Day1_MCH.AMIEL KATEKELA KATIKA MKUTANO WA INJILI KYELA MBEYA KIJIJI CHA NGELEKA
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 58
Ni lazima tuokoke Injili hii ni ya kweli ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu injili inahubiriwa kote kote asante Yesu.
Hii ni neema ya Yesu Kristo kumjua Mungu sana na kuzifichua siri za shetani. Kila siku napata kitu. Mungu akulinde mtumishi wa Mungu.
barikiwa sana Mc h. Katekela kwa mafundisho mazuri nafuatilia sana shuhuda zako na mafundisho yako . Mafundisho yako yanatufungua wengi. Nimependa mafundisho yako juu ya utoaji wa sadaka bariliwa sana.
Hallelujah Yesu Kristo hakika nimueza Amen
Haleluya, Sijawahi kuchoka kufuatilia injili, mafundisho na shuhuda za huyu mtumishi, Mungu amzidishie neema zaidi na zaidi
@rerisamba
11 ай бұрын
Hata mimi
@PromovertvTz
11 ай бұрын
Amen, mbarikiwe
@AzAz-sy6zp
10 ай бұрын
Haya mm tangu nifatilie ckaeaji chokaa
I love the confidence.. more grace najifunza mengi kwako mtumwa wa Bwana🙏
sijutii kumguatilia huyu Mtumishi...Mungu azidi kukutumia kuwaondoa wengi walio gizani na kuwaleta kwa Yesu🙏🙏
Ubarikiwe mchungaji na Mungu akulinde siku zote zamaisha yako bado nakufuatilia
Nakupenda sana katekela YESU KRISTO BWANA WETU UNAYEMUHUBIRI AKUTUNZE DAIMA WW NA FAMILIA YAKO
Amen mbariikiwe watumishi wa MUNGU MKUU
Ubarikiwe Baba Mchungaji nilikua nakufwatilia ukiwa simiyu
Kila ulipo nipo mtumishi wa Yesu yaani namshukuru Yesu kwa ajili ya utumishi wako ninasema barikiwe sana
Shalom pst amieli katekela twashukuru Kwa injilLi ya kuonya na kuponya mioyo ya wengi hakika kama vile eliya alikuja Kwa njia ya yohana ndivyo amieli katekela alikuja Kwa njia ya Moses kulola Ili kweli iendelezwe Kwa Wana wa Jehova aishiye milele barikiwa Kwa mafundisho mchungaji katekela ❤❤
I really appreciate you pastor, long life
Amen asante sana mtumishi wa MUNGU aliye hai twabarikiwa sana tukiwa Kenya karibu Kenya mombasa
Mungu akubariki mtumishi nimefurahi kwamba umefika Kyela nyumbani
Ubarikiwe sana mtumishi hakika nabarikiwa sana
Glory to Jesus Mungu akuweke
Nabarikiwa na mahubiri Mungu awatunze tu kwa ajili yetu.
Ngeleka nyumbani, hongereni kwa kumpokea masihi wa Bwana Amieli , Nawasalimu kutoka Arusha, mubarikiwe
@gwamakawilliam5895
11 ай бұрын
Ametufikia wanakyela japo mimi wa kyela mjini
Mungu akubariki Sana mtumishi was Mungu
Amen ubarikiwe san mtumishi
Amen amen amen ubarikiwe
Haaa kumbe umewahi fika Kyela.??? Haa Mungu akubariki sana mtumishi
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu aliye hai
Barikiwa sana tutashukuru kupata ujumbe huu Hakika Bwana ana sababu jambo hili.
Niko Karatu Arusha. Injili na Mafundisho yako ni sahihi sana. Karibu Karatu.
Ubarikiwe baba mtumishi.
Hapo tumeelewana jameni YESU NI YOTE KTK YOTE
Mungu akubariki
Nakufata kutoka Congo drc Fizi Baraka ,mafundisho Yako inaninufaisha sana❤❤
Mtumish tusaidie wengine wanaacha msalaba wanakwenda kwa siasa wanatuchanganya Sana Katekela nabarikiwa na speed yako ya kristo ndani yako Wacha wasome number kwako waone mungu ni zaidi ya siasa Yao ila mungu kasema utavuna upandacho barikiwa Sana katekela mtumish
Sichoki kukufatilia nabarikiwa sana from musoma
Kati ya watumishi nawaelewa ni huyu mtumishi.
Pamoja sana watumishi wa Mungu.
Sichoki kufuata injili kupitia mchungaji Katekella... Nakufuata kutoka Kenya... mchungaji Bwana Yesu akupe nguvu
@anthonymaina7100
11 ай бұрын
Juzi nimefuata mafundisho mazito sana kuhusu sadaka kutoka pale mkoa wa Simiyu
@tabithaibrahim8493
11 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu umekuja Mbeya.Kuna mtu juzi nilikuwa namshuhudia habari zako ana kijana wake aje kwako Geita.Asante Yesu umekuja Kyela kesho wataanza safari.Niko Mbalizi Mby.
Haleluyaaaaa❤
Ninakuombea udumu katika injilinhii ya kweli,shetani asije akaingilia huduma yako na kuweka ya kwake ya maigizo kama wengine wengi wamepotezwa na tamaa
AMEN
Amina
Akutane na mchungaji Amiel Katekela utasaidika
Ameni
Amina kubwa ubalikiwe mtumishi wa Mungu
@petermuiruri9875
11 ай бұрын
Eeeeh
Hati ya mashitaka jamani waa😢😢😢😢
Na burudani tuko pamoja
Jactan tunasubiri usubiri wa Teddy jamani
Jamani mim nabarikiwa sana na uyo mtumishi Niko dar naombeni mnisaidie atakuwa dar lini? Natamani kukutana nae
@PromovertvTz
10 ай бұрын
Atakuja mwezi October
Hivi hadidhi hizi za kutunga, sio uwongo? Jamani walokole.
@fitinamarando
11 ай бұрын
Jana sikuwa hewani, mbarikiwe PROMOVER TV---Dsm
@CatherineLugoma-iy9mq
10 ай бұрын
Anachohubiri ni historia yake ya kweli ya maisha hadanganyi nshawahi muona Live pia.