#Live

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 90

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293Ай бұрын

    Me nafurah sana nikimckiliza mchungaji katekela jaman mungu azid kukutumia

  • @JulianaTryphony
    @JulianaTryphony9 ай бұрын

    Amen SHUJAA wa KRISTO,, MUNGU akubariki sanaa.. Wewe ni Jitu la BWANA YESU anayejivunia..

  • @fitinamarando
    @fitinamarando9 ай бұрын

    PROMOVER TV, mbarikiwe sana ,--Dsm

  • @user-ez1rx1qs6d
    @user-ez1rx1qs6d8 ай бұрын

    Amen Bwana hata akuwezeshe kuwataja ao manabii.

  • @Pendo-hc4hf
    @Pendo-hc4hf4 ай бұрын

    Ee Mungu wa mbinguni akulinde mtumishi ubarikiwe kwa kazi ya mungu

  • @tamarali8325
    @tamarali83259 ай бұрын

    Amen God is Great. Bless you pastor Katekela. Promover TV Barikiweni sana ❤

  • @RodiaKibona
    @RodiaKibonaАй бұрын

    Mimi ni kijana nafurahia mafundisho yako mtume wa MUNGU inatupa urahisi sisi vijana kuwajua tunaotakiwa kupambana nao katika kuwahubiria mataifa na kumshinda shetani UBARIKIWE SANA.

  • @GisubizoTheddy-xg3mh
    @GisubizoTheddy-xg3mh2 ай бұрын

    Amen tena amen 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rahabuaoci2152
    @rahabuaoci21529 ай бұрын

    Amina kubwa mtumishi ubarikiwe sana sema kweli tu wakusikia wasikie sifa kwa Mungu

  • @kapingalucy2707
    @kapingalucy27079 ай бұрын

    Hakika Nimbarikiwa mnoo YESU Ni Mshindii

  • @neemamarko176
    @neemamarko1769 ай бұрын

    Barikiwa Mtumishi wa Mungu Amiel katekela

  • @user-zq8xg9oq4p
    @user-zq8xg9oq4p9 ай бұрын

    Hongera mtumishi katekelo injili Yako naipenda imenyooka Kiukweli tumechoshwa na viambata vinavyotolewa makanisani

  • @LydiaKwamboka-oj3pi
    @LydiaKwamboka-oj3pi2 ай бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @graceshayo5763
    @graceshayo57638 ай бұрын

    Nakupenda Amieli mtumishi wa Mungu Mungu aendelee kukulinda

  • @graceboke4346
    @graceboke43469 ай бұрын

    Mungu akupe ulinzi wake siku zote

  • @failaprince9250
    @failaprince92509 ай бұрын

    Amena kwaimani nimepokeya uponyaji MUNGU akubariki sana mchungaji

  • @user-po1vi4du6h
    @user-po1vi4du6h9 ай бұрын

    Hakika utapewa taji ndef kwakazi ya mungu azidi kukuinua zaidi

  • @GroriminaVenancempua-fe1xi
    @GroriminaVenancempua-fe1xi9 ай бұрын

    Asante sana kaka yangu fishua vyote usibakize

  • @jameskajenge3109
    @jameskajenge31095 ай бұрын

    MUNGU Muumba mbingu na nchi aikumbuke Promover Tv na Mch Amiel

  • @aminakyungu8414
    @aminakyungu84143 ай бұрын

    Ameni Yesu akulinde

  • @MosesWakristo-ko5ze
    @MosesWakristo-ko5ze9 ай бұрын

    Yesu Yesu

  • @arsi8092
    @arsi80922 ай бұрын

    Ameeen

  • @FurahaMtitu90
    @FurahaMtitu904 ай бұрын

    Amina,, mtumish

  • @dorcaschadimile6386
    @dorcaschadimile63863 ай бұрын

    Bwana Yesu akutunze mtumishi najifunza mengi kwako

  • @elegantthriftcollections8101
    @elegantthriftcollections81019 ай бұрын

    Mungu akulinde Mtumishi wa Mungu

  • @elishaodas4358
    @elishaodas43589 ай бұрын

    Mch Amiel urudi tena na huku kwetu Simiyu,,bado tunakuhitaji ukomboe family zetuu🙏

  • @gahunguleonidas2606
    @gahunguleonidas26069 ай бұрын

    Malayika wa Bwana anawaponda wakome kilifuata Kanisa la Yesu. Amen Amen.

  • @alexpaster4853
    @alexpaster48539 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi...

  • @user-sr2kf4re9z
    @user-sr2kf4re9z7 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa kazi kubwa unayo

  • @user-sr2kf4re9z

    @user-sr2kf4re9z

    7 ай бұрын

    Nina ulizo kuusu mababu Wale waliokufa tayari wakimfikia mtu nishetani anawatumiaga kwaku aribu maisha ya mtu, dada najiulizaga swali sijawai kupata jibu je!? Wale mababu waliokufa wenye wanakujaga wapa Watu madini yaan OR tunaita ukukwetu Congo kuna mababu watokea mtu nakumwambia nimimi fulani nataka kuwasadia pesa nendeni kwenye mlima fulani, nafasi fulani mkachimbe pale, nakwel kwel Watu wanachimbua pale na wanafanikiwa nakutajirika , ndoo zamadini( OR) je!? Hao aina zamababu wanatokaga wapi? Wafa wanatumwa Nani?

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani61339 ай бұрын

    Amen Amen

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf6 ай бұрын

    Tena kweli mungu akubaliki hubili SEMA ukweli mungu akulinde akupe siku nyingi watu wanamwami nabi kuliko mungu musema kweli nimpezi wa mungu

  • @HarryMbale-ie1ex
    @HarryMbale-ie1ex9 ай бұрын

    MUNGU unirehemu uturehemu AMEN 🙏

  • @user-dd7iy4ky1h

    @user-dd7iy4ky1h

    5 ай бұрын

    Mungu akubariki mutumishi Wa mungu nabarikiwa San nashuhuda zk pia napend mahubili yK sababu nijasili

  • @fridberthahaule9489
    @fridberthahaule94899 ай бұрын

    Yesu tusaidie kwa kweli

  • @everlinekemunto267
    @everlinekemunto2679 ай бұрын

    Amen

  • @GroriminaVenancempua-fe1xi
    @GroriminaVenancempua-fe1xi9 ай бұрын

    Jamani Mungu niaaidie

  • @angelamugoywa4917
    @angelamugoywa49179 ай бұрын

    ameen 🙏🙏🇰🇪

  • @fathima7617
    @fathima76179 ай бұрын

    Amenaaaa

  • @japhetzachariah105
    @japhetzachariah1059 ай бұрын

    YESU KRISTO AKUBARIKI ZAIDI MTUMISHI

  • @AinekishaGodwin-ru8bn
    @AinekishaGodwin-ru8bn9 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @RodiaKibona
    @RodiaKibonaАй бұрын

    MUNGU AZIDI KUKUPA NEEMA NA UZIMA,AFYA NJEMA NA KUIKUZA HUDUMA IFANYE KAZI ULIMWENGUNI.

  • @TravisScort
    @TravisScort4 ай бұрын

    MUNGU atusaidie,peke yetu hatuwezi

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania63269 ай бұрын

    Semina Bado inaendelea?ni ukonga sehemu gani?

  • @martinihassani6760
    @martinihassani67604 ай бұрын

    Nam hii ndo kazi ya Mungu ndo kazi yakweli iliochwa na Mwokozi Yesu

  • @GetrudeHekelia
    @GetrudeHekelia3 ай бұрын

    😂mtumishi tunaomba Mungu akutume kwetu Kenya mombasani

  • @user-sr2ne3in3l
    @user-sr2ne3in3l9 ай бұрын

    Mtumushi usiongope kuhienezai ijiri ya Bwana yesu kristo. kwakuwa unaye mshuhudia niyule aliye kutoa kusimu, nitawaombea, kwakuwa kama cio promover tv, tungeyajuaje!!? Haya yote ya sirini. mubalikiwe Kwa jina la yesu, nimebarikiwa sana.

  • @user-df3jl4mc5c
    @user-df3jl4mc5c8 ай бұрын

    Ameeeee kubwaaa kwa yesu wetu

  • @adeladamasi4391
    @adeladamasi43919 ай бұрын

    Tuliyo mbali majina.yawatoto.tutume.kwa mtandao

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert11719 ай бұрын

    Mimi ni mwana wa Mungu,jasusi la mbinguni, nuru wa ulimwengu

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur5 ай бұрын

    MUNGU aturehemu sana mana hatujui,wana wa giza wanao ufahamu lakin wana wa nuru hawana

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess38469 ай бұрын

    Sifa na shukrani na utukufu tunamregesheya MUNGU wambinguni hakuna kama yeye

  • @user-zf7kq7tu9j
    @user-zf7kq7tu9j8 ай бұрын

    Njoo myumishi hizi biashara zipo sana. RUSIFA amekusudia mabaya kwa kanisa

  • @user-dh7jv1bc6q
    @user-dh7jv1bc6q7 ай бұрын

    Pga wachawi amiel kamanda wa BWANA.

  • @elizabethsimbenga4773
    @elizabethsimbenga47739 ай бұрын

    Majina yangu nimetuma

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp9 ай бұрын

    Ameeeeeeen

  • @dafrosamonko8254
    @dafrosamonko82546 ай бұрын

    Hii imeenda

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf6 ай бұрын

    Tena kweli Yani ongea ukweli mama mungu ana kusudi nawewe

  • @user-hg7np4ig9o
    @user-hg7np4ig9o2 ай бұрын

    Mchungaji mbona ww ulirudisha vitu vyao na mali zao na ulisema ulifirisika sana??

  • @user-vt9gf8si5p
    @user-vt9gf8si5p5 ай бұрын

    Yooooo Mimi Niko Rwanda munini kigari nope namba yakoo

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam53909 ай бұрын

    Sema baba

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa27369 ай бұрын

    Amina baba!

  • @fridberthahaule9489
    @fridberthahaule94899 ай бұрын

    Yesu okoa Kanisa la leo nakuomba

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f3 ай бұрын

    Amina bendera chuma mulingoti chuma❤❤😂😂😂😂😂😂

  • @gahunguleonidas2606
    @gahunguleonidas26069 ай бұрын

    Maji ya upako ya manabii wa uongo yame kufaaaaa, ubalikiwe sanaaaa.

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp9 ай бұрын

    Amen ucnyamaze katekela tupone

  • @user-vt9gf8si5p
    @user-vt9gf8si5p5 ай бұрын

    Jyamani mucungaji katekeraa njooo nchinii Rwanda kingari nakukaribishaa nitumie namba yakoo jamanii huku Rwanda tunaishaa wacungaji wa kanisa ra kkkkt Rwanda kigari wanaishaa mume wangu mnngaji muzigura arikufaaa kigafuraaaa njo utuhudumieeeeee

  • @user-zf7kq7tu9j
    @user-zf7kq7tu9j8 ай бұрын

    Mtumishi njoo na Arusha huku pia maji na mafuta na frito na chumvi vinatolewa kwenye ibada Katekela njooo uokoe kanisani,

  • @mathewmutuki-qh3tn
    @mathewmutuki-qh3tn9 ай бұрын

    Please am asking the book I saw you selling , would like to have it am in Kenya Mombasa

  • @OlivreKimario
    @OlivreKimario2 ай бұрын

    Naomba uje mireran kuhani wa bwana

  • @failaprince9250
    @failaprince92509 ай бұрын

    Pasta kwanini kujiwekatena Karina kundiilo? Etiyunasema mulikuwaka nasema weusijiweketena kwailokundi amina

  • @user-xz6wb1hp7n
    @user-xz6wb1hp7n4 ай бұрын

    Shamsa na yusra wako Kenya mm niko saudia

  • @user-zc9ru6zs8s
    @user-zc9ru6zs8s7 ай бұрын

    Wewe uliokoka nahizo pesa na uliziweka wap?

  • @annajohn419
    @annajohn4199 ай бұрын

    Kuna zile dawa za kuua mbu za udi je sio za kuita mapepo kweli

  • @AndasonAbinel
    @AndasonAbinel8 ай бұрын

    Mchungaj nime balikiwa sana naibada yako mung aku bal

  • @user-dd7iy4ky1h
    @user-dd7iy4ky1h5 ай бұрын

    Kaka Sema watu tupone

  • @zuberiwilson4947
    @zuberiwilson49479 ай бұрын

    Mch amieli nakuamin

  • @Tumu-zr2ez
    @Tumu-zr2ez9 ай бұрын

    Baba hata mm unikumbuke

  • @happinessmgonja8573
    @happinessmgonja85738 ай бұрын

    Mchg Amiel kuna wale wanaambiwa mje na mafuta yenu nitayaombea hiyo nayo ikoje...msaada plz

  • @femidayahaya9293

    @femidayahaya9293

    Ай бұрын

    Baba uwe unatutajia hao manabii ili tuwajue kwa jina la YESU KRISTO

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k9 ай бұрын

    Mtu anaona sifa kuhubiri ushetan uchawi hao wachawi mbona wapo tu na hawawezi kufanya kitu maana wao siyo Mungu ,umejifunza jifunza ushenzi ushenz huna lolote kijana unafuta umaarufu mafuta yanatengenezwa kiwandani na maji na yale yale ya bombani acha kijana kutenda dhambi ya makusudi hakika haya unayo yasema yasipokuwa kweli sijui utaenda kutubu wapi

  • @graceshayo5763

    @graceshayo5763

    8 ай бұрын

    Na ww ni mmjo wapo wa watumiaji wa maji pole yk ujumbe huu ukufikie ukikaata ukatae ili siku ukifika utaambiw uliambiwa

  • @user-cw3vu8mu3k

    @user-cw3vu8mu3k

    8 ай бұрын

    @@graceshayo5763 kwan wew unatumia mkojo siyo maji ,acha upumbavu maji ambayo inaombewa inatoka viwandan wahubiri wanaweka lebo tu

  • @user-dd7iy4ky1h

    @user-dd7iy4ky1h

    5 ай бұрын

    Wew nawe unasema nini Sasa ht km unatumia hayo mafuta tumia wew Ila sipoteze watu Wa mungu Sawa na akusamehe mana 😂

  • @victorianchimbi8640

    @victorianchimbi8640

    5 ай бұрын

    Ni wale wale

  • @user-wp1wz9ew8f

    @user-wp1wz9ew8f

    3 ай бұрын

    Naona umetekwa ufahamu

  • @kapingalucy2707
    @kapingalucy27079 ай бұрын

    Amen

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael55099 ай бұрын

    Amen

  • @emmanuelmatowo2434
    @emmanuelmatowo24349 ай бұрын

    Amen

Келесі