Mr Beneficial kwenye stage. Final Edition| CHEKA TU.

Комедия

Пікірлер: 545

  • @nanagreco814
    @nanagreco8144 жыл бұрын

    Huyu mtoto anautumishi ndani yake,,, mweny macho ya rohoni anaelewa ninachoongea,,,, ipo siku atakuja kuwa mtumishi mkubwa,,, Mungu akutunze BRIAN

  • @levocatuspjohn8638

    @levocatuspjohn8638

    11 ай бұрын

    Hata mimi nimeona

  • @UsafiMichael-mc8kt

    @UsafiMichael-mc8kt

    10 ай бұрын

    Anaitwa brian

  • @sophylaurian8186
    @sophylaurian81865 жыл бұрын

    Watu hucheka sana lakinia mwenzenu hapo kasha hubiria mtu kuhusu habari njema ya Yesu hapo nimtu kujiongeza

  • @smavilifestyle2471

    @smavilifestyle2471

    5 жыл бұрын

    Umewaza kama mimi...yan huyu ni mtumishi wa Mungu kabisa

  • @unknownsshayo1527

    @unknownsshayo1527

    5 жыл бұрын

    dhuuu!!! ni kweli

  • @tomasikisase7478

    @tomasikisase7478

    5 жыл бұрын

    @@unknownsshayo1527 kabisaa

  • @ayubukalamba5573

    @ayubukalamba5573

    5 жыл бұрын

    Beni uko vizuri sana

  • @beatriceandrew8623

    @beatriceandrew8623

    5 жыл бұрын

    Kabsa

  • @doreenswai7805
    @doreenswai78053 жыл бұрын

    Kama unamkubali huyu jamaa anavyo bonga piga like apa

  • @jumagubert5552

    @jumagubert5552

    2 жыл бұрын

    Big up

  • @bilioneatilionea7727
    @bilioneatilionea77275 жыл бұрын

    Mimi nimvivu kucoment nimekukubali big up much

  • @imanilaurent9270

    @imanilaurent9270

    5 жыл бұрын

    kwel

  • @felislitajonathan4189

    @felislitajonathan4189

    3 жыл бұрын

    Sana

  • @abdallahwatende6676

    @abdallahwatende6676

    3 жыл бұрын

    Nakubal mkali wao

  • @mariyaal5366
    @mariyaal53664 жыл бұрын

    Nimekupenda unavomtanguliza Mungu kwanza utafika mbali jitaidi

  • @graychuma2708
    @graychuma27085 жыл бұрын

    Wana mambo ya kiwaki 😂😂😂😂😂😂😂😂kifo cha kokorochi god bless you bro stay here

  • @cathbertsakaya5977
    @cathbertsakaya59775 жыл бұрын

    malaika wanaazimana external 😂😂😂😂😂.... ...nakukubali sana unavyomtanguliza mungu.. ....@Free Tunaishi

  • @deogratiaselias3294
    @deogratiaselias32944 жыл бұрын

    Jamaaa unampenda mungu thankyuu so much ndio maana unafanikiwa

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana18244 жыл бұрын

    Umehubir mr beneficial kweli Mungu akubariki

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92185 жыл бұрын

    Ben wewe Nouma sana yani mungu kwanza ubarikiwe sana

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow13235 жыл бұрын

    Uwiiiii saf sana asee niliisubiri sana hii yafunga mwaka mpo vizur broo nakubaliii

  • @mariammwanzalila8400
    @mariammwanzalila84004 жыл бұрын

    Nilikuwa nimelala bila kusali duuh nimeamka kusali 😭

  • @nickrocker_tz5282
    @nickrocker_tz52825 жыл бұрын

    ma like ya malaika wanoazimana external kwa hapa fasi

  • @maryangela107
    @maryangela1075 жыл бұрын

    aise kaka napenda unavyomtangulizaga mungu jamani ubarikiwe Sana beni

  • @gabrielgidasangahalamga6875

    @gabrielgidasangahalamga6875

    5 жыл бұрын

    nice

  • @tuwalasway1117

    @tuwalasway1117

    5 жыл бұрын

    Nakukubal

  • @esterjohn8333

    @esterjohn8333

    5 жыл бұрын

    Mambo vp

  • @obamawabongo1147

    @obamawabongo1147

    4 жыл бұрын

    @@tuwalasway1117 pambanayaelayote

  • @urokipatson543

    @urokipatson543

    3 жыл бұрын

    kwema

  • @gabrieldaniel5328
    @gabrieldaniel53285 жыл бұрын

    kaz nzur mjomba ila...elew kuwa kit kinamuda wake....mafanikio unayoyapat Leo fany kama haitotokea tena.....nadhan utafanyia jambo la maana.....napenda kazi yako ...pia napenda ufanikiwe kupitia kaz ako kama wengne walivofanikiwa...

  • @samwelimadaraka4358
    @samwelimadaraka43585 жыл бұрын

    Chuga moja kama unamuelewa gonga like

  • @elibarickbarnabas955

    @elibarickbarnabas955

    5 жыл бұрын

    We chuga noma sana

  • @shitakacheko7839

    @shitakacheko7839

    4 жыл бұрын

    @@elibarickbarnabas955 ni mtu mmoja hivi hatari sana kwenye kazi yake chuga oyyeeeeee

  • @mossesmayunga3608

    @mossesmayunga3608

    4 жыл бұрын

    Chuga hatari sanaaaa

  • @mrjohn4446
    @mrjohn44465 жыл бұрын

    These is using comedy to preach word of God, very good

  • @gmkatoliki5598

    @gmkatoliki5598

    2 жыл бұрын

    Hongera Sana

  • @gladynaasi2390
    @gladynaasi23905 жыл бұрын

    Eti tunawachosha malaika hahhahaha.... Bryan we kiboko ya Cheka tu😂😂😂

  • @wiliammarry1995

    @wiliammarry1995

    4 жыл бұрын

    Vp

  • @raymondulimbagha7580

    @raymondulimbagha7580

    4 жыл бұрын

    Haaaahh

  • @eliyadiga3482

    @eliyadiga3482

    2 жыл бұрын

    Mop

  • @neemamsabaha1112
    @neemamsabaha11125 жыл бұрын

    💝💝 nikikupataa milele nitafrahii nmependa instrumental 😍😘

  • @issaganjo3979

    @issaganjo3979

    5 жыл бұрын

    SIMBA V TP

  • @fatumashabanfatumawawapimy1157

    @fatumashabanfatumawawapimy1157

    4 жыл бұрын

    Hallow et wanaazmana extenal

  • @merryeduward3028
    @merryeduward30285 жыл бұрын

    Aiseee wew kaka umetisha mkono wabwana ni mkuu sana aisee umenichekesha ww

  • @damianmosoka8254
    @damianmosoka82545 жыл бұрын

    Dah sema mmechelewa kuipost

  • @neemarichard3474
    @neemarichard34745 жыл бұрын

    Wakurya wenzang naomba like hapa

  • @emmapalanjo2316

    @emmapalanjo2316

    5 жыл бұрын

    Like ya nini sasa mm sijaelewa

  • @nyamingoxamwita2812

    @nyamingoxamwita2812

    5 жыл бұрын

    Neema richard Among'ana

  • @denisimarwa1910

    @denisimarwa1910

    5 жыл бұрын

    Eeeeeeeeeee tupo

  • @philipomartin1407

    @philipomartin1407

    5 жыл бұрын

    Neema richard Hahahahaha

  • @tonymlatino4810

    @tonymlatino4810

    5 жыл бұрын

    Baby hadi hukuuuuuuu

  • @anoldnelson6109
    @anoldnelson61095 жыл бұрын

    Chuga noma sana kama una wakubali kongo like apa

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana18244 жыл бұрын

    Ufunuo huo hakika blessed umeifanya kazi yako kwa sanaa ujumbe umefikaaa

  • @kilazajr3720
    @kilazajr37205 жыл бұрын

    halafu huyu mshikaji anafanana gnako.

  • @saidjagger.5543

    @saidjagger.5543

    4 жыл бұрын

    Sana

  • @jonathanigwila1293

    @jonathanigwila1293

    4 жыл бұрын

    Sana

  • @linustarimo8170

    @linustarimo8170

    3 жыл бұрын

    Saana

  • @vailethmtemekele1347
    @vailethmtemekele13473 жыл бұрын

    Duuuh,uko vzr kaka,unshubiri injiri kwa njia tofauti Sanaa,kiukweli nimekuelewa,Mungu akubariki

  • @memurutisayanga8308
    @memurutisayanga83085 жыл бұрын

    Nammi nimeuona mkono wa Bwana,,,,,, uko juuuuu xana brooo

  • @jeydanjapheth7701
    @jeydanjapheth77015 жыл бұрын

    God ana fight tutoboe heaven #hahahaaaaaa

  • @ericstephenm.844
    @ericstephenm.8445 жыл бұрын

    Good job cheka tu. You are the Churchill of Tz. Your shows are 🔥🔥🔥. Pia it's very good mmefanyia kazi video colour!!!👏👏👏 Keep going!!!

  • @nahyambiduka8580
    @nahyambiduka8580 Жыл бұрын

    2022 September still his king of stand up comedy....

  • @shaidashivan3071
    @shaidashivan30715 жыл бұрын

    Kama unapakubali matejoo ngonga like

  • @shizzohwaka8868

    @shizzohwaka8868

    5 жыл бұрын

    u.s.o United street of ol matejo Bofya Kwa KZread channel yangu kuangalia VIDEO yangu mpya wakashina ft Mon genius Chalii ya matejooo Wakashina

  • @bakarybeka4788

    @bakarybeka4788

    5 жыл бұрын

    Shaida Shivan q

  • @malynarda2682

    @malynarda2682

    5 жыл бұрын

    The best guys

  • @kashwaziri6463

    @kashwaziri6463

    5 жыл бұрын

    Shaida Shivan cc

  • @peterreward9151

    @peterreward9151

    5 жыл бұрын

    Shaida Shivan barna

  • @damianmosoka8254
    @damianmosoka82545 жыл бұрын

    Keep it up Mr beneficial

  • @rastylerepublik
    @rastylerepublik4 жыл бұрын

    Wenye dhambi ndogo ndogo watakua wakiota Moto😂😂👊👊🇰🇪

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha40305 жыл бұрын

    Mbeba camera lazima ujue kuchezesha camera kuchukua audience na mshereheshaji sasa nusu saa unamwangalia tu mtu mmoja

  • @chiloclassic7004

    @chiloclassic7004

    5 жыл бұрын

    Joel Joel kesoy anazingua huyo camera man

  • @pendocharles8786

    @pendocharles8786

    5 жыл бұрын

    kaabisaa

  • @sammanjeka7357

    @sammanjeka7357

    5 жыл бұрын

    Umeongea ukwel mkal

  • @earlybird5647

    @earlybird5647

    4 жыл бұрын

    Kaifanye wewe hio kazi alafu atajua

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz28875 жыл бұрын

    yaaani narudia kila siku ,,,,Mr Beneficial plz mbavu zangu

  • @johnrogath1066
    @johnrogath10665 жыл бұрын

    hahahaha malaika wanaazimana external

  • @kelvinnassary6165
    @kelvinnassary61652 жыл бұрын

    2022 on February am still interested in this comedy

  • @Iamraychris
    @Iamraychris5 жыл бұрын

    Mavazi yake yameninasa sana bro wewe chizi wakueneya kama mkali amunautofauti wowote kwau chizi

  • @tripple5
    @tripple55 жыл бұрын

    wale tutakaosema turudishie apoo nyumaaa tupooo umuuu 😂😂😂😂😂😂

  • @gisanisaizack7651

    @gisanisaizack7651

    5 жыл бұрын

    Hahahahahaaa

  • @dakwajuuonline8200

    @dakwajuuonline8200

    4 жыл бұрын

    Vp

  • @jonathanigwila1293

    @jonathanigwila1293

    4 жыл бұрын

    @@dakwajuuonline8200 safi

  • @benjaminiwilliam2648
    @benjaminiwilliam26485 жыл бұрын

    Mr Benefial upo vizur komaaaaa kuendelezea kipaji

  • @daudfyedrack6144
    @daudfyedrack61445 жыл бұрын

    Mungu akubaliki

  • @neemaneema5215
    @neemaneema52155 жыл бұрын

    Gabu gabu ganu jamani uwiiii

  • @dwhitetz4213
    @dwhitetz42135 жыл бұрын

    angalia shalo alivyo fanya usiku kuamkia leo

  • @lomayanmigaro2779

    @lomayanmigaro2779

    5 жыл бұрын

    Chali wa R good

  • @rehemammbando5791

    @rehemammbando5791

    5 жыл бұрын

    Hongera sana mwanangu kipaji ni kwafamilia yenu wote nawaelewaga sana hongera mno

  • @syliviansteven5570

    @syliviansteven5570

    4 жыл бұрын

    Nice

  • @chibaleh.vicent4705
    @chibaleh.vicent47055 жыл бұрын

    May God Bless You Brother

  • @tegemeareuben7618
    @tegemeareuben76182 жыл бұрын

    Haki this man is preaching

  • @sweetestgospelmelodies5723
    @sweetestgospelmelodies57235 жыл бұрын

    KAMA umesikia malaika wanaazimaana ma external ni masikio yako😂😂😂

  • @frankjuma1689

    @frankjuma1689

    2 жыл бұрын

    Kwa kweli nimecheka kwa saut walah

  • @geofreywayesu5638

    @geofreywayesu5638

    2 жыл бұрын

    Gonga like

  • @AlexMakanta-zn3zc
    @AlexMakanta-zn3zcАй бұрын

    Jamani huyu jamaa alipotelea wapi? Naangalia Leo tarehe 18/06/2024

  • @elizabethbuhatwa987
    @elizabethbuhatwa9872 жыл бұрын

    Safi Sana head boy wetu duuh nimefurahi themi moja

  • @stellahyohanna6038
    @stellahyohanna60383 жыл бұрын

    Ubarikiwe charrrry kutukumbusha god 😍 bless

  • @eliaburuhaza4735
    @eliaburuhaza47355 жыл бұрын

    Mungu kwanza,, nakubali sana broo

  • @bellamygong
    @bellamygong5 жыл бұрын

    Nataka kulijua jina la hii nyimbo aloingia nayo TAFADHALI 🤗🤗🤗🤗

  • @lebecajuma1707

    @lebecajuma1707

    5 жыл бұрын

    Bellamy Gong Unaitwa mkono wa Bwana

  • @johnsiapetro3885

    @johnsiapetro3885

    5 жыл бұрын

    MKONO WA BWANA

  • @lebecajuma1707

    @lebecajuma1707

    5 жыл бұрын

    Johnsia Petro ndio

  • @lovebaby9305

    @lovebaby9305

    5 жыл бұрын

    Mkono wa bwana

  • @briannyiti208

    @briannyiti208

    5 жыл бұрын

    Inaitwa Mkono wa bwana zabron singers kahama

  • @mikaelmashimba4374
    @mikaelmashimba43744 жыл бұрын

    Mr Ben punguza kidogo uko vizur ila kwa kutumia maandiko na kuzungumzia habar za Mungu katika vichekesho nikushauri uache najua unaelewa nini namaanisha mengine sio lazima niandike hapa

  • @katebrown4209
    @katebrown42095 жыл бұрын

    Unazid kukua chalii ya r soon unaenda to the world

  • @sirmwita3351
    @sirmwita33515 жыл бұрын

    Hii ni show yangu, nafurahi sana uwepo. Marekebisho ni madogo tu, kwanza muwe mnawaisha kuipost, pili mfanye promotion za kutosha, mfike na mikoani, then camera man ajitahidi kuonesha na audience. But keep it up

  • @geraldpeter9370

    @geraldpeter9370

    4 жыл бұрын

    Another 1 h

  • @maswinyabichemo7760
    @maswinyabichemo77605 жыл бұрын

    Mura dhambi ni dhambi mura embu ingia huku😂😂😂😂😂😂

  • @judithsobore3778
    @judithsobore37783 жыл бұрын

    Uko poa sana brother bigup

  • @henrykimaro6591
    @henrykimaro65915 жыл бұрын

    Daaah unatisha sana mkaliwadee🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗

  • @godisgood8700
    @godisgood87004 жыл бұрын

    Wasukuma wenzagu naomba like zenu jamani

  • @tabumboje7416

    @tabumboje7416

    4 жыл бұрын

    Chukua

  • @jozzsimbatv1199

    @jozzsimbatv1199

    4 жыл бұрын

    Michembe ginehe

  • @dazmeddvevo2375
    @dazmeddvevo23755 жыл бұрын

    Sisi hao chalii ya chuganian fas ya hapo Kat😂😂😂😁😁😁😂😂Hamna kaz hapo 😁😁😂😂😂😂hutaki au 😯😯😯😯😯😯😯😯😯😯😯😯😈😈😈😈😈😈😡😡😡😡😡😡😡😡😡

  • @simonleskar5018

    @simonleskar5018

    5 жыл бұрын

    yechu sana ben umetisha sanaa

  • @migostv2151

    @migostv2151

    5 жыл бұрын

    Daz Medd Nandy

  • @afandebrighttz2887

    @afandebrighttz2887

    5 жыл бұрын

    Migos TV hahaaa

  • @samwelyizrael7122

    @samwelyizrael7122

    5 жыл бұрын

    @@afandebrighttz2887aikatox baba

  • @chitumwaipopo4089

    @chitumwaipopo4089

    5 жыл бұрын

    OK

  • @philemonsamwel7761
    @philemonsamwel77612 жыл бұрын

    Alikuwa Ana roho mbaya NYOKA, enzi za uhai wake nyuma NYOKA by Chindo Man 😂😂😂😂

  • @estermpare4078
    @estermpare40788 ай бұрын

    24 .11.2023 bado nakufwatiliaa chaliiii yangu😅😅

  • @elinaikeregnald9722
    @elinaikeregnald97225 жыл бұрын

    U kill it man....yechu yechuuuuu

  • @mligombuma2287
    @mligombuma22875 жыл бұрын

    Papaa mafido unamtambua lakiniii

  • @maromjay6184
    @maromjay61845 жыл бұрын

    uko vizuri brother beneficial

  • @jmproduction6609
    @jmproduction66095 жыл бұрын

    Mlichelewa sana kui upload mpaka tumeisahau

  • @annakwimbere8723
    @annakwimbere87235 жыл бұрын

    Nakuelewaga knoumaa anii...pambana ya ela ote...😁😀#chuganian

  • @romwaldjumanne2066
    @romwaldjumanne20665 жыл бұрын

    Sanaaaaaaaaaa Nakubal haikatai kabisa

  • @marysixmund5713
    @marysixmund57135 жыл бұрын

    wale tutakao kuwa tunaota moto tujuane tuyajenge tutaenda na mahindi yet ya kuchoma au tutayakuta mbele hahahaha

  • @sundaykateti4275

    @sundaykateti4275

    5 жыл бұрын

    Mary Sixmund 🤣🤣

  • @evacharles9264

    @evacharles9264

    5 жыл бұрын

    Mary Sixmund hahahahha

  • @samweljackson8308

    @samweljackson8308

    5 жыл бұрын

    hahahahaha

  • @ummulkheirzubeir6320
    @ummulkheirzubeir63205 жыл бұрын

    Perfect sana

  • @mwajumasaid4262
    @mwajumasaid42625 жыл бұрын

    😂😂😂umetisha

  • @yusuphmpetu1795
    @yusuphmpetu17955 жыл бұрын

    MB zimetumika halali

  • @tiantopherinnocent
    @tiantopherinnocent5 жыл бұрын

    #kumbuka maneno ya #papaa_mafido_Tz

  • @yusufuhamisi8007

    @yusufuhamisi8007

    5 жыл бұрын

    Usisahahu kurikijnakusheya

  • @samwelkobe6455

    @samwelkobe6455

    5 жыл бұрын

    maneno ya papa mafido kweli man

  • @richardhyera7230

    @richardhyera7230

    5 жыл бұрын

    Yah

  • @tiantopherinnocent

    @tiantopherinnocent

    5 жыл бұрын

    @@samwelkobe6455 kabx mwamba

  • @desultansaid3647
    @desultansaid36475 жыл бұрын

    Yechu yechu ni fire

  • @davidjoseph9292

    @davidjoseph9292

    4 жыл бұрын

    Fire

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 Жыл бұрын

    kila mtu amezaliwa na malaika wake... SI NINAWAULIZA!!! genius hadi leo

  • @jamalimalinzi2752
    @jamalimalinzi27523 жыл бұрын

    Asante tunacheka ili tuongeze siku za kuishi

  • @stanslauspeter314
    @stanslauspeter3145 жыл бұрын

    Eti walele wenyedhambi ndogondgo watakuwa wanaota moto

  • @brunombulanya1189

    @brunombulanya1189

    4 жыл бұрын

    Ni noma xana

  • @malaikamalaika8233
    @malaikamalaika82335 жыл бұрын

    nakukubali sana Arachuga lini

  • @hellaindavid8405
    @hellaindavid84055 жыл бұрын

    Ahahahaha nakukubali sana dingiiiii

  • @RemmyLyimo
    @RemmyLyimo11 ай бұрын

    Ni yechu yechu dingiii haikatox💯

  • @fidelspamba9353
    @fidelspamba93535 жыл бұрын

    Mungu ambaliki beneficial

  • @rehemadaniel6382
    @rehemadaniel63825 жыл бұрын

    Nimecheka mbavu zinauma

  • @alicekephas5461
    @alicekephas54615 жыл бұрын

    He is talent👌

  • @robertedfin9830
    @robertedfin98305 жыл бұрын

    Daaaaaa....nakukubar xan mr

  • @mariammwanzalila8400
    @mariammwanzalila84004 жыл бұрын

    Nakukubali sana bro nipo uarabuni

  • @pastor_emanuel_mmbaga
    @pastor_emanuel_mmbaga4 жыл бұрын

    Jamaa anajuaa

  • @samalocye7725
    @samalocye77255 жыл бұрын

    Umetisha kinoma mzee baba

  • @mtembeibuberwa7680
    @mtembeibuberwa76805 жыл бұрын

    noma sana Dingii Top top juu

  • @kaizersimangwa4719
    @kaizersimangwa47195 жыл бұрын

    Hahaha kali sana mwana

  • @reginakennedy3498
    @reginakennedy34984 жыл бұрын

    Jaman huyu chunga nakupenda sana. Unajua kunifurahisha

  • @elizabethminja5006
    @elizabethminja50065 жыл бұрын

    mim nitaota moto😀😀😀😀

  • @blackjbeauty547
    @blackjbeauty5475 жыл бұрын

    Haikatai mpaka kwa God

  • @jacksonline2831
    @jacksonline28313 жыл бұрын

    Hivi hii cheka tu uko wap nihudhurie hata siku moja jaman..

  • @eliaburuhaza4735
    @eliaburuhaza47355 жыл бұрын

    Malaika wanaazimana external

  • @agonza1949
    @agonza19494 жыл бұрын

    Jmn jmn waooooooooooh i reaaaal lov your wooooork beneficial

  • @neemasekwao5243
    @neemasekwao52435 жыл бұрын

    Nakubari sana 100℅

  • @joycemassawe9295
    @joycemassawe92952 жыл бұрын

    Big up brodher

  • @lovelymonner7804
    @lovelymonner78045 жыл бұрын

    nmependa ulivyoondoka chali

  • @mathiaskizito9780
    @mathiaskizito97804 жыл бұрын

    napenda sana kufanya comedy one day yes

  • @chishasinsungwe7651
    @chishasinsungwe76512 жыл бұрын

    You are talented man

  • @jassonfurgence6180
    @jassonfurgence61804 жыл бұрын

    Mwenye kamera kiwango chako kiko chini sana, sasa unachukuaje mchekeshaji pekee bila wachekaji (watazamaji)?. Be creative bhana we vp camera man????. Ukirekebisha apo mambo yatakuwa👉♨

Келесі