JINSI YA KUMPATA ROHO MTAKATIFU|UJAZO WA ROHO MTAKATIFU|KUNENA KWA LUGHA|Mch.Amiel Katekela

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 63

  • @user-zk2dn7gs7u
    @user-zk2dn7gs7u2 ай бұрын

    Nakusikiliza nikiwa kenya mtumishi wa mungu nabarikiwa sana niobee sana niweze kuoba kwa uyo roho mtakatifu

  • @rosemwende9961
    @rosemwende99614 ай бұрын

    Nabarikiwa nikiwa Kenya

  • @floramahenge6224
    @floramahenge62244 ай бұрын

    Mungu naomba unijaze roho mtakatifu

  • @user-zw9cd9hc6l
    @user-zw9cd9hc6lКүн бұрын

    Tunashukuru kwa mahubiri ubarikiwe muchungadji

  • @DenisCasey-kh8ub
    @DenisCasey-kh8ub4 ай бұрын

    Yesu Kristo asifiwe,

  • @BlandinaJonathan-vz5ur
    @BlandinaJonathan-vz5ur2 ай бұрын

    Hongera saana kaka nakuerewa

  • @christmyway.8766
    @christmyway.87663 ай бұрын

    Yesu ni mwema kweli,kule amenitoa nitasema siku moja

  • @eliasmoisesmbedo7297
    @eliasmoisesmbedo72974 ай бұрын

    Nabarikiwa nikiwa Mozambique

  • @octavinarusota-vh9cj
    @octavinarusota-vh9cj4 ай бұрын

    Barikiwa sana amiel.shauku yangu kubwa ni kujua roho mtakatifu

  • @johnraymond3601
    @johnraymond36013 ай бұрын

    From kigoma PASTER nakuelewa sana ulliwahi kuja kutoa huduma kwa KANISA letu kwa mch Raymond Kasomoka.

  • @nereyaombayo8191
    @nereyaombayo81914 ай бұрын

    Amen be blessed mtumishi wa Mungu 🙏

  • @user-hw2du2ze7l
    @user-hw2du2ze7l4 ай бұрын

    Nakufuatilia nikiwa Cape Town South Africa ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu,,,,,,🙏🙏

  • @user-rg1vs9mb8x
    @user-rg1vs9mb8x4 ай бұрын

    Mtumishi MUNGU AKUBARIKI SAANA ILA TUOMBEANE NAMI NINENE LUGHA YA KIMBINGU

  • @MaryAmaiza-th2fo
    @MaryAmaiza-th2fo4 ай бұрын

    Nabarikiwa Kenya 🇰🇪 kakamega 🙏🙏

  • @AnthonyAlikwenda
    @AnthonyAlikwenda2 ай бұрын

    Aminà sana a mtumishi wa Mungu.yeremia3:33

  • @user-cp1tc3io3w
    @user-cp1tc3io3w2 ай бұрын

    Eee Mungu nijaze roho Mutakatifu

  • @HelenKodi
    @HelenKodi4 ай бұрын

    Mungu ni baba siku zote nakupenda Mtumishi Katekela umenisaidia kujua mambo ya Roho Mtakatifu

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f4 ай бұрын

    Amina mtumishi wa mungu ubarikiwe sana na mungu azidi kukutia nguvu nimebarikiwa sana naomba roho mtakatifu afurike ndani yangu

  • @user-vx5rb6rg1v
    @user-vx5rb6rg1v2 ай бұрын

    Amen Amen

  • @AlexAliane
    @AlexAliane4 ай бұрын

    Following from NAKONDE(Border of tanzania na Zambia)

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp4 ай бұрын

    Amen ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho mungu anazidi kunifunulia mengi

  • @Senga.W
    @Senga.W4 ай бұрын

    Amina

  • @murjiibrahim5932
    @murjiibrahim593224 күн бұрын

    Ameen

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f4 ай бұрын

    Promover mungu awainue viwango vya juu sana kwa kaz ya mungu munayo fanya

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe48902 ай бұрын

    Amen

  • @user-rs2wg7et7t
    @user-rs2wg7et7t4 ай бұрын

    Ee mngu naomba unijaze roho mtakatafu napenda sana niyajue maandiko matakatifu ila nashindwa sijajua kuna shida gani

  • @user-eo1ru4tc8s
    @user-eo1ru4tc8s4 ай бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa neno la matumaini

  • @FloridaSyombua
    @FloridaSyombua4 ай бұрын

    Nabariwa sana nikiwa Mombasa kenya

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo12894 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi

  • @user-tb2jg9ct5b
    @user-tb2jg9ct5b4 ай бұрын

    Barikiweni sana promover na mchungaji pia

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur4 ай бұрын

    Waongea kweli, mwenye maskio askie ambayo roho aambia makanisa

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi3114 ай бұрын

    Asante sana kwa mafundisho mema

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman164 ай бұрын

    I receive I receive I receive I receive

  • @jacquelinejeff1249
    @jacquelinejeff12494 ай бұрын

    Natamani na mimi nijazwe Roho Mtakatifu

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel4 ай бұрын

    Amen 🎉🎉🎉

  • @millicentanyango526
    @millicentanyango5264 ай бұрын

    Be blessed man of God

  • @christmyway.8766
    @christmyway.87663 ай бұрын

    Pastor kupiatia ujumbe wako nimeokoka napenda sana tuonane uso kwa uso

  • @user-cp1tc3io3w
    @user-cp1tc3io3w4 ай бұрын

    Asante sana kwa mafundisho

  • @cornelgwarda3849
    @cornelgwarda38494 ай бұрын

    Mtumishi ubarikiwe Ila ninaushauri kwako Kama vile umenyoa denge. Au nimacho yangu sikuhukumu Ila biblia imekataz

  • @samoramussa5336
    @samoramussa53364 ай бұрын

    Kunaukweli kwenye maneno yako kwanini watu wengi wanasali ila yale yaliyo ahidiwa na Mungu ndani ya maaandiko hayapo kwa watu hayaonekani kwaooo

  • @oscarkalihamwe1621
    @oscarkalihamwe16214 ай бұрын

    From Mwanza come to Kigoma. Uchawii umetutesa brother watu wanaangamia ndugu njoo Kidahwee

  • @bonifasiemanueli21

    @bonifasiemanueli21

    4 ай бұрын

    Kidahwe mbona tunasikia kamchape wapo hawajapungua tu,

  • @oscarkalihamwe1621

    @oscarkalihamwe1621

    Ай бұрын

    @@bonifasiemanueli21 wale ni wachawi wenzio shetanii hawezi kumtoa shetani tunahitaji elimu ya kumjua Mungu ndio tunaweza kujikinga nao!!

  • @user-df3jl4mc5c
    @user-df3jl4mc5c4 ай бұрын

    Ameeee

  • @user-df3jl4mc5c
    @user-df3jl4mc5c4 ай бұрын

    Amee usipokuwa na roho mtakatifu huwezi kujizuia

  • @Hkc2024.
    @Hkc2024.4 ай бұрын

    🇧🇮 ❤

  • @jacksontoyi-gp8pr
    @jacksontoyi-gp8pr4 ай бұрын

    Ubarikiw sana mutumishi wa bwana yesu christo kwa mafundisho yako lakini mimi ninaswali ningeomba nijibiwe kutokana na huyu mtumishi alie anzisha kanisa baadae akafika kwa mganga swali langu ni hili kwanini nilahisi kutoka mikononi mwa MUNGU kwenda kwashetani na ni vigum kutoka kwashetani kwenda kwa MUNGU?

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk4 ай бұрын

    Waebrania 10.38-39

  • @zipporahmibei9007
    @zipporahmibei90074 ай бұрын

    Amina sana

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk4 ай бұрын

    Zaburi 105- 4 -5

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk4 ай бұрын

    Mambo ya nyakati 2 ,7-14

  • @MichaelLvenus
    @MichaelLvenus29 күн бұрын

    Paster naomba uniombee na mm nijazwe Roho mtakatifu

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf4 ай бұрын

    Sema mtumishi wamungu watu wengi wamepoteya nakahaa malawi

  • @marykilila8786
    @marykilila87864 ай бұрын

    Hizo hela ulichukua siyo za halali .Mungu mwenye rehema tuu ,hili linakungajea mbele ya hukumu usipo tubu .Hata chakula iliyo tolewa kwa mizimu tusile.

  • @mariamswedi1140

    @mariamswedi1140

    4 ай бұрын

    na ww hujielewi yy ndie alieipa mizimu? wala hana hatia juu ya ilo na ndio maana ypo mpk leo

  • @user-zw9cd9hc6l
    @user-zw9cd9hc6lКүн бұрын

    Tunashukuru kwa mahubiri ubarikiwe muchungadji

  • @user-wt9kj7gl1i
    @user-wt9kj7gl1i4 ай бұрын

    Amen

  • @cornelgwarda3849
    @cornelgwarda38494 ай бұрын

    Mtumishi ubarikiwe Ila ninaushauri kwako Kama vile umenyoa denge. Au nimacho yangu sikuhukumu Ila biblia imekataz

  • @PatrickMathias-cs9qc

    @PatrickMathias-cs9qc

    Ай бұрын

    We acha bas

  • @user-zw9cd9hc6l
    @user-zw9cd9hc6lКүн бұрын

    Tunashukuru kwa mahubiri ubarikiwe muchungadji

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi74944 ай бұрын

    Amen

  • @user-xe2qm4yt6w
    @user-xe2qm4yt6w4 ай бұрын

    Amen

Келесі