#live
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 59
Hakika unafungua wengi kwa mafundisho yako.Barikiwa sana. Wapendwa tumtafite Mungu hakika anapatikana.
Amen sifa zote ni kwa Bwana yesu kristo na kwa utukufu wa Mungu Baba piga kazi mtumishi
Ubarikiwe sana mtumishi
Kwa kweli mchungaji MUNGU akiubariki saaanaa! Binafsi MUNGU mekutumia wewe kuwa kupitia wewe kiimani niinuke vile tuuu nnavyo sikiliza mahubiri yako! ✊✊👐👐
Baba Mungu akubariki sana kwa huduma ashukuriliwe Mungu juu ambaye amemfichua Siri za shetani
Karibu Sana Arusha mtumishi Amiel na Tim yote, nawapenda sana, amina.
Amen Asante kwa mafunzo mtumishi wa Mungu zidi kubarikiwa pamoja na promover TV ujumla
Mungu naomba unisaidie nkutumikie
Mungu akubariki na akutunze Kwa ajili ya ufalme wa Mungu kazi Yako ni njema. Unatuongezea maarifa sisi makamanda wa Yesu
@pamelaogano5220
6 ай бұрын
Mungu azidii kupa nguvu mtumishi wa mungi
Mungu naomba unipe mwsho mwema
Ameni Ubarikiwe mtumishi kupitia neno tunazidi kufunguliwa
Amen amen jina la bwana lipewe sifa, nabarikiwa nkiwa saudi arabia n ubarikiwe mtu wa mungu
@zawadikazungu961
Жыл бұрын
Pamoja tuning from Saudi
Hakika Bwana amefanya jambo jipya ,smekuthibitisha umegusa wengi, Bwana akutunze, katika wewe tutashinda ba zaidi ya kushinda, barikiwa
Aminaaa Mtumishi wa MUNGU, MUNGU azidi kukutunza
Mungu ndie alikutuma uende kumsaidia huyo mama kweli Mungu nimwema sana
Ameen!! Nabarikiwa sana
AMINA AMINA
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi emiel Mimi Niko Mombasa niombe
Amen asante YESU CHRISTO 🙏🙏🙏
AMEN karibu Mtwara Mtumwa wa Yesu
Amen and Amen
Zaburi 105mstari 37 hausemi hivvyo watumishi
Amen amen nimembalikiwa sana sana naomba maombi sana sana Kwa familia yangu Niko kenya
Una kazi mtumishi kweli
Ubarikie sana mtumishi wa mungu
Hallelujah 🙏🙏🙏
Mtumishi Mungu akubariki sana
Mungu akulinde Tena natena
Amina mtumishi
Amen
❤Ameeeeren
Amen. Naomba number ya Mchungaji Emieli
@PromovertvTz
Жыл бұрын
0756275511 Mch.Amiel Katekela
Mchungaji Ka mm imgn nko karibu kuchoka kukutafuta kwa sababu hupokei simu, unasoma voice unanyamanza aaaaaiiiii!
@hancymbarikiwa7975
Жыл бұрын
Msamehe Mtumishi Bure, mda mwingi anakuwa anahidumia watu, usichoke kumtafuta upo wakati utampata akiwa free, mda mzuri ni kuanzia saa 3 usiku anakuwa amemaliza huduma
@ayubu_podcast
Жыл бұрын
Usichoke kumtafta Bwana anza Kujifunza kuomba kwanza maana hata ukimpata mchungaji kama ww mwenyewe hauko tayali itakuwa kazi bure.
@amosdaniel4596
Жыл бұрын
Kuwa na subra tu wakat wako bado ....jua nae anatafuta sana
@williamchihami4763
Жыл бұрын
@@amosdaniel4596 mtafute kanisani kwake tumia gharama yoyote kumpata
huyo jamaa anaepiga piga kinanda Anatutoa kwenye uwepo... kwanini asimuache mtumishi akahubiri kwa utulivu...
NAHUMUMU MADHABAHU ZA KICHAWI MA MHURI YA KICHAWI NA MAAGANO YOTE NA ROHO ZOYE ZA KICHAWI.
Ameeeeeeen mtumishi wa MUNGU
anzisha kipindi cha maombi ya watu wa nje ya nchi
Naomba namba ya mchungaji wa ukonga
@PromovertvTz
Жыл бұрын
+255621010304
Baba hata Mimi mama yangu ni kichaa wa miaka mingi tangu mwaka 2000 mpaka Sasa ulipo
@trophywilson7211
Жыл бұрын
yoo Mungu amfungue hakika
Msafili mbona image zinagandaganda
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Tumerekebisha sasa
@sarahbisendo5254
Жыл бұрын
Naomba namba yatumishi waukonga
Hivi mkristu wa leo pamoja na kuhubiriwa kweli ya Mungu wetu, Bado anaamini ktk uchawi hadithi za kufikirika na vitisho vya watu waongo, matapeli, wanaotafuta mkate wao wa kila siku kwa njia hizo danganyifu kana kwamba kazi ya Yesu kristo ilikuwa ni Bure! Tujitambue kuwa tulishakombolewa na Damu ya thamani, ili tunaijua kweli inayotuweka huru. Je kuugua au kufa, ni laana ya kulogwa na dawa za miti shamba, mapepo, au majini? Mbona hata hao wahubiri maarufu wa aina hiyo wa enzi hizo (Mosesi kulola, lazaro na wengine nisio wajua) waliugua, wakalazwa hospitalini na hatimaye kufa? Mbona watoto wachanga(wasio na hatia/watakatifu),akina Abrahamu, Musa Isaka, Yakobo, Daudi Elia, Elisha, Samsoni, Petro, Paulo, Tomasi, Yohana, Matayo, Luka na wengine waliugua,wakateseka kwa magonjwa hatimaye kufa? Hawakuwa na Mungu ndani Yao? Mbona tunawapa nafasi matapeli kuhangaisha nafsi na dhamiri zetu? Hivi Mungu/Yesu kristo anawasikiliza zaidi wao(wahubiri matapeli) kuliko sisi? Tusemeje basi? Pazia la Hekalu lilipasuka Bure? Hatutaki kufa? Kwa nini tuliletwa hapa Duniani? Mbona twayachunguza maandiko matakatifu kwa tafsiri potofu kana kwamba ndimo ulimo uzima wetu? Naomba mjadala huu uchukue nafasi mioyoni mwetu ili tuijue kweli na kujiweka huru. Nipo tayari kwa mahojiano ya ana kwa ana na yeyote. Na.yangu ya simu: 0754387546. 18:22 19:40
@DIGNAJASTIN-dl8yj
10 ай бұрын
Wew tuache tumsikilize mtumishi wa Mungu kama hutaki usimfuatilie achana naye kabisa
@user-xd9kw6nt8w
14 күн бұрын
We amini kuwa hakuna uchawi acha walikuwa wachawi na Mungu akawaokoa kutoka na wao ndo walikuwa walogaji wazuri mpaka kanisani kuwaharibu waumini na wachungaji wao acha atufundishe namba wanafanyaga
Jacktan mbona picha inagandaganda
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Kumradhi,ni matatizo ya kiufundi, tutarekebisha leo itakuwa poa
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
@@PromovertvTz ok asante
@sarahchiwamba6038
Жыл бұрын
Asante
@dadafrida9202
Жыл бұрын
Naomba number ya mtumishi katekela