HISTORIA YA SOKOINE 1938-1984

Ойын-сауық

Пікірлер: 53

  • @user-bx9jo2ul4x
    @user-bx9jo2ul4x29 күн бұрын

    Mungu akailaze mahali pema peponi amina

  • @elminakalunga4030
    @elminakalunga40305 жыл бұрын

    Honoured Prime Minister the Late Edward Morringe Sokoine, RIP.

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14386 жыл бұрын

    Mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kuiweko roho ya marehem sokiine mahari pema amini

  • @peterbayo4677
    @peterbayo46776 жыл бұрын

    Hongereni sana kwa kuandaa historia ya viongozi wetu walotumikia nchi yetu katika nyanja mbalimbali. Mwendeleze jambo hilo muhimu sana na ni sehemu ya elimu kwa wale ambao hawakubahatika kusoma au kuwafahamu viongozi hao. Asanteni sana.

  • @saidiabdi7994

    @saidiabdi7994

    5 жыл бұрын

    Peter Bayo

  • @nicksonmisunza8042
    @nicksonmisunza80425 жыл бұрын

    wahenga wa tanzania mungu ibariki tanzania

  • @_fizzle
    @_fizzle5 жыл бұрын

    Am proud to study in SUA. 💪 ardhi ni hazina.

  • @charlesmwandenuka7986
    @charlesmwandenuka79865 жыл бұрын

    Namuona katibu mkuu wa chama cha ccm a sasa ccm ipo sawa sana sana

  • @rizikisamwel9904
    @rizikisamwel99045 жыл бұрын

    Mungu amrehemu

  • @jappmgalla7821
    @jappmgalla78215 жыл бұрын

    Edward Moringe Sokoine ni mfano halisi Wa kuigwa katika uongozi aliishi anachosema

  • @farajihassan7202
    @farajihassan72026 жыл бұрын

    Binafsi nawakubali sana hawa viongozi wetu wa zaman japo walikua na mapungufuyao ila waliheshimu misingi ya utawala bora kwa ktk hayo walikubali kukosolewa, waliheshimu maoni ya kilamtu lakin yote kwa yote kila kiongozi alioongoza kwamaslahi ya nchi kituambacho viongozi wasasa hawana ....

  • @abdillahichicha8035
    @abdillahichicha80356 жыл бұрын

    Mungu amlaze mahala pema peponi amin

  • @moshimanzi2785
    @moshimanzi27856 жыл бұрын

    Mungu amlaze Pema.

  • @mashaurikilawa1185
    @mashaurikilawa11856 жыл бұрын

    kiongozi aliye na mifano mingi ya kuigwa,,mungu akuongoze uliko

  • @imamrema881
    @imamrema8816 жыл бұрын

    Mungu alaze mahala pema pepon amane

  • @kaisarimkuu3685
    @kaisarimkuu36856 жыл бұрын

    Makala ni nzuri. Ila hakuna wilaya ya.monduli kwenye jiji la arusha. Kuna wilaya ya monduli kwwnye mkoa wa arusha. Jiji la arusha nalo lipo mkoani arusha

  • @Ambagaye
    @Ambagaye6 жыл бұрын

    Hapana Spesho Kabwanga umekosea record; Sokoine alikuwa Waziri Mkuu wa tatu siyo wa pili. Wa kwanza alikuwa Nyerere, wa pili Kawawa, halafu wa tatu ndiyo Sokoine na wa nne Msuya, na wa tano Sokoine tena akifuatiwa na Ahmed Salim baada ya kifo cha Sokoine. Wengine ni kama ifuatavyo: wa saba Waryoba, wa nane Melecela, wa tisa Msuya tena, wa kumi Sumaye, wa kumi na moja Lowasa (f-r!), wa kumi na mbili Mizengo Pinda na sasa wa kumi na tatu ni Majaliwa.

  • @simonenock3484

    @simonenock3484

    6 жыл бұрын

    Kazi nzuri Sana arikua Mwadirifu

  • @issaiddi2299

    @issaiddi2299

    5 жыл бұрын

    Mnajitahid cna kutujuza hongeren

  • @nurathophey3569

    @nurathophey3569

    5 жыл бұрын

    Nyerere hakuwai kuwa waziri mkuu Tanzania... Bali alikua waziri mkuu Tanganyika chini ya utawala wa Gv Richard Turnbull... @

  • @elipidiusimukyanuzi7586
    @elipidiusimukyanuzi75866 жыл бұрын

    mungu.akulaze.mahali.Pema.pepon

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli67536 жыл бұрын

    R .l .p. Sokowine

  • @johnmbitiyaza1254
    @johnmbitiyaza12545 жыл бұрын

    Rip

  • @allyorry3882
    @allyorry38826 жыл бұрын

    RIP Kamanda wetu--AMIN!

  • @mbarakamlawa7249
    @mbarakamlawa72496 жыл бұрын

    Mnajitahidi sna makala yenu ni mazuri sna

  • @wilisonwilison8512
    @wilisonwilison85125 жыл бұрын

    Amen

  • @oloshokiabdikorle5209
    @oloshokiabdikorle52096 жыл бұрын

    bado tuna mkumbuka sana mahala pema peponi

  • @gracerenady9425
    @gracerenady94255 жыл бұрын

    Ebu tunaomba mtulete history ya ukoroni wawazungu na warabu walivokuja kutawara tanganyila na zanzibar wengine hatujabahatika kwenda shule

  • @mudiguy5308
    @mudiguy53085 жыл бұрын

    kamapaka sasa viongozi wetu wendekua wanaiga mfano waviongozi wazamani yetu isende fikia hapa ilipo

  • @stevenmaligo4702
    @stevenmaligo47026 жыл бұрын

    rip sokoine

  • @yasinamiri7649
    @yasinamiri76495 жыл бұрын

    Si kweli

  • @pendaelypeter5660
    @pendaelypeter56606 жыл бұрын

    Mungu amlaze mahali pema peponi Jembe letu la kaskasini

  • @hajilama9265

    @hajilama9265

    5 жыл бұрын

    I ? Zhou TV so

  • @g-abbastechnology1818
    @g-abbastechnology18185 жыл бұрын

    story haijakamilika chanzo cha umauti na kilihusishwa vip na mambo ya kisiasa vyote ulitakiwa kutuambia

  • @mohammedalhabsi1668

    @mohammedalhabsi1668

    5 жыл бұрын

    Yes that's is true, maaana neno history ni vizuri iwe full story

  • @AliBaba-zb3tg
    @AliBaba-zb3tg5 жыл бұрын

    Duuh adi raha kutazama story za zamani

  • @lilianililianililiani3444
    @lilianililianililiani34446 жыл бұрын

    R I Paradise Sokoine

  • @kassimhassanok576

    @kassimhassanok576

    6 жыл бұрын

    Liliani Lilianililiani34 hatar hatar

  • @kinanaphd2556
    @kinanaphd25565 жыл бұрын

    pumzika kwa amani

  • @gwamakamwakyambiki3963
    @gwamakamwakyambiki39635 жыл бұрын

    Aya kabwanga

  • @yasinamiri7649
    @yasinamiri76495 жыл бұрын

    Nyelele ndio nani uyo mbona me simjui

  • @renatusmkama8422
    @renatusmkama84225 жыл бұрын

    Wanyama

  • @aboudmsonde2890
    @aboudmsonde28906 жыл бұрын

    Tulimpeza mtu makini sana rip moringe sokoine

  • @emmanuelsamwel7131

    @emmanuelsamwel7131

    6 жыл бұрын

    we have to proud for our ancestors

  • @issahmtambulwa9354
    @issahmtambulwa93545 жыл бұрын

    Nabii Tito

  • @nasrisameer4994
    @nasrisameer49945 жыл бұрын

    Kumaaamako sokoine

  • @castatomatovu3362

    @castatomatovu3362

    5 жыл бұрын

    Unaakili timamu wewe?

  • @nasrisameer4994

    @nasrisameer4994

    5 жыл бұрын

    @@castatomatovu3362 yah nina akili timamu

  • @engibertmzaula9461

    @engibertmzaula9461

    5 жыл бұрын

    R.I.P. sokoine

  • @kulwambwelaje7513

    @kulwambwelaje7513

    5 жыл бұрын

    Nasr kum mwenyew itakuw umelogw

  • @robertmasatu8423
    @robertmasatu84236 жыл бұрын

    Nyota ya aina yake iliyozimika ghafla

  • @zindukamutu2962
    @zindukamutu29625 жыл бұрын

    Sx

  • @bushiritz7071
    @bushiritz70716 жыл бұрын

    rip sokoine

Келесі