MWANAMKE ALIYEPIGANA na JAMBAZI mwenye BASTOLA na KUFANIKIWA KUMUUA, ASIMULIA - '' NILIMPIGA JIWE''
MWANAMKE ALIYEPIGANA na JAMBAZI mwenye BASTOLA na KUFANIKIWA KUMUUA, ASIMULIA - '' NILIMPIGA JIWE''
Mke wa Mfanyabishara Castola Mnoge, Juliana Damiani, mkazi wa Kasulu mkoani Kigoma, amesimulia jinsi alivyopata ujasiri wa kumpiga na gongo jambazi na baadaye kushika jiwe kupambana na majambazi wengine ambao walivamia nyumbani kwao usiku kwa lengo la kuwaibia fedha.
Tukio hilo la kutisha limetokea hivi karibuni saa chache mara baada ya mumewe kuwasili nyumbani akitokea kwenye biashara yake ya Mpesa akiwa na mauzo ya siku ndipo alipofanikiwa kumpiga na gongo kisha kupata msaada wa majirani wenye hasira kali ambao walimshambulia zaidi hadi kumuua huku majambazi wenzake wakifanikiwa kutoroka.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 975
Mapenzi ya kweli yamejidhihirisha kigoma! Tanga mnalipi la kusema hapa 🙌 sikiliza dakika ya 6:08 Hadi 6:16 halafu njoo unipe like hapa 😜
@wisperfect5320
2 жыл бұрын
Tanga umalaya
@lovenessfrancis9947
2 жыл бұрын
Tanga hakuna jipya siku izi ata mapishi kwisha
@mashramadhani1989
2 жыл бұрын
Aaaaah hivi tukio hili lingetokea Tanga mke angekimbia?
@netlity5532
2 жыл бұрын
@@mashramadhani1989 hizo ..nge hatuwezi kuzijadili maana bado hazijatokea.... Watu wa kigoma Kwa sasa ndo wameshika usukani kwenye mapenzi ya kweli
@mashramadhani1989
2 жыл бұрын
@@netlity5532 aaaaaaah hatari sana kigoma
Hii inaitwa self defense.kufa kupona Ni muhimu kujitetea. Nani amemkubali huyu binti Kama Mimi.Mungu awape ujasiri Wanawake wajue kujitetea Mungu.akiwa upande wao watashinda tuu.👆
@julianakavula8195
2 жыл бұрын
True
@taturajabu5977
2 жыл бұрын
Zao hazijafika ndg yangu,na watakuwa walijiganga,chezea kigoma wewe!
@sjosephmashany-eu6rf
Жыл бұрын
Wanawake wa kiha ni mashuja sana wakipenda wanapenda kweli
@merymahu4500
7 ай бұрын
Mm hapa huyu mama Mungu amlinde
@hanifamsenda-py8qu
7 ай бұрын
Ttzo kujieleza sasa...
Yn hiyo kaul imeniingia San yn kwamba sikuogopa bastola sabab nilijuwa kuwa mme wng asha kufa ckuwa na sabab ya kuishi dàaaaah 💪😭😢🤔
@salmaalimusa6809
2 жыл бұрын
Nmetamani kulia
@gladahmed532
2 жыл бұрын
Hata Mimi nimelia ujasiri huo
@gloriaaugustino8031
2 жыл бұрын
Hapo Kuna upendo Jmn
@devothaignatus5911
2 жыл бұрын
Atar dada uko pouwa sana
@JasperJamson
2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉@@gloriaaugustino8031
Una sifa zote dada mrembo mcha mungu una mahaba ya dhati pia jasiri wadada wa mwendo kasi mjifunze hapa
@rahmambugi1950
2 жыл бұрын
❤️
@fwarrymwebi6615
Жыл бұрын
Why am l crying alone??? Congratulations mama kwa kupigania mumeo maisha ya wawili ni safari
@pstelyxhadee904
7 ай бұрын
@@fwarrymwebi6615 surely there is something to learn here
@user-uc8ei8kn3l
Ай бұрын
Mwendo kasi
@jeremiahissangya4333
Ай бұрын
Mimi so unable zote hata Mimi mwezako. Sina
Wewe mwanaume una Deni la kumlinda na kumpa heshima mkeo. Anakupenda ameyatoa Maisha kwa ajili Yako, halafu kesho umzingue tutakunyooosha, Hongera mwanamke wa shoka.
Saf Sana dada Ila wandishi mmekosea xn kumuonyesha sura hyu dd n hatar kwenye maisha yke kwa ss
@hamidmweusiii35
2 жыл бұрын
Apo umesma kwl maan Hawa waandishi wambea sana Hawa unafkri hii clips wakiiyona majambaz na wanajua Kam mwenzao kauliwa tena alobabisha hyu dada na weshamuon heee siku znahesbika kw hy dada
@sulaimanomary6533
2 жыл бұрын
Hii clip sio ile ya zamani kweli
@halimasulaiman3229
2 жыл бұрын
Kweli kabisa wangeficha sura hatar kwake ila hongera kwa ujasir pia unamapedhi ya dhati kwa mumewako mungu awalinde katika ndoa yenu
@mcback4384
2 жыл бұрын
Kwani unafikiri ndugu na marafiki wa aliyeuawa hawamjui huyu Dada?
@neema_mollel
2 жыл бұрын
Kabisa
Hongera kwa ujasiri wako dada mrembo, Kaka umepata mke mwema
Ni Mungu mwenyewe..hongera Sana mwanangu
nimekupenda Sana dada... dumu kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.
Wanawake wanapiga sana ukikaa na mke wako vizuri atakutetea kila kona
Eeh Mungu mlinde huyu dada... kwann mmemuonesha sura huyu dada jaman. Si salama kwake
@FridaMmari
6 ай бұрын
kama ilikuwa si salama si salama tuu MUNGU ndie anamlinda, unazani wanaomfanyia mtu ubaya hawamjuii, mpaka wanaenda kwao wanamjua
Mwenamke sehemu yyte anatakiwa awe jasri hata ktk bibilia wanawake tumefananishwa na jeshi ko ss ni majeshi wa kimwili na kiroho hongera sana dada yangu kwa mapambano mema
Kwa kweli Mungu kakutetea mwanamke jasiri.
Hongera sana dada kwa kulipigania penzi lako Mungu akulinde
A definition of true love. MOLA awalinde na kuwaongoza katika maisha yenu ya ndoa, 💪🏿😍🙏🏿
Dada wacha mungu akulinde sana hapo ulitumia zaburi 23:1...mungu hawalinde siku zote
Wewe Mungu atakuwezesha Sana zaidi umepambana hakika ni jasiri piga supu mama
Hongera sana kwa huyu mama. Mapendo iko kati yenu. Mungu abariki nyumba yenu. Poleni kwa mashambulizi.
Bastola ilikua na risasi moja tu walipompiga mumewe ikaishia hapo.mungu ni mwema alikujaza ujasiri, hongera.
@skuhenga
2 жыл бұрын
Hapana itakuwa ili jam..
Hongera dada kwa kupata ujasiri ambao umesaidia kumwokoa mume wako,Mungu akusimamie.
Mungu akulinde Hongera sana Nimekupenda bure
Umempata mkwe mwenye mapenzi ya kweli Allah awajalie ktk maisha ya ndoa yenu
Palee pale...... God is Goood!!!
@maikomichael8261
2 жыл бұрын
Mama,hongera,sana,ww,ni,nguvu,ya,taifa
Ila waandishi nyie mnafanya kosa kumtowa Sura yake Sababu hao majambasi ni wanaadam na mkumbuke mwenzao amefariki huyo aliefariki japo jambazi mkumbuke ana ndugu ana wazazi ana hao watu wake walioshirikiana nae hiyo kazi wanaweza kumvizia huyo Binti na kulipa kisasi angalieni msije mkawaponza hao watu
@barakakusa7606
2 жыл бұрын
Kweli,hii ni hatariii kwa usalama wake
@fatumamuya283
2 жыл бұрын
Tena saana
@Michoarbah
2 жыл бұрын
FUTA
@charlesmyamba8531
2 жыл бұрын
Point Sana wanaweza lipoza
@veronicabwamukuru1265
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
Maashaallah super women kama hawa ndio wanastair tuzo ,lkn pia nunuen silaha na nyinyi
Kwa mapenz haya bado unamkuta mwanaume anatoka nje ya ndoa dah 😭😭huyu mdada ni wa kuzeeka nae kwakweli ameonesha upendo wa Hali ya juu
@latifaomary
Жыл бұрын
Wanaume hawaridhikagi mbn ata wafanyiwe nn wanatoka nje tu
Masha Allah bro umepata mke mwema Mungu ambariki na aendelee kumpa mapenzi na ujasili
Hongera malkia wa nguvu,ni kwa neema ya Mungu ninyikuwa hai mpate kuyasimlia matendo makuu ya Mungu.
Masha Allah Dada kwakujikita kutetea maixha ya mumeo.ww mwanaume umexhindaj sana mkeo ukija kumsaliti Mungu atakuadhibu
Faida ya kuweka mawe nje ya nyumba yako, Jamani tuwekeni mawe ,yatakuja kutusaidia
@taturajabukhalfani7953
2 жыл бұрын
😄😄
@zaytunhijja6771
2 жыл бұрын
😂😂😂
@angellomarcel5677
2 жыл бұрын
Hahaaaa
@janekikoti5297
2 жыл бұрын
Nayo ni hatar sana kama angerushiwa mawe
@heyumi2340
2 жыл бұрын
mwisho yatakuua ww mwenyewe huyo kabahatisha tu wee jusheuwe uweke hayo mawe
Neema ya Mungu iko pamoja na wewe Dada Mungu akupe ujasiri zaid huu in mfano wa kuigwa
Palepale imekuwa nyingi but hongera Sana mwanamkee jasir na unapendoo Sana Kwa mumeo
@rehemamaduhu5642
2 жыл бұрын
Kumbuka hiyo ni camera mara ya kwanza
@henricamikambi6147
2 жыл бұрын
Kiswahili Cha kigoma mwisho wa reli
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
@@henricamikambi6147 🤣🤣🙌🏽
@shabbymakapaneshabby5000
2 жыл бұрын
Kabisa Ana MAPENZI ya Kweli
@penuelyolotu7113
2 жыл бұрын
Aaah aaah jaman PALE PALE
Mwanamke Bomba 😂❤❤❤
Congrats my SIZ your are one in a million am proud of you with thank God for granting you life as a family be strong every thing happens for good for those who love the lord more grace in Jesus name
Mungu Akusimamie kwa kila Jambo Jema na Akupe Afya njema.
Jamani tunaunga mkono kumshukuru Mungu pekee aliyewatetea.Ushauri Mtunzane kltk maisha yenu huku mkikoseana msamaheane kwa kukumbuka tukio hilo(Kitunze Kikutunze)
Kosa kubwa sana kumuonesha sura huyu dada tena mnooo
@abdallahmakombo3866
2 жыл бұрын
Waandishi wa kileo
@jaliabahat1520
2 жыл бұрын
waandishi hawajitambui
Safi sana Mungu azidi kuwalinda wote na familia yenu.
Dàaaaah huyu Dada mzuri na anamapenzi halisi yaso changanyika na unafiki wowote yn me naomba Rais ampe nafasi jeshini huyu nimwanajeshi komandoo kabisa yn 💪💪
@fatmamsiliwa8485
2 жыл бұрын
Hahaaaaa
Hakika wewe ni mwanamke Jasiri Mungu akulinde na kukupigania na Mumeo akupende Daima
Haya ndio mapenzi ya dhati sasa,,,, huyu ndie mwanamke wa shoka hakukata tamaa wala uoga wa kukimbia tukio ,, Allah amponye huyo mume wake arejee km awali na awadumishe kwenye upendo wao hadi wazikane
juhudi zako ulizionyesha ulijitolea Kwa moyo mmoja na kupambana Kwa ajili ya maisha ya mumeo dada mungu aendelee kupambania umeonyesha moyo na mapenzi ya kweli
Huyu Mwanamke ni zaidi ya Mke
@brightermwailolo3409
2 жыл бұрын
Kwa kweli hata ndugu anaweza kuacha ..anakupenda wa dhati na Kumpenda Mungu
@rockcitynative9985
2 жыл бұрын
Huyo ni Simba jike hatari kuliko hata dume
@gloriaaugustino8031
2 жыл бұрын
Si mnasema hakuna mapenzi siku hizi
@eng8251
Жыл бұрын
Huyu sio kama wale wavaa vikuku miguuni
Huyu mwanamke ndiyo wanaitwaga wife materials, ana package zote za kuwa mke wa kuolewa, ni mwili mmoja kweli kwa mumewe.
True love, hongera Sana mwanamke wa nguvu🙏🙏🙏🙏
Hongera sana dada kwa ujasiri uliopigania mali yenu hlf kesho na kesho mume umuone mkeo hafai mungu awape upendo zaidi ktk maisha yenu
Hongera dada mungu awabariki na mumeo uzidi kupata ujasiri
Mungu ni mwema 🙏🙏🙏
@josephkaroki943
Жыл бұрын
M no
Dada bastola haikuwa na risasi.Mungu akuepushe na majambazi
Mungu amlinde huyu Dada manake hao waliokimbia bdo watakua na hasira mwenzao hayupo Tena
We kaka kama utamsaliti uyu dada mungu atakupa ukumu nzito maana wanaume kama mapaka amliziki
Mzuri harafu shujaa thx mamito
Ficheni sura yake ndugu mana jambazi alie uliwa yuko na ndugu Na familia yake na wenzake wa kazi ya ujambazi pia wapo ssa mujue munamponza bure Uyo mama
@user-br3sc8bm4t
2 жыл бұрын
Washafeli wanajisahau sijui au wageni wa kazi hawafikirii kifuatacho
@zamdaomanizamdaomani3172
2 жыл бұрын
Kabisa
@mohamnedsalum2150
2 жыл бұрын
Kweli anaweza kuhatarisha maisha yake
@fatumasaleh8048
2 жыл бұрын
Kweli hata Mimi nimekiwaza hicho
@azizamohamed7692
2 жыл бұрын
Wandishi wa bongo hao kaxi kimbwa umbea tu ndo wanayo ijuwa
Hongera sana dada wakati wa mungu ukifka hakuna wakupinga
Dah! Mwanamke jasili sana mungu awatie nguvu mdum ktk ndoa yenu na mshinde zaidi na zaid. Kigoma oyeeeeee❤❤❤❤
Mwambie Mungu asante maana bila ivyo ingekuwa story tofauti
@sakayonsakihunga3496
2 жыл бұрын
Inamaana hujaskia kamtaja Mungu
@robbynyamriba251
2 жыл бұрын
@@sakayonsakihunga3496 duh
Hongera mama, nyie ndio wanawake wa kuoa sio wale wafuga kucha na wavaa mawigi, maslay queen wa mjini haya mambo hamuwezi
Bora hata unadhani Angemuua si angebaki Mjane..Pole mama ila Hongera Kwa Ujasiri kuna msemo unasema"Kosea vyote ila sio kuoa au kuolewa"💪🏻
Pole sana dada endelea kumtumainia Mungu na kumshukuru Kwa Kila jambo Ameni
Safi sana nimependa ujasiri wako
Maneno machache yenye nguvu aliyoyasimulia huyu dada ni kwamba, "kama mume wangu amekufa, mimi na thamani gani "😳 ak dada una moyo mkuu kisha usio kifani.
Mungu husimama ktk kila jambo, hongera dadaang kwa ujasir kweli ninyi ni mwili mmoja, baba mheshim mkeo
Hongera mama Kwa ujasiri huo,endelea kumtegemea Mungu.
Hongera Sana Sister M/Mungu akubariki katika Maisha yako unastahili sifa na Kuwa Mfano Bora kati ya wenye Mifano Bora Tanzania Hongera Sana .
@jumashausi8844
Жыл бұрын
Wanawake wa hivi kwenye hii dunia kabaki huyo mdada 2 ukimpata mwingine niite mbwa Niko pale
Mashaallah dada mung akubarik kua na ujasir huo huo
Avalishwe gwanda tunahitaji wamama Kama Hawa. Apelekwe kozi aingie police...kifupi ni jasili
Hongera dada kwa ujari Mungu Ni mwema
@sophiamakani6133
2 жыл бұрын
Wooow mungu akupe maisha marefu na familia yko
Hongera sanasana dada kwa upambania haki yako, wewe ndo mwanamke oomani
Safi sana mdg wngu. Maana haya manyamela! Yanafaa kuuwawa
True love keep it up
Adriana line ikifika ukomo fulani kuna nguvu hata mtoto mdogo anaamua kufa au kupona. Hali hii ikitokea binadamu anakuwa kama mnyama aliyejehiwa , tena uoga wala hofu hupotea, na ujasiri usionekana katika maisha ya kawaida hujitokeza. Point of no return.
@abidandastanmaliyatabu1373
Жыл бұрын
Kabisa
Ongera sana dada unamoyo wa kipekee sana 🎉🎉🎉mungu awalinde muendelee kuwa pamoja
What a man can do a woman can do better tafakari hayo,Mungu akulinde dada
@FatmaMwinyi-jt2rr
8 ай бұрын
AMIIN
Good job safi mm mungu awalinde na jengine kuwa tayari Kwa kibaya chochote dhidi ya mwenzako mbambania Hadi tone la mwisho
@genovevakisawike-xo2wq
Жыл бұрын
Ongera dada Kwa ujasiri mnzr msiachane kmweeee
Majirani wa kigoma mnachelewa Sana kufika kwenye matukio
@epifaniamzumbwe5159
2 жыл бұрын
Dah!😂😂😂
Hongera sana dada. Na Mungu aendelee kuwatunza na kuwalinda.
Mungu akuzidishie neema na ujasir ufanye meng makuu kwa uwezo wake
Hivyo mnavyoonyesha sehemu yake si mtaletea Hatari kwa waliobakia hao majambazi
Nimekupenda dada unaalili sana
Jamani Waha hawafelikizembe. Mwanamke kama mwanamume.wote ni mashujaa. Napenda Sana mkoa wangu
Hongera sn dd kwakupambana Allah akuzidishie subra yadhat moyon mwako
There is power in the name of the lord
Amina, ubarikiwe kwa kutoa msaada mkubwa kwa mmeo.
Mshukuru mungu sana AMEN BARIKIWA
,mungu Aendelee.kumpa.ujasili
Wanaopata wake kama huyu mdada, kwa kweli wamebarikiwa. Nimefurahia maneno yake ya kijasiri "Nilijua wameshamuua mme wangu, na kama wameshamuua, mimi nina thamani gani tena! wacha tufe wote!" Kisha akaingia kwenye uwanja wa mapambano
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
Wewe kuweza kama unamapenzi na mwenza wako nae atakua na mapenzi na wewe so tupendane mm hata mwenza wangu akikamatwa na trafki mavi ya nanibana nakuanza kulia kiufupi tupendanee
@superwomanmwenyeheri.1367
2 жыл бұрын
Yaani we acha tuu.
@lindakim2292
2 жыл бұрын
Akaingia uwanja WA mapambano😃😃😃😃😃
@brightermwailolo3409
2 жыл бұрын
Kwa kweli huyu anastaili pongezi wengi tunaishiwa nguvu na kunitetea wenyewe. Hataki hata kwenda kwenye biashara mpaka mume wake apone
@silasjoseph9033
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
Ubarikiwe mama mwema
Tunashukuru kwa ukomavu huo umemuokoa sana mwanaume mwenzetuu safii sana shemejiiii yetu❤
I just appreciate, pale pale, of course pale pale nimemuelewa sana
Allah kareem Azidi kuwalinda Inshaallah
Congrats my sister, you made it...
Hongera sana mwanangu kwa kuthamini kiapo cha ndoa
Kigoma saluti wanawake tunaweza 🎉 pole kwa matatozo na hongera ni mfano mzuri
Kauli nzito sana!! "Mme wangu alishakufa mimi nina thamani gani?" wachache saaana! Aseee
@nuruabeid7341
2 жыл бұрын
true love❤
Unaakili sana dada
Wanawake wa hivi bado wapogo kumbe duh mwanaume mwenzetu hongera sana umepata mke
Hongera Sana hayo ndio mapenzi ya kweli kwa mumeo
God bless you dear ❤️
Big up malkia wa Nguvu 👍
Wewe dada Mungu akubariki sana