AMRI JUU YA MAPAMBO NA WANAWAKE KUWA WACHUNGAJI•NI MACHUKIZO MUNGU AMEKATAZA•Mch.Erick Yahaya-Mbeya

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 170

  • @Nshimirimanajeanine-vh7mz
    @Nshimirimanajeanine-vh7mz16 күн бұрын

    Turagushimiye cane mukozi Wimana kubutumwa bwiza.uriko.urigisha.imana.yowijuru.iguhe.umugisha.urusengero.uyoboye.gwitwa.gwiki.kuko.abakozi.bimana.beshi.bariko.baratuzimiza.urumurundi.canke.nitanzaniya.

  • @amimurajabu1327
    @amimurajabu132711 күн бұрын

    Namshukuru sana Mungu anavyo anza kutuita sisi Waliokuwa waislamu kuja kwake kwa kuanza kazi yake ya kweli. Watumishi waliokutaniwa (wakristo ni siku nyingi wamenyanyasa wakristo kanisani kutohubiri ukweli!

  • @eliwanzitabonifasi4476
    @eliwanzitabonifasi447611 күн бұрын

    Yesu aliitwa mwanaumesi kwa sababu kweli ni mwanaume,ila ni kwa nguvu alizokuwa nazo ambapo hakuna hata mmoja alizonazo na hatatokea kama yeye milele, Asante kwa kuelewa

  • @from.ideas2Actions
    @from.ideas2Actions18 күн бұрын

    Ubarikiwe Sana pastor tupate Sasa watumishi Kama WEWE wapi ambao Roho wa Mungu anawa ONGOZA kusema kweli

  • @njombehc
    @njombehc20 күн бұрын

    Barikiwa sana mtumishi semeni tuokoe hiko kizazi maana kinaangamizwa kwa kukosa maarifa

  • @faithe4063
    @faithe406320 күн бұрын

    Naipenda hii mafundisho kweli Ina usima Yani mwanamke mwenye mapambo awesi mwona Yesu

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi894520 күн бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi WA Mungu kwa kusema ukweli kutokana na Biblia mwenye masikio na asikie kile Roho anena na kanisa

  • @Bénigne-k4x
    @Bénigne-k4x3 күн бұрын

    AMEEN,kile alichokisema ndugu Eric,niukweli kabisa mwanamke haitakiw kabisa kwenda madhabahuni kuhubili mimi nimwanamke Rakini neno halituluhusu,mapambo bandia tunakatazwa kabisa mapambo ni ile Roho ya yezebeli chakula cha umbwa,frère Eric Mungu akubariki saana sio ww ni neno laMungu,kwahiyo uko sahihi kabisa!mimi niko ww

  • @mossesmabulajr.3453
    @mossesmabulajr.345320 күн бұрын

    Amen,,,mamlaka ya mwisho ya mtu yoyote ni Biblia kitabu kisicho goshiwa Wala shaka yoyote. Ubarikiwe ndugu

  • @faithe4063
    @faithe406320 күн бұрын

    Hallelujah hallelujah hii ndio injili ya Yesu kristo

  • @annahasani7160
    @annahasani71609 күн бұрын

    Mh ubarikiwe sana moyo wangu umefurahi kwa uiumbe huu

  • @rahelngwavi5197
    @rahelngwavi519718 күн бұрын

    Nywele zako pia mwanamke huruhusiwi kusuka nneeno la Mungu linakataza katika 1 petro 3:3

  • @daisymuthoni675
    @daisymuthoni67519 күн бұрын

    Tangu nijue hii tv have changed a lot barikiweni Promover tv

  • @LucyKapinga-fg4dk

    @LucyKapinga-fg4dk

    18 күн бұрын

    Mungu yumwema

  • @AnnaLimbe
    @AnnaLimbe17 күн бұрын

    Amen mtumishi ndivyo inavyotakiwa mimi mwenyewe Mungu aliniambia mwanangu unahangaikia nywele ndipo aliponiambia ninyoe kwani ni utumwa huo pia biblia inasema ukipanda kwenye mwili utavuna uharibifu hakuna faida ni kupoteza tuu nataman hela ya kusukia ningetoa sadaka au kusaidia wengine ningebarikiwa shukran sana kwa ili kwa wanawake tuambizane lakin uchaguzi ni kila mtu binafsi 🙏🙏

  • @HalenBahati
    @HalenBahati15 күн бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Neno ni kweli na AMINA

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk20 күн бұрын

    Ameen Ameen nabarikiwa mimi

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w20 күн бұрын

    I wish our gospel musicians wangeachana na mawigi na ma lipstick,i like the way. Upendo nkone anavaa kwa videos zake though si zote.😢

  • @user-bq6jv2mh1e
    @user-bq6jv2mh1e18 күн бұрын

    Mchungaji , Unayosema ni kweli kabisaa.Nakuunga mkono kabisa kabisa.Nilikuwa sijasoma habari zako tangu sasa nitakuwa na kufuatilia sana.

  • @user-sc7sn1tb9c
    @user-sc7sn1tb9c20 күн бұрын

    Amen mtumishi Mbarikiwe Sana kwa wale ambao bado hawajaacha waache Mungu atusaidie Sana.

  • @HappyFlowers-ee8ru
    @HappyFlowers-ee8ru19 күн бұрын

    MUNGU akubariki sana sana mtumishi akupe maisha marefu na udumu ktk kufundusha ukweli BWANA YESU KRISTO atakulipa usiogope

  • @esterpeter8556
    @esterpeter855619 күн бұрын

    I lov you mtumishi wa Mungu, natamani kanisa ulimwenguni kote liwe na wachungaji wa aina hii.afu ndugu mtangazaji nae anahitaji kuokolewa

  • @EstherWayua-ke7kg
    @EstherWayua-ke7kg19 күн бұрын

    Ni bora kutii kuliko dhabiu,kweli kabisaaa

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w20 күн бұрын

    Nimebarikiwa sana na uyu mchungaji,acha Mwenyezi Mungu aendelee kukutumia.ukweli unaumiza,kibaya kinajitembeza,kizuri kinajiuza.

  • @faithe4063

    @faithe4063

    20 күн бұрын

    Amepakwa mafuta na Roho mtakatifu abarikiwe milele

  • @DeogratiusSsnga

    @DeogratiusSsnga

    20 күн бұрын

    Je kupaka nywele dawa nyeusibni kosa

  • @abigaelmwadena2262

    @abigaelmwadena2262

    20 күн бұрын

    Ameen wafundisha vyema sna barikiwa mtu wa Mungu kwa kutufungua macho 😢🎉

  • @faithe4063

    @faithe4063

    20 күн бұрын

    @@DeogratiusSsnga Mungu alikuumba kwa mfano wake kwa nini utumie vyombo za kishetani kupadilisha uzuri wako? Mbona usiritike na jinzi ulivyo umbwa na Mungu au aujui jinzi ulivyo ndivyo Mungu alivyo, kwa hiyo ukijipadilisha unamwambia Mungu aukuniumba vizuri which is ni makosa tujipende jinzi tulivyo maana huu mwili ni dhabiu iliyo hai mbele za mwenyezi Mungu ukitunza vyema

  • @user-px3mp2yl2b

    @user-px3mp2yl2b

    6 күн бұрын

    SHALOM MTUMISHI WA MUNGU! MTUMSHI HAWASIKII HATA WAMAMA WATUMISHI WANAJIPAMBA WAUMINI WANA SEMA MBONA MAMA MTUMISHI ANAJIPAPA? SEMENI NA WAMAMA WATUMISHI MUNGU AWASAIDIE

  • @janengaga2928
    @janengaga292814 күн бұрын

    MUNGU atusaidie atufunulie zaidi .maombi na utii ni silaha kubwa.

  • @user-bl5qj9tv9i
    @user-bl5qj9tv9i19 күн бұрын

    Kwa ruga nyepesi MUNGU anamtaka mwanadamu awe Kama alivyoomuumba yeye Kama Kuna mwanamke alizaliwa amesuka na aendelee kusuka aliyezaliwa na mapambo aendelee kwa wale wanaotaka kwenda mbinguni chukueni iyo ifike atua ukweli usemwe

  • @eliwanzitabonifasi4476
    @eliwanzitabonifasi447611 күн бұрын

    Ukweli ni ukweli hata kama unauma ila unaokoa,pasua injili usimwonee Yesu haya,na ukweli uuseme usifiche chochote, atakaye kubali na kutii atakula mema.

  • @jimmymwashambwa7364
    @jimmymwashambwa736420 күн бұрын

    Mungu akubariki umenyoosha kweli kweli

  • @espoirMlondani
    @espoirMlondani20 күн бұрын

    Amin mtumishi Mungu akuzidishiye katika jina la yesu kristo

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace737620 күн бұрын

    HALLELUA HALLELUA HALLELUA HALLELUA HALLELUA HALLELUA HALLELUA HALLELUA HALLELUA HALLELUA HALLELUA HALLELUA HALLELUA HALLELUAAAAAA ASANTE SAANAA YESU CHRISTO KWA MAHUBIRI 👏👏👏👏👏📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-qi5bf2br7z
    @user-qi5bf2br7z19 күн бұрын

    Mtumishi usikwepeshe ukweli imeandikwa si kwa kusuka nywele we umesema wasuke hata kusuka haitakiwi kabisa 7bu si waafrika tumeumbiwa nywele fupi si kama watu weupe so kwa kusuka unamwambia Mungu alikosea kukupa nywele fupi,unamkosoa Mungu kitu ambacho ni machukizo mbele za Mungu wanadam tubadilike tumrudie Mungu tusifuatishe namna ya Dunia hii Dunia itapita na mambo yaliyo katka Dunia Bali neno la Mungu litadumu milele.

  • @rerisamba
    @rerisamba20 күн бұрын

    Mtangazaji Yesu anakuona unavyo ufunika ukweli

  • @user-ci5vo6sb2h
    @user-ci5vo6sb2h6 күн бұрын

    Mbona makanisani wako wanatuubiria makanisani wanawake nawanava ivyohivyo😢 asantemtumishi

  • @SabinaEzekiel-vb5nh
    @SabinaEzekiel-vb5nh16 күн бұрын

    Ubarikiwe sana mchungaji, ila mtangazaji haujiamini kulikoni?

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku871816 күн бұрын

    Kiufupi mwanamke hafai kuvaa mavazi ya kiume

  • @AzenMalco-sd7cq
    @AzenMalco-sd7cq13 сағат бұрын

    Amen uko sawa

  • @ester7689
    @ester768920 күн бұрын

    Hapana mtumishi wa MUNGU neno limesema sio kwa kusuka nywele hivyo kwa mujibu wa maandiko hayo hata kusuka nywele za kawaida ni kosa

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    20 күн бұрын

    Si kwa kusuka nywele Tu??unaelewq Tu??

  • @faithe4063

    @faithe4063

    20 күн бұрын

    Mbona usisome mandiko? Imekataswa kusuka nywele kwa hiyo kama wewe ni mtu wa kusuka uamuzi ni wako utii neno la Mungu au ungojee jehanam Wacha kurekebisha mtumishi wa Mungu yeye ametoa andiko wewe ujeelewa nini hapo

  • @EsitaDavid2-wp1uf

    @EsitaDavid2-wp1uf

    20 күн бұрын

    Hakuna tu,,labda BIBLIA ya papa.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson721120 күн бұрын

    kwa kweli ni ya wakati wa mwisho ,kuna Uchafu mwingi

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku871816 күн бұрын

    Asante Sana mchungaji hasa kwa hali ya mapambo na wanawake kuwa wachungaji utafungua wengi sana

  • @LylianeBaumaLyly
    @LylianeBaumaLyly19 күн бұрын

    Ubarikiwe sanaaa mutumishi wa Mungu nimebarikiwa sana wanawake wengi hatusikii Mungu nisaidiye mm 😢😢

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk20 күн бұрын

    Yeremia 4 -30

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk20 күн бұрын

    Wafalme2-,9,30

  • @zipporahmibei9007
    @zipporahmibei900720 күн бұрын

    Asante sana kwa mafundisho haya

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika492118 күн бұрын

    My brother nakupa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-gv4jx2fp4u
    @user-gv4jx2fp4u19 күн бұрын

    Asante ni kweli

  • @ayubupeter2257
    @ayubupeter225719 күн бұрын

    Amina ni kweli tupu

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk20 күн бұрын

    Timotheo ya 1-2-9

  • @faithe4063

    @faithe4063

    20 күн бұрын

    Barikiwa zaidi

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc20 күн бұрын

    1Timotheo 2:8

  • @safiesperance2582
    @safiesperance258219 күн бұрын

    Amen 🙏 ni kweli

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z20 күн бұрын

    kwa kujipamba na nywele na kuunga mkono ni dhambi. Yesu alisema tufuate nia yake... sio ya kina paulo au mitume wengine. Kuna mahali Yesu alisema mwanamke hasihubiri? Mwanake kamzaa Yesu yaani kuhubiri neno lake ndio haruhusiwi? Mwanamke wa kwanza kuhubiri ni yule aliyekutana na Yesu kisimani... after ameelezewa dhambi zake na ukweli wote Yesu aliomwambi.. Mwanamke aliamka akauacha mtungi wake pale, akaenda mjini na kuwaambia watu," njooni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo? Huyo mama msamaria ndio akawa mwijilisti kwa wakati huo na kumbuka kwamba uijilisiti ndio unaozaa uchungaji. Kitu ingine Mungu anaabudiwa kwa roho na kweli. Hivyo basi rohoni hakuna uke wala uume. Na huo uke mnaouona uko kwa nje... Haya ufunuo 1: 6 inasema akatufanya sisi kuwa wafalme wake na makuhani wanaomtumikia Mungu, Baba yake. Alipojifanyia makuhani akusema waume au wake..... hii inamaana mwanaume na mwanamke rohoni ni same. Kwa sababu wanafunzi wa Yesu wa siku hizi wanapenda kuangalia kwa macho ya nje.... Isaya alitabiri kwamba Yesu "hatahukumu kwa mambo anayoona kwa macho yake, wala kukaripia kulingana tu na mambo anayosikia kwa masikio yake. Atawahukumu kwa haki watu wa hali ya chini. Isa.11:3-4. Hivyo basi kama wanawake wachungaji ndio wanafanya kanisa kufanana na kahaba mbona na wachungaji wakiume wanaruhusu mavazi ya kikahaba kwa sababu gani? Hivi leo hakuna wachungaji wa kiume ambao wanatumikia ufalme wa giza wamemuasi Mungu. Sote ni wafalme na makuhani wa Bwana katika roho. Kama unaona uchungaji kwa nje basi nikwambie hiyo ndio njia shetani anatumia kuwabadilishia agenda watumishi wa Mungu. Mbona ukihubiri kweli ya Mungu wataokoka tu.

  • @rosemarymwanitega7926

    @rosemarymwanitega7926

    19 күн бұрын

    Kwanza ni kweli wapo wanaume wachungaji wanaokosea hilo hatukatai kabisa pili yule mwanamke kisimani pale alifanya kazi kwa sasa tunaita uinjilisti kazi ambayo mwanamke yoyote aliyeokoka anatakiwa kuifanya kutangaza habari njema ya wokovu ila mwanamke kuwa mchungaji na askofu hilo hapana hakuna kitu kama hicho mwanamke anaruhusiwa kufanya uinjilisti nje ya madhabahuni mfano masokoni,mashuleni,barabarani,majumbani,stendi na sehemu nyingine na kuombea wagonjwa na kutoa pepo na kuwa nabii na kutoa ushuhuda kwa sababu hata katika barua za mtume Paulo anawasifu wanawake wengi tu aliokuwa anafanya nao kazi ya uinjilisti pamoja nae pia huwezi kusema tusifuate mafundisho ya mitume wengine hapana hao mitume waliitwa na Yesu na maandiko waliandika kwa Muongozo wa Roho Mtakatifu na sio akili zao kwaio hilo katazo ndo limeisha hivyo na ndiyo litakalo tuhukumu wana wake anyway muulize vizuri Roho Mtakatifu akufafanulie vizuri zaidi maana unaweza kuwa mwanamke mchungaji au askofu unayetumika kwa viwango na mwisho wa siku usinyakuliwe ila wanaosema mwanamke asitende kazi ya Mungu kabisa hapana wanakosea sote tunatakiwa kuvuna nafsi za watu na kuzipeleka kwa Kristo

  • @IdahNambelasiwala-qs3su
    @IdahNambelasiwala-qs3su19 күн бұрын

    Amen

  • @rerisamba
    @rerisamba20 күн бұрын

    Upo ushuhuda nimeuona wa Mai mahiu yale mafuriko yalikua hapo April mama mke wa mchungaji Mungu alimsaidia hakuigia kuzimu lakini Yesu alishika kichwa chake akamuuliza nini hii mbona mimi sikukuumba na hizi nywele hizi sio za kwangu utarudi utakapo rudi hebu zikate

  • @faithe4063
    @faithe406320 күн бұрын

    Ukweli kabisa

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk20 күн бұрын

    Mtumishi Ata Kusuka Nywele Za Kawaida Airuhusiwii mimi nilisikia sauti masikion mwangu na moyo pia kuzungumza Nyoa nyoa nilikuwa na dred zangu nywele yangu ya Asili lakini nilishuhudiwa sana Ninyoe tunapaswa sisi wanawake nywele tuzi tune tuu na kuchana kukufunika Kichwaa

  • @josykogei7647

    @josykogei7647

    20 күн бұрын

    Ukweli maandiko inasema ata nywele Yako tu usikunjekunje

  • @MariaMdemu-xt5cv

    @MariaMdemu-xt5cv

    20 күн бұрын

    Amina ,tunatakiwa tusichoange pembe za vichwa vyetu, kusuka, au style yeyote tusiweke bali tunyoe kawaida an kama tulivozaliwa na tukiwa kanisani tufunike vichwa kwa upande wa mwanamke.......hereni ,mikufu, bangili, vikuku, nk mapambo tisiyatumie

  • @v.o.gsoweto1530

    @v.o.gsoweto1530

    20 күн бұрын

    Wapendwa kulingana na Biblia mwanamke hatakiwi Kukata nywele yake maana amepewa hizo kuwa kama kifuniko

  • @user-sc7sn1tb9c

    @user-sc7sn1tb9c

    20 күн бұрын

    Na Mimi pia niliacha mapambo nikawa nasuka za kawaida,Ila Mungu akanikataza adi Sasa sisuki, naziosha tu Kila siku na kuzichana na zinakuwa vzuri tu utafikiri nasuka Yani hazikatiki kabisa

  • @LucyKapinga-fg4dk

    @LucyKapinga-fg4dk

    20 күн бұрын

    @@user-sc7sn1tb9c safi Barikiwa MTUMISHII

  • @JUMAMwambeule
    @JUMAMwambeule19 күн бұрын

    Wewe pastor, fuatilia mafundisho ya mtume MALIYABWANA muache kushikilia elimu ya theolojia wengi mmeacha njia ya kweli mliyoitiwa.

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli2120 күн бұрын

    Kwa Mafundisho hayo hata kujipaka mafuta ni dhambi,sio kweli mengine ni uongo

  • @faithe4063

    @faithe4063

    20 күн бұрын

    Endelea kubusia mandiko siku imekaribia Yesu kuja na utajipu yote maana alisema mkinipenda mutalishika nano langu kwa hiyo kama utii neno la Mungu wewe si wa Mungu Baba

  • @Houseofprayercentertz
    @Houseofprayercentertz16 күн бұрын

    TAFUTENI ROHO ZA WATU , ACHENI SIASA ZA MFUMO DUME!

  • @simonnjuguna612
    @simonnjuguna61213 күн бұрын

    What's the contact for the pastor Eric. You tube yake ni ipi?

  • @sarahkishaluli6087
    @sarahkishaluli608720 күн бұрын

    Mtangazaji sidhani kama huna la kusema ktk hayo, tusiukwepe ukweli, nyeupe nyeupe tu!

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli2120 күн бұрын

    Mbona Nyisaki wa Mbeya ni Askofu na Mungu anamtumia kwa viwango vikubwa zaidi yenu maana yake ni ni mengine sio kweli bana ombeni ktk Roho Mungu atawafunulia vizuri,Neno linasema enendeni Ulimwenguni mwote mkawafanye Mataifa wote kuwa Wanafunzi wangu

  • @AYOUBPAUL-255

    @AYOUBPAUL-255

    20 күн бұрын

    Unaweza kutumiwa kwa viwango na usinyakuliwe siku ya unyakuo au ukafa ukaenda kuzimu, fiata biblia sio mtumishi

  • @espoirMlondani

    @espoirMlondani

    20 күн бұрын

    Bibilia ndio kweli nasi atuko kwakufwata wa watumishi Bali neno neno amin

  • @rosemarymwanitega7926

    @rosemarymwanitega7926

    19 күн бұрын

    Soma Neno la Mungu vizuri mpendwa unaweza tumiwa kwa viwango vya juu na usinyakuliwe kwa sababu hukufuata Neno na ndio litakalotuhukumu maana ndiyo sheria yetu na kumbuka Yesu alisema sio kila asemaye Bwana Bwana ataingia katika ufalme wake mwanamke anakatazwa kuwa mchungaji na askofu tu ila kuwa nabii,kutao ushuhuda na kufanya uinjilisti nje ya Kanisa au madhabahuni ni ruksa sio asitende kabisa kazi ya Mungu

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    18 күн бұрын

    @@AYOUBPAUL-255 kinachozuia mtu asiende mbinguni ni dhambi tu,kama hauna ushirika na Mungu si mwamke kutumika.nyinyi shida yenu mnachanganya vitu viwili sheria na Neema.soma maandiko muache ujinga.

  • @eliwanzitabonifasi4476

    @eliwanzitabonifasi4476

    11 күн бұрын

    Exactly 💯

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc20 күн бұрын

    Mwanzo 38;11-15

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk20 күн бұрын

    Danieli 3,21

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc20 күн бұрын

    1 wakorintho 14:35

  • @sakongjohnson-bf9wb
    @sakongjohnson-bf9wb13 күн бұрын

    Huyo mchungaji anahijika shule ya biblia sana.

  • @Houseofprayercentertz
    @Houseofprayercentertz16 күн бұрын

    WENGINE WAVA VIZURI UNAVYOTAKA LAKINI WANAFIKI, TENA WABAYA HATARI

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc20 күн бұрын

    1Timotheo 2:10

  • @mwaminimwangaza
    @mwaminimwangaza19 күн бұрын

    Biblia iko wazi sio kwa kusuka nywele , zamani hapakuwa wigi au rasta , wewe unasema wasuke ila wasiweke wigi na rasta, tunahitaji Roho mtakatifu kwa ajili ya kuelewa maandiko

  • @augenmagabila3081

    @augenmagabila3081

    18 күн бұрын

    KUSUKA NYWELE, HAPANA, HUWEZI KUTUNZA NYWELE KWA KUSUKA. Ila acha tusubirie ile siku ya Bwana, maana watu wanataka waje wamsikie YESU akisema kusuka ni dhambi au kuvaa suruali ni dhambi, Lakini ile siku ya Bwana, ya hukumu ya ulimwengu wote na wanadamu wa kila taifa,kila lugha,kila kabila, na kila rangi, hakuna hata mtu mmoja atakayefungua kinywa chake aseme nilisuka ili kutunza nywele au mwanamke atasema nilivaa suruali kwa sababu kazini walisema tuvae suruali au kulikuwa na baridi, Hayupo hata mmoja kwa sababu ufahamu wake utakuwa mkubwa na hata yeye ataona haya kujitetea kwa sababu hilo sio jibu . Mwanamke uliyeokoa na mwanaume uliyeokoka acha na fundisha haya mambo, asiyekusikia hasa wa nyumbani mwako mwache, hutahkumiwa wewe ila yeye atahukumiwa.

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka846919 күн бұрын

    Mi nauliza je wanaume mnaruhusiwa kuvaa suruali,mbona Yesu hakuna mahali alivaa suruali ilikuwa ni kanzu,na kunyoa kiduku vp hapo?😊

  • @user-ss8mn8wu5r

    @user-ss8mn8wu5r

    17 күн бұрын

    Ulimuona??

  • @MiltonKalume

    @MiltonKalume

    16 күн бұрын

    Jibu ni kwamba suruali tumejua ni za waume

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc20 күн бұрын

    Danieli 3:21

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest64618 күн бұрын

    Promover mnachanganya watu,leo mnaleta watumishi wanawake wanaoitwa na Mungu na sasa mnaleta wanaosema mwanamke harusiwi kuwa mchungaji,hivyo nini kiaminiwe natamani uweke mdaharo ili tuchambue tujue mke kuwa mchungaji ni dhambi au siyo dhambi.Neno la Mungu linahitaji kujua mazingira,kusudi la Paulo kusema hivo kulikuwepo shida gani,walichukuliaje wanawake,je sisi tuko kwenye mazingira gani,tunachukuliaje wanawake kimila na kidesturi.Paulo huyohuyo kuna mahali anawambia Neno la Mungu Linaua na kuisha.someni mtaondokana na laana ya torati.

  • @ChikondiMadaliso

    @ChikondiMadaliso

    12 күн бұрын

    Je hata skini taiti iriyo ndefu nimbaya?

  • @neemakawogo5479
    @neemakawogo547919 күн бұрын

    Series pia biblia imekataa kwenye timotheo anasema msiangalie hadithi zisizoisha

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc20 күн бұрын

    2wafalme 9:30

  • @Choleta_Charles

    @Choleta_Charles

    19 күн бұрын

    Mapambo ni Roho ya yezebeli.

  • @faithe4063
    @faithe406320 күн бұрын

    Mwanzo 38 v 11

  • @JoramKasenga-ig2gk
    @JoramKasenga-ig2gk20 күн бұрын

    Mwanamke kuhubiria anahubiri ila sio kuchunga kabisa na akihubiri mandiko yamempa vigezo awe kuwa akiwa anahutubu afunike nywele na anapoomba afunike nywele kumbuka huyo mwanamke ambaye yuko na mme ila kama ni mwanamwali hio Sheria ya kufunika haimfungi

  • @faithe4063

    @faithe4063

    20 күн бұрын

    Umesoma 1 Corinthians 14 v 34 ,35 umesoma kweli au unakana mandiko 1 Timothy 2v 9 to 15 heri Mtu yule anaye tii mandiko

  • @lilianndete1735
    @lilianndete173519 күн бұрын

    Hakuna kushuka nywele kabisa hata ya kwako 1Timotheo 2:9

  • @juliaannenderitu

    @juliaannenderitu

    16 күн бұрын

    So wat should one do then

  • @hoseamasogi1946
    @hoseamasogi194616 күн бұрын

    Sasa mbona kusuka umeharalisha uruhusu na suruali maana vyote ni kitu kimoja kusuka nyele haijaandikwa kwa nywele bandia tu inamaana hilo limekushinda maana utafukuza wengi kanisani hubiri kweli.bora wakuite mshamba kwa kusema kweli.wasuke msuko gani sasa.

  • @JoramKasenga-ig2gk
    @JoramKasenga-ig2gk20 күн бұрын

    Debora alikuwa nabii sio kuhani mchungaji ni kuhani

  • @emmanuelsunday8325

    @emmanuelsunday8325

    20 күн бұрын

    Ufunuo 5:9

  • @nyangiboke
    @nyangiboke20 күн бұрын

    Nikuulize mtumishi anayenena Kwa rugha na anawigi kichwani ie

  • @Choleta_Charles

    @Choleta_Charles

    19 күн бұрын

    Kunena Kwa lugha hakukufanyi Kuonyesha kwba huyu ni Mtumishi wa MUNGU. Maana hata shetani ana Nena Kwa lugha pia. Na kunena Kwa lugha siyo mazoea....hiyo huja automatic.... Kikubwa nakusihi jitahidi U SOME NENO. ipo hukumu pia km husomi NENO, na pia ukisoma NENO na ukalieweka na likakaa ndani ya moyo wako, ndyo Roho wa MUNGU anajaa ndani Yako. Maana MUNGU/NENO ni ROHO , Hvyo bila NENO hakuna Roho

  • @user-pu8vf3xt8o
    @user-pu8vf3xt8o20 күн бұрын

    Hivi Debora si alikuwa mwamuzi katika Israel je si aliamua wote wanaume na wanawake Sasa hili limekaaje

  • @annabyekwaso-wt7oi

    @annabyekwaso-wt7oi

    20 күн бұрын

    Mungu sio mwanamke walamwanaume Mungu niroho nao wamwabudio imewapasakumwabudu ktk roho.Sasa kama neno linasema wanawake wahubirio injilinijeshi kubwa je neno linajipinga?na pia yoel anasema siku za mwisho wanawake watatabiri je watatabiri wakiwa wapi na km sio madhabahuni,na kutabiri ni kulisema neno la Mungu,hzi ni siku za mwisho wapendwa,mafundisho mengi ya uongo yatatokea yumkini ht kanisa kukumbwa kwenye ouvu huo ndo maana neno linasema siku za wateule zitafupishwa.

  • @user-pu8vf3xt8o

    @user-pu8vf3xt8o

    20 күн бұрын

    @@annabyekwaso-wt7oi kwenye hili hata mimi nimeshimdwa kumuelewa huyu MCH maana Deborah alikuwa mwamuzi na ni mwanamke

  • @rosemarymwanitega7926

    @rosemarymwanitega7926

    20 күн бұрын

    Ndiyo alikuwa nabii na hata mwanamke hakatazwi kutoa unabii, ushuhuda na kufanya uinjilisti nje ya kanisa mfano majumbani,barabarani,mashuleni sokoni sehemu nyingine hakatazwi kabisa ila tu marufuku mwanamke kuwa mchungaji wa kanisa au askofu hilo ndiyo kosa ila nje ya madhabahu ni ruksa

  • @v.o.gsoweto1530

    @v.o.gsoweto1530

    20 күн бұрын

    Hakuna mahali Biblia inasema wanawake ni Jeshi kubwa ukitaka uhalisia soma ya kiingereza utaona wametafsiri vibaya. Halafu kuhusu Deborah kulikuwa na Baraka nyumba yake. Soma maandiko utaona. Halafu Kama Mungu ni Roho na NENO lake ni la Kiroho sasa inabidi kuwa wa Kiroho kulielewa. Ikiwa Neno limesema wanaume na wasalishe kila mahali inabidi yule wa kiroho alipokee maana Roho humtii Roho

  • @user-pu8vf3xt8o

    @user-pu8vf3xt8o

    20 күн бұрын

    @@v.o.gsoweto1530 hapo kwenye kuhusu Deborah sijakuelewa ulichoandika

  • @danfordobadiah
    @danfordobadiah19 күн бұрын

    Upo.vizuri.ila.mazingira.ya.kutumia.hermenutics.imekuweka.pembeni.mfano.umessage.nenough.natuaral.kwani.nguo.za.Adamu.na.Hawa.zilikuwa.zipi.sikupingi ila ukifaulu kujua.asili.ya andiko nani.lini.nini.sisi.leo.utafaulu.vizuri.sana.hoja.hizo.

  • @neemakawogo5479

    @neemakawogo5479

    19 күн бұрын

    Tupe maandiko tukuelewe usilete mawazo Yako kuna andiko na neno la Mungu

  • @faithe4063
    @faithe406320 күн бұрын

    Camera Man next time uwache kutetemeka mkono

  • @naomikangangi4480

    @naomikangangi4480

    20 күн бұрын

    😅

  • @faithe4063

    @faithe4063

    20 күн бұрын

    @@naomikangangi4480 ukweli anatetemeka ni kama anaogopa

  • @user-pu8vf3xt8o
    @user-pu8vf3xt8o20 күн бұрын

    Hapo kwenye mavazi ya thamani huwa pananichanganya inamaana wanawake wasinunue mavazi ya gharama kubwa? Nahisi kuna muktadha (context) nyuma ya haya maandiko

  • @zipporahmibei9007

    @zipporahmibei9007

    20 күн бұрын

    Yani mafasi ya kiasi

  • @JUMAMwambeule

    @JUMAMwambeule

    19 күн бұрын

    Mavazi ya gharama huleta majivuno, hata Sulemani hakuvaa vazi la gharama.

  • @user-yt8zp7rg8u

    @user-yt8zp7rg8u

    13 күн бұрын

    Hapo Hana maana tusivae mavazi ya gharama anamaanisha kuwa tusivae Kwa kujionyesha Yani kutaka kujionyeaha Kwa watu sii Kwa faction tunavaa hata Kama ni ya gharama lakin Kwa kumheshimu Mungu

  • @user-yt8zp7rg8u

    @user-yt8zp7rg8u

    13 күн бұрын

    Tusivae Kwa kujionyesha

  • @user-cn7vz6ye1i
    @user-cn7vz6ye1i20 күн бұрын

    Kwa hiyo mwanamke kuhuburi injili ni mbaya??

  • @LucyKapinga-fg4dk

    @LucyKapinga-fg4dk

    20 күн бұрын

    Kuwa Mchungaji atariii

  • @annabyekwaso-wt7oi

    @annabyekwaso-wt7oi

    20 күн бұрын

    Sio dhambi walaaa,bibilia imesema wanawake wahunirio injili ni jeshi kubwa sasa hiyo injili atahubiria wapi km sio madhabahuni.Yoel alisema siku za mwisho wanawake watatabiri na kutabiri ni kulisema neno la Kristo,sasa huyo mwanamke atatabiria wapi!je Mungu ni mwanamke au mwanamme,neno linasema Mungu ni rohp na hao wamwabudio watamwabudu ktk roho na kweli.leo watumishi wa uongo wanachomoa maandiko kulitisha kanisa na ili watumishi wa kweli wapungue ili waongo wachukuw nafasi,Neno uuua roho mt ulihuisha ,pia injili za paulo zilikuwa zinakemea kanisa la korinto lilikuwa limejaa fujo.Ndo maana kwenda thiologia pia usaidia kujua waliondika ilikuwa ni nyakati zipi na zipi,Roho mt acha aliongoze kanisa lake .Nyakati tulizonazo ni zahatari,badala kuhubiri watu kuacha dhambi wanaingilia vitu vidogo wananyofoa maandiko ili kutosha watu.

  • @rosemarymwanitega7926

    @rosemarymwanitega7926

    20 күн бұрын

    Mwanamke anaruhusiwa kutoa unabii,ushuhuda,na kufanya uinjilisti nje ya Kanisa na siyo madhabahuni ni marufuku mwanamke kuwa mchungaji au askofu ila huduma nyingine anazifanya sio asifanye kabisa hapana

  • @PatricisAmani-ip4pm

    @PatricisAmani-ip4pm

    20 күн бұрын

    Kuhubiri au kufundisha je?​@@rosemarymwanitega7926

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk20 күн бұрын

    kumbukumbu la torati 22

  • @AnnaNgobola-pm7fz
    @AnnaNgobola-pm7fz20 күн бұрын

    Wana wa israel walitowa helenl za dhahabu walipotengeneza ndama hayakuwa mapambo acha kuiangalia biblia upande mmoja

  • @v.o.gsoweto1530

    @v.o.gsoweto1530

    20 күн бұрын

    Jambo la kwanzaa inabidi ujue Israel alikuwa wapi wakati anahizo heleni na mapambo? Alikuwa misiri mahali penye mchanganyo ndiyomaana aliendeleza hata uzinzi.

  • @JUMAMwambeule

    @JUMAMwambeule

    19 күн бұрын

    Sasa nini kiliwatokea? maana ilikuwa ni miungu hivyo hupaswi .

  • @njombehc
    @njombehc20 күн бұрын

    kusuka haitakiwi mtumishi iwe nywele ya asili su rasta

  • @HappyFlowers-ee8ru
    @HappyFlowers-ee8ru19 күн бұрын

    MUNGU akubariki sana sana mtumishi akupe maisha marefu na udumu ktk kufundusha ukweli BWANA YESU KRISTO atakulipa usiogope

  • @annabyekwaso-wt7oi

    @annabyekwaso-wt7oi

    18 күн бұрын

    Kumbuka neno uua lkn Roho uhuisha,paulo alikuwa mtume na alionya sana kanisa la korintho maana lilikuwa linajichanganya,kwa fundisho hilo ysiwafanye wengi kulaza vipawa vyao,ikiwa Mungu alimwamini mwanamke kuweka mwokozi kwenye tumbo lake na kupitia huyo ulimwengu ukaokolewa leo hii iweje aibu kwa mwanamke kumtumikia Mungu,wengi mnadharau vyuo vya bibilia ila maarifa ni mhimu pia kila neno ulikijua liliandikwa kwa kusudi lini na waandishi waliandika kwa msaada wa Roho wa Mungu,hyo Roho ataliuhuisha kwako na liwe msaada kwa wengi.

Келесі