ENZI ZA HADIJA KOPA MWAKA 1990 ULIKUWEPO

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
#Muuminina​ #Dida​ #Juhuditz​ #Al​-Muuminin #Adila​
#Mwanacha​ #Afnania​ #Stumai​ #Zuchu​
#muminina​ #Qadiria​ #zanzibarqaswida​ #AFNAANIA​ #DIRECTORONE​.T #Future​ Tz #Wasafi​ Media #Z​MASTORY #Juhuditz​ #JUMA​FAKIH #Zanzibar​Qaswida #AQAZ​Studio #Al​-muuminin #Yas​mediaTv #stumai​ #zbc #tbc #futuretz #youtubeislife #subscriber #youtubeguru #youtubecontent #newvideo #subscribers #youtubevideo #youtub #youtuber #youtubevideos #youtube #youtuber #youtubechannel #revolutionreal #blacksmokeyeye #smokeyeye #glow #glowingskin #discoverunder5k #discoverunder10k

Пікірлер: 33

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid39186 ай бұрын

    Leo ni try 20/01/2024 ndio naona hii haipungui ni miaka 34 iliopita na huyu dada bado yapo hai na bado nimuimbaji sasa ni mda pekee wa kumuombea na kumuomba aache mziki na amrudie M/ Mungu atubu hwenda Mungu akamsamehe Allah amjalie wepesi in shaa Allah

  • @keyla3641
    @keyla3641Ай бұрын

    Watu wa zamani wazuri sana wanaoneka wa siha wako neutral

  • @user-xh6fy4oc9u
    @user-xh6fy4oc9uАй бұрын

    Hapa alikuwa khadija lipa sio khadija kopa

  • @sumaboy8105
    @sumaboy81056 ай бұрын

    Yaan watu wa zaman natural kabisa wana hishma sana

  • @hassanially1773
    @hassanially1773Ай бұрын

    Enzi hizo zilitamba sana mm nipo dogo janja

  • @khatibmako3500
    @khatibmako35006 ай бұрын

    Wallah hapo wengi wameshatangulia mbele ya haki subhana llah

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo6237 ай бұрын

    Asante kwa historia na burudani🤝

  • @ErickAziz-dd2ze
    @ErickAziz-dd2ze10 ай бұрын

    WAP zuchu honey wangu namtafuta alikuwepo

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj7 ай бұрын

    Ata zuchu hakuepo enzi izo😂🎉

  • @muzneali4747
    @muzneali4747Ай бұрын

    Hii ndio ilikuwa taarabu Zanzibar Haile selas Dar Starlite

  • @khamiskhamis2871
    @khamiskhamis287110 ай бұрын

    Baba na mama yake Zuchu wote wapo hapo

  • @mbarakadau7345
    @mbarakadau73452 ай бұрын

    Pandisha Wahoi, Daktari na amejisalimu please

  • @user-bl2gn2mb4o
    @user-bl2gn2mb4o9 ай бұрын

    Wazamani wako poa hyo natural hair zao wamependeza kweli na wako watulivu cn

  • @sadikjuma5519
    @sadikjuma55192 ай бұрын

    Hii ni Hatari...Sikuwepi Mimi honestly 😂

  • @saumumasha4900
    @saumumasha49009 ай бұрын

    Apo zuchu alikua anatafutwa ju mama anakaa bdo mdogo sana we

  • @rushydahmed9179
    @rushydahmed91793 ай бұрын

    Yussuf Dorya, enzi hizo ameoza anapiga mzigo usiku mchana hajiwezi yu hoi!

  • @BimkubwaOthman
    @BimkubwaOthman2 ай бұрын

    Yaani mama tubia tena

  • @TatuTatu-qu4hk
    @TatuTatu-qu4hkАй бұрын

    Jamen ata nilikua cjazaliwa😂😂

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole77146 ай бұрын

    Kuna Dada kavaa red med mnazijua izoi nguo

  • @manumeni5057
    @manumeni50576 ай бұрын

    Hpo mitandio hakuna,watu ilikua hawaja chanuka ,kma ambae hio ilikua ndunia nyengine😂,

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz10 ай бұрын

    Jamani kitambo ❤❤❤❤❤ jamani ataakiwa anamiaka 40 anaonekana kama anamiaka 18

  • @saadaally5705

    @saadaally5705

    9 ай бұрын

    Useme harubaini je nazuchu utamuweka mingapi uliza kwaza

  • @bdvc7107
    @bdvc71077 ай бұрын

    Kama tulivyokubaliana tunaanza kuzewka kisha tunakuwa vijana

  • @khamushamad8857
    @khamushamad885710 ай бұрын

    Hizi taarab zakale mbona mzur

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan70063 ай бұрын

    MAMA NA TAARAAB NA ZUCHU WBC NA MATUSI

  • @mbaroukally8655
    @mbaroukally86557 ай бұрын

    Hiyo ndio ilikuwa taarab unakaa kwenye kiti unaburdika,lkn saa hiv hakuna taarab ni rumba tu na kukata viuno

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah115410 ай бұрын

    Mhhhhh hata kuzaliwa sijazaliwa jamn ndio kwanza 97 /Oct 😂😂 shikamoo sasa uwaachie kina zuch kubishana mitandaon jamn

  • @mangofish9079
    @mangofish90799 ай бұрын

    Niko na miaka 8 mwaka 90 nimekumbuka hizi tarab ktk tvz

  • @MdNasr-jm8pj

    @MdNasr-jm8pj

    7 ай бұрын

    Cheiche 🎉🎉🎉ata Nia ya kuzaliwa sina mwaka uwoo😅

  • @RioIpo

    @RioIpo

    6 ай бұрын

    ​@@MdNasr-jm8pj mie nina miezi 4 apo

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha315610 ай бұрын

    Zuchu alikua ajazaliwa xuchu kazaliwa mwaka 93 😂😂😂

  • @tausisaidi2096

    @tausisaidi2096

    10 ай бұрын

    Alikua tayari kazaliwa zuchu wa 89

  • @esterpaul5856

    @esterpaul5856

    10 ай бұрын

    ​@@tausisaidi2096hawajuag kama zuchu ni mzee..eti 93 hahah