MCH.AMIEL KATEKELA:MBINU ZA USHINDI WA KANISA DHIDI YA MALANGO YA KUZIMU NA MAWAKALA WAKE
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 50
Yaani mungu baba amenisaidia kukua kiroho Kila ninapo isikia injili ya pastor katekela. Mungu akubariki baba
Toba Ina mrejesha MUNGU katika maisha yangu/ yako
Mchunngaji nakupenda sana mahubiri yako Mungu azidi kukuinua kwa Jina la yesu aliye hai
Asante Mungu kwa toba na ukombozi...nakukabidhi maisha yangu mimi ni wako na wewe ni BWANA wangu usiniache daima 🙏
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu aliye hai Mungu amekuleta wakati sahibhi.barikiwa sana.
Ameen mtumishi nimeokolewa kwa kufatilia maubiri yako toka ulipokua ukiahdidia . mbaka sasa naona mkono wa mungu ukiwa upande wangu mungu akulinde akubariki na akuongezee viwango vya kiroo ameen barikiwa mtumishi
Barikiwa mtumishi wa MUNGU,,,,nimepata maarifa kupitia neno la MUNGU,,,,,,,kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO nakataa chini ya shetani
Nimekupenda mtumishi wa MUNGU,,,,umenibariki hapo kwenye Toba
Mchungaji Katekela Mungu azidi kukuinua.
@JeromeBukuru-bj9fy
3 ай бұрын
Asante
Mchungaji nafurahishwa Sanaa na màfundisho yako sema neno juu ya binti yangu anayesumbuliwa na mizim ma
Amen sitalia Tena kwa jina la YESU KRISTO,,,,, barikiwa mtumishi wa MUNGU
Mtumishi wa mungu Asante Sana kwa maombi na mafundisho haya. Ninaitwa furaha mlowe napatikana dalesalamu maeneo ya mabibo. Ninashida Sana nakuomba kabla ya kwenda nnje nakuomba msada unisaidie. Nikufuate ulipo. Mimi Ni mmojawapo wa kupigwa kilakitu kimesambalatika hakuna kinachoshikika kilakitu nimeuza na Bado mzim wa madeni haukuisha. Sina makao. Nakimbia kimbia tunipo na watoto watatu. Nimeokoka nasali ieitiji. Baba ukipata ujumbe huuutakuwa umeokoa maisha yangu kiroho na. Kimwili. Katekella. Nimekuwa nikifuatilia. Mahubiri yako mtandaoni ..pole na msiba mungu anakusudi maalumu juu ya baba.ngoja apumnzike mungu awe faraja yako
Bwana Yesu asifiwe,mtumishi wa Mungu ulindwe sana endelea kutufungua macho. Kwa jina la Yesu
Amina yesu akutunze mchungaji katekela tunakuitaji sana sana.
Amen tunabarikiwa sanaaaa🙏🙏🙏🙏🤚🤚
Ameni amen
Amen nimebarikiwa sana
Karibu sana kanisa tunakupenda God bless Africa 🙏
Mungu azidi kukubariki mtumishi Amiel Katekela
Amen ubarikiwe sana Sana kwa kweli kupitia promover TV nimekufaidi sana na nimekua kiroho ubarikiwe sana mtumishi mzuri wa Mungu
Asante mtumishi leo naamini nimefunguliwa naamini
Asante yesu kristo 🙏
Ubarikiwe mtumishi wa mungu nabarikiwa sana kanisa la mtandaoni ndo tunajiungaje
Mungu akulinde mtumishi
UTUKUFU WA MUNGU MCHJ KATEKELA UKO JUU YAKO HAKIKA. NIMEJIFUNZ NIMEJIFUNZA, HUJAACHA HATA MOJA KATKA MAFUNDISHO HAYA AMBAYO HUJAYATOLEA MAJIBU NA MASWALI. MUNGU AKULINDE SAAAANA UMETOKA MBALI SANA NASI TUSAIDIE TUFUNGUKE KTK JINA LA YESU . AMEN
daah kawimbo hako kamenikunbusha mbaliii ,,,barikiwa mtumishi wa MUNGU
Mshirika wa mtandao ningependa kujiunga nanyi wapendwa from Kenya currently in saudia 🇰🇪
Amina
Mungu akubariki sana mchungaji nimebarikiwa sana Mungu akuinue zaidi akupe neema ulio juu ya neem
Mungu awabariki sana watumishi wake nimefunguliwa na kuwekwe huru Mimi na familia yangu Nina LA Bwana Yesu libarikiwe kabisa
Jamani nyie mimi nampenda Yesu
powerful 🙏🙏🙏🙏
Amina Mungu atukuzwe
Ameen
Duhh
Kenya utakuja lini
Ameennnnnn tumeokolewa
Ee Mungu utusaidie na unifungue kwa Jina la Yesu Kristo 🙏🙏🙏🙏🙏
Yesu ni mkuu
Oooh good washirika wa Mtandaoni, WATU wanajiungaje jamani, vigezo na masharti ni yapi. Aßnte.
@bonifasiemanueli21
Жыл бұрын
Nipigie
@mariethaKalonga-cm5ns
Жыл бұрын
Paster naomba namba za simu nina maswali unisaidie
Ameeeeeeen
Haleluya
Amen
So Mungu amwinue mtumishi wake na amzindishie neema na usalama Ili utukufu na sifa za Mungu was Mbinuni zijulikane kwa wengi duniani kote. Hallelujah! Kenyan
Kila kilichonifunga kifunguke kwa jina la yesu
Naitaji pia naitaji ukombozi yote yamenigusa
Ukiaacha kanisa utakuwa umeokoka yesu muislamu we ni kafiri yesu haja ingiya kanisani