#Live
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 90
Me nafurah sana nikimckiliza mchungaji katekela jaman mungu azid kukutumia
Amen SHUJAA wa KRISTO,, MUNGU akubariki sanaa.. Wewe ni Jitu la BWANA YESU anayejivunia..
PROMOVER TV, mbarikiwe sana ,--Dsm
Amen Bwana hata akuwezeshe kuwataja ao manabii.
Ee Mungu wa mbinguni akulinde mtumishi ubarikiwe kwa kazi ya mungu
Amen God is Great. Bless you pastor Katekela. Promover TV Barikiweni sana ❤
Mimi ni kijana nafurahia mafundisho yako mtume wa MUNGU inatupa urahisi sisi vijana kuwajua tunaotakiwa kupambana nao katika kuwahubiria mataifa na kumshinda shetani UBARIKIWE SANA.
Amen tena amen 🎉🎉🎉🎉🎉
Amina kubwa mtumishi ubarikiwe sana sema kweli tu wakusikia wasikie sifa kwa Mungu
Hakika Nimbarikiwa mnoo YESU Ni Mshindii
Barikiwa Mtumishi wa Mungu Amiel katekela
Hongera mtumishi katekelo injili Yako naipenda imenyooka Kiukweli tumechoshwa na viambata vinavyotolewa makanisani
Ubarikiwe sana
Nakupenda Amieli mtumishi wa Mungu Mungu aendelee kukulinda
Mungu akupe ulinzi wake siku zote
Amena kwaimani nimepokeya uponyaji MUNGU akubariki sana mchungaji
Hakika utapewa taji ndef kwakazi ya mungu azidi kukuinua zaidi
Asante sana kaka yangu fishua vyote usibakize
MUNGU Muumba mbingu na nchi aikumbuke Promover Tv na Mch Amiel
Ameni Yesu akulinde
Yesu Yesu
Ameeen
Amina,, mtumish
Bwana Yesu akutunze mtumishi najifunza mengi kwako
Mungu akulinde Mtumishi wa Mungu
Mch Amiel urudi tena na huku kwetu Simiyu,,bado tunakuhitaji ukomboe family zetuu🙏
Malayika wa Bwana anawaponda wakome kilifuata Kanisa la Yesu. Amen Amen.
Ubarikiwe sana mtumishi...
Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa kazi kubwa unayo
@user-sr2kf4re9z
7 ай бұрын
Nina ulizo kuusu mababu Wale waliokufa tayari wakimfikia mtu nishetani anawatumiaga kwaku aribu maisha ya mtu, dada najiulizaga swali sijawai kupata jibu je!? Wale mababu waliokufa wenye wanakujaga wapa Watu madini yaan OR tunaita ukukwetu Congo kuna mababu watokea mtu nakumwambia nimimi fulani nataka kuwasadia pesa nendeni kwenye mlima fulani, nafasi fulani mkachimbe pale, nakwel kwel Watu wanachimbua pale na wanafanikiwa nakutajirika , ndoo zamadini( OR) je!? Hao aina zamababu wanatokaga wapi? Wafa wanatumwa Nani?
Amen Amen
Tena kweli mungu akubaliki hubili SEMA ukweli mungu akulinde akupe siku nyingi watu wanamwami nabi kuliko mungu musema kweli nimpezi wa mungu
MUNGU unirehemu uturehemu AMEN 🙏
@user-dd7iy4ky1h
5 ай бұрын
Mungu akubariki mutumishi Wa mungu nabarikiwa San nashuhuda zk pia napend mahubili yK sababu nijasili
Yesu tusaidie kwa kweli
Amen
Jamani Mungu niaaidie
ameen 🙏🙏🇰🇪
Amenaaaa
YESU KRISTO AKUBARIKI ZAIDI MTUMISHI
Kweli kabisa
MUNGU AZIDI KUKUPA NEEMA NA UZIMA,AFYA NJEMA NA KUIKUZA HUDUMA IFANYE KAZI ULIMWENGUNI.
MUNGU atusaidie,peke yetu hatuwezi
Semina Bado inaendelea?ni ukonga sehemu gani?
Nam hii ndo kazi ya Mungu ndo kazi yakweli iliochwa na Mwokozi Yesu
😂mtumishi tunaomba Mungu akutume kwetu Kenya mombasani
Mtumushi usiongope kuhienezai ijiri ya Bwana yesu kristo. kwakuwa unaye mshuhudia niyule aliye kutoa kusimu, nitawaombea, kwakuwa kama cio promover tv, tungeyajuaje!!? Haya yote ya sirini. mubalikiwe Kwa jina la yesu, nimebarikiwa sana.
Ameeeee kubwaaa kwa yesu wetu
Tuliyo mbali majina.yawatoto.tutume.kwa mtandao
Mimi ni mwana wa Mungu,jasusi la mbinguni, nuru wa ulimwengu
MUNGU aturehemu sana mana hatujui,wana wa giza wanao ufahamu lakin wana wa nuru hawana
Sifa na shukrani na utukufu tunamregesheya MUNGU wambinguni hakuna kama yeye
Njoo myumishi hizi biashara zipo sana. RUSIFA amekusudia mabaya kwa kanisa
Pga wachawi amiel kamanda wa BWANA.
Majina yangu nimetuma
Ameeeeeeen
Hii imeenda
Tena kweli Yani ongea ukweli mama mungu ana kusudi nawewe
Mchungaji mbona ww ulirudisha vitu vyao na mali zao na ulisema ulifirisika sana??
Yooooo Mimi Niko Rwanda munini kigari nope namba yakoo
Sema baba
Amina baba!
Yesu okoa Kanisa la leo nakuomba
Amina bendera chuma mulingoti chuma❤❤😂😂😂😂😂😂
Maji ya upako ya manabii wa uongo yame kufaaaaa, ubalikiwe sanaaaa.
Amen ucnyamaze katekela tupone
Jyamani mucungaji katekeraa njooo nchinii Rwanda kingari nakukaribishaa nitumie namba yakoo jamanii huku Rwanda tunaishaa wacungaji wa kanisa ra kkkkt Rwanda kigari wanaishaa mume wangu mnngaji muzigura arikufaaa kigafuraaaa njo utuhudumieeeeee
Mtumishi njoo na Arusha huku pia maji na mafuta na frito na chumvi vinatolewa kwenye ibada Katekela njooo uokoe kanisani,
Please am asking the book I saw you selling , would like to have it am in Kenya Mombasa
Naomba uje mireran kuhani wa bwana
Pasta kwanini kujiwekatena Karina kundiilo? Etiyunasema mulikuwaka nasema weusijiweketena kwailokundi amina
Shamsa na yusra wako Kenya mm niko saudia
Wewe uliokoka nahizo pesa na uliziweka wap?
Kuna zile dawa za kuua mbu za udi je sio za kuita mapepo kweli
Mchungaj nime balikiwa sana naibada yako mung aku bal
Kaka Sema watu tupone
Mch amieli nakuamin
Baba hata mm unikumbuke
Mchg Amiel kuna wale wanaambiwa mje na mafuta yenu nitayaombea hiyo nayo ikoje...msaada plz
@femidayahaya9293
Ай бұрын
Baba uwe unatutajia hao manabii ili tuwajue kwa jina la YESU KRISTO
Mtu anaona sifa kuhubiri ushetan uchawi hao wachawi mbona wapo tu na hawawezi kufanya kitu maana wao siyo Mungu ,umejifunza jifunza ushenzi ushenz huna lolote kijana unafuta umaarufu mafuta yanatengenezwa kiwandani na maji na yale yale ya bombani acha kijana kutenda dhambi ya makusudi hakika haya unayo yasema yasipokuwa kweli sijui utaenda kutubu wapi
@graceshayo5763
8 ай бұрын
Na ww ni mmjo wapo wa watumiaji wa maji pole yk ujumbe huu ukufikie ukikaata ukatae ili siku ukifika utaambiw uliambiwa
@user-cw3vu8mu3k
8 ай бұрын
@@graceshayo5763 kwan wew unatumia mkojo siyo maji ,acha upumbavu maji ambayo inaombewa inatoka viwandan wahubiri wanaweka lebo tu
@user-dd7iy4ky1h
5 ай бұрын
Wew nawe unasema nini Sasa ht km unatumia hayo mafuta tumia wew Ila sipoteze watu Wa mungu Sawa na akusamehe mana 😂
@victorianchimbi8640
5 ай бұрын
Ni wale wale
@user-wp1wz9ew8f
3 ай бұрын
Naona umetekwa ufahamu
Amen
Amen
Amen