Jinsi Mch.Katekela alivyookoka kutoka kwa Uchawi na Freemason•Ushauri wake kwa waliokuwa kama yeye
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 24
Ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU
Mchungaji hongera umefafanua vizuri Sana maana ya msalaba na mahusiano yetu na huo msalaba
Ubarikiwe sana mchungaji umenivusha sana unapatikana wapi
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
Amen Mungu akibariki sana 🙏🙏🙏
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi Mungu akubariki kwa kazi yake,mi na swali mbona bado una sema maneno ya kiarabu badhabauni
Amina pastor kwa mafundisho mazuri uinuliwe viwango vya ju babaaa
Mungu akubarikiwe mtumishi
Amen mtumishi wa Mungu
Hakika Mungu ni mwema
Hapo kwa bibilia ukweli mtupu hata wao wana yao,ni heri kuchoma
Amina Amina
God is good
Napenda kusikiliza ushuhuda wako, mbona ulibakiza bangili Ile yenye Raman ya Tanzania
Ananibatiki sana
Nitumie namba yako
Hapo kwa mambo ya msalaba soma Hesabu 21:8 - 12 na Injili ya Yohana 3:14 Na utuambie vile unaelewa kuhusu msalaba 1 Wakorintho 1: 18
Mimi nashukuru kwa huyo mtumishi Katekela ananivariki sana naeza mpata vipi?
Kate lamungu akubariki naaendeliyekulinda
😮😮😮😮😊❤🎉
Endelea kuwadanganya
@MaryShirima-yw3kp
3 ай бұрын
😢 okoka ndugu
@nehemiahmguluka1996
27 күн бұрын
Usipookoka jehanum inakusubiri😢
Naomba uniombeee. Niupokeee uzima wa milel