Day1_Semina Dsm Tz "KUZIVUNJA MIHURI ZA KICHAWI" Na Mch.Amiel Katekela kanisa la Patmo Gombo la chuo

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 101

  • @bintmwambapa7734
    @bintmwambapa7734 Жыл бұрын

    MUNGU azidi kukutunza Mtumishi wa MUNGU, karibu Sana uku mpakani mwa Tanzania na Malawi

  • @daviddavid-gq8zp
    @daviddavid-gq8zp Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mchungaji,kwa jina la Lord Jesus Christ...Bwana azidi kukutia nguvu ili uzidi kutupa siri za Shetani(Allah) na malaika zake Majini.

  • @mwajumaamuri974
    @mwajumaamuri974 Жыл бұрын

    Mungu akutiye nguvu Mtumishi tunahitaji maombi tunateseka na hizo Roho.

  • @hortenseornella-po8zw
    @hortenseornella-po8zw Жыл бұрын

    Natamani mungu akutume hauku Congo bukuvu ilinikuone kwamaco yangu mawili. Nakupendaga sana.

  • @elizabethconstantino6056
    @elizabethconstantino6056 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi Katekela, tunakupenda mno, Mungu wa mbinguni akulinde

  • @user-pf5gs1ht8p
    @user-pf5gs1ht8p10 ай бұрын

    Bwana yes asifiwe mtumishi wa Mungu aliye hai nabarikiwa Sana kwa mafundisho hayo namwomba Mungu huje huku Mzambique ulete hiyo injili yenye huwai ikiwezekana upande kanisa Jesus akuinuwe sana

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 Жыл бұрын

    Mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU wambinguni 🙏🙏🙏

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 Жыл бұрын

    Mchungaji katekela Mungu akuinue Na akulinde mpaka uende Mbinguni

  • @paulinamsanjila2491
    @paulinamsanjila2491 Жыл бұрын

    Mungu akulinde zaid na afanye njia hata pasipo na njia injili uliyoibeba iwafikie wengi waokolewe

  • @malackmarko1545
    @malackmarko1545 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana Mchungaji

  • @victoriaremmy3772
    @victoriaremmy377210 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumish wa Yesu

  • @gabriellusinde9263
    @gabriellusinde9263 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana Hilo ganisa liko sehemu gani Mtumishi tumelitafuta Hilo kabisa yangu jumapili hatujaliona tunaomba mtuwlekeze ili tupate baraka

  • @rabinzsinoya1434
    @rabinzsinoya1434 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi MUNGU , kwa kutufundisha tuwe odari wa kusali.

  • @VictoriahSabas
    @VictoriahSabas3 ай бұрын

    Ubariwe mchungaji nabakiwa sana Kwa mafundishi yako.karibu mkoa wa njombe

  • @heritier5119
    @heritier5119 Жыл бұрын

    Shetani kapata Sana hasara kumpoteza Mch katekela, ndie kasaidia Sana wengi kuzijua siri za shetani na kuwatakia wengi nguvu

  • @user-xd9kw6nt8w
    @user-xd9kw6nt8w7 күн бұрын

    Jamani mtumishi asante kwakunistua nilikua sijui kama kunaibada ya wachaji silali tena sasa kumi na moja

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu8 ай бұрын

    mtu nmzima hatishiwi nyau,mtoto wamgalilaya bendera chuma mlingoti chuma,❤🎉

  • @marymatekwa6867
    @marymatekwa6867 Жыл бұрын

    Bwana asifiwe sana mtumishi wa Mungu Ubarikiwe pamoja na nyumba yako nikisema Pole Sana Kwa ajali iliyokupa upone Kwa Haraka kwa jina la Bwana Yesu pokea na nguvu Mara tena

  • @damentsichivula677
    @damentsichivula677 Жыл бұрын

    Mungu aliye mbiguni akubaliki mtumishi karibu kwetu momba nafuatilia mahubiri hayo nkiwa Zambia lakini kwetu momba tz

  • @saramgula6357

    @saramgula6357

    Жыл бұрын

    Wakumwitu..

  • @milkahkale9031
    @milkahkale9031Ай бұрын

    Umenobariki sana

  • @mabelgreatverypowerfulspir3470
    @mabelgreatverypowerfulspir3470 Жыл бұрын

    God bless. Very educative

  • @Ntirampeba
    @Ntirampeba11 ай бұрын

    Amen

  • @rizikibahati8364
    @rizikibahati8364 Жыл бұрын

    Mungu akupeye maisha marufu mtumishi wa Mungu

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q Жыл бұрын

    Amen Amen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏

  • @dadaz4653
    @dadaz4653 Жыл бұрын

    Amen barikiwe sana

  • @sarahchiwamba6038
    @sarahchiwamba6038 Жыл бұрын

    Tunaomba video zitulie vizuri.

  • @emmysarikiurio6445
    @emmysarikiurio6445 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @janetkazungu7795
    @janetkazungu7795 Жыл бұрын

    Amina amina baba

  • @beatricendikumana8776
    @beatricendikumana8776 Жыл бұрын

    Amen amen amen hallelujah hallelujah thank lord huyu ni mwanzo

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam5390 Жыл бұрын

    Barikiwa sana.

  • @lauraingosi1428
    @lauraingosi1428 Жыл бұрын

    asante sana watumishi wa Mungu kwa kazi njema ya Mungu,lakini alie upande wa pili wa microphone apunguze sauti.

  • @emimambazi2636
    @emimambazi2636 Жыл бұрын

    Mchg Bwana Yesu, ninashida nitapataje kitabu na Ni sh. ngapi? Na nitapataje nipo Mwanga Kilimanjaro. Asante ubarikiwe.

  • @ayubu_podcast
    @ayubu_podcast Жыл бұрын

    Amina!

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 Жыл бұрын

    Hallelujah

  • @maxiesecurityservicesltd11
    @maxiesecurityservicesltd11 Жыл бұрын

    Amina Amina

  • @dainesykalinga7133
    @dainesykalinga7133 Жыл бұрын

    Amen Amen Barikiwa mno kwa Kazi njema Mungu akuinue zaidi.

  • @marywachira3745
    @marywachira3745 Жыл бұрын

    From KENYA

  • @bintmwambapa7734

    @bintmwambapa7734

    Жыл бұрын

    MUNGU azidi kukutunza Mtumishi wa MUNGU.

  • @smariamwambene9524

    @smariamwambene9524

    Жыл бұрын

    Upo dar sehemu gan nije nikuone mtumishi

  • @alice4720
    @alice4720 Жыл бұрын

    Amen Niko kenya naomba maombi yafamilia

  • @saramss7262

    @saramss7262

    Жыл бұрын

    Barikiwaa SANA mtumishii hallelujah hallelujah hallelujah

  • @maxiesecurityservicesltd11
    @maxiesecurityservicesltd11 Жыл бұрын

    Very educative. May God bless you

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 Жыл бұрын

    Mungu wetu nimkuu sana

  • @elifarajasamwel3583
    @elifarajasamwel3583 Жыл бұрын

    MUNGU NIOMBI LANGU wew uwe wangu daima milele

  • @jacklinekimario296

    @jacklinekimario296

    Жыл бұрын

    AMEN ata mm.

  • @elifarajasamwel3583

    @elifarajasamwel3583

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe ninaomba no plz Mtu Wa Mungu

  • @jacklinekimario296

    @jacklinekimario296

    Жыл бұрын

    Ok

  • @elifarajasamwel3583

    @elifarajasamwel3583

    Жыл бұрын

    @@jacklinekimario296 habarii Mtumishi

  • @elifarajasamwel3583

    @elifarajasamwel3583

    Жыл бұрын

    @@jacklinekimario296 Uko wapii Mtumishi ,sisi TUMEPATA NEEMA ya kuhudhuria seminaa hiii

  • @elizabethwanyonyi609
    @elizabethwanyonyi609 Жыл бұрын

    Mchungaji naomba kufunguliwa kutokana na kula udongo. Naula kwa wingi sana.

  • @fwambamarkd5735

    @fwambamarkd5735

    Жыл бұрын

    Mama tafta dawa ya minyoo alafu tumia dawa ya kuongeza damu kwa mwili, ukule mboga ya kienyeji kwa wingi, maini mara moja moja kwa wiki ama nyama alafu unywe maji kwa wingi na Mungu wa mbinguni atakusaidia

  • @fwambamarkd5735

    @fwambamarkd5735

    Жыл бұрын

    Mimi si mchungaji ni mekufunza kiospitali barikiwa

  • @user-tx3dr7mj9n
    @user-tx3dr7mj9n9 ай бұрын

    Munyu akutiye nguvu📖

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Жыл бұрын

    AMINA

  • @mariakalama3014
    @mariakalama30143 ай бұрын

    Wewe huoni kama umeumiza bwana wako 😊

  • @demaa2183
    @demaa2183 Жыл бұрын

    Naitaji maombi yenu.....natoka kenya

  • @myself4128
    @myself4128 Жыл бұрын

    Dunia pana saaaana aisee!

  • @hajiameir8688
    @hajiameir868811 ай бұрын

    Wewe muongo Acha kuukashifu uisilamu Allah atakulipia hapa hapa duniani Kwa idhini yake mm nakuombea Kwa Allah uwe muislamu iko siku

  • @user-xd9kw6nt8w

    @user-xd9kw6nt8w

    7 күн бұрын

    Huyo hajakashifu uislamu bali anaongea kitu Cha kweli ambayo ni lugha ya majini wanayoongea huku na namba wanavyomswalia Mungu wao ambaye ni lusifa na yeye huyu mtumishi alikuwa mmoja wa kuzimu ndo maana anajua yote maana hata yeye alikuwa anafanya hayo

  • @halimaiddy9168
    @halimaiddy91683 ай бұрын

    Promova ongeza maono juu ya mitambo ya kisasa zaidi huku uduma itakujakua kubwa mnoooo nenda na spidi yake isikuache njiani

  • @annamulenda6652
    @annamulenda6652 Жыл бұрын

    Kanisa liko wapi hapa Dar.. Ukonga semu gani ?

  • @MariahJonah
    @MariahJonah2 ай бұрын

    Naitaji kujazwa na roho mtakatifu

  • @peterdeus1990
    @peterdeus1990 Жыл бұрын

    VIDEO inarukaruka sana

  • @user-xd9kw6nt8w
    @user-xd9kw6nt8w7 күн бұрын

    Nataka kujua hayo masaa mengine ni mchana?

  • @mamaSarah-mc6mk
    @mamaSarah-mc6mk3 ай бұрын

    Naomba namba ya huyo mchungaji

  • @elifarajasamwel3583
    @elifarajasamwel3583 Жыл бұрын

    Hakika ukweli kuna hatari jamaniii

  • @MariahJonah
    @MariahJonah2 ай бұрын

    Ni vipi mtu anaweza kujazwa na roho mtakatifu mcungaji amiel

  • @nkabo507
    @nkabo507 Жыл бұрын

    Naomba kujua Dar uko sehemu gani

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    Ukonga Sabasaba

  • @jeniphatemu2937
    @jeniphatemu2937 Жыл бұрын

    MBARIKIWE, NAOMBA HILO LA SIRI ZA MAJI NA MAFUTA TUFAFANULIWE ILI KUSAIDIA MAAMUZI. NAMNA KAMBI YA GIZA WANAVYOTUMIA ILI TUWEZE KUTAMBUA KWAMBA HUU NI UCHAWI.

  • @kakanicodemus3632

    @kakanicodemus3632

    Жыл бұрын

    Aliliongea sana ktk ushuhuda ambao upo KZread ktk channel ya promover TV

  • @OmanOman-hx8yv
    @OmanOman-hx8yv7 ай бұрын

    Naomba namba jamani

  • @patriciamakia4509
    @patriciamakia4509 Жыл бұрын

    Naomba kujua upo dar sehemu gani nahitaji kuudhulia

  • @nicodemusmpogole967

    @nicodemusmpogole967

    Жыл бұрын

    Ukonga sababa

  • @happymlawa5698

    @happymlawa5698

    10 ай бұрын

    bwana Yesu asifiwe, kwa anayejua kanisa lilipo,tafadhari tunaomba maelekezo jinsi ya kufika.Asante

  • @We2k7
    @We2k7 Жыл бұрын

    Téléphone ya mchungaji amiel Katekela

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    +255 756 275 511

  • @hajiameir8688
    @hajiameir868811 ай бұрын

    Sasa haya makelele ya KAZI gani

  • @marywachira3745
    @marywachira3745 Жыл бұрын

    Number ya huyu mtumishi naitaka kwa maombi

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    0756275511 Mch.Amiel Katekela

  • @mugishomwenda3415
    @mugishomwenda3415 Жыл бұрын

    Ubiri watu WAAChe DHAMBI bro acha ungaga wa kienyeji Hesabu 23:23 [23]Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu! Surely there is no enchantment against Jacob, neither is there any divination against Israel: according to this time it shall be said of Jacob and of Israel, What hath God wrought!

  • @simonrevelian7278

    @simonrevelian7278

    Жыл бұрын

    Nawe una tatizo la kuingilia kazi ya roho mtakatifu, anposimama hapo amepewa Cha kuhuburi, Mungu ana namna ya kuokoa aliowakusudia, acha kabisa,

  • @marthacharles3872

    @marthacharles3872

    Жыл бұрын

    Jaman si msikilize ujumbe na ujumbee huu ni Amina na kweli

  • @aloycemary1968

    @aloycemary1968

    Жыл бұрын

    Bora afichue Siri za kichawi ili tujue tunawapiga vipi kwa jina la Yesu

  • @amyesanga2004

    @amyesanga2004

    Жыл бұрын

    @@aloycemary1968 mwacheni tuu yamkini wanamfichilia Siri zake ndo anachukia.asamehewe.

  • @janethmwihumbo1289

    @janethmwihumbo1289

    Жыл бұрын

    Lakini shetani yupo huyu alitumika uko lazima atoe Siri ili ujue unayepambana naye ,tofauti na mtumishi aliyeitwa bila kutumika kwenye giza

  • @veronicahkhaikwa4929
    @veronicahkhaikwa4929 Жыл бұрын

    Mchungaji anajua kuimba pia asifiwe yesu

  • @iradukundafrederic2964

    @iradukundafrederic2964

    Жыл бұрын

    Niko Burundi natamani mtumishi ujehukukwetu naombanamba zako za whatsapp

  • @teklalumalanja1752

    @teklalumalanja1752

    Жыл бұрын

    Mchunqaji unafundisha vizuri lakini unapoponda makanisa ya wachunqaji wenzako ndipo utajipunquzia utukufu. Siyo makanisa ya wachunqaji wenzio kwamba Ni Moto wa mabua. Tanzania you're haitakuja AGT, AU TAG. Kila mtu Munqu humchaqulia pa kwenda. Wewe fundidha neno tunabarikuwa. Acha kuponda wachunqaji au manabii. Vita Yetu sisi Niya shetani tu.

  • @famusepeopleday1093

    @famusepeopleday1093

    Жыл бұрын

    Mungu nimwema sana Ubarikiwe sana mujungaji Naomba hata namba yako kwaajili ya maombi please 🙏

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 Жыл бұрын

    Amen

Келесі