KWA NINI UNAPO TAKA KUSOMA BIBLIA UNA PATWA NA USINGIZI WA GAFLA ? Sikiliza kwa makini sana.

Пікірлер: 110

  • @MadeleineJuma
    @MadeleineJuma2 ай бұрын

    Ubarikiwe saaana mutumishi wa Mungu nasi South Africa 🇿🇦 tuna barikiwa saana kwa neno la uwamusho❤❤🎉🎉🎉

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp3 ай бұрын

    Aminaa ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho au nimejifunza mengi hakika limenijenga.niombe pst mm nikisoma biblia ninalala na nikiomba pia ninalala

  • @evamgongolwa6177
    @evamgongolwa6177Ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi huu ulikuwa ujumbe wangu kabisa amekutuma tu...Mwambie Bwana wa majeshi nimeupokea na anisaidie kuutekeleza! Amina,

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jtАй бұрын

    Hakika hili somo limenijenga ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @MaimunaAndiya
    @MaimunaAndiya2 ай бұрын

    Glory to God man of God am blessed and encouraged by the sermon . Siri katika neno

  • @MLIMA-WA-BWANA
    @MLIMA-WA-BWANA26 күн бұрын

    Amen Sana. Be blessed man of God. Nimejengwa Sana hakika.

  • @mwibakechaasanmatu7742
    @mwibakechaasanmatu77423 ай бұрын

    Amen Sana mtumishi Kwa neno tumebarikiwa

  • @NURU-YA-BWANA-TV
    @NURU-YA-BWANA-TV3 ай бұрын

    Ameen Ameen barikiwa sana Mtu wa Mungu.

  • @IsaacAbel-bj7pw
    @IsaacAbel-bj7pw2 ай бұрын

    Nashukuru.mungu.ameniwezesha.kusikiliza mafhndisho Yako mungu akubark nimejifunza kitu kikubwa

  • @user-ef4dh2gg3j
    @user-ef4dh2gg3j2 ай бұрын

    Amina.hakika, hakika,hili limenijenga,lilikuja kwa ajili nyangu

  • @peninanganzu2883
    @peninanganzu28832 ай бұрын

    Asate Baba Mungu akubariki penina

  • @JoelleChirhalabwa
    @JoelleChirhalabwaАй бұрын

    Ubariki mwalimu

  • @HalenBahati
    @HalenBahati3 ай бұрын

    Amina Amina Amina

  • @user-tm2qw8nm4t
    @user-tm2qw8nm4t3 ай бұрын

    Amen Barikiwa Sana mtumish 🙏🙏

  • @CelinaMunde-uh6ow
    @CelinaMunde-uh6ow2 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga. Mungu nijalie nisome neno

  • @gabrielpetermziray1837
    @gabrielpetermziray18373 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga..... Ubarikiwe pastor

  • @saramss7262
    @saramss72623 ай бұрын

    Amina Mtumishi Bwana wa majeshi Akubarikiii

  • @jowarialphonse-wn2yz
    @jowarialphonse-wn2yz2 ай бұрын

    Amen Mtumishi naitaji Namba żako ninaitaji tuongeye Amen

  • @langistany6811

    @langistany6811

    2 ай бұрын

    +243819332010

  • @delphinamakupa4914
    @delphinamakupa49143 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga ubarikiwe Sana mtumishi

  • @GRACENyanda-cn3pg
    @GRACENyanda-cn3pg3 ай бұрын

    Amina, mafundisho haya mazuri ❤

  • @user-no2tw5vb8j
    @user-no2tw5vb8j3 ай бұрын

    Wow. Amen pastor am blessed this morning in Jesus name Amen. Watching from Saudi Arabia 🇸🇦

  • @nereyaombayo8191
    @nereyaombayo81912 ай бұрын

    Amen be blessed mutumishi wa Mungu 🙏

  • @undjisangya3894
    @undjisangya38943 ай бұрын

    Dha ubarikiwe mtumishi Wa Mungu

  • @tchiddyrichie3561
    @tchiddyrichie35613 ай бұрын

    Hakika hili neno limenijenga Amen

  • @andrewnday9127
    @andrewnday91273 ай бұрын

    Haleluya, ubarikiwe na Bwana wa mabwana kwa ajili ya kazi njema ya kuweka kufunua siri hii. Mungu wa mbinguni akujaze mafuta yake mabichi tena na tena. Amina.

  • @sarahsarai8690
    @sarahsarai86903 ай бұрын

    Hakika neno hili limenijenga. Amina

  • @harrisonkazimoto3781
    @harrisonkazimoto37812 ай бұрын

    Na pia naomba ewe mtumishi wa Bwana ukiweza na kwA faida ya wengine unifafanulie Yoh 16:8-11 ahsante. Ubarikiwe

  • @fgggvh6090
    @fgggvh60903 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga Amen

  • @desderykarugaba1826
    @desderykarugaba18262 ай бұрын

    Hakika haya yamenijenga ubarikiwe sana.

  • @harrisonkazimoto3781
    @harrisonkazimoto37812 ай бұрын

    Ubarikiwe na Bwana mtumishi Nina swali mtumishi wa Mungu Kwa mujibu wa kutoka 34 6-7 inasema Bwana 7 mwenye kuwaonea huruma elfu elfu, mwenye kusamehe uovu na makosa na dhambi,nk swali langu ni je kuna utofauti kati ya UOVU MAKOSA NA DHAMBI na ni nini hukumu zake.? Ahsante ubarikiwe na Bwana.

  • @salomekemunto1373
    @salomekemunto13733 ай бұрын

    AMINA AMINA, kwa kweli nimejifunza mengi.Roho Mtakatifu tusaidie kwa maana peke yeti hatuwezi. Barikiwa mchungaji.

  • @gloryfidelis102
    @gloryfidelis1023 ай бұрын

    Amen,naomba Mungu aniongezee nguvu ya usomaji wa Neno,nakuliishi Yesu nakuhitaji

  • @bonyakal2713
    @bonyakal271329 күн бұрын

    Mwalimu Langi nimejifunza mingi huku Kenya naomba utufundishe kuhusu fungu la kumi ama matoleo takatifu la kanisa, na je mchunganji anapaswa kutoa fungu la kumi na atoe kwa madhabahu gani? Asante na mungu atawale maisha yako

  • @peninanganzu2883
    @peninanganzu28833 ай бұрын

    MUNGU AKUBARIKI MUTUMISHI WA MUNGU AMINA

  • @tabithambweka8179
    @tabithambweka8179Ай бұрын

    Hakika

  • @annkim2690
    @annkim26903 ай бұрын

    Huo usingizi Mimi ukianza naamua kusimama nakuanza kulisoma nikweli neno la Mungu li hai nakumbuka kuna siku watu waliniita mwizi nikiwa chini ya Dari Yao na wakawa wanaita police nikatoa Bibilia niakanza kusoma zaburi 20 Ghafla kijana alianza kusema toka toka nahivyo ndio nilipona

  • @NiremaJustin
    @NiremaJustin2 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga❤

  • @zawadimwangupili4518
    @zawadimwangupili45183 ай бұрын

    Hakika nimejegwa na Neno la kweli Mungu akubariki sana Mchungaji

  • @catherineangaufoo2530
    @catherineangaufoo25303 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu aliye hai.

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli212 ай бұрын

    Hapo kwenye kuondoa pepo sijakubali maana mimi mwenyewe ni muombaji na Mungu ana nitumia ktk njia tofauti na ulivyo sema,labda ktk hilo la Neno vingine ni uongo vingine ni kweli

  • @EsperanceNsabimana
    @EsperanceNsabimana3 ай бұрын

    Hakika Mungu ni neno Asante Mungu akubariki kwa kutuamusha tena

  • @ronicamwashiuya7093
    @ronicamwashiuya709325 күн бұрын

    Asante

  • @user-ol4my2mx1u
    @user-ol4my2mx1u3 ай бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @MagdalenaJosephat-qt3td
    @MagdalenaJosephat-qt3td2 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga sana ,baeikwa

  • @bonyakal2713
    @bonyakal27133 ай бұрын

    Asante brother kwa mafundisho takatifu, karibu Kenya ndugu yangu tusibaki nyuma

  • @leontinebinlydi9459
    @leontinebinlydi94593 ай бұрын

    Yaani hakika Nimebarikiwa Na Neno kabisa Mtumishi Mungu Hakubariki sana

  • @Tutubu..
    @Tutubu..2 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga.. Neno la Bwana ni Amini na Kweli.

  • @user-mz4xx9ss7q
    @user-mz4xx9ss7q3 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga mno Mungu akubariki sana akupe viwango vingine vya kuendelea kutufundisha

  • @octavinarusota
    @octavinarusota3 ай бұрын

    Neno limenijenga nimebarikiwa sana

  • @zipporahmibei9007
    @zipporahmibei90073 ай бұрын

    Amina amina

  • @hellen9056
    @hellen90563 ай бұрын

    Amina ubarikiwe sana mtumishi

  • @akothchristine4752
    @akothchristine47523 ай бұрын

    Amiina glory glory hallelujah

  • @user-tg5vq3zf1f
    @user-tg5vq3zf1f3 ай бұрын

    Amina nabarikiwa sana nipo mozambique

  • @jephthahmbise4568
    @jephthahmbise45683 ай бұрын

    Ooh my God ni mimi kabisaa,Mungu anisaidie kupona kabisaaa,napambana mno

  • @YeremiaHusna-ev3un
    @YeremiaHusna-ev3un3 ай бұрын

    Amen ,

  • @florencendatila9183
    @florencendatila91832 ай бұрын

    Mungu tusaidie tusome neno tunaeka bando kuungalia udaku mpaka sa 6..7 usiku ila nikishaka Biblia nalala apoapo ehh Mungu

  • @JoshuaCathrine
    @JoshuaCathrine3 ай бұрын

    Shalom shalom

  • @dorcasmugure5699
    @dorcasmugure56993 ай бұрын

    Ahsante sana Kwa neno la mungu

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle96893 ай бұрын

    Hahhahaha 😂😂😂 kabisa usingizi na ndoto juu.

  • @kenafrijo8249
    @kenafrijo82493 ай бұрын

    Hakika Neno hili limenijenge sana Mchungaji ubarikiwe sana

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph76873 ай бұрын

    Tunashukuru kwa mafundisho mwalimu wangu hakika tunajifunza mengi.

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa3 ай бұрын

    Asante ninapokea sana

  • @user-xd8is8ct7j

    @user-xd8is8ct7j

    3 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @paulzawadi7192
    @paulzawadi71923 ай бұрын

    Kweli kabisa... Mungu atujiye msaada

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa3 ай бұрын

    Hakika ili limenijenga sana nimependa sana

  • @rebecahosea4849
    @rebecahosea48493 ай бұрын

    Ameen

  • @fenellalilian4590
    @fenellalilian45903 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga Amen 🙏

  • @faithe4063
    @faithe40633 ай бұрын

    Hii ndio maubiri sasa aliye na sikio na asikie neno Roho inaambia kanisa

  • @mekikika7410
    @mekikika74103 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga..

  • @lilianachayo
    @lilianachayo3 ай бұрын

    Hakika nimejengwa, ishi mtumishi zaidi mtumishi huu ni kweli

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli212 ай бұрын

    Eti Hakika hili limenijenga eti ubalikiwe sana

  • @leontinebinlydi9459
    @leontinebinlydi94593 ай бұрын

    Amen amen kubwa

  • @tumainsanga6020

    @tumainsanga6020

    3 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli212 ай бұрын

    This is awere some Injili

  • @gabrielpetermziray1837
    @gabrielpetermziray18373 ай бұрын

    Kiukweli nilikuwa nashangaa, naongozwa kusoma neno la Mungu, lakini nikianza kusoma biblia tu naanza kusinzia. Yani maombi na kusoma Biblia ni silaha kubwa sana na ndomana shetani anataka tusipate muda wa kusoma biblia na kuomba.

  • @undjisangya3894
    @undjisangya38943 ай бұрын

    Hakika ili limenijenga mtumishi Wa Mungu

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine16733 ай бұрын

    Kwakweli nimebarikiwa kwakufunxwa kuhusu NENO

  • @ernestmshana3752
    @ernestmshana37523 ай бұрын

    Hakika Neno la Mungu Lina nguvu.

  • @HalenBahati
    @HalenBahati3 ай бұрын

    Hakika HILI limenijenga

  • @rebecahosea4849
    @rebecahosea48493 ай бұрын

    Hakika limenijenga

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko18753 ай бұрын

    MUNGU ni mkuu

  • @YeremiaHusna-ev3un
    @YeremiaHusna-ev3un3 ай бұрын

    Hakika Hili limenijenga

  • @matendo238
    @matendo2383 ай бұрын

    hakika hili limenijenga

  • @rosemwende9961
    @rosemwende99613 ай бұрын

    Hakika ili neno limenijenga

  • @sadikibernald9519
    @sadikibernald95193 ай бұрын

    Mucungaji tupe namba ya hwatsap tunakupenda

  • @chrispinallan4271
    @chrispinallan42713 ай бұрын

    Asante Mungu. Hakika hili limenijenga.

  • @eddabigambo1385
    @eddabigambo13853 ай бұрын

    Hili limenijenga hakika.

  • @JustisEmmanuel
    @JustisEmmanuel2 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @neemasafi3533
    @neemasafi35333 ай бұрын

    Akika haya yamenìjinga

  • @NiremaJustin
    @NiremaJustin2 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @NiremaJustin
    @NiremaJustin2 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @NiremaJustin
    @NiremaJustin2 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @hadijamodestar4387
    @hadijamodestar43872 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @matikochacha9813
    @matikochacha98133 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @RehemaMbeta
    @RehemaMbeta2 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @mariamwanga464
    @mariamwanga4642 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @dativakamugisha9937
    @dativakamugisha99373 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @user-xd8is8ct7j
    @user-xd8is8ct7j3 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @user-ws9sh1bb7i
    @user-ws9sh1bb7i3 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @fransiscanzilani1559
    @fransiscanzilani15593 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @ernestmshana3752
    @ernestmshana37523 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga

  • @modestabyamungu2674
    @modestabyamungu26743 ай бұрын

    Hakika hili limenijenga