VIONGOZI KUMI WA AFRIKA Waliojitoa SADAKA na kuandika HISTORIA KUBWA DUNIANI hawa hapa! MAGUFULI

VIONGOZI KUMI WA AFRIKA Waliojitoa SADAKA na kuandika HISTORIA KUBWA DUNIANI hawa hapa! MAGUFULI
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE kzread.info...

FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodmedia
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
#MsibaMagufuli
#Mazishi
#Magufuli

Пікірлер: 355

  • @TricodMedia
    @TricodMedia3 жыл бұрын

    Utata wa KIFO CHA DMX Akutana na SHETANI FREEMASON wampa umaarufu Amrudia MUNGU Apoteza NAFSI YAKE kzread.info/dash/bejne/d6GrlcF8lL2qgps.html

  • @kritterlovers4578
    @kritterlovers45783 жыл бұрын

    Naomba raisi magufuli aandikwe kwenye SoMo la historia ili vizazi vijavyo vijifunze uzalendo aliotuachia Kama na ww umeliona hili weka like

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisaa

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    Nakubaliana na wew

  • @ivaniavianarodrigo7201

    @ivaniavianarodrigo7201

    3 жыл бұрын

    ni kweli ndugu

  • @petronillamnyambi7607

    @petronillamnyambi7607

    3 жыл бұрын

    Tena tuhubiriwe hata makanisani kama alivyo ishi Rai MANGUFULI

  • @salmaalimusa547

    @salmaalimusa547

    3 жыл бұрын

    Haswaaa

  • @aljimmykabumbabinazam9904
    @aljimmykabumbabinazam99043 жыл бұрын

    Mungu awalaze pahali pema peponi wa baba zetu... Anaye wakubali agonge like ili tu zidi kuwa kumbuka

  • @alickomtitu2714

    @alickomtitu2714

    3 жыл бұрын

    Nice

  • @benardkaragu4530

    @benardkaragu4530

    Жыл бұрын

    Rais Kenyatta alinyanyasa nakuwanyima machamba walio msaidia

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph97293 жыл бұрын

    Tunataka tarehe 17/3/2099 iwe magufuli day east Africa

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @simonmhanje8251

    @simonmhanje8251

    3 жыл бұрын

    17-3-2021

  • @makelemohuya2723

    @makelemohuya2723

    2 жыл бұрын

    JPM and Mwl J k Nyerere

  • @salvatorymtunga2802

    @salvatorymtunga2802

    2 жыл бұрын

    East Africa kwa lipi?.

  • @salvatorymtunga2802

    @salvatorymtunga2802

    2 жыл бұрын

    @@makelemohuya2723 Nyerere alikuwa kiongozi bora sana kwa mataifa yote yaliyokuwa kusini mwa afrika,wakumlinganisha naye hayupo.

  • @rosemongi5273
    @rosemongi52733 жыл бұрын

    Sana tuu Maguful ni no1

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisaaaa

  • @Michael-ne6wh

    @Michael-ne6wh

    Жыл бұрын

    Magufuli ni iron Man

  • @Michael-ne6wh

    @Michael-ne6wh

    Жыл бұрын

    Tuwe makini watanzania

  • @maulidimuhammed7851

    @maulidimuhammed7851

    Жыл бұрын

    Kwa kuuwa watu wanyonge kama Been saa Nane,Azory Gambo gigo hayo majina utaona,kumpiga tundu Lissu risasi kwa uonevu,

  • @dsshirima77
    @dsshirima773 жыл бұрын

    Magu anastahili kukumbukwa. Afrika na Dunia Nzima.

  • @andersonmunga6363

    @andersonmunga6363

    3 жыл бұрын

    Ndio

  • @maulidimuhammed7851

    @maulidimuhammed7851

    Жыл бұрын

    Jee aliowaua jee hatuwakumbuka?Huo si unafiki na roho ya kichawi?Magu kauwa watu kibao tena kwa uonevu tu kama Ben Saa Nane,Azory Gamba nkUsijitoe fahamu na kujitia ujingani.

  • @samirazuberi186

    @samirazuberi186

    Жыл бұрын

    Maulidi Muhammad huna hata aibu😁😁😁

  • @jameskenny1808
    @jameskenny18083 жыл бұрын

    Bila shaka magufuli ana ongoza kwauongozi bora na uzalendo, na muafrika kamili

  • @bableeyzabdalla531

    @bableeyzabdalla531

    3 жыл бұрын

    Magufuli zake ni kiki alikuta kila kitu juu ya meza ameekewa na kikwete

  • @martinkipenya4592

    @martinkipenya4592

    Жыл бұрын

    @@bableeyzabdalla531 acha usenge

  • @user-fp9ye4vv3y

    @user-fp9ye4vv3y

    11 ай бұрын

    ​@@bableeyzabdalla531hovyo kabisa

  • @kinyilaiyakobo40050
    @kinyilaiyakobo40050 Жыл бұрын

    Magufuli rais ya wanyonge tunakumbuka sana Tanzania

  • @ezralugakila
    @ezralugakila Жыл бұрын

    Magufuli namba one

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph97292 жыл бұрын

    Jpm 100% hatuwezi kumusahawu alikua the best of 20,s wale wengine walikua 19,s yrs

  • @user-ob6vt2jx5c
    @user-ob6vt2jx5c10 ай бұрын

    Maguful tunamkumbuka daima mungu amlaze pema pepon chema akidumu

  • @selemanikazingini5566
    @selemanikazingini556617 күн бұрын

    Magufuli namba moja shujaa niliyemshuhudia sijaadisiwa rest easy magufuli

  • @chesadennis254
    @chesadennis2543 жыл бұрын

    MAGUFULI!

  • @rosemongi5273
    @rosemongi52733 жыл бұрын

    Rais pekee aliye tuambia nchi yetu sio masikin na akatuonyesha kwa vitendo jinis tulivyo matajiri njia zote katupitisha mungu wetu mlaze mahali pema peponi.

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Aminaaa

  • @salmaalimusa547

    @salmaalimusa547

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @salmaalimusa547

    @salmaalimusa547

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @mariamyoyote8172

    @mariamyoyote8172

    3 жыл бұрын

    Amin yaaraby❤️💕♥️

  • @mahedasayi7232

    @mahedasayi7232

    Жыл бұрын

    66

  • @jumaally279
    @jumaally279 Жыл бұрын

    Jpm aingie moja kwa moja kajitoa sadaka kwa watanzania hasa wanyonge

  • @maimunaabdalla7146
    @maimunaabdalla71463 жыл бұрын

    Yeeees!!!magufuli ashaimgiya kwa record ya maraisi wasompa mzungu n afasi yakumgandamiza mwaafrika,vile vile alikua raisi asopenda omba omba wazunu.

  • @fridasky1019

    @fridasky1019

    3 жыл бұрын

    Yes magu ndio ameniliza from Burundi Ila sio kina Kofi anani vibaraka wawazungu

  • @pacifiquejuma163
    @pacifiquejuma1633 жыл бұрын

    Ndiyo Makufuli atakumbu kwa sanatu kwakuwa yeyendiyehalikuwahanatumika na Roho zavihongozi wazamani na Mungu alikuwa anatuhonyeshi jisi marahisi wazamani gisiwalikwa wanatuteteleya Africa kupata rahisi kama Makufuli inahomba sanatu mpaka myaka 30 tenandokutapatikana Rais ka Makufuli lakini kwasasa akutapatikana kamwe

  • @gaspercharles4242
    @gaspercharles4242 Жыл бұрын

    Iweisiwe Magufulificationof Africa iposiku watanzania lazimawataazimishakumbukumbuyake haiwezekani mwanapanduzi wauchumitenakwamudamufupisana nchi ilibadilika sana kiuchumi.

  • @estherosore6415
    @estherosore64152 жыл бұрын

    in the name of God like our heroes in all Africans God bless our country with African

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Жыл бұрын

    Magufuli Shujaa,Jasiri,Mzalendo,atabaki kuwa alama Afrika,Dunia,ni miongoni mwa Viongozi wanaokumbukwa Duniani

  • @lamnyakikuney7434
    @lamnyakikuney7434 Жыл бұрын

    Magufuli mungu akulaze pema pepini

  • @jumamrange
    @jumamrange Жыл бұрын

    Magufuli ni mmoja wa viongoz watakaokumbukwa barani afrika

  • @mussarassuli7918
    @mussarassuli79183 жыл бұрын

    Mbona Gadafi hujamuweka wew umeharibu video njima, Gadafi ndo Chuma namba moja

  • @saumsalim9966

    @saumsalim9966

    3 жыл бұрын

    Namshangaa

  • @estherkasua5645

    @estherkasua5645

    3 жыл бұрын

    Ukweli😳 kwani hamunjui Gaddafi

  • @goddymac2418

    @goddymac2418

    3 жыл бұрын

    Gaddafi ndio jembe la majembe

  • @piliayooo7534

    @piliayooo7534

    3 жыл бұрын

    Kabisa Gaddafi anastahili kukumbukwa.

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Kweli ingetakiwa awepo na yeye

  • @healthynation2125
    @healthynation21253 жыл бұрын

    HII VIDEO HAIJAKAMILIKA BILA MKUU MUAMMAR GADDAFI

  • @jumakassim8718

    @jumakassim8718

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @JosephMsanga-vl3ug
    @JosephMsanga-vl3ug Жыл бұрын

    MUNGU Azilaze Roho Zao Marais Wetu Hawa Pahala pema Peponi. Mungu Mwenyewe Awasamehe Dhambi Zao.

  • @misomisomisoji7722
    @misomisomisoji77223 жыл бұрын

    Robert Mugabe ungemuweka katika list

  • @saidimandala8342
    @saidimandala8342 Жыл бұрын

    🇹🇿J P M ♥️🖤 😭😭😭😭😭

  • @andrienimbona2421
    @andrienimbona24213 жыл бұрын

    Big up

  • @margaretachieng9887
    @margaretachieng98873 жыл бұрын

    Story power sana 👏

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Asante sana

  • @Michael-ne6wh
    @Michael-ne6wh Жыл бұрын

    Watanzania tumuombee shujaa , jembe,nyundo dk John pombe magufuli

  • @TricodMedia
    @TricodMedia3 жыл бұрын

    SIRI NZITO Nyuma ya MAISHA YA BRUCE LEE nani ALIYE MUUA na Chimbuko la LAANA YA FAMILIA Part 1 kzread.info/dash/bejne/qoiVrtWsqJTRoJs.html

  • @cleofasnyoni3836
    @cleofasnyoni38363 жыл бұрын

    Tumia sauti yako, acha kuiga sauti za watu wengine. Kazi nzuri

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Kama ni mgeni na unsisikia sauti kwa mara ya kwanza karibu sana

  • @zamukahemele1505
    @zamukahemele1505 Жыл бұрын

    R I P. Jpm tutakukumbuka daima dady

  • @edwardlucas8912
    @edwardlucas89123 жыл бұрын

    Good story

  • @charleszmgonde753
    @charleszmgonde753 Жыл бұрын

    Ila kweli hàta Mimi namuunga mkono mjumbe kuwa tar,hiyo iitwe magufuli day na ikiwezekana tuwetunaazimisha sikuhiyo

  • @phillyshigi6865
    @phillyshigi68653 жыл бұрын

    Anastahili akumbukwe daima na dunia nzima

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisaaaa

  • @maulidimuhammed7851

    @maulidimuhammed7851

    Жыл бұрын

    Ee tutamkumbuka kweli maana kafany maovu na ushenzi mwingi dhidi ya binadamu wenzake kama kuuwa,kuteka,kupiga watu risasi,kudhulumu watu mali zso kwa nguvu,kuteka na kupora kama yaliyomkuta Moo.Wako wapi vijana wawatu akina Ben Saa Nane,Azory Gamba nk.Kawauwa watu wengi sana,kweli hatutomsahau kwa unyama wake dhidi ya wanyonge.

  • @petersonem150
    @petersonem1503 жыл бұрын

    Jose napenda kazi yako lakini Kenya hatuna viongozi ni wanasiasa tu.Tanzania is a country of it's own.I love TZ mnaishi kwa amani,upendo na mwaona mbali.Come to Kenya CORRUPTION NA UBINAFSI ULIOPITILIZA

  • @stevenngoga1784

    @stevenngoga1784

    3 жыл бұрын

    Kwanini ndugu?

  • @josephineomutanyi8122

    @josephineomutanyi8122

    3 жыл бұрын

    kenya wizi mtupu na unafanywa na watu walio juu mamlakani

  • @petersonem150

    @petersonem150

    3 жыл бұрын

    True

  • @stellanzioka1687
    @stellanzioka16873 жыл бұрын

    Mimi nilijua huu upuzi utatokea kwa YuoTubu baada ya Raisi magifuli kufariki dunia eti alikuwa mlluminate, Mimi sikubaliani nanyi, Nyinyi ni watafutaji pesa tu kwa KZread.

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87633 жыл бұрын

    Iwe mwisho wa kuwauwa mashujaa wetu kwa faida ya watu wachache. Mfano utulewe kupitia JPM ichunguzwe itabainikaTu technology iliyoposasa inawezekana kubainisha ili kueatowa uoga viongozi wajao🧿🤲🏻🤲🏻🤲🏻

  • @maulidimuhammed7851

    @maulidimuhammed7851

    Жыл бұрын

    Jee mamia ya watu aiowaua yeye jee?Wako wapi Ben Saa Nane,Azory Gamba,kupigwa risasi kwa Tundu Lissu,Watu waliouliwa na makundi yake ya kihalifu ya watu wasiojulikana.Usiangalie Magu tu uangalie na aliowaua maana wote wana thamani sawa hakuna binadamu alio juu ya mwenzake.Usijitoe akili wewe.

  • @samirazuberi186

    @samirazuberi186

    Жыл бұрын

    @@maulidimuhammed7851 huna lolotee koment nyingi hapo niwatu wanamkumbuka.. Kwani wewe uliuliwa nani? Mama yako au baba yako

  • @paulhando6286
    @paulhando6286 Жыл бұрын

    JPM hana pingamizi jatika list hiyo. Kafanya maajabu japo tunamacho ila hatuoni

  • @user-vk9ne5mw4q
    @user-vk9ne5mw4q7 ай бұрын

    VIVA Bravoo Lumumba

  • @servaciosamadu82
    @servaciosamadu82 Жыл бұрын

    Usipomkumbuka jpm sio kweli hujamaa wamemuua

  • @khanakwasarahlydia2190
    @khanakwasarahlydia21903 жыл бұрын

    Hi I stori ni ninzuri sana asante sana mungu akubariki

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Aminaaa

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda27733 жыл бұрын

    UWIII NYERERE ALIJITOA SANA NA HATA FAMILIA YAKE WANAISHI MAISHA YA KAWAIDA.ILIIPENDA NCHI KULIKO YEE MWENYEWE.ALIITENGENEZA TZ KWA GHARAMA YA MAISHA YAKE NA AFRIKA KWA UJUMLA

  • @subirajohn728

    @subirajohn728

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa Nyerere hatutamsahau na ndiye aliyemzaa Magufuli watu hawa wawili Kama Baba na Mwana! Mwenyezimungu awajalie pepo isiyo na mwisho! Amina

  • @bableeyzabdalla531

    @bableeyzabdalla531

    3 жыл бұрын

    @@subirajohn728 Hatutamsahau kwa nchi alivoiyacha kwenye lindi la umasikini huo ndio uzalendo wa kiafrika

  • @subirajohn728

    @subirajohn728

    3 жыл бұрын

    @@bableeyzabdalla531 Abdallah unajua Kwa nini nchi za kusini mwa Africa hawawezi kuisifia Tanzania bila kutaja Nyerere Kwa sababu alitumia kila liwezekanalo ili katika nchi hizi ziwe huru yeye na yeye alitaka Africa yote hili huru alipambana kwa Hali na mali kuhakikisha nchi zote zilizokusini mwa Africa zinajitawala pili wazungu walituingiza kwenye vita na Iddi Amin kwa sababu walituona uchumi wetu ulikuwa unakuwa kwa kasi kwa hiyo wakaona namna gani watatushusha wakaleta fitna tukapigana na Idd Amin hapo ndipo tulipoporomoka sana na Baba yetu hakuwa na la kufanya lakini Kwa mapenzi makubwa alisomesha watu mbalimbali kwaajili ya kutaka lasilimali zetu tuzimiliki Sisi wenyewe hakuruhusu mtu yeyote wa kuiba rasilimali zetu ikiwemo madini yetu alijua yatatunufaisha wajukuu zake kama sisi na bahati sasa tulimpata Magufuli haliweza kusimamia vyema na kufuata maagizo ya Hayati Julius Nyerere na ndio maana tunamwita BABA wa TAIFA!

  • @bableeyzabdalla531

    @bableeyzabdalla531

    3 жыл бұрын

    @@subirajohn728 Sema hivi nyerere alifuja kodi zetu kuwapa nchi nyengine wapate kutawala ili wauwe weusi wenzao kama tunavoona msumbiji wanavouwana zimbabwe ilikuwa inaongoza duniani uzalishaji wa mahind hivi sasa wanangoja misaada hiyo ndio faida ya utawala wa Afrija Kupigana na Idi Amini sio wazungu umuongo ni fitna za nyerere na chuki aliokuwa nayo kwa Idi Amini kwanza alimchokoza kenyatta mpaka ilifikia mawaziri wote waliwambia kenyatta ampige nyerere kenyatta akawambia mawaziri wake mtu mjinga muwache na ujinga wake tukipigana nae tutaonekana sote tuwajinga ndio nyerere kwa kumsikiliza obote akapeleka fitna kwa Idd Amini hakuna mzungu aliepiganisha na uchumi ulikuwa ushakufa alipokuwa akichukua pesa akiwapa nchi nyengine wapiganie uhuru je aliemwambia afukuze wawekezaji alikuwa nani viwanda vote aliviwa ulimwenguni tukiongoza uzalishaji wa mkonge mbona ulikufa na mashamba ni yetu ama nayo wazungu walienda nayo ccm ndio mhusika mkubwa kuuwa uchumi

  • @subirajohn728

    @subirajohn728

    3 жыл бұрын

    @@bableeyzabdalla531 SASA HAYO YA KWAKO SIWEZI ZUIA MTAZAMO WAKO NA MAONI YAKO KILA LA KHERI NDUGU YANGU!

  • @frankgibson1419
    @frankgibson14193 жыл бұрын

    Apo kwa Kenyatta umetudanganya kabisa.

  • @FrankJulius-ou7op
    @FrankJulius-ou7op Жыл бұрын

    Bradha - samahani kwa hili ninaloandika, binafsi mimi ni mwalimu wa historia, Broh kama ungeweza kuchunguza kabla ujaachia makala ingekua vyema Kwame Nkurumah - aliingiza ghana kwenye shida kubwa, naamini kuna vitabu vingekuongoza vizuri sana hata vya stori tu ingekupa mwangaza, Ghana ilioza kipindi cha Nkurumah "the beautiful one are not yet born" kiliandikwa kwa ajili yake Jomo kenyata - fatilia pia historia yake vizuri, hakua kiongozi bora wa kenya, alisababisha migogoro ambayo mpaka leo hii Kenya ina ukabila. Koffi Annan - ameshindwa kutatua migogoro mingi iyopelekea vifo vingi vya watu syria, Darfur, Iraq , somalia, sudan, misri, Nigeria nk. alikua papet wa USA. Keneth kaunda - baada ya kutoka madarakani alikabiliwa na kesi ya wizi, mauaji na rushwa. Hawezi kua kwenye hiyo list

  • @asmahiha6815
    @asmahiha68153 жыл бұрын

    Wakenya hawaishi kiuzalendo toka kenyatta alikuwa dikteta sana mpk ikifika uchaguzi ni lazima damu imwagike ni amani ama uzalendo kenya nchi ya udikteta

  • @kennedyogayo5180
    @kennedyogayo51803 жыл бұрын

    Toa kenyatta kwa hiyo list please.

  • @azizimangara9024

    @azizimangara9024

    Жыл бұрын

    Gadaf mbona ajamtaja

  • @user-yl7bh4xe2d
    @user-yl7bh4xe2d4 ай бұрын

    Toa Kenyatta

  • @Neema-Rehema-Utu
    @Neema-Rehema-Utu Жыл бұрын

    Tutawakumbuka milele💪

  • @duncangatundu1397
    @duncangatundu13973 жыл бұрын

    Big No to Kenyatta

  • @francismwangikamau5998

    @francismwangikamau5998

    3 жыл бұрын

    Your name bettering you

  • @AmuzMoses-rn8cf
    @AmuzMoses-rn8cf Жыл бұрын

    🙏

  • @dotytydo2342
    @dotytydo23423 жыл бұрын

    Hiyo ya kenya itafute hiyo history vizuri na rekebisha pia weke ghadafi

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Sawa ntafanya hivyo

  • @subirajohn728

    @subirajohn728

    3 жыл бұрын

    Kweli Gadafi!

  • @makelemohuya2723

    @makelemohuya2723

    2 жыл бұрын

    JPM alikuwa super genius praisedent

  • @donaldchacha9525

    @donaldchacha9525

    Жыл бұрын

    Na Samora Machel wa Msumbiji

  • @chausikuselemani3796
    @chausikuselemani3796 Жыл бұрын

    Ajari. Mwanza

  • @hajathsofa
    @hajathsofa Жыл бұрын

    Naiwe kweli

  • @josephonyango8267
    @josephonyango82673 жыл бұрын

    Kusema ukweli jomo kenyatta hapo umenoa

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @irenelukale9293
    @irenelukale92933 жыл бұрын

    Where is Jaramogi Odinga?

  • @lamnyakikuney7434

    @lamnyakikuney7434

    Жыл бұрын

    Magu tunakukumbuka lakn tunakuombea sana

  • @faithnyaboke499
    @faithnyaboke4993 жыл бұрын

    Jomokenyata no mtoe apo plz

  • @tida3727

    @tida3727

    3 жыл бұрын

    Hata nimeshangaa pia

  • @eralenganyaerale7731

    @eralenganyaerale7731

    3 жыл бұрын

    Ata Mandela atolewe hapi

  • @kelvinmtavangu7701
    @kelvinmtavangu7701 Жыл бұрын

    RAIS MAGUFULI ATAKUWA MIONGONIWA VIONGOZI WA KUKUMBUKWA AFRIKA NA DUNIANI. MFANO: KIJIKOMBOA KWA KUJITEGEMEA. KWAMBA JPM ALISEMA: TANZANIA SIO NCHI MASIKINI. MABEPARI WALITUDANGANYA WAKAIBA RASILIMALI ZETU. R.I.P. J.P.M.

  • @alfredbomani8047
    @alfredbomani8047 Жыл бұрын

    Hapana sikubaliani na kuweka kwa Kenyatta. Anaweza kujitoa kwa inchi yake lkn siyo kwa Africa. Halikuwa kipaumbele Magufuli anastahilu watsbishia kwa sasa lkn muda inaonyesha na watakuja kumkubali. Hata Kwame walimsema ovyo hata Kamdela walimkandiz Kwame anawapendelea na kuwabeba wazungu.

  • @salehhilalimohamed9388
    @salehhilalimohamed9388 Жыл бұрын

    Napenda misimamo ya viongozi

  • @billian1914

    @billian1914

    Жыл бұрын

    Tafadhali napenda video yako Lakini mimi ni mkenya asili Nakuomba ondoa Mzee Jomo jina lake Kenyatta hapo kwa List . Sioni alifanya kazi gani huko Kenya. Kenyatta alishindwa kutu Unganisha pamoja , makabila mbali, mbali kwa sisi Wakenya. Mara nyingi tuko pamoja, mara Nyingi hatuko pamoja (ametuletea Shida sana k.) Huyo mzee alinyanganya Wakenya Shamba Lao . Familia K. Wana mahekta za mashamba kushinda mtu yoyote mpaka wa Leo huko Kenya Nzima. Hata na Mamillioni za ma hela walichukua wao . Naomba kaka muondoe huyo jina ya K.J. Injee. Hailingani na hio List yako.

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana79573 жыл бұрын

    UMEKOSE SANA HISTORIA HII

  • @mussanassoro552
    @mussanassoro552 Жыл бұрын

    Jpm ni mwamba

  • @kizambohermaton3514
    @kizambohermaton3514 Жыл бұрын

    Jomo I respect him as my first head state, but there were some issues during his tenure which made some of us in 🇰🇪 raise questions. Freedom fighters, land issues .

  • @lameckmeshack

    @lameckmeshack

    Жыл бұрын

    Kweli JOMO KENYATA anawekwa kwenye kumbukumbu kuwa naye alikuwa shujaa, Sina Imani hata kidogo katika hili KWANZA huyu MTU amehujumu na kudhulumu ardhi yote ya Wakenya Hadi leo wakenya wengi wametoka mashamba I na kukimbilia mijini baada ya kukoswa ardhi ya kulima na huko hawana shughuli za maana. Pili kipindi Cha utawala wake amewaua wapigania Uhuru wenzake Kama TOM MBUYA , PINTO, na wengine wengi huyu alishindwa kabisa KUUNGANISHA Wakenya na kuleta UKABILA na UFISADI na kuwasumbua Wakenya Hadi leo, mwisho alikuwa mwizi mkubwa wa Mali za SERIKALI YA KENYA kwa hivyo hana sifa ya kukumbukwa hata kidogo. Kipindi Cha MUUNGANO wa EAST AFRICA COMMUNITY yeye ndiye aliyevunja hUO MUUNGANO kwa hulka YAKE we ya Moyo wa ubinafsi na uchoyo

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph45583 жыл бұрын

    Ungemtoa Jomo Kenyatta ukamuweka Dedan Kimathi huyo ndo alikua kiongozi wa harakati za ukombozi nchini kenya akiwa na kundi la mau mau...Kenyatta mbinafisi alijitwalia aridhi ya wakenya baada ya walowezi kurudisha aridhi serikalini na ndio kiongozi aliopandikiza ukabila nchini kenya

  • @jumakassim8718

    @jumakassim8718

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @johnnicodemomabula9010
    @johnnicodemomabula90103 жыл бұрын

    Mkuu uko vzr ila ombi langu rekebisha namna ya kusimulia unasimulia Kama anayesoma kidogo inaharibu radha. Just opinion 🙏

  • @michaelmaluni2327
    @michaelmaluni2327 Жыл бұрын

    Kwa hii orodha yako tafadhali ongezea Mama Winnie Mandela. She is the real mother of Nation of South Africa

  • @ramadhanmusa2035
    @ramadhanmusa20353 жыл бұрын

    Jomo mwizi 2 wewe mtangazaji hujielewi twa mkumbuka na uporaji

  • @user-ci9ku8xn1o
    @user-ci9ku8xn1o Жыл бұрын

    Hakika JOHN POMBE MAGUFULI utakumbukwa kila leo katika AFRIKA nzima hasa AFRIKA MASHARIKI na TANZANIA kwaujumla

  • @johndonald3685mashinyali-ty6kc
    @johndonald3685mashinyali-ty6kc Жыл бұрын

    Magufuli akumbukwe nae na andikwe kwenye kumbukumbu ya maraisi mashujaa

  • @johnstonesimiyu4642
    @johnstonesimiyu46423 жыл бұрын

    Ok

  • @jacksonkanzira4346
    @jacksonkanzira4346 Жыл бұрын

    Ahsante sana. Ila Congo DRC ilipata uhuru tarehe 30 Juni 1960, sio 1961

  • @jomoshaggywood9286
    @jomoshaggywood92863 жыл бұрын

    Hii sio kweli wapi muamar Gaddafi

  • @paulkizila8536
    @paulkizila853610 ай бұрын

    Patrice Lumumba sio Patrick Lumumba 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪💪💪💪😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @ELISSKGTV
    @ELISSKGTV3 жыл бұрын

    JOMO KENYATTA,MWANZILISHI WA TAIFA🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😍😍😍

  • @makenaOG

    @makenaOG

    Жыл бұрын

    Huyo aliiharibu Kenya kwa ukabila na tamaa binafsi

  • @yossihayun
    @yossihayun Жыл бұрын

    Umekosea kueka Kenyatta hapo sio sawa kwa uhakika

  • @rosekemunto660
    @rosekemunto6603 жыл бұрын

    Mimi huyu.mwanamke kutoka kenya Japo mdogo nawalia sana wake walio wawa kwa kutetea inchi ya Afrika. Sasa hivi tuko na viongozi ambao hawaelewi mambo. Rest in peace Raisi magufu. Amani upendo uduma Afrika kwa wakristo wote.

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisaa

  • @kareembashir4064
    @kareembashir40643 жыл бұрын

    Kenyatta hapana alikuwa na tamaaa ya mali

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @bableeyzabdalla531

    @bableeyzabdalla531

    3 жыл бұрын

    Kenyetta alikuwa na tamaa mbona nyerere asiekuwa na tamaa uchumi wetu ulikufa fofofo

  • @simonmwandu2214
    @simonmwandu22143 жыл бұрын

    Jomo Kenyata nyerere Mandela hao toa humo hujuwi kitu, Thomas sankara, lumumba, mkwame nkuluma, magufuri, gadafi, haile selasi, samola masheli, hao ndiyo miam à siyo kina nyerere na kinyata

  • @saumsalim9966

    @saumsalim9966

    3 жыл бұрын

    Uyu Ata yuasema yake uyu namshangaa ety kenyatta, 🤣🤣Hyo alkua mwizi tu

  • @goddymac2418

    @goddymac2418

    3 жыл бұрын

    Mandela yupo sawa lakini sio Kenyatta

  • @jisamjoseph4558

    @jisamjoseph4558

    3 жыл бұрын

    Inaonekana hata wewe hujui lolote labda ungesema Kenyatta na Mandela lakini sio nyerere... Nyerere anamchango mkubwa sana katika ukombozi wa bara la Afrika hasa kusini mwa bara la Afrika,pia ni mmoja Kati ya waasisi wa umoja wa Africa OAU ambayo ni AU kwa sasa...amewalea wanaharakati wote wa ukombozi katika nchi za kusini mwa Afrika kuanzia Samora Machel wa mozambique, Kenneth Kaunda wa zambia, Dr Sam Nujoma wa Namibia, Dr Kamuzu Banda wa Malawi, kina Steven Biko wa south Africa na wengine wengi.....

  • @subirajohn728

    @subirajohn728

    3 жыл бұрын

    Wewe usiongee chochote kuhusu Nyerere alijitoa Sana Kwa ajili ya Africa na alipambana kupigania Uhuru wa nchi mbali mbali za Africa!

  • @faithnyaboke499

    @faithnyaboke499

    3 жыл бұрын

    Kenyata alikua mporaji hiyo ndo isitoria yake

  • @material_liv4674
    @material_liv46743 жыл бұрын

    MUAMAL GADDAFI sawa toa mandela aliwageuka wananchi baade akasema watu wote ni sawa rainbow nation Na matokeo yake black South Africans mpaka sasa hawana ardhi ya kulima. Ni second class citizen nchini kwao wenyewe So decide mwenyewe.

  • @Byoshifidel
    @Byoshifidel4 ай бұрын

    Toa yule mwana maman wa Liberia alafu uweke mohamar kadaff wa Libye

  • @jkass757
    @jkass7573 жыл бұрын

    Mchango wa Mwl J K Nyerere kwa Taifa lake na bara la Afrika ni mkubwa sana na hakuna wa kulilinganisha naye. Aliipigania Tanzania na Afrika kwa ujumla

  • @reazahmohjey7724
    @reazahmohjey77243 жыл бұрын

    Jomo Kenyatta mtoe kwenye orodha.

  • @mariamnamwa188

    @mariamnamwa188

    3 жыл бұрын

    😅😅

  • @salmaalimusa547

    @salmaalimusa547

    3 жыл бұрын

    @@mariamnamwa188 hahahaha hana vigezo

  • @frankhoffa8356

    @frankhoffa8356

    3 жыл бұрын

    @Athuman Fuko ukifuata hivyo basi na Magufuri mbona alijitwalia mali nyingi zikaenda chato. Kwahiyo tusihukumu kwa vigezo ambavyo nasisi tunavyo

  • @healthynation2125

    @healthynation2125

    3 жыл бұрын

    Amweke Kimathi Dedan

  • @aminaissa9709
    @aminaissa97093 жыл бұрын

    Yuko wapi mama yetu wangai mathae aliyeshinda peace nobel turudishie top twenty

  • @zubedakaitira9591
    @zubedakaitira9591 Жыл бұрын

    Simon Patrick Lumumba ni Patrice Lumumba

  • @amoniTv1148
    @amoniTv1148 Жыл бұрын

    Magufuli john jembe linnalo lima hata peponi na dunian

  • @user-dl2mb2tb5k
    @user-dl2mb2tb5k9 ай бұрын

    I am from DR congo but now in the United States of America. I wondering why isn't in Tanzania the magufulification media in this country coz I compare magufuli to emery Patrice lumumba and Laurent desire kabila in drc , and kabisa the great So why, why, why, I'm Joseph from the United States

  • @user-vc6od9ko6n
    @user-vc6od9ko6n Жыл бұрын

    Ramani ya Tanzania

  • @sayijumanne9856
    @sayijumanne98562 жыл бұрын

    Hakiki hatutosahau hao viongozi

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana382911 ай бұрын

    Huyo nyerere kajitoa sadaka kiaje naomba maelezo ya kweli?!

  • @said8386
    @said8386 Жыл бұрын

    Mbona karume hayumo vipi bos

  • @twalhamnyira5318
    @twalhamnyira53189 ай бұрын

    Yupo muamali Gadafi alikuwa ni mwamba kuliko wote hao Sema akili yenu ni finyu sana

  • @daviskinuthia6494
    @daviskinuthia6494 Жыл бұрын

    Hapo kwa jomo kenyatta umendanganya!huyo ni msaliti

  • @aliebrahim9423
    @aliebrahim94233 жыл бұрын

    Bila Gasafi unatudanya!!

  • @alimwanza7356
    @alimwanza73564 ай бұрын

    Naomba kujua, mwanamke kisimi chake kikisimama wakati wa kujamiana. kama mboo je inamanisha amekupenda sana ama ni vp.

  • @revickiuskalumuna7292
    @revickiuskalumuna7292 Жыл бұрын

    Mtangazaji Kwa kumtaja Nelson Mandela akiwa wa kwanza sikuhungi mkono kabisa....

  • @IsmailJafari-pe1dv
    @IsmailJafari-pe1dv2 ай бұрын

    narais samia niwangapi africa,😂😂

  • @healthynation2125
    @healthynation21253 жыл бұрын

    Ako wapi Muammar

  • @incredibledanceteam8425
    @incredibledanceteam84253 жыл бұрын

    Jose pls malizia princess Diana part 2

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    Inakuja fasta kesho naipost

  • @mucci_AI
    @mucci_AI3 жыл бұрын

    twende kazi

  • @TricodMedia

    @TricodMedia

    3 жыл бұрын

    umetisha sanaaaaaa

Келесі