MFALME ZUMARIDI - ''MIMI SIO MUNGU - YUPO NDANI YANGU - WAANDISHI MUNANIWEKEA NYOKA SIO VIZURI''...

MFALME ZUMARIDI - ''MIMI SIO MUNGU - YUPO NDANI YANGU - WAANDISHI MUNANIWEKEA NYOKA SIO VIZURI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 107

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii167624 күн бұрын

    Mkorogo oyeeee 👍

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman746825 күн бұрын

    Yaani ungelikuwa kwenye nchii nyengine ukijisifia ujinga na kumshirikisha Mungu ungelitiwa ndani

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso597324 күн бұрын

    Nimetamanj ku comment ila sitaki kumkufuru Mungu wangu Mungu wa Ibrahim na Isack

  • @TheresiaAndrea-hv9dg

    @TheresiaAndrea-hv9dg

    21 күн бұрын

    Mi na moment maana nakumbuka yeye alisema anakwebda mbinguni mara nyingi , nimekubali huyu dada ni kichaa siyo mzima kicwani.

  • @user-my4gd9px7s
    @user-my4gd9px7s23 күн бұрын

    Kumbe sasa hivi hajiiti Mungu, safi sana, hilo baso ni pigonla kwanza tusuburi next.

  • @zaburi2386
    @zaburi238625 күн бұрын

    Dishi bado halijakaa bado halijakaa sawaaa

  • @deadcrush
    @deadcrush25 күн бұрын

    Mungu kakimbia.

  • @vickyadrian1503
    @vickyadrian150324 күн бұрын

    Naomba kuuliza hizi online tv mnampa air time za nini??

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin752125 күн бұрын

    Umependeza mfalme

  • @user-hh7df4mq1j
    @user-hh7df4mq1j25 күн бұрын

    Hao wanao abudu kwake akiri zao ziko vizurii kweli mm nayaona kama mazombie

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u24 күн бұрын

    Mpinga kristo huyu walioko rohoni watakua wamemjua cku za mwisho hizi. Ila wkumbuke Mungu haziwakuwagi.mtu mwenye Yesu hayuko ivi

  • @user-eb9ni9sb3n

    @user-eb9ni9sb3n

    24 күн бұрын

    Mwenye yesu yupoje?

  • @muksinimbaruku1233

    @muksinimbaruku1233

    24 күн бұрын

    Kwani ukristo ni dini?

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo128925 күн бұрын

    Unaweza ukawana waumini ef tano lakini hata watatu walio andikwa kwenye kitabu Cha uzima hawapo,itakusaidia Nini,miujiza sio tiketi ya kwenda Mbinguni,,

  • @user-eb9ni9sb3n

    @user-eb9ni9sb3n

    24 күн бұрын

    Utajuwaje kama tiketi ya mbinguni Hana? Wewe ni Mungu mpaka umuhukumu wewe unajihesabia haki wewe kama nani?usihukumu usije ukahukumiwa

  • @janethmwihumbo1289

    @janethmwihumbo1289

    24 күн бұрын

    @@user-eb9ni9sb3n hakuna hukumu ya kumuhukumu Nabii wa kuzimu anaye kokota maelfu kwenda jehnm,,kwaiyo uko radhi Mtu mmoja asihukumiwe,ila aongoze maelfu kuzimu,wao mnao watetea wenzenu hawacheki na nyie,kaa kiroho ndugu tupo siku za mwisho una mtazama Mtu kimwili au unaridhika na maneno yake pole we

  • @neemashuma5595
    @neemashuma559522 күн бұрын

    Ameacha kujiita mungu chini ya jua

  • @annamussa185
    @annamussa18525 күн бұрын

    Sawa Eunice wa kisukuma

  • @user-ro9ty7cf7d

    @user-ro9ty7cf7d

    24 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha161825 күн бұрын

    Kheee!Yeye ni mwamba,King Zumaridi.........😂😂. I thought I've seen n heard it all Kila nikimuona nakumbuka ile sura ya Millard very serious "Jua!!??Usiku!!?🤣🤣

  • @GIDIONIYEREMIA
    @GIDIONIYEREMIA25 күн бұрын

    We mama usipo Kua makini utayeyuka ghafla

  • @HanifaOman-oo4pl

    @HanifaOman-oo4pl

    25 күн бұрын

    Umeonaee

  • @user-eb9ni9sb3n

    @user-eb9ni9sb3n

    24 күн бұрын

    Ayeyuke nani wa kumyeyusha Mungu anayeyukaga?utayeyuka wewe huyo ni Mungu

  • @SuleimanKhdija

    @SuleimanKhdija

    24 күн бұрын

    Kweli

  • @chrispinmkanda6097

    @chrispinmkanda6097

    24 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣☝️​@@user-eb9ni9sb3n

  • @JoalAlma-ci1hi

    @JoalAlma-ci1hi

    20 күн бұрын

    ​@@user-eb9ni9sb3nmungu mwehu au mungu gani mbona mnatania mungu wehu nyie.

  • @LucasKaik-xt8qe
    @LucasKaik-xt8qe23 күн бұрын

    Mwehu kweli wew, umemtaja mbarikiwa et amenyamanzishwa au humsikilizagi siku hizi hajapoa hata kidogo.

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani724424 күн бұрын

    "Yesu kambeba Mungu" uislam raha saana straight forward no contradictions!

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    23 күн бұрын

    Uislam na shetani ni uji na mgonjwa

  • @EvelinQueen
    @EvelinQueen20 күн бұрын

    Ee Mungu tupe kuyatambua majira na nyakati maana haya yote Yesu alisema sas mda ndo huu Yesu yukarib kurudi

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele21 күн бұрын

    Jaman tujihadhal shetan yupo kazin hakuna mungu hapo

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po25 күн бұрын

    Hili dada shetani😢 eish dunia hii

  • @user-eb9ni9sb3n

    @user-eb9ni9sb3n

    24 күн бұрын

    Onyesha ushetani wake

  • @thamani5842

    @thamani5842

    24 күн бұрын

    ​@@user-eb9ni9sb3nww mwenyewe Shetani

  • @happymrema7487
    @happymrema748725 күн бұрын

    Muwakilish wa shetan

  • @Gloria-vh5bz
    @Gloria-vh5bz24 күн бұрын

    Ninaowahurumia ni hayo mazombie yake Hapo nyuma

  • @noeleliasi8401
    @noeleliasi840123 күн бұрын

    Shetani yuko ndani yako, iwe mwanzo na mwisho leo kumtaja Mbarikiwa kwenye DOMO lako hilo mbavûuuuweee

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi795025 күн бұрын

    ''BANGI ZA CHOONI''

  • @Isabella-ww8ks
    @Isabella-ww8ks24 күн бұрын

    Watu wangu wanaangamia kwakukosa maalifa😢

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman746825 күн бұрын

    Mungu akulaani ww mama Acha kucheza na Mungu nyani ww usio ogopa yaani mnacheza na Mungu bila khofu anaweza kukugeuza nyani shenzi mkubwa

  • @justinruben1967

    @justinruben1967

    23 күн бұрын

    Pole ww usiejua unayemtukana ipo siku utajua

  • @hawaramadhani6954
    @hawaramadhani695412 күн бұрын

    Hadi chumbani milad kaingia 😂😂😂 hajananihiliyuu Jmn maana anapenda vitoto huyu Dada

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman746825 күн бұрын

    Mungu anakutakianini sheitani moja akuiingie kivipi kwa Ibadan gani ulio nayo hata akushuhulikie pekee yko ww nyama tubu

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza109823 күн бұрын

    DADA D LEO UMEROPOKA VIZURI....

  • @ramamasenda6637
    @ramamasenda663725 күн бұрын

    Sasa unajisifia mwenyewe

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin312124 күн бұрын

    Nilikuwaga na fikiri ndo mama mzazi wa gigi many juu ni copy right

  • @amosibilingi4299

    @amosibilingi4299

    22 күн бұрын

    Ila kweli jmn mbona kama vile, dah! Kweli dunian tuko double double

  • @kobelochande6669
    @kobelochande666924 күн бұрын

    😂 Sasa ngoja Mbarikiwa akusikie😂😂😂😂

  • @JoalAlma-ci1hi
    @JoalAlma-ci1hi20 күн бұрын

    Kinachonishangaza jamn naona anawaumini watu wazima kabisa wenye akilitimamu .inawezekananje uyu mwehu anafanya iv .mala kanumba amgufufue mala mbinguni magolafa alafu mazee yana kaa yanamsikiliza uyu mwezi mchanga uyu ...

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina128823 күн бұрын

    Haya miladi ayo unaitwa huku😅

  • @hamadwazir2733
    @hamadwazir273324 күн бұрын

    Kumbe unajua kama kuna mungu ww ni nan sas unakufuru

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc22 күн бұрын

    Dada njoo geto uje ufue nguo zangu alafu nikupake mafuta ya upako maana wew ni ,,,,,

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin312124 күн бұрын

    Ili limama nilitajiri kweli,kweli,tena lisukuma.

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo173525 күн бұрын

    Huyo bodigad wa nyuma anavoitikia sasa😂😂

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz695625 күн бұрын

    Huyu mlugaluga nae ana afya ya akili😂😂😂😂😂😂😂

  • @ramamasenda6637
    @ramamasenda663725 күн бұрын

    Wewe mweu zumaridi piga ela zako tu mwamba wapi wewe

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda461924 күн бұрын

    Mie nae niko busy tu kuangalia brazia ya Mfalme hapo kifuani.😝

  • @TonyEmanuel

    @TonyEmanuel

    24 күн бұрын

    😂😂😂

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser938924 күн бұрын

    Kumbe Millard Ayo alifika Chumbani kwa Mfalme Zunarid na Hatujui😂

  • @jelasnkoma4240

    @jelasnkoma4240

    12 күн бұрын

    Kamuonesha hadi anapolala😃

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl25 күн бұрын

    Shetwani huyo yupokazini

  • @jkuser7593
    @jkuser759323 күн бұрын

    Akili imekukaa sasa ulijitamba wewe Mungu leo umebadili msemo woiii acha ujinga wako

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa25 күн бұрын

    Kumbe Bado yupo😂😂😂

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    25 күн бұрын

    😂😂 amejaa tele

  • @AminaLibisa

    @AminaLibisa

    25 күн бұрын

    Nilishaga msahau

  • @AminaLibisa

    @AminaLibisa

    25 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @israeluronu9958
    @israeluronu995825 күн бұрын

    Hivi waandishi siwalishakatazwa kumhoji huyo mama.

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim793024 күн бұрын

    Anaongea mpaka koo linanikauka mimi

  • @thamratysuleiman3053
    @thamratysuleiman305325 күн бұрын

    Anahashuo

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn938225 күн бұрын

    Huyu mama akili zake anazijua mwenyewe cheki na alivyo jipodoa ka robot unice

  • @EmmyNamoyo

    @EmmyNamoyo

    25 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 wewe ati robot eunice 😂😂😂😂 umenichekesha

  • @rhobywerema6996

    @rhobywerema6996

    25 күн бұрын

    😂😂

  • @SuleimanKhdija

    @SuleimanKhdija

    24 күн бұрын

    😅😅😅😂

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine710823 күн бұрын

    Eti , mbarikiwa ,kaufyata, mbarikiwa sio , type yako wewe 😊

  • @JeniferNgolanya-gt5xx
    @JeniferNgolanya-gt5xx25 күн бұрын

    Muwakilishi wa shenanigans.. nakuchukia mbaya siku zako zaja...devil ww

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda255423 күн бұрын

    Milladi alikula hilo zigo.

  • @reginaldshirima5646
    @reginaldshirima564624 күн бұрын

    Mwili wako utaliwa na ndege wa angani na wanyama wa porini

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia171524 күн бұрын

    Huyu ni Amber Ruty aliechangamka

  • @kisinza6077
    @kisinza607724 күн бұрын

    Huyu ni mtu kama yule mtu wanaomwamini akina flani. Lakini wanavyomtukana kama wao hawalijui kaburi lake jamaa yao.

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia171524 күн бұрын

    Watu wamejaa na pesa unazidi kupiga si umalizie tu

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp25 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @selemankishema5780
    @selemankishema578025 күн бұрын

    Wee mwehu na wehu wenzio unaukweli gani shetani mkubwa subiri tu siku zako kwa muumba zinahesabika

  • @user-eb9ni9sb3n

    @user-eb9ni9sb3n

    24 күн бұрын

    Kati yeye nawewe nani mwehu?huna unachokijuwa ndiyo maana unaropoka Linda kinywa chako kitakugharimu

  • @Kautharkabanga
    @Kautharkabanga24 күн бұрын

    Huyo shetani katokea wapi tena

  • @vom84
    @vom8424 күн бұрын

    Mmmh mbona huyu hafanani na yule wa gerezani? Au ni mwingine

  • @nancyenock5601
    @nancyenock560124 күн бұрын

    Kama Giggy kiasi fulani

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny25 күн бұрын

    Zama za mwisho huyu ni Dada yake Masih Dajjal,Sasa kazi kwenu Wafuasi kunawa au kutokunawa, Ukimfuata Motooo utakula kwako,😮😮

  • @user-eo3xr2ld3g
    @user-eo3xr2ld3g25 күн бұрын

    Mpuzi mkubwa ww utakufa vibaya

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga465024 күн бұрын

    Anahitaji wenye akili wa mshauri

  • @teddylyimo5897
    @teddylyimo589724 күн бұрын

    We mchawi tuu huna kitu shetanii mkubwa ww

  • @user-ub1yx5vc8b
    @user-ub1yx5vc8b25 күн бұрын

    Kila anayemfuata huyu shetani ni zizu

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l24 күн бұрын

    Watu mnashida. Mnafanya hukumu ni kazi yenu? Sisi wenyewe tuna midhambi yakufa mtu. Kama yeye anajitambua ana Mungu ndani yake shida yetu ni nini haswa. Mwacheni aendelee na mambo yake sisi wote tutakitana na Mungu siku ya hukumu.

  • @user-hg5wr2mc7k
    @user-hg5wr2mc7k24 күн бұрын

    Haka kashetani kananiuma sana

  • @user-eb9ni9sb3n
    @user-eb9ni9sb3n24 күн бұрын

    Ipo siku mtajuwa kuwa Zumaridi ninani nyinyi mnaishia kutukana mwenzenu anazidi kupaaa nyinyi mnayetukana mnjulikana nanani?mwenzenu dunia nzima wanamtambuwa nyinyi hata balozi wako wa mtaa hakujui acheni chuki zisizo na msingi Zumaridi ni Mungu mkatae mkubali haibadiliki

  • @jkuser7593

    @jkuser7593

    23 күн бұрын

    😂😂😂 pole yako mweee

  • @hawaramadhani6954

    @hawaramadhani6954

    12 күн бұрын

    Mungu anakunya chooni,anapelekwa gerezani,anafanya mapenzi Jmn hizo hisia za nini kajiwekea😮😮

  • @mulolemary1317
    @mulolemary131725 күн бұрын

    Tafuta pesa za kula na make up achana na shirk

  • @KasemaTV
    @KasemaTV24 күн бұрын

    wewe ndiwe masihi wa kizazi hiki wakubali wakatae ndivyo ilivyo

  • @drsilo
    @drsilo25 күн бұрын

    Ukiristo una shida kweli alimradi hamdi dini kila mmoj ana mambo yake😂 Ila karibuni ktk din ya haki kitabu kimoj tu ni QURAN

  • @charlesmwasi7646

    @charlesmwasi7646

    24 күн бұрын

    Nani amemwambia huyo mkristo?? Kwenu huko Kuna mbingu zenye wanawake na mapombe Mambo ya kidunia kabisa, hatutaki kabisa.

  • @hawaramadhani6954

    @hawaramadhani6954

    12 күн бұрын

    ​@@charlesmwasi7646kasome vzr hizo pombe hujaelewa kaka

  • @Gloria-vh5bz
    @Gloria-vh5bz24 күн бұрын

    Ninaowahurumia ni hayo mazombie yake Hapo nyuma

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile837923 күн бұрын

    Huyo dada wa nyuma kafanana na mfanyakazi wa ahime wa Kendra

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija24 күн бұрын

    Global kwanini mnamuhoji huyo kwani nanini kawatuma nimekuwa nimeshakwisha msahau huyo iblis myacheni huo Mungu yupo daima kitamrambaga tu

  • @justinruben1967

    @justinruben1967

    23 күн бұрын

    Tulie ww sikia Mungu anachoongea acha chuki

  • @michaelotieno8253

    @michaelotieno8253

    23 күн бұрын

    Kamdomo😂😂acha mdomo

Келесі