AINA 7 ZA LAANA NA JINSI YA KUZIONDOA KWA MAOMBI TU | Day2_Semina Kahama na Mch.Amiel Katekela

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 136

  • @faze_narq6890
    @faze_narq68902 жыл бұрын

    Huyu Mtumishi ni nothing but MOTO FIRE 🔥💥💥💥kombora kombora la yesu kristo! Umeteuliwa kwa nyakati kama huu for the glory of God! Asante Mungu wetu hatuna sababu yakuenda Jehanamu tena!! Yesu kristo mwana wa Mungu kupitia huyu Mtumishi wa bwana amempasau wazi shetani na hila zake zote!! Asante Jesu kristo kwa upendo wako mkuu kwetu. Be blessed!!!

  • @zaituniomollo

    @zaituniomollo

    Жыл бұрын

    Asante sana mungu kwa mtumish wako Amiel kuputia kwake nimefunuliwa mambo ambayo sikuwa nimefunuliwa naamini kila laana kinyume na maisha yangu itapigwa na nguvu za moto wa yesu christo for sure it's a powerful revelation be blessed man of God Amen

  • @suzanakumburu9035
    @suzanakumburu90352 жыл бұрын

    Amen balikiwa sana mtumishi wa MUNGU balikiwa sana kaka Jacktan Kwa kazi kubwa tunabalikiwa Tunajifunza na kuinuka kiimani kupitia promover tv MUNGU azidi kukuinua na kukupa hitaji la moyo wako mtumishi

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Ameeen

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko96852 жыл бұрын

    Nashukuru sana jack tana na mtumishi amiel kwa somo zuri nazidi kupata maarifa; lakini wapendwa mkipata nafasi sikiliza masomo haya kutoka kwa josephati gwajima( jitu la mbinguni) √akili iliyologwa. √ koo tata √ laana ya familia √ kesho iliyopiga kona √ vifuniko vya kichawi √ viapo vya kichawi √ kalenda za kichawi √faida za kufunga na kuomba √ viwanda vya uharibifu √ haikuwa hivi tangu mwanzo √kwanini ukawagusa masihi wa BWANA

  • @RoselineNyachwaya
    @RoselineNyachwaya2 ай бұрын

    Amen amen nimebarikiwa sana. Asante Yesu🙌🙌

  • @reenymosha3485
    @reenymosha34852 жыл бұрын

    Ameni....barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa kazi kubwaa hii....hakika ni mafundisho ya kutufunua fikra na kujenga imani kubwa ktk Yesu Kristo.Amen

  • @millicentnaliaka
    @millicentnaliaka2 жыл бұрын

    Amen Amen Amen Mungu azidi kukuweka kweli kwa aajili ya wengi hatukua tunajua ila siri yakufungwa na aina hizo za laana imefichuliwa na shetanibkweli hana chakwake tena ila YESUUUUU ametupokea tulio wake Mungu atusaidie sana kuishinda dhambi kweli mubarikiwe sana watumishi wa Mungu mr Jacktan promover tv na mtumishi Amieli Kitekela kweli mi mkenya hehee laana yaukabila inatusmbua I say hnaenda mahali kuomba kazi unakosa kisa kabila lako tu waah vile vile naweza sema wa afrika tunakataliwa haswa nchi ya ugenini kisa sisi waafrika lakini naamini siri tumeigundua nikuivunja kwa Jina la Yesu na tutakua huru hatutaomba kazi tukataliwe kwa Jina kuu La Yesu lipitalo majina yote

  • @samuelsscjtv1178

    @samuelsscjtv1178

    Жыл бұрын

    Pokea Salamu Dada

  • @denisjackson9414
    @denisjackson94142 жыл бұрын

    Hakika nimebarikiwa sana kwa ufafanuzi huu wa aina 7 za laana. Ubarikiwr Mtumishi wa MUNGU. Amen.

  • @sallymumia8425
    @sallymumia84252 жыл бұрын

    We have been waiting,for this,most Christians don't know this.

  • @anitasamson7850
    @anitasamson78502 жыл бұрын

    Asante sana mtumishi wa Mungu Mungu akubariki sana, somo zuri sana tutaendelea kuomba na kuvunja laana zote mpaka kieleweke katika jina la Yesu Kristo na kwa Damu yake.

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika9072 жыл бұрын

    Bwana YESU asifiwe.. Mutumishi jacktan Musafiri aksanti sana ❤️... Mutumishi Amiel Mungu akupe nguvu ya kutu fundisha tena..na tena..💃ndjo iyi ina itwa tshakula ya maana..ina djenga kweli.. Aksanti ❤️na wapenda sana💃💃

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen,asante pia

  • @nellydeborah943
    @nellydeborah9432 жыл бұрын

    Amen zimevunjika kwa jina la Yesu Kristo aliye hai.

  • @jacquelinerite3730

    @jacquelinerite3730

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @sophiamakani6133

    @sophiamakani6133

    2 жыл бұрын

    Zivunjike kwa jina la yesu

  • @irenek7280
    @irenek72802 жыл бұрын

    Amen 🙏 this is 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 blessings mtumishi Amiel and jacktan am learning alot

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Unaonaje tukianzisha group la wasikilizaji

  • @irenek7280

    @irenek7280

    2 жыл бұрын

    @@highzacknnko9685am in for the idea what's your suggestions

  • @magdalenawerema1658
    @magdalenawerema16582 жыл бұрын

    Ubarikiwe kwa kufunua kazi za ibilisi na mawakala wake

  • @annshiku5508
    @annshiku55082 жыл бұрын

    Ooh yes Glory be to God 🙏

  • @mandyaltrfawi1507
    @mandyaltrfawi15072 жыл бұрын

    Amen Amen

  • @LucasSambilo-gn2dt
    @LucasSambilo-gn2dt Жыл бұрын

    Mungu akubaliki sana mtumishi wa mungu hakika hili litatuweka sawa kujua nini maana ya laana

  • @neemamwalende9740
    @neemamwalende97402 жыл бұрын

    Amen kwa YESU katekera MUNGU akubariki.

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Ameeeen......

  • @pastorpraisehappiness2157
    @pastorpraisehappiness21572 жыл бұрын

    Promover TV nawapeni hongera kwa kazi mnayoifanya,,ila nami nina jambo lizito sana limeumiza moyo wangu na ningetaka kuli share maana mimi ni Mchungaji na ninaamini wapo wachungaji wengi wanapitia kama hivi nlivyopitia.naombeni mnipe nafasi nami niongee na dunia yote.sitaki kuyataja hapa kwa message ila nkipewa nafasi kwa promover TV ntamimina moyo wangu ili vijana wengi wasaidike..

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Katibu sana, tuwasiliane tu

  • @pastorpraisehappiness2157

    @pastorpraisehappiness2157

    2 жыл бұрын

    @@PromovertvTz Ahsante ntawasiliana nanyi hivi karibuni..

  • @marrywilson5932
    @marrywilson59322 жыл бұрын

    Barikiwa sana mimi hayo malaanakaribia yote yana nigusa sijui nitawasilianaje Mtumishi Jactan

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 жыл бұрын

    Si unakuwa umeharibu Mambo yoote ya Yesu Kristo

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Wasiliana na PROMOVER TV

  • @bonifasemmanuel4700

    @bonifasemmanuel4700

    2 жыл бұрын

    Pole sana ndugu yangu,Mungu akusaidie

  • @nelsonsalumu3064
    @nelsonsalumu30642 жыл бұрын

    Barikiwa sana Mtumishi wa Yesu

  • @gladysriziki2442
    @gladysriziki2442 Жыл бұрын

    Amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nikitaka kuwasiliana na wewe mtumishi nafanyaje nko Kenya mm ila nmebarikiwa sana na mafundisho 🙏🙏

  • @happykajeli5453
    @happykajeli54532 жыл бұрын

    Asante Yesu kwa kutuletea mtumishi Amiel najifunza mengi kwenye semina hii

  • @carolinederi5690
    @carolinederi56902 жыл бұрын

    Nabarikiwa sana kwa mafundsho haya Mungu azidi kuwabariki wana promover ...Injili isonge mbele daima

  • @tatumluv6054
    @tatumluv60542 жыл бұрын

    Amen Amen barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Ameeeen........

  • @violethadeus5376
    @violethadeus5376 Жыл бұрын

    Amina

  • @mandyaltrfawi6986
    @mandyaltrfawi69862 жыл бұрын

    Barikiweni watumishi wa Mungu

  • @sallymumia8425
    @sallymumia84252 жыл бұрын

    Thank you,Lord Jesus Christ.

  • @fezakabala6589
    @fezakabala65892 жыл бұрын

    Ubarikiwe tena mutumishi wa mungu 🇨🇩🇨🇩🇨🇵🇨🇵

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Unaonaje tukianzisha group la wasap

  • @helenbahati8038
    @helenbahati80382 жыл бұрын

    Amen Amen mtumishi barikiwa

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Unaonaje tuanzishe group la wasikilizaji tupeane habari za injili na taarifa zinginle

  • @lydiawasai9439
    @lydiawasai94392 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana. This is so eye opening.. blessings your way....🙌 🙌 🙌 🙌 🙌

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Unaonaje tukaanzisha grup la wasikilizaji!!!!

  • @lydiawasai9439

    @lydiawasai9439

    2 жыл бұрын

    @@highzacknnko9685 I think it's a good idea but what's the purpose and the motive behind it.

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    @@lydiawasai9439 just to share different testimonies,opportunities advice's as well as the word of God

  • @beatricebukuru7821
    @beatricebukuru78212 жыл бұрын

    Asante Sana mutumishi wamungu

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa84902 жыл бұрын

    Amen glory to God

  • @sophiamakani6133

    @sophiamakani6133

    2 жыл бұрын

    Amen and Amen I'm blessed 🙌

  • @violethadeus5376
    @violethadeus5376 Жыл бұрын

    Mungu.akurinde

  • @lidyamidika-wv7xf
    @lidyamidika-wv7xf Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi .

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina53812 жыл бұрын

    Mungu awabariki watumishi wa Bwana wetu Yesu Kristo

  • @marykombo1563
    @marykombo1563 Жыл бұрын

    nabi niombea nioleke nimbate ndoa yangu

  • @user-kn3lh1co6u
    @user-kn3lh1co6u2 жыл бұрын

    Amen amen jina la bwana lipewe sifa

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Ameeeeen

  • @mwangazakanganga8110
    @mwangazakanganga81102 жыл бұрын

    Asante Mtumishi

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Unaonaje tukianzisha group la wasikilizaji kupeana taarifa za injili na mengine

  • @evelynetitus974
    @evelynetitus9742 жыл бұрын

    Kabisa mtumishi wa Mungu ujumbe nzuri sana

  • @lucyshiko1881
    @lucyshiko18812 жыл бұрын

    Jamani kwaivo jacktan hamkuji Tena Kenya?manake tuliwangojea sana n mtumishi wa mungu Aston

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Unaonaje tukianzisha group la wasikilizaji kupeana taarifa mbalimbali?

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Tutatoa taarifa kuhusu safari ya Kenya

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa77582 жыл бұрын

    AMEN AMEN 🙏

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka43192 жыл бұрын

    Safi sana na laiti kama wakristo tungejijua kwa kweli tungekuwa na umoja na pasingekuwa dhambi na wala uislmu

  • @mwimurengukana1119
    @mwimurengukana11192 жыл бұрын

    Ubarikiwa mtumishi wa Bwana

  • @liliankamanga4294
    @liliankamanga42942 жыл бұрын

    Thank you for the word. Thank you to the man of God Pastor Amiel and to Promover TV. May the Lord creator of the universe lift you. Amen.

  • @isackwere5790

    @isackwere5790

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Amen...

  • @noellanduwimana51

    @noellanduwimana51

    2 жыл бұрын

    Mungu wetu Ameen..mutumishi anaongeya kirundi Ameenn

  • @joannanekesa7758
    @joannanekesa77582 жыл бұрын

    It true n ukweli kabisa pastor nimeonea kwa mwanangu sikosele kwa jina la Yesu ishindwe

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Ameeeeen

  • @bettyadhiambo9557
    @bettyadhiambo95572 жыл бұрын

    Yesu wa Galilaya atuondolee laana

  • @beatricebukuru7821
    @beatricebukuru78212 жыл бұрын

    Mungu tusaidie ututoe kwarana zote

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Unaonaje tukianzisha group la wasikilizaji kupeana taarifa mbalimbali

  • @Isackhamka
    @IsackhamkaАй бұрын

    Amen

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q Жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @marykombo1563
    @marykombo1563 Жыл бұрын

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @johnmilambo6950
    @johnmilambo69502 жыл бұрын

    Mungu awe pamoja nawewe

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Ameeeeeen....

  • @frankinspired6486
    @frankinspired64862 жыл бұрын

    Sababu 3 za laana 1)Matokeo au matunda ya dhambi Za binadamu 2)Mateso Kwa familia, jamii, ukoo ambayo kianzilishi ni mtu mmoja aliyetenda jambo fulani 3)Agano katikati ya shetani na malaika zake kummiliki mtu ili kumpotezea mafanikio Aina 7 za laana 1)Laana Za ukoo-=Kiini ni mababu 2)Laana ya kabila= Asili fulani itesayo kabila 3)Laana za ardhi=Hatia inayokabidhi watu wengi ikisababishwa na nguvu za kafara ya damu iliyomwagwa ardhini 4)Laana ya nchi= Maagano yanayofungwa nchini kama mkataba utakayounda tabia ya nchi usika, mktaba unaunda uchifu, utemi uitwao sa..nist na satanisti na kutolewa kafara ya nguvu ya kisatanisti . Hii laana uondoa amani na mafanikio ya nchi. 5)Laana binafsi= Mateso inayompata Mtu Kutokana na hatia aliyosababisha yeye mwenyewe 6)Laana ya taorati =Mateso inayojidhirisha mbele zako kutokana na dhambi ulizifanya kitambo labda kabla hata hujaokoa, zinaletwa kwako kuzuia connection na baraka zako 7)Laana isiyo na sababu= Mateso unayofungiwa kutokana na: (a) Udhaifu wako katika nguvu na mamlaka ya imani . Udhaifu ni kutokujitambua wewe ni nani na unafanya nini (b) Mateso unayofungiwa kutokana na mafanikio yako unayoyapata Ili Kushinda hizi roho ukishazitambua ishi kimyume.. Asanteni Jacktan na Amieli.. Tueleze pia ulizitumiaje hizi laana haswa kwa kuwadhuru walokole..

  • @myself4128

    @myself4128

    2 жыл бұрын

    laana ya Torati haipo...dhambi ya zamani haiwezi kuhesabiwa sababu ukiokoka unakiwa mtu mpya

  • @frankinspired6486

    @frankinspired6486

    2 жыл бұрын

    @@myself4128 Amiel alieleza kwamba wanatafuta dhambi gani ilikufunga zamani, ukiomba wanakukumbusha sasa badala ya kuendelea maombi unaanza kutubu tena, naona hii ni ile kimombo wanaita "guilt". Tusisahau pia Daudi akiomba akisema "usiniesabie dhambi za ujana wangu" Pia ni rahisi waangushe Mtu Kwa dhambi ya kale kama vile akiekuwa Kahaba wanamtia hali ya vikwazo arudi kwa usherati na ukahaba na kumnasa tena... Labda jacktan na Amiel wanaeza fafanua zaidi..

  • @dannyalon2967
    @dannyalon2967 Жыл бұрын

    Amen amen

  • @myself4128
    @myself41282 жыл бұрын

    Ndio sababu wakristo wengi wanaishi kwa Shida wakihama makanisa kwa kukimbilia upako!! hakuna suluhisho huko suala ni kutambua nna ya kupambana vita hii!!

  • @lispamagu5810
    @lispamagu58102 жыл бұрын

    Kwa yesu kunaraha jaman

  • @sarabura3314
    @sarabura33142 жыл бұрын

    amen

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Unaonaje kama tukiunda group la wasikilizaji ili tuwe tunapeana taarifa mbalimbali

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi74942 жыл бұрын

    Ameeeeeeen

  • @teresakerubi
    @teresakerubi Жыл бұрын

    Naitaji usaidizi wa maombi🇰🇪

  • @marrywilson5932
    @marrywilson59322 жыл бұрын

    Amieli Jactan

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Unaonaje tukianzisha group kwa wasikilizaji

  • @mariakalama3014
    @mariakalama30142 ай бұрын

    Mchungaji ako sawa hafichi dhambi

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q Жыл бұрын

    Siyo Mimi

  • @millicentnaliaka
    @millicentnaliaka2 жыл бұрын

    Mr Jactan nilifstilia story ya misikule vipi nikiomba mchungaji alete ibada kwetu siku moja je babangu kama alivhukuliwa msikule anaweza rudi aki mi bado nahisi babangu yuko nimekutana na ushuhuda mwingine pale kuwa mtoto alikufa akiwa darasa la pili na anapatikana miezi miwili iliyopita baada ya miaka 15 waah nisaidieni kuomba

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Amen,ongea na Mchungaji

  • @millicentnaliaka

    @millicentnaliaka

    2 жыл бұрын

    @@PromovertvTz asante sana nitaongea naye

  • @kimsamespa8490

    @kimsamespa8490

    2 жыл бұрын

    Muona bishop Gwajima yupo huko chamwino arudishe misukule hata anapanga kufungua Kambi huko

  • @millicentnaliaka

    @millicentnaliaka

    2 жыл бұрын

    @@kimsamespa8490 hmm am not a tanzanian am a kenyan

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 жыл бұрын

    @@millicentnaliaka so ??

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko96852 жыл бұрын

    Kwa damu ya Yesu naomba rehema na msamaha juu ya mababa walio tangulia ni kweli walifanya dhambi lakini Yesu Mimi naomba msamaha baba unisikie kabisa, - sasa nakuja kuwapasua kila wasimamizi wakike wakiume wanaosimamia mateso ya familia kwa jina la Yesu,nawachana chana chana achia akili,achia utashi achia,taifa achia kabila achia koo,achia taifa ,achia watumishi,achia vijana,achia nawapasua mabondeni nawapasua milimani nawapasua mjini nawapasua mitoni nawapasua njia panda nawapasua hospitalini,nawapasua achia mikono achia miguu achia macho na masikio naongea na kuzimu natuma malaika mwenye upanga wa moto wawapasue katika jina la Yesu hakika hamtaniweza

  • @maryruhumuliza.7446

    @maryruhumuliza.7446

    2 жыл бұрын

    Asante mtumishi wa Mungu mhubiri lakini pia asante wewe uliyetoa comments ukichana hizo roho chafu. Mungu akubariki sana.

  • @shalomkind4575
    @shalomkind45752 жыл бұрын

    Jamani naomba namba za huyu mchungaji !!

  • @heritier5119
    @heritier51192 жыл бұрын

    Watu wote waliokuwa watumishi wa shetani na wakageuka na kuokoka wakiwa watumishi huwa ni watumishi wa kweli.

  • @mercyelahuya9522
    @mercyelahuya95222 жыл бұрын

    Jamani mtumishi ubarikiwe. Nilivamiwa na waliovaa black nikamwita Yesu nikasikia mmoja akisema nimemwua mmoja wao. Hivi Kuna mtu alikufa kweli?

  • @myself4128
    @myself41282 жыл бұрын

    Mara mafutaara wakimbilie chumvi ni shida tuu kama wapagani! Akisikia Mganga kafungua kanisa anajiunga mara nabii mara mtume yaani wanafuata upepo tuuu

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika9072 жыл бұрын

    ...🤔samaani what is KORONGO ??...

  • @barnaba3037

    @barnaba3037

    2 жыл бұрын

    Depressed land, like a crater

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    @@barnaba3037 not exactly crater,

  • @barnaba3037

    @barnaba3037

    2 жыл бұрын

    @@highzacknnko9685 did I said exactly?

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    @@barnaba3037 did I refuse your opinions?

  • @barnaba3037

    @barnaba3037

    2 жыл бұрын

    @@highzacknnko9685 it's ok bro, no problem

  • @iyerastv3465
    @iyerastv34652 жыл бұрын

    Naeza taka kujuwa kabila lako kaka.....hio lugha unaongea nikirundi....hio nyene unachangia ndani

  • @iyerastv3465

    @iyerastv3465

    2 жыл бұрын

    Wewe ni musukuma kweli ama ni muburundi?

  • @juliethscott1129
    @juliethscott11292 жыл бұрын

    Mtumishi barikiwa ila tukikupigia hupokei tunashida ya kuongea nawe

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    2 жыл бұрын

    Unaonaje tukianzisha group la wasikilizaji tukipeana taarifa za injili na zingine

  • @stephenmasambo

    @stephenmasambo

    2 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana ndugu yangu Akatekela ,Neno limenijenga mno natamani nikuone . Mwenewachu

  • @pastorpraisehappiness2157

    @pastorpraisehappiness2157

    2 жыл бұрын

    Pia mimi jameni nimejaribu kufuatiliA Mtumishi kwa WhatsApp ila sikupata majibu..niliambiwa yupo geita naomba kujua geita ipo pale arusha kabla ufike mianzini ama ni vpi, kwa kweli na muhitaji mno huyu Mchungaji.

  • @justinianrubandwa7957

    @justinianrubandwa7957

    2 жыл бұрын

    @@pastorpraisehappiness2157 Ooh pole sana Praise kwa kutojua ramani ya Tanzania. Yaani distance ya Arusha na Geita ni kama labda Mombasa na Kisumu. Geita ipo south west ya Lake Victoria.

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim55392 жыл бұрын

    Mngu aku bariki san

  • @LucasSambilo-gn2dt

    @LucasSambilo-gn2dt

    Жыл бұрын

    Mungu akubaliki

  • @anitasamson7850
    @anitasamson78502 жыл бұрын

    Asante sana mtumishi wa Mungu Mungu akubariki sana, somo zuri sana tutaendelea kuomba na kuvunja laana zote mpaka kieleweke katika jina la Yesu Kristo na kwa Damu yake.

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina53812 жыл бұрын

    Amen

Келесі