MWANAMKE ALIYEPIGANA na JAMBAZI mwenye BASTOLA na KUFANIKIWA KUMUUA, ASIMULIA - '' NILIMPIGA JIWE''

MWANAMKE ALIYEPIGANA na JAMBAZI mwenye BASTOLA na KUFANIKIWA KUMUUA, ASIMULIA - '' NILIMPIGA JIWE''
Mke wa Mfanyabishara Castola Mnoge, Juliana Damiani, mkazi wa Kasulu mkoani Kigoma, amesimulia jinsi alivyopata ujasiri wa kumpiga na gongo jambazi na baadaye kushika jiwe kupambana na majambazi wengine ambao walivamia nyumbani kwao usiku kwa lengo la kuwaibia fedha.
Tukio hilo la kutisha limetokea hivi karibuni saa chache mara baada ya mumewe kuwasili nyumbani akitokea kwenye biashara yake ya Mpesa akiwa na mauzo ya siku ndipo alipofanikiwa kumpiga na gongo kisha kupata msaada wa majirani wenye hasira kali ambao walimshambulia zaidi hadi kumuua huku majambazi wenzake wakifanikiwa kutoroka.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 975

  • @netlity5532
    @netlity55322 жыл бұрын

    Mapenzi ya kweli yamejidhihirisha kigoma! Tanga mnalipi la kusema hapa 🙌 sikiliza dakika ya 6:08 Hadi 6:16 halafu njoo unipe like hapa 😜

  • @wisperfect5320

    @wisperfect5320

    2 жыл бұрын

    Tanga umalaya

  • @lovenessfrancis9947

    @lovenessfrancis9947

    2 жыл бұрын

    Tanga hakuna jipya siku izi ata mapishi kwisha

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    2 жыл бұрын

    Aaaaah hivi tukio hili lingetokea Tanga mke angekimbia?

  • @netlity5532

    @netlity5532

    2 жыл бұрын

    @@mashramadhani1989 hizo ..nge hatuwezi kuzijadili maana bado hazijatokea.... Watu wa kigoma Kwa sasa ndo wameshika usukani kwenye mapenzi ya kweli

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    2 жыл бұрын

    @@netlity5532 aaaaaaah hatari sana kigoma

  • @superwomanmwenyeheri.1367
    @superwomanmwenyeheri.13672 жыл бұрын

    Hii inaitwa self defense.kufa kupona Ni muhimu kujitetea. Nani amemkubali huyu binti Kama Mimi.Mungu awape ujasiri Wanawake wajue kujitetea Mungu.akiwa upande wao watashinda tuu.👆

  • @julianakavula8195

    @julianakavula8195

    2 жыл бұрын

    True

  • @taturajabu5977

    @taturajabu5977

    2 жыл бұрын

    Zao hazijafika ndg yangu,na watakuwa walijiganga,chezea kigoma wewe!

  • @sjosephmashany-eu6rf

    @sjosephmashany-eu6rf

    Жыл бұрын

    Wanawake wa kiha ni mashuja sana wakipenda wanapenda kweli

  • @merymahu4500

    @merymahu4500

    7 ай бұрын

    Mm hapa huyu mama Mungu amlinde

  • @hanifamsenda-py8qu

    @hanifamsenda-py8qu

    7 ай бұрын

    Ttzo kujieleza sasa...

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande30072 жыл бұрын

    Yn hiyo kaul imeniingia San yn kwamba sikuogopa bastola sabab nilijuwa kuwa mme wng asha kufa ckuwa na sabab ya kuishi dàaaaah 💪😭😢🤔

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    2 жыл бұрын

    Nmetamani kulia

  • @gladahmed532

    @gladahmed532

    2 жыл бұрын

    Hata Mimi nimelia ujasiri huo

  • @gloriaaugustino8031

    @gloriaaugustino8031

    2 жыл бұрын

    Hapo Kuna upendo Jmn

  • @devothaignatus5911

    @devothaignatus5911

    2 жыл бұрын

    Atar dada uko pouwa sana

  • @JasperJamson

    @JasperJamson

    2 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉​@@gloriaaugustino8031

  • @MilioneaTv
    @MilioneaTv2 жыл бұрын

    Una sifa zote dada mrembo mcha mungu una mahaba ya dhati pia jasiri wadada wa mwendo kasi mjifunze hapa

  • @rahmambugi1950

    @rahmambugi1950

    2 жыл бұрын

    ❤️

  • @fwarrymwebi6615

    @fwarrymwebi6615

    Жыл бұрын

    Why am l crying alone??? Congratulations mama kwa kupigania mumeo maisha ya wawili ni safari

  • @pstelyxhadee904

    @pstelyxhadee904

    7 ай бұрын

    @@fwarrymwebi6615 surely there is something to learn here

  • @user-uc8ei8kn3l

    @user-uc8ei8kn3l

    Ай бұрын

    Mwendo kasi

  • @jeremiahissangya4333

    @jeremiahissangya4333

    Ай бұрын

    Mimi so unable zote hata Mimi mwezako. Sina

  • @aswileedson2978
    @aswileedson29782 жыл бұрын

    Wewe mwanaume una Deni la kumlinda na kumpa heshima mkeo. Anakupenda ameyatoa Maisha kwa ajili Yako, halafu kesho umzingue tutakunyooosha, Hongera mwanamke wa shoka.

  • @musafrancis3584
    @musafrancis35842 жыл бұрын

    Saf Sana dada Ila wandishi mmekosea xn kumuonyesha sura hyu dd n hatar kwenye maisha yke kwa ss

  • @hamidmweusiii35

    @hamidmweusiii35

    2 жыл бұрын

    Apo umesma kwl maan Hawa waandishi wambea sana Hawa unafkri hii clips wakiiyona majambaz na wanajua Kam mwenzao kauliwa tena alobabisha hyu dada na weshamuon heee siku znahesbika kw hy dada

  • @sulaimanomary6533

    @sulaimanomary6533

    2 жыл бұрын

    Hii clip sio ile ya zamani kweli

  • @halimasulaiman3229

    @halimasulaiman3229

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa wangeficha sura hatar kwake ila hongera kwa ujasir pia unamapedhi ya dhati kwa mumewako mungu awalinde katika ndoa yenu

  • @mcback4384

    @mcback4384

    2 жыл бұрын

    Kwani unafikiri ndugu na marafiki wa aliyeuawa hawamjui huyu Dada?

  • @neema_mollel

    @neema_mollel

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @mecksaloon81
    @mecksaloon812 жыл бұрын

    Hongera kwa ujasiri wako dada mrembo, Kaka umepata mke mwema

  • @dorisurio8001
    @dorisurio80012 жыл бұрын

    Ni Mungu mwenyewe..hongera Sana mwanangu

  • @gracapk10
    @gracapk102 жыл бұрын

    nimekupenda Sana dada... dumu kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky4452 жыл бұрын

    Wanawake wanapiga sana ukikaa na mke wako vizuri atakutetea kila kona

  • @witneywilly
    @witneywilly2 жыл бұрын

    Eeh Mungu mlinde huyu dada... kwann mmemuonesha sura huyu dada jaman. Si salama kwake

  • @FridaMmari

    @FridaMmari

    6 ай бұрын

    kama ilikuwa si salama si salama tuu MUNGU ndie anamlinda, unazani wanaomfanyia mtu ubaya hawamjuii, mpaka wanaenda kwao wanamjua

  • @SakinaShaban-kl8fx
    @SakinaShaban-kl8fx4 ай бұрын

    Mwenamke sehemu yyte anatakiwa awe jasri hata ktk bibilia wanawake tumefananishwa na jeshi ko ss ni majeshi wa kimwili na kiroho hongera sana dada yangu kwa mapambano mema

  • @pendopendojoshua7624
    @pendopendojoshua76242 жыл бұрын

    Kwa kweli Mungu kakutetea mwanamke jasiri.

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala99512 жыл бұрын

    Hongera sana dada kwa kulipigania penzi lako Mungu akulinde

  • @muonambali
    @muonambali2 жыл бұрын

    A definition of true love. MOLA awalinde na kuwaongoza katika maisha yenu ya ndoa, 💪🏿😍🙏🏿

  • @carolineondabu4539
    @carolineondabu45392 жыл бұрын

    Dada wacha mungu akulinde sana hapo ulitumia zaburi 23:1...mungu hawalinde siku zote

  • @tumainipeter458
    @tumainipeter4582 жыл бұрын

    Wewe Mungu atakuwezesha Sana zaidi umepambana hakika ni jasiri piga supu mama

  • @bengachuru1390
    @bengachuru13907 ай бұрын

    Hongera sana kwa huyu mama. Mapendo iko kati yenu. Mungu abariki nyumba yenu. Poleni kwa mashambulizi.

  • @stellahemilian9168
    @stellahemilian91682 жыл бұрын

    Bastola ilikua na risasi moja tu walipompiga mumewe ikaishia hapo.mungu ni mwema alikujaza ujasiri, hongera.

  • @skuhenga

    @skuhenga

    2 жыл бұрын

    Hapana itakuwa ili jam..

  • @alexmatt9504
    @alexmatt95042 жыл бұрын

    Hongera dada kwa kupata ujasiri ambao umesaidia kumwokoa mume wako,Mungu akusimamie.

  • @ludanishirima5102
    @ludanishirima5102 Жыл бұрын

    Mungu akulinde Hongera sana Nimekupenda bure

  • @rehemaissa5689
    @rehemaissa5689 Жыл бұрын

    Umempata mkwe mwenye mapenzi ya kweli Allah awajalie ktk maisha ya ndoa yenu

  • @queenkileo3698
    @queenkileo36982 жыл бұрын

    Palee pale...... God is Goood!!!

  • @maikomichael8261

    @maikomichael8261

    2 жыл бұрын

    Mama,hongera,sana,ww,ni,nguvu,ya,taifa

  • @fathimamct232
    @fathimamct2322 жыл бұрын

    Ila waandishi nyie mnafanya kosa kumtowa Sura yake Sababu hao majambasi ni wanaadam na mkumbuke mwenzao amefariki huyo aliefariki japo jambazi mkumbuke ana ndugu ana wazazi ana hao watu wake walioshirikiana nae hiyo kazi wanaweza kumvizia huyo Binti na kulipa kisasi angalieni msije mkawaponza hao watu

  • @barakakusa7606

    @barakakusa7606

    2 жыл бұрын

    Kweli,hii ni hatariii kwa usalama wake

  • @fatumamuya283

    @fatumamuya283

    2 жыл бұрын

    Tena saana

  • @Michoarbah

    @Michoarbah

    2 жыл бұрын

    FUTA

  • @charlesmyamba8531

    @charlesmyamba8531

    2 жыл бұрын

    Point Sana wanaweza lipoza

  • @veronicabwamukuru1265

    @veronicabwamukuru1265

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @missmoona4497
    @missmoona44972 жыл бұрын

    Maashaallah super women kama hawa ndio wanastair tuzo ,lkn pia nunuen silaha na nyinyi

  • @biberpriyer330
    @biberpriyer3302 жыл бұрын

    Kwa mapenz haya bado unamkuta mwanaume anatoka nje ya ndoa dah 😭😭huyu mdada ni wa kuzeeka nae kwakweli ameonesha upendo wa Hali ya juu

  • @latifaomary

    @latifaomary

    Жыл бұрын

    Wanaume hawaridhikagi mbn ata wafanyiwe nn wanatoka nje tu

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed9762 жыл бұрын

    Masha Allah bro umepata mke mwema Mungu ambariki na aendelee kumpa mapenzi na ujasili

  • @mariamsamson2679
    @mariamsamson26792 жыл бұрын

    Hongera malkia wa nguvu,ni kwa neema ya Mungu ninyikuwa hai mpate kuyasimlia matendo makuu ya Mungu.

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Жыл бұрын

    Masha Allah Dada kwakujikita kutetea maixha ya mumeo.ww mwanaume umexhindaj sana mkeo ukija kumsaliti Mungu atakuadhibu

  • @highvoltages4169
    @highvoltages41692 жыл бұрын

    Faida ya kuweka mawe nje ya nyumba yako, Jamani tuwekeni mawe ,yatakuja kutusaidia

  • @taturajabukhalfani7953

    @taturajabukhalfani7953

    2 жыл бұрын

    😄😄

  • @zaytunhijja6771

    @zaytunhijja6771

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    2 жыл бұрын

    Hahaaaa

  • @janekikoti5297

    @janekikoti5297

    2 жыл бұрын

    Nayo ni hatar sana kama angerushiwa mawe

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    mwisho yatakuua ww mwenyewe huyo kabahatisha tu wee jusheuwe uweke hayo mawe

  • @zainaseleman3043
    @zainaseleman30438 ай бұрын

    Neema ya Mungu iko pamoja na wewe Dada Mungu akupe ujasiri zaid huu in mfano wa kuigwa

  • @rahemaheri1615
    @rahemaheri16152 жыл бұрын

    Palepale imekuwa nyingi but hongera Sana mwanamkee jasir na unapendoo Sana Kwa mumeo

  • @rehemamaduhu5642

    @rehemamaduhu5642

    2 жыл бұрын

    Kumbuka hiyo ni camera mara ya kwanza

  • @henricamikambi6147

    @henricamikambi6147

    2 жыл бұрын

    Kiswahili Cha kigoma mwisho wa reli

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    2 жыл бұрын

    @@henricamikambi6147 🤣🤣🙌🏽

  • @shabbymakapaneshabby5000

    @shabbymakapaneshabby5000

    2 жыл бұрын

    Kabisa Ana MAPENZI ya Kweli

  • @penuelyolotu7113

    @penuelyolotu7113

    2 жыл бұрын

    Aaah aaah jaman PALE PALE

  • @user-vd7wy1sj1f
    @user-vd7wy1sj1f5 ай бұрын

    Mwanamke Bomba 😂❤❤❤

  • @tabithamulwa8714
    @tabithamulwa8714 Жыл бұрын

    Congrats my SIZ your are one in a million am proud of you with thank God for granting you life as a family be strong every thing happens for good for those who love the lord more grace in Jesus name

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Жыл бұрын

    Mungu Akusimamie kwa kila Jambo Jema na Akupe Afya njema.

  • @gwamagobejosephat4376
    @gwamagobejosephat43762 жыл бұрын

    Jamani tunaunga mkono kumshukuru Mungu pekee aliyewatetea.Ushauri Mtunzane kltk maisha yenu huku mkikoseana msamaheane kwa kukumbuka tukio hilo(Kitunze Kikutunze)

  • @aminakadala7676
    @aminakadala76762 жыл бұрын

    Kosa kubwa sana kumuonesha sura huyu dada tena mnooo

  • @abdallahmakombo3866

    @abdallahmakombo3866

    2 жыл бұрын

    Waandishi wa kileo

  • @jaliabahat1520

    @jaliabahat1520

    2 жыл бұрын

    waandishi hawajitambui

  • @sophiamarco3839
    @sophiamarco38392 жыл бұрын

    Safi sana Mungu azidi kuwalinda wote na familia yenu.

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande30072 жыл бұрын

    Dàaaaah huyu Dada mzuri na anamapenzi halisi yaso changanyika na unafiki wowote yn me naomba Rais ampe nafasi jeshini huyu nimwanajeshi komandoo kabisa yn 💪💪

  • @fatmamsiliwa8485

    @fatmamsiliwa8485

    2 жыл бұрын

    Hahaaaaa

  • @agnesmagehema576
    @agnesmagehema5762 жыл бұрын

    Hakika wewe ni mwanamke Jasiri Mungu akulinde na kukupigania na Mumeo akupende Daima

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani19482 жыл бұрын

    Haya ndio mapenzi ya dhati sasa,,,, huyu ndie mwanamke wa shoka hakukata tamaa wala uoga wa kukimbia tukio ,, Allah amponye huyo mume wake arejee km awali na awadumishe kwenye upendo wao hadi wazikane

  • @quentinsylvia3877
    @quentinsylvia38772 жыл бұрын

    juhudi zako ulizionyesha ulijitolea Kwa moyo mmoja na kupambana Kwa ajili ya maisha ya mumeo dada mungu aendelee kupambania umeonyesha moyo na mapenzi ya kweli

  • @eliaspeter1258
    @eliaspeter12582 жыл бұрын

    Huyu Mwanamke ni zaidi ya Mke

  • @brightermwailolo3409

    @brightermwailolo3409

    2 жыл бұрын

    Kwa kweli hata ndugu anaweza kuacha ..anakupenda wa dhati na Kumpenda Mungu

  • @rockcitynative9985

    @rockcitynative9985

    2 жыл бұрын

    Huyo ni Simba jike hatari kuliko hata dume

  • @gloriaaugustino8031

    @gloriaaugustino8031

    2 жыл бұрын

    Si mnasema hakuna mapenzi siku hizi

  • @eng8251

    @eng8251

    Жыл бұрын

    Huyu sio kama wale wavaa vikuku miguuni

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu5442 жыл бұрын

    Huyu mwanamke ndiyo wanaitwaga wife materials, ana package zote za kuwa mke wa kuolewa, ni mwili mmoja kweli kwa mumewe.

  • @carolinenjiro41
    @carolinenjiro412 жыл бұрын

    True love, hongera Sana mwanamke wa nguvu🙏🙏🙏🙏

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Жыл бұрын

    Hongera sana dada kwa ujasiri uliopigania mali yenu hlf kesho na kesho mume umuone mkeo hafai mungu awape upendo zaidi ktk maisha yenu

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi22872 жыл бұрын

    Hongera dada mungu awabariki na mumeo uzidi kupata ujasiri

  • @crazyallien8335
    @crazyallien83352 жыл бұрын

    Mungu ni mwema 🙏🙏🙏

  • @josephkaroki943

    @josephkaroki943

    Жыл бұрын

    M no

  • @sagudamagerela3414
    @sagudamagerela34142 жыл бұрын

    Dada bastola haikuwa na risasi.Mungu akuepushe na majambazi

  • @ummuadam2423
    @ummuadam24232 жыл бұрын

    Mungu amlinde huyu Dada manake hao waliokimbia bdo watakua na hasira mwenzao hayupo Tena

  • @zaisomji3897
    @zaisomji38972 жыл бұрын

    We kaka kama utamsaliti uyu dada mungu atakupa ukumu nzito maana wanaume kama mapaka amliziki

  • @kassimally5358
    @kassimally53582 жыл бұрын

    Mzuri harafu shujaa thx mamito

  • @saidnasibu5803
    @saidnasibu58032 жыл бұрын

    Ficheni sura yake ndugu mana jambazi alie uliwa yuko na ndugu Na familia yake na wenzake wa kazi ya ujambazi pia wapo ssa mujue munamponza bure Uyo mama

  • @user-br3sc8bm4t

    @user-br3sc8bm4t

    2 жыл бұрын

    Washafeli wanajisahau sijui au wageni wa kazi hawafikirii kifuatacho

  • @zamdaomanizamdaomani3172

    @zamdaomanizamdaomani3172

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @mohamnedsalum2150

    @mohamnedsalum2150

    2 жыл бұрын

    Kweli anaweza kuhatarisha maisha yake

  • @fatumasaleh8048

    @fatumasaleh8048

    2 жыл бұрын

    Kweli hata Mimi nimekiwaza hicho

  • @azizamohamed7692

    @azizamohamed7692

    2 жыл бұрын

    Wandishi wa bongo hao kaxi kimbwa umbea tu ndo wanayo ijuwa

  • @gakniv9020
    @gakniv9020 Жыл бұрын

    Hongera sana dada wakati wa mungu ukifka hakuna wakupinga

  • @user-zb5kc4rv7w
    @user-zb5kc4rv7w3 ай бұрын

    Dah! Mwanamke jasili sana mungu awatie nguvu mdum ktk ndoa yenu na mshinde zaidi na zaid. Kigoma oyeeeeee❤❤❤❤

  • @robbynyamriba251
    @robbynyamriba2512 жыл бұрын

    Mwambie Mungu asante maana bila ivyo ingekuwa story tofauti

  • @sakayonsakihunga3496

    @sakayonsakihunga3496

    2 жыл бұрын

    Inamaana hujaskia kamtaja Mungu

  • @robbynyamriba251

    @robbynyamriba251

    2 жыл бұрын

    @@sakayonsakihunga3496 duh

  • @homeandaway2811
    @homeandaway28112 жыл бұрын

    Hongera mama, nyie ndio wanawake wa kuoa sio wale wafuga kucha na wavaa mawigi, maslay queen wa mjini haya mambo hamuwezi

  • @masagabulemela3228
    @masagabulemela32282 жыл бұрын

    Bora hata unadhani Angemuua si angebaki Mjane..Pole mama ila Hongera Kwa Ujasiri kuna msemo unasema"Kosea vyote ila sio kuoa au kuolewa"💪🏻

  • @user-lz7sb3we7z
    @user-lz7sb3we7z6 ай бұрын

    Pole sana dada endelea kumtumainia Mungu na kumshukuru Kwa Kila jambo Ameni

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya98902 жыл бұрын

    Safi sana nimependa ujasiri wako

  • @stephenkahindi8678
    @stephenkahindi8678 Жыл бұрын

    Maneno machache yenye nguvu aliyoyasimulia huyu dada ni kwamba, "kama mume wangu amekufa, mimi na thamani gani "😳 ak dada una moyo mkuu kisha usio kifani.

  • @takrimanyangalima6764
    @takrimanyangalima67644 ай бұрын

    Mungu husimama ktk kila jambo, hongera dadaang kwa ujasir kweli ninyi ni mwili mmoja, baba mheshim mkeo

  • @user-ne2gv8qo2s
    @user-ne2gv8qo2s3 ай бұрын

    Hongera mama Kwa ujasiri huo,endelea kumtegemea Mungu.

  • @slimtaley1759
    @slimtaley17592 жыл бұрын

    Hongera Sana Sister M/Mungu akubariki katika Maisha yako unastahili sifa na Kuwa Mfano Bora kati ya wenye Mifano Bora Tanzania Hongera Sana .

  • @jumashausi8844

    @jumashausi8844

    Жыл бұрын

    Wanawake wa hivi kwenye hii dunia kabaki huyo mdada 2 ukimpata mwingine niite mbwa Niko pale

  • @user-hm6hy6rr1h
    @user-hm6hy6rr1h25 күн бұрын

    Mashaallah dada mung akubarik kua na ujasir huo huo

  • @brightermwailolo3409
    @brightermwailolo34092 жыл бұрын

    Avalishwe gwanda tunahitaji wamama Kama Hawa. Apelekwe kozi aingie police...kifupi ni jasili

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina33802 жыл бұрын

    Hongera dada kwa ujari Mungu Ni mwema

  • @sophiamakani6133

    @sophiamakani6133

    2 жыл бұрын

    Wooow mungu akupe maisha marefu na familia yko

  • @getrudewillson308
    @getrudewillson3082 жыл бұрын

    Hongera sanasana dada kwa upambania haki yako, wewe ndo mwanamke oomani

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli11 күн бұрын

    Safi sana mdg wngu. Maana haya manyamela! Yanafaa kuuwawa

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi79192 жыл бұрын

    True love keep it up

  • @ojasoojaso9479
    @ojasoojaso94792 жыл бұрын

    Adriana line ikifika ukomo fulani kuna nguvu hata mtoto mdogo anaamua kufa au kupona. Hali hii ikitokea binadamu anakuwa kama mnyama aliyejehiwa , tena uoga wala hofu hupotea, na ujasiri usionekana katika maisha ya kawaida hujitokeza. Point of no return.

  • @abidandastanmaliyatabu1373

    @abidandastanmaliyatabu1373

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @AmeenaTanzania
    @AmeenaTanzania5 ай бұрын

    Ongera sana dada unamoyo wa kipekee sana 🎉🎉🎉mungu awalinde muendelee kuwa pamoja

  • @maureenmis5852
    @maureenmis58522 жыл бұрын

    What a man can do a woman can do better tafakari hayo,Mungu akulinde dada

  • @FatmaMwinyi-jt2rr

    @FatmaMwinyi-jt2rr

    8 ай бұрын

    AMIIN

  • @abdallajuma6262
    @abdallajuma62622 жыл бұрын

    Good job safi mm mungu awalinde na jengine kuwa tayari Kwa kibaya chochote dhidi ya mwenzako mbambania Hadi tone la mwisho

  • @genovevakisawike-xo2wq

    @genovevakisawike-xo2wq

    Жыл бұрын

    Ongera dada Kwa ujasiri mnzr msiachane kmweeee

  • @sagudamagerela3414
    @sagudamagerela34142 жыл бұрын

    Majirani wa kigoma mnachelewa Sana kufika kwenye matukio

  • @epifaniamzumbwe5159

    @epifaniamzumbwe5159

    2 жыл бұрын

    Dah!😂😂😂

  • @justinejohn7724
    @justinejohn77242 жыл бұрын

    Hongera sana dada. Na Mungu aendelee kuwatunza na kuwalinda.

  • @johnwilly3436
    @johnwilly3436 Жыл бұрын

    Mungu akuzidishie neema na ujasir ufanye meng makuu kwa uwezo wake

  • @ashamasoud969
    @ashamasoud9692 жыл бұрын

    Hivyo mnavyoonyesha sehemu yake si mtaletea Hatari kwa waliobakia hao majambazi

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena12242 жыл бұрын

    Nimekupenda dada unaalili sana

  • @user-ig8cb6vu7v
    @user-ig8cb6vu7v3 ай бұрын

    Jamani Waha hawafelikizembe. Mwanamke kama mwanamume.wote ni mashujaa. Napenda Sana mkoa wangu

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa78142 жыл бұрын

    Hongera sn dd kwakupambana Allah akuzidishie subra yadhat moyon mwako

  • @lordofmercy9997
    @lordofmercy9997 Жыл бұрын

    There is power in the name of the lord

  • @fulgencendyamukama742
    @fulgencendyamukama7422 жыл бұрын

    Amina, ubarikiwe kwa kutoa msaada mkubwa kwa mmeo.

  • @catherinemutasi8340
    @catherinemutasi8340 Жыл бұрын

    Mshukuru mungu sana AMEN BARIKIWA

  • @jacobomhagama6563
    @jacobomhagama6563 Жыл бұрын

    ,mungu Aendelee.kumpa.ujasili

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel46712 жыл бұрын

    Wanaopata wake kama huyu mdada, kwa kweli wamebarikiwa. Nimefurahia maneno yake ya kijasiri "Nilijua wameshamuua mme wangu, na kama wameshamuua, mimi nina thamani gani tena! wacha tufe wote!" Kisha akaingia kwenye uwanja wa mapambano

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    2 жыл бұрын

    Wewe kuweza kama unamapenzi na mwenza wako nae atakua na mapenzi na wewe so tupendane mm hata mwenza wangu akikamatwa na trafki mavi ya nanibana nakuanza kulia kiufupi tupendanee

  • @superwomanmwenyeheri.1367

    @superwomanmwenyeheri.1367

    2 жыл бұрын

    Yaani we acha tuu.

  • @lindakim2292

    @lindakim2292

    2 жыл бұрын

    Akaingia uwanja WA mapambano😃😃😃😃😃

  • @brightermwailolo3409

    @brightermwailolo3409

    2 жыл бұрын

    Kwa kweli huyu anastaili pongezi wengi tunaishiwa nguvu na kunitetea wenyewe. Hataki hata kwenda kwenye biashara mpaka mume wake apone

  • @silasjoseph9033

    @silasjoseph9033

    2 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭

  • @assankwale4434
    @assankwale44342 жыл бұрын

    Ubarikiwe mama mwema

  • @user-jf9fk2kt5k
    @user-jf9fk2kt5k3 ай бұрын

    Tunashukuru kwa ukomavu huo umemuokoa sana mwanaume mwenzetuu safii sana shemejiiii yetu❤

  • @francissibuti4893
    @francissibuti48932 жыл бұрын

    I just appreciate, pale pale, of course pale pale nimemuelewa sana

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah91692 жыл бұрын

    Allah kareem Azidi kuwalinda Inshaallah

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed29452 жыл бұрын

    Congrats my sister, you made it...

  • @user-ju5bu1ph8s
    @user-ju5bu1ph8s20 күн бұрын

    Hongera sana mwanangu kwa kuthamini kiapo cha ndoa

  • @user-ut1wf1cw2i
    @user-ut1wf1cw2i6 ай бұрын

    Kigoma saluti wanawake tunaweza 🎉 pole kwa matatozo na hongera ni mfano mzuri

  • @dominickmsangi4389
    @dominickmsangi43892 жыл бұрын

    Kauli nzito sana!! "Mme wangu alishakufa mimi nina thamani gani?" wachache saaana! Aseee

  • @nuruabeid7341

    @nuruabeid7341

    2 жыл бұрын

    true love❤

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena12242 жыл бұрын

    Unaakili sana dada

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba90892 жыл бұрын

    Wanawake wa hivi bado wapogo kumbe duh mwanaume mwenzetu hongera sana umepata mke

  • @luckysalila3609
    @luckysalila36092 жыл бұрын

    Hongera Sana hayo ndio mapenzi ya kweli kwa mumeo

  • @vitalisonyango6708
    @vitalisonyango67082 жыл бұрын

    God bless you dear ❤️

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala14032 жыл бұрын

    Big up malkia wa Nguvu 👍

  • @lewinersylivester1984
    @lewinersylivester19842 жыл бұрын

    Wewe dada Mungu akubariki sana

Келесі