QUEEN DARLEEN AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE “KUACHIKA SIO AIBU, NITAZAA TENA”
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 231
Napenda sana wanawake wa kujituma... You are the best Queen... Ndoa lazima iwe na vikwazo... Kuachana kupo Tena sana.. Big up My siz
Nakupenda sana mama Balksi allah atakupa mtu alosahihi kwako llove you daaa dalinee😘😘😘❤️❤️❤️🙏
Mama balkis uko vizuri daa kuwa strong
NDOA HAITAKI MBWEMBWE ULIZIDISHA SANA.
@zezezeze8408
2 жыл бұрын
maneno kuntuuuuu
@omanss268
2 жыл бұрын
😀😀😀
@sikudhanjuma3987
2 жыл бұрын
@@omanss268 saw
@sikudhanjuma3987
2 жыл бұрын
@@omanss268 sw
@monalisapeter4899
2 жыл бұрын
Umeona eeh alikuja kwa mbwembwe hadi akamzarau mwenzie
Nakupenda sana darleen,nafurahi kukuona ukiwa na msimamo wako,usiogope binadamu,hawakupi pumzi,uliolewa kwa ridhaa yako na kuiacha ndoa pia ni ridhaa yako,usifu rahishe watu huku nafsi yako inaumia,na kuolewa uke wenza ni ushujaa wa nafsi wengi wanaona ni kama laana,na kuachika ni pale ridhki imeisha na watu wafahamu hilo,ni ushujaa sana kupitia vitu hivi katika maisha,kaza kamba comandoo utafika kupitia bidii na juhudi zako nawala sio kwa kutegemea mwanaume,mapito yako ni fundisho kwa wale wenye ndoa zisizo na msimamo wala faida,hakuna uvumilivu usio na manufaa,vumilia ule mbivu ,mbivu hazipo utakula nini?kila la kheri maisha mema popote uendako❤️
@elizabethmkude9452
2 жыл бұрын
Safi Sana mama barks Bora pengo kuliko jino bovu akuna kaburi la mjane
@faridasalmsalmfarida2584
2 жыл бұрын
Nakupenda qini
@faridasalmsalmfarida2584
2 жыл бұрын
Safisana mama byi
Hivi kumbe valentine ni mwezi wa nne ..aliesikia kama mimi agonge like 😂🤣🤣🤣
@beatricesylvester9917
2 жыл бұрын
Nimecheka kama mazuri kuvamia ndoa za watu siku ukipigwa red card unavurugwa hadi Christmas unaweza kusema inakuwa mwezi wa 9🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kilasiku ukimpenda mwanaume sana anakuzarawu
@hadijahassan6467
2 жыл бұрын
Umeona eeeeeh
@auntiemylee3157
2 жыл бұрын
Kbx
@MsAggie5
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@hidayayussufu7080
2 жыл бұрын
Saana
@lucyhusein4043
2 жыл бұрын
Achananae huyo kwen dalng mungu atakupa mtu sahii
Nakupenda sana naomba Namba yako mimi ni mama wa watoto 2 nipo Dodoma
Pole sana funga botte unapitia mengi sana ihi mwaka omba toba kwa wote uliowakosea,na omba Msamehe Mungu apana punguza mwili sana ongeza tena vilo 20kg please omba takaka achana na yule mchamba isiaka ni yuda kama esma
Mwanahawa Umeongea ponti sana my fanya kazi achana na maneno ya watu
@elizabethmkude9452
2 жыл бұрын
Mume wako ndumi walitembelea nyota yako walikuwa awqjulikani umewabust wamejulikana wanajifanya wajanja mungu atakuongoza
Safi sana Darini wewe sio limbukeni wa mapenzi chapa kazi kazi iendelehe mwanamke jitambue nini kuhachika bana nani siku hizi analilia mapenzi tuko kikazi zaidi lea wanao nini kujipisti kila mala kwenye mitandao kisa mapezi nakupongeza sana Darin
Queen unawez mama usikate tama lov u dada
Nakupenda sana wewe upo vizuru upo safi sana
Aliingia kwangenge kibao vijembe kibao kisa sabra alikuwa hana, alisahau kuwa Mungu wetu ni tajir na hutoa kwa wakati, kutwa vijembe kwa sabra haya kiko wapi pole yake.
Kawa mpole now?? Life imemhumble 😄😄. Mungu hapendi kibrii Queen I hope umejifunza. Now piga kazi leo wanao. 🙏
@Zainab-sq1tc
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@btylove1870
2 жыл бұрын
@@Zainab-sq1tc Kawa nabusaraaa😂
@pendowilisonmbogomambogoma2200
2 жыл бұрын
Kweli
umewapa wenzio umaalufu tulia sasa n bora ungekua huna matashtiti mwanzo kama sasa hiv ingependeza sana uke wenza sio kurushana roho
@mariamnjama3963
2 жыл бұрын
Wana umaarufu Gani Bali wamebak na harufu zao tu Bado😂🙄
@bahatisunga1642
2 жыл бұрын
Hawana umaarufu wowote zaidi wanajishushia hadhi na heshima zao
@maryam4va538
2 жыл бұрын
Sanaaa. Mtu unaingia kng uke wenza half unajishaua kuliko maelezo. Mtu wwnyewe mpk upake makeup ndo tujue km Mke wa mtu.huyo ndo mwisho wamatashtiti. Hahahaaa chali... Ndoa mchezo?
Maisha yaendelee
I like your words maisha lazima iendele
Thxs dada for the nice words keep it up, it's really good to keep your marriage status out of social media❤️
@aminabonfasi9299
2 жыл бұрын
😠😠😠😠😠😉🌹ok
Safiiiii
Nakupenda site darini Allah akuja lie mwisho mwema Dada 🙏🙏
Mola atakupa ungine bora
Nnacho wapendea watu wa youtu.be mtu akifikwa na. Mitihani. Ni. Mahodari kumpoza na. Kumshauri mazuri. Mungu awabariki nyote na mungu ampe nguvu darlini alee mtto wake na. Aendelee na maisha yake kwa aman na furaha ameen
Umezeeka sana
Love u na mungu akusimamie
👏👏👏👏👏
Aki nakupendaga qeen ananga mambo mingi aki wanaume wako ivyo qeen wakizalisha wanakimbia ❤️
@daliaabdullah5756
2 жыл бұрын
Utapata mwingine dada Pole sana umeongea vzr sana safi sana 💕💕💕🙏
My Queen 👉❤
@forkanoman740
2 жыл бұрын
Sawa kabisa uko sawawa nakupenda Queen❤️❤️❤️❤️
Marshallah 😍😍😘😍😍
Bora umeachwa mana uliivamia ndoa yawatu kama jini alitumwa nasaiv huna undugu na mod bas mambo meusi atar
Mwanamke shupavu nakupenda umejibu kijasiri. safi sana Queen D
Safi darlin Umekuja kivyengine upo vizr kweny stage
Songa mbele my queen 🥰
Kaongea vizur mashallah
Assalamu aleikum warmatulla taala wabarakatu. Nimefurahi Sana mwanangu kwa kutegemea mwenye Enzi mungu kwa kila kitu.
Wambie waja kuachika sio aibu,kwamaana ukiachika watu Mara ohhh mara aahhh,mtuache jmn....kishasema Dada etu..
Umeshakua sasa
Tatizo sio kuachwaaa tatizo mdomowako na na kejeli fharau na kujishebeduwa kwa ulie mkuta na kufika kujitapa kuwa ishaka hana mkee mke ndie wee na hakuwachi g'hoo ukazagaa kwenye mitandao kwa kwa kashfa kwa ulie mkuta DAAAH KWELIIII LIVUMALO HALIKAWII KUPASUKA
Kweli kabisa My
Nakukubali sana dada ake
Mungu akuweke dada
Nakupenda sana Darleen, songa mbele dear.
Alivyokonda Sasa ulikua unajigamba asee we punguza mdomo tuu Habari zako hatujazisahau hovyooooooo kbs wew Yaan ulikua unajiachia km vile we ndio ulikua mke bora saan at mume wangu pekeangu alaa kuolewa mke wa2 sio kwamba mume hampendi mkewe wew kiumbe ulikua u nakosea saan ulijiona we ndio Mungu anakuona pekeako et kuzaa tuu ukanion Sasa ndio kila kitu Mungu humpa ampandae kwawakat wake sahihii uachege domo Hilo utakua umejifunza Sasa hutorudia Tena kujigwaza alaaa hakuna kukuonea huruma wala nn minilikua shabiki wako saan ila ulivyo olewa tuu kila ukifanyiwa mahojiano wenikujigamba tuu km we ndio Mungu umemuweka mfukoni chaa!! sahii upost hata nyau bas🤣🤣🤣🤣👌wa makonde wa nakwambia Mungu chibidu
Kaachika kawaida sana mumshukuru sana Quine darin kawafanya niwaone kamasi kuwafahamu
Nakukubali sana dada maana wanaume mmm
@taturajabukhalfani7953
2 жыл бұрын
Hajaachika!!
Daaah
Hvi na ww kumbe bado unaimbagaaaa nikajua mapenzi yaliondoaaa kipajiii😘🤣🤣🤣🤣🤣🤣kweli mapenzi nyoko umekuea uziiiiii
Una akili Sana piga kazi bahati itakuja tu nyingine
Hebu tulia tena ushakua mtu mzm achana na kuimba ni vyema jipange ufanye biashara ndugu yangu tumrudue mola wetu tumefanya mengi basi tena
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
kwan ana ndevu za ulimi mwache mwenzio afanye kazi atafute maisha yake hata wew utazeeka pia
@leanahbusanga8272
2 жыл бұрын
Weye uta mupangia kama Nani ??
@yahyahamad1802
2 жыл бұрын
@@leanahbusanga8272 hahahaha
I love you 😘
Hunalolote ulijoina keki Sana ukasahau mungu ximwnadamu
Uyu bint alikuaga mzuri wakati yupo mdogo
@theopistachialo10
2 жыл бұрын
Umeonaeeee
@naamohamed1042
2 жыл бұрын
Sure
Iyo kweli mdogo WANGU , Huwezi kuyikalifisha nafsi yako eti kisa Watu wasizingimzi...nakupenda bure mwana hawa
Sijui ulezi sijui kuachika ila amepungua sana ila ndo maisha yatapita
Mume wamtu haitaji mbwembwe alizokua nazo nadawa hua zinamwisho sasa ona alivokondeana
🤣🤣🤣🤣🤣leo watu wanahema juu juu.duh dunia ndogo
Hawa wanaojidai ma star Kwani wanafail wapi
Duh sis tunall online
Anajua sana
Naam ume sema kweli
ULITAMBA SANA KATIKA NDOA KUMBEZA MKE MWENZA FUNZO UMELIPATA SASA BORA UWE HIVYO KUBADILI MWENENDO.
Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala
Hii family ina nuksi gani.
Shkrn gweeen kwamajib mazr nakpnda cn
Haahaa!! Pole sana tatizo una sura mbaya km mwanaume
Me sielew anaimbagaje sijui🥴🥴🥴
lijuwa ni Piere kumbe queen darling 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu kuwe ke dada
@nadinagafaranga9007
2 жыл бұрын
Mungu akuweke dada
Nampenda saana uyu mdada
Kweli unà haki mumy
Huna tabia za mke mwema eti haujulikani mwanamke au mwanamme
Uwiiiii vishindo vimeisha alikuwa awajui wanaume walivyo
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ulizidisha mbwembwe
Kwani Nani Hana kizazi pumbavu wew usijifanye watu wengine Hawajui kulea et Kuna maradhi Mann sijui hehehe he limekushuka bibiweee
Yang macho sitla kukoment maan mm mwenyewe mwanamke keshoyang siijui
Aisee ulikuaga unakiherehere Sana , na kumchamba mke mwenzio,
@rehemalontinaremysaleh7807
2 жыл бұрын
Malipo ni apa apa
@jenifajuma5395
2 жыл бұрын
Sana aliingia kwa pupa mpka akawa anasema Mume wangu akija kwangu ndio anasema ana enjoy Sasa Sijui ana Kuma ya dhahabu wanaume wenyewe hawa wa siku hizi hata umpe stile gani uruke mpka sarakasi lakini mwisho wa siku ni maumivu tu ya Moyo Tena anasahau kila kitu ulichokuwa unamfanyia chumbani
@humphreyvidonyi253
2 жыл бұрын
@@jenifajuma5395 jenifa nitafute inbox
@aminaally5895
2 жыл бұрын
@@jenifajuma5395 Sanaa na akome kaul yake ile ya mme wng peke angu cjui imeishia wap
@mugiarnezaariela8277
2 жыл бұрын
@@jenifajuma5395 Nihatali ! Nikweli .hata ukieka muguu moja 🇺🇸 mwengine 🇹🇿 hawalizki.
Yamekushinda uyooo
Acha uongo umezurura na Mimba hadi Kwenye shows, na hata ulipozaa umeshaenda kwa mashughuli
Family kukwazan nilazima Mwaya wal c uongo
Mtenda akitendewa hujihisi kaonewa ulikua hodari wa kumnyanyasa na kumdhalilisha mwenzio sasa Kiwapi nyoko zako
Baba B akifata umaaruf alipockia chibu kakanusha c wa mzee Abdul ikaisha ivo😴😴😴
Hayo ni mambo ya kawaida kuolewa na kuachika hasa kwenye dini hiyo na ukewenza ni kitu cha kawaida mbona wakristu wanapeana talaka japo kiapo hakiruhusu ni sheria za haki ya mwanamke
Mume wangu peke yangu 😅
@faithnduku3048
2 жыл бұрын
Hahahahh
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Hahaha amna mume wa pekeee
Ako na mwili muzuri sana
Umeingia kny ndoa kwa makeke, soon yamekushinda...
toangoma odo achakuzingua
urijifanya sana umeyaona sasa
Mh
Nakupenda sana umeongea vizuri
Muone surayake kama mwijaku kafanana kweli kweli
Huyu ana mbwembwe! Kwani alivyotupostiaga mavituko alikua na uchizi, penzi likiisha ndio mnaona umuhimu wa kazi.
Kaundime kitwana kweli unavyosema maumivu ya ndowa anajuwa muolewaji wasemaji waache waseme tu
Kua kuchika kawaida pengena mwanaume ume hana hela nje?wake2
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Sura mbaya bila mekapu
Kwel dada
Daah wasanii hawa shida tu
Kwisha habari yako mamae we
Sie. Watanga. Tunasema. Umetahayariiiiiiiiiiiiii