DENIS MPAGAZE: Mfahamu KENNETH KAUNDA/Baba Wa Taifa La ZAMBIA Aliyesalitiwa Na WAZAMBIA/ Alifungwa!!
VISIT OUR WEBSITE: fomaentertainment.com/index.php
EMAIL US : sales@fomaentertainment.com
Follow Us On Instagram
/ ananiasedgartz
/ ananiasedgartv
/ ananiasedgartv
/ ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m
Пікірлер: 83
Nafurahishwa na simulizi zilinisaidia Sana kupitia mitihani ya somo la historia nikiwa shule Nchini Kenya 🇰🇪 Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏
The best narrator ever. Excellently done research, chronologically. Good job.
@AnaniasEdgarTV
2 жыл бұрын
Wow, thank you!
Your are one of the best narrator keep up man.. from USA 🇺🇸 Swahili to the world✊🏾
Safi sana mtangaxaji. Rekebusho Kaumda alifungwa kifungo cha nje yaani alipata kifungo cha kuwa nje ya jela. Asante kwa kazi nzuri nakusikiliza toka Ohio USA 🇵🇷🇵🇷🇵🇷
The BEST COMMENTATER/NEWS CASTER IN THE WORLD,D.Mpagaze.With BOOMED VOICE.
Duh!! Waafrica hawawez punguza ujinga Tupo na ww mbele Kwa mbele Ananias Edgar Listening 🎧 🎧 from inje ya border kenya Kama umeipenda historia ya Kaunda gonga like twende pa1
Gonga like kwa mpagz na ananiac kwa kaz nzur
Marais wa zamani walipendana sana 🇹🇿 Mungu wabariki wazee wetu hawa wa kiafrika uwapumzishe roho zao🔱
Nakushukuru sana kwa makala zako so educative.
School song,,, tunawakumbuka mashujaa we2uuu waliofariki dunian ni Wana mapinduzi agustino neto WA kongola alikuwa Pamoja nasi katika mapinduzi kiitikio Afrika😭💔💔💔wooii😢pimziken pema
It’s KAUNDA SUIT for me 😂 nlikua sijui maana yake
safi sana kwa simulizi
Kazi nzuri sana
Appreciate kiongoz 💪💪
I like your skills. Sebastian from kenya
Kama MTU wa Mozambique nimemuona Samora Machel Kwenye picha Moja Na Kenneth Kaunda,
Asante
Mungu hapangwingwi
Pamj kwa story safi zenye mafunzo 👌😇
This is among of the best history I had ever listen from you Brother...keep it up💪
You are a good narrator bro
Makala Njema Sana Ndugu Edger❤️🇰🇪🙌🏾 Asanta❤️🇰🇪❤️
kaz nzur sana brother 💥💥💥
story nyingi huwa unakuwa sawa ila hii unatupigapiga saana kaunda alikuwa dikiteta mwaka 1991 kaunda alizuwia upinzani wasifanyie kampeni mijini na sehemu zote za wazi chiluba aliendesha kampeni vijijini na polini lakini wana nchi walikuwa wame muelewa saana ndio maana alishindwa kwa aibu kubwa kaunda
Pamoja kaka
HUYU JAMAA NINAMKUBALI SANAAA 🙏🙏🙏💯
Kumbe brother Ananias unajua kulia😂😂😂
Asante sana my brother from another mother
Tuko tunduma kazi zako tunazielewa Sana
Nice
Daah nakukubali sanaa
Ananias Edgar Mimi shabiki yako sana vamos
Napenda sana mafundisho yako
Napenda unayvo sumulia kak
Bro colder akae kando .....unasauti chonjo kama Johnson mwakazi wa Kenya🙏🙏🙏🙏
Kaka kazi yako Bora. Magunduzi yako Kali na ueledi wa kueleza mzuri pia kutoka Kenya
5yrs accomplished the work less than 10yrs.
💥💥😂👍nimechelewa lakin nimewatch
Da nakubali kaka nilikua naisubilia kwa hamu
Jamani Mie mkenya niko mpakani tarakea nipate wapi vitabu zako
Mwanawasa nilikua namsikia nikiwa mdogo, leo nimempata vizuri kazi yenu inanoa ubongo wetu saf eddgar uko na kipaji nahii kazi
Unapoteza ladha ya simulizi Kwa mbwembwe.
nice work put the book on amazon plz
Hahaha unazingua Sana ndo walisa sas keep up bro for story
Chiluba alijitia ujuha wa bure hali mwenyewe asili yake DRC ?
Na historia ya waiyaki wa hinga, na mau mau
umemsahau Lumumba wa DRC
Tuandalie historia ya harry thuku, kungu karumba
Safi sana Mkuu. Hii ndo historia inayopaswa kufundishwa kwenye shule zetu siyo ya mambo ya Karl Peters!
@hamadeddymaclayz
2 жыл бұрын
Sana bro
@dancananwaze7035
2 жыл бұрын
Kabisa
Abdulwahid kleist sykse na nduguye Ally kleist sykse mashujaa wasioimbwa 😭
👍🏿👍🏿
Aliijengea uwanja Yanga African unaitwa Kaunda Stadium
Tumekumis kaka Ananias ❤️💕
@AnaniasEdgarTV
2 жыл бұрын
Asante sana Abuu. Karibu sana.
We jamaa fala sana hasa hapo unapolia ha ha ha ha 😂 😆
Sasa hivi African kusini imetuzidi Kila kitu tuko naukoni wa CCM
Ananias Edgar 😂😂😂😂
😂😂nimejikuta nacheka kwasauutii kuhusu viatu na umbu
Tuanze kulia basi😢😢😢😅😅😅😅😅😅😅😅😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭aaaaaaaaaaaah😥😓😓😭😭😭😭😭😭😭😭😭😂😂😂😂
Biggest speaker
😅😅😅uone kama hukaishia jela
Brother!kwa uzamini wa Sheli za Osam ipo sawa kweli?
@AnaniasEdgarTV
2 жыл бұрын
Hello, ni Asamoil mkuu.
🤣🤣🤣tunanafi ya kuichagua kulizwa au laa🤣🤣
Tukizinguliwa tulie aisee,patamu apo
Aya nimakala tunayo subiri kabisa ndugu yangu
Denis Mpagaze
Simon Kapwepwe
💯💯
Jamaa wa biafra alivuta nov 2021 na kaunda akauzulia mazishi?bro hapa umetupiga
@AnaniasEdgarTV
2 жыл бұрын
Kafuatilie vizuri.
Masimulizi yako ni mazuri ajabu
Walivyo na tamaa wa bemba, ndio kabila moja hapa nchini yenye wivu na tamaa
😂😂
🔥🔥🔥
wazee tulieni bc
Duu Zambia watu wabaya sn wllh jail ten mbaya one dy utazani nimwaka
@jacklinmasawe2697
2 жыл бұрын
Wabaya kisura au