Day1_MCH.AMIEL KATEKELA KATIKA MKUTANO WA INJILI KYELA MBEYA KIJIJI CHA NGELEKA

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 58

  • @roidayoab9918
    @roidayoab991811 ай бұрын

    Ni lazima tuokoke Injili hii ni ya kweli ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu injili inahubiriwa kote kote asante Yesu.

  • @neemamariki9961
    @neemamariki996111 ай бұрын

    Hii ni neema ya Yesu Kristo kumjua Mungu sana na kuzifichua siri za shetani. Kila siku napata kitu. Mungu akulinde mtumishi wa Mungu.

  • @flavianarwebangira6726
    @flavianarwebangira672611 ай бұрын

    barikiwa sana Mc h. Katekela kwa mafundisho mazuri nafuatilia sana shuhuda zako na mafundisho yako . Mafundisho yako yanatufungua wengi. Nimependa mafundisho yako juu ya utoaji wa sadaka bariliwa sana.

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha770711 ай бұрын

    Hallelujah Yesu Kristo hakika nimueza Amen

  • @felisterligazio7151
    @felisterligazio715111 ай бұрын

    Haleluya, Sijawahi kuchoka kufuatilia injili, mafundisho na shuhuda za huyu mtumishi, Mungu amzidishie neema zaidi na zaidi

  • @rerisamba

    @rerisamba

    11 ай бұрын

    Hata mimi

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    11 ай бұрын

    Amen, mbarikiwe

  • @AzAz-sy6zp

    @AzAz-sy6zp

    10 ай бұрын

    Haya mm tangu nifatilie ckaeaji chokaa

  • @louisendunguru7106
    @louisendunguru710611 ай бұрын

    I love the confidence.. more grace najifunza mengi kwako mtumwa wa Bwana🙏

  • @florakwayu5646
    @florakwayu564611 ай бұрын

    sijutii kumguatilia huyu Mtumishi...Mungu azidi kukutumia kuwaondoa wengi walio gizani na kuwaleta kwa Yesu🙏🙏

  • @damentsichivula677
    @damentsichivula67711 ай бұрын

    Ubarikiwe mchungaji na Mungu akulinde siku zote zamaisha yako bado nakufuatilia

  • @tumpedaudi6681
    @tumpedaudi66812 ай бұрын

    Nakupenda sana katekela YESU KRISTO BWANA WETU UNAYEMUHUBIRI AKUTUNZE DAIMA WW NA FAMILIA YAKO

  • @janengaga2928
    @janengaga29289 ай бұрын

    Amen mbariikiwe watumishi wa MUNGU MKUU

  • @elinemakundi5011
    @elinemakundi501111 ай бұрын

    Ubarikiwe Baba Mchungaji nilikua nakufwatilia ukiwa simiyu

  • @user-dz3rl1ki6u
    @user-dz3rl1ki6u11 ай бұрын

    Kila ulipo nipo mtumishi wa Yesu yaani namshukuru Yesu kwa ajili ya utumishi wako ninasema barikiwe sana

  • @getrayakoyi9185
    @getrayakoyi918510 ай бұрын

    Shalom pst amieli katekela twashukuru Kwa injilLi ya kuonya na kuponya mioyo ya wengi hakika kama vile eliya alikuja Kwa njia ya yohana ndivyo amieli katekela alikuja Kwa njia ya Moses kulola Ili kweli iendelezwe Kwa Wana wa Jehova aishiye milele barikiwa Kwa mafundisho mchungaji katekela ❤❤

  • @graceayuma
    @graceayuma11 ай бұрын

    I really appreciate you pastor, long life

  • @gracemutono5023
    @gracemutono502311 ай бұрын

    Amen asante sana mtumishi wa MUNGU aliye hai twabarikiwa sana tukiwa Kenya karibu Kenya mombasa

  • @user-po2fw5yu7o
    @user-po2fw5yu7o10 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi nimefurahi kwamba umefika Kyela nyumbani

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z11 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi hakika nabarikiwa sana

  • @rerisamba
    @rerisamba11 ай бұрын

    Glory to Jesus Mungu akuweke

  • @rebecashidika7801
    @rebecashidika780111 ай бұрын

    Nabarikiwa na mahubiri Mungu awatunze tu kwa ajili yetu.

  • @anthonybenedict5444
    @anthonybenedict544411 ай бұрын

    Ngeleka nyumbani, hongereni kwa kumpokea masihi wa Bwana Amieli , Nawasalimu kutoka Arusha, mubarikiwe

  • @gwamakawilliam5895

    @gwamakawilliam5895

    11 ай бұрын

    Ametufikia wanakyela japo mimi wa kyela mjini

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas20903 ай бұрын

    Mungu akubariki Sana mtumishi was Mungu

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp10 ай бұрын

    Amen ubarikiwe san mtumishi

  • @yalalaambobe9528
    @yalalaambobe95286 ай бұрын

    Amen amen amen ubarikiwe

  • @user-hg7np4ig9o
    @user-hg7np4ig9o3 ай бұрын

    Haaa kumbe umewahi fika Kyela.??? Haa Mungu akubariki sana mtumishi

  • @user-xw5lq7pg6u
    @user-xw5lq7pg6u11 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @willibrordpastory1637
    @willibrordpastory163711 ай бұрын

    Barikiwa sana tutashukuru kupata ujumbe huu Hakika Bwana ana sababu jambo hili.

  • @herielkishimbo9052
    @herielkishimbo905210 ай бұрын

    Niko Karatu Arusha. Injili na Mafundisho yako ni sahihi sana. Karibu Karatu.

  • @tabithaibrahim8493
    @tabithaibrahim849311 ай бұрын

    Ubarikiwe baba mtumishi.

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa29911 ай бұрын

    Hapo tumeelewana jameni YESU NI YOTE KTK YOTE

  • @graceboke4346
    @graceboke434610 ай бұрын

    Mungu akubariki

  • @user-tm3kr2zo5n
    @user-tm3kr2zo5n10 ай бұрын

    Nakufata kutoka Congo drc Fizi Baraka ,mafundisho Yako inaninufaisha sana❤❤

  • @karumetluway4481
    @karumetluway448111 ай бұрын

    Mtumish tusaidie wengine wanaacha msalaba wanakwenda kwa siasa wanatuchanganya Sana Katekela nabarikiwa na speed yako ya kristo ndani yako Wacha wasome number kwako waone mungu ni zaidi ya siasa Yao ila mungu kasema utavuna upandacho barikiwa Sana katekela mtumish

  • @user-ws1hv7wp9n
    @user-ws1hv7wp9n11 ай бұрын

    Sichoki kukufatilia nabarikiwa sana from musoma

  • @gracesaid8761
    @gracesaid876111 ай бұрын

    Kati ya watumishi nawaelewa ni huyu mtumishi.

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam539011 ай бұрын

    Pamoja sana watumishi wa Mungu.

  • @anthonymaina7100
    @anthonymaina710011 ай бұрын

    Sichoki kufuata injili kupitia mchungaji Katekella... Nakufuata kutoka Kenya... mchungaji Bwana Yesu akupe nguvu

  • @anthonymaina7100

    @anthonymaina7100

    11 ай бұрын

    Juzi nimefuata mafundisho mazito sana kuhusu sadaka kutoka pale mkoa wa Simiyu

  • @tabithaibrahim8493

    @tabithaibrahim8493

    11 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu umekuja Mbeya.Kuna mtu juzi nilikuwa namshuhudia habari zako ana kijana wake aje kwako Geita.Asante Yesu umekuja Kyela kesho wataanza safari.Niko Mbalizi Mby.

  • @maryharrisngagasy7689
    @maryharrisngagasy768910 ай бұрын

    Haleluyaaaaa❤

  • @florakwayu5646
    @florakwayu564611 ай бұрын

    Ninakuombea udumu katika injilinhii ya kweli,shetani asije akaingilia huduma yako na kuweka ya kwake ya maigizo kama wengine wengi wamepotezwa na tamaa

  • @jeniphatemu2937
    @jeniphatemu293710 ай бұрын

    AMEN

  • @failanangeso
    @failanangeso11 ай бұрын

    Amina

  • @graceboke4346
    @graceboke434610 ай бұрын

    Akutane na mchungaji Amiel Katekela utasaidika

  • @aminakyungu8414
    @aminakyungu841411 ай бұрын

    Ameni

  • @aminakyungu8414
    @aminakyungu841411 ай бұрын

    Amina kubwa ubalikiwe mtumishi wa Mungu

  • @petermuiruri9875

    @petermuiruri9875

    11 ай бұрын

    Eeeeh

  • @josykogei7647
    @josykogei764711 ай бұрын

    Hati ya mashitaka jamani waa😢😢😢😢

  • @ngendakumanaberchmans9573
    @ngendakumanaberchmans957311 ай бұрын

    Na burudani tuko pamoja

  • @rerisamba
    @rerisamba11 ай бұрын

    Jactan tunasubiri usubiri wa Teddy jamani

  • @JoanithaKemi-hd1xd
    @JoanithaKemi-hd1xd10 ай бұрын

    Jamani mim nabarikiwa sana na uyo mtumishi Niko dar naombeni mnisaidie atakuwa dar lini? Natamani kukutana nae

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    10 ай бұрын

    Atakuja mwezi October

  • @marionoti5760
    @marionoti576011 ай бұрын

    Hivi hadidhi hizi za kutunga, sio uwongo? Jamani walokole.

  • @fitinamarando

    @fitinamarando

    11 ай бұрын

    Jana sikuwa hewani, mbarikiwe PROMOVER TV---Dsm

  • @CatherineLugoma-iy9mq

    @CatherineLugoma-iy9mq

    10 ай бұрын

    Anachohubiri ni historia yake ya kweli ya maisha hadanganyi nshawahi muona Live pia.

Келесі