MCH.KATEKELA"CHANJ0 NA USH0GA VILIASISIWA KUZIMU MIAKA MINGI ILIYOPITA,NAMIMI NILICHOMWA"
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 133
Promover Tv mmebadilisha maisha yangu kupitia much.Katekela.mbarikiwe
Ameni mchungaji katekela nayafutilia sana mafundisho Yako na shuhuda zako,Mungu aendelee kukupigania na kukutunza
@sarahkishaluli6087
Жыл бұрын
Kwakweli Mungu amfunike maana anatutoa ujinga wa kiroho na upofu unajua namna ya kwenda mbele za Mungu
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
@@sarahkishaluli6087 lakini wengine bado wanataka ujinga ujinga
@failaprince9250
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@mikalikiyao4233
Жыл бұрын
Kwa kweli mumishi wa BWANA wa majeshi Katekella Mungu akubariki
Tuko pamoja mchungaji hapa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tunakufuatilia 5/5 ubalikiwe sana.
Mch amiel na Timu nz8ma ya promover tv mbarikiwe sana
Promover tv Mungu azidi kuwabaliki ktk kazi ya Mungu,,,, ameniii
Amina mchngj ufunikwe Kwa damu ya ya Yesu,ukuta WA moto WA ROHO Mt ukuzingire utosi Hadi unyayo,Bwana akufunike Kwa nbawa zake,watiwe upofu maadui wasagao meno kwaajili yko,macho yko na pumz ya kinywa chko vkawe miale ya moto kwao,utiisho WA Mungu ukakufunike Wala asiwe adui wakusimama mbele YKO na mipango na mashauli ya waovu yasitimizwe kwko!(Ayb5:12)Barikiwa!
Jamani mimi nampenda Yesu aliyenifilia msalabani
Asante Sana Yesu kwa kumkomboa Mch Amiel Katekela. Yesu Akufiche Mtumishi.
Huu ushuhuda ni wa baraka Bwana YESU akubaliki sana sana maana unanguvu za MUNGU
Ahsante kwa mufundisho
Amina Ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU Amiel Katekela pamoja nafamiliya yako yote pamoja na Mtumishi wa MUNGU Jacktan Msafari natimu yako yote mubarikiwe sana kwakueneza ujumbe huu MUNGU wambinguni awainue viwango hadi vyengine hallelujah
@mikalikiyao4233
Жыл бұрын
Mungu awabariki sana ujumbe mzuri sana na kutufanya tumtagute Yesu kwa bidii
Promover you're so much needed in this generation to set people free. May Jesus bless this television indeed. I love you promover I, with my family
Amen mtumishi wamungu yesu atusaidie sana amen❤
Barikiwa sana yaani Mungu akulinde tu
Amina mchungaji shuhuda zako ni funguo za watu wa Mungu.
Mungu atusaidie sana, kwa kweli bila maarifa lazima uangamie😊😊
Tuko pamoja Mcungaji,nikiwa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ameen mtumishii WA Munguu.......may GOD protect u Nd Ur famly alwys as u preach the gospel
Yesu akutunze mch
Tuna barikiwa sana sana sana hasa me.
EAGT PRAYER CHURCH chini ya mchungaji Romana Titus....nji ya ng' ombe sombetini.nsikiliza nikiwa mko wa pwani wilaya ya kibaha kata ya kongowe mtaa wa bamba
Kwa kweli Yesu ndio ngao yetu atusaidie ktk safari hii
Mungu akutienguvu mungu akutumie kuwafungua waliyo fungwa na movu shetani
Amen mtumishi MUNGU atuponye
Mr Jactan tunaomba uweke mitambo yako vzur maana usikivu haukosawa kwakweli. Tunahitaji usikivu mzuri maana ujembe Ni mzuri
@charleskuyeko4400
Жыл бұрын
Tunaomba uwataje hao manabii wa uongo majina yao ili watu wapone. Usipowataja watu wataendelea kwenda wakidhani ni manabii wa ukweli. Na wewe utakuwa umewaponza kama hutawataja hao manabii. Kama huwezi kutaja majina basi taja maeneo yale walipo watu wapime wenyewe.
@neemakasambala
Жыл бұрын
¹111qf¹1¹⅕
@LodvolaLameck-jl5vs
7 ай бұрын
@@charleskuyeko4400hata akiwataja watu wataona ni uongo
Mungu akubariki mtumishi w mung u atusaidie tupate kuepuka haya ili tuweze kuurithi ufalme wa mungu
Mungu aendelee kukubaliki
Ameen mchungaji katekela,unatubariki sana na mafundisho ya neno.
Amen mchungaji kwa mafunzo yako Mungu azidi kukupa maisha marefu u wa baraka sana kwangu 🙏🙏🙏🙏
Umeeleweka.sana .ww ongea mtumishi wa Mungu mwenye kuelewa aelewe atakae puuzia atajua mwenyewe.kuna mengine ni mashetani watakuchukia tu
Mungu atakusaidia tuiishi katika utakatifu wake
Ameeeeen YESU anaweza
YESU azidi kukutunza Mtumishi wa MUNGU alie hai.
Hale mambo yako TikTok sahi ni mazito kweli
Ni vizuri mchungaji akaacha kutukana uislamu, pia babu wa loliondo alianza kutoa dawa mwaka 2011 na sio vinginevyo.
amina kubwa mchungaji uzindi kuyafunguwa ili tupate kupona
Amen
Amina tuko pamoja
Amina mtumishi tufungue ilitupone
Amina mtumishi wa Mungu, sema tupate kipona.
@ubergachunga9924
Жыл бұрын
Please use the right microphone for KZread
@asiahsichilima6686
Жыл бұрын
Asante kwa uwazi wako mch sema usimuogope mwanadamu yeyote hawana mbingu ya kukupeleka mungu akubariki sana kwa ukweli na uwazi mungu akulinde na kukuponya siku zote milele na mlele amen
Digital currency imeshaanza kutumika
Katika saa ya kujaribiwa kwangu Ee Yesu Kristo Mwana wa MUNGU alie hai usiniache😭
@floramongi1410
Жыл бұрын
Asante baba mungu akubariki kwa ujumbe mzuri
Ubarikiwe
Hayo maneno ya kiislam mbona nimaneno ya Mungu ...kwanini shetani ayatumie???....
Samahsni MADHABAHUNI, mchj KATEKELA mara.nyingi ninakufuatilia SAAAANA. Una KITABU au cd au kanda au tungo zinazoweza patikana kwa kusoma? Ili kwa watu WENGI kusoma kama kigazeti? ASANTENI PROMOVER TV. BARIKIWA.
Barikiwa sana
Nikweli kuusu mazombi mie nilishaonyeshwa, jazeni vyakula
Eee Yesu utusaidie😢😮
Aminaa aminaa
Sauti haisikiki vizuri.
Tutamkumbuka Magufuli
Omary Abdallah!! acha kuita mtu mpuuzi ! hujalazimishwa kusikiliza, Halafu mbona mnajionaga nyie ndio waaminifu , mmekamilika 💯 kwa hiyo nyie ni sawana Mungu??
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Huyo hujui ndo mtoka kule kwa Ant Christ??
Nampenda Yesu wa galilaya jamani
@rashidkihunga2938
Жыл бұрын
hakuna yesu wa galilaya kuna yesu wa mbinguni
Mungu atusaidie hatupe nguvu ya kumshinda shetani ,shetani amepamba moto
Niko pamoja na wewe kamanda Amiel.
dar kwakweli imekuwa gumzo mungu atusaidie
Mwenye masikio na afahamu
Huyu mchungaji ni mkweli na hapindishi
Najifunza mengi sana
Shaloom, naomba namba za mchungaji katekela rafiki angu ana shida nzito sana niko nae chuo kwao ni kijijin na mama yake ni mgonjwa kila akuend hosptl ugonjwa hmn amekata tamaa naomben msaada wenu please!
Nakufutilia sana mafundisho yako ubarikiwe yesu akutie nguvu
@lynashayo6911
Жыл бұрын
Karibu Kanisa halisi la MUNGU BABA hautauwawa
Mafunzo mazuri sana mchungaji
Cryptocurrency always feels awkward to work with o even barely understand...o knew something was wrong, jamani!
please poster help me I am going through a lot please
Chanjo za wazungu zimetuletea shida
Naomba namba yako mchungaji Mungu akubariki sana
Magu alikemea sana wakamuondoa,, na ALISEMA tusichanje hakua MJINGA eti WATU wafe na corona,,,,,,,,,, alikua,,, akakataa,,, aliikataa misaadanakasema tz tunajiweza bila hao marekani na china ,,,,,,,,,,,,, alikua kila kitu ,, wenye matumbo makubwa wakamwona atawazibia rizik ...... 😮😮😮
duh kumbe gwajima alikuwa sawa.
Duh mwenye sikio na asikie
Naona moto🔥 apo madhabahuni unamaanisha nini jamani???
@oscanyakunga
Жыл бұрын
Unamaanisha Mungu nimoto ulao
Walokole wanaishi kwa kudanganywa mtu hujitengezea uongo I'll awateke mateka
Mnaorec mbona sauti haina ubora
Huo moto unaowaka madhabahuni chini katka kifuu maana yake ni nini hiyo ?
Jamani shalom mbona ninaona kama ka moto kamewashwa hapo madhabahuni? Au ni macho yangu tu, na maana yake ni nini!
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Hakuna moto ni Macho yako tu
@mtumehosana7081
Жыл бұрын
Hata mim nmeona hyo, najiulza halo kamoto ni kanin sipati jibu
Nampango wauzazi ninjia yakutuhasi kupitia wamama
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Mmmh ahasiwe mwanamke kisha wewe uwe umehasiwa pia??
Amina..ubarikiwe Mtumishi wa Bwana..pamoja na Half an Msafiri nawafuatilia kutoka Nairobi...
@marypanwark8132
Жыл бұрын
Soryy nimekosea Jaktan Msafiri
@PROMOVERTVLive
Жыл бұрын
Amen ubarikiwe pia
Mombasa n lin
Sauti iko na shinda.
@nawandafamito500
Жыл бұрын
Simu yako ina matege
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Hakuna shida
😂😂😂😂😂😂😂😂
Nakuelewa mtumishi YESU KRISTO akutunze
Na manywele ya bandia elezea
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Alishaeleza sikumbuki ni Toleo la ngapi la Historia yake??
Nashauri muwe makini kwenye kuandika captions, usahihi wa text unaimarisha uhalali wa kile kinachozungumzwa hapo.
Wewe mpuuzi usitake kutukera waislamu ukome
@saramss7262
Жыл бұрын
Omary Abdallah Kufaa kazikwe huko uwende motoni kwennda kakuita nani
@ackimackim5642
Жыл бұрын
Okoka ndugu uwe salama,bila hivyo utapata tabu, usalama upo kwa YESU.
@omaryabdallah8734
Жыл бұрын
Nyinyi wajinga sana mnataka niwe kama nyie makafiri eti mnakataa ushoga akati iyo mipapa yenu ndio vinara wa ushoga silimuni kwetu ushoga ndo tunaupinga kweli Nashoga ktk uislamu ana uawa
@chritinaphilip7439
Жыл бұрын
@@omaryabdallah8734salamu tu mnayoitumia ninyi ndio inatumika kuzimu na maneno mengine mengi manaake shetani anqwamiliki njoo kwa yesu muokoe roho zenu😂😅😂😅😅
@chritinaphilip7439
Жыл бұрын
@@ackimackim5642amen
Ukisema auzu billahi mina shaytwani yani unamlani shetani itakuaje mtu mwenye roho yakishetani alfu ana mlani shetani akatishetani ndo kasha mtawala
@daphine8229
Жыл бұрын
Nimeskia shuhuda zake mingi sana nikaelewa kumbe hao mashetani hua wanaita mungu na watoto wake mashetani,yani wanatugeuzia sisi😂
@chritinaphilip7439
Жыл бұрын
@@daphine8229😂😂😂
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Mna mlaani kwa kisiri huku anakuja kuwapulizia matakoni mkijamba kule msikitini??
@chritinaphilip7439
Жыл бұрын
@@trophywilson7211 wewe jmn heheheèeh
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Amen