1_USHUHUDA WA ESTA GASPAR:NILIONA JINA LANGU KTK KITABU MBINGUNI,MALAIKA WAKIIMBA WIMBO WA CHIDUMULE

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 52

  • @edwinndyamukama8918
    @edwinndyamukama8918 Жыл бұрын

    Ukiona Mungu anaonyesha mambo yatakayokuja kwa bidii Sana,ujue anajua majira na nyakati zimefika. Tajiri aliomba Mungu amtume Lazaro she kuwaambia ndugu zake yatakayowapata wasipobadili njia zao .Ombi la tajiri lilikataliwa. Ila Sasa Mungu kaona vema watu wajue.pia Soma Biblia mpendwa utaelewa! Mungu akubariki dada Esther!

  • @wesongamildred5618
    @wesongamildred5618 Жыл бұрын

    Asante dadangu kwa ujumbe huyo umenitia nguvu naomba Mungu anisaidie na familia yangu atutie nguvu tupate kuingia mbinguni!!!

  • @ivonakifumu1329
    @ivonakifumu1329 Жыл бұрын

    Asante mama Kwa ushuhuda huu . MUNGu akubarik sana. ni MUNGU amekutuma tupone na hiyo kuzimu. Hao wanao SEMA ni uongo ni kuwahurumia. Asante

  • @Daniella2014-r9n
    @Daniella2014-r9n Жыл бұрын

    Asante maman kwa ushuhuda muzuri unatutia nguvu,Mungu wetu sote atuwezeshe ili Jina langu lionekane kwenye kitabu chauzima,Dunia inatuchosha.tumechoka na vya dunia,Dunia imeozaaaa.

  • @elizabethchikoka2974

    @elizabethchikoka2974

    Жыл бұрын

    ÞŔ 4

  • @martinemchembe7386

    @martinemchembe7386

    Жыл бұрын

    Ik ol ol koo ol ookjd Piyeer oopp poa i

  • @martinemchembe7386

    @martinemchembe7386

    Жыл бұрын

    K8ejkj;o[p

  • @julianawairimu801
    @julianawairimu801 Жыл бұрын

    Very powerful testimony,am blessed.

  • @neemafrancis2487
    @neemafrancis2487 Жыл бұрын

    Amen. Nabarikiwa sana

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 Жыл бұрын

    mch. moses alikuwa mcha Mungu kweli. hivi kuna wachungaji wangapi saivi wanaoweza kumsikiliza binti mdogo hata amwombe amwombee.

  • @florencemueni1183
    @florencemueni1183 Жыл бұрын

    Amen vry powerful testimony God bless u

  • @upendomgao4137
    @upendomgao4137 Жыл бұрын

    Ni kweli mtumishi wa Mungu. Sema tupone. Yesu uturehemu.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Жыл бұрын

    Mungu atuhurumie,Natamasi nisikilize tena shuhuda naona napotea tu

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Жыл бұрын

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @elizabethopere2784
    @elizabethopere2784 Жыл бұрын

    Amen mama yetu mungu amekutumia ktk viwango vya juu sana

  • @gradyskamwela6163
    @gradyskamwela6163 Жыл бұрын

    Utii na unyenyekevu mbele za Mungu hutuwezesha kufanya mambo makubwa pia kujitoa sadaka na kukubali kumtumikia Mungu pamoja na maombi tunapata thawabu ubarikiwe mtumishi wa Mungu kutii kwako na kujitoa nimejifunza kitu

  • @helenongara1679
    @helenongara1679 Жыл бұрын

    God is REAL! Heaven is real. Hell is real. Mwenyezi Mungu atusaidie sana tufanye maamuzi sahihi tungali hai 🙏🏾 Ahsante Mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda huu mzuri!

  • @miria659
    @miria659 Жыл бұрын

    Ushuhunda mzuri dada ESTA shukrani for sharing with us God bless you.

  • @annetteutunga6862
    @annetteutunga6862 Жыл бұрын

    Asante yesu kwa ushuhuda

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 Жыл бұрын

    sasa hii majira mbona itapeleka wanawake wengi motoni jamani

  • @elisonishadrack4410
    @elisonishadrack4410 Жыл бұрын

    Amina barikiwa mtumishi umetujenga kiroho ili tukaze mwendo ili kuifikia ijara tuliyoandaliwa

  • @christerkilamlilo7013
    @christerkilamlilo7013 Жыл бұрын

    Aminq Mama ushuhuda mzuri sana. Tunaomba Roho Mtakatifu atufungue tuyasikie maonyo na kuyaishi

  • @nyarkristoforjesuskoga3761
    @nyarkristoforjesuskoga3761 Жыл бұрын

    UBARIKUWE ESTHER THIS POWERFULL MUNGU AKUBATIKI

  • @mwibakechaassani6810
    @mwibakechaassani6810 Жыл бұрын

    Asante sana mama kwa ushuhuda huu

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Жыл бұрын

    Ushuhuda mzurii kumtumikia mungu Kuna faida, mungu akubariki mama ,niwajibu wetu kujitakasa

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Жыл бұрын

    Amen barikiwa sana 🙏

  • @navokisembo
    @navokisembo Жыл бұрын

    Amen mama barikiwa na ushuhuda huu

  • @baya7067
    @baya7067 Жыл бұрын

    Amen mungu atusaidie

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa7758 Жыл бұрын

    Amina amina

  • @alnordarnold5189
    @alnordarnold5189 Жыл бұрын

    Ameen

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mama yetu ushuhuda nimzuri mnoooo

  • @alnordarnold5189
    @alnordarnold5189 Жыл бұрын

    Asante Yesu ameen

  • @bazurimwemdi9060
    @bazurimwemdi9060 Жыл бұрын

    Amen

  • @agnestunu5527
    @agnestunu5527 Жыл бұрын

    Ushuuda mzuri sana

  • @sarabura3314
    @sarabura3314 Жыл бұрын

    amen

  • @dorcasamina4551
    @dorcasamina4551 Жыл бұрын

    Amen part two

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Жыл бұрын

    Ahsante mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda,kwa kweli Mungu atusaidie tuwe na mwisho mwema,ila mimi najiuliza swali moja mbona shuhuda nyengine waliyowahi kushuhudia wanasema tayari watu wamo kwenye moto wanaungua?na mimi nashangaa kwa sababu hukumu bado,sasa sijui imekaaje hiyo.

  • @jorobency4407

    @jorobency4407

    Жыл бұрын

    Ni kweli wako kwenye moto maana ukosoma neno ;a Mungu lonasema kuna jehanum ña kuzim.Moja ni sehem ya moto ya kungojea hukumu ña ingine ni ile ambayo watatupwa shetan mwenyewe ña malaika zake pamoja ña wote walioasi milele ni mkali kulikp wa sasa

  • @filbertwerema8459

    @filbertwerema8459

    Жыл бұрын

    Kuna mambo mawili ya kutofautisha hapa, Jehanamu au ziwa la moto hakuna yeyote aliyetupwa humo mpaka Sasa tangia kuumbwa ulimwengu, ila Kuzimu pia Kuna moto ambao unaendelea kuwatesa watu wanaoenda huko kusubiria hukumu ya Mwisho, hivyo Kuzimu ni sehemu ya mahabusu au mangojeo ya kwenda kwenye hukumu ya Mwisho ambayo ndio ziwa la moto au Jehanamu.

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Жыл бұрын

    Ameeeeen BWANA nizaidie

  • @lucymerchioly711
    @lucymerchioly711 Жыл бұрын

    Mungu anirehemu kwa yote anisaidie

  • @rerisamba
    @rerisamba Жыл бұрын

    Tokea 1988 wow Mungu usifiwe

  • @rerisamba
    @rerisamba Жыл бұрын

    Mimi Moses kulola humsikia tu nakumuona utube lakini nimetokea kufatilia mafundisho yake kweli na kumpenda

  • @zablonfesto5216
    @zablonfesto5216 Жыл бұрын

    Amina Mama ubarikiwe sana

  • @palimwambene9033
    @palimwambene9033 Жыл бұрын

    Naomba namba ya mtumishi huyu🙏🏻

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 Жыл бұрын

    hicho chuo cha biblia bado kipo na masharti hayo? vyuo vya biblia vikiwa hivo lazima wanaosoma hapo watoke imara hata kama walienda huko kubip

  • @navokisembo
    @navokisembo Жыл бұрын

    Naomba number za huyu mtumishi nina maswali ya kumuuliza. Kwani biblia inatuambia waliokufa wamelala hawajui lolote yaani kuna wale watu wanadhani mtu akifa anaenda mahali kama hapo ukiposema kwenye mateso kumbe biblia haijatuambia hivyo. Naomba ufafanuzi mtumishi

  • @edwardmwalukware9734

    @edwardmwalukware9734

    Жыл бұрын

    Yesu alipo ongelea swala la lazaro na maskini unadhani alikua anadanganya. Kile kilikua kisa cha ukweli sasa sijui ni maandiko gani unasema

  • @kennethogonda2947

    @kennethogonda2947

    Жыл бұрын

    Wewe hujasoma biblia vizuri. Umesoma sehemu moja tu na hata hukuielewa. Yawezekana wewe ni wa SDA ama Jehovah witness, hata wakiambiwa ukweli huu kiasi gani hadi waonyeshwe maandiko wanakataa. Wanaamini maandiko ya Ellen White kuliko ya biblia.

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Жыл бұрын

    MUNGU SIO MWANADAMU KAMBA ILIKUVUTA MPAKA JUKWAANI SI MCHEZO MUNGU WETU NI MKUU SANA

  • @ungwamseke9590
    @ungwamseke9590 Жыл бұрын

    Amen

  • @flm1530
    @flm1530 Жыл бұрын

    Ameen

Келесі