MCH.AMIEL KATEKELA:MBINU ZA USHINDI WA KANISA DHIDI YA MALANGO YA KUZIMU NA MAWAKALA WAKE

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 50

  • @user-qn2kn6mj1r
    @user-qn2kn6mj1r4 ай бұрын

    Yaani mungu baba amenisaidia kukua kiroho Kila ninapo isikia injili ya pastor katekela. Mungu akubariki baba

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Жыл бұрын

    Toba Ina mrejesha MUNGU katika maisha yangu/ yako

  • @graceboke4346
    @graceboke4346 Жыл бұрын

    Mchunngaji nakupenda sana mahubiri yako Mungu azidi kukuinua kwa Jina la yesu aliye hai

  • @lovemajogolafia5839
    @lovemajogolafia5839 Жыл бұрын

    Asante Mungu kwa toba na ukombozi...nakukabidhi maisha yangu mimi ni wako na wewe ni BWANA wangu usiniache daima 🙏

  • @user-pl6js5ji9d
    @user-pl6js5ji9d5 ай бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu aliye hai Mungu amekuleta wakati sahibhi.barikiwa sana.

  • @lilianwanjala8728
    @lilianwanjala8728 Жыл бұрын

    Ameen mtumishi nimeokolewa kwa kufatilia maubiri yako toka ulipokua ukiahdidia . mbaka sasa naona mkono wa mungu ukiwa upande wangu mungu akulinde akubariki na akuongezee viwango vya kiroo ameen barikiwa mtumishi

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi wa MUNGU,,,,nimepata maarifa kupitia neno la MUNGU,,,,,,,kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO nakataa chini ya shetani

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Жыл бұрын

    Nimekupenda mtumishi wa MUNGU,,,,umenibariki hapo kwenye Toba

  • @roselaisser1879
    @roselaisser1879 Жыл бұрын

    Mchungaji Katekela Mungu azidi kukuinua.

  • @JeromeBukuru-bj9fy

    @JeromeBukuru-bj9fy

    3 ай бұрын

    Asante

  • @user-rg1vs9mb8x
    @user-rg1vs9mb8x8 ай бұрын

    Mchungaji nafurahishwa Sanaa na màfundisho yako sema neno juu ya binti yangu anayesumbuliwa na mizim ma

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Жыл бұрын

    Amen sitalia Tena kwa jina la YESU KRISTO,,,,, barikiwa mtumishi wa MUNGU

  • @gribatilyandala-cs9tf
    @gribatilyandala-cs9tf Жыл бұрын

    Mtumishi wa mungu Asante Sana kwa maombi na mafundisho haya. Ninaitwa furaha mlowe napatikana dalesalamu maeneo ya mabibo. Ninashida Sana nakuomba kabla ya kwenda nnje nakuomba msada unisaidie. Nikufuate ulipo. Mimi Ni mmojawapo wa kupigwa kilakitu kimesambalatika hakuna kinachoshikika kilakitu nimeuza na Bado mzim wa madeni haukuisha. Sina makao. Nakimbia kimbia tunipo na watoto watatu. Nimeokoka nasali ieitiji. Baba ukipata ujumbe huuutakuwa umeokoa maisha yangu kiroho na. Kimwili. Katekella. Nimekuwa nikifuatilia. Mahubiri yako mtandaoni ..pole na msiba mungu anakusudi maalumu juu ya baba.ngoja apumnzike mungu awe faraja yako

  • @barakakiamati9630
    @barakakiamati9630 Жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe,mtumishi wa Mungu ulindwe sana endelea kutufungua macho. Kwa jina la Yesu

  • @monicamatimbwi7810
    @monicamatimbwi7810 Жыл бұрын

    Amina yesu akutunze mchungaji katekela tunakuitaji sana sana.

  • @FredrickRosenius
    @FredrickRosenius Жыл бұрын

    Amen tunabarikiwa sanaaaa🙏🙏🙏🙏🤚🤚

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Жыл бұрын

    Ameni amen

  • @feminakidiavai5849
    @feminakidiavai58498 ай бұрын

    Amen nimebarikiwa sana

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 Жыл бұрын

    Karibu sana kanisa tunakupenda God bless Africa 🙏

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 Жыл бұрын

    Mungu azidi kukubariki mtumishi Amiel Katekela

  • @joycekaphevemba7215
    @joycekaphevemba7215 Жыл бұрын

    Amen ubarikiwe sana Sana kwa kweli kupitia promover TV nimekufaidi sana na nimekua kiroho ubarikiwe sana mtumishi mzuri wa Mungu

  • @user-vc4xc7xg7j
    @user-vc4xc7xg7j Жыл бұрын

    Asante mtumishi leo naamini nimefunguliwa naamini

  • @vedastogwido5311
    @vedastogwido5311 Жыл бұрын

    Asante yesu kristo 🙏

  • @siporachobasamie9123
    @siporachobasamie9123 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu nabarikiwa sana kanisa la mtandaoni ndo tunajiungaje

  • @JaneKuyokwa
    @JaneKuyokwa Жыл бұрын

    Mungu akulinde mtumishi

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Жыл бұрын

    UTUKUFU WA MUNGU MCHJ KATEKELA UKO JUU YAKO HAKIKA. NIMEJIFUNZ NIMEJIFUNZA, HUJAACHA HATA MOJA KATKA MAFUNDISHO HAYA AMBAYO HUJAYATOLEA MAJIBU NA MASWALI. MUNGU AKULINDE SAAAANA UMETOKA MBALI SANA NASI TUSAIDIE TUFUNGUKE KTK JINA LA YESU . AMEN

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Жыл бұрын

    daah kawimbo hako kamenikunbusha mbaliii ,,,barikiwa mtumishi wa MUNGU

  • @judithjumah3739
    @judithjumah3739 Жыл бұрын

    Mshirika wa mtandao ningependa kujiunga nanyi wapendwa from Kenya currently in saudia 🇰🇪

  • @lovenessmtaita1879
    @lovenessmtaita18792 ай бұрын

    Amina

  • @evodiaathansio769
    @evodiaathansio769 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mchungaji nimebarikiwa sana Mungu akuinue zaidi akupe neema ulio juu ya neem

  • @joyceshoo9822
    @joyceshoo9822 Жыл бұрын

    Mungu awabariki sana watumishi wake nimefunguliwa na kuwekwe huru Mimi na familia yangu Nina LA Bwana Yesu libarikiwe kabisa

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 Жыл бұрын

    Jamani nyie mimi nampenda Yesu

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 Жыл бұрын

    powerful 🙏🙏🙏🙏

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 Жыл бұрын

    Amina Mungu atukuzwe

  • @georgesteven8667
    @georgesteven86673 ай бұрын

    Ameen

  • @cossanwambura1614
    @cossanwambura16149 ай бұрын

    Duhh

  • @StellahKadesa-bg8rc
    @StellahKadesa-bg8rc Жыл бұрын

    Kenya utakuja lini

  • @soeurbetty7667
    @soeurbetty7667 Жыл бұрын

    Ameennnnnn tumeokolewa

  • @dainesykalinga7133
    @dainesykalinga7133 Жыл бұрын

    Ee Mungu utusaidie na unifungue kwa Jina la Yesu Kristo 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mikael1656
    @mikael1656 Жыл бұрын

    Yesu ni mkuu

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Жыл бұрын

    Oooh good washirika wa Mtandaoni, WATU wanajiungaje jamani, vigezo na masharti ni yapi. Aßnte.

  • @bonifasiemanueli21

    @bonifasiemanueli21

    Жыл бұрын

    Nipigie

  • @mariethaKalonga-cm5ns

    @mariethaKalonga-cm5ns

    Жыл бұрын

    Paster naomba namba za simu nina maswali unisaidie

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Жыл бұрын

    Ameeeeeeen

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Жыл бұрын

    Haleluya

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Жыл бұрын

    Amen

  • @johnmungai5499
    @johnmungai5499 Жыл бұрын

    So Mungu amwinue mtumishi wake na amzindishie neema na usalama Ili utukufu na sifa za Mungu was Mbinuni zijulikane kwa wengi duniani kote. Hallelujah! Kenyan

  • @vedastogwido5311
    @vedastogwido5311 Жыл бұрын

    Kila kilichonifunga kifunguke kwa jina la yesu

  • @musamugaywa3469
    @musamugaywa3469 Жыл бұрын

    Naitaji pia naitaji ukombozi yote yamenigusa

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 Жыл бұрын

    Ukiaacha kanisa utakuwa umeokoka yesu muislamu we ni kafiri yesu haja ingiya kanisani

Келесі