#Live

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 91

  • @marylineboola4236
    @marylineboola4236 Жыл бұрын

    Nimeyapokea maombi hayo kwa jina la Yesu

  • @KALEGORAJABUMBEHO
    @KALEGORAJABUMBEHO29 күн бұрын

    Aminaa mtumishi

  • @AbelyThedonny-ko4fw
    @AbelyThedonny-ko4fw Жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi kwa mahubiri yako katika wilaya yangu ya bunda -mara jina la bwana lihimitiwe@@

  • @gilbertsaya
    @gilbertsaya Жыл бұрын

    Thanks for the upload, am following from Kenya, I love the teachings. God bless you

  • @dorcasmunyao1743
    @dorcasmunyao1743 Жыл бұрын

    Watching from Kenya 🇰🇪,God bless the true men of God

  • @stephanomakoye6936
    @stephanomakoye6936 Жыл бұрын

    Amen sana tunazidi kubarikiwa,,,jina la YESU libarikiwe!!

  • @serahmatiru3741
    @serahmatiru3741 Жыл бұрын

    Bwana Yesu Kristo akubariki Sana Mtumishi, wa Mungu aliye hai, Nashukuru Mungu kwasababu yakukutumia kwa njia za Hali ya juu njinsi hi. Asanti kwa ufafanuzi wa ndoto, najua nisha ota hizo ndoto na sasa najua maana yake na najua jinsi ya kuiombea sasa katika Jina la yesu. Amen

  • @mercyblessedke
    @mercyblessedke Жыл бұрын

    Watching from kenya! Barikiwa mtumishi

  • @lydiamwachiramba4366
    @lydiamwachiramba4366 Жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe. Pongezi sana Pr. Amiel. Nimeinuliwa sana na maombi yako. Zidi kuniombea nifunguliwe na uzao wangu pia. Mungu akubariki sana. Unayoyasema ni kweli kabisa. Amen

  • @HyasintaShayo-wm9uu

    @HyasintaShayo-wm9uu

    Жыл бұрын

    Asante Sana Yesu kwa ajili ya huyu Kaka,Mungu ambariki sana

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 Жыл бұрын

    Mungu akubariki Mchungaji.niombee na familia Mch.

  • @mirakeniya1712
    @mirakeniya1712 Жыл бұрын

    Amen mchungaji hio ya kuota kijijini mara nyingi kabisa. Hata niko huku mbali kazini lakini najpata huko niliko zaliwa na ta tulishakuhama tukajenga kwengine ila bado siachi kufikishwa huko

  • @mirakeniya1712
    @mirakeniya1712 Жыл бұрын

    Asante kwa hilo ombi la kujitenganisha na maagano ya ukoo

  • @uwasedative-ol4eo
    @uwasedative-ol4eoАй бұрын

    Nimebalikiwa namafundisho Yako muniombee namimi nifunguriwe

  • @AlexAliane
    @AlexAliane6 ай бұрын

    Na mimi ndoto za shure zinanitesa saana kabxa😢😢,..ndo maana sometimes itabidi tuanze kufwatilia ndoto,.Asante saana mchungaji,.Mungu azidi kukubadiliki

  • @gerardineakima1766
    @gerardineakima1766 Жыл бұрын

    Hallelujah hallelujah niko nafungulia MCH KATEKELA MUNGU akubariki sana 🙌🙌🙌🙌😭😭😭

  • @genevievesunday
    @genevievesunday11 ай бұрын

    Ubarikiwe sana Kwa mafundisho mazuri nakuelewa sana mtumishi, kazi Yako ni njema.

  • @zainabuathumani2571
    @zainabuathumani257120 күн бұрын

    Namna pia naotaga mchungaji

  • @RoshaniLifeStyle
    @RoshaniLifeStyle Жыл бұрын

    I learned a lot on this video! Thanks for sharing.

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 Жыл бұрын

    I have learn alot about u man of God what I can say is u re Truely a messager 4rm God. May da lord Jesus save those innocent souls hidden in a hole asikiye haya mafundisho yaliyo na asali

  • @naikekangele7117
    @naikekangele7117 Жыл бұрын

    MUNGU akubariki sana mm umenipa hatus nyinginektk maisha ya kiroho na kimwili

  • @gracesambula7310
    @gracesambula7310 Жыл бұрын

    Mungu Akubariki sana kwa mafundisho mutumishi wa mungu

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 Жыл бұрын

    May da lord almigt 4give us and bless you always with ur family Amen

  • @ester7689
    @ester7689 Жыл бұрын

    BWANA YESU asifiwe mtumishi naomba kupata mawasiliano ya much amieli

  • @yonakatoto4067
    @yonakatoto4067 Жыл бұрын

    Mungu akuinue

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 Жыл бұрын

    Daaaaa ubarikiwe Sana sana

  • @ellenngecho-uo8wf
    @ellenngecho-uo8wf Жыл бұрын

    Ameeen and ameen mtumish

  • @prosperousbuildingconstruc3500
    @prosperousbuildingconstruc3500 Жыл бұрын

    Amen thanks

  • @raelnangila3006
    @raelnangila3006 Жыл бұрын

    Mungu akulinde sana muchungaji wa mungu

  • @MchungajiNewton
    @MchungajiNewton10 ай бұрын

    natazama kutoka kenya ❤ naomba no. Yako nikutafute

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q Жыл бұрын

    Amen Aman

  • @user-cf6lx5vn4g
    @user-cf6lx5vn4g Жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi wa mungi

  • @prosperousbuildingconstruc3500
    @prosperousbuildingconstruc3500 Жыл бұрын

    Amen 🎉😊

  • @mirakeniya1712
    @mirakeniya1712 Жыл бұрын

    Nakuele pastor,wapigwe na wspigwe kweli ju mama nampa poket money kumbe anaipeleka mizimuni. Mwisho namuota amenilaza chini akinichapa

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 Жыл бұрын

    Wewe ulituma Truely from God be protected by the blood of Jesus fight for you always

  • @bungigemangana4171
    @bungigemangana4171 Жыл бұрын

    Nakuelewa sana my friend

  • @TheddyBasili-gv5tz
    @TheddyBasili-gv5tz11 ай бұрын

    Mtumishi Mimi naotaga nafanya mapenzi hii Hali inanitesaga sana

  • @user-vx9nj2sy6x
    @user-vx9nj2sy6x9 ай бұрын

    Namba zake zinapatikanaje Jamani..msaada plz

  • @user-re4iu4vu3b
    @user-re4iu4vu3b11 ай бұрын

    Uyo dada ana pepe mungu akulinde baba muchungaji

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Жыл бұрын

    Ni kweli kweli tunaendelea kukataa na kuvunja madhabau

  • @sarahkishaluli6087
    @sarahkishaluli6087 Жыл бұрын

    Bwana Yesu kristo asifiwe jamani Mchungaji Mungu akubariki sana,ndoto ni kweli kabisa kwa kuwa MUNGU alisema katika Hesabu 12:6, pia anasema halitafa halitafanyika neno lolote bila kuwajulisha watumishi wake Amosi 3:7, Yoeli 2:28

  • @jacymueni1671
    @jacymueni1671 Жыл бұрын

    Pastor. God bless you

  • @evasanga6635

    @evasanga6635

    11 ай бұрын

    asate yesu😂

  • @hortenseornella-po8zw
    @hortenseornella-po8zw Жыл бұрын

    Amnjambo mashadiki wangu. Tafazali naomba namba ya mutumishi amieli katekela, nisaidiyeni njamani ❤

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi wa Mungu. 😂 nimecheka sana yule dada kukuambia baba nimekumiss umetoa macho kweli 😂😂. Hata hivyo tulikuwa tumekumiss kw Jina La Yesu tunakupenda Upendo wa Kristo Yesu. Wana Promover Barikiweni sana.

  • @rispermoki4687

    @rispermoki4687

    Жыл бұрын

    😊😊

  • @masokasiwahemo7028
    @masokasiwahemo7028 Жыл бұрын

    Amen Amen

  • @saradavirginia-kd7tn
    @saradavirginia-kd7tn Жыл бұрын

    Ubarikiwe

  • @jeremiahjoseph1532
    @jeremiahjoseph1532 Жыл бұрын

    Blessed

  • @zainabuathumani2571
    @zainabuathumani257120 күн бұрын

    Niombee paster

  • @frankzagalino9687
    @frankzagalino9687 Жыл бұрын

    Nimecheka sana

  • @deomajuva2432
    @deomajuva2432 Жыл бұрын

    Kwenye kuomba hapo hapana lazma tuombe Mungu ni baba lazma tuombe sisi kama watoto wake

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Жыл бұрын

    Kweli unachosema ushaidi upooo

  • @JuhudyTulalishe-fc4yr
    @JuhudyTulalishe-fc4yr Жыл бұрын

    mpaka wamjuwe mungu wote

  • @tumumasha1568
    @tumumasha1568 Жыл бұрын

    Amen

  • @dianamorisi
    @dianamorisi Жыл бұрын

    Ameni

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Жыл бұрын

    Mie pia ilinitokea

  • @RobertMaboga
    @RobertMaboga7 ай бұрын

    😊🎉❤😊

  • @keyansalimu7516
    @keyansalimu7516 Жыл бұрын

    Jamani naomba namba ya mtumishi Amiel katekela

  • @agnestunu5527
    @agnestunu5527 Жыл бұрын

    Mch Mafundisho yako ni kwel labisa apo pa kuota nipo shule,nko kijijini yaan zote ni zangu na nmeamini iyo ya kuota nkiwa shuleni,😢😢 eeh Mungu nisaidie kunitoa kwa ivyo vifungo

  • @FainaMkemwa-jf6tn
    @FainaMkemwa-jf6tn3 ай бұрын

    😊

  • @uwasedative-ol4eo
    @uwasedative-ol4eoАй бұрын

    Amene

  • @uwasedative-ol4eo

    @uwasedative-ol4eo

    Ай бұрын

    Naitaji maombi Kabisa nyotayangu imeibiwa munisaidie maombi

  • @uwasedative-ol4eo

    @uwasedative-ol4eo

    Ай бұрын

    Hata maisha imekataa nafanyakazi lakini sipate faida

  • @catherineawinja7417
    @catherineawinja7417 Жыл бұрын

    Amiel nakupenda

  • @saradavirginia-kd7tn
    @saradavirginia-kd7tn Жыл бұрын

    Hii ndoto nishaotaga mwezi wa 02 ata kufika mwezi wa 03 hadi naendelea vitu haviendi kabisa Mungu nisaidie.

  • @malengamsombwa3115
    @malengamsombwa3115 Жыл бұрын

    Mwanangu Jactani naomba uniunganishe na mchungaji katekela please

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    Tafadhali nitafte

  • @mirakeniya1712
    @mirakeniya1712 Жыл бұрын

    Kwa kuingia makanisa umeniona Mi niko na makanisa mawili Pentekostal nilishiri kuanzia sunday school hadi nikiwa darasa la saba. Nikabatizwa kanisa ya ANGLIKAN church. Nimedumu huko ila nikienda kwetu kwakuzaliwa naingia hio pentekost (peffa) church. Niko kazini kwa miaka yakuhesabu sasa, na sadaka natuma kote kote kanisa zote mbili... Jefanyeje hapa??

  • @prayerwomen3444
    @prayerwomen3444 Жыл бұрын

    mimi nimewai kuota iyo ndoto mch katekela nifanyeje

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Жыл бұрын

    Hizo ndoto mi zangu kweli kabsaaa, na kurota nafanya mapenzi ,mala nyingine naona niko cooni najisaidia haja kuu au naona niko fasi cagu ambao watu wamijisaidia haja kuu,

  • @bungigemangana4171
    @bungigemangana4171 Жыл бұрын

    Nitafute inbox

  • @leahmartine5620
    @leahmartine5620 Жыл бұрын

    Kalibu musoma

  • @mirakeniya1712
    @mirakeniya1712 Жыл бұрын

    Wachawi wapigwee...

  • @odettebarengeke2469
    @odettebarengeke2469 Жыл бұрын

    Mimi kila siku na ota iyi ndoto ya shule

  • @mirajimkagulu1295
    @mirajimkagulu1295 Жыл бұрын

    Napataje no ya huyu mtumishi?

  • @naikekangele7117
    @naikekangele7117 Жыл бұрын

    Yangu nimeanza kukufatilia umenipa ujasiri na mamulaka juu ya wachawi wanaisoma number barikiwa sana mch

  • @patricianyale
    @patricianyale Жыл бұрын

    😭😭😭ata mimba yakusingiziwa ...lkn namwamini Mungu tu atafunguwa tumbo la ndoa yangu

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Yoo Mungu asikie Maombi yako.kuanzia Leo.,

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Akupe haja ya Moyo wako

  • @patricianyale

    @patricianyale

    Жыл бұрын

    @@trophywilson7211 Amen

  • @user-wp1wz9ew8f

    @user-wp1wz9ew8f

    3 ай бұрын

    ​@@patricianyalenaomba namba ya mchungaji katekela

  • @mirakeniya1712
    @mirakeniya1712 Жыл бұрын

    Ni ukweli kabisa kwamba kizazi chote cha babangu nami niki mzaliwa wa 4 kwahio famili, sote sote hata wajukuu, hakuna anae ng'aa au alie na maendeleo. Mimi pekeangu tu ndo nafuu ila VITA wakitaka nikufie huku kazini. Yaani ninarogwa na pesa ngu niwapayo wapatekutumia

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Pole saana

  • @anneokaka8213
    @anneokaka8213 Жыл бұрын

    😂🤣😂🤣Amen neema ya Mungu iwe nawe

  • @odettebarengeke2469
    @odettebarengeke2469 Жыл бұрын

    Jamani tuna itaji number za uyu mutumishi , tu pate musaada

  • @WORLDWIDE_CLASSIC_NATION-vm3ud
    @WORLDWIDE_CLASSIC_NATION-vm3ud Жыл бұрын

    Niko mara nataka kuja bunda semina inaisha lini

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    Жыл бұрын

    Jumapili

  • @Dyla424
    @Dyla424 Жыл бұрын

    Mahubiri ya kijinga

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 Жыл бұрын

    Toboa zote siri za kusimu wengi wanateseka bila mafundisho ya kweli

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Жыл бұрын

    Amen

Келесі