Nilifanya tukio hatari la ujambaz Mwanza nikiwa na akina Nay wa Mitego,Tulijigeuza gogo kisha vibabu

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 67

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Жыл бұрын

    MUNGU YUMKINI ALIKUTENGENEZA UNGALI TUMBONI MWA MAMA. MUNGU ATAKUCHUKUA UKISHAMALIZA KUSUDI LAKE. SHUHUDIA TU MPAKA DUNIA NZIMA IELEWE KUWA TUNAISHI NA BAADHI YA MIUNGU kupunguza waovu kwa moto ulao. BIG up man of GOD. Hivi unapocheka unafurahia maovu uliyotumwa na anga za kuzimu?

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 Жыл бұрын

    Hata wachungaji mnao pokea hawa watu watokao kwa nguvu za giza Mungu awabarki Sana kwa uvumilivi na support muwapayo coz sio rahisi

  • @dicksonndinya4759

    @dicksonndinya4759

    3 ай бұрын

    Good testimony

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106Күн бұрын

    AMEN

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 Жыл бұрын

    Barikiwa zaidi mtumishi wa Mungu katekela hakika Mungu akutiye nguvu.

  • @Mjakazisafi8361
    @Mjakazisafi8361 Жыл бұрын

    GLORY TO GOD AMEN AMEN AND AMEN 🙏 🙌 KWA KWELI MUNGU HUTOA WATU MBALI

  • @barakaothumani6421
    @barakaothumani6421 Жыл бұрын

    hizi siku za mwisho tutaona mengi na tutasikia mengi, tuwe macho wateule wa Bwana

  • @elishakayagwa9371

    @elishakayagwa9371

    Жыл бұрын

    Huyu anatoa ushuhuda na namna Mungu alivyomuokoa

  • @emmanuelhatangimana3431
    @emmanuelhatangimana3431 Жыл бұрын

    Amina amina amina !! Mungu wetu wambingu akusaidie mno

  • @dickson1820
    @dickson1820 Жыл бұрын

    Huo ushuuda NI mkali sana,ubarikiwe.

  • @mikalikiyao4233
    @mikalikiyao4233 Жыл бұрын

    Jamani Mungu atusaidie kabisa Mungu akulinde

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp10 ай бұрын

    Aminaaaa mtumishi mungu akubarki san

  • @user-uc4zu4sj9i
    @user-uc4zu4sj9i5 ай бұрын

    Mungu aendelee kukutumia ili kumuaibisha shetani Mungu akubariki.

  • @florencemueni1183
    @florencemueni1183 Жыл бұрын

    Amen ad Amen ur my mentor Amieli

  • @heritier5119
    @heritier5119 Жыл бұрын

    Ney wa mitego ni freemason, amesema anaabudu shetani

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 Жыл бұрын

    Asante Yesu wangu

  • @zawadimalecela3448
    @zawadimalecela3448 Жыл бұрын

    Amen

  • @flm1530
    @flm1530 Жыл бұрын

    Ameeeenn

  • @labanijapheti3045
    @labanijapheti3045 Жыл бұрын

    Amina mtumishi wa Mungu

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Жыл бұрын

    Kwa hiyo wao na Akina Nay walikuwa na Akina nani majambazi ama

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂🤣🤣🤣We wadanganye tu 🤣🤣😂🤣🤣🤣

  • @happinessgeorge

    @happinessgeorge

    Жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @frankinspired6486
    @frankinspired6486 Жыл бұрын

    Tumesubiri sana mtoe siri za manabii wa uongo, kwani kuliendaje?

  • @DIRECTOR_MSAFIRIJ
    @DIRECTOR_MSAFIRIJ Жыл бұрын

    Mungu anatenda wakati wote

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Жыл бұрын

    Hallelujah Hallelujah GLORY to OUR MOST HIGH

  • @adamadamluoga6902
    @adamadamluoga6902 Жыл бұрын

    Aisee

  • @petermalema5702
    @petermalema57027 ай бұрын

    Doooooh Hiyo Kali🤣🤣🤣🤣

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Жыл бұрын

    Kweli MUNGU ni Mwaminifu

  • @marympemba6378
    @marympemba6378 Жыл бұрын

    Amina

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Жыл бұрын

    Halleluyha Mungu ni mwaminifu

  • @bintalmasi2393
    @bintalmasi2393 Жыл бұрын

    Jacktani hebu angalia title yako wewe ni mtumishi wa Mungu si mfanyabiashara wa habari.Title haifanani na habari.

  • @pericykiko6198

    @pericykiko6198

    Жыл бұрын

    Mbona ni sawa tu Mtumishi si amewataja hapo hakuna cha siri mbele za Mungu

  • @imagepower3641

    @imagepower3641

    Жыл бұрын

    mbona yupo sawa, maana ya ushuhuda ni kutoa vyote, usivunje tu sheria Za nchi kimwili.

  • @emmanuelzani2889

    @emmanuelzani2889

    Жыл бұрын

    Shida ipo wapi hapo? Asante.

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    Жыл бұрын

    Kwani mtumishi hapo kuna nn

  • @ngwanakangwa
    @ngwanakangwa Жыл бұрын

    🤣😂🤣😂

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 Жыл бұрын

    Sjaelewa

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 Жыл бұрын

    Mbona mnakuaga waongo alf mnafanyagahivyo ili iweje?hivi mnazani wote hawana akili?

  • @jenistar4005

    @jenistar4005

    9 ай бұрын

    Ni kwel Wala c uongo

  • @mediakatan
    @mediakatan Жыл бұрын

    Mbona huu ushuhuda nimfupi?

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 Жыл бұрын

    Liongo jongo nafki

  • @esaukalanje5378
    @esaukalanje5378 Жыл бұрын

    Story Kama ya uongo ivi

  • @issachitanda8238

    @issachitanda8238

    Жыл бұрын

    Uyu ni muongo anataka kuwavutia watu.

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 Жыл бұрын

    Nenda ukawashuhudie pia hao akina Ney na wenzeke, kumbe miziki ya wasanii ni uchawi mtupu!!

  • @pericykiko6198

    @pericykiko6198

    Жыл бұрын

    Mafreemason wote wanajua huyo kaokoka waamue wenyewe kumfuata na kumgeukia Mungu sababu kutoa huu ushuhuda ni ili wengi waokoke sababu amefanya kazi ya shetani na maelfu ni ngumu kupitia momoja mmoja

  • @mariamswedi1140

    @mariamswedi1140

    Жыл бұрын

    kabisaa n uchawi mtupu bila huo huendelei

  • @lucykapinga369

    @lucykapinga369

    Жыл бұрын

    Eeendio Ndugu kabisaa

  • @lucykapinga369

    @lucykapinga369

    Жыл бұрын

    Ndio maana Mimi mdamrefu Sipendi kuwa sikiliza Mijimbo yao

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 Жыл бұрын

    Uongo mtupu kwa mwenye akili atatambua

  • @jenistar4005

    @jenistar4005

    9 ай бұрын

    Ni kweli dada c uongo ety

  • @eldephoncemalley4816
    @eldephoncemalley4816 Жыл бұрын

    Uongo mtupu

  • @amosihokororo9702
    @amosihokororo9702 Жыл бұрын

    Mtaacha lini kutudanganya lkn

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 Жыл бұрын

    Kweli wajinga ni wengi Endelea kuwadanganya baba😂

  • @swtshaniz9910

    @swtshaniz9910

    Жыл бұрын

    Haha 😂

  • @annambezi6226

    @annambezi6226

    Жыл бұрын

    Shetan amekukamata kisawasawa. Mungu akufungue ndio haya yatakuelea

  • @maryammaryam7354

    @maryammaryam7354

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jenistar4005

    @jenistar4005

    9 ай бұрын

    Ni kwel huy jamaa anasema kwel kabsaa c uongo

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Жыл бұрын

    Liongo hili yani anawaona watu hapo wapuuzi kabisa

  • @kakanicodemus3632

    @kakanicodemus3632

    Жыл бұрын

    Hahahah.....sasa ndugu yeye ndo alikuwepo , wewe haukuwepo na wala hamjui unasema liongo....una ushahid?

  • @hezekiamtera3559
    @hezekiamtera3559 Жыл бұрын

    Hakuna mtu anakwenda kuzimu na kurudi.Labda hiyo ni sehemu nyingine

  • @happinessgeorge

    @happinessgeorge

    Жыл бұрын

    aki wanatuchanganya sana

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 Жыл бұрын

    Hata wachungaji mnao pokea hawa watu watokao kwa nguvu za giza Mungu awabarki Sana kwa uvumilivi na support muwapayo coz sio rahisi

  • @demaa2183
    @demaa2183 Жыл бұрын

    Amen

  • @davidmazengo626
    @davidmazengo626 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣😅😅

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 Жыл бұрын

    Hata wachungaji mnao pokea hawa watu watokao kwa nguvu za giza Mungu awabarki Sana kwa uvumilivi na support muwapayo coz sio rahisi

  • @uwezoofficial
    @uwezoofficial Жыл бұрын

    Amen

  • @sethkuhanda8256

    @sethkuhanda8256

    Жыл бұрын

    wanaosema niuongo nikwamba Siri zinazo fichuliwa zinawaumiza sana I doubt wao nimawakala so inawachoma sana mioyo ila ndioivyo haina namna Yesu anaokoa.

Келесі