1_USHUHUDA WA ESTA GASPAR:NILIONA JINA LANGU KTK KITABU MBINGUNI,MALAIKA WAKIIMBA WIMBO WA CHIDUMULE
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 52
Ukiona Mungu anaonyesha mambo yatakayokuja kwa bidii Sana,ujue anajua majira na nyakati zimefika. Tajiri aliomba Mungu amtume Lazaro she kuwaambia ndugu zake yatakayowapata wasipobadili njia zao .Ombi la tajiri lilikataliwa. Ila Sasa Mungu kaona vema watu wajue.pia Soma Biblia mpendwa utaelewa! Mungu akubariki dada Esther!
Asante dadangu kwa ujumbe huyo umenitia nguvu naomba Mungu anisaidie na familia yangu atutie nguvu tupate kuingia mbinguni!!!
Asante mama Kwa ushuhuda huu . MUNGu akubarik sana. ni MUNGU amekutuma tupone na hiyo kuzimu. Hao wanao SEMA ni uongo ni kuwahurumia. Asante
Asante maman kwa ushuhuda muzuri unatutia nguvu,Mungu wetu sote atuwezeshe ili Jina langu lionekane kwenye kitabu chauzima,Dunia inatuchosha.tumechoka na vya dunia,Dunia imeozaaaa.
@elizabethchikoka2974
Жыл бұрын
ÞŔ 4
@martinemchembe7386
Жыл бұрын
Ik ol ol koo ol ookjd Piyeer oopp poa i
@martinemchembe7386
Жыл бұрын
K8ejkj;o[p
Very powerful testimony,am blessed.
Amen. Nabarikiwa sana
mch. moses alikuwa mcha Mungu kweli. hivi kuna wachungaji wangapi saivi wanaoweza kumsikiliza binti mdogo hata amwombe amwombee.
Amen vry powerful testimony God bless u
Ni kweli mtumishi wa Mungu. Sema tupone. Yesu uturehemu.
Mungu atuhurumie,Natamasi nisikilize tena shuhuda naona napotea tu
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Amen mama yetu mungu amekutumia ktk viwango vya juu sana
Utii na unyenyekevu mbele za Mungu hutuwezesha kufanya mambo makubwa pia kujitoa sadaka na kukubali kumtumikia Mungu pamoja na maombi tunapata thawabu ubarikiwe mtumishi wa Mungu kutii kwako na kujitoa nimejifunza kitu
God is REAL! Heaven is real. Hell is real. Mwenyezi Mungu atusaidie sana tufanye maamuzi sahihi tungali hai 🙏🏾 Ahsante Mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda huu mzuri!
Ushuhunda mzuri dada ESTA shukrani for sharing with us God bless you.
Asante yesu kwa ushuhuda
sasa hii majira mbona itapeleka wanawake wengi motoni jamani
Amina barikiwa mtumishi umetujenga kiroho ili tukaze mwendo ili kuifikia ijara tuliyoandaliwa
Aminq Mama ushuhuda mzuri sana. Tunaomba Roho Mtakatifu atufungue tuyasikie maonyo na kuyaishi
UBARIKUWE ESTHER THIS POWERFULL MUNGU AKUBATIKI
Asante sana mama kwa ushuhuda huu
Ushuhuda mzurii kumtumikia mungu Kuna faida, mungu akubariki mama ,niwajibu wetu kujitakasa
Amen barikiwa sana 🙏
Amen mama barikiwa na ushuhuda huu
Amen mungu atusaidie
Amina amina
Ameen
Barikiwa sana mama yetu ushuhuda nimzuri mnoooo
Asante Yesu ameen
Amen
Ushuuda mzuri sana
amen
Amen part two
Ahsante mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda,kwa kweli Mungu atusaidie tuwe na mwisho mwema,ila mimi najiuliza swali moja mbona shuhuda nyengine waliyowahi kushuhudia wanasema tayari watu wamo kwenye moto wanaungua?na mimi nashangaa kwa sababu hukumu bado,sasa sijui imekaaje hiyo.
@jorobency4407
Жыл бұрын
Ni kweli wako kwenye moto maana ukosoma neno ;a Mungu lonasema kuna jehanum ña kuzim.Moja ni sehem ya moto ya kungojea hukumu ña ingine ni ile ambayo watatupwa shetan mwenyewe ña malaika zake pamoja ña wote walioasi milele ni mkali kulikp wa sasa
@filbertwerema8459
Жыл бұрын
Kuna mambo mawili ya kutofautisha hapa, Jehanamu au ziwa la moto hakuna yeyote aliyetupwa humo mpaka Sasa tangia kuumbwa ulimwengu, ila Kuzimu pia Kuna moto ambao unaendelea kuwatesa watu wanaoenda huko kusubiria hukumu ya Mwisho, hivyo Kuzimu ni sehemu ya mahabusu au mangojeo ya kwenda kwenye hukumu ya Mwisho ambayo ndio ziwa la moto au Jehanamu.
Ameeeeen BWANA nizaidie
Mungu anirehemu kwa yote anisaidie
Tokea 1988 wow Mungu usifiwe
Mimi Moses kulola humsikia tu nakumuona utube lakini nimetokea kufatilia mafundisho yake kweli na kumpenda
Amina Mama ubarikiwe sana
Naomba namba ya mtumishi huyu🙏🏻
hicho chuo cha biblia bado kipo na masharti hayo? vyuo vya biblia vikiwa hivo lazima wanaosoma hapo watoke imara hata kama walienda huko kubip
Naomba number za huyu mtumishi nina maswali ya kumuuliza. Kwani biblia inatuambia waliokufa wamelala hawajui lolote yaani kuna wale watu wanadhani mtu akifa anaenda mahali kama hapo ukiposema kwenye mateso kumbe biblia haijatuambia hivyo. Naomba ufafanuzi mtumishi
@edwardmwalukware9734
Жыл бұрын
Yesu alipo ongelea swala la lazaro na maskini unadhani alikua anadanganya. Kile kilikua kisa cha ukweli sasa sijui ni maandiko gani unasema
@kennethogonda2947
Жыл бұрын
Wewe hujasoma biblia vizuri. Umesoma sehemu moja tu na hata hukuielewa. Yawezekana wewe ni wa SDA ama Jehovah witness, hata wakiambiwa ukweli huu kiasi gani hadi waonyeshwe maandiko wanakataa. Wanaamini maandiko ya Ellen White kuliko ya biblia.
MUNGU SIO MWANADAMU KAMBA ILIKUVUTA MPAKA JUKWAANI SI MCHEZO MUNGU WETU NI MKUU SANA
Amen
Ameen