AINA 7 ZA LAANA NA JINSI YA KUZIONDOA KWA MAOMBI TU | Day2_Semina Kahama na Mch.Amiel Katekela
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 136
Huyu Mtumishi ni nothing but MOTO FIRE 🔥💥💥💥kombora kombora la yesu kristo! Umeteuliwa kwa nyakati kama huu for the glory of God! Asante Mungu wetu hatuna sababu yakuenda Jehanamu tena!! Yesu kristo mwana wa Mungu kupitia huyu Mtumishi wa bwana amempasau wazi shetani na hila zake zote!! Asante Jesu kristo kwa upendo wako mkuu kwetu. Be blessed!!!
@zaituniomollo
Жыл бұрын
Asante sana mungu kwa mtumish wako Amiel kuputia kwake nimefunuliwa mambo ambayo sikuwa nimefunuliwa naamini kila laana kinyume na maisha yangu itapigwa na nguvu za moto wa yesu christo for sure it's a powerful revelation be blessed man of God Amen
Amen balikiwa sana mtumishi wa MUNGU balikiwa sana kaka Jacktan Kwa kazi kubwa tunabalikiwa Tunajifunza na kuinuka kiimani kupitia promover tv MUNGU azidi kukuinua na kukupa hitaji la moyo wako mtumishi
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Ameeen
Nashukuru sana jack tana na mtumishi amiel kwa somo zuri nazidi kupata maarifa; lakini wapendwa mkipata nafasi sikiliza masomo haya kutoka kwa josephati gwajima( jitu la mbinguni) √akili iliyologwa. √ koo tata √ laana ya familia √ kesho iliyopiga kona √ vifuniko vya kichawi √ viapo vya kichawi √ kalenda za kichawi √faida za kufunga na kuomba √ viwanda vya uharibifu √ haikuwa hivi tangu mwanzo √kwanini ukawagusa masihi wa BWANA
Amen amen nimebarikiwa sana. Asante Yesu🙌🙌
Ameni....barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa kazi kubwaa hii....hakika ni mafundisho ya kutufunua fikra na kujenga imani kubwa ktk Yesu Kristo.Amen
Amen Amen Amen Mungu azidi kukuweka kweli kwa aajili ya wengi hatukua tunajua ila siri yakufungwa na aina hizo za laana imefichuliwa na shetanibkweli hana chakwake tena ila YESUUUUU ametupokea tulio wake Mungu atusaidie sana kuishinda dhambi kweli mubarikiwe sana watumishi wa Mungu mr Jacktan promover tv na mtumishi Amieli Kitekela kweli mi mkenya hehee laana yaukabila inatusmbua I say hnaenda mahali kuomba kazi unakosa kisa kabila lako tu waah vile vile naweza sema wa afrika tunakataliwa haswa nchi ya ugenini kisa sisi waafrika lakini naamini siri tumeigundua nikuivunja kwa Jina la Yesu na tutakua huru hatutaomba kazi tukataliwe kwa Jina kuu La Yesu lipitalo majina yote
@samuelsscjtv1178
Жыл бұрын
Pokea Salamu Dada
Hakika nimebarikiwa sana kwa ufafanuzi huu wa aina 7 za laana. Ubarikiwr Mtumishi wa MUNGU. Amen.
We have been waiting,for this,most Christians don't know this.
Asante sana mtumishi wa Mungu Mungu akubariki sana, somo zuri sana tutaendelea kuomba na kuvunja laana zote mpaka kieleweke katika jina la Yesu Kristo na kwa Damu yake.
Bwana YESU asifiwe.. Mutumishi jacktan Musafiri aksanti sana ❤️... Mutumishi Amiel Mungu akupe nguvu ya kutu fundisha tena..na tena..💃ndjo iyi ina itwa tshakula ya maana..ina djenga kweli.. Aksanti ❤️na wapenda sana💃💃
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen,asante pia
Amen zimevunjika kwa jina la Yesu Kristo aliye hai.
@jacquelinerite3730
2 жыл бұрын
Amen
@sophiamakani6133
2 жыл бұрын
Zivunjike kwa jina la yesu
Amen 🙏 this is 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 blessings mtumishi Amiel and jacktan am learning alot
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Unaonaje tukianzisha group la wasikilizaji
@irenek7280
2 жыл бұрын
@@highzacknnko9685am in for the idea what's your suggestions
Ubarikiwe kwa kufunua kazi za ibilisi na mawakala wake
Ooh yes Glory be to God 🙏
Amen Amen
Mungu akubaliki sana mtumishi wa mungu hakika hili litatuweka sawa kujua nini maana ya laana
Amen kwa YESU katekera MUNGU akubariki.
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Ameeeen......
Promover TV nawapeni hongera kwa kazi mnayoifanya,,ila nami nina jambo lizito sana limeumiza moyo wangu na ningetaka kuli share maana mimi ni Mchungaji na ninaamini wapo wachungaji wengi wanapitia kama hivi nlivyopitia.naombeni mnipe nafasi nami niongee na dunia yote.sitaki kuyataja hapa kwa message ila nkipewa nafasi kwa promover TV ntamimina moyo wangu ili vijana wengi wasaidike..
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Katibu sana, tuwasiliane tu
@pastorpraisehappiness2157
2 жыл бұрын
@@PromovertvTz Ahsante ntawasiliana nanyi hivi karibuni..
Barikiwa sana mimi hayo malaanakaribia yote yana nigusa sijui nitawasilianaje Mtumishi Jactan
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Si unakuwa umeharibu Mambo yoote ya Yesu Kristo
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Wasiliana na PROMOVER TV
@bonifasemmanuel4700
2 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu,Mungu akusaidie
Barikiwa sana Mtumishi wa Yesu
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nikitaka kuwasiliana na wewe mtumishi nafanyaje nko Kenya mm ila nmebarikiwa sana na mafundisho 🙏🙏
Asante Yesu kwa kutuletea mtumishi Amiel najifunza mengi kwenye semina hii
Nabarikiwa sana kwa mafundsho haya Mungu azidi kuwabariki wana promover ...Injili isonge mbele daima
Amen Amen barikiwa mtumishi wa Mungu
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Ameeeen........
Amina
Barikiweni watumishi wa Mungu
Thank you,Lord Jesus Christ.
Ubarikiwe tena mutumishi wa mungu 🇨🇩🇨🇩🇨🇵🇨🇵
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Unaonaje tukianzisha group la wasap
Amen Amen mtumishi barikiwa
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Unaonaje tuanzishe group la wasikilizaji tupeane habari za injili na taarifa zinginle
Mbarikiwe sana. This is so eye opening.. blessings your way....🙌 🙌 🙌 🙌 🙌
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Unaonaje tukaanzisha grup la wasikilizaji!!!!
@lydiawasai9439
2 жыл бұрын
@@highzacknnko9685 I think it's a good idea but what's the purpose and the motive behind it.
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
@@lydiawasai9439 just to share different testimonies,opportunities advice's as well as the word of God
Asante Sana mutumishi wamungu
Amen glory to God
@sophiamakani6133
2 жыл бұрын
Amen and Amen I'm blessed 🙌
Mungu.akurinde
Barikiwa sana mtumishi .
Mungu awabariki watumishi wa Bwana wetu Yesu Kristo
nabi niombea nioleke nimbate ndoa yangu
Amen amen jina la bwana lipewe sifa
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Ameeeeen
Asante Mtumishi
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Unaonaje tukianzisha group la wasikilizaji kupeana taarifa za injili na mengine
Kabisa mtumishi wa Mungu ujumbe nzuri sana
Jamani kwaivo jacktan hamkuji Tena Kenya?manake tuliwangojea sana n mtumishi wa mungu Aston
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Unaonaje tukianzisha group la wasikilizaji kupeana taarifa mbalimbali?
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Tutatoa taarifa kuhusu safari ya Kenya
AMEN AMEN 🙏
Safi sana na laiti kama wakristo tungejijua kwa kweli tungekuwa na umoja na pasingekuwa dhambi na wala uislmu
Ubarikiwa mtumishi wa Bwana
Thank you for the word. Thank you to the man of God Pastor Amiel and to Promover TV. May the Lord creator of the universe lift you. Amen.
@isackwere5790
2 жыл бұрын
Amen
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Amen...
@noellanduwimana51
2 жыл бұрын
Mungu wetu Ameen..mutumishi anaongeya kirundi Ameenn
It true n ukweli kabisa pastor nimeonea kwa mwanangu sikosele kwa jina la Yesu ishindwe
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Ameeeeen
Yesu wa Galilaya atuondolee laana
Mungu tusaidie ututoe kwarana zote
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Unaonaje tukianzisha group la wasikilizaji kupeana taarifa mbalimbali
Amen
Amen 🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏
Mungu awe pamoja nawewe
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Ameeeeeen....
Sababu 3 za laana 1)Matokeo au matunda ya dhambi Za binadamu 2)Mateso Kwa familia, jamii, ukoo ambayo kianzilishi ni mtu mmoja aliyetenda jambo fulani 3)Agano katikati ya shetani na malaika zake kummiliki mtu ili kumpotezea mafanikio Aina 7 za laana 1)Laana Za ukoo-=Kiini ni mababu 2)Laana ya kabila= Asili fulani itesayo kabila 3)Laana za ardhi=Hatia inayokabidhi watu wengi ikisababishwa na nguvu za kafara ya damu iliyomwagwa ardhini 4)Laana ya nchi= Maagano yanayofungwa nchini kama mkataba utakayounda tabia ya nchi usika, mktaba unaunda uchifu, utemi uitwao sa..nist na satanisti na kutolewa kafara ya nguvu ya kisatanisti . Hii laana uondoa amani na mafanikio ya nchi. 5)Laana binafsi= Mateso inayompata Mtu Kutokana na hatia aliyosababisha yeye mwenyewe 6)Laana ya taorati =Mateso inayojidhirisha mbele zako kutokana na dhambi ulizifanya kitambo labda kabla hata hujaokoa, zinaletwa kwako kuzuia connection na baraka zako 7)Laana isiyo na sababu= Mateso unayofungiwa kutokana na: (a) Udhaifu wako katika nguvu na mamlaka ya imani . Udhaifu ni kutokujitambua wewe ni nani na unafanya nini (b) Mateso unayofungiwa kutokana na mafanikio yako unayoyapata Ili Kushinda hizi roho ukishazitambua ishi kimyume.. Asanteni Jacktan na Amieli.. Tueleze pia ulizitumiaje hizi laana haswa kwa kuwadhuru walokole..
@myself4128
2 жыл бұрын
laana ya Torati haipo...dhambi ya zamani haiwezi kuhesabiwa sababu ukiokoka unakiwa mtu mpya
@frankinspired6486
2 жыл бұрын
@@myself4128 Amiel alieleza kwamba wanatafuta dhambi gani ilikufunga zamani, ukiomba wanakukumbusha sasa badala ya kuendelea maombi unaanza kutubu tena, naona hii ni ile kimombo wanaita "guilt". Tusisahau pia Daudi akiomba akisema "usiniesabie dhambi za ujana wangu" Pia ni rahisi waangushe Mtu Kwa dhambi ya kale kama vile akiekuwa Kahaba wanamtia hali ya vikwazo arudi kwa usherati na ukahaba na kumnasa tena... Labda jacktan na Amiel wanaeza fafanua zaidi..
Amen amen
Ndio sababu wakristo wengi wanaishi kwa Shida wakihama makanisa kwa kukimbilia upako!! hakuna suluhisho huko suala ni kutambua nna ya kupambana vita hii!!
Kwa yesu kunaraha jaman
amen
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Unaonaje kama tukiunda group la wasikilizaji ili tuwe tunapeana taarifa mbalimbali
Ameeeeeeen
Naitaji usaidizi wa maombi🇰🇪
Amieli Jactan
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Unaonaje tukianzisha group kwa wasikilizaji
Mchungaji ako sawa hafichi dhambi
Siyo Mimi
Mr Jactan nilifstilia story ya misikule vipi nikiomba mchungaji alete ibada kwetu siku moja je babangu kama alivhukuliwa msikule anaweza rudi aki mi bado nahisi babangu yuko nimekutana na ushuhuda mwingine pale kuwa mtoto alikufa akiwa darasa la pili na anapatikana miezi miwili iliyopita baada ya miaka 15 waah nisaidieni kuomba
@PromovertvTz
2 жыл бұрын
Amen,ongea na Mchungaji
@millicentnaliaka
2 жыл бұрын
@@PromovertvTz asante sana nitaongea naye
@kimsamespa8490
2 жыл бұрын
Muona bishop Gwajima yupo huko chamwino arudishe misukule hata anapanga kufungua Kambi huko
@millicentnaliaka
2 жыл бұрын
@@kimsamespa8490 hmm am not a tanzanian am a kenyan
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
@@millicentnaliaka so ??
Kwa damu ya Yesu naomba rehema na msamaha juu ya mababa walio tangulia ni kweli walifanya dhambi lakini Yesu Mimi naomba msamaha baba unisikie kabisa, - sasa nakuja kuwapasua kila wasimamizi wakike wakiume wanaosimamia mateso ya familia kwa jina la Yesu,nawachana chana chana achia akili,achia utashi achia,taifa achia kabila achia koo,achia taifa ,achia watumishi,achia vijana,achia nawapasua mabondeni nawapasua milimani nawapasua mjini nawapasua mitoni nawapasua njia panda nawapasua hospitalini,nawapasua achia mikono achia miguu achia macho na masikio naongea na kuzimu natuma malaika mwenye upanga wa moto wawapasue katika jina la Yesu hakika hamtaniweza
@maryruhumuliza.7446
2 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu mhubiri lakini pia asante wewe uliyetoa comments ukichana hizo roho chafu. Mungu akubariki sana.
Jamani naomba namba za huyu mchungaji !!
Watu wote waliokuwa watumishi wa shetani na wakageuka na kuokoka wakiwa watumishi huwa ni watumishi wa kweli.
Jamani mtumishi ubarikiwe. Nilivamiwa na waliovaa black nikamwita Yesu nikasikia mmoja akisema nimemwua mmoja wao. Hivi Kuna mtu alikufa kweli?
Mara mafutaara wakimbilie chumvi ni shida tuu kama wapagani! Akisikia Mganga kafungua kanisa anajiunga mara nabii mara mtume yaani wanafuata upepo tuuu
...🤔samaani what is KORONGO ??...
@barnaba3037
2 жыл бұрын
Depressed land, like a crater
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
@@barnaba3037 not exactly crater,
@barnaba3037
2 жыл бұрын
@@highzacknnko9685 did I said exactly?
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
@@barnaba3037 did I refuse your opinions?
@barnaba3037
2 жыл бұрын
@@highzacknnko9685 it's ok bro, no problem
Naeza taka kujuwa kabila lako kaka.....hio lugha unaongea nikirundi....hio nyene unachangia ndani
@iyerastv3465
2 жыл бұрын
Wewe ni musukuma kweli ama ni muburundi?
Mtumishi barikiwa ila tukikupigia hupokei tunashida ya kuongea nawe
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Unaonaje tukianzisha group la wasikilizaji tukipeana taarifa za injili na zingine
@stephenmasambo
2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana ndugu yangu Akatekela ,Neno limenijenga mno natamani nikuone . Mwenewachu
@pastorpraisehappiness2157
2 жыл бұрын
Pia mimi jameni nimejaribu kufuatiliA Mtumishi kwa WhatsApp ila sikupata majibu..niliambiwa yupo geita naomba kujua geita ipo pale arusha kabla ufike mianzini ama ni vpi, kwa kweli na muhitaji mno huyu Mchungaji.
@justinianrubandwa7957
2 жыл бұрын
@@pastorpraisehappiness2157 Ooh pole sana Praise kwa kutojua ramani ya Tanzania. Yaani distance ya Arusha na Geita ni kama labda Mombasa na Kisumu. Geita ipo south west ya Lake Victoria.
Mngu aku bariki san
@LucasSambilo-gn2dt
Жыл бұрын
Mungu akubaliki
Asante sana mtumishi wa Mungu Mungu akubariki sana, somo zuri sana tutaendelea kuomba na kuvunja laana zote mpaka kieleweke katika jina la Yesu Kristo na kwa Damu yake.
Amen