JINSI YA KUMPATA ROHO MTAKATIFU|UJAZO WA ROHO MTAKATIFU|KUNENA KWA LUGHA|Mch.Amiel Katekela
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 63
Nakusikiliza nikiwa kenya mtumishi wa mungu nabarikiwa sana niobee sana niweze kuoba kwa uyo roho mtakatifu
Nabarikiwa nikiwa Kenya
Mungu naomba unijaze roho mtakatifu
Tunashukuru kwa mahubiri ubarikiwe muchungadji
Yesu Kristo asifiwe,
Hongera saana kaka nakuerewa
Yesu ni mwema kweli,kule amenitoa nitasema siku moja
Nabarikiwa nikiwa Mozambique
Barikiwa sana amiel.shauku yangu kubwa ni kujua roho mtakatifu
From kigoma PASTER nakuelewa sana ulliwahi kuja kutoa huduma kwa KANISA letu kwa mch Raymond Kasomoka.
Amen be blessed mtumishi wa Mungu 🙏
Nakufuatilia nikiwa Cape Town South Africa ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu,,,,,,🙏🙏
Mtumishi MUNGU AKUBARIKI SAANA ILA TUOMBEANE NAMI NINENE LUGHA YA KIMBINGU
Nabarikiwa Kenya 🇰🇪 kakamega 🙏🙏
Aminà sana a mtumishi wa Mungu.yeremia3:33
Eee Mungu nijaze roho Mutakatifu
Mungu ni baba siku zote nakupenda Mtumishi Katekela umenisaidia kujua mambo ya Roho Mtakatifu
Amina mtumishi wa mungu ubarikiwe sana na mungu azidi kukutia nguvu nimebarikiwa sana naomba roho mtakatifu afurike ndani yangu
Amen Amen
Following from NAKONDE(Border of tanzania na Zambia)
Amen ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho mungu anazidi kunifunulia mengi
Amina
Ameen
Promover mungu awainue viwango vya juu sana kwa kaz ya mungu munayo fanya
Amen
Ee mngu naomba unijaze roho mtakatafu napenda sana niyajue maandiko matakatifu ila nashindwa sijajua kuna shida gani
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa neno la matumaini
Nabariwa sana nikiwa Mombasa kenya
Mungu akubariki mtumishi
Barikiweni sana promover na mchungaji pia
Waongea kweli, mwenye maskio askie ambayo roho aambia makanisa
Asante sana kwa mafundisho mema
I receive I receive I receive I receive
Natamani na mimi nijazwe Roho Mtakatifu
Amen 🎉🎉🎉
Be blessed man of God
Pastor kupiatia ujumbe wako nimeokoka napenda sana tuonane uso kwa uso
Asante sana kwa mafundisho
Mtumishi ubarikiwe Ila ninaushauri kwako Kama vile umenyoa denge. Au nimacho yangu sikuhukumu Ila biblia imekataz
Kunaukweli kwenye maneno yako kwanini watu wengi wanasali ila yale yaliyo ahidiwa na Mungu ndani ya maaandiko hayapo kwa watu hayaonekani kwaooo
From Mwanza come to Kigoma. Uchawii umetutesa brother watu wanaangamia ndugu njoo Kidahwee
@bonifasiemanueli21
4 ай бұрын
Kidahwe mbona tunasikia kamchape wapo hawajapungua tu,
@oscarkalihamwe1621
Ай бұрын
@@bonifasiemanueli21 wale ni wachawi wenzio shetanii hawezi kumtoa shetani tunahitaji elimu ya kumjua Mungu ndio tunaweza kujikinga nao!!
Ameeee
Amee usipokuwa na roho mtakatifu huwezi kujizuia
🇧🇮 ❤
Ubarikiw sana mutumishi wa bwana yesu christo kwa mafundisho yako lakini mimi ninaswali ningeomba nijibiwe kutokana na huyu mtumishi alie anzisha kanisa baadae akafika kwa mganga swali langu ni hili kwanini nilahisi kutoka mikononi mwa MUNGU kwenda kwashetani na ni vigum kutoka kwashetani kwenda kwa MUNGU?
Waebrania 10.38-39
Amina sana
Zaburi 105- 4 -5
Mambo ya nyakati 2 ,7-14
Paster naomba uniombee na mm nijazwe Roho mtakatifu
Sema mtumishi wamungu watu wengi wamepoteya nakahaa malawi
Hizo hela ulichukua siyo za halali .Mungu mwenye rehema tuu ,hili linakungajea mbele ya hukumu usipo tubu .Hata chakula iliyo tolewa kwa mizimu tusile.
@mariamswedi1140
4 ай бұрын
na ww hujielewi yy ndie alieipa mizimu? wala hana hatia juu ya ilo na ndio maana ypo mpk leo
Tunashukuru kwa mahubiri ubarikiwe muchungadji
Amen
Mtumishi ubarikiwe Ila ninaushauri kwako Kama vile umenyoa denge. Au nimacho yangu sikuhukumu Ila biblia imekataz
@PatrickMathias-cs9qc
Ай бұрын
We acha bas
Tunashukuru kwa mahubiri ubarikiwe muchungadji
Amen
Amen