#live
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 85
Barikiweni sana watumishi wa Mungu. Pastor Amieli na Promover TV kwa Ujumla 💞👏
Hakika Mungu anamakusudi nawewe ili wengine tupate kupona na kumtafuta Mungu, ubarikiwe mno mtumishi wa Mungu.
Bwana asifiwe Sana mtumishi wa Mungu barikiwa Sana nakutakia ushindi Kwa kila jambo nilitamani ufungue madhibao Haya katika nch yangu Kenya Nairobi city kakamega district Kwa mapenzi ya mwenyesi Mungu, tunakosa mafundisho Kama Haya Kwa kweli barikiwa tena
Amen mtumish ubarikiwe Kwa Sababu unanitoa Mahali
Amen,nawaomba inchi jilani mozambique mutembelee kwa jina lá Yesu.
@joaobalide5610
8 ай бұрын
Kweli. wanapenda kwenda nchi nyengine Sasa Mozambique mbona amji?
Katekela Mungu akubariki sana sana nabarikiwa sana na mafundisho yako halafu naomba uniambie huduma Yako Iko kanisa gani ili siku Moja nifunge safari nikufuate nikueleze shida yangu
Amina,asante Yesu
Asante Mungu akurinde mitego yooooooote kwa Sifa na ESHIMA ZAKE na akubariki Mungu akutajirishe Mungu
Mi ni mtu wa Burundi, yaani kupitia huyu mchungaji napata nguvu nyingi ki roho kweli Mungu ambariki
@johnshedrack2821
Жыл бұрын
Oko Burundi sehemu gani
Mtu wa MUNGU umenifungua sana kuhusu ulimwengo wa roho meu muito obrigado asante sana, Mungu akubariki Deus te abençoe. Sou Evangelista Lopes Nampula Moçambique,
Amina
Jacktan na team yako mbarikiwe, nawafuatilia kila mara, niko Ghana. To God Almighty the Glory.
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Amen
Amen, amen,mchungaji naomba uje mozambique watu huku tunaitaji kufunguliwa,Bwana akubaliki.
Asante kwa maubiri tunafunguliwa kwa jina la yesu.
Glory be to God. Mungu akutie nguvu mtumishi. Endelea mbeleee, tunaponywa wengiiiii, maelfu kwa maelfu tunafunguliwa.
@nancykageha2199
Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi umenifudisha mengi
@nancykageha2199
Жыл бұрын
Mtumishi naomba uniombe nifunguliwe Kwa jina la yesu
Bwana Yesu asifiwe. MTUMISHI mchj Amaniel Katekela, naamini mafunfisho yako na shuhuda zako thabiti,BARIKIWA! NAMI NAKUOMBA UNIOMBEE KWA AJILI YANGU MWENYEWE NA WATOTO WANGU ALLAN NA ANGELA. WEWE NI MUONAJI. UTATUFANYIA JAMBO HAKIKA KUPITIA MUNGU WA KWELI UMWABUDIYE. AMEN
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu tunafunguliwa huku ktk TV
Naandika kwa iman mungu leo anyang’anye pesa zangu vyeo vyangu akili zangu heshima yangu kwa watu na kila kitu kizur chakwangu naamuru shetan avirudishe kwa jina la yesu
Ameni mungu akupe maisha marefu mtumishi
Kweli Mungu ametubariki sana ila shetani ametuharibia
Ukweli wa neno wengi hutumaini wachungaji badala ya kujisimamia.
Nampenda yesu na nimwenye nguvu naye anatupenda wote
Jina la Bwana li Barikiwe
Mungu akubariki sana mtumishi. Najifunza mengiii
Mch kweli wewe uko sawa sana ufichi kitu unatutia nguvu kiroho na kiakili
Naomba niungwe kwenye magroap ya mchungaji
@PromovertvTz
Жыл бұрын
chat.whatsapp.com/BbvG6Ur6BR1CbSjdEGtopP
😂😂😂nmekumbuka siku moja nyumbani mwa mwarabu nmekuwa nilala kwa amani na ujasiri wote nikiona maaskari na malaika wakinizunguka heeh siku hiyo mambo hayakuwa kawaida nilikesha nikimenyana na mapaka na wanyama haya nisiojua majina nikainuka nikaomba,nilipolala tena vita bado iko mara nikatokewa na bonge la mama linanivuruta nikajiona kwake kama karatasi tu siku hiyo haya jina Yesu kinywa changu kilisahau nikapiga nduru nikashutuka mwenyewe bado wako macho,niliugua sana nikaomba nikauliza Mungu nimekosea wapi Bwana,usingizi ghafla nikajipata ninakundi la watu walio warabuni kwa numba niliyo wanalalamika kwamba wameshindwa kulala juu ya vita ndipo nikagundua kwamba inanipasa kuwaombea wengine,umesema kweli sisi ni askari wa wengine pia
@EstherMacha-re1go
3 ай бұрын
😊
Asante Mtumishi, barikiwa sana
Mungu akupariki mtumishi wamungu ninaendelea kupona kwajinala yesu
Doh kisa cha kusikitisha kweli Yani mtu anasoma hivyo alafu wanamfanya wazimu miaka hiyo yote
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Amina 🙏
Amen Amen
Amina kubwa
Ubarikiwe mtumishi Emiel na promover Tv Team....Muongezeke wala msipungukiwe wakat wote🥰
Naomba namimi uniunge kwenye group samahani mchungaji Katekela uniunge ,Bwana apewe sifa mtumishi Jactan
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Karibu chat.whatsapp.com/BbvG6Ur6BR1CbSjdEGtopP
@zaituniomollo
Жыл бұрын
Amen 🙏 naona nikiendelea kufunguliwa mtumish wa bwana yesu
Amen
Ameen🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Amen 🙏
How wish I can hear 👂 d language Dey are speaking
Mtumishi hapa tumepigwa fimbo wengi hata kama sio kama za kwako
😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ kuchapwa waaa Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 tupone
Amen Amen glory to God be blessed alot man of God
Bwana Yesu asifiwe Mchungaji ,umesema kwamba week ijao utakua Arusha mutafikia kanisa gani panaitwa wapi? Kwanzia tarehe gani ?
Katekela
@justinamis8675
Жыл бұрын
Amn
In name of JESUS CHRISTO Amen 🙏🙏🙏
What is meaning of ukielewa muhuri ya kanisa umefunja Sheri a ya kanisa
Ameeeeeen mtumsihi wa MUNGU
Nimecheka Sana mtumishi nikitafakari hizo fimbo nikakumbuka last month Ile Kofi ni mechapwa nikiwa Kwa ndoto wachawi
@hildpaul7823
Жыл бұрын
hahaha pole sana
@joycekaphevemba7215
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sifunininga4671
Жыл бұрын
Mamdg wangu aliwah pigwa Kofi akiwa mdgo
@margarethmwampondele7858
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Tunaomba kujua kama huyu prophets david richard ni wa kweli.
Najikuta nalia kwa uchungu, biashara yangu imeharibika, sielewi mtaji umeishaje, na naota mtoto wangu amepotea, na nipo kwenye maji nahangaika kweli,
@godisable2098
Жыл бұрын
Mungu akijibu kupitiya mafundisho hii
Amen 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 Hallelujah kwa YESU KRISTO
MUNGU akubariki man of GOD
@esthernjoroge6018
Жыл бұрын
Mungu akupe hekima zaidi ndiyo wengi tujiwekee hazina yakutosha kutusaidia kesho
Amina ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU
Aaaa aki mutumishi uko na vituko weeee
Kwakwel kwa gar lilianguka na maisha yakawa magumu Sana umesema kwel kabisa
Uchawi,uchawi unatisha,
Wachawi watakukoma mpaka uliwapaka kinyesi 🤣🤣🤣🤣
Hakika Mungu atukuzwe Damu ya Yesu ikufunike mtumishi
Jactan tunaomba shuhuda basii jaman
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Shuhuda ipi?
@emmanuelmnyoro3560
Жыл бұрын
Siku hizi hauweki shuhuda za watu kama wa Aston mbaya unaweka mahubiri tu na hii tv yako ni kwa ajili ya shuhuda
@carolinederi5690
Жыл бұрын
@@emmanuelmnyoro3560 Waah kwani mahubiri yako na ubaya gani haki....Na mwenye yuahubiri si yuafafanua yenye aliashuhudia tayar au...Aston pia si hua yuahubiri yenye aliyaona pia 😌....
Mtumishi dada yangu alikuta nyoka ndani aimejivingilisha.akaipinga akaponda kichaa.kabiss ulikuwa usiku alipo amkakesho yake ili akaitupe akakuta aipo je ?iyoilikuwa nyoka wa.kichawi?
@stafordlilakoma782
Жыл бұрын
No kkk can be
Promover karibun Zanzibar jamni f.p.c . t pentecostal
Amina
Amen Amen
Amen