ENZI ZA HADIJA KOPA MWAKA 1990 ULIKUWEPO
TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
#Muuminina #Dida #Juhuditz #Al-Muuminin #Adila
#Mwanacha #Afnania #Stumai #Zuchu
#muminina #Qadiria #zanzibarqaswida #AFNAANIA #DIRECTORONE.T #Future Tz #Wasafi Media #ZMASTORY #Juhuditz #JUMAFAKIH #ZanzibarQaswida #AQAZStudio #Al-muuminin #YasmediaTv #stumai #zbc #tbc #futuretz #youtubeislife #subscriber #youtubeguru #youtubecontent #newvideo #subscribers #youtubevideo #youtub #youtuber #youtubevideos #youtube #youtuber #youtubechannel #revolutionreal #blacksmokeyeye #smokeyeye #glow #glowingskin #discoverunder5k #discoverunder10k
Пікірлер: 33
Leo ni try 20/01/2024 ndio naona hii haipungui ni miaka 34 iliopita na huyu dada bado yapo hai na bado nimuimbaji sasa ni mda pekee wa kumuombea na kumuomba aache mziki na amrudie M/ Mungu atubu hwenda Mungu akamsamehe Allah amjalie wepesi in shaa Allah
Watu wa zamani wazuri sana wanaoneka wa siha wako neutral
Hapa alikuwa khadija lipa sio khadija kopa
Yaan watu wa zaman natural kabisa wana hishma sana
Enzi hizo zilitamba sana mm nipo dogo janja
Wallah hapo wengi wameshatangulia mbele ya haki subhana llah
Asante kwa historia na burudani🤝
WAP zuchu honey wangu namtafuta alikuwepo
Ata zuchu hakuepo enzi izo😂🎉
Hii ndio ilikuwa taarabu Zanzibar Haile selas Dar Starlite
Baba na mama yake Zuchu wote wapo hapo
Pandisha Wahoi, Daktari na amejisalimu please
Wazamani wako poa hyo natural hair zao wamependeza kweli na wako watulivu cn
Hii ni Hatari...Sikuwepi Mimi honestly 😂
Apo zuchu alikua anatafutwa ju mama anakaa bdo mdogo sana we
Yussuf Dorya, enzi hizo ameoza anapiga mzigo usiku mchana hajiwezi yu hoi!
Yaani mama tubia tena
Jamen ata nilikua cjazaliwa😂😂
Kuna Dada kavaa red med mnazijua izoi nguo
Hpo mitandio hakuna,watu ilikua hawaja chanuka ,kma ambae hio ilikua ndunia nyengine😂,
Jamani kitambo ❤❤❤❤❤ jamani ataakiwa anamiaka 40 anaonekana kama anamiaka 18
@saadaally5705
9 ай бұрын
Useme harubaini je nazuchu utamuweka mingapi uliza kwaza
Kama tulivyokubaliana tunaanza kuzewka kisha tunakuwa vijana
Hizi taarab zakale mbona mzur
MAMA NA TAARAAB NA ZUCHU WBC NA MATUSI
Hiyo ndio ilikuwa taarab unakaa kwenye kiti unaburdika,lkn saa hiv hakuna taarab ni rumba tu na kukata viuno
Mhhhhh hata kuzaliwa sijazaliwa jamn ndio kwanza 97 /Oct 😂😂 shikamoo sasa uwaachie kina zuch kubishana mitandaon jamn
Niko na miaka 8 mwaka 90 nimekumbuka hizi tarab ktk tvz
@MdNasr-jm8pj
7 ай бұрын
Cheiche 🎉🎉🎉ata Nia ya kuzaliwa sina mwaka uwoo😅
@RioIpo
6 ай бұрын
@@MdNasr-jm8pj mie nina miezi 4 apo
Zuchu alikua ajazaliwa xuchu kazaliwa mwaka 93 😂😂😂
@tausisaidi2096
10 ай бұрын
Alikua tayari kazaliwa zuchu wa 89
@esterpaul5856
10 ай бұрын
@@tausisaidi2096hawajuag kama zuchu ni mzee..eti 93 hahah