Honoured Prime Minister the Late Edward Morringe Sokoine, RIP.
@athumanomary14386 жыл бұрын
Mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kuiweko roho ya marehem sokiine mahari pema amini
@peterbayo46776 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kuandaa historia ya viongozi wetu walotumikia nchi yetu katika nyanja mbalimbali. Mwendeleze jambo hilo muhimu sana na ni sehemu ya elimu kwa wale ambao hawakubahatika kusoma au kuwafahamu viongozi hao. Asanteni sana.
@saidiabdi7994
5 жыл бұрын
Peter Bayo
@nicksonmisunza80425 жыл бұрын
wahenga wa tanzania mungu ibariki tanzania
@_fizzle5 жыл бұрын
Am proud to study in SUA. 💪 ardhi ni hazina.
@charlesmwandenuka79865 жыл бұрын
Namuona katibu mkuu wa chama cha ccm a sasa ccm ipo sawa sana sana
@rizikisamwel99045 жыл бұрын
Mungu amrehemu
@jappmgalla78215 жыл бұрын
Edward Moringe Sokoine ni mfano halisi Wa kuigwa katika uongozi aliishi anachosema
@farajihassan72026 жыл бұрын
Binafsi nawakubali sana hawa viongozi wetu wa zaman japo walikua na mapungufuyao ila waliheshimu misingi ya utawala bora kwa ktk hayo walikubali kukosolewa, waliheshimu maoni ya kilamtu lakin yote kwa yote kila kiongozi alioongoza kwamaslahi ya nchi kituambacho viongozi wasasa hawana ....
@abdillahichicha80356 жыл бұрын
Mungu amlaze mahala pema peponi amin
@moshimanzi27856 жыл бұрын
Mungu amlaze Pema.
@mashaurikilawa11856 жыл бұрын
kiongozi aliye na mifano mingi ya kuigwa,,mungu akuongoze uliko
@imamrema8816 жыл бұрын
Mungu alaze mahala pema pepon amane
@kaisarimkuu36856 жыл бұрын
Makala ni nzuri. Ila hakuna wilaya ya.monduli kwenye jiji la arusha. Kuna wilaya ya monduli kwwnye mkoa wa arusha. Jiji la arusha nalo lipo mkoani arusha
@Ambagaye6 жыл бұрын
Hapana Spesho Kabwanga umekosea record; Sokoine alikuwa Waziri Mkuu wa tatu siyo wa pili. Wa kwanza alikuwa Nyerere, wa pili Kawawa, halafu wa tatu ndiyo Sokoine na wa nne Msuya, na wa tano Sokoine tena akifuatiwa na Ahmed Salim baada ya kifo cha Sokoine. Wengine ni kama ifuatavyo: wa saba Waryoba, wa nane Melecela, wa tisa Msuya tena, wa kumi Sumaye, wa kumi na moja Lowasa (f-r!), wa kumi na mbili Mizengo Pinda na sasa wa kumi na tatu ni Majaliwa.
@simonenock3484
6 жыл бұрын
Kazi nzuri Sana arikua Mwadirifu
@issaiddi2299
5 жыл бұрын
Mnajitahid cna kutujuza hongeren
@nurathophey3569
5 жыл бұрын
Nyerere hakuwai kuwa waziri mkuu Tanzania... Bali alikua waziri mkuu Tanganyika chini ya utawala wa Gv Richard Turnbull... @
@elipidiusimukyanuzi75866 жыл бұрын
mungu.akulaze.mahali.Pema.pepon
@mwajumakweli67536 жыл бұрын
R .l .p. Sokowine
@johnmbitiyaza12545 жыл бұрын
Rip
@allyorry38826 жыл бұрын
RIP Kamanda wetu--AMIN!
@mbarakamlawa72496 жыл бұрын
Mnajitahidi sna makala yenu ni mazuri sna
@wilisonwilison85125 жыл бұрын
Amen
@oloshokiabdikorle52096 жыл бұрын
bado tuna mkumbuka sana mahala pema peponi
@gracerenady94255 жыл бұрын
Ebu tunaomba mtulete history ya ukoroni wawazungu na warabu walivokuja kutawara tanganyila na zanzibar wengine hatujabahatika kwenda shule
@mudiguy53085 жыл бұрын
kamapaka sasa viongozi wetu wendekua wanaiga mfano waviongozi wazamani yetu isende fikia hapa ilipo
@stevenmaligo47026 жыл бұрын
rip sokoine
@yasinamiri76495 жыл бұрын
Si kweli
@pendaelypeter56606 жыл бұрын
Mungu amlaze mahali pema peponi Jembe letu la kaskasini
@hajilama9265
5 жыл бұрын
I ? Zhou TV so
@g-abbastechnology18185 жыл бұрын
story haijakamilika chanzo cha umauti na kilihusishwa vip na mambo ya kisiasa vyote ulitakiwa kutuambia
@mohammedalhabsi1668
5 жыл бұрын
Yes that's is true, maaana neno history ni vizuri iwe full story
Пікірлер: 53
Mungu akailaze mahali pema peponi amina
Honoured Prime Minister the Late Edward Morringe Sokoine, RIP.
Mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kuiweko roho ya marehem sokiine mahari pema amini
Hongereni sana kwa kuandaa historia ya viongozi wetu walotumikia nchi yetu katika nyanja mbalimbali. Mwendeleze jambo hilo muhimu sana na ni sehemu ya elimu kwa wale ambao hawakubahatika kusoma au kuwafahamu viongozi hao. Asanteni sana.
@saidiabdi7994
5 жыл бұрын
Peter Bayo
wahenga wa tanzania mungu ibariki tanzania
Am proud to study in SUA. 💪 ardhi ni hazina.
Namuona katibu mkuu wa chama cha ccm a sasa ccm ipo sawa sana sana
Mungu amrehemu
Edward Moringe Sokoine ni mfano halisi Wa kuigwa katika uongozi aliishi anachosema
Binafsi nawakubali sana hawa viongozi wetu wa zaman japo walikua na mapungufuyao ila waliheshimu misingi ya utawala bora kwa ktk hayo walikubali kukosolewa, waliheshimu maoni ya kilamtu lakin yote kwa yote kila kiongozi alioongoza kwamaslahi ya nchi kituambacho viongozi wasasa hawana ....
Mungu amlaze mahala pema peponi amin
Mungu amlaze Pema.
kiongozi aliye na mifano mingi ya kuigwa,,mungu akuongoze uliko
Mungu alaze mahala pema pepon amane
Makala ni nzuri. Ila hakuna wilaya ya.monduli kwenye jiji la arusha. Kuna wilaya ya monduli kwwnye mkoa wa arusha. Jiji la arusha nalo lipo mkoani arusha
Hapana Spesho Kabwanga umekosea record; Sokoine alikuwa Waziri Mkuu wa tatu siyo wa pili. Wa kwanza alikuwa Nyerere, wa pili Kawawa, halafu wa tatu ndiyo Sokoine na wa nne Msuya, na wa tano Sokoine tena akifuatiwa na Ahmed Salim baada ya kifo cha Sokoine. Wengine ni kama ifuatavyo: wa saba Waryoba, wa nane Melecela, wa tisa Msuya tena, wa kumi Sumaye, wa kumi na moja Lowasa (f-r!), wa kumi na mbili Mizengo Pinda na sasa wa kumi na tatu ni Majaliwa.
@simonenock3484
6 жыл бұрын
Kazi nzuri Sana arikua Mwadirifu
@issaiddi2299
5 жыл бұрын
Mnajitahid cna kutujuza hongeren
@nurathophey3569
5 жыл бұрын
Nyerere hakuwai kuwa waziri mkuu Tanzania... Bali alikua waziri mkuu Tanganyika chini ya utawala wa Gv Richard Turnbull... @
mungu.akulaze.mahali.Pema.pepon
R .l .p. Sokowine
Rip
RIP Kamanda wetu--AMIN!
Mnajitahidi sna makala yenu ni mazuri sna
Amen
bado tuna mkumbuka sana mahala pema peponi
Ebu tunaomba mtulete history ya ukoroni wawazungu na warabu walivokuja kutawara tanganyila na zanzibar wengine hatujabahatika kwenda shule
kamapaka sasa viongozi wetu wendekua wanaiga mfano waviongozi wazamani yetu isende fikia hapa ilipo
rip sokoine
Si kweli
Mungu amlaze mahali pema peponi Jembe letu la kaskasini
@hajilama9265
5 жыл бұрын
I ? Zhou TV so
story haijakamilika chanzo cha umauti na kilihusishwa vip na mambo ya kisiasa vyote ulitakiwa kutuambia
@mohammedalhabsi1668
5 жыл бұрын
Yes that's is true, maaana neno history ni vizuri iwe full story
Duuh adi raha kutazama story za zamani
R I Paradise Sokoine
@kassimhassanok576
6 жыл бұрын
Liliani Lilianililiani34 hatar hatar
pumzika kwa amani
Aya kabwanga
Nyelele ndio nani uyo mbona me simjui
Wanyama
Tulimpeza mtu makini sana rip moringe sokoine
@emmanuelsamwel7131
6 жыл бұрын
we have to proud for our ancestors
Nabii Tito
Kumaaamako sokoine
@castatomatovu3362
5 жыл бұрын
Unaakili timamu wewe?
@nasrisameer4994
5 жыл бұрын
@@castatomatovu3362 yah nina akili timamu
@engibertmzaula9461
5 жыл бұрын
R.I.P. sokoine
@kulwambwelaje7513
5 жыл бұрын
Nasr kum mwenyew itakuw umelogw
Nyota ya aina yake iliyozimika ghafla
Sx
rip sokoine