Jinsi Mch.Katekela alivyookoka kutoka kwa Uchawi na Freemason•Ushauri wake kwa waliokuwa kama yeye

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 24

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess38464 ай бұрын

    Ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU

  • @stanslausmchena4021
    @stanslausmchena40215 ай бұрын

    Mchungaji hongera umefafanua vizuri Sana maana ya msalaba na mahusiano yetu na huo msalaba

  • @PrinceRevocatus
    @PrinceRevocatus2 күн бұрын

    Ubarikiwe sana mchungaji umenivusha sana unapatikana wapi

  • @princessprecious6995
    @princessprecious69954 күн бұрын

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu

  • @user-uz7kv2nj9o
    @user-uz7kv2nj9o5 ай бұрын

    Amen Mungu akibariki sana 🙏🙏🙏

  • @marryhebron6185
    @marryhebron61853 ай бұрын

    Bwana Yesu asifiwe Mtumishi Mungu akubariki kwa kazi yake,mi na swali mbona bado una sema maneno ya kiarabu badhabauni

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f4 ай бұрын

    Amina pastor kwa mafundisho mazuri uinuliwe viwango vya ju babaaa

  • @BenjaminiNgatitse-ut1oc
    @BenjaminiNgatitse-ut1oc3 ай бұрын

    Mungu akubarikiwe mtumishi

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu87185 ай бұрын

    Amen mtumishi wa Mungu

  • @eliethmwanguya7118
    @eliethmwanguya71185 ай бұрын

    Hakika Mungu ni mwema

  • @veronicahkhaikwa4929
    @veronicahkhaikwa4929Ай бұрын

    Hapo kwa bibilia ukweli mtupu hata wao wana yao,ni heri kuchoma

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo12895 ай бұрын

    Amina Amina

  • @stephanoedward5763
    @stephanoedward57633 ай бұрын

    God is good

  • @MariciaMerchades
    @MariciaMerchades2 ай бұрын

    Napenda kusikiliza ushuhuda wako, mbona ulibakiza bangili Ile yenye Raman ya Tanzania

  • @HelenKodi
    @HelenKodi3 ай бұрын

    Ananibatiki sana

  • @StephanoKayange
    @StephanoKayange15 күн бұрын

    Nitumie namba yako

  • @aggreyokemwa8314
    @aggreyokemwa83144 ай бұрын

    Hapo kwa mambo ya msalaba soma Hesabu 21:8 - 12 na Injili ya Yohana 3:14 Na utuambie vile unaelewa kuhusu msalaba 1 Wakorintho 1: 18

  • @HelenKodi
    @HelenKodi3 ай бұрын

    Mimi nashukuru kwa huyo mtumishi Katekela ananivariki sana naeza mpata vipi?

  • @MadeleineOmbangazi
    @MadeleineOmbangazi2 ай бұрын

    Kate lamungu akubariki naaendeliyekulinda

  • @stephanoedward5763
    @stephanoedward57633 ай бұрын

    😮😮😮😮😊❤🎉

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal79524 ай бұрын

    Endelea kuwadanganya

  • @MaryShirima-yw3kp

    @MaryShirima-yw3kp

    3 ай бұрын

    😢 okoka ndugu

  • @nehemiahmguluka1996

    @nehemiahmguluka1996

    27 күн бұрын

    Usipookoka jehanum inakusubiri😢

  • @EliasHerman-qy4gt
    @EliasHerman-qy4gtАй бұрын

    Naomba uniombeee. Niupokeee uzima wa milel

Келесі