayane4765

    @jonathanmagayane4765

    6 жыл бұрын

    ambasada

  • @rosechaula3147

    @rosechaula3147

    6 жыл бұрын

    mjomba kuanzia leohatamiminaachakuvaaviatu.

  • @luganuzimuwelu9544

    @luganuzimuwelu9544

    6 жыл бұрын

    Salma Othman !

  • @jamalalhabsi5649

    @jamalalhabsi5649

    5 жыл бұрын

    Jamen mjomba asemaukwell

  • @msaflus2492
    @msaflus24926 жыл бұрын

    wenye shughuli zao waache wafanye shughuli zao

  • @aminamsinjepindonn5345

    @aminamsinjepindonn5345

    5 жыл бұрын

    Mjomba 😁😁😁😁

  • @user-wg5so4sd1e
    @user-wg5so4sd1e4 ай бұрын

    I love you mjomba elim yako nzuri sana

  • @aliymurid4433
    @aliymurid44334 ай бұрын

    Mtume صلى الله عليه وسلم. Pia alikua anawaa amrisha maswahaba wake. Baadhi ya mda watembee miguu. Chini.

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy70436 жыл бұрын

    Mjomba hyo baba ako alikuwa mkali kama baba angu aliowa wake 13 na alipata watoto 30 haki kwamaisha yasasa sio pouwa

  • @thedeo472
    @thedeo4726 жыл бұрын

    Kutovaa viatu ni uchafu!!!!

  • @silvanussinda6637

    @silvanussinda6637

    6 жыл бұрын

    DIOO DEO mjinga ww

  • @kikerekasusu7155

    @kikerekasusu7155

    6 жыл бұрын

    Ninachojua KUTOKANA NA kusoma vitabu vya afya vyenye makala na tafiti mbalimbali angalau kwa wiki upate dk 5-15 za kukanyaga chini bila viatu na sababu kubwa inayoelezwa Ni kwamba Kuna seli huwa zinakufa huko nyayoni na pia Kuna taarifa zinapaswa kupitia huko kwa hiyo ukikanyaga chini Kuna mchanga au changarawe vitaamsha mawasiliano mliosoma sayansi mnajua majina kamili ya hivyo vitoa na vipokea taarifa.Hiyo ya kutokuvaa kabisa nayo Ni kitu kingine!!madaktari tuelezeni vizuri kuhusu hili la kutovaa viatu

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn3 ай бұрын

    Pole shangazi hanaga masihara kwenye hyo shughuli😂😂😂😂😂

  • @victorwilbard2585
    @victorwilbard25854 жыл бұрын

    Hapo kwenye kutokuvaa viatu hajaeleza vizuri

Келесі