#Live
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 91
Nimeyapokea maombi hayo kwa jina la Yesu
Aminaa mtumishi
Ubarikiwe mtumishi kwa mahubiri yako katika wilaya yangu ya bunda -mara jina la bwana lihimitiwe@@
Thanks for the upload, am following from Kenya, I love the teachings. God bless you
Watching from Kenya 🇰🇪,God bless the true men of God
Amen sana tunazidi kubarikiwa,,,jina la YESU libarikiwe!!
Bwana Yesu Kristo akubariki Sana Mtumishi, wa Mungu aliye hai, Nashukuru Mungu kwasababu yakukutumia kwa njia za Hali ya juu njinsi hi. Asanti kwa ufafanuzi wa ndoto, najua nisha ota hizo ndoto na sasa najua maana yake na najua jinsi ya kuiombea sasa katika Jina la yesu. Amen
Watching from kenya! Barikiwa mtumishi
Bwana Yesu asifiwe. Pongezi sana Pr. Amiel. Nimeinuliwa sana na maombi yako. Zidi kuniombea nifunguliwe na uzao wangu pia. Mungu akubariki sana. Unayoyasema ni kweli kabisa. Amen
@HyasintaShayo-wm9uu
Жыл бұрын
Asante Sana Yesu kwa ajili ya huyu Kaka,Mungu ambariki sana
Mungu akubariki Mchungaji.niombee na familia Mch.
Amen mchungaji hio ya kuota kijijini mara nyingi kabisa. Hata niko huku mbali kazini lakini najpata huko niliko zaliwa na ta tulishakuhama tukajenga kwengine ila bado siachi kufikishwa huko
Asante kwa hilo ombi la kujitenganisha na maagano ya ukoo
Nimebalikiwa namafundisho Yako muniombee namimi nifunguriwe
Na mimi ndoto za shure zinanitesa saana kabxa😢😢,..ndo maana sometimes itabidi tuanze kufwatilia ndoto,.Asante saana mchungaji,.Mungu azidi kukubadiliki
Hallelujah hallelujah niko nafungulia MCH KATEKELA MUNGU akubariki sana 🙌🙌🙌🙌😭😭😭
Ubarikiwe sana Kwa mafundisho mazuri nakuelewa sana mtumishi, kazi Yako ni njema.
Namna pia naotaga mchungaji
I learned a lot on this video! Thanks for sharing.
I have learn alot about u man of God what I can say is u re Truely a messager 4rm God. May da lord Jesus save those innocent souls hidden in a hole asikiye haya mafundisho yaliyo na asali
MUNGU akubariki sana mm umenipa hatus nyinginektk maisha ya kiroho na kimwili
Mungu Akubariki sana kwa mafundisho mutumishi wa mungu
May da lord almigt 4give us and bless you always with ur family Amen
BWANA YESU asifiwe mtumishi naomba kupata mawasiliano ya much amieli
Mungu akuinue
Daaaaa ubarikiwe Sana sana
Ameeen and ameen mtumish
Amen thanks
Mungu akulinde sana muchungaji wa mungu
natazama kutoka kenya ❤ naomba no. Yako nikutafute
Amen Aman
Barikiwa mtumishi wa mungi
Amen 🎉😊
Nakuele pastor,wapigwe na wspigwe kweli ju mama nampa poket money kumbe anaipeleka mizimuni. Mwisho namuota amenilaza chini akinichapa
Wewe ulituma Truely from God be protected by the blood of Jesus fight for you always
Nakuelewa sana my friend
Mtumishi Mimi naotaga nafanya mapenzi hii Hali inanitesaga sana
Namba zake zinapatikanaje Jamani..msaada plz
Uyo dada ana pepe mungu akulinde baba muchungaji
Ni kweli kweli tunaendelea kukataa na kuvunja madhabau
Bwana Yesu kristo asifiwe jamani Mchungaji Mungu akubariki sana,ndoto ni kweli kabisa kwa kuwa MUNGU alisema katika Hesabu 12:6, pia anasema halitafa halitafanyika neno lolote bila kuwajulisha watumishi wake Amosi 3:7, Yoeli 2:28
Pastor. God bless you
@evasanga6635
11 ай бұрын
asate yesu😂
Amnjambo mashadiki wangu. Tafazali naomba namba ya mutumishi amieli katekela, nisaidiyeni njamani ❤
Barikiwa mtumishi wa Mungu. 😂 nimecheka sana yule dada kukuambia baba nimekumiss umetoa macho kweli 😂😂. Hata hivyo tulikuwa tumekumiss kw Jina La Yesu tunakupenda Upendo wa Kristo Yesu. Wana Promover Barikiweni sana.
@rispermoki4687
Жыл бұрын
😊😊
Amen Amen
Ubarikiwe
Blessed
Niombee paster
Nimecheka sana
Kwenye kuomba hapo hapana lazma tuombe Mungu ni baba lazma tuombe sisi kama watoto wake
Kweli unachosema ushaidi upooo
mpaka wamjuwe mungu wote
Amen
Ameni
Mie pia ilinitokea
😊🎉❤😊
Jamani naomba namba ya mtumishi Amiel katekela
Mch Mafundisho yako ni kwel labisa apo pa kuota nipo shule,nko kijijini yaan zote ni zangu na nmeamini iyo ya kuota nkiwa shuleni,😢😢 eeh Mungu nisaidie kunitoa kwa ivyo vifungo
😊
Amene
@uwasedative-ol4eo
Ай бұрын
Naitaji maombi Kabisa nyotayangu imeibiwa munisaidie maombi
@uwasedative-ol4eo
Ай бұрын
Hata maisha imekataa nafanyakazi lakini sipate faida
Amiel nakupenda
Hii ndoto nishaotaga mwezi wa 02 ata kufika mwezi wa 03 hadi naendelea vitu haviendi kabisa Mungu nisaidie.
Mwanangu Jactani naomba uniunganishe na mchungaji katekela please
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Tafadhali nitafte
Kwa kuingia makanisa umeniona Mi niko na makanisa mawili Pentekostal nilishiri kuanzia sunday school hadi nikiwa darasa la saba. Nikabatizwa kanisa ya ANGLIKAN church. Nimedumu huko ila nikienda kwetu kwakuzaliwa naingia hio pentekost (peffa) church. Niko kazini kwa miaka yakuhesabu sasa, na sadaka natuma kote kote kanisa zote mbili... Jefanyeje hapa??
mimi nimewai kuota iyo ndoto mch katekela nifanyeje
Hizo ndoto mi zangu kweli kabsaaa, na kurota nafanya mapenzi ,mala nyingine naona niko cooni najisaidia haja kuu au naona niko fasi cagu ambao watu wamijisaidia haja kuu,
Nitafute inbox
Kalibu musoma
Wachawi wapigwee...
Mimi kila siku na ota iyi ndoto ya shule
Napataje no ya huyu mtumishi?
Yangu nimeanza kukufatilia umenipa ujasiri na mamulaka juu ya wachawi wanaisoma number barikiwa sana mch
😭😭😭ata mimba yakusingiziwa ...lkn namwamini Mungu tu atafunguwa tumbo la ndoa yangu
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Yoo Mungu asikie Maombi yako.kuanzia Leo.,
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Akupe haja ya Moyo wako
@patricianyale
Жыл бұрын
@@trophywilson7211 Amen
@user-wp1wz9ew8f
3 ай бұрын
@@patricianyalenaomba namba ya mchungaji katekela
Ni ukweli kabisa kwamba kizazi chote cha babangu nami niki mzaliwa wa 4 kwahio famili, sote sote hata wajukuu, hakuna anae ng'aa au alie na maendeleo. Mimi pekeangu tu ndo nafuu ila VITA wakitaka nikufie huku kazini. Yaani ninarogwa na pesa ngu niwapayo wapatekutumia
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Pole saana
😂🤣😂🤣Amen neema ya Mungu iwe nawe
Jamani tuna itaji number za uyu mutumishi , tu pate musaada
Niko mara nataka kuja bunda semina inaisha lini
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Jumapili
Mahubiri ya kijinga
Toboa zote siri za kusimu wengi wanateseka bila mafundisho ya kweli
Amen