Day1_Semina Dsm Tz "KUZIVUNJA MIHURI ZA KICHAWI" Na Mch.Amiel Katekela kanisa la Patmo Gombo la chuo
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 101
MUNGU azidi kukutunza Mtumishi wa MUNGU, karibu Sana uku mpakani mwa Tanzania na Malawi
Ubarikiwe sana mchungaji,kwa jina la Lord Jesus Christ...Bwana azidi kukutia nguvu ili uzidi kutupa siri za Shetani(Allah) na malaika zake Majini.
Mungu akutiye nguvu Mtumishi tunahitaji maombi tunateseka na hizo Roho.
Natamani mungu akutume hauku Congo bukuvu ilinikuone kwamaco yangu mawili. Nakupendaga sana.
Ubarikiwe sana mtumishi Katekela, tunakupenda mno, Mungu wa mbinguni akulinde
Bwana yes asifiwe mtumishi wa Mungu aliye hai nabarikiwa Sana kwa mafundisho hayo namwomba Mungu huje huku Mzambique ulete hiyo injili yenye huwai ikiwezekana upande kanisa Jesus akuinuwe sana
Mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU wambinguni 🙏🙏🙏
Mchungaji katekela Mungu akuinue Na akulinde mpaka uende Mbinguni
Mungu akulinde zaid na afanye njia hata pasipo na njia injili uliyoibeba iwafikie wengi waokolewe
Ubarikiwe Sana Mchungaji
Ubarikiwe mtumish wa Yesu
Ubarikiwe Sana Hilo ganisa liko sehemu gani Mtumishi tumelitafuta Hilo kabisa yangu jumapili hatujaliona tunaomba mtuwlekeze ili tupate baraka
Ubarikiwe mtumishi MUNGU , kwa kutufundisha tuwe odari wa kusali.
Ubariwe mchungaji nabakiwa sana Kwa mafundishi yako.karibu mkoa wa njombe
Shetani kapata Sana hasara kumpoteza Mch katekela, ndie kasaidia Sana wengi kuzijua siri za shetani na kuwatakia wengi nguvu
Jamani mtumishi asante kwakunistua nilikua sijui kama kunaibada ya wachaji silali tena sasa kumi na moja
mtu nmzima hatishiwi nyau,mtoto wamgalilaya bendera chuma mlingoti chuma,❤🎉
Bwana asifiwe sana mtumishi wa Mungu Ubarikiwe pamoja na nyumba yako nikisema Pole Sana Kwa ajali iliyokupa upone Kwa Haraka kwa jina la Bwana Yesu pokea na nguvu Mara tena
Mungu aliye mbiguni akubaliki mtumishi karibu kwetu momba nafuatilia mahubiri hayo nkiwa Zambia lakini kwetu momba tz
@saramgula6357
Жыл бұрын
Wakumwitu..
Umenobariki sana
God bless. Very educative
Amen
Mungu akupeye maisha marufu mtumishi wa Mungu
Amen Amen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Amen barikiwe sana
Tunaomba video zitulie vizuri.
Ubarikiwe sana mtumishi
Amina amina baba
Amen amen amen hallelujah hallelujah thank lord huyu ni mwanzo
Barikiwa sana.
asante sana watumishi wa Mungu kwa kazi njema ya Mungu,lakini alie upande wa pili wa microphone apunguze sauti.
Mchg Bwana Yesu, ninashida nitapataje kitabu na Ni sh. ngapi? Na nitapataje nipo Mwanga Kilimanjaro. Asante ubarikiwe.
Amina!
Hallelujah
Amina Amina
Amen Amen Barikiwa mno kwa Kazi njema Mungu akuinue zaidi.
From KENYA
@bintmwambapa7734
Жыл бұрын
MUNGU azidi kukutunza Mtumishi wa MUNGU.
@smariamwambene9524
Жыл бұрын
Upo dar sehemu gan nije nikuone mtumishi
Amen Niko kenya naomba maombi yafamilia
@saramss7262
Жыл бұрын
Barikiwaa SANA mtumishii hallelujah hallelujah hallelujah
Very educative. May God bless you
Mungu wetu nimkuu sana
MUNGU NIOMBI LANGU wew uwe wangu daima milele
@jacklinekimario296
Жыл бұрын
AMEN ata mm.
@elifarajasamwel3583
Жыл бұрын
Ubarikiwe ninaomba no plz Mtu Wa Mungu
@jacklinekimario296
Жыл бұрын
Ok
@elifarajasamwel3583
Жыл бұрын
@@jacklinekimario296 habarii Mtumishi
@elifarajasamwel3583
Жыл бұрын
@@jacklinekimario296 Uko wapii Mtumishi ,sisi TUMEPATA NEEMA ya kuhudhuria seminaa hiii
Mchungaji naomba kufunguliwa kutokana na kula udongo. Naula kwa wingi sana.
@fwambamarkd5735
Жыл бұрын
Mama tafta dawa ya minyoo alafu tumia dawa ya kuongeza damu kwa mwili, ukule mboga ya kienyeji kwa wingi, maini mara moja moja kwa wiki ama nyama alafu unywe maji kwa wingi na Mungu wa mbinguni atakusaidia
@fwambamarkd5735
Жыл бұрын
Mimi si mchungaji ni mekufunza kiospitali barikiwa
Munyu akutiye nguvu📖
AMINA
Wewe huoni kama umeumiza bwana wako 😊
Naitaji maombi yenu.....natoka kenya
Dunia pana saaaana aisee!
Wewe muongo Acha kuukashifu uisilamu Allah atakulipia hapa hapa duniani Kwa idhini yake mm nakuombea Kwa Allah uwe muislamu iko siku
@user-xd9kw6nt8w
7 күн бұрын
Huyo hajakashifu uislamu bali anaongea kitu Cha kweli ambayo ni lugha ya majini wanayoongea huku na namba wanavyomswalia Mungu wao ambaye ni lusifa na yeye huyu mtumishi alikuwa mmoja wa kuzimu ndo maana anajua yote maana hata yeye alikuwa anafanya hayo
Promova ongeza maono juu ya mitambo ya kisasa zaidi huku uduma itakujakua kubwa mnoooo nenda na spidi yake isikuache njiani
Kanisa liko wapi hapa Dar.. Ukonga semu gani ?
Naitaji kujazwa na roho mtakatifu
VIDEO inarukaruka sana
Nataka kujua hayo masaa mengine ni mchana?
Naomba namba ya huyo mchungaji
Hakika ukweli kuna hatari jamaniii
Ni vipi mtu anaweza kujazwa na roho mtakatifu mcungaji amiel
Naomba kujua Dar uko sehemu gani
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Ukonga Sabasaba
MBARIKIWE, NAOMBA HILO LA SIRI ZA MAJI NA MAFUTA TUFAFANULIWE ILI KUSAIDIA MAAMUZI. NAMNA KAMBI YA GIZA WANAVYOTUMIA ILI TUWEZE KUTAMBUA KWAMBA HUU NI UCHAWI.
@kakanicodemus3632
Жыл бұрын
Aliliongea sana ktk ushuhuda ambao upo KZread ktk channel ya promover TV
Naomba namba jamani
Naomba kujua upo dar sehemu gani nahitaji kuudhulia
@nicodemusmpogole967
Жыл бұрын
Ukonga sababa
@happymlawa5698
10 ай бұрын
bwana Yesu asifiwe, kwa anayejua kanisa lilipo,tafadhari tunaomba maelekezo jinsi ya kufika.Asante
Téléphone ya mchungaji amiel Katekela
@PromovertvTz
Жыл бұрын
+255 756 275 511
Sasa haya makelele ya KAZI gani
Number ya huyu mtumishi naitaka kwa maombi
@PromovertvTz
Жыл бұрын
0756275511 Mch.Amiel Katekela
Ubiri watu WAAChe DHAMBI bro acha ungaga wa kienyeji Hesabu 23:23 [23]Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu! Surely there is no enchantment against Jacob, neither is there any divination against Israel: according to this time it shall be said of Jacob and of Israel, What hath God wrought!
@simonrevelian7278
Жыл бұрын
Nawe una tatizo la kuingilia kazi ya roho mtakatifu, anposimama hapo amepewa Cha kuhuburi, Mungu ana namna ya kuokoa aliowakusudia, acha kabisa,
@marthacharles3872
Жыл бұрын
Jaman si msikilize ujumbe na ujumbee huu ni Amina na kweli
@aloycemary1968
Жыл бұрын
Bora afichue Siri za kichawi ili tujue tunawapiga vipi kwa jina la Yesu
@amyesanga2004
Жыл бұрын
@@aloycemary1968 mwacheni tuu yamkini wanamfichilia Siri zake ndo anachukia.asamehewe.
@janethmwihumbo1289
Жыл бұрын
Lakini shetani yupo huyu alitumika uko lazima atoe Siri ili ujue unayepambana naye ,tofauti na mtumishi aliyeitwa bila kutumika kwenye giza
Mchungaji anajua kuimba pia asifiwe yesu
@iradukundafrederic2964
Жыл бұрын
Niko Burundi natamani mtumishi ujehukukwetu naombanamba zako za whatsapp
@teklalumalanja1752
Жыл бұрын
Mchunqaji unafundisha vizuri lakini unapoponda makanisa ya wachunqaji wenzako ndipo utajipunquzia utukufu. Siyo makanisa ya wachunqaji wenzio kwamba Ni Moto wa mabua. Tanzania you're haitakuja AGT, AU TAG. Kila mtu Munqu humchaqulia pa kwenda. Wewe fundidha neno tunabarikuwa. Acha kuponda wachunqaji au manabii. Vita Yetu sisi Niya shetani tu.
@famusepeopleday1093
Жыл бұрын
Mungu nimwema sana Ubarikiwe sana mujungaji Naomba hata namba yako kwaajili ya maombi please 🙏
Amen