MADHARA YA KUMKAIDI ROHO MTAKATIFU NA KUZIFUATA MITINDO YA KIDUNIA MCH AMIEL KATEKELA
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 47
Wakati ametuumba Mungu wetu,Kila kitu amekiweka sawa,wakati unajipandikiza hizi vitu vya Dunia hii,ni dhambi na hautaingia mbinguni na uchafu wa Dunia hii, nywele zinatoka kuzimu,make up na vyote,tuepukane na hizi vitu ili tuweze kuingia mbinguni.😢❤
@EZRA-b1c
Ай бұрын
KWELI KABISA AMEN
Asate Sana Mutumishi waMungu Mungu akubariki Sana mimi niko Kenya mahali wanaita kakuma katika camp refugee but nafataka mafundisho yako kila siku kuazia mwanzo waushunda wako Niko nawewe
Amen. Barikiwa mtumishi wa Mungu. We are praising the Lord for how he is using you to save the nations.
Umetumia hekima sana kujibu swali la nywele, umeeleza vzr, utajuaje kama vimetoka kuzimu? Mungu akubariki sana
Ni kweli Kabisa Baba... Ni kumtii Roho Mtakatifu tu
Ubarikiwe sana mtumishi.
Kumbukeni imeandikwa ukivunja sheria moja umevunja zote sasa watakatifu wa Bwana tutie bidii tuwe watakatifu katika mwili nafsi na roho
Amen amen !! Nakupata vzuri mno mtumishi wa Mungu, asnte sana Kwa mafundisho mazuri! Hakika ukimsikiliza Roho mtakatifu atakuongoza na kukuelekeza, Umenena vyema mtumishi wa MUNGU,
Asante mungu akubaliki mtumishi
Ubarikiwe sana Mch Katekela
Karibu sana Mbeya, Mchungaji Amiel Katekela.
Ukiwa rohoni zaidi hayo madudedude ya mabandia hutapenda kuyatumia
@saimonbikulaofficial
20 күн бұрын
True
Ushuhuda wa Astn Mbaya pia kuna mama kutoka kenya hapa promover TV alikatazwa kupaka mvi rangi nyeusi mimi hapa hamunitoi natokea niliachana nahizo mazagazaga nikaanza kupata kibali
Godbless You pastor 🙏 kwa Mafundisho mazuri
1 timotheo 2:9 1petro 3:3 Wengine husema hata kusuka nywele Yako ni dhambi,
Amina ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU
Yani nampenda huyu mhubiri
@gosbertmuta5421
29 күн бұрын
Vua basi
Na mwingine akitaka kupendeza ajifunge kitambaa kizuri
Asante mtumishi kwa kutoa mwarobaini wa kuepuka devil devices. That is; active fellowship of the Holy Spirit. Asante maana desire to have fellowship with Holy Spirit imeendelea to burn in me
Amen nimependa ulivyomshudia Mungu na ukweli wake
MUNGU akubariki mchungaji wewe na familia Yako
AMEN
🙏🙏👏👏👍
Ameni
Ukweli ni mgumu lakini Roho mtakatifu anatukamilisha kwa kufundisha na kutuwezesha
100%
Napenda kujua kuhusu dred
Nisaidie maombi ili NAMI nisibaki duniani nataka kwenda mbinguni nabarikiwasana na mahubiri yako
Bila kupepesa macho.Kusuka nywele ni DHAMBi nina vifungu vya kutosha kwenye biblia
139-14
Naomba namba ya Mtumishi katekela
Apa ni kuachana na manywele bandia
Navile hii TV inashuhuda nyingi za mbinguni na jehanam lakini hataki kuamini anashida akiulizia kwa Amiel haya suka rasta zako basi coz kama hizi shuhuda zote bado hujabadilika hujui
@gosbertmuta5421
29 күн бұрын
😂
Sasa hizo nywele za kuzimu zinafikaje duniani wakati zinatengenezwa kuzimu?
SAMAHANI UJUMBE HUO UMETUMWA HAPA KWA MAKOSA
Baada ya YEREMIA 23;14 nenda MATHAYO 5:13-16 (Nukuu) huku ukifafanua kila mstari. MATHAYO: 10:37(Nukuu) fafanua Kwamba; usichujukiane na baba au mama yako ktk yamchujizayo MUNGU, wala mwana wako au binti eti unasema "asije mtito akanichukia, au akanywa sumu. 1.Hata kama ni baba anataka akukabidhi uchawi, nawe umeokoka kataa, usichukuliane naye, 2.Kuchanjia chale za ukoo kwa ajili ya wafu, eti ni ukoo mzima wanachanja 3.Kula vyakula vikivuotolewa sadaka kwa miungu ya kwenu. 4.Kukaa ktk mabaraza ya wenye mizaha ZABURI 1;1 5.KUTOKA 23:2
Vipi mtumishi, neno la Yesu lasema, kujipamba kwenu kama wanawake kusiwe kwa nje yaani kwa kusuka nywele baali kwa ndani. Mbona washauri wanawake kusuka nywele zao hatakama ni original? Wala sijaelewa
@JESUSISLO891
Ай бұрын
Soma 1 Corri 11:15
@annkim2690
Ай бұрын
Nilisikia ushuhuda mwingine ukisema ATI katika kusuka nywele yapo maringo na majivuno Kwa kusuka nywele
@ambokilegwakisa3526
Ай бұрын
Huyo ni binadamu Cha muhimu ni kulifuata Neno la Mungu pekee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
Ай бұрын
Historia ya upentekoste ulipoanza ilikuwa marufuku kuvaa Vito nywele bandia haya mambo yameanza miaka ya 80 baada ya makanisa kugawanyika.
@gosbertmuta5421
29 күн бұрын
Kusiwe kufanyaje