MCH.KATEKELA:MALANGO YA KUZIMU NA MANABII WA UONGO WANAVYOSHIRIKIANA

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 302

  • @alensilence8308
    @alensilence83085 ай бұрын

    Mungu azidi kukutumia Mch.Amiel Katekela katika kazi yake. Nimebarikiwa sana na mafundisho yako. Ni Mungu tu AMINA. UBARIKIWE SANA.

  • @liliannyangweso8033
    @liliannyangweso803311 ай бұрын

    I just love this man of God for speaking the truth this is the third time I'm listening to him my eyes have opened alot,I pray for him and his family for more grace

  • @liliannyangweso8033

    @liliannyangweso8033

    11 ай бұрын

    May God bless you for me

  • @favourrobert872

    @favourrobert872

    11 күн бұрын

    ​@@liliannyangweso8033😢😢😢😢😢😢😊😢😊😢

  • @LilianBerthesa-gc8bf
    @LilianBerthesa-gc8bf8 күн бұрын

    Amen namuelewaga sana huyu mtumishi

  • @simonliwawa864
    @simonliwawa864 Жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi KATEKELA. Umenifumbua Sana katika shuhuda zako

  • @resaltnekesa9702
    @resaltnekesa9702 Жыл бұрын

    From Kenya Bungoma we are blessed. God bless you servant of God

  • @faithe4063
    @faithe40639 ай бұрын

    Niliwai findisha kwamba Roho wa Mungu aiangushi bali inasimamisha,sasa watu wamrudie mwenyezi Mungu waache kukimbilia miujiza hii lugha eti ni ndimi sijewai Amini Mimi Asante Mungu kwa hekima

  • @abdusheriffsheriff8557
    @abdusheriffsheriff8557 Жыл бұрын

    Asante Mungu wetu kwakuokowa mtumishi wako, pia na sisi utusaindie kelikeli🙏🙏

  • @amigoshamisi126
    @amigoshamisi126 Жыл бұрын

    Mungu akulinde kwakazi unayo fanya kwaajili ya kuponye mioyo ya watu. Mungu akupe maisha marefu uzindi kuponye watu wa Mungu kwakusundi lake.

  • @mauriciocristianomardes6295
    @mauriciocristianomardes6295 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU. From Mozambique 🇲🇿

  • @Josmedard
    @Josmedard Жыл бұрын

    Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa " kwanzia Leo , nimepata maarifa , man of MIGHT GOD be blessed alot , preach always like never before

  • @Soni-lt6oi
    @Soni-lt6oiАй бұрын

    Bwana Yesu asifiwe wapendwa Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu endelea kutuambia ukweli tuendelee kujuwa ukweli

  • @janetndonye7709
    @janetndonye7709 Жыл бұрын

    karibu sana kenya mafundisho kama hayo nimuimu sana kwa makanisa yakenya nimembarikiwa sana naumefungua macho yangu asante sana

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo22875 ай бұрын

    Oooh nimebalikiwa Duniani na mbinguni ahsante MWENYEZI MUNGU kwa hii Neema 🙏🙏

  • @kinjiwe5828
    @kinjiwe5828 Жыл бұрын

    chukua vyote niachie Yesu💯

  • @StephenKitina-f5m
    @StephenKitina-f5m8 күн бұрын

    Barikiwa sana

  • @AbeliSaly
    @AbeliSaly6 ай бұрын

    Amen nashukulu mchungaji,kuisaidia familia yang kututoa kwenye munyololo wa mizimu ya ukoo iliyotushikilia ,sasa imeshindwa kwa jina la Yesu ,sasa tunaamani familia yote ya wilson

  • @subiramtitu6621
    @subiramtitu662123 күн бұрын

    Amina mtumishi wa mungu

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 Жыл бұрын

    Asante Yesu Mungu awabariki wote mliousika kuiandaa semina hii katoka Jina la Yesu Kristo alie hai .Amina.

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani61339 ай бұрын

    Amen Amen Asante Muchungaji kwa mafundisho mazuri barikiwa sana pamoja nawe Promover TV.

  • @kimalimorice4125
    @kimalimorice41253 ай бұрын

    Mungu akubarik saana na kukulinda mch Amiel kwa mafundisho mazur

  • @jacklinegatwiri635
    @jacklinegatwiri6357 ай бұрын

    Kwa jina la Yesu Kristo Amen Amen 🙏🙏🙏

  • @carolinemkuwele7845
    @carolinemkuwele78453 ай бұрын

    MUNGU akubariki sana Mtumishi wa MUNGU alie hai. Unatufunulia yaliyofichika sirini. Uzid kulindwa kwa DAMU ya YESU KRISTO.

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090Ай бұрын

    Ubarikiwe Sana mtumishi was Mungu

  • @MarymoitaMarynaitawang-yl4dk
    @MarymoitaMarynaitawang-yl4dk9 ай бұрын

    MUNGU hakubariki mtumishi wa MUNGU kwa mafundisho Niko Kenya trainsmara

  • @PhabianLuoga-yd1hl
    @PhabianLuoga-yd1hl26 күн бұрын

    Amina

  • @user-xd8is8ct7j
    @user-xd8is8ct7j8 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu aliye juu ninayaelewa sana mafundisho yako

  • @user-eg3lt6mp1c
    @user-eg3lt6mp1c24 күн бұрын

    Na.takasana barikiwa

  • @annahalex8453
    @annahalex8453 Жыл бұрын

    Amen hv umeshamkutanisha na Askofu Gwajima nataman Sana hiyo siku

  • @Shalom2018

    @Shalom2018

    Жыл бұрын

    Hata mimi niliwahi kulifikiria hilo

  • @gilbertndayishimiye7808
    @gilbertndayishimiye7808 Жыл бұрын

    Barikiwa Mtumishi wa Mungu. Ila mafundisho haya kuna vipande vipande vinakatika katika inapungua mwendelezo wa message kamili. Alietengeneza hii vidéo aombe Mungu, shetani asiilie tukaja kukosa ujumbe mzuri.

  • @winfredmueni3281

    @winfredmueni3281

    Жыл бұрын

    Mtumishi wa MUNGU barikiwa sana mimi nimebarikiwa sana nikiwa nakuru kenya na naomba MUNGU sana anifungulie jia ya kukupata i have more to you

  • @UsafiMichael-mc8kt

    @UsafiMichael-mc8kt

    11 ай бұрын

    @@winfredmueni3281 come on ubarikiwe sana

  • @user-mm7pi6dz9m
    @user-mm7pi6dz9m8 ай бұрын

    mungu akubariki mchungaji maubiri yako yanibariki sana mungu akupe nguvu yakutangaza injili

  • @nominetjacob8137
    @nominetjacob8137 Жыл бұрын

    Mchungaji ana hubili ukweli kabisa watu tumekuwa wavivu wa kujiombea tume kuwa wavivu tunataka kuombewa tu imani hatuna kabisa Kwakweli umetufunguwa na kutegemea maombi kwa watu wengine MUNGU akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai akubaliki sana

  • @eunicewangomwa5506

    @eunicewangomwa5506

    10 ай бұрын

    Mbarikiwa sana na yesu sana

  • @jacymueni1671
    @jacymueni1671 Жыл бұрын

    Amen Amen Mafundisho Yako inanibariki sana God bless you.

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 Жыл бұрын

    Hallelujah hallelujah hallelujah jina la BWANA lipewe sifa milele na milele AMINA KUBWA hakuna kama MUNGU wambinguni mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU

  • @user-lr6ef5co9t
    @user-lr6ef5co9t7 ай бұрын

    Nimepokea mtumishi Mungu akubariki kwa ushuhuda wako

  • @udahkafonogo-cp1fc
    @udahkafonogo-cp1fc Жыл бұрын

    Hii ni kwel kweli tunaihitaji ufunuo nakuelewa kuwa Yesu Kristo ndio mwana wa Mungu

  • @barakaclement7754
    @barakaclement77544 ай бұрын

    barikiwa sana mtumishi Yesu akutunze

  • @JofreyDamson-nm6ec
    @JofreyDamson-nm6ec3 ай бұрын

    Amen mchungaji ubarikiwe sana

  • @Matilda-rp4uy
    @Matilda-rp4uyАй бұрын

    Mungu akutie nguvu zaidi

  • @suzanmichael
    @suzanmichael2 ай бұрын

    Amen mtumishi nmebarikiwa Kwa mafundisho haya🙏🙏🙏

  • @valelianonyato-gx5bq
    @valelianonyato-gx5bq8 ай бұрын

    Mungu akubaliki sana mtu wa Mungu huo ndio ukweli nabalikiwa sana ukweli usemwe tu kuliko kuwa sikiliza matapeli wa injili

  • @MarymoitaMarynaitawang-yl4dk
    @MarymoitaMarynaitawang-yl4dk9 ай бұрын

    Mtumishi MUNGU hakubariki kwa mafundisho

  • @daviesoscar1603
    @daviesoscar16034 ай бұрын

    Mungu Jehovah ANISAIDIE nikauone Ufalme wake

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mnoo,DAMU ya YESU ikufunike.

  • @mathewlemegila7645
    @mathewlemegila76457 ай бұрын

    More grace and Protection of God man of God.

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa6904 Жыл бұрын

    Hebu igiza kilicho sahihi ili tupambanue kunena kwa shetani na kwa Roho wa Mungu! Shetani hupenda kuiga ndivo ninavoelewa mimi so utajua kwa Neno la maarifa kuwa hii siyo!

  • @user-gv3si2mv3l

    @user-gv3si2mv3l

    Жыл бұрын

    Ukinenewa uliza kwa jina la yesu utajua kama ndie au sie the bble says kwa jina la yesu kila goti litapigwa mm nliwahi muona ndege kazin kwangu anantabasamia nkamwambia njoo kwangu kwa jina la yesu akakimbia mbio NA kutoka hapo

  • @user-fg2df7pw7j
    @user-fg2df7pw7j8 ай бұрын

    MUNGU awabariki watumishi wa BWANA na ashukuliwe kwa kuwatoa kuzim

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 Жыл бұрын

    Mbarikiwe sana kwa kazi nzuri ya Mungu tunawapata vema kabisa

  • @SwagadaMpakaa
    @SwagadaMpakaaАй бұрын

    Mtumishi upo vizuri

  • @yesuanikumbukejanuary8363
    @yesuanikumbukejanuary836311 ай бұрын

    😭😭😭 uwiii MUNGU wetu tuna kuomba utusaidie tusiikose mbingu sisi pamoja na familia zeetu MUNGU WETU TUSADIE wanao kuzimu nimbaya saana yani wewe mchungaji wewe kwenda kuzimu nimpango wa MUNGU ili akurudishe kwetu ili uje uuambie ulimwengu hali ilivyo kuzimu.

  • @jojosky337
    @jojosky337 Жыл бұрын

    Asante mtumishi kwa kunifungua mm nilikua mtumiaji mzuri wa hayo mafuta Asante Yesu kwa kuniokoa🙏🏾

  • @BathoromayoRunobera

    @BathoromayoRunobera

    4 ай бұрын

    ubalikiwe.mtumishi.endelea.kufunguawatu

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏❤

  • @judithminja770
    @judithminja770 Жыл бұрын

    Yesu akuinue zaidi mch

  • @marynimmo2399
    @marynimmo2399 Жыл бұрын

    Nashukuru mwenyezi Mungu Kwa mtumishi wake ,nimepata ufunuo na kubarikiwa.Sifa na utukufu simurudie yesu

  • @JacklinePoyongo-xe7io
    @JacklinePoyongo-xe7io4 ай бұрын

    MUNGU akubariki sana mtumishi nimekuelewa

  • @deomajuva2432
    @deomajuva2432 Жыл бұрын

    Amen nimebarikiwa sna

  • @JuliasRanga-dd8zn
    @JuliasRanga-dd8zn Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu

  • @jimmymwashambwa7364
    @jimmymwashambwa73642 ай бұрын

    Asante kwa Bwana wetu Yesu kristo

  • @ridiajofrey8276
    @ridiajofrey8276 Жыл бұрын

    Asante kwa neno limenifungua mungu nisamehe na unirehem bwana yesu jaman Kama kwa manabii naenda sana

  • @mackfasonmoshi4629

    @mackfasonmoshi4629

    Жыл бұрын

    Ridia samahani mpe Bwana Yesu hadhi yake kwa kutumia herufi kubwa.. Bwana Yesu. Kuhusu hawa manabii feki, Endelea kupokea Neno sahihi kwa Watumishi sahihi. Taka sana Uongozi wa Roho Mtakatifu. Jifunze sana kuhusu 1Wakorintho 12: 8-10.. Karama za Roho Mtakatifu.. zaidi zile 3 za Mafunuo ( Kupambanua roho, Neno la Maarifa na Neno la Hekima)....Kanisa la Kweli litake sana karama hizi ....ili tuwezeshwe kuzitambua hizo roho..1Yohana 4:1....Mathayo 24: 11, 24 nk... Barikiwa...

  • @BahatiKinyamagoha
    @BahatiKinyamagoha8 ай бұрын

    Asante sana mtumish wa mungu amiel hakika mungu akulinde sana sana

  • @user-up8rt6tu4i
    @user-up8rt6tu4i11 ай бұрын

    Asnte mtumishi wa mungu nimejifunza mengi mnooo barikiwa sanaaa

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 Жыл бұрын

    Mungu akubariki na kukutia nguvu🙏

  • @user-wq3vw6rr7t
    @user-wq3vw6rr7t Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi mungu azidi kukutunza .Nimebarikiwa sana natamani masomo yako yote nizidi kukua kiimani

  • @user-zu1os9yo1z
    @user-zu1os9yo1z8 ай бұрын

    God is pless you my paster

  • @bettywanjala5630
    @bettywanjala5630 Жыл бұрын

    Amen Amen pastor

  • @annamulenda6652
    @annamulenda6652 Жыл бұрын

    Keep the fire burning.. God is good. Stay blessed always in the name of Jesus Christ of Nazareth... Amen Amen Amen Amen

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Жыл бұрын

    Toka njkupate kwenye YUTUBE NIMEJIFUNZA MENGI, ulipokuja Sombetini PALE nolitamani MNOOO kukuona lkn shetani akanipotezea nisiwe kanisani, na wakati ule uljkuwa unachechemea mguu . POLE sana huenda ukaja ars nikabahatika.

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    Жыл бұрын

    Jamani rahabu sombetin prayer church kwa mchungaji Romana,ulikuwa arusha duh shetani akakuzuia

  • @Martinisamweli
    @Martinisamweli Жыл бұрын

    Munguu wafungue masikio ya rohoni roho ya kawaida itoke kwa jina la yesu atupe moyo ulio pondeka

  • @julietnelima3253
    @julietnelima3253 Жыл бұрын

    Mchungaji tafadhali tafuta nafasi utuambie chanjo ya Corona ina nini na baada ya kuchanjwa madhara yake pliz but tunaamini Mungu atatuosha hizo dawa tulichanjwa kutoka kwa miili yetu ktk jina la Yesu Kristo.

  • @serviceburundaise
    @serviceburundaise Жыл бұрын

    Napenda nipate namba ya mtumishi katekela,naomba Promover Tv

  • @user-eg3lt6mp1c
    @user-eg3lt6mp1c24 күн бұрын

    Nakwelewa

  • @sarahndungu2023
    @sarahndungu2023 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu from Riyadh Saudia

  • @julietnelima3253

    @julietnelima3253

    Жыл бұрын

    Tuko wengi

  • @festusnyamhanga1315

    @festusnyamhanga1315

    Жыл бұрын

    Shetani hufikiri anawachukua wafuasi wake na kuwaonyesha fahari zote pasipokujua kuwa Mungu alimuumba mtu kwa sura na mfano wake.

  • @veronicahkhaikwa4929
    @veronicahkhaikwa4929 Жыл бұрын

    Mafundisho mazuri sana huwa na faidika sana

  • @lianaelgomezulu2259
    @lianaelgomezulu2259 Жыл бұрын

    Amen!! Ni kweli wanaondolewa utayari wa kumtafuta Mungu wa kweli

  • @nisetameena9276

    @nisetameena9276

    Жыл бұрын

    MUNGU akubariki

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa6904 Жыл бұрын

    Natamani ungepiga zaidi injili na kufundisha watu zaidi kuongozwa na Roho Mtakatifu na Roho ya kupambanua.

  • @user-gv3si2mv3l

    @user-gv3si2mv3l

    Жыл бұрын

    Roho yy ndio anakufunulia yesu hufunzwi jesus says huyo roho msaidiz wangu atawafunulieni mm ndani yenu

  • @alexnyigo8864
    @alexnyigo88649 ай бұрын

    Amina baba

  • @stellahkathure-px9cf
    @stellahkathure-px9cf Жыл бұрын

    Mtumishi wa mungu ningependa utembee àta pande cha meru ubiri neno la mungu uko ukomboe mwoyo ya watu uko plz

  • @UsafiMichael-mc8kt

    @UsafiMichael-mc8kt

    11 ай бұрын

    Meru ipi ya Tanzania au Kenya?/

  • @sophiamakani6133

    @sophiamakani6133

    9 ай бұрын

    ​@@UsafiMichael-mc8ktkenya

  • @user-tz4ue4hm9f
    @user-tz4ue4hm9f4 ай бұрын

    Be blessed

  • @asta.tanotdoor7
    @asta.tanotdoor7 Жыл бұрын

    Amen sana ninaamin nimefuta kilakitu

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Жыл бұрын

    Aksante kwa kutufungua ufahamu pia

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa2994 ай бұрын

    Mmmmh eeee namutaka BWANA MUNGU NA NGUVU ZAKE YEEE

  • @estherchacha7112
    @estherchacha7112 Жыл бұрын

    Amen amen 🙏🙏🙏

  • @annareginald7120
    @annareginald7120 Жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe. Huduma nzuri lakini naomba Mch. Katekela aache kuapa na tafadhali warushaji video inakatika katika. Mambo mengine hatuyapati Mungu awabariki.

  • @pablovicpabloski7929
    @pablovicpabloski79294 ай бұрын

    THANKS

  • @user-li7vn7cd3m
    @user-li7vn7cd3m Жыл бұрын

    Good work

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Жыл бұрын

    Hatari sana

  • @dainesykalinga7133
    @dainesykalinga7133 Жыл бұрын

    Mungu uturehemu na tunaomba utufumbue akili na tunaomba utupe macho ya Rohoni tuweze kutambua na kuona sawa sawa na uweza wako Mungu wetu uliye hai.

  • @koletajeanne8824
    @koletajeanne8824 Жыл бұрын

    Iyo nikwali mungu hakubariki

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Жыл бұрын

    Nasikiliza Leo 3.3.2023 nikiwa mkoa wa pwani wilaya ya kibaha kata ya kongowe mtaa wa bamba.Mungu wa miungu nisaidie nimalize mwendo salama

  • @JoyceMlelwa
    @JoyceMlelwa2 ай бұрын

    Mungu nipe macho ya rohoni

  • @janekhanjila3413
    @janekhanjila34132 ай бұрын

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q11 ай бұрын

    Mungu wambinguni atusahidiye ili tuiyone mbigu atuepushe na majaribu

  • @maliammussa
    @maliammussa Жыл бұрын

    Nimefungukasana nakanisani kwetu mchugaji wetuana tumia mafuta huku geita butundwe ninaomba mungu atuletee watumishi wa me amee.

  • @user-fm6le7hz5k
    @user-fm6le7hz5k3 ай бұрын

    Nimejifunza mengi

  • @user-zg6ek5kk6z
    @user-zg6ek5kk6z2 ай бұрын

    MUNGU BABA MWENYEZI , tuhuishe nakusihi kumbe wengi hatupo kiroho wala kimwili!

  • @JuliasRanga-dd8zn
    @JuliasRanga-dd8zn Жыл бұрын

    Amen and Amen

  • @RoshaniLifeStyle
    @RoshaniLifeStyle Жыл бұрын

    Amen & Amen. GOD BLESS YOU ALL for the wonderful work.

  • @irinealex559

    @irinealex559

    Жыл бұрын

    Mtumishi wa Mungu, Mungu akutetee sana kwa ukweli huu

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 Жыл бұрын

    Amen

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph1422 Жыл бұрын

    Unahubiri.vizuri ila jinsi no nilivo kusikiliza.na.kukufatilia sana naomba.kanisa walilompokea katekela wamuombe kwaza mungu awathibitishie. Kama mtumishi kweli kuna mambo nayaona.kwa katekela hayako sawa

  • @user-gv3si2mv3l

    @user-gv3si2mv3l

    Жыл бұрын

    Ww omba uje utidhibitishie dada mana una uwezo pia dont you see satan is talking inside of you sumaku ina attract sumaku ukiona kitu kibaya ndan ya mtu n ubaya wako ulio ndani ndio unaona. Jesus says pepo hawez kutoa pepo

  • @UsafiMichael-mc8kt

    @UsafiMichael-mc8kt

    11 ай бұрын

    Unaona nini? Wewe umeokoka au ni mlokole au wewe ni nani?

  • @rubensokoine6647
    @rubensokoine6647 Жыл бұрын

    Sema mtumishi kanisa la kikristo lipone

  • @NaishiyeMollel-sv6os
    @NaishiyeMollel-sv6os2 ай бұрын

    Mtumishi ubarikiwe na bwana.

Келесі