MCHINA ATETEMEKA MBELE YA DC WA ARUSHA BAADA YA KUDHULUMU MIL 26 ZA ASKOFU, "NITAKUVURUGA HAPA HAPA"

#Dc #ArushaDc #mkuuwawilaya #mkuuwamkoa #arusha #wikiyahaki #makonda #Rcmakonda #rcarusha #arusha #arushamjini #arachuga #arusha #chugacomedy #chugadance #makonda #paulmakonda #kizaziog #babalababa #kenyonyo #dipperrato #majanaba #markubamajanaba #waduduwarchuga #makonda #kenyonyo #kizaziog #chugacomedy #chugadance #chuga #arusha #makonda #pdiddy #fidovato #target #chidbenz #fidovato #fido #krg #krgthedon #khaligraphjones #khaligraph #kenyan #kenyanyoutuber #kenyanewsmedia #kenyanews #tanzania #tanzanianews #tanzanianews #tanzanianmusic #tanzanianyoutuber #diamondplatnumz #diamond #diamonds #alikiba #dah #alikibadah #kings #kingsmusic #kingsrecords #dharau #mapoz #inbrahtz #diamondplatnumz #harmonize #kondegang #kondeboy #wasafi #youtube #youtubeshorts #cr7 #diamondplatnumz #aka #a.k.a #coasttitch #coastal #costarica #costa #papa #papawemba #morgan #morganheritage #alikiba #diamondplatnumz #mondi #mapoz #harmonize #harmonize_tz #kondegang #konde #kondeboy #anjela #anjellatz #poshqueen #poshqueennaharmonize #poshnaharmonize #mpenzi #cr7 #niposingleharmonize #wemasepetu #wemawhozu #whozu #whozunawema #wemanawhozu #mapenziyawemanawhozu #penzi #penzizitowemanawhozu #kenyonyo #dipper #kenyonyonadipperrato #comedy #comedyvideo #comedymoments #comedyshorts #comedyvideos #comedyfilms #comedyshow #nyokaa #storyyanyokaa #storybynyokaa #movieyanyokaa #tamthilia #tamthiliayanyokaa #bugibenga #benga #arusha #arushamjini #fido #fidovato #msaniifidovato #mkaliwahiphopfidovato #vatoloco #chugaiyo #fidovatoftrayvanny #rayvannynafidovato #movie #movies #moviereview #inswahili #kwakiswahili #kiswahili #kiswahilitv #kipagocomedy #wachaga #moshi #arushamjini #vichekesho #mwakampya #chrismas #missomisondo #djmisondo #missondo #rayvanny #rayvany #rayvannymissomisondo #rayvannykitukizito #kitukizito #arusha #chugadance #chugacomedy #chugaboy #majanaba #majanabamarkuba #markuba #hanang #mafuriko #manyara #mafurikohanang #hanangmafuriko #majanabamarkubamafuriko #madawa #madawayakulevya #vichekesho #yvonnekrg #krgdoughteryvonne #kichanga #mtotomchanga #mtotoatupwakichakani #mtotomchanga #ashikwaakitupamtoto #uswahilini #uswahiliniarusha #arushamjini #kenyonyo #wadudu #chugacomedy #chugadance #waduduwachuga #machaliiyar
#madawa #madawayakulevya #waathirika #wasanii #allydangote #paulinegekul #gekul #dangote #arusha #arushamjini #fidovato #allydangote #fidovatoallydangote #allydangotefidovato #chugaiyo #fidovatoamchanaallydangote #fidovatodangote #fidovatovsallydangote #fidovsdangote #dangotevsfidovato #arusha #dangote #allydangote #dangoteauawa #mwiliwadangote #arushamjini #dangotemochwari #watuwaendakumuonadangote #dangoteazikwa #dangoteafariki #sinoniarusha #ungalitediarusha #arushamjini #taharukiyatawala #auawanawananchi #millardayo #millardayoupdates #kusagatv #global #globalnews #auawa #millardayo #millardayoupdates #millardayo #arusha #dangote #allydangote #dangoteauawa #mwiliwadangote #arushamjini #dangotemochwari #watuwaendakumuonadangote #dangoteazikwa #dangoteafariki #sinoniarusha #ungalitediarusha #arushamjini #taharukiyatawala #auawanawananchi #millardayo #millardayoupdates #kusagatv #global #globalnews #auawa #millardayo #millardayoupdates #millardayo #inatisha #watuwafurika #wananchiwenyehasirakali #wananchi #binadamu #amwaga #amwagadamu #achomwavisu #mchomavisu #taharuki #taharukiyatanda #taharukiyafunika #mochwari #jijilazizima #arushawatuwafurikamochwari #damu #trendingshorts#Mochwary #mochwari #mrrocky #arusha2099 #arusha #fidovato #johmakini #dogojanja #fidovatonajohmakini #fidovaton #wimbowamrrockyarusha2099 #derby #vatoloco #fidovatonako2nako #fidovatonembo #fidovatochugaiyo #fidovatoarachuga #fidovatonaweusi #fidovatoweusi #weusi #johmakiniweusi #vatolocoweusi #harmonize #ngarenaro #ngarenaroarusha #arusha #wananchi #wananchiwenyehasirakali #matapeli #jambazi #majambazi #vibaka #simu #wiziwakutumiasimu #derby #magoliyayanga #magoliyayanga #magolinbc #magoliligikuu #golilayanga #mashabikisimbayanga #mashabikiyangasc #shabikiyanga #yangasc #yangafc #yangayaifungasimbagoaltano #waduduwachug #kariakooderby #derby #derbyyasimbanayanga #simbasc #simba #simbafc #livesimba #yangasc #yangafc #yanga #yangaleo #yanganasimba #yangatv #yangalive #yangavssimba #kariakoo #baleke #derby #boko #aziziki #magoli #magoliyayanga #magoliyasimba #golilachama #golilasimba #goliya #golden #cr7 #cr7fans #cr7shorts #christiano #messi #messiskills #messifans #messi10 #messifans #messi10 #comedia #comedy #comedyvideo #comedyshorts #comedyfilms #comedymoments #comédia #chugacomedy #chugadance #chugadanceofficil #vichekesho #shabiki #mashabiki
#mashabikisimbayanga #rosaree #wadudu #waduduwachuga #makaomakuuyahiphop #rosareesong #rosareemusic #waduduwachuga #wadudu #kariakoo #derbyyasimbanayanga #simbasc #simba #simbafc #livesimba #yangasc #yangafc #yanga #yangaleo #yanganasimba #yangatv #yangalive #yangavssimba #kariakoo #baleke #derby #boko #aziziki #magoliyayanga #magoliyasimba #golilachama #golilasimba #goliya #cr7 #cr7f

Пікірлер: 146

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel90824 күн бұрын

    siomchina tuu kuna mtanzania mwenzetuu pia anaitwa maganga niizaidi ya mnyamaa anaajiri mtuu saa moja anafukuza saa mbili naanasema haogopi serekali anatesa wafanyakazi vibaya mnoo nimkatili vinaya mnoo mimi nilipita kuosha gari pale nilishuhudia yule jamaa nimyamaa

  • @fredyjeremia7074

    @fredyjeremia7074

    24 күн бұрын

    Afungiwe biashara yake ,wakat uchunguzi uafanyika huyu mswahili

  • @AdorophinapKahwa

    @AdorophinapKahwa

    24 күн бұрын

    Maganga wa maeneo ya Kwa mromboo??

  • @amanimlengwa9202

    @amanimlengwa9202

    20 күн бұрын

    Huyu Maganga tunamjua wote wa Arusha. Huyo ni mnyama, hana utu hata kidogo na inasemekana huwa anatabia ya kuimiliki serikali kwa pesa zake. Si yule aliye Mbauda kule? Bora huyu mchina iwapo ni huyo Maganga.

  • @adoniemanuel908

    @adoniemanuel908

    20 күн бұрын

    ndio huyoo yani yule sio mtuu kabisa utasema anaishi dunia yakee yani akikupa ajira asubuhi huewezi fika saa tano kama serekali imuangalie kwajicho latatu na uraiya wake hakuna mtanzania nwenye roho alioko nayo yule mtuu

  • @AdorophinapKahwa

    @AdorophinapKahwa

    20 күн бұрын

    @@amanimlengwa9202 maganga tangu tukiwa wadogo ni katili tu. Nashangaa mpaka Leo amedumuje inamaana hata viongozi anakula nao

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw24 күн бұрын

    Mm napenda nimsikilize makonda tu hawa wengine naona vichekesho tu😂😂😂

  • @sakayonsakihunga3496

    @sakayonsakihunga3496

    24 күн бұрын

    Kweli kabisa naona hata chalamila kaanzisha but Hana vibe

  • @robertmahenge3614

    @robertmahenge3614

    23 күн бұрын

    Makonda jembe awa wengine wababaishaji tu.

  • @jamaliddiin9357

    @jamaliddiin9357

    23 күн бұрын

    Ni kweli ,hawana uwezo wamefosiwa tu makonda no jiniasi

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    23 күн бұрын

    Kabisa ndugu ..

  • @husseinshabani3306
    @husseinshabani33066 күн бұрын

    Arusha inawaka moto kama china vile. Ukionea umekwisha. Safi sanaa.

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x23 күн бұрын

    ingekuwa kwao haojamaa siyo, tz tujifunzeni, raia wa china wengi nimataperi sana,

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia707424 күн бұрын

    Mchina alipe gar ya watu,lakin hao maafisa wetu mhhhh......duh!!! Sjui

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq23 күн бұрын

    Mkuu wa wilaya umebuma kwa kukosa ufahamu wa kuendesha mashauri.

  • @thabitdaudi9815

    @thabitdaudi9815

    14 күн бұрын

    Hawezi kazi huyu anamuiga makonda ila unaona kabisa ni arrogant hana mapenzi na wananchi ila tumuache atasiadia kdgo

  • @user-up9gz8ij1s
    @user-up9gz8ij1s22 күн бұрын

    Uko vizuri mkuu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio405424 күн бұрын

    HUWAMUZI GANI MKUU WA WILAYA FUNGULIA KESI YA WIZI HUYO AU AWALIPE WOTE AKIMALIZA DENI LUDISHA KWAO

  • @BedaKunguluche
    @BedaKunguluche24 күн бұрын

    Hii kweli ni Comedy

  • @florencejames-jo1cz
    @florencejames-jo1cz23 күн бұрын

    Tatzo anaongea hatoi nafasi yakujieleza kama makonda anavyo fanyaga hana vebe huni makonda Bg up

  • @fredyjeremia7074

    @fredyjeremia7074

    21 күн бұрын

    Sio kama makonda,hatoi nafasi KUMSIKILIZA mtu kama kiongozi yyte anavyotakiwa.

  • @florencejames-jo1cz

    @florencejames-jo1cz

    21 күн бұрын

    @@fredyjeremia7074 asa kiongozi unaongea pekeako huwapi nafasi ya kujieleza ujue changamoto zao we unatoa hukumu bila kusikiliza pandezote mbili asa ndo Nini maon kwa upande wangu lakin

  • @user-wj9cy9bg8u
    @user-wj9cy9bg8u14 күн бұрын

    mkomage mkiona wachina shobo wabongo wenzenu mnatunyima kazi mkiona mchina shobo ila pole

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala330324 күн бұрын

    Duh!!mwajjna Wangu Felician DC tiya jera kwanza iyo mbuzi ya kichina ujue mtandao wake akae jera kwanza akuna dhamana kabisa yani uniongee mbele zangu eti peleka police nitatoka ihiiiiiiiiiiiiiiiii baba ihiiiiii baba pumbavu

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe736023 күн бұрын

    Huyo mchina serikali yake ikijua anafanya utapeli huyo mchina kazi anayo, atanyongwa.

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim386424 күн бұрын

    Bongo kweli tumeoza yani officer uhamiaji anajua na anakiri kua jamaa hana vibali vya kuishi lkn wanamruhusu kuishi na anafanya biashara bila tabu daaah!!!

  • @ludovickbenjamin6104

    @ludovickbenjamin6104

    24 күн бұрын

    Inasikitisha sanaa asee, Tena anajibu kwa ujasiri kabisaa hana kibali. Na wanamuangaliaa kabisaa @ssalimsalim3864

  • @fredyjeremia7074

    @fredyjeremia7074

    24 күн бұрын

    Ni aibu hovyo,,halaf yanaongea bila aibu ety Hana vibali.🤣🤣 Ndo wanajua Leo??

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    21 күн бұрын

    KASEMA PASPORT IKO POLISI KWA UWIZI WAKE ALIKUWA AMUULIZE SABABU YA KUWA IKO POLISI NA TOKEA LINI.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala330324 күн бұрын

    Weka ndani mpuudhi

  • @hanskitundu874
    @hanskitundu87423 күн бұрын

    Afisa uhamiaji unajua kabisa jombaa Hana vibali vya kuishi na kufanya KAZI nchini na anasumbua ria na gerezani haujampeleka au kumrudisha kwao

  • @justerissaya9165

    @justerissaya9165

    20 күн бұрын

    Hawez mrudisha wakat anapewa rusha

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry24 күн бұрын

    Hao wachina kama kosa hilo umelifanya weye huko kwao unapotezwa ninkunyongwa tu. Naye akamatwe akanyongwe. Halafu mpelekeni Uhamiaji je ana status ya kuishi na kufanya kazi TZ kisheria? Afilisiwe na arudoshwe kwao kwani hapa TZ hakuna waTZ hawawezi kufanya?mnatoa vibali vya wageni kufungua garages. TZ njaa mwisho

  • @asmartonline5030
    @asmartonline50306 күн бұрын

    Huyo kwa aibu hii China wananyongaga tuu.........

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria947624 күн бұрын

    Shida ya Wachina ni kamari

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim515624 күн бұрын

    Wachina wezi tu

  • @wensislauschimba2792
    @wensislauschimba279212 күн бұрын

    Ila Kwa huyo amesingizia mchina

  • @ngejejemashubi4213
    @ngejejemashubi421320 күн бұрын

    Yani afisa uhamiaji anasema Hana vibali vya kuishi kweli ,? Hatari sana

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s24 күн бұрын

    Kama sio Mkuu wetu wa mkoa makonda mngeongea hivi .

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa80438 күн бұрын

    Mnyakuu tu huyu kelele

  • @mohddelo
    @mohddelo24 күн бұрын

    Safi

  • @Zubaiba
    @Zubaiba10 күн бұрын

    Kk mwenye shati la draft ana mlologo wa story sana

  • @Zubaiba
    @Zubaiba10 күн бұрын

    Makonda tu ndo ataweza ishu ya mchina,

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia707424 күн бұрын

    Tumeshakuelewa mkuu wa wilaya,,watafte kwa mda maalum wasikilize wote kama kiongozi.

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia707424 күн бұрын

    Huyu jamaa shat ya drafti ni mtumishi wa uma kasema,,ni kitengo gani mbona ana maelezo mengi mno!! Nenda kwa point tukwelewe.kwani we mgen na magerej!? Hyo karatas ni ya nini au ...

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA8 күн бұрын

    INAMAANA MCHINA KAWAFANYA MSHINDWE KUWA NA MIC HATA MBILI?

  • @MathiasFrancis-hl4ph
    @MathiasFrancis-hl4ph14 күн бұрын

    Sijaelewa pccb imeingiaje hapo lkn kweli 11m unatoa tu bila progress

  • @sumaidgasto4721
    @sumaidgasto472113 күн бұрын

    Mchina asikilizwe

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard955224 күн бұрын

    Bila Makonda kuanzisha clinic ya kusililiza watu,haya mambo yasingekuwepo.

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    24 күн бұрын

    Kuna shida gani mtu akianzisha jambo zuri watu wakaliendeleza

  • @raphaelnambombi3709

    @raphaelnambombi3709

    24 күн бұрын

    Na mkuu wa mkoa wa mwanza nae ameanza kufanya hivi

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    24 күн бұрын

    Dhuluma ni nyingi sana nchi hii. Hongera Mh. Makonda kwa kulianzisha

  • @adoniemanuel908

    @adoniemanuel908

    24 күн бұрын

    Kabisa ndugu unamjua yule sio binadamu wakawaida nizaidi ya shetani kunasiku nilienda kuosha gari aliwapiga wafanya kazi kama mbwaa hasamini utui wamtuu yulee

  • @emmanuelmayunga1518

    @emmanuelmayunga1518

    23 күн бұрын

    Very true

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS23 күн бұрын

    DHULUMA SIO NZURI SANA. INA GHARAMA YAKE

  • @lovenessfracis
    @lovenessfracis20 күн бұрын

    Hakuna kitu hapa angekua makonda angemnyoosha tapeli huyu

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa920220 күн бұрын

    Mchina anaonewa kiboya. Halafu huyu DC anajaribu kutembelea copy za Konda halafu hazijulii kabisa yaani. DC fala tu. Maelezo ya mchina yako kidogo poa ukilingalinisha na order za DC.

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf16 күн бұрын

    Mtangazaji ki Swahili jitaid

  • @AwadAbedalla
    @AwadAbedalla8 күн бұрын

    🇪🇸🤔👍👍👍❤❤

  • @drtobias_
    @drtobias_24 күн бұрын

    Makonda ana radha yake kwenye jambo km hilo

  • @billaljuma6297
    @billaljuma629713 күн бұрын

    Tapeli huyo mchina

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza12 күн бұрын

    Wachina wengi ni wezi lakini serikali ipo kimya huku wakielewa

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w23 күн бұрын

    Hii kweriiiiii comedy show

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour6769 күн бұрын

    Unyanyasaji Wa tz tu nafanya

  • @cleverjesus
    @cleverjesus18 күн бұрын

    Pilato hi!

  • @GoodluckKimbe
    @GoodluckKimbe15 күн бұрын

    Tatizo laviongozi wetu sijajua wanatatizogan tukifa fanyakosa ss wabongo tunavofanyiwa kama wakimbizi lakin watuwamataifa yambali wakifanya makosa wana belezwasana daaaaaaa

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare419624 күн бұрын

    Sukuma ndani huyu . . China's as

  • @Gamba177
    @Gamba17724 күн бұрын

    Gari yako au gari la serikali acha kudanganya walipaji kodi hapo

  • @herbethlukogela7657

    @herbethlukogela7657

    24 күн бұрын

    Unatake vitu personal sana kaka..... Gari anekabidhiwa yeye kwahiyo yeye ndo mwenye gari

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    21 күн бұрын

    MBONA UELEWA MDOGO??? KASEMA PIA LIPO GARI LA SERIKALI LIMEKAA HAPO SIKU NYINGI SIO ALILOLIPELEKA.

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf16 күн бұрын

    Msimuonee mchina mnashindwa kushugulika nawezi wamamilioni mmeanza kumsumbua mchina

  • @SaidHassen-gf5tx
    @SaidHassen-gf5tx23 күн бұрын

    Watu weupe wametudharau sana .mtuhumiwa mpka anaenda kufuatwa na gar ya DC Tena kwa kubembelezwa.huyo ni mwizi Kama wez wengine ..anatumia gereji Kama kivuli tu...huyo ni wakuondoshwa nchini na alipe ela za watu...haya mambo mtu meeusi hawez kufanya china ata sekunde moja..serikeli tuone makucha watu Kama hao .wawe na heshima na serikeli

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    21 күн бұрын

    KIUFUPI NI MWIZI TU

  • @mariaikombe7839
    @mariaikombe783923 күн бұрын

    Eti asurubiwe 😂😂😂😂😂

  • @timothbenard8213
    @timothbenard821320 күн бұрын

    Looo hana hata vibali jamani selikali hii na maafisa uhamiaji wanajuwa nani mwenye kosa hapo

  • @sebastianthadeus5270
    @sebastianthadeus527024 күн бұрын

    Huyo atakimbia usimwache anatakiwa kukaa ndani tu

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    21 күн бұрын

    ATAKIMBIYAJE NA PASSPORT IKO POLISI???

  • @upgo6112
    @upgo611224 күн бұрын

    Huyu kiongizi ni anaegemea upande Moja ... Angeenda kujihakukishia

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    23 күн бұрын

    Huyu hafai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji

  • @DanielFisoo
    @DanielFisoo20 күн бұрын

    Huyo mchina amemrushia babu yangu milion 18 mpaka sahiv bado anakaa na gari yetu

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri652424 күн бұрын

    Duuuh ila hii nchii yetu viongozi ni wana demka tu

  • @Zubaiba
    @Zubaiba10 күн бұрын

    Hadi chaji imeisha bado sijafaham mada ni nn

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi14 күн бұрын

    Huyu akakae sero miaka kumi na mko walau

  • @NasraN-hr5uh
    @NasraN-hr5uh24 күн бұрын

    Haka kachina kanaubavu gani wa kusumbua watanzania

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya131923 күн бұрын

    Eti polisi anasema anamjua huyo tapeli na Yuko mtaani wakati muuza kuku Yuko jela

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala330324 күн бұрын

    Sasa kama ana vibari wewe Afisa uhamiaji mliluwa wap?mnatia aibu nanyie mkae ndani😂

  • @saidmwangasama
    @saidmwangasama20 күн бұрын

    Wachina wote hapa tz heshima wamekosa sana na hawa wa maguluduli ni wahun tu hawatow furusa kwa watazania ili wanufake tz

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa724323 күн бұрын

    Ndio maana anawatapeli amewaona.haeafu huwezi kutumia lugha ya kusema anaishi kwa makaratasi

  • @phaustinemmao424
    @phaustinemmao42421 күн бұрын

    Gari inatengenezwa mil26 duuuh ila ni maisha tu

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara303821 күн бұрын

    Razima nyuma kunamtu hayupo pekeyake

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd24 күн бұрын

    Watu wa kusikilizwa ni wengi sasa muda woote unamsikiliza mtu mmoja tuuu.

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub99858 күн бұрын

    Be fair give the chinese man time to explain. As a leader you have to listen both side of the story

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd24 күн бұрын

    Mil 11 kutengeneza subaru?

  • @lilianurio9781
    @lilianurio978124 күн бұрын

    Ila hii nchi inajua kuigiza sana, mpaka mtu anakaa miaka yote bila vibali ni kwa sababu gani??

  • @evidencekangimba1538
    @evidencekangimba153818 күн бұрын

    huyu so mchina mbona anaongea kiswahili kama wabongo

  • @justerissaya9165
    @justerissaya916520 күн бұрын

    Mtu anakwambia serkali inamtambua bado unategmea nn apo

  • @kingkinye1419
    @kingkinye141921 күн бұрын

    Anamuiga makonda

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma877523 күн бұрын

    Na akikimbia je

  • @estakapufi7582
    @estakapufi758223 күн бұрын

    Mchina anakichwa kama kobe😅

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    21 күн бұрын

    SEMA CHAKOBE KIDOGO 😂😂😂😂😂😂

  • @YahayaKishakwi
    @YahayaKishakwi23 күн бұрын

    Iv kero zimeanza leo au uchaguzi umekaribia

  • @oam14l
    @oam14l24 күн бұрын

    Mbona kama maigizo?

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr715024 күн бұрын

    Uchaguzi Umekariba tutaona mengi Huyu Alikua wapi mkuu?

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary89323 күн бұрын

    Tatzo huwa mnababaika naa ngozi nyeupe angekuwa mweusi sku nyingi mngemkamata

  • @nehemiamwailongano2960
    @nehemiamwailongano296021 күн бұрын

    Mikoa mingine mnangoja nn kuanza. Mtu hana kibali anaishi tyu kwao hawana ujinga huo watanzania kuelimike

  • @kingkinye1419
    @kingkinye141921 күн бұрын

    Mh

  • @melejijohnson3257
    @melejijohnson325721 күн бұрын

    Viongozi wamekua waigizaji

  • @AbdulrahimSwedi-ll9ly
    @AbdulrahimSwedi-ll9ly23 күн бұрын

    mpango was kulipa ndo tunataka

  • @SonitajoseDonita-tm5ex
    @SonitajoseDonita-tm5ex24 күн бұрын

    Mkuru wa wilaya unazingua,Na Wewe anakulipa Nini ??? Eti akatengeneze !!! Huyu machina anatakiwa aende jela Na afungwe ,Yuko Bila vibali alafu anaachiwaje awe huru mkuru wa wilaya acha ubabaishaji ,nahisi Na Wewe unahusika ,kisheria kabisa huyu anatakiwa awekwe kizuizini Kwa kuishi Bila vibali afungwe jela Kwa utapeli,mbona mnawafumbiya macho Hawa ni Nini mnawaogopa mbwa Hawa kule kwako wanatutesa tukiwa Na kosa dogo tu.waafrika munanikeraaaaaa.

  • @user13375

    @user13375

    24 күн бұрын

    Dc😮😮

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u22 күн бұрын

    Sheriazauwekezaji waraia wakigenizikoje?.kama wanapewahohovyotu nakuanza kuwafanyaraia wenye nchi kamawatimwa wao ilihali niwatiwalioshindwamaishakwenye nchizao Tanzania watanzania tunakuwajehanamu kwa ajili yawaekezaji via wasionautu kamahao?

  • @nehemiamwailongano2960
    @nehemiamwailongano296021 күн бұрын

    Nyongaa ujinga huo kwao wakiwakuta hawatawaacha

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili749624 күн бұрын

    Viongozi you are not serious, mtu anaishi ndani ya nchi kinyume Cha Sheria, na bado mnamchekea, ingekuwa ni huko kwao, huwezi kufanya ujinga kama huo

  • @user-me5on9ir7b
    @user-me5on9ir7b24 күн бұрын

    Huyu afisa wa uwamihaji ni pumbavu kabisa yaani hanajuwa mtu hanaishi bila vibali kisha hanamwachilia fukuza huyo mwanamke shenzi kabisa

  • @comsmkemwa2671

    @comsmkemwa2671

    24 күн бұрын

    Duh hicho kiswahili ulichoandika ndio changamoto sasa!!!

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    24 күн бұрын

    Kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂

  • @fredyjeremia7074

    @fredyjeremia7074

    24 күн бұрын

    Kala russhwa bila shaka.

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe293924 күн бұрын

    Ale virungu kidogo kama mhalifu mwingine

  • @peninashungu6633
    @peninashungu663324 күн бұрын

    Kazi iyo muachie makonda mana ww haujui kabisa uenda ata wanamsingizia ila makonda anatuliza akili mana uenda kila kitu na izo pesa Wanachukua wengine

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry24 күн бұрын

    Mahakama zk.ehqmiq mitaani lakini mahakimu hawa wengine hawana uweledi na hii itasababisha sintofahamu Lazima kwanza tujitathmin je kila kiongozi anauweledi wa kusimamia haki kishetia? Tusikutupuke tu. Makonda mfano mzurisa je wengine wanauweledi kama yeye? Elimu na uweledi ni vitu viwili tafauti. Hatuwezi kuharibu badala ya kutengeneza? Think twice

  • @piusnagawantu8475
    @piusnagawantu847524 күн бұрын

    Haya mambo yanafanyika Tanzania tu kwa sababu watanzania tunaonekana wajinga. Serikali yenyewe ndio hivyo ya kubahatisha tu kwa sababu sheria zetu zinachezewa na wageni. Nchi imekuwa jalala tu. Hana vibali lakini yuko na garage. Haibu kwa nchi nzima.

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe727124 күн бұрын

    Kama kesi yangu

  • @nassorally9008
    @nassorally900824 күн бұрын

    Mkuu wa wililaya kamandi fata sheria

  • @mwatelaedward1638
    @mwatelaedward163824 күн бұрын

    Wanamwonea mchina wabongo ni wajanja sana haiwezekani eti mchina ni mgeni anajua kiswahili chote inamaana ameishi miaka mingi Tanzania nawanajua ana pesa sasa wanatafuta njia za kumdhulumu. Kama kweli amekua akidhulumu watu kwa inchi ya kigeni mbona hajachukuliwa hatau siku ya kwanza.

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    21 күн бұрын

    MCHINA HUYO MWIZI TU USIMTETEE.

  • @omarimussa7904
    @omarimussa790424 күн бұрын

    Safitu wabongo wanashobo sana narangi nyeupe Wacha

  • @nassorally9008
    @nassorally900824 күн бұрын

    Mpeni nafasi ya kuongea mnamuandama sana

  • @urbanmission3072

    @urbanmission3072

    24 күн бұрын

    Ni KWERI hawampi nafas ya kuongea huyu mkuu wa WILAYA kabila GANI?

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    21 күн бұрын

    KAMPA MDA ATAELEZEA VIZURI HUKO ALIPOPELEKWA MWIZI HUYO.

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu24 күн бұрын

    Watanzania ni wajinga kupita kiasi hamuwezi kutapeliwa na mtu kila siku halafu mnamwacha tuu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba768623 күн бұрын

    HIVI WATANZANIA WANAWEZA WAKAFANYA HIVI CHINA NA WASIFUNGWE?..MNAWALEA SANA HAO.

  • @GeofreyMtensacollection
    @GeofreyMtensacollection23 күн бұрын

    Sasa jmn kwani kuna tajiri asiyedaiwa..?? km mtu hadaiwi basi ww ni maskini tena una pepo, kudaiwa kawaida

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    21 күн бұрын

    KUDAIWA KITU KINGINE HUYO MCHINA TAPELI NA MWIZI UTAKONGOWAJE GARI LA WATU UUZE KILA KITU IBAKI BODI KAMA SIO UWIZI???

  • @johnsimba
    @johnsimba24 күн бұрын

    Mtu wa uamiaji kasema Hana kibali sasa kama Hana kibali anaishije alafu serikali ipo serikali Tena inampa mda ni vichekesho hivi china unaweza ukafanya hivi wakakuacha acha tu, aisee Hiyo kesi ilifaa Makonda aisikilize m Hina Leo asingerudi kwake angeenda kisongo gerezani

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    21 күн бұрын

    PASSPORT IKO POLISI KWA UWIZI WAKE.

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin810724 күн бұрын

    Kwaiyo madc mmegeuka kuwa mahakama ya kuhukumu

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    21 күн бұрын

    MCHINA RAFIKI YAKO AU

Келесі