WACHORAJI WA BIBLIA SIKILIZENI HII

Пікірлер: 41

  • @clementphilimoni4030
    @clementphilimoni40302 ай бұрын

    Nimelewa Naomba Mungu nisamehe/niwezeshe nisifanye tena jambo hilo, unipe ufahamu wa kukumbuka na kuliweka moyoni neno lake. Amina

  • @marianaduncan6330
    @marianaduncan63303 ай бұрын

    Kuongeza neno lako mwenyewe si sawa,ila ukipigia mstari ili kuweka kumbukumbuku si machukizo,

  • @AgnessIbrahim-nt1kr
    @AgnessIbrahim-nt1kr2 ай бұрын

    Kwa kweli mambo ni mengi hapa Duniani Mungu atupe tu maarifa yake ili tusiangamie, kila aliye na roho Mtakatifu tayari kashajua na kuelewa maana Roho Mtakatifu huyafunua yote na kutufundisha pia

  • @rehemamtarimarehemamtarima
    @rehemamtarimarehemamtarima3 ай бұрын

    Asante watumishi Kwa kutufungua mbarikiwe sana

  • @fridafrancis1960
    @fridafrancis19603 ай бұрын

    Ni kweli nilikua nachora biblia kwa kalamu baadae nikakosa amani nikawa nakosa amani sasa hivi sichori kabisa

  • @phestostanley4019
    @phestostanley40193 ай бұрын

    Sijaelewa baba hapo , hilo jambo ni dhambi au ni kosa kuna kosa na dhambi ni vitu viwili tofauti

  • @revojomo
    @revojomo3 ай бұрын

    Vizuri sana , hii imekaa vizuri sana iwe endelevu mchungaji Kuna kitu cha ziada

  • @shuhudazakweli3406

    @shuhudazakweli3406

    3 ай бұрын

    Amen

  • @user-hq9qy6qe1f
    @user-hq9qy6qe1f3 ай бұрын

    Mtushauri tutafanyaje wale ambao tumechora.

  • @endlessloveofchristlovewor9991
    @endlessloveofchristlovewor99913 ай бұрын

    Kupigia mstari NENO ni kulificha moyoni mwako. Psalm 119:11KJV Thy word have I hid in mine heart, That I might not sin against thee

  • @gospelmissionarytv1212
    @gospelmissionarytv12123 ай бұрын

    Neno la Mungu ni lile lililo rohoni sio karatasi...bibilia kama ni yangu...ni yangu inisaidie ndio maana nachora ndio nifanye study 📖...bora usiongeze au kufuta au kubadilisha neno. Lakini tufahamu kwamba ni lile neno lipo kwa rohoni mwako litakuokoa sio vitabu na kurasa...Weka neno rohoni...sio kwa vitabu.

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk3 ай бұрын

    Amina

  • @Revelation1412.
    @Revelation1412.3 ай бұрын

    Asante kwa Somo WAALIMU. Lakini Mimi nadhani ni Uelewa tu, kama tukiweka mtazamo huo tutajikuta TUNAABUDU BIBLIA BADALA YA MUNGU. KUCHORA MAANDIKO HAINA SHIDA MAANA NENO LAKE YESU NI YALE AYASEMAYO AMBAYO YANAPOKELEWA MOYONI NA KUKAA. NDO MAANA ANASEMA; NENO LA MUNGU LIKAE KWA WINGI NDANI YENU. TUSIISHIE KATIKA BIBLIA MAKARATASI YALIYOANDIKWA NENO LA MUNGU BALI TUMWAMINI NA KUMPOKEA NDANI YETU YESU KRISTO NENO LA MUNGU LILILO HAI. BIBLIA KITABU NI KITABU TU, NDO MAANA KINAISHA, KINACHANIKA ,KINAIBIWA,KINAROANA MAJI NK.

  • @ruwaichingowi5481

    @ruwaichingowi5481

    3 ай бұрын

    Kila andiko lenye pumzi lafaa kwa mafundisho, kuonya na kumkamilisha mtu. Hili ndilo lengo la andiko kumkamilisha mtu. Andiko ni kwaajili yetu, kutusaidia kukaa ktk ukamilifu. Kuhusu kuchora au kuto kuchora hapo mtu hafungwi. Maana tohara yetu ni ya moyo. Moyo ufanywe upya kwa Neno ambapo tunajua kwamba maneno ya Mungu ni roho. Nia ya Mungu ni kuubadilisha au kuutengeneza moyo wa mtu ufanane na yeye. Kwahiyo mtu anaweza kuchorea mstari biblia kwa lengo la kuweka msisitizo na kukumbuka.

  • @rosemarymwanitega7926
    @rosemarymwanitega79263 ай бұрын

    Ameni Watumishi

  • @qulasulle-hp1ni
    @qulasulle-hp1ni3 ай бұрын

    Wanàosema mtu asichore au kupigia mistari maandiko ya biblia wanatuchanganya tu ! Kuchora au kupigia mistari Wala hakuna tatizo lolote! Huo ni mpango mkakati AMBAO humsaidia kwa urahisi msomaji wakati anaporejea kuisoma tena andiko husika ili kuiweka kwenye kumbukumbu zake!

  • @zipporahmibei9007
    @zipporahmibei90073 ай бұрын

    Amen

  • @andrewnday9127
    @andrewnday91273 ай бұрын

    Bwana Yesu asifiwe. Nawashukuruni kwa ufafanuzi wenu kuhusu mada hiyo. Je! Kuchora mistari ya Biblia ni dhambi?

  • @undjisangya3894
    @undjisangya38943 ай бұрын

    Samahani sana maana nataka kujifunza zaidi watumishi Wa Mungu Kwa kuhuliza mambo mengi: Mada nyingine: Hatuwa Za kukuwa kiroho. Nitajuwaje kama nimepiga atuwa na Bwana kila siku?

  • @HappyBuffalo-yt7wf
    @HappyBuffalo-yt7wf3 ай бұрын

    Hakuna dhambi yoyote biblia mtu kuchora mfano mtu anasoma biblia anaweka mstari ili akumbuke sasa shida iko wapi kulishika neno nikuliweka moyoni mwako nasyo kwenye karata hii nikuweka hofu ndani kwa watu Hakika hii zi ninyakati za mwisho 1timotheo 4:1 Nahayo mandiko mnayo soma yako kinyume na kuchora kwa ajili ya kumbukumbu 😂😂

  • @carolinederi5690
    @carolinederi56903 ай бұрын

    Apo kwa vitabu vya shule kuchora Kweli ni makosa coz huaga wengine baada yako watavisoma lakin kma kitabu ni chako waeza chora chochote

  • @medricksanga5925
    @medricksanga59253 ай бұрын

    Bwana Yesu asifiwe, lazima kwanza tujue utofauti wa neno la Mungu na maandiko matakatifu andiko ndio hayo maandishi lakini neno la Mungu ni yale maandishi moyoni mwako yaliyofafanuliwa na Mungu kwa ajili yako katika specific issue am so sad with you, biblia yangu haiwezi kunifanyi mtumwa jitoen katika hayo mautumwa elewen biblia, Mungu awatokee jmn

  • @undjisangya3894
    @undjisangya38943 ай бұрын

    Mada : jinsi ya kuhishi maisha matakatifu na kulishika NENO la Mungu.

  • @shuhudazakweli3406

    @shuhudazakweli3406

    3 ай бұрын

    Amen

  • @vumiliawambula1716

    @vumiliawambula1716

    3 ай бұрын

    Amina Amina Sana watumishi wa Mungu

  • @undjisangya3894
    @undjisangya38943 ай бұрын

    Mada nyingine: kuhomba Kwa Imani, Nitafanya je ili niwe ninahomba Kwa imani kila siku?

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa2 ай бұрын

    Siwezi kuacha kuchora ili nishike hilo neno kirahisi. Wala sijaongea neno lolote bali nimetafuta njia ya kulishika hilo neno

  • @user-fq1dg8fm3z
    @user-fq1dg8fm3z2 ай бұрын

    Nilikua Na Chola but sitachola tena

  • @queenesther2639
    @queenesther26393 ай бұрын

    Mtumishi nimekuelewa Yale maandiko ninayoyakariri ndiyo YALIYO moyoni na huyataja kirahisi nikiomba au nikiongoza Mtu Ñeno lkn niliyoyachora Tu PASIPO kuyakariri huwa nasahau hata yapo kitabu gani

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk3 ай бұрын

    Nashukuru sana kwa kuwa wa kwanza kuiangalia

  • @PascalinaMoshi-ul9wi

    @PascalinaMoshi-ul9wi

    3 ай бұрын

    Sawa kaka

  • @queenesther2639
    @queenesther26393 ай бұрын

    Hiyo Biblia mliyo nayo utadhani NI ya kwangu! Hahaha ! Majuzi hapa nilikuwa najiwazia mwenyewe Je! Hizi rangi High writer NI ziliundwa harari Kwa Biblia Tu! Au tunachorea Biblia PASIPO kujua hata haya marangi yanatoka wapi?! Au labda Tu NI kuzimu!!

  • @queenesther2639
    @queenesther26393 ай бұрын

    Kuna Pastor alinipa Biblia yake nisome Neno fulani nikaona Biblia yk iko plain utadhani mpya nikamuuliza mbona haina hata kamsitari kamoja ambako amechora?! Akacheka tuu nadhani hakupenda kunivuruga sasa leo nitamuuliza dhahiri kwa kushare naye hii KZread,... Naye anasema soda si nzuri kwa watakatifu Je! Ninyi mnasemaje?

  • @shuhudazakweli3406

    @shuhudazakweli3406

    3 ай бұрын

    Ndio sio nzuri kiafya

  • @sarahmdindile4301

    @sarahmdindile4301

    3 ай бұрын

    Kiafya na kiroho pia haifai

  • @emanueljustin9805
    @emanueljustin98052 ай бұрын

    Naomba msaada kwa kazi hizo za kujipatia kipato, je nisahihi kuzifanya au nimachukizo. ??? - kukodisha vyombo vya mziki katika mashelehe , matamahasha n.k - kujenga nyumba za wageni (Gest) ili upangishe - kuajiliwa kwenye viwanda vya pombe, sigala n.k Naomba msaada wa ufafanuzi????

  • @undjisangya3894
    @undjisangya38943 ай бұрын

    Watumishi Wa Mungu: Kwa upande WANGU BIBLIA ninayo lakini sijuwi nikitu gani kinacho nizuhiya kuhisoma kila siku. Mada : nifanyeje ili niwe msomaji wa BIBLIA kila siku? Au wakristo wengi wanazo BIBLIA Lakini awazisomi ipasavyo ni Kwa nini? Mutusahidiye watumishi Wa Mungu ni nini tufanye ili kushida uvivu wakusoma BIBLIA kila siku.

  • @RodahAdonice-dz4sm

    @RodahAdonice-dz4sm

    3 ай бұрын

    Anza kidogo kidogo zoea walau kila uamkapo soma mstari mmoja mchana na jioni na usiku kabla ya kulala unavyojizeasha taratibu utazoea kam ulivyo huwez kukaa bila kutumia sm yako na biblia fany ivo

  • @sarahmdindile4301

    @sarahmdindile4301

    3 ай бұрын

    Muombe Mungu akupe kiu yakusoma neno lake, harafu anzia kitabu Cha mwanzo , jowekee mkakati Kila siku usome walau sura mbili

  • @marymwapiya1274
    @marymwapiya12743 ай бұрын

    Amen

  • @ElishaBensoni
    @ElishaBensoni3 ай бұрын

    Amina

Келесі