Part2_USHUHUDA WA MCH.FRANK ALIYEKUWA KICHAA KWA MIAKA 3 YESU AKAMUOKOA AKIWA KWA SANGOMA MIEZI 6

#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 47

  • @tamarali8325
    @tamarali83253 жыл бұрын

    Mungu amejaa Neema na Rehema. Tunamshukuru Mungu kwa Uponyaji wako mtumishi wa Mungu. Jacktan Barikiwa sana kwa mafundisho haya. Barikiwa

  • @tantinemwemendi8790
    @tantinemwemendi87903 жыл бұрын

    Mungu akutunze mtumishi wabwana

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729Ай бұрын

    Mtumishi Barikiwa Sanaa

  • @mshambawayesu
    @mshambawayesu3 жыл бұрын

    Amennnn, Hakika Mungu ni Mwema sana

  • @mutabirwakashasha5428
    @mutabirwakashasha54283 жыл бұрын

    Neema ya Mungu bado inatenda kazi. Mungu ni mwema ametuokoa kwa upendo wake. Yesu Kristo ni mwema sana.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @tamarali8325

    @tamarali8325

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz Amen

  • @joelmutie2149
    @joelmutie2149 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana

  • @mussaphodogo1146
    @mussaphodogo11463 жыл бұрын

    Amina Kila kitu kikubwa huanza kidogo kidogo

  • @joelongamo
    @joelongamo3 жыл бұрын

    Mungu abudiwe

  • @Monika-cp2gk
    @Monika-cp2gk3 жыл бұрын

    God is good...all the time...

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai46913 жыл бұрын

    Atukuzwe mungu awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu; atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu hata vizazi vyote vya milele na milele. Amina Mungu awe nawe mtumishi na akutie nguvu zaidi na zaidi. Barikiwa sana Mr Jacktan you're God's chosen vessel. You are Blessed to be a blessing to others.🙏🙏🙏🙏 From Kenya nafuatilia kazi nzuri inayofanyika P. TV na mungu awainue kuliko station ingine ile.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen, asante na ubarikiwe pia

  • @benjamenshepa1000

    @benjamenshepa1000

    3 жыл бұрын

    Sasa jacktan mbona ushuhuda wa yule mama wa kigoma aliyekufa akafufuka ulikaa kimya

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Ipo siku tutauleta, endelea kufuatilia

  • @sheillahwairai4691

    @sheillahwairai4691

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz Ameen am happy to hear that 🙏🙏🙏🙏

  • @sheillahwairai4691

    @sheillahwairai4691

    3 жыл бұрын

    @@PromovertvTz Amen 🙏🙏🙏

  • @ruthfasha7166
    @ruthfasha7166 Жыл бұрын

    Asante Yesu wetu

  • @liesharehema5193
    @liesharehema51933 жыл бұрын

    Waganga wote watangaziwe maombi yahukumu waanguke nakufaaaa yaani fireee🔥🔥🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @josephmusagasa5566

    @josephmusagasa5566

    3 жыл бұрын

    Siyo waganga waanguke na kufa,unapaswa kuwaombea ili wafunguliwe na kuokoka,maombi ya jinsi yako ni dhambi,soma Biblia vizuri

  • @liesharehema5193

    @liesharehema5193

    3 жыл бұрын

    @@josephmusagasa5566 pole sana mganga ninani sinimchawi haya biblia inasema usimwache mwanamke au mwanaume mchawi kuishiiiiii uko dunia yangapi

  • @josephmusagasa5566

    @josephmusagasa5566

    3 жыл бұрын

    @@liesharehema5193 Yesu hakuja kuangamiza bali kuziokoa Roho zilizopotea,kwa uelewa wako kila aliyepotea afanyiwe maombi ya kuangamiza na kuuawa,sijui Kama wewe ni mwema kiasi gani,wasaidie waganga na wachawi kumjua Kristo,kuzijua dhambi zao na kutubu,usiwe hivyo kwani hata Kristo hakuwa hivyo. Pili,usomapo Biblia kuwa makini ili uelewe msingi wa Yesu Kristo wa kuwafia wadhambi,ubarikiwe

  • @liesharehema5193

    @liesharehema5193

    3 жыл бұрын

    @@josephmusagasa5566 na wewe ubarikiwe sana ila mimi kwakweli kwaupande wa waganga, wachawi sina unachoweza kunieleza maana wanaua watu wanafanya watu kuwa vichaa sasa hapo niambie nenda wewe kawahubirie waokoke nawengine wanazuia injili yamungu isiende mbeleee nasema wafeeeeeee

  • @josephmusagasa5566

    @josephmusagasa5566

    3 жыл бұрын

    @@liesharehema5193 Biblia inatuambia kuwa kuna Amri kumi za Mungu kwa wanadamu,na katika zote hii ndiyo iliyo kuu "UPENDO" Mpende Mungu wako kwa ..................na Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hivyo usipende nafsi ya mtu mwingine iangamie,hivyo fanya yote lkn Upendo ni silaha kuu katika imani ya mkristo

  • @liesharehema5193
    @liesharehema51933 жыл бұрын

    Songa mbele kaka yangu hata mimi mungu anazungumza na mimi kila siku kuwa nijamtumikie nikiingia tu kwenye maombi sauti yamungu huwa inazungumza kabisaaa

  • @annkim2690
    @annkim26903 жыл бұрын

    Huyo Bibi Mimi ningependa kumjua kweli jamani Jacton fanya umhoji huyo Bibi atupee mafunzo kidogo

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    3 жыл бұрын

    Amen,siku moja tutamtafta

  • @Monika-cp2gk
    @Monika-cp2gk3 жыл бұрын

    Halleluyah be thy name

  • @sarahmsangi7243

    @sarahmsangi7243

    3 жыл бұрын

    Haleluyaaaaa

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured41293 жыл бұрын

    Yesu wa ajaabu

  • @kimcash3079
    @kimcash30792 жыл бұрын

    Jactan tafuta mkewee na bbi yke Watakuwa na mengi ubarikiwe

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @user-me3ee4fu8w
    @user-me3ee4fu8w2 жыл бұрын

    Jacton nipee number ya huyu mtumishi nili isave lakini nikama ilipotea plz

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    +255782456257‎‎

  • @user-me3ee4fu8w

    @user-me3ee4fu8w

    2 жыл бұрын

    Be blessed

  • @sarahmsangi7243
    @sarahmsangi72433 жыл бұрын

    Nipo nasikiliza nikiwa arusha sinoni hapa promover mbarikiwe

  • @safinajacob9024

    @safinajacob9024

    2 жыл бұрын

    Akika akuna kama mungu

Келесі