EXCLUSIVE: SALLAM SK - "DIAMOND Analipwa MILIONI 255 Kwa SHOO 1 / KUJAZA UWANJA SIO SABABU"

Ойын-сауық

EXCLUSIVE: SALLAM SK - "DIAMOND Analipwa MILIONI 255 Kwa SHOO 1 / KUJAWAZA UWANJA SIO SABABU"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 122

  • @officialmapesa3618
    @officialmapesa36184 ай бұрын

    Nani amegundua kuwa daimand amekopi uongeaji wa salam sk, gonga like twende sawa

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha33694 ай бұрын

    Nimependa kusikia kwamba bado mpo pamoja! Kazi iendelee!

  • @user-nh9hh3vq7d
    @user-nh9hh3vq7d4 ай бұрын

    Moyo wangu kwa duia ni diamond 🇧🇮🇧🇮🇧🇮👊

  • @user-nr7zq2rr1r
    @user-nr7zq2rr1r4 ай бұрын

    Mziki wetu African mashariki bado tunasubiri,sana ju tunagawanika sisi wenyewe ndio West Africa wanatuburuza Kila pahali SI mziki SI mpira,ata afcon finally ilikua afro beat, Nigeria vs ivory coast wote ni west Africa

  • @user-oe5eg9ji4h
    @user-oe5eg9ji4h4 ай бұрын

    Oya mungu akupe upendo unaichi nawatu vizuri bila wewe pengine wcb tisingue mbali

  • @OHANGYAAMISI
    @OHANGYAAMISIАй бұрын

    Diamond to the world 🌎🌎🌎🌎

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sf4 ай бұрын

    Nimekuelewa sana menezi

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba24254 ай бұрын

    Maswali ya BABALEVO yameshiba sana Na SALAAM YUKO SAWA

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d4 ай бұрын

    Bongo Flava bila Mendez no Music No Business

  • @IbrahimMohamedally
    @IbrahimMohamedally4 ай бұрын

    Aisee

  • @MudyNyau
    @MudyNyau4 ай бұрын

    ASIEKUELEWA MENDEZI NI MJINGA AKILI HANA❤❤❤

  • @yohanepeter6800

    @yohanepeter6800

    11 күн бұрын

    Unacoment utumbo na haujala

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi4 ай бұрын

    Ohooh ohooh yauyau #

  • @Duanny-jm8fr
    @Duanny-jm8fr4 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥💯💯💯👑👑

  • @HusinaKarama-ti9jm
    @HusinaKarama-ti9jm4 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hassansammy1076
    @hassansammy10764 ай бұрын

    Nakubali mendez

  • @davidpeter8099
    @davidpeter80994 ай бұрын

    We kama meneja wa msanii mkubwa diamond platnumz tuambie wasafi festival kwa nini haikufanyika kwa mkoa wa dar

  • @cleveronlinemedia820

    @cleveronlinemedia820

    4 ай бұрын

    Na wew km ni mashabiki mkubwa wa diamond utuambie Kwann wasafi festival haikuja mkoa wa shinyanga 😂

  • @ZINDUKAMUISILAMU30

    @ZINDUKAMUISILAMU30

    4 ай бұрын

    ​@@cleveronlinemedia820😅😅😅

  • @gustavompemba1781

    @gustavompemba1781

    4 ай бұрын

    ​@@cleveronlinemedia820Ukiona paka anauliz hvy ujuh nishabik wa wasafi na yupo dar kwhy anataka jibu Kwa uongozi Sasa cjuh ww nishangaz wa mond au vp maan umejibu kama mtu usi kuwa na akili timamu

  • @mwikamwika4851

    @mwikamwika4851

    4 ай бұрын

    Kwani dar ndiyo festival region? Acha ujinga

  • @misanamohamedi8438

    @misanamohamedi8438

    4 ай бұрын

    kwa dar ndo kitu gan,mbona mikoa mingi tu haijafanyika

  • @prosperabison1368
    @prosperabison13684 ай бұрын

    🔥🔥🔥

  • @josephvenus3259
    @josephvenus32594 ай бұрын

    💪💪🇹🇿🦁

  • @EzekielChija
    @EzekielChija4 ай бұрын

    Saut azipo sawa

  • @Wil_thug
    @Wil_thug4 ай бұрын

    Sk salamu nilisema wewe ni Suge knight wa bongo soko la muziki unali hold sana

  • @ruu6592
    @ruu65924 ай бұрын

    Bora umwambie kujaza sio kufanya vizuri kumbwa jinga ilo

  • @BIGBOSS-hl3bu

    @BIGBOSS-hl3bu

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54814 ай бұрын

    Uyu jamaa namkubaligi Sana salam Yan..ichi nikichwa Sana Yan..anamadini sana

  • @muduboy726
    @muduboy7264 ай бұрын

    Tv ya familia

  • @user-gx9hg3dp1e
    @user-gx9hg3dp1e4 ай бұрын

    Puakatoka mbio kaenda kupokea simu ya asma nini😂😂

  • @nehemia397
    @nehemia3974 ай бұрын

    dah jamaa anaongea sana

  • @user-ve1xm7gn9y
    @user-ve1xm7gn9y4 ай бұрын

    Sallam Sk kama Yuda alivyomusaliti Jesus... Sallam Sk amemusaliti Diamond kwa Harmonize State House...⚠️⚠️⚠️🇹🇿🇹🇿

  • @ChordCrafted

    @ChordCrafted

    4 ай бұрын

    Duh kweli

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16504 ай бұрын

    Kijibaba levo kimedhalilishwa bila kujua maskini ... Ati akiitwa show ya milioni 5 anafanya. 😅

  • @elinamilyatuu7337

    @elinamilyatuu7337

    4 ай бұрын

    We unayo laki apo?

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki81054 ай бұрын

    Diamond aki hamia Marekani ndio mwisho wa mziki wake hakuna anae poteza muda kumsikiliza huku labda wa Kongo, na wakenya

  • @Nalitumpaboy-dm4tk

    @Nalitumpaboy-dm4tk

    4 ай бұрын

    Kuna wa bongo,zambia africa nzima wapo kule we jichetue eti kongo na keny

  • @john_1trader

    @john_1trader

    4 ай бұрын

    Nyie watz hamjivunii kuwepo diamondi taifa lenyu i wish angekuwa mkenya

  • @Amanivicent-lp4sk

    @Amanivicent-lp4sk

    4 ай бұрын

    Aamie marekani kwan Tz hawezi kuishii acha pigo za ajabu ww

  • @rereshap9416

    @rereshap9416

    4 ай бұрын

    Kama weweee humsikilizi wako wanaomsikiliza na ndo maana hapa TZ hana mpinzani ? Na kama humfuatlilii kwenye social media hii umefuata nini mpaka uka comment ? HOVYOOOO !

  • @chapombe_mlafi

    @chapombe_mlafi

    26 күн бұрын

    umeishiwa point

  • @thomasgabriel588
    @thomasgabriel5884 ай бұрын

    uhakika

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha66774 ай бұрын

    Mnalisha sana watanzania matango pori yupi wakupewa dolla 50 sukari au selemani

  • @malianonicass7029

    @malianonicass7029

    4 ай бұрын

    Naina tahira ushakuja

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    4 ай бұрын

    Endelea kulia

  • @nishaabdula5015

    @nishaabdula5015

    4 ай бұрын

    We mpuuz

  • @hamisikamanda9933
    @hamisikamanda99334 ай бұрын

    Kaka mkubwa

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule28964 ай бұрын

    Sio kweli ni uongo, inabidi kwenye show yake ili hela hiyo irudi inabidi waingie kwenye show wafu elfu kumi, bado hela ya promota hapo hajapata faida, acheni uongo bsna

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    4 ай бұрын

    Leta ukweli wako

  • @kwisa4899
    @kwisa48994 ай бұрын

    mendez mgojwa

  • @tinejuxfrancis729
    @tinejuxfrancis7294 ай бұрын

    Ila baba levo alivyo chomoka hapoo

  • @omariselemani6578
    @omariselemani65784 ай бұрын

    Anayekubali huyu jamaa kipara ni mnafki Like hapa

  • @ernestcharles4288

    @ernestcharles4288

    4 ай бұрын

    Sasa mnafkia kamnafkia nani?? Acheni chuki na m2 😂😂

  • @user-jq9rj4dm5u

    @user-jq9rj4dm5u

    4 ай бұрын

    Acheni chuki binafsi

  • @Lodrickmwambene
    @Lodrickmwambene4 ай бұрын

    Kinywaji milioni 40 acheni kuzinguwa

  • @lanezboy7016
    @lanezboy70164 ай бұрын

    Wanakelele sana hawa mbwa kwanza hotel ipo wap ,ndege ipo wap 😂😂😂😂 ila wasaf

  • @eliashibundabalinze2754

    @eliashibundabalinze2754

    4 ай бұрын

    Unataka ndege ukapande? Unataka Hotel ukalale? Endelea kupiga kelele

  • @Mouffassa
    @Mouffassa3 ай бұрын

    Punguzeni makelele ongeeni kwa formula fanyeni noise reduction , Kuna mda mnaongea kwa pamoja mnakera

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar5094 ай бұрын

    Stories ndo hizo hizo kila siku population sio Kigezo mana kuna Wasanii wanatoka viji Nchi vidogo na wanajaza ma Arena kila kukicha

  • @rereshap9416

    @rereshap9416

    4 ай бұрын

    Tuambie wasanii gani hao na kutoka viinchi gani ?!

  • @zanzibarboyzanzibar509

    @zanzibarboyzanzibar509

    4 ай бұрын

    @@rereshap9416 Bob Marley anatoka Jamaican population yao ndogo, Shaggy, Sean pol Angelique Kidjo Benin na anashinda na Ndio Msanii anaeongoza kwa kuchukua Grammy nyingi Africa Marehemu Oliva Ntukuzi Zimbabwe alikua anajaza Ma Stadium’s Marekani Ulaya, Sonia Jorbat from Gambia kila siku anajaza ma Stadium’s Ulaya na Marekani na wote hao Population zao ndogo nje ya Nchi zao na music yao wanaimba Kilugha chao mana wataanza kusingizia Kingereza kuna Salf Keitta from Mali Faotmata Diwara Mali tena Salfu Keita na Youss Ndoor from Senegal ndo ma legendary from African washajaza Show zao Duniani kote na wanaimba kwa Lugha zao, Tukubali tu kama Mziki wa Bomgo bado na sio kutafuta Sababu zisokua na Mashiko kila siku

  • @cleveronlinemedia820

    @cleveronlinemedia820

    4 ай бұрын

    Hlf kuna wasanii wakubwa tu wa huko nje na wanafanya vizur wana struggle kuijaza 02 arena

  • @zanzibarboyzanzibar509

    @zanzibarboyzanzibar509

    4 ай бұрын

    @@rereshap9416 Sonia Jorbat Gambia, Fortunata Diwara Mali Alipha Blonde Cote waimbaji wakubwa wa Jamaica karibia wote Angelique Kidjo Benin hao wote hawana population’s kubwa Nchi zao wanaoishi Ulaya hau Marekani na wanazaja Ma Stadium’s Ulaya na American, kama Angelique Kidjo ndo Msanii anaeongoza kwa kutoka Africa mwenye Grammy nyingi kama Population Mettar basi Burnboy kishafanya Show Ireland Arena watu Elfu 22 na Wazungu watupu walijaa mana Nchi yao wabaguzi Burnboy huyo huyo kishajaza Greece arena watu Elfu 18 na wote Wazungu hakuna Wanaijeria hapo imefika time tukubali tu Tanzania or EastAfrica Music wao bado kabisa

  • @user-ht7ik5wy8h
    @user-ht7ik5wy8h4 ай бұрын

    Unachekesha sana we mpumbavu...Diamond ana nyumba hapa dar karibia 35 kama haujui. Kuna wakati kaa kimya kama hujui vitu mzee. Au anakuchanganya sababu amepanga pale anapoishi mpumbavu wew

  • @JustinMkanje
    @JustinMkanje4 ай бұрын

    Siyo hazi yake hadhi yake b 20

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula50154 ай бұрын

    Mijitu ya tanzania baadhi uwa inaroppkaga tu haijui ht biashara ya mziki

  • @user-lp5bj3vi3w
    @user-lp5bj3vi3w4 ай бұрын

    Mendez kili kubwa

  • @nicksonmwaringa144
    @nicksonmwaringa1444 ай бұрын

    Sallam Sk , vp album kubwa ya Simba na O2arena ni lini mzee baba maana wanaijeria wanatukandamiza sana

  • @SilaMinanda

    @SilaMinanda

    4 ай бұрын

    Propaganda za mziki tu, Diamond hana kitu

  • @pengefeza2563

    @pengefeza2563

    4 ай бұрын

    Tunajivunia Diamond huku sisi. Wanaigeria ni wengi sana huku nayo ni sababu kubwa ina wa push.

  • @cleveronlinemedia820

    @cleveronlinemedia820

    4 ай бұрын

    ​@@SilaMinandahufatilii muziki wew propaganda mtu anachukua matuzo makubwa anakutana na mastaar weng wa nje nyimbo zake wanajirekodi mastar wakubwa wa muziki mpira na wengine hivi unamdanganya nan sasa😂😂

  • @SilaMinanda

    @SilaMinanda

    4 ай бұрын

    @@cleveronlinemedia820 Taja hapa kajirikodi star gani mkubwa wimbo wake?

  • @jocktanchristopherokinyi

    @jocktanchristopherokinyi

    4 ай бұрын

    ​@@SilaMinandaVictor Osimhen pamoja na Jesse Lingard wamekua wakijirekodi wakicheza wimbo wa Diamond na Chley unaitwa "Shu"

  • @BHTV-ly4jf
    @BHTV-ly4jf4 ай бұрын

    Huo niuongo😂😂😂😂😂

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball31624 ай бұрын

    Blaa blaa blaa uongo mwingiiii

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa8333 ай бұрын

    Huyu jamaa ni mnyamweZi kinyama

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf20574 ай бұрын

    Salam muongo Sana Arena ni muhimu kujaza diamond Hana uwezo huo

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    4 ай бұрын

    Sasa jibu Tyla kachukuwa Grammy kashajaza Arena?

  • @gustavompemba1781

    @gustavompemba1781

    4 ай бұрын

    ​@@MrTop-wj7nobonge la jibu

  • @josephmorris8194

    @josephmorris8194

    4 ай бұрын

    Jibu na nusu

  • @sulleymernmannarah7930

    @sulleymernmannarah7930

    4 ай бұрын

    ​@@MrTop-wj7nohamjui hta hyo Tyla nd kwnz anamskia Leo

  • @Thomas-g8f
    @Thomas-g8f7 күн бұрын

    pale mwanjelwa mbeya tz tunasikilizana kwauzur

  • @IbrahimMohamedally
    @IbrahimMohamedally4 ай бұрын

    Analipwa Dola laki mbili Kwa shoo

  • @masiradavid

    @masiradavid

    4 ай бұрын

    Dollar elfu mbili kaka....sio laki mbili😅

  • @malimanyanja562
    @malimanyanja5624 ай бұрын

    200 apo Mie nimeshu nimefka safali njema ndg zangu

  • @user-nx2vj4wd2x
    @user-nx2vj4wd2x4 ай бұрын

    Uwo unafki salam sk utakufya na humongous wako...

  • @BHTV-ly4jf
    @BHTV-ly4jf4 ай бұрын

    Arena ipi amewahi kujaza wewe para unauongo😂😂😂

  • @user-yu3mf6em1v
    @user-yu3mf6em1v4 ай бұрын

    Yaan mondi na meneja wake wanaongea lafudhi moja

  • @nicksonmusa3457
    @nicksonmusa34574 ай бұрын

    Diamond kazungukwa na watu wenye akilii kama sallam sk

  • @user-bt9sm4lh8p
    @user-bt9sm4lh8p4 ай бұрын

    Acheni kick

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica91283 ай бұрын

    Kuhusu arena unatudanganya

  • @user-ht6wt6kt5f
    @user-ht6wt6kt5f4 ай бұрын

    Nyie iv wasafi festival imeishia wap jamn??

  • @zuli.comedy.

    @zuli.comedy.

    4 ай бұрын

    Viwanja haviruhus watu kufny show

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar5094 ай бұрын

    Inategemea anafanya wapi hiyo show kwa Zanzibar hajawai kulipwa ata mIlion 50

  • @ikramalmas7039

    @ikramalmas7039

    4 ай бұрын

    Una uhakika?

  • @alexmalyango1405

    @alexmalyango1405

    4 ай бұрын

    Ushawahi muandalia show wewe kirandage?

  • @hudhaimarajab9103

    @hudhaimarajab9103

    4 ай бұрын

    Kwa Zanzibar m255 😂 ni unafiki wakowapi ao watu tiket elfu 10 😂 halaf ifike m255 😂 maan izo shoo za Zanzibar watu elfu 3 hawafiki 😂 apo hajapata muandaaji wa shoo watu wa promotio 😂 mameneja wa msanii et m255 😂 makutu ya mbuzi

  • @suleimanhamza9014

    @suleimanhamza9014

    4 ай бұрын

    Unakaza fuvu akili kisoda😂 watu hawategemei get collection wanaangalia wadhamini ndy wanaotoa pesa kwa ajil ya kubrand bidhaa zao.

  • @yasnshaban9827

    @yasnshaban9827

    4 ай бұрын

    ​@@suleimanhamza9014akili kubwa

  • @JohnValle-xn1dx
    @JohnValle-xn1dx4 ай бұрын

    Diamond hana mvuto tena anabidi atafute mbinu mpya na mtazamo mingine, na hiyo idadi ya pesa anayotaja huyo jamaa anadanganya huyu jamaa😮

  • @nishaabdula5015

    @nishaabdula5015

    4 ай бұрын

    Yn 😂 yn kuna wt hamuna akili sn hn mvuto wa nn ss mwenzako kashajiwek vizur n kuek pes kubw ya shoo ili pte muda wkupumzika ss ww kichaa ndo unroppk tu

  • @omariselemani6578
    @omariselemani65784 ай бұрын

    Acheni ujinga nyie Eti dogo nasibu aje kuishi usa so mnafiki usa ni kama tandale, haana uwezo wakuishi huku huyo

  • @user-lr7fj3xc4s
    @user-lr7fj3xc4s4 ай бұрын

    Mondi ni mondi

  • @hudhaimarajab9103
    @hudhaimarajab91034 ай бұрын

    Rema miaka 4 😂 saiv shoo yke b 1

  • @maulidjuma8208

    @maulidjuma8208

    4 ай бұрын

    Koo m250 ni ndogo kwako ok hongera

  • @ernestcharles4288

    @ernestcharles4288

    4 ай бұрын

    Sasa uyo ni rema mbona kiba na konde hata 100M hawapati 😂😂😂 mondi kajitahidi sana

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o4 ай бұрын

    Nyumba yenyewe hana alipwe mia 250 pumbavuu kabisaa kiki za kisenge hizoo

  • @user-kg6km2gz2h

    @user-kg6km2gz2h

    4 ай бұрын

    Wewe unayo mbwa wewe

  • @cleveronlinemedia820

    @cleveronlinemedia820

    4 ай бұрын

    Ko na hiyo unakataa tena kwamba alipwi M250 mbn na page kubwa Huwa zinatoa orpdha za wasanii na yeye yumo wanaolipwa hela nyingi kwenye show au ndo umeisikia Leo hapa

  • @JohnValle-xn1dx

    @JohnValle-xn1dx

    4 ай бұрын

    Haijui milioni 255 huyu jamaa

  • @josephmorris8194

    @josephmorris8194

    4 ай бұрын

    Wabongo wavivu wa kutafuta information ila wanachoweza ni kubisha na kuponda vyao ila angetajwa msanii wa nje akuna hata mmoja angepinga

  • @sulleymernmannarah7930

    @sulleymernmannarah7930

    4 ай бұрын

    Atakua ameskia Leo hyu au simu n ya mkopo ilkua imefungwa zlipotolew ordha 😂​@@cleveronlinemedia820

  • @deogratiousmerchiory5935
    @deogratiousmerchiory59354 ай бұрын

    Tumewachoka bhanange same story nothing new 🚮🚮

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman89634 ай бұрын

    Watanzania wajinga tu achaneni nao ninyi fanyeni kazi yenu

  • @helenahiro1402
    @helenahiro14024 ай бұрын

    YOU ARE NOT A TRUSTED PERSOM SALLAM.YOU HAVE ONCE CROOKED ME, YOU AND UOUR TEAM ARE USELESS, WOTE WEZI, REMMEBER PRODUCTION YA MBOSO . SOONER OR LATER PESAZANGU MTA LIPA, WEZI NA WAONGO SANA

  • @RodrigueHabarugira-zj7uq
    @RodrigueHabarugira-zj7uq4 ай бұрын

    Ivi naile amefanya Zinziba kalipwa 😂

Келесі