FAHAMU DALILI ZA MTETEZI KUJA KWENYE MAISHA YAKO YA KIROHO | Mch.Amiel Katekela
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 44
Tunampenda sana huyu mtumishi,amekuwa baraka kwa kanisa.🙏
Ubarikiwe sana mtumishi na kuelewa sana Mungu akutie nguvu
Mimi ni mwanafunzi wa Tanzania Law School kuna mkaka alikuwa si mwanafunzi wa mtaan alinizoea tu na siku moja akanambia hiyo sheria unayosoma Mungu hawezi kukusaidia, atakayekusaidia ni Shetani yaaan toka siku ile nikamchukia nikamblock! Na sasa nayasikia kwa Mchungaj 🙏 nimeelewa sana nitasimama zaid ktk iman na sala
Amina mtumishi ubarikiwe sana ninaamini mwaka huu utakuwa ni mwaka wangu wa baraka namshukuru kwa mafundisho mazuri ubarikiwe zaidi ya baraka MUNGU ukuinuinue viwango na viwango
Amina kubwa nafurahi sana kumuona mke wa mchungaji katekela.
@ericksylivester8757
5 ай бұрын
na ni mzuri ,
Nimengi tunajifunza kutoka kwako Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe sana
Asant san mchungaj mungu akuzidishie nguvu
Yani mi huyu mtumishi nahisi ndo nabii wakweli dunia nzima aliye tumwa na Mungu maana siyo mtu wa kawaida
@violetnasimiyu8718
5 ай бұрын
Ndio ni mtumishi wa Mungu mimi RohoMtakatifu alishanidhibitishia.
@violetnasimiyu8718
5 ай бұрын
Niliambiwa hivi ndotoni, " Amiel ni mtumishi wangu atakae kataa kumsikiliza ni shauri yake .
@evermayala5817
4 ай бұрын
Amen
@SesyKenesy-ge2ri
4 ай бұрын
Huyu ndiye
Asante sana Mtumishi wa Mungu kwa mafunuo na mafundisho ya maana saana. Haya hatupati popote, isipokuwa kwako wewe tu! Tunalı hitaji sana ütüm eler hata huku🇺🇸 hatujui yukupate vipi! Mungu Ali kutuma ktk vipindi hivi vya kumalizia, azidi kukupa Afya na nguvu, pamoja na Familia yako. 🙏
Amen nimekombolewa kwa jina la yesu wanazareti
Asante PROMOVER TV nimeona mbarikiwe sana wana wa Mungu
Bwana yesu asifiwe Naomba msaada wa kupata mawasiliano ya huyu mchungaji au group lake la whatsApp
@HappyJohn-kk1pr
Ай бұрын
Mi Kuna mtu aliniambia anayo ngoja nimuombe
Amina mtumish,i unanibariki sana
Hallelujah jina la BWANA lisifiwe
Ameen mm nimushindi kwa damu ya yesu
Mungu akubariki sana mtumishi Amieli Katekela
Amen&Amen be highly blessed IJN 🙌
Ameeni 😮
Ubarikiwe sana mtumish wa BWANA
Aleluyaah 🎉
Mtumishi wcha mungu akubariki
Amen
Amen 🙏
Ameeen
Ni Elimu ya vingo vilkubwa
Nimefuatilia sana mafundisho ya huyu mt kwa kweli ni mt wa kweli wa Mungu. Huduma yake iko wapi? Na mtu anawezaje kumwona?
Mungu akubariki mtumishi,mko wapi Leo.
Naomba mawasiliano ya mchungaj pls
Mchungaji naomba maombi
Eeh, MUNGU, mbn Mambo yanatishaa🙇🏾♀️🙇🏾♀️,lakini sisi ni WASHINDI 💪💪 zaidi ya kushinda kwa DAMU ya YESU KRISTO WANAZALETI ULIE HAI.
Jamani naombeni namba zake.
😢
Huyu mchungaji yupo wapi
Mpo wapi leo?
Hujambo kaka nitafsirie kidogo mbona rewiyatani bibiria inamutaja kama mtawara wabahari samaha I nierewe
@amishambar3418
5 ай бұрын
Amina ipo kitabu gani mpendwa🙏
@nadratirankunda3052
5 ай бұрын
Ipo kwenye kitabu cha ayubu mpendwa
Amen