FAHAMU DALILI ZA MTETEZI KUJA KWENYE MAISHA YAKO YA KIROHO | Mch.Amiel Katekela

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 44

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w4 ай бұрын

    Tunampenda sana huyu mtumishi,amekuwa baraka kwa kanisa.🙏

  • @user-ph8wz4ei8j
    @user-ph8wz4ei8j5 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi na kuelewa sana Mungu akutie nguvu

  • @PCharlzy-rr2iv
    @PCharlzy-rr2iv4 ай бұрын

    Mimi ni mwanafunzi wa Tanzania Law School kuna mkaka alikuwa si mwanafunzi wa mtaan alinizoea tu na siku moja akanambia hiyo sheria unayosoma Mungu hawezi kukusaidia, atakayekusaidia ni Shetani yaaan toka siku ile nikamchukia nikamblock! Na sasa nayasikia kwa Mchungaj 🙏 nimeelewa sana nitasimama zaid ktk iman na sala

  • @ElijahAmon-uq6zk
    @ElijahAmon-uq6zk5 ай бұрын

    Amina mtumishi ubarikiwe sana ninaamini mwaka huu utakuwa ni mwaka wangu wa baraka namshukuru kwa mafundisho mazuri ubarikiwe zaidi ya baraka MUNGU ukuinuinue viwango na viwango

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph76875 ай бұрын

    Amina kubwa nafurahi sana kumuona mke wa mchungaji katekela.

  • @ericksylivester8757

    @ericksylivester8757

    5 ай бұрын

    na ni mzuri ,

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess38464 ай бұрын

    Nimengi tunajifunza kutoka kwako Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe sana

  • @EliasHerman-qy4gt
    @EliasHerman-qy4gt18 күн бұрын

    Asant san mchungaj mungu akuzidishie nguvu

  • @annajotham9478
    @annajotham94785 ай бұрын

    Yani mi huyu mtumishi nahisi ndo nabii wakweli dunia nzima aliye tumwa na Mungu maana siyo mtu wa kawaida

  • @violetnasimiyu8718

    @violetnasimiyu8718

    5 ай бұрын

    Ndio ni mtumishi wa Mungu mimi RohoMtakatifu alishanidhibitishia.

  • @violetnasimiyu8718

    @violetnasimiyu8718

    5 ай бұрын

    Niliambiwa hivi ndotoni, " Amiel ni mtumishi wangu atakae kataa kumsikiliza ni shauri yake .

  • @evermayala5817

    @evermayala5817

    4 ай бұрын

    Amen

  • @SesyKenesy-ge2ri

    @SesyKenesy-ge2ri

    4 ай бұрын

    Huyu ndiye

  • @Uplifiting
    @Uplifiting5 ай бұрын

    Asante sana Mtumishi wa Mungu kwa mafunuo na mafundisho ya maana saana. Haya hatupati popote, isipokuwa kwako wewe tu! Tunalı hitaji sana ütüm eler hata huku🇺🇸 hatujui yukupate vipi! Mungu Ali kutuma ktk vipindi hivi vya kumalizia, azidi kukupa Afya na nguvu, pamoja na Familia yako. 🙏

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp5 ай бұрын

    Amen nimekombolewa kwa jina la yesu wanazareti

  • @fitinamarando
    @fitinamarando5 ай бұрын

    Asante PROMOVER TV nimeona mbarikiwe sana wana wa Mungu

  • @MayolwaGolani
    @MayolwaGolani5 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe Naomba msaada wa kupata mawasiliano ya huyu mchungaji au group lake la whatsApp

  • @HappyJohn-kk1pr

    @HappyJohn-kk1pr

    Ай бұрын

    Mi Kuna mtu aliniambia anayo ngoja nimuombe

  • @JofreyDamson-nm6ec
    @JofreyDamson-nm6ec3 ай бұрын

    Amina mtumish,i unanibariki sana

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi74945 ай бұрын

    Hallelujah jina la BWANA lisifiwe

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f5 ай бұрын

    Ameen mm nimushindi kwa damu ya yesu

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana97915 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi Amieli Katekela

  • @juniorkalinge5861
    @juniorkalinge58615 ай бұрын

    Amen&Amen be highly blessed IJN 🙌

  • @raelnangila3006
    @raelnangila30065 ай бұрын

    Ameeni 😮

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur5 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumish wa BWANA

  • @raelnangila3006
    @raelnangila30065 ай бұрын

    Aleluyaah 🎉

  • @elizabethsanya4468
    @elizabethsanya44685 ай бұрын

    Mtumishi wcha mungu akubariki

  • @user-wt9kj7gl1i
    @user-wt9kj7gl1i5 ай бұрын

    Amen

  • @judithbett420
    @judithbett4205 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @drmaryjohnmponda3484
    @drmaryjohnmponda34845 ай бұрын

    Ameeen

  • @jimmymwashambwa7364
    @jimmymwashambwa73643 ай бұрын

    Ni Elimu ya vingo vilkubwa

  • @victormwacha2805
    @victormwacha28055 ай бұрын

    Nimefuatilia sana mafundisho ya huyu mt kwa kweli ni mt wa kweli wa Mungu. Huduma yake iko wapi? Na mtu anawezaje kumwona?

  • @EddahMwakipesile
    @EddahMwakipesile5 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi,mko wapi Leo.

  • @user-jc5bc2xe1f
    @user-jc5bc2xe1f3 ай бұрын

    Naomba mawasiliano ya mchungaj pls

  • @floramahenge6224
    @floramahenge62245 ай бұрын

    Mchungaji naomba maombi

  • @user-hl2kn6si2i
    @user-hl2kn6si2i5 ай бұрын

    Eeh, MUNGU, mbn Mambo yanatishaa🙇🏾‍♀️🙇🏾‍♀️,lakini sisi ni WASHINDI 💪💪 zaidi ya kushinda kwa DAMU ya YESU KRISTO WANAZALETI ULIE HAI.

  • @RehemaGodfrey
    @RehemaGodfrey3 ай бұрын

    Jamani naombeni namba zake.

  • @user-wt9kj7gl1i
    @user-wt9kj7gl1i5 ай бұрын

    😢

  • @user-vc4cl8xm8u
    @user-vc4cl8xm8u4 ай бұрын

    Huyu mchungaji yupo wapi

  • @floramahenge6224
    @floramahenge62245 ай бұрын

    Mpo wapi leo?

  • @sadikibernald9519
    @sadikibernald95195 ай бұрын

    Hujambo kaka nitafsirie kidogo mbona rewiyatani bibiria inamutaja kama mtawara wabahari samaha I nierewe

  • @amishambar3418

    @amishambar3418

    5 ай бұрын

    Amina ipo kitabu gani mpendwa🙏

  • @nadratirankunda3052

    @nadratirankunda3052

    5 ай бұрын

    Ipo kwenye kitabu cha ayubu mpendwa

  • @juliamuthoni7534
    @juliamuthoni75344 ай бұрын

    Amen

Келесі