QUEEN DARLEEN AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE “KUACHIKA SIO AIBU, NITAZAA TENA”

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 231

  • @ABDICOM-xu3dr
    @ABDICOM-xu3dr2 жыл бұрын

    Napenda sana wanawake wa kujituma... You are the best Queen... Ndoa lazima iwe na vikwazo... Kuachana kupo Tena sana.. Big up My siz

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei11332 жыл бұрын

    Nakupenda sana mama Balksi allah atakupa mtu alosahihi kwako llove you daaa dalinee😘😘😘❤️❤️❤️🙏

  • @rehemabahaj945
    @rehemabahaj9452 жыл бұрын

    Mama balkis uko vizuri daa kuwa strong

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda27732 жыл бұрын

    NDOA HAITAKI MBWEMBWE ULIZIDISHA SANA.

  • @zezezeze8408

    @zezezeze8408

    2 жыл бұрын

    maneno kuntuuuuu

  • @omanss268

    @omanss268

    2 жыл бұрын

    😀😀😀

  • @sikudhanjuma3987

    @sikudhanjuma3987

    2 жыл бұрын

    @@omanss268 saw

  • @sikudhanjuma3987

    @sikudhanjuma3987

    2 жыл бұрын

    @@omanss268 sw

  • @monalisapeter4899

    @monalisapeter4899

    2 жыл бұрын

    Umeona eeh alikuja kwa mbwembwe hadi akamzarau mwenzie

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif56482 жыл бұрын

    Nakupenda sana darleen,nafurahi kukuona ukiwa na msimamo wako,usiogope binadamu,hawakupi pumzi,uliolewa kwa ridhaa yako na kuiacha ndoa pia ni ridhaa yako,usifu rahishe watu huku nafsi yako inaumia,na kuolewa uke wenza ni ushujaa wa nafsi wengi wanaona ni kama laana,na kuachika ni pale ridhki imeisha na watu wafahamu hilo,ni ushujaa sana kupitia vitu hivi katika maisha,kaza kamba comandoo utafika kupitia bidii na juhudi zako nawala sio kwa kutegemea mwanaume,mapito yako ni fundisho kwa wale wenye ndoa zisizo na msimamo wala faida,hakuna uvumilivu usio na manufaa,vumilia ule mbivu ,mbivu hazipo utakula nini?kila la kheri maisha mema popote uendako❤️

  • @elizabethmkude9452

    @elizabethmkude9452

    2 жыл бұрын

    Safi Sana mama barks Bora pengo kuliko jino bovu akuna kaburi la mjane

  • @faridasalmsalmfarida2584

    @faridasalmsalmfarida2584

    2 жыл бұрын

    Nakupenda qini

  • @faridasalmsalmfarida2584

    @faridasalmsalmfarida2584

    2 жыл бұрын

    Safisana mama byi

  • @Boaz22
    @Boaz222 жыл бұрын

    Hivi kumbe valentine ni mwezi wa nne ..aliesikia kama mimi agonge like 😂🤣🤣🤣

  • @beatricesylvester9917

    @beatricesylvester9917

    2 жыл бұрын

    Nimecheka kama mazuri kuvamia ndoa za watu siku ukipigwa red card unavurugwa hadi Christmas unaweza kusema inakuwa mwezi wa 9🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @allahakujazekheriwowww5694
    @allahakujazekheriwowww56942 жыл бұрын

    Kilasiku ukimpenda mwanaume sana anakuzarawu

  • @hadijahassan6467

    @hadijahassan6467

    2 жыл бұрын

    Umeona eeeeeh

  • @auntiemylee3157

    @auntiemylee3157

    2 жыл бұрын

    Kbx

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @hidayayussufu7080

    @hidayayussufu7080

    2 жыл бұрын

    Saana

  • @lucyhusein4043

    @lucyhusein4043

    2 жыл бұрын

    Achananae huyo kwen dalng mungu atakupa mtu sahii

  • @gracechalagwa9745
    @gracechalagwa97452 жыл бұрын

    Nakupenda sana naomba Namba yako mimi ni mama wa watoto 2 nipo Dodoma

  • @amourdelicieuse2961
    @amourdelicieuse29612 жыл бұрын

    Pole sana funga botte unapitia mengi sana ihi mwaka omba toba kwa wote uliowakosea,na omba Msamehe Mungu apana punguza mwili sana ongeza tena vilo 20kg please omba takaka achana na yule mchamba isiaka ni yuda kama esma

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi98442 жыл бұрын

    Mwanahawa Umeongea ponti sana my fanya kazi achana na maneno ya watu

  • @elizabethmkude9452

    @elizabethmkude9452

    2 жыл бұрын

    Mume wako ndumi walitembelea nyota yako walikuwa awqjulikani umewabust wamejulikana wanajifanya wajanja mungu atakuongoza

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa20522 жыл бұрын

    Safi sana Darini wewe sio limbukeni wa mapenzi chapa kazi kazi iendelehe mwanamke jitambue nini kuhachika bana nani siku hizi analilia mapenzi tuko kikazi zaidi lea wanao nini kujipisti kila mala kwenye mitandao kisa mapezi nakupongeza sana Darin

  • @lichou1942
    @lichou19422 жыл бұрын

    Queen unawez mama usikate tama lov u dada

  • @mwanakomboiddi5317
    @mwanakomboiddi53172 жыл бұрын

    Nakupenda sana wewe upo vizuru upo safi sana

  • @reginamanyangu6682
    @reginamanyangu66822 жыл бұрын

    Aliingia kwangenge kibao vijembe kibao kisa sabra alikuwa hana, alisahau kuwa Mungu wetu ni tajir na hutoa kwa wakati, kutwa vijembe kwa sabra haya kiko wapi pole yake.

  • @btylove1870
    @btylove18702 жыл бұрын

    Kawa mpole now?? Life imemhumble 😄😄. Mungu hapendi kibrii Queen I hope umejifunza. Now piga kazi leo wanao. 🙏

  • @Zainab-sq1tc

    @Zainab-sq1tc

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @btylove1870

    @btylove1870

    2 жыл бұрын

    @@Zainab-sq1tc Kawa nabusaraaa😂

  • @pendowilisonmbogomambogoma2200

    @pendowilisonmbogomambogoma2200

    2 жыл бұрын

    Kweli

  • @fettymurhan229
    @fettymurhan2292 жыл бұрын

    umewapa wenzio umaalufu tulia sasa n bora ungekua huna matashtiti mwanzo kama sasa hiv ingependeza sana uke wenza sio kurushana roho

  • @mariamnjama3963

    @mariamnjama3963

    2 жыл бұрын

    Wana umaarufu Gani Bali wamebak na harufu zao tu Bado😂🙄

  • @bahatisunga1642

    @bahatisunga1642

    2 жыл бұрын

    Hawana umaarufu wowote zaidi wanajishushia hadhi na heshima zao

  • @maryam4va538

    @maryam4va538

    2 жыл бұрын

    Sanaaa. Mtu unaingia kng uke wenza half unajishaua kuliko maelezo. Mtu wwnyewe mpk upake makeup ndo tujue km Mke wa mtu.huyo ndo mwisho wamatashtiti. Hahahaaa chali... Ndoa mchezo?

  • @africanqueen956
    @africanqueen9562 жыл бұрын

    Maisha yaendelee

  • @halimamunira0579
    @halimamunira05792 жыл бұрын

    I like your words maisha lazima iendele

  • @harrymo8864
    @harrymo88642 жыл бұрын

    Thxs dada for the nice words keep it up, it's really good to keep your marriage status out of social media❤️

  • @aminabonfasi9299

    @aminabonfasi9299

    2 жыл бұрын

    😠😠😠😠😠😉🌹ok

  • @tamarablack254
    @tamarablack2542 жыл бұрын

    Safiiiii

  • @yashoopatrickyashoopatrick2163
    @yashoopatrickyashoopatrick21632 жыл бұрын

    Nakupenda site darini Allah akuja lie mwisho mwema Dada 🙏🙏

  • @allahakujazekheriwowww5694
    @allahakujazekheriwowww56942 жыл бұрын

    Mola atakupa ungine bora

  • @ummimohammed9359
    @ummimohammed93592 жыл бұрын

    Nnacho wapendea watu wa youtu.be mtu akifikwa na. Mitihani. Ni. Mahodari kumpoza na. Kumshauri mazuri. Mungu awabariki nyote na mungu ampe nguvu darlini alee mtto wake na. Aendelee na maisha yake kwa aman na furaha ameen

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe99762 жыл бұрын

    Umezeeka sana

  • @natashaally192
    @natashaally1922 жыл бұрын

    Love u na mungu akusimamie

  • @janetsesay8928
    @janetsesay89282 жыл бұрын

    👏👏👏👏👏

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya83842 жыл бұрын

    Aki nakupendaga qeen ananga mambo mingi aki wanaume wako ivyo qeen wakizalisha wanakimbia ❤️

  • @daliaabdullah5756

    @daliaabdullah5756

    2 жыл бұрын

    Utapata mwingine dada Pole sana umeongea vzr sana safi sana 💕💕💕🙏

  • @angeljasson4376
    @angeljasson43762 жыл бұрын

    My Queen 👉❤

  • @forkanoman740

    @forkanoman740

    2 жыл бұрын

    Sawa kabisa uko sawawa nakupenda Queen❤️❤️❤️❤️

  • @hamidangitu227
    @hamidangitu2272 жыл бұрын

    Marshallah 😍😍😘😍😍

  • @user-ye3nh4vm3p
    @user-ye3nh4vm3p2 жыл бұрын

    Bora umeachwa mana uliivamia ndoa yawatu kama jini alitumwa nasaiv huna undugu na mod bas mambo meusi atar

  • @theopistamganwa7752
    @theopistamganwa77522 жыл бұрын

    Mwanamke shupavu nakupenda umejibu kijasiri. safi sana Queen D

  • @rayasihaba6376
    @rayasihaba63762 жыл бұрын

    Safi darlin Umekuja kivyengine upo vizr kweny stage

  • @bahatisunga1642
    @bahatisunga16422 жыл бұрын

    Songa mbele my queen 🥰

  • @prettyh7509
    @prettyh75092 жыл бұрын

    Kaongea vizur mashallah

  • @biashasuleimanabdalla481
    @biashasuleimanabdalla4812 жыл бұрын

    Assalamu aleikum warmatulla taala wabarakatu. Nimefurahi Sana mwanangu kwa kutegemea mwenye Enzi mungu kwa kila kitu.

  • @joharichaima4309
    @joharichaima43092 жыл бұрын

    Wambie waja kuachika sio aibu,kwamaana ukiachika watu Mara ohhh mara aahhh,mtuache jmn....kishasema Dada etu..

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi7972 жыл бұрын

    Umeshakua sasa

  • @rayaali7551
    @rayaali75512 жыл бұрын

    Tatizo sio kuachwaaa tatizo mdomowako na na kejeli fharau na kujishebeduwa kwa ulie mkuta na kufika kujitapa kuwa ishaka hana mkee mke ndie wee na hakuwachi g'hoo ukazagaa kwenye mitandao kwa kwa kashfa kwa ulie mkuta DAAAH KWELIIII LIVUMALO HALIKAWII KUPASUKA

  • @madinahoman3103
    @madinahoman31032 жыл бұрын

    Kweli kabisa My

  • @faidhayasin3948
    @faidhayasin39482 жыл бұрын

    Nakukubali sana dada ake

  • @nadinagafaranga9007
    @nadinagafaranga90072 жыл бұрын

    Mungu akuweke dada

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Nakupenda sana Darleen, songa mbele dear.

  • @enterenter1921
    @enterenter19212 жыл бұрын

    Alivyokonda Sasa ulikua unajigamba asee we punguza mdomo tuu Habari zako hatujazisahau hovyooooooo kbs wew Yaan ulikua unajiachia km vile we ndio ulikua mke bora saan at mume wangu pekeangu alaa kuolewa mke wa2 sio kwamba mume hampendi mkewe wew kiumbe ulikua u nakosea saan ulijiona we ndio Mungu anakuona pekeako et kuzaa tuu ukanion Sasa ndio kila kitu Mungu humpa ampandae kwawakat wake sahihii uachege domo Hilo utakua umejifunza Sasa hutorudia Tena kujigwaza alaaa hakuna kukuonea huruma wala nn minilikua shabiki wako saan ila ulivyo olewa tuu kila ukifanyiwa mahojiano wenikujigamba tuu km we ndio Mungu umemuweka mfukoni chaa!! sahii upost hata nyau bas🤣🤣🤣🤣👌wa makonde wa nakwambia Mungu chibidu

  • @priscaphedrick5970
    @priscaphedrick5970 Жыл бұрын

    Kaachika kawaida sana mumshukuru sana Quine darin kawafanya niwaone kamasi kuwafahamu

  • @dianajoseph6673
    @dianajoseph66732 жыл бұрын

    Nakukubali sana dada maana wanaume mmm

  • @taturajabukhalfani7953

    @taturajabukhalfani7953

    2 жыл бұрын

    Hajaachika!!

  • @dims4839
    @dims48392 жыл бұрын

    Daaah

  • @epifaniasawaki3315
    @epifaniasawaki33152 жыл бұрын

    Hvi na ww kumbe bado unaimbagaaaa nikajua mapenzi yaliondoaaa kipajiii😘🤣🤣🤣🤣🤣🤣kweli mapenzi nyoko umekuea uziiiiii

  • @elizabethmafuru5338
    @elizabethmafuru53382 жыл бұрын

    Una akili Sana piga kazi bahati itakuja tu nyingine

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18022 жыл бұрын

    Hebu tulia tena ushakua mtu mzm achana na kuimba ni vyema jipange ufanye biashara ndugu yangu tumrudue mola wetu tumefanya mengi basi tena

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    2 жыл бұрын

    kwan ana ndevu za ulimi mwache mwenzio afanye kazi atafute maisha yake hata wew utazeeka pia

  • @leanahbusanga8272

    @leanahbusanga8272

    2 жыл бұрын

    Weye uta mupangia kama Nani ??

  • @yahyahamad1802

    @yahyahamad1802

    2 жыл бұрын

    @@leanahbusanga8272 hahahaha

  • @salimalaquimane2640
    @salimalaquimane26402 жыл бұрын

    I love you 😘

  • @jacklinhanc8243
    @jacklinhanc82432 жыл бұрын

    Hunalolote ulijoina keki Sana ukasahau mungu ximwnadamu

  • @adamumuki1242
    @adamumuki12422 жыл бұрын

    Uyu bint alikuaga mzuri wakati yupo mdogo

  • @theopistachialo10

    @theopistachialo10

    2 жыл бұрын

    Umeonaeeee

  • @naamohamed1042

    @naamohamed1042

    2 жыл бұрын

    Sure

  • @zenygold4527
    @zenygold45272 жыл бұрын

    Iyo kweli mdogo WANGU , Huwezi kuyikalifisha nafsi yako eti kisa Watu wasizingimzi...nakupenda bure mwana hawa

  • @shekhajuyah8239
    @shekhajuyah82392 жыл бұрын

    Sijui ulezi sijui kuachika ila amepungua sana ila ndo maisha yatapita

  • @nazmaabdullkarim8022
    @nazmaabdullkarim80222 жыл бұрын

    Mume wamtu haitaji mbwembwe alizokua nazo nadawa hua zinamwisho sasa ona alivokondeana

  • @RoseRose-qj5pw
    @RoseRose-qj5pw2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣leo watu wanahema juu juu.duh dunia ndogo

  • @stevewanga957
    @stevewanga9572 жыл бұрын

    Hawa wanaojidai ma star Kwani wanafail wapi

  • @khalfanmohd7019
    @khalfanmohd70192 жыл бұрын

    Duh sis tunall online

  • @aishaimam1442
    @aishaimam14422 жыл бұрын

    Anajua sana

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma54282 жыл бұрын

    Naam ume sema kweli

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama85812 жыл бұрын

    ULITAMBA SANA KATIKA NDOA KUMBEZA MKE MWENZA FUNZO UMELIPATA SASA BORA UWE HIVYO KUBADILI MWENENDO.

  • @yasminally1015
    @yasminally10152 жыл бұрын

    Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala

  • @bjzee1981
    @bjzee19812 жыл бұрын

    Hii family ina nuksi gani.

  • @alisaid5378
    @alisaid53782 жыл бұрын

    Shkrn gweeen kwamajib mazr nakpnda cn

  • @instakiller1268
    @instakiller12682 жыл бұрын

    Haahaa!! Pole sana tatizo una sura mbaya km mwanaume

  • @francolazaro8646
    @francolazaro86462 жыл бұрын

    Me sielew anaimbagaje sijui🥴🥴🥴

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo66522 жыл бұрын

    lijuwa ni Piere kumbe queen darling 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nadinagafaranga9007
    @nadinagafaranga90072 жыл бұрын

    Mungu kuwe ke dada

  • @nadinagafaranga9007

    @nadinagafaranga9007

    2 жыл бұрын

    Mungu akuweke dada

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho81382 жыл бұрын

    Nampenda saana uyu mdada

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah77132 жыл бұрын

    Kweli unà haki mumy

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57722 жыл бұрын

    Huna tabia za mke mwema eti haujulikani mwanamke au mwanamme

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani98382 жыл бұрын

    Uwiiiii vishindo vimeisha alikuwa awajui wanaume walivyo

  • @mapitotv6837
    @mapitotv68372 жыл бұрын

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @fausterrugemarila7731
    @fausterrugemarila77312 жыл бұрын

    Ulizidisha mbwembwe

  • @enterenter1921
    @enterenter19212 жыл бұрын

    Kwani Nani Hana kizazi pumbavu wew usijifanye watu wengine Hawajui kulea et Kuna maradhi Mann sijui hehehe he limekushuka bibiweee

  • @aishaomari944
    @aishaomari9442 жыл бұрын

    Yang macho sitla kukoment maan mm mwenyewe mwanamke keshoyang siijui

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi2532 жыл бұрын

    Aisee ulikuaga unakiherehere Sana , na kumchamba mke mwenzio,

  • @rehemalontinaremysaleh7807

    @rehemalontinaremysaleh7807

    2 жыл бұрын

    Malipo ni apa apa

  • @jenifajuma5395

    @jenifajuma5395

    2 жыл бұрын

    Sana aliingia kwa pupa mpka akawa anasema Mume wangu akija kwangu ndio anasema ana enjoy Sasa Sijui ana Kuma ya dhahabu wanaume wenyewe hawa wa siku hizi hata umpe stile gani uruke mpka sarakasi lakini mwisho wa siku ni maumivu tu ya Moyo Tena anasahau kila kitu ulichokuwa unamfanyia chumbani

  • @humphreyvidonyi253

    @humphreyvidonyi253

    2 жыл бұрын

    @@jenifajuma5395 jenifa nitafute inbox

  • @aminaally5895

    @aminaally5895

    2 жыл бұрын

    @@jenifajuma5395 Sanaa na akome kaul yake ile ya mme wng peke angu cjui imeishia wap

  • @mugiarnezaariela8277

    @mugiarnezaariela8277

    2 жыл бұрын

    @@jenifajuma5395 Nihatali ! Nikweli .hata ukieka muguu moja 🇺🇸 mwengine 🇹🇿 hawalizki.

  • @jumasaidi6083
    @jumasaidi60832 жыл бұрын

    Yamekushinda uyooo

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula22202 жыл бұрын

    Acha uongo umezurura na Mimba hadi Kwenye shows, na hata ulipozaa umeshaenda kwa mashughuli

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif472 жыл бұрын

    Family kukwazan nilazima Mwaya wal c uongo

  • @ashuraahmed1194
    @ashuraahmed11942 жыл бұрын

    Mtenda akitendewa hujihisi kaonewa ulikua hodari wa kumnyanyasa na kumdhalilisha mwenzio sasa Kiwapi nyoko zako

  • @auntiemylee3157
    @auntiemylee31572 жыл бұрын

    Baba B akifata umaaruf alipockia chibu kakanusha c wa mzee Abdul ikaisha ivo😴😴😴

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 жыл бұрын

    Hayo ni mambo ya kawaida kuolewa na kuachika hasa kwenye dini hiyo na ukewenza ni kitu cha kawaida mbona wakristu wanapeana talaka japo kiapo hakiruhusu ni sheria za haki ya mwanamke

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya87732 жыл бұрын

    Mume wangu peke yangu 😅

  • @faithnduku3048

    @faithnduku3048

    2 жыл бұрын

    Hahahahh

  • @jescajulius8023

    @jescajulius8023

    2 жыл бұрын

    Hahaha amna mume wa pekeee

  • @Matildariziki123
    @Matildariziki1232 жыл бұрын

    Ako na mwili muzuri sana

  • @maryam4va538
    @maryam4va5382 жыл бұрын

    Umeingia kny ndoa kwa makeke, soon yamekushinda...

  • @youngsum3297
    @youngsum32972 жыл бұрын

    toangoma odo achakuzingua

  • @brianmweresa8576
    @brianmweresa85762 жыл бұрын

    urijifanya sana umeyaona sasa

  • @yusraally6732
    @yusraally67322 жыл бұрын

    Mh

  • @nusretkoptekinkoptekin5499
    @nusretkoptekinkoptekin54992 жыл бұрын

    Nakupenda sana umeongea vizuri

  • @alimashabani2252
    @alimashabani22522 жыл бұрын

    Muone surayake kama mwijaku kafanana kweli kweli

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara54802 жыл бұрын

    Huyu ana mbwembwe! Kwani alivyotupostiaga mavituko alikua na uchizi, penzi likiisha ndio mnaona umuhimu wa kazi.

  • @OmanOman-mc2bl
    @OmanOman-mc2bl2 жыл бұрын

    Kaundime kitwana kweli unavyosema maumivu ya ndowa anajuwa muolewaji wasemaji waache waseme tu

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha80532 жыл бұрын

    Kua kuchika kawaida pengena mwanaume ume hana hela nje?wake2

  • @salha6596
    @salha65962 жыл бұрын

    🙄🙄🙄🙄🙄🙄

  • @mzenjikichaa8695
    @mzenjikichaa86952 жыл бұрын

    Sura mbaya bila mekapu

  • @janetahmed6948
    @janetahmed69482 жыл бұрын

    Kwel dada

  • @shedy_marie
    @shedy_marie2 жыл бұрын

    Daah wasanii hawa shida tu

  • @medyhassan2
    @medyhassan22 жыл бұрын

    Kwisha habari yako mamae we

  • @chaucassim4123
    @chaucassim41232 жыл бұрын

    Sie. Watanga. Tunasema. Umetahayariiiiiiiiiiiiii

Келесі