SIMULIZI YA KUSISIMUA YA KUHANI MUSA ALIVYONUSURIKA NA AJALI MBAYA

Пікірлер: 57

  • @user-ku5so9sb2t
    @user-ku5so9sb2t7 күн бұрын

    Amen

  • @EVERGREENMOSES
    @EVERGREENMOSES22 күн бұрын

    Amina baba

  • @Mwambabalaa-os3yf
    @Mwambabalaa-os3yf2 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi wangu usiku na mchana

  • @user-ku5so9sb2t
    @user-ku5so9sb2t7 күн бұрын

    Amina

  • @sospeterAlex
    @sospeterAlex2 ай бұрын

    Mungu akulinde usiku na mchana baba lao

  • @zawadimaua
    @zawadimauaАй бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @josephpeter8742
    @josephpeter87422 ай бұрын

    Kuhani,umenikumbusha sana, watu wa kamsamba Rukwa bonden nihatari sana, nimecheka mpka nimemkumbuka mengi sana,nimefatilia simulizi ya ushuhuda ya kunusulika ajari, Uku wa mama wa minadani na wanunuzi wa mipunga wakilewa matusi kama yote, Mungu alikupenda na malaika walikua pamoja na ww mpka leo upo unamtumikia mungu amen, Napenda sana mahubili Yako, karibu sumbawanga kutembelea na tunakukaribisha sana Amen

  • @Mwambabalaa-os3yf
    @Mwambabalaa-os3yf2 ай бұрын

    Mungu tusaidie mchana na usiku

  • @ashuramachinja
    @ashuramachinja3 күн бұрын

    Aminaa

  • @FarajiShecha
    @FarajiShechaКүн бұрын

    Mmmh duu sijui

  • @SaraphinaSamweliSamwelli
    @SaraphinaSamweliSamwelli2 ай бұрын

    Mung asant San kwa miujiza yako

  • @marionoti5760
    @marionoti57602 ай бұрын

    hadithi za walokole ni za Abunuasi , lazima uwe zombi ndo waweza kuzisadiki. Hela bwana!

  • @DAINESSMGENI
    @DAINESSMGENI2 ай бұрын

    😮🎉😮🎉

  • @user-ic2rl7gz5z
    @user-ic2rl7gz5z2 ай бұрын

    Mungu akulinde baba yetu damuya yesu ikufinike

  • @FrumenceBoniphaceMasero
    @FrumenceBoniphaceMasero2 ай бұрын

    Mungu akulinde baba lao aminaaaaa baba

  • @niyiesther6571
    @niyiesther65712 ай бұрын

    YESU KRISTO wa NGOMENI ATUKUZWE saaana.anaweza

  • @godfreyswai4965
    @godfreyswai49652 ай бұрын

    Baba pole sana kweli yesu amekutoa mbali

  • @user-ps1fx2qs6h
    @user-ps1fx2qs6h2 ай бұрын

    Ameen

  • @EstaTarimo
    @EstaTarimo2 ай бұрын

    Bwana yesu azidi kukutia nguvu baba

  • @user-zu7zs3fe7k
    @user-zu7zs3fe7k2 ай бұрын

    Mungu ni mlinzi pekee

  • @Tausimustapha-fe2lg
    @Tausimustapha-fe2lg2 ай бұрын

    Aminaaaa ya radiiii 🙏🏽

  • @penwelinatimothy9057
    @penwelinatimothy90572 ай бұрын

    Jina la Yesu litukuzwee Baba,Yesu alijua wapo watu wengi watakao kombolewa kupitia wewe.Damu ya Yesu ikufunike siku zote na popote utakapo kuwa.

  • @user-lh2un2yg7o

    @user-lh2un2yg7o

    2 ай бұрын

    Amani kubwa naiwe hivo

  • @AgnesKimoge
    @AgnesKimoge2 ай бұрын

    kweli mungu alikuona kutoka mbali sana

  • @residaamos9896
    @residaamos98962 ай бұрын

    Binadam bwan hatal san baba yesu kristo wangomen akufunike

  • @DannyTikorian
    @DannyTikorian2 ай бұрын

    Aamnamwingine zaid yake baba pole sana

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe72712 ай бұрын

    DAMU ya Yesu ikufunike

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji3552 ай бұрын

    Yesu anasingiziwa mambo mengi Sana jamani

  • @user-kt9qg1mo6l
    @user-kt9qg1mo6l2 ай бұрын

    Aneeen

  • @alinenininahazwe6210
    @alinenininahazwe62102 ай бұрын

    Amiiiiina

  • @EmmyJumanne-mf2nu
    @EmmyJumanne-mf2nu2 ай бұрын

    Jaman msiniumizie mtumishi wangu jamn😢

  • @GetrudaKalaghe
    @GetrudaKalaghe2 ай бұрын

    Wewe. Uneye. Zaru wokovu. Au. Watumishi. Wa. Mungu. Tena. Wapakwa mafuta. Unahukumu. Yako inakungoja

  • @marionoti5760

    @marionoti5760

    2 ай бұрын

    kusema mtu mwongo ni kumdharau wakati kweli ni mwongo, Yesu wa biblia ni wa wote hana ubaguzi anaotuaminisha huyo mtu wenu.Hivi alipakwa mafuta na nani kama si kujipaka? Hizo hadithi za uwongo awasimulie mazombi(wanaojiita walokole) aliowatengeneza ili kushibisha tumbo lake bila jasho.

  • @AgnesKimoge
    @AgnesKimoge2 ай бұрын

    jaman Jana ibada ilipendeza Sana japo nilichelewa Leo nailudia Ili nitosheke

  • @jovitasilasi-zz4hu
    @jovitasilasi-zz4hu2 ай бұрын

    MUNGU ni mwema juzi, jana, leo kesho na ata milele

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg2 ай бұрын

    Kuhani musa unaiti kila mta kama konde boy

  • @user-mx8dr6zt2g
    @user-mx8dr6zt2g2 ай бұрын

    Je hukuweza kuzuia na wengine mpaka ukaacha wafe

  • @FurahaClementine-hg4lc
    @FurahaClementine-hg4lc2 ай бұрын

    Damu ya yesu ikufunike baba yang 🙌🙌🙌🙌

  • @marionoti5760
    @marionoti57602 ай бұрын

    paukwa pakawa. Hana hata aibu.

  • @user-lg5xd1ui4v
    @user-lg5xd1ui4v2 ай бұрын

    Mungu ni mwema,ila ulikoseaga mchungaji kwanini lioswala la ajali usingemuambiaga dereva na wale maabiria kwamba umeoneshwa kuna ajali mbele ya safari.hapo ulitumiaga upagani

  • @residaamos9896

    @residaamos9896

    2 ай бұрын

    Mungu hamtupi mjawake

  • @lovegodmunisi1006
    @lovegodmunisi10062 ай бұрын

    Yaani wewe sio mtu mzur bas, Lkn niwasaidie watanzania mchunguzeni huyu mtu,... Sio nabiii, siku huo upepo alio nao utapungua, ndio mtajiuliza ule uvumi wa gwajima hadi kua mbuge ulienda wapi. Hawa ni wahuni fulani hivi hata wanaotoa ushuhuda hua wanapangwa. Mwamposa muogopeni sana Huyu kuhani musa muogope sana Dominick kwa lulenge kule muogopeni sana, Mzee wa upako muogopeni sana, gwajima muogopeni sana,. Wapo wengi. Acheni ushabiki wa kijinga zichunguzeni hizo roho. Siku wakifikia level za uhitaji wao, mtajua mzee wa upako na upako wake yuko wapi.

  • @GetrudaKalaghe
    @GetrudaKalaghe2 ай бұрын

    Kama. Tunapangwa. Bx subiria. Na ww. Utapangwa. Uje uongoge. Ww. Jimjinga acha kupotosha watu. Tuache. Na baba yetu ametuvusha na vitu vingii

  • @studio..07
    @studio..072 ай бұрын

    Hivi kwanini hukutoa wengine ukatoka mwenyewe😢

  • @marionoti5760

    @marionoti5760

    2 ай бұрын

    huyo yesu wa mfukoni mwako.

  • @jumamganga6236

    @jumamganga6236

    2 ай бұрын

    Huyo nabii nisawa na uchi,anajificha peke yake

  • @evethashayo3444

    @evethashayo3444

    2 ай бұрын

    Walikuwa wamelewa na wasingemuelewa kama wewe ulivyo hapo

  • @jumamganga6236
    @jumamganga62362 ай бұрын

    Ambacho sielewi ni kwambah. Ni nabii wa namna gani asiyeweza kuzuia majanga???

  • @Churchofecclesia

    @Churchofecclesia

    2 ай бұрын

    Unazan nabii anakurupuka tu kuzuia bila maelekezo ya MUNGU(YESU KRISTO)

  • @user-fs5jc4it7i

    @user-fs5jc4it7i

    2 ай бұрын

    Kazi ya nabii sio kuzuia majanga pekee,,, nabii ni mpokea taarifa toka kwa Mungu kuwapelekea watu,,, pia anapokea taarifa kwa watu kupeleka kwa Mungu.

  • @jumamganga6236

    @jumamganga6236

    2 ай бұрын

    @@user-fs5jc4it7i ni utoto, kama nimpokea taarifa toka kwa MUNGU na kuwapelekea watu,mbona alipopata taarifa mbele itatokea ajali hakuwajulisha watu? Akashuka yeye wengine wakaumie!!! Wakati mwengine tumieni akili.

  • @jumamganga6236

    @jumamganga6236

    2 ай бұрын

    @@Churchofecclesia njaa zitatumaliza. Anasema Watu wangu wateketea kwa kukosa maarifa.

  • @siwaletv4185

    @siwaletv4185

    2 ай бұрын

    Hamna kitu hapo 😂😂😂😂

  • @user-so2gf3hn1j
    @user-so2gf3hn1j2 ай бұрын

    Amen

  • @NuruJames-cf7zz
    @NuruJames-cf7zz2 ай бұрын

    Amina