#live

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 59

  • @flavianarwebangira6726
    @flavianarwebangira6726 Жыл бұрын

    Hakika unafungua wengi kwa mafundisho yako.Barikiwa sana. Wapendwa tumtafite Mungu hakika anapatikana.

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba44136 ай бұрын

    Amen sifa zote ni kwa Bwana yesu kristo na kwa utukufu wa Mungu Baba piga kazi mtumishi

  • @israelmlabwa9783
    @israelmlabwa97833 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @gracendola7195
    @gracendola7195 Жыл бұрын

    Kwa kweli mchungaji MUNGU akiubariki saaanaa! Binafsi MUNGU mekutumia wewe kuwa kupitia wewe kiimani niinuke vile tuuu nnavyo sikiliza mahubiri yako! ✊✊👐👐

  • @Zawad-nd7yi
    @Zawad-nd7yi Жыл бұрын

    Baba Mungu akubariki sana kwa huduma ashukuriliwe Mungu juu ambaye amemfichua Siri za shetani

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam5390 Жыл бұрын

    Karibu Sana Arusha mtumishi Amiel na Tim yote, nawapenda sana, amina.

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Жыл бұрын

    Amen Asante kwa mafunzo mtumishi wa Mungu zidi kubarikiwa pamoja na promover TV ujumla

  • @LENAHKAVUTHAOFFICIAL
    @LENAHKAVUTHAOFFICIALАй бұрын

    Mungu naomba unisaidie nkutumikie

  • @genevievesunday
    @genevievesunday11 ай бұрын

    Mungu akubariki na akutunze Kwa ajili ya ufalme wa Mungu kazi Yako ni njema. Unatuongezea maarifa sisi makamanda wa Yesu

  • @pamelaogano5220

    @pamelaogano5220

    6 ай бұрын

    Mungu azidii kupa nguvu mtumishi wa mungi

  • @yusterlucass
    @yusterlucass2 ай бұрын

    Mungu naomba unipe mwsho mwema

  • @gradyskamwela6163
    @gradyskamwela6163 Жыл бұрын

    Ameni Ubarikiwe mtumishi kupitia neno tunazidi kufunguliwa

  • @user-kn3lh1co6u
    @user-kn3lh1co6u Жыл бұрын

    Amen amen jina la bwana lipewe sifa, nabarikiwa nkiwa saudi arabia n ubarikiwe mtu wa mungu

  • @zawadikazungu961

    @zawadikazungu961

    Жыл бұрын

    Pamoja tuning from Saudi

  • @malulamuhoja1692
    @malulamuhoja1692 Жыл бұрын

    Hakika Bwana amefanya jambo jipya ,smekuthibitisha umegusa wengi, Bwana akutunze, katika wewe tutashinda ba zaidi ya kushinda, barikiwa

  • @bintmwambapa7734
    @bintmwambapa7734 Жыл бұрын

    Aminaaa Mtumishi wa MUNGU, MUNGU azidi kukutunza

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 Жыл бұрын

    Mungu ndie alikutuma uende kumsaidia huyo mama kweli Mungu nimwema sana

  • @sundayherrieth9460
    @sundayherrieth9460 Жыл бұрын

    Ameen!! Nabarikiwa sana

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Жыл бұрын

    AMINA AMINA

  • @lilymwasi1221
    @lilymwasi1221 Жыл бұрын

    Amen 🙏🙏🙏 mtumishi emiel Mimi Niko Mombasa niombe

  • @bebebebe9269
    @bebebebe9269 Жыл бұрын

    Amen asante YESU CHRISTO 🙏🙏🙏

  • @user-mq3sn3zf1e
    @user-mq3sn3zf1e7 ай бұрын

    AMEN karibu Mtwara Mtumwa wa Yesu

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Жыл бұрын

    Amen and Amen

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 Жыл бұрын

    Zaburi 105mstari 37 hausemi hivvyo watumishi

  • @alice4720
    @alice4720 Жыл бұрын

    Amen amen nimembalikiwa sana sana naomba maombi sana sana Kwa familia yangu Niko kenya

  • @florencemueni1183
    @florencemueni1183 Жыл бұрын

    Una kazi mtumishi kweli

  • @nyasabatubae2875
    @nyasabatubae2875 Жыл бұрын

    Ubarikie sana mtumishi wa mungu

  • @ayubu_podcast
    @ayubu_podcast Жыл бұрын

    Hallelujah 🙏🙏🙏

  • @DIGNAJASTIN-dl8yj
    @DIGNAJASTIN-dl8yj10 ай бұрын

    Mtumishi Mungu akubariki sana

  • @JaneKuyokwa
    @JaneKuyokwa Жыл бұрын

    Mungu akulinde Tena natena

  • @esterswepa4735
    @esterswepa4735 Жыл бұрын

    Amina mtumishi

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Жыл бұрын

    Amen

  • @naikekangele7117
    @naikekangele7117 Жыл бұрын

    ❤Ameeeeren

  • @rabinzsinoya1434
    @rabinzsinoya1434 Жыл бұрын

    Amen. Naomba number ya Mchungaji Emieli

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    0756275511 Mch.Amiel Katekela

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Жыл бұрын

    Mchungaji Ka mm imgn nko karibu kuchoka kukutafuta kwa sababu hupokei simu, unasoma voice unanyamanza aaaaaiiiii!

  • @hancymbarikiwa7975

    @hancymbarikiwa7975

    Жыл бұрын

    Msamehe Mtumishi Bure, mda mwingi anakuwa anahidumia watu, usichoke kumtafuta upo wakati utampata akiwa free, mda mzuri ni kuanzia saa 3 usiku anakuwa amemaliza huduma

  • @ayubu_podcast

    @ayubu_podcast

    Жыл бұрын

    Usichoke kumtafta Bwana anza Kujifunza kuomba kwanza maana hata ukimpata mchungaji kama ww mwenyewe hauko tayali itakuwa kazi bure.

  • @amosdaniel4596

    @amosdaniel4596

    Жыл бұрын

    Kuwa na subra tu wakat wako bado ....jua nae anatafuta sana

  • @williamchihami4763

    @williamchihami4763

    Жыл бұрын

    @@amosdaniel4596 mtafute kanisani kwake tumia gharama yoyote kumpata

  • @sandeabacha7346
    @sandeabacha7346 Жыл бұрын

    huyo jamaa anaepiga piga kinanda Anatutoa kwenye uwepo... kwanini asimuache mtumishi akahubiri kwa utulivu...

  • @forhimchannel5965
    @forhimchannel59656 күн бұрын

    NAHUMUMU MADHABAHU ZA KICHAWI MA MHURI YA KICHAWI NA MAAGANO YOTE NA ROHO ZOYE ZA KICHAWI.

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Жыл бұрын

    Ameeeeeeen mtumishi wa MUNGU

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Жыл бұрын

    anzisha kipindi cha maombi ya watu wa nje ya nchi

  • @veronicamwandembwa9042
    @veronicamwandembwa9042 Жыл бұрын

    Naomba namba ya mchungaji wa ukonga

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    +255621010304

  • @Zawad-nd7yi
    @Zawad-nd7yi Жыл бұрын

    Baba hata Mimi mama yangu ni kichaa wa miaka mingi tangu mwaka 2000 mpaka Sasa ulipo

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    yoo Mungu amfungue hakika

  • @niyonkuruobasanjo3304
    @niyonkuruobasanjo3304 Жыл бұрын

    Msafili mbona image zinagandaganda

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    Tumerekebisha sasa

  • @sarahbisendo5254

    @sarahbisendo5254

    Жыл бұрын

    Naomba namba yatumishi waukonga

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 Жыл бұрын

    Hivi mkristu wa leo pamoja na kuhubiriwa kweli ya Mungu wetu, Bado anaamini ktk uchawi hadithi za kufikirika na vitisho vya watu waongo, matapeli, wanaotafuta mkate wao wa kila siku kwa njia hizo danganyifu kana kwamba kazi ya Yesu kristo ilikuwa ni Bure! Tujitambue kuwa tulishakombolewa na Damu ya thamani, ili tunaijua kweli inayotuweka huru. Je kuugua au kufa, ni laana ya kulogwa na dawa za miti shamba, mapepo, au majini? Mbona hata hao wahubiri maarufu wa aina hiyo wa enzi hizo (Mosesi kulola, lazaro na wengine nisio wajua) waliugua, wakalazwa hospitalini na hatimaye kufa? Mbona watoto wachanga(wasio na hatia/watakatifu),akina Abrahamu, Musa Isaka, Yakobo, Daudi Elia, Elisha, Samsoni, Petro, Paulo, Tomasi, Yohana, Matayo, Luka na wengine waliugua,wakateseka kwa magonjwa hatimaye kufa? Hawakuwa na Mungu ndani Yao? Mbona tunawapa nafasi matapeli kuhangaisha nafsi na dhamiri zetu? Hivi Mungu/Yesu kristo anawasikiliza zaidi wao(wahubiri matapeli) kuliko sisi? Tusemeje basi? Pazia la Hekalu lilipasuka Bure? Hatutaki kufa? Kwa nini tuliletwa hapa Duniani? Mbona twayachunguza maandiko matakatifu kwa tafsiri potofu kana kwamba ndimo ulimo uzima wetu? Naomba mjadala huu uchukue nafasi mioyoni mwetu ili tuijue kweli na kujiweka huru. Nipo tayari kwa mahojiano ya ana kwa ana na yeyote. Na.yangu ya simu: 0754387546. 18:22 19:40

  • @DIGNAJASTIN-dl8yj

    @DIGNAJASTIN-dl8yj

    10 ай бұрын

    Wew tuache tumsikilize mtumishi wa Mungu kama hutaki usimfuatilie achana naye kabisa

  • @user-xd9kw6nt8w

    @user-xd9kw6nt8w

    14 күн бұрын

    We amini kuwa hakuna uchawi acha walikuwa wachawi na Mungu akawaokoa kutoka na wao ndo walikuwa walogaji wazuri mpaka kanisani kuwaharibu waumini na wachungaji wao acha atufundishe namba wanafanyaga

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 Жыл бұрын

    Jacktan mbona picha inagandaganda

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    Kumradhi,ni matatizo ya kiufundi, tutarekebisha leo itakuwa poa

  • @juliuskalama2746

    @juliuskalama2746

    Жыл бұрын

    @@PromovertvTz ok asante

  • @sarahchiwamba6038

    @sarahchiwamba6038

    Жыл бұрын

    Asante

  • @dadafrida9202

    @dadafrida9202

    Жыл бұрын

    Naomba number ya mtumishi katekela