#live

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 85

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Жыл бұрын

    Barikiweni sana watumishi wa Mungu. Pastor Amieli na Promover TV kwa Ujumla 💞👏

  • @nundebeats6754
    @nundebeats6754 Жыл бұрын

    Hakika Mungu anamakusudi nawewe ili wengine tupate kupona na kumtafuta Mungu, ubarikiwe mno mtumishi wa Mungu.

  • @marymatekwa6867
    @marymatekwa6867 Жыл бұрын

    Bwana asifiwe Sana mtumishi wa Mungu barikiwa Sana nakutakia ushindi Kwa kila jambo nilitamani ufungue madhibao Haya katika nch yangu Kenya Nairobi city kakamega district Kwa mapenzi ya mwenyesi Mungu, tunakosa mafundisho Kama Haya Kwa kweli barikiwa tena

  • @clarisumazi
    @clarisumazi8 ай бұрын

    Amen mtumish ubarikiwe Kwa Sababu unanitoa Mahali

  • @user-servodeJesus
    @user-servodeJesus10 ай бұрын

    Amen,nawaomba inchi jilani mozambique mutembelee kwa jina lá Yesu.

  • @joaobalide5610

    @joaobalide5610

    8 ай бұрын

    Kweli. wanapenda kwenda nchi nyengine Sasa Mozambique mbona amji?

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 Жыл бұрын

    Katekela Mungu akubariki sana sana nabarikiwa sana na mafundisho yako halafu naomba uniambie huduma Yako Iko kanisa gani ili siku Moja nifunge safari nikufuate nikueleze shida yangu

  • @WillyWbakuju-by1yp
    @WillyWbakuju-by1yp3 ай бұрын

    Amina,asante Yesu

  • @alicensabimana2137
    @alicensabimana2137 Жыл бұрын

    Asante Mungu akurinde mitego yooooooote kwa Sifa na ESHIMA ZAKE na akubariki Mungu akutajirishe Mungu

  • @elysemanirakiza9956
    @elysemanirakiza9956 Жыл бұрын

    Mi ni mtu wa Burundi, yaani kupitia huyu mchungaji napata nguvu nyingi ki roho kweli Mungu ambariki

  • @johnshedrack2821

    @johnshedrack2821

    Жыл бұрын

    Oko Burundi sehemu gani

  • @evangelistalopesmaita1968
    @evangelistalopesmaita1968 Жыл бұрын

    Mtu wa MUNGU umenifungua sana kuhusu ulimwengo wa roho meu muito obrigado asante sana, Mungu akubariki Deus te abençoe. Sou Evangelista Lopes Nampula Moçambique,

  • @EricMaingi-f8b
    @EricMaingi-f8b11 күн бұрын

    Amina

  • @ruthfasha7166
    @ruthfasha7166 Жыл бұрын

    Jacktan na team yako mbarikiwe, nawafuatilia kila mara, niko Ghana. To God Almighty the Glory.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    Amen

  • @user-servodeJesus
    @user-servodeJesus10 ай бұрын

    Amen, amen,mchungaji naomba uje mozambique watu huku tunaitaji kufunguliwa,Bwana akubaliki.

  • @marifaadolphine3571
    @marifaadolphine3571 Жыл бұрын

    Asante kwa maubiri tunafunguliwa kwa jina la yesu.

  • @ruthfasha7166
    @ruthfasha7166 Жыл бұрын

    Glory be to God. Mungu akutie nguvu mtumishi. Endelea mbeleee, tunaponywa wengiiiii, maelfu kwa maelfu tunafunguliwa.

  • @nancykageha2199

    @nancykageha2199

    Жыл бұрын

    Mungu akubariki mtumishi umenifudisha mengi

  • @nancykageha2199

    @nancykageha2199

    Жыл бұрын

    Mtumishi naomba uniombe nifunguliwe Kwa jina la yesu

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya827610 ай бұрын

    Bwana Yesu asifiwe. MTUMISHI mchj Amaniel Katekela, naamini mafunfisho yako na shuhuda zako thabiti,BARIKIWA! NAMI NAKUOMBA UNIOMBEE KWA AJILI YANGU MWENYEWE NA WATOTO WANGU ALLAN NA ANGELA. WEWE NI MUONAJI. UTATUFANYIA JAMBO HAKIKA KUPITIA MUNGU WA KWELI UMWABUDIYE. AMEN

  • @joyceshoo9822
    @joyceshoo9822 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu tunafunguliwa huku ktk TV

  • @mimahgerald6708
    @mimahgerald67084 ай бұрын

    Naandika kwa iman mungu leo anyang’anye pesa zangu vyeo vyangu akili zangu heshima yangu kwa watu na kila kitu kizur chakwangu naamuru shetan avirudishe kwa jina la yesu

  • @neemajoseph9109
    @neemajoseph9109 Жыл бұрын

    Ameni mungu akupe maisha marefu mtumishi

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 Жыл бұрын

    Kweli Mungu ametubariki sana ila shetani ametuharibia

  • @shitsacontractors3688
    @shitsacontractors3688 Жыл бұрын

    Ukweli wa neno wengi hutumaini wachungaji badala ya kujisimamia.

  • @eliudndadeba6193
    @eliudndadeba6193 Жыл бұрын

    Nampenda yesu na nimwenye nguvu naye anatupenda wote

  • @godisable2098
    @godisable2098 Жыл бұрын

    Jina la Bwana li Barikiwe

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi. Najifunza mengiii

  • @naikekangele7117
    @naikekangele7117 Жыл бұрын

    Mch kweli wewe uko sawa sana ufichi kitu unatutia nguvu kiroho na kiakili

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 Жыл бұрын

    Naomba niungwe kwenye magroap ya mchungaji

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    chat.whatsapp.com/BbvG6Ur6BR1CbSjdEGtopP

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu8 ай бұрын

    😂😂😂nmekumbuka siku moja nyumbani mwa mwarabu nmekuwa nilala kwa amani na ujasiri wote nikiona maaskari na malaika wakinizunguka heeh siku hiyo mambo hayakuwa kawaida nilikesha nikimenyana na mapaka na wanyama haya nisiojua majina nikainuka nikaomba,nilipolala tena vita bado iko mara nikatokewa na bonge la mama linanivuruta nikajiona kwake kama karatasi tu siku hiyo haya jina Yesu kinywa changu kilisahau nikapiga nduru nikashutuka mwenyewe bado wako macho,niliugua sana nikaomba nikauliza Mungu nimekosea wapi Bwana,usingizi ghafla nikajipata ninakundi la watu walio warabuni kwa numba niliyo wanalalamika kwamba wameshindwa kulala juu ya vita ndipo nikagundua kwamba inanipasa kuwaombea wengine,umesema kweli sisi ni askari wa wengine pia

  • @EstherMacha-re1go

    @EstherMacha-re1go

    3 ай бұрын

    😊

  • @missbofficial3805
    @missbofficial3805 Жыл бұрын

    Asante Mtumishi, barikiwa sana

  • @raelnangila3006
    @raelnangila3006 Жыл бұрын

    Mungu akupariki mtumishi wamungu ninaendelea kupona kwajinala yesu

  • @annkim2690
    @annkim2690 Жыл бұрын

    Doh kisa cha kusikitisha kweli Yani mtu anasoma hivyo alafu wanamfanya wazimu miaka hiyo yote

  • @happynesssayoloi1816
    @happynesssayoloi18168 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @ayubu_podcast
    @ayubu_podcast Жыл бұрын

    Amina 🙏

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 Жыл бұрын

    Amen Amen

  • @nundebeats6754
    @nundebeats6754 Жыл бұрын

    Amina kubwa

  • @carolinederi5690
    @carolinederi5690 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi Emiel na promover Tv Team....Muongezeke wala msipungukiwe wakat wote🥰

  • @zainalukuni1552
    @zainalukuni1552 Жыл бұрын

    Naomba namimi uniunge kwenye group samahani mchungaji Katekela uniunge ,Bwana apewe sifa mtumishi Jactan

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    Karibu chat.whatsapp.com/BbvG6Ur6BR1CbSjdEGtopP

  • @zaituniomollo

    @zaituniomollo

    Жыл бұрын

    Amen 🙏 naona nikiendelea kufunguliwa mtumish wa bwana yesu

  • @sozansozan7108
    @sozansozan71088 ай бұрын

    Amen

  • @felistershija2236
    @felistershija2236 Жыл бұрын

    Ameen🙏🙏🙏❤️❤️❤️

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q Жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @princehillary3712
    @princehillary3712 Жыл бұрын

    How wish I can hear 👂 d language Dey are speaking

  • @patsonmwakaje675
    @patsonmwakaje675 Жыл бұрын

    Mtumishi hapa tumepigwa fimbo wengi hata kama sio kama za kwako

  • @Estherm309
    @Estherm3099 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ kuchapwa waaa Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 tupone

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 Жыл бұрын

    Amen Amen glory to God be blessed alot man of God

  • @fruitsofholyspirit9142
    @fruitsofholyspirit9142 Жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe Mchungaji ,umesema kwamba week ijao utakua Arusha mutafikia kanisa gani panaitwa wapi? Kwanzia tarehe gani ?

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 Жыл бұрын

    Katekela

  • @justinamis8675

    @justinamis8675

    Жыл бұрын

    Amn

  • @bebebebe9269
    @bebebebe9269 Жыл бұрын

    In name of JESUS CHRISTO Amen 🙏🙏🙏

  • @bendeterndanu3403
    @bendeterndanu3403 Жыл бұрын

    What is meaning of ukielewa muhuri ya kanisa umefunja Sheri a ya kanisa

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Жыл бұрын

    Ameeeeeen mtumsihi wa MUNGU

  • @annkim2690
    @annkim2690 Жыл бұрын

    Nimecheka Sana mtumishi nikitafakari hizo fimbo nikakumbuka last month Ile Kofi ni mechapwa nikiwa Kwa ndoto wachawi

  • @hildpaul7823

    @hildpaul7823

    Жыл бұрын

    hahaha pole sana

  • @joycekaphevemba7215

    @joycekaphevemba7215

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sifunininga4671

    @sifunininga4671

    Жыл бұрын

    Mamdg wangu aliwah pigwa Kofi akiwa mdgo

  • @margarethmwampondele7858

    @margarethmwampondele7858

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @forjesus1382
    @forjesus1382 Жыл бұрын

    Tunaomba kujua kama huyu prophets david richard ni wa kweli.

  • @nundebeats6754
    @nundebeats6754 Жыл бұрын

    Najikuta nalia kwa uchungu, biashara yangu imeharibika, sielewi mtaji umeishaje, na naota mtoto wangu amepotea, na nipo kwenye maji nahangaika kweli,

  • @godisable2098

    @godisable2098

    Жыл бұрын

    Mungu akijibu kupitiya mafundisho hii

  • @nancyisoyi8164
    @nancyisoyi816411 ай бұрын

    Amen 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 Hallelujah kwa YESU KRISTO

  • @rabinzsinoya1434
    @rabinzsinoya1434 Жыл бұрын

    MUNGU akubariki man of GOD

  • @esthernjoroge6018

    @esthernjoroge6018

    Жыл бұрын

    Mungu akupe hekima zaidi ndiyo wengi tujiwekee hazina yakutosha kutusaidia kesho

  • @ElijahAmon-uq6zk
    @ElijahAmon-uq6zk6 ай бұрын

    Amina ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 Жыл бұрын

    Aaaa aki mutumishi uko na vituko weeee

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 Жыл бұрын

    Kwakwel kwa gar lilianguka na maisha yakawa magumu Sana umesema kwel kabisa

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Жыл бұрын

    Uchawi,uchawi unatisha,

  • @annkim2690
    @annkim2690 Жыл бұрын

    Wachawi watakukoma mpaka uliwapaka kinyesi 🤣🤣🤣🤣

  • @mariamwalongo
    @mariamwalongo Жыл бұрын

    Hakika Mungu atukuzwe Damu ya Yesu ikufunike mtumishi

  • @emmanuelmnyoro3560
    @emmanuelmnyoro3560 Жыл бұрын

    Jactan tunaomba shuhuda basii jaman

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    Shuhuda ipi?

  • @emmanuelmnyoro3560

    @emmanuelmnyoro3560

    Жыл бұрын

    Siku hizi hauweki shuhuda za watu kama wa Aston mbaya unaweka mahubiri tu na hii tv yako ni kwa ajili ya shuhuda

  • @carolinederi5690

    @carolinederi5690

    Жыл бұрын

    @@emmanuelmnyoro3560 Waah kwani mahubiri yako na ubaya gani haki....Na mwenye yuahubiri si yuafafanua yenye aliashuhudia tayar au...Aston pia si hua yuahubiri yenye aliyaona pia 😌....

  • @naikekangele7117
    @naikekangele7117 Жыл бұрын

    Mtumishi dada yangu alikuta nyoka ndani aimejivingilisha.akaipinga akaponda kichaa.kabiss ulikuwa usiku alipo amkakesho yake ili akaitupe akakuta aipo je ?iyoilikuwa nyoka wa.kichawi?

  • @stafordlilakoma782

    @stafordlilakoma782

    Жыл бұрын

    No kkk can be

  • @pendoshaban1010
    @pendoshaban1010 Жыл бұрын

    Promover karibun Zanzibar jamni f.p.c . t pentecostal

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 Жыл бұрын

    Amina

  • @aminam.410
    @aminam.410 Жыл бұрын

    Amen Amen

  • @alfredkuria7673
    @alfredkuria7673 Жыл бұрын

    Amen

Келесі