MFALME ZUMARIDI - ''MIMI SIO MUNGU - YUPO NDANI YANGU - WAANDISHI MUNANIWEKEA NYOKA SIO VIZURI''...
MFALME ZUMARIDI - ''MIMI SIO MUNGU - YUPO NDANI YANGU - WAANDISHI MUNANIWEKEA NYOKA SIO VIZURI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 107
Mkorogo oyeeee 👍
Yaani ungelikuwa kwenye nchii nyengine ukijisifia ujinga na kumshirikisha Mungu ungelitiwa ndani
Nimetamanj ku comment ila sitaki kumkufuru Mungu wangu Mungu wa Ibrahim na Isack
@TheresiaAndrea-hv9dg
21 күн бұрын
Mi na moment maana nakumbuka yeye alisema anakwebda mbinguni mara nyingi , nimekubali huyu dada ni kichaa siyo mzima kicwani.
Kumbe sasa hivi hajiiti Mungu, safi sana, hilo baso ni pigonla kwanza tusuburi next.
Dishi bado halijakaa bado halijakaa sawaaa
Mungu kakimbia.
Naomba kuuliza hizi online tv mnampa air time za nini??
Umependeza mfalme
Hao wanao abudu kwake akiri zao ziko vizurii kweli mm nayaona kama mazombie
Mpinga kristo huyu walioko rohoni watakua wamemjua cku za mwisho hizi. Ila wkumbuke Mungu haziwakuwagi.mtu mwenye Yesu hayuko ivi
@user-eb9ni9sb3n
24 күн бұрын
Mwenye yesu yupoje?
@muksinimbaruku1233
24 күн бұрын
Kwani ukristo ni dini?
Unaweza ukawana waumini ef tano lakini hata watatu walio andikwa kwenye kitabu Cha uzima hawapo,itakusaidia Nini,miujiza sio tiketi ya kwenda Mbinguni,,
@user-eb9ni9sb3n
24 күн бұрын
Utajuwaje kama tiketi ya mbinguni Hana? Wewe ni Mungu mpaka umuhukumu wewe unajihesabia haki wewe kama nani?usihukumu usije ukahukumiwa
@janethmwihumbo1289
24 күн бұрын
@@user-eb9ni9sb3n hakuna hukumu ya kumuhukumu Nabii wa kuzimu anaye kokota maelfu kwenda jehnm,,kwaiyo uko radhi Mtu mmoja asihukumiwe,ila aongoze maelfu kuzimu,wao mnao watetea wenzenu hawacheki na nyie,kaa kiroho ndugu tupo siku za mwisho una mtazama Mtu kimwili au unaridhika na maneno yake pole we
Ameacha kujiita mungu chini ya jua
Sawa Eunice wa kisukuma
@user-ro9ty7cf7d
24 күн бұрын
😂😂😂😂😂
Kheee!Yeye ni mwamba,King Zumaridi.........😂😂. I thought I've seen n heard it all Kila nikimuona nakumbuka ile sura ya Millard very serious "Jua!!??Usiku!!?🤣🤣
We mama usipo Kua makini utayeyuka ghafla
@HanifaOman-oo4pl
25 күн бұрын
Umeonaee
@user-eb9ni9sb3n
24 күн бұрын
Ayeyuke nani wa kumyeyusha Mungu anayeyukaga?utayeyuka wewe huyo ni Mungu
@SuleimanKhdija
24 күн бұрын
Kweli
@chrispinmkanda6097
24 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣☝️@@user-eb9ni9sb3n
@JoalAlma-ci1hi
20 күн бұрын
@@user-eb9ni9sb3nmungu mwehu au mungu gani mbona mnatania mungu wehu nyie.
Mwehu kweli wew, umemtaja mbarikiwa et amenyamanzishwa au humsikilizagi siku hizi hajapoa hata kidogo.
"Yesu kambeba Mungu" uislam raha saana straight forward no contradictions!
@FridayMwassa
23 күн бұрын
Uislam na shetani ni uji na mgonjwa
Ee Mungu tupe kuyatambua majira na nyakati maana haya yote Yesu alisema sas mda ndo huu Yesu yukarib kurudi
Jaman tujihadhal shetan yupo kazin hakuna mungu hapo
Hili dada shetani😢 eish dunia hii
@user-eb9ni9sb3n
24 күн бұрын
Onyesha ushetani wake
@thamani5842
24 күн бұрын
@@user-eb9ni9sb3nww mwenyewe Shetani
Muwakilish wa shetan
Ninaowahurumia ni hayo mazombie yake Hapo nyuma
Shetani yuko ndani yako, iwe mwanzo na mwisho leo kumtaja Mbarikiwa kwenye DOMO lako hilo mbavûuuuweee
''BANGI ZA CHOONI''
Watu wangu wanaangamia kwakukosa maalifa😢
Mungu akulaani ww mama Acha kucheza na Mungu nyani ww usio ogopa yaani mnacheza na Mungu bila khofu anaweza kukugeuza nyani shenzi mkubwa
@justinruben1967
23 күн бұрын
Pole ww usiejua unayemtukana ipo siku utajua
Hadi chumbani milad kaingia 😂😂😂 hajananihiliyuu Jmn maana anapenda vitoto huyu Dada
Mungu anakutakianini sheitani moja akuiingie kivipi kwa Ibadan gani ulio nayo hata akushuhulikie pekee yko ww nyama tubu
DADA D LEO UMEROPOKA VIZURI....
Sasa unajisifia mwenyewe
Nilikuwaga na fikiri ndo mama mzazi wa gigi many juu ni copy right
@amosibilingi4299
22 күн бұрын
Ila kweli jmn mbona kama vile, dah! Kweli dunian tuko double double
😂 Sasa ngoja Mbarikiwa akusikie😂😂😂😂
Kinachonishangaza jamn naona anawaumini watu wazima kabisa wenye akilitimamu .inawezekananje uyu mwehu anafanya iv .mala kanumba amgufufue mala mbinguni magolafa alafu mazee yana kaa yanamsikiliza uyu mwezi mchanga uyu ...
Haya miladi ayo unaitwa huku😅
Kumbe unajua kama kuna mungu ww ni nan sas unakufuru
Dada njoo geto uje ufue nguo zangu alafu nikupake mafuta ya upako maana wew ni ,,,,,
Ili limama nilitajiri kweli,kweli,tena lisukuma.
Huyo bodigad wa nyuma anavoitikia sasa😂😂
Huyu mlugaluga nae ana afya ya akili😂😂😂😂😂😂😂
Wewe mweu zumaridi piga ela zako tu mwamba wapi wewe
Mie nae niko busy tu kuangalia brazia ya Mfalme hapo kifuani.😝
@TonyEmanuel
24 күн бұрын
😂😂😂
Kumbe Millard Ayo alifika Chumbani kwa Mfalme Zunarid na Hatujui😂
@jelasnkoma4240
12 күн бұрын
Kamuonesha hadi anapolala😃
Shetwani huyo yupokazini
Akili imekukaa sasa ulijitamba wewe Mungu leo umebadili msemo woiii acha ujinga wako
Kumbe Bado yupo😂😂😂
@agnesjohn9382
25 күн бұрын
😂😂 amejaa tele
@AminaLibisa
25 күн бұрын
Nilishaga msahau
@AminaLibisa
25 күн бұрын
😂😂😂😂
Hivi waandishi siwalishakatazwa kumhoji huyo mama.
Anaongea mpaka koo linanikauka mimi
Anahashuo
Huyu mama akili zake anazijua mwenyewe cheki na alivyo jipodoa ka robot unice
@EmmyNamoyo
25 күн бұрын
😂😂😂😂😂 wewe ati robot eunice 😂😂😂😂 umenichekesha
@rhobywerema6996
25 күн бұрын
😂😂
@SuleimanKhdija
24 күн бұрын
😅😅😅😂
Eti , mbarikiwa ,kaufyata, mbarikiwa sio , type yako wewe 😊
Muwakilishi wa shenanigans.. nakuchukia mbaya siku zako zaja...devil ww
Milladi alikula hilo zigo.
Mwili wako utaliwa na ndege wa angani na wanyama wa porini
Huyu ni Amber Ruty aliechangamka
Huyu ni mtu kama yule mtu wanaomwamini akina flani. Lakini wanavyomtukana kama wao hawalijui kaburi lake jamaa yao.
Watu wamejaa na pesa unazidi kupiga si umalizie tu
🤣🤣🤣🤣
Wee mwehu na wehu wenzio unaukweli gani shetani mkubwa subiri tu siku zako kwa muumba zinahesabika
@user-eb9ni9sb3n
24 күн бұрын
Kati yeye nawewe nani mwehu?huna unachokijuwa ndiyo maana unaropoka Linda kinywa chako kitakugharimu
Huyo shetani katokea wapi tena
Mmmh mbona huyu hafanani na yule wa gerezani? Au ni mwingine
Kama Giggy kiasi fulani
Zama za mwisho huyu ni Dada yake Masih Dajjal,Sasa kazi kwenu Wafuasi kunawa au kutokunawa, Ukimfuata Motooo utakula kwako,😮😮
Mpuzi mkubwa ww utakufa vibaya
Anahitaji wenye akili wa mshauri
We mchawi tuu huna kitu shetanii mkubwa ww
Kila anayemfuata huyu shetani ni zizu
Watu mnashida. Mnafanya hukumu ni kazi yenu? Sisi wenyewe tuna midhambi yakufa mtu. Kama yeye anajitambua ana Mungu ndani yake shida yetu ni nini haswa. Mwacheni aendelee na mambo yake sisi wote tutakitana na Mungu siku ya hukumu.
Haka kashetani kananiuma sana
Ipo siku mtajuwa kuwa Zumaridi ninani nyinyi mnaishia kutukana mwenzenu anazidi kupaaa nyinyi mnayetukana mnjulikana nanani?mwenzenu dunia nzima wanamtambuwa nyinyi hata balozi wako wa mtaa hakujui acheni chuki zisizo na msingi Zumaridi ni Mungu mkatae mkubali haibadiliki
@jkuser7593
23 күн бұрын
😂😂😂 pole yako mweee
@hawaramadhani6954
12 күн бұрын
Mungu anakunya chooni,anapelekwa gerezani,anafanya mapenzi Jmn hizo hisia za nini kajiwekea😮😮
Tafuta pesa za kula na make up achana na shirk
wewe ndiwe masihi wa kizazi hiki wakubali wakatae ndivyo ilivyo
Ukiristo una shida kweli alimradi hamdi dini kila mmoj ana mambo yake😂 Ila karibuni ktk din ya haki kitabu kimoj tu ni QURAN
@charlesmwasi7646
24 күн бұрын
Nani amemwambia huyo mkristo?? Kwenu huko Kuna mbingu zenye wanawake na mapombe Mambo ya kidunia kabisa, hatutaki kabisa.
@hawaramadhani6954
12 күн бұрын
@@charlesmwasi7646kasome vzr hizo pombe hujaelewa kaka
Ninaowahurumia ni hayo mazombie yake Hapo nyuma
Huyo dada wa nyuma kafanana na mfanyakazi wa ahime wa Kendra
Global kwanini mnamuhoji huyo kwani nanini kawatuma nimekuwa nimeshakwisha msahau huyo iblis myacheni huo Mungu yupo daima kitamrambaga tu
@justinruben1967
23 күн бұрын
Tulie ww sikia Mungu anachoongea acha chuki
@michaelotieno8253
23 күн бұрын
Kamdomo😂😂acha mdomo