#live

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 48

  • @rhodamahembe3206
    @rhodamahembe3206 Жыл бұрын

    Nimeona kufunguliwa kwa jina la Yesu..Mungu awabariki sana na kanisa la promover TV..kwa imani naambatanisha sadaka yangu na maombi yangu na ntapokea majibu yangu..Amen

  • @godfreymollec8206
    @godfreymollec8206 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana Mch katekela mungu awe pamoja nawe daima nipo nchini Kenya tunakufuatlia sana

  • @victoriaremmy3772
    @victoriaremmy37729 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa YESU

  • @lazaromichael-uv7sw
    @lazaromichael-uv7sw Жыл бұрын

    Amen, nimeona mabadiliko tangu nijifunze somo hili 😊

  • @MosesWakristo-ko5ze
    @MosesWakristo-ko5ze8 ай бұрын

    Utukufu juu kwa Yesu juu saana.Ameeen

  • @lazaromichael-uv7sw
    @lazaromichael-uv7sw Жыл бұрын

    I never seen before, natamani ningekuwepo hapo mungu awabariki sana❤❤

  • @florencemueni1183
    @florencemueni1183 Жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi wa Mungu mwnywe nguvu na mamlaka

  • @ZaitunMaji-fj3sq
    @ZaitunMaji-fj3sq9 ай бұрын

    Asante YESU

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 Жыл бұрын

    Hallelujah Nimebarikiwa leo sana watumishi wa Mungu. Acha Mungu wa mbinguni azidi kuwabariki sana.

  • @NEKESAJACKLINE-jw5gi
    @NEKESAJACKLINE-jw5gi Жыл бұрын

    Mungu wetu apewe sifa zake. Mchungaji Amieli uuone ufalme wa mbinguni.

  • @henryosoro7696
    @henryosoro7696 Жыл бұрын

    May God give you strength pastor.

  • @evangelistalopesmaita1968
    @evangelistalopesmaita1968 Жыл бұрын

    Deus abençoe homem de Deus, e multiplica a sua sabedoria

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 Жыл бұрын

    Hallelujah. Mungu akubariki sana mtumishi wake, nimejifunza mengi mnoo

  • @rd-worldtv1500
    @rd-worldtv1500 Жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi je wanawke wanaosokota nywele zake mwenyewe he ni vibaya tusaidie mtumishi

  • @israelfavour4039
    @israelfavour4039 Жыл бұрын

    Pray for my ministry in Jesus Christ

  • @cynthiaobiero445
    @cynthiaobiero4458 ай бұрын

    I'm blessed with the prayers God bless you ❤️🙏

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 Жыл бұрын

    Nashukuru Mungu anaendeleaje kutufunulia siri za shetani, wachawi, na waganga wakienyeji. Mungu tufungue Baba.

  • @user-ro2fl1py6m
    @user-ro2fl1py6m2 ай бұрын

    Katekela nasikia kupiga Kelele uwiii Mungu wa Mbinguni akutunze😭😭😭😭😭😭😭

  • @israelfavour4039
    @israelfavour4039 Жыл бұрын

    I connect to the grace

  • @bintmwambapa7734
    @bintmwambapa7734 Жыл бұрын

    MUNGU azidi kukutunza Mtumishi, nabarikiwa Sana na maubili yako hakika nadhidi kukua kiroho, promover TV MUNGU azidi kuwatunza.

  • @nancyisoyi8164
    @nancyisoyi816410 ай бұрын

    Kusema Kweli MCHUNGAJI / WACHUNGAJI MUNGU AWAPE NGUVU KABISAA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 Hii ni Kazii kwelikweli; Kibarua kikubwa Kabisa❤ MUNGU AWAPE NGUVU, UVUMILIVU NA UJASILI PAMOJA NA BARAKA ZAKE JUU YENU AMEN 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @asherykushymuga9475

    @asherykushymuga9475

    10 ай бұрын

    Bwana azidi kukutunza na kukutumia viwango vya juu zaidi

  • @israelfavour4039
    @israelfavour4039 Жыл бұрын

    Amen

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 Жыл бұрын

    Unashabikia mpira kumbe unajipeleka kafara poleni washabiki. Mungu alitufunulia zamani Sana haya nikweli anahoyasema huyu mtumishi nikweli tupu kwamba Unaposhabikia wanakuvuta nguvu ili washinde nakibaya zaidi wanakukatia umri wakuishi Duniani kama Mungu alikupangia kuishi miaka 100 hutaifikisha na wale wapiganaji wa mieleka wa ww niwabaya Sana Sana, Kuanzia hapo ushabiki ukanitoka.

  • @margretokuku8220
    @margretokuku8220 Жыл бұрын

    Barikiwa. Sana

  • @adjosasifa1968
    @adjosasifa1968 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 Жыл бұрын

    Hiyo stle ya mama mkwe na kijana mkwe ni kali jameni Mungu atuhurumie.

  • @user-ro2fl1py6m
    @user-ro2fl1py6m2 ай бұрын

    Katekela unanipa mzigo wa kumuombea ❤❤❤uwiii

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82768 ай бұрын

    Kweli mafundisho yako ni muhimu kwetu kutueleza ili kama mungu anatupenda atuepushe na hawa wachawi. Mtu kama wewe ni mkufunzi mahiri kwa sababu Yesu alkuchomoa huko ili kama sauli Paul alivyokamatwa na Yesu

  • @newjerusalemhosannaministr9674
    @newjerusalemhosannaministr9674 Жыл бұрын

    Jamani MUNGU awatie nguvu

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Жыл бұрын

    Hallelujah

  • @antoinettendayizeye5884
    @antoinettendayizeye5884 Жыл бұрын

    Amen Léo namimi nimefunguliwa mubarikiwe milele

  • @abiudimsemea3172
    @abiudimsemea3172 Жыл бұрын

    Amina pastor na Mimi umenipa majibu ya ndoto yangu

  • @virginiakanana7677
    @virginiakanana7677 Жыл бұрын

    Huyu pastor ametumwa anijibu ndoto zangu waah mungu akubariki

  • @mediakatan

    @mediakatan

    Жыл бұрын

    Very true

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Жыл бұрын

    Nadra Sana kumpata mzungu kusuka

  • @user-ro2fl1py6m
    @user-ro2fl1py6m2 ай бұрын

    Tupate wapi mtu kama huyu Mungu tusaidie

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 Жыл бұрын

    Jacktan muulize mwalimu je, ni wigi ama rasta za wanawake pekeyake ndizo kodi satanist ama hata mavazi tunayovaa sisi binadam wote pia

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Жыл бұрын

    Mchungaji, tafadhali hubirini Injili, Bwana Yesu Kristo yupo mlangoni anakuja kulichukuwa Kanisa lake. Waandaeni wateule wa Mungu majameni.

  • @edwardmwalukware9734

    @edwardmwalukware9734

    Жыл бұрын

    kwani hii ni nini jameni. Wakristo wengi wamefungwa na shetani kwa mapamno uchawi na mambo mengi. Utukufu wa mungu na nguvu za mungu zikirudi makanisani dunia itaokoka.

  • @lucykapinga369

    @lucykapinga369

    Жыл бұрын

    @@edwardmwalukware9734 Kabisaaa

  • @dativajoachimwai1194

    @dativajoachimwai1194

    Жыл бұрын

    kufungua waliofungwa na kuwatangazia mate kama uhuru wao. ndokinachofanyika hapo. Yesu akirudi atakupeleka wapi ukiwa umefungwa,umetekwa,.Hiyo ni injili ndugu yangu. baada ya kumpokea Yesu kuna mengi ya kujifunza kwenye safari

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Жыл бұрын

    Mchungaji je nauliza mtu akiwa na talent ya kucheza mpira iyo pia ni dhambi ama

  • @keziaranga6329

    @keziaranga6329

    Жыл бұрын

    Funga na kuomba na umuulize Mungu, atakupa jibu, kwa imani omba muulize Mungu kwa kumaanisha ni Nina ushuhuda atakujibu

  • @elpinakatana7469
    @elpinakatana7469 Жыл бұрын

    Naomba unifafanulie mtumishi niliota napigana na mama hata Mara mbili maana yake ni nini

  • @neemameshack4909

    @neemameshack4909

    Жыл бұрын

    Duuh NI kweliii kabisaa kuhusu nywele hizo hazifai kabisaa

Келесі