#live
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 48
Nimeona kufunguliwa kwa jina la Yesu..Mungu awabariki sana na kanisa la promover TV..kwa imani naambatanisha sadaka yangu na maombi yangu na ntapokea majibu yangu..Amen
Ubarikiwe sana Mch katekela mungu awe pamoja nawe daima nipo nchini Kenya tunakufuatlia sana
Ubarikiwe mtumishi wa YESU
Amen, nimeona mabadiliko tangu nijifunze somo hili 😊
Utukufu juu kwa Yesu juu saana.Ameeen
I never seen before, natamani ningekuwepo hapo mungu awabariki sana❤❤
Barikiwa mtumishi wa Mungu mwnywe nguvu na mamlaka
Asante YESU
Hallelujah Nimebarikiwa leo sana watumishi wa Mungu. Acha Mungu wa mbinguni azidi kuwabariki sana.
Mungu wetu apewe sifa zake. Mchungaji Amieli uuone ufalme wa mbinguni.
May God give you strength pastor.
Deus abençoe homem de Deus, e multiplica a sua sabedoria
Hallelujah. Mungu akubariki sana mtumishi wake, nimejifunza mengi mnoo
Barikiwa mtumishi je wanawke wanaosokota nywele zake mwenyewe he ni vibaya tusaidie mtumishi
Pray for my ministry in Jesus Christ
I'm blessed with the prayers God bless you ❤️🙏
Nashukuru Mungu anaendeleaje kutufunulia siri za shetani, wachawi, na waganga wakienyeji. Mungu tufungue Baba.
Katekela nasikia kupiga Kelele uwiii Mungu wa Mbinguni akutunze😭😭😭😭😭😭😭
I connect to the grace
MUNGU azidi kukutunza Mtumishi, nabarikiwa Sana na maubili yako hakika nadhidi kukua kiroho, promover TV MUNGU azidi kuwatunza.
Kusema Kweli MCHUNGAJI / WACHUNGAJI MUNGU AWAPE NGUVU KABISAA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 Hii ni Kazii kwelikweli; Kibarua kikubwa Kabisa❤ MUNGU AWAPE NGUVU, UVUMILIVU NA UJASILI PAMOJA NA BARAKA ZAKE JUU YENU AMEN 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@asherykushymuga9475
10 ай бұрын
Bwana azidi kukutunza na kukutumia viwango vya juu zaidi
Amen
Unashabikia mpira kumbe unajipeleka kafara poleni washabiki. Mungu alitufunulia zamani Sana haya nikweli anahoyasema huyu mtumishi nikweli tupu kwamba Unaposhabikia wanakuvuta nguvu ili washinde nakibaya zaidi wanakukatia umri wakuishi Duniani kama Mungu alikupangia kuishi miaka 100 hutaifikisha na wale wapiganaji wa mieleka wa ww niwabaya Sana Sana, Kuanzia hapo ushabiki ukanitoka.
Barikiwa. Sana
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
Hiyo stle ya mama mkwe na kijana mkwe ni kali jameni Mungu atuhurumie.
Katekela unanipa mzigo wa kumuombea ❤❤❤uwiii
Kweli mafundisho yako ni muhimu kwetu kutueleza ili kama mungu anatupenda atuepushe na hawa wachawi. Mtu kama wewe ni mkufunzi mahiri kwa sababu Yesu alkuchomoa huko ili kama sauli Paul alivyokamatwa na Yesu
Jamani MUNGU awatie nguvu
Hallelujah
Amen Léo namimi nimefunguliwa mubarikiwe milele
Amina pastor na Mimi umenipa majibu ya ndoto yangu
Huyu pastor ametumwa anijibu ndoto zangu waah mungu akubariki
@mediakatan
Жыл бұрын
Very true
Nadra Sana kumpata mzungu kusuka
Tupate wapi mtu kama huyu Mungu tusaidie
Jacktan muulize mwalimu je, ni wigi ama rasta za wanawake pekeyake ndizo kodi satanist ama hata mavazi tunayovaa sisi binadam wote pia
Mchungaji, tafadhali hubirini Injili, Bwana Yesu Kristo yupo mlangoni anakuja kulichukuwa Kanisa lake. Waandaeni wateule wa Mungu majameni.
@edwardmwalukware9734
Жыл бұрын
kwani hii ni nini jameni. Wakristo wengi wamefungwa na shetani kwa mapamno uchawi na mambo mengi. Utukufu wa mungu na nguvu za mungu zikirudi makanisani dunia itaokoka.
@lucykapinga369
Жыл бұрын
@@edwardmwalukware9734 Kabisaaa
@dativajoachimwai1194
Жыл бұрын
kufungua waliofungwa na kuwatangazia mate kama uhuru wao. ndokinachofanyika hapo. Yesu akirudi atakupeleka wapi ukiwa umefungwa,umetekwa,.Hiyo ni injili ndugu yangu. baada ya kumpokea Yesu kuna mengi ya kujifunza kwenye safari
Mchungaji je nauliza mtu akiwa na talent ya kucheza mpira iyo pia ni dhambi ama
@keziaranga6329
Жыл бұрын
Funga na kuomba na umuulize Mungu, atakupa jibu, kwa imani omba muulize Mungu kwa kumaanisha ni Nina ushuhuda atakujibu
Naomba unifafanulie mtumishi niliota napigana na mama hata Mara mbili maana yake ni nini
@neemameshack4909
Жыл бұрын
Duuh NI kweliii kabisaa kuhusu nywele hizo hazifai kabisaa