MADHARA YA KUMKAIDI ROHO MTAKATIFU NA KUZIFUATA MITINDO YA KIDUNIA MCH AMIEL KATEKELA

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 47

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6wАй бұрын

    Wakati ametuumba Mungu wetu,Kila kitu amekiweka sawa,wakati unajipandikiza hizi vitu vya Dunia hii,ni dhambi na hautaingia mbinguni na uchafu wa Dunia hii, nywele zinatoka kuzimu,make up na vyote,tuepukane na hizi vitu ili tuweze kuingia mbinguni.😢❤

  • @EZRA-b1c

    @EZRA-b1c

    Ай бұрын

    KWELI KABISA AMEN

  • @BihingwaKashindiespoir
    @BihingwaKashindiespoir19 күн бұрын

    Asate Sana Mutumishi waMungu Mungu akubariki Sana mimi niko Kenya mahali wanaita kakuma katika camp refugee but nafataka mafundisho yako kila siku kuazia mwanzo waushunda wako Niko nawewe

  • @christinekayungu2169
    @christinekayungu216921 күн бұрын

    Amen. Barikiwa mtumishi wa Mungu. We are praising the Lord for how he is using you to save the nations.

  • @obadiambilinyi27
    @obadiambilinyi27Ай бұрын

    Umetumia hekima sana kujibu swali la nywele, umeeleza vzr, utajuaje kama vimetoka kuzimu? Mungu akubariki sana

  • @elishaluhwago6940
    @elishaluhwago6940Ай бұрын

    Ni kweli Kabisa Baba... Ni kumtii Roho Mtakatifu tu

  • @SabinaEzekiel-vb5nh
    @SabinaEzekiel-vb5nh20 күн бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi.

  • @annkim2690
    @annkim269029 күн бұрын

    Kumbukeni imeandikwa ukivunja sheria moja umevunja zote sasa watakatifu wa Bwana tutie bidii tuwe watakatifu katika mwili nafsi na roho

  • @esthermliga4875
    @esthermliga4875Ай бұрын

    Amen amen !! Nakupata vzuri mno mtumishi wa Mungu, asnte sana Kwa mafundisho mazuri! Hakika ukimsikiliza Roho mtakatifu atakuongoza na kukuelekeza, Umenena vyema mtumishi wa MUNGU,

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qfАй бұрын

    Asante mungu akubaliki mtumishi

  • @chanilasumbuko
    @chanilasumbuko23 күн бұрын

    Ubarikiwe sana Mch Katekela

  • @user-hs1ps4nj4w
    @user-hs1ps4nj4wАй бұрын

    Karibu sana Mbeya, Mchungaji Amiel Katekela.

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas209029 күн бұрын

    Ukiwa rohoni zaidi hayo madudedude ya mabandia hutapenda kuyatumia

  • @saimonbikulaofficial

    @saimonbikulaofficial

    20 күн бұрын

    True

  • @annkim2690
    @annkim269029 күн бұрын

    Ushuhuda wa Astn Mbaya pia kuna mama kutoka kenya hapa promover TV alikatazwa kupaka mvi rangi nyeusi mimi hapa hamunitoi natokea niliachana nahizo mazagazaga nikaanza kupata kibali

  • @innocentinnocent-cu4mv
    @innocentinnocent-cu4mv29 күн бұрын

    Godbless You pastor 🙏 kwa Mafundisho mazuri

  • @RahelSalumu-pm9qx
    @RahelSalumu-pm9qx21 күн бұрын

    1 timotheo 2:9 1petro 3:3 Wengine husema hata kusuka nywele Yako ni dhambi,

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess384629 күн бұрын

    Amina ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU

  • @susansusan4813
    @susansusan4813Ай бұрын

    Yani nampenda huyu mhubiri

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    29 күн бұрын

    Vua basi

  • @obadiambilinyi27
    @obadiambilinyi27Ай бұрын

    Na mwingine akitaka kupendeza ajifunge kitambaa kizuri

  • @ElisonguoShayo-hb2gs
    @ElisonguoShayo-hb2gs28 күн бұрын

    Asante mtumishi kwa kutoa mwarobaini wa kuepuka devil devices. That is; active fellowship of the Holy Spirit. Asante maana desire to have fellowship with Holy Spirit imeendelea to burn in me

  • @phaniceariviza4399
    @phaniceariviza4399Ай бұрын

    Amen nimependa ulivyomshudia Mungu na ukweli wake

  • @user-qk1lf7by7x
    @user-qk1lf7by7x10 күн бұрын

    MUNGU akubariki mchungaji wewe na familia Yako

  • @EstherWayua-ke7kg
    @EstherWayua-ke7kg29 күн бұрын

    AMEN

  • @vailetlemenya6576
    @vailetlemenya6576Ай бұрын

    🙏🙏👏👏👍

  • @Kingsalumoni
    @Kingsalumoni27 күн бұрын

    Ameni

  • @RhodaWikunge
    @RhodaWikunge29 күн бұрын

    Ukweli ni mgumu lakini Roho mtakatifu anatukamilisha kwa kufundisha na kutuwezesha

  • @esterpeter8556
    @esterpeter8556Ай бұрын

    100%

  • @frolafelix
    @frolafelix29 күн бұрын

    Napenda kujua kuhusu dred

  • @elizabethawuor5402
    @elizabethawuor5402Ай бұрын

    Nisaidie maombi ili NAMI nisibaki duniani nataka kwenda mbinguni nabarikiwasana na mahubiri yako

  • @nitikekallenge2266
    @nitikekallenge226619 күн бұрын

    Bila kupepesa macho.Kusuka nywele ni DHAMBi nina vifungu vya kutosha kwenye biblia

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dkАй бұрын

    139-14

  • @gladysmueni8143
    @gladysmueni814328 күн бұрын

    Naomba namba ya Mtumishi katekela

  • @leilasaimjomba4246
    @leilasaimjomba424629 күн бұрын

    Apa ni kuachana na manywele bandia

  • @annkim2690
    @annkim269029 күн бұрын

    Navile hii TV inashuhuda nyingi za mbinguni na jehanam lakini hataki kuamini anashida akiulizia kwa Amiel haya suka rasta zako basi coz kama hizi shuhuda zote bado hujabadilika hujui

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    29 күн бұрын

    😂

  • @TheodosiaSangka
    @TheodosiaSangka27 күн бұрын

    Sasa hizo nywele za kuzimu zinafikaje duniani wakati zinatengenezwa kuzimu?

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4oАй бұрын

    SAMAHANI UJUMBE HUO UMETUMWA HAPA KWA MAKOSA

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4oАй бұрын

    Baada ya YEREMIA 23;14 nenda MATHAYO 5:13-16 (Nukuu) huku ukifafanua kila mstari. MATHAYO: 10:37(Nukuu) fafanua Kwamba; usichujukiane na baba au mama yako ktk yamchujizayo MUNGU, wala mwana wako au binti eti unasema "asije mtito akanichukia, au akanywa sumu. 1.Hata kama ni baba anataka akukabidhi uchawi, nawe umeokoka kataa, usichukuliane naye, 2.Kuchanjia chale za ukoo kwa ajili ya wafu, eti ni ukoo mzima wanachanja 3.Kula vyakula vikivuotolewa sadaka kwa miungu ya kwenu. 4.Kukaa ktk mabaraza ya wenye mizaha ZABURI 1;1 5.KUTOKA 23:2

  • @felesianyangasi
    @felesianyangasiАй бұрын

    Vipi mtumishi, neno la Yesu lasema, kujipamba kwenu kama wanawake kusiwe kwa nje yaani kwa kusuka nywele baali kwa ndani. Mbona washauri wanawake kusuka nywele zao hatakama ni original? Wala sijaelewa

  • @JESUSISLO891

    @JESUSISLO891

    Ай бұрын

    Soma 1 Corri 11:15

  • @annkim2690

    @annkim2690

    Ай бұрын

    Nilisikia ushuhuda mwingine ukisema ATI katika kusuka nywele yapo maringo na majivuno Kwa kusuka nywele

  • @ambokilegwakisa3526

    @ambokilegwakisa3526

    Ай бұрын

    Huyo ni binadamu Cha muhimu ni kulifuata Neno la Mungu pekee

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    Ай бұрын

    Historia ya upentekoste ulipoanza ilikuwa marufuku kuvaa Vito nywele bandia haya mambo yameanza miaka ya 80 baada ya makanisa kugawanyika.

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    29 күн бұрын

    Kusiwe kufanyaje

Келесі