Nilifanya tukio hatari la ujambaz Mwanza nikiwa na akina Nay wa Mitego,Tulijigeuza gogo kisha vibabu
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 67
MUNGU YUMKINI ALIKUTENGENEZA UNGALI TUMBONI MWA MAMA. MUNGU ATAKUCHUKUA UKISHAMALIZA KUSUDI LAKE. SHUHUDIA TU MPAKA DUNIA NZIMA IELEWE KUWA TUNAISHI NA BAADHI YA MIUNGU kupunguza waovu kwa moto ulao. BIG up man of GOD. Hivi unapocheka unafurahia maovu uliyotumwa na anga za kuzimu?
Hata wachungaji mnao pokea hawa watu watokao kwa nguvu za giza Mungu awabarki Sana kwa uvumilivi na support muwapayo coz sio rahisi
@dicksonndinya4759
3 ай бұрын
Good testimony
AMEN
Barikiwa zaidi mtumishi wa Mungu katekela hakika Mungu akutiye nguvu.
GLORY TO GOD AMEN AMEN AND AMEN 🙏 🙌 KWA KWELI MUNGU HUTOA WATU MBALI
hizi siku za mwisho tutaona mengi na tutasikia mengi, tuwe macho wateule wa Bwana
@elishakayagwa9371
Жыл бұрын
Huyu anatoa ushuhuda na namna Mungu alivyomuokoa
Amina amina amina !! Mungu wetu wambingu akusaidie mno
Huo ushuuda NI mkali sana,ubarikiwe.
Jamani Mungu atusaidie kabisa Mungu akulinde
Aminaaaa mtumishi mungu akubarki san
Mungu aendelee kukutumia ili kumuaibisha shetani Mungu akubariki.
Amen ad Amen ur my mentor Amieli
Ney wa mitego ni freemason, amesema anaabudu shetani
Asante Yesu wangu
Amen
Ameeeenn
Amina mtumishi wa Mungu
Kwa hiyo wao na Akina Nay walikuwa na Akina nani majambazi ama
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣We wadanganye tu 🤣🤣😂🤣🤣🤣
@happinessgeorge
Жыл бұрын
😁😁😁😁
Tumesubiri sana mtoe siri za manabii wa uongo, kwani kuliendaje?
Mungu anatenda wakati wote
Hallelujah Hallelujah GLORY to OUR MOST HIGH
Aisee
Doooooh Hiyo Kali🤣🤣🤣🤣
Kweli MUNGU ni Mwaminifu
Amina
Halleluyha Mungu ni mwaminifu
Jacktani hebu angalia title yako wewe ni mtumishi wa Mungu si mfanyabiashara wa habari.Title haifanani na habari.
@pericykiko6198
Жыл бұрын
Mbona ni sawa tu Mtumishi si amewataja hapo hakuna cha siri mbele za Mungu
@imagepower3641
Жыл бұрын
mbona yupo sawa, maana ya ushuhuda ni kutoa vyote, usivunje tu sheria Za nchi kimwili.
@emmanuelzani2889
Жыл бұрын
Shida ipo wapi hapo? Asante.
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Kwani mtumishi hapo kuna nn
🤣😂🤣😂
Sjaelewa
Mbona mnakuaga waongo alf mnafanyagahivyo ili iweje?hivi mnazani wote hawana akili?
@jenistar4005
9 ай бұрын
Ni kwel Wala c uongo
Mbona huu ushuhuda nimfupi?
Liongo jongo nafki
Story Kama ya uongo ivi
@issachitanda8238
Жыл бұрын
Uyu ni muongo anataka kuwavutia watu.
Nenda ukawashuhudie pia hao akina Ney na wenzeke, kumbe miziki ya wasanii ni uchawi mtupu!!
@pericykiko6198
Жыл бұрын
Mafreemason wote wanajua huyo kaokoka waamue wenyewe kumfuata na kumgeukia Mungu sababu kutoa huu ushuhuda ni ili wengi waokoke sababu amefanya kazi ya shetani na maelfu ni ngumu kupitia momoja mmoja
@mariamswedi1140
Жыл бұрын
kabisaa n uchawi mtupu bila huo huendelei
@lucykapinga369
Жыл бұрын
Eeendio Ndugu kabisaa
@lucykapinga369
Жыл бұрын
Ndio maana Mimi mdamrefu Sipendi kuwa sikiliza Mijimbo yao
Uongo mtupu kwa mwenye akili atatambua
@jenistar4005
9 ай бұрын
Ni kweli dada c uongo ety
Uongo mtupu
Mtaacha lini kutudanganya lkn
Kweli wajinga ni wengi Endelea kuwadanganya baba😂
@swtshaniz9910
Жыл бұрын
Haha 😂
@annambezi6226
Жыл бұрын
Shetan amekukamata kisawasawa. Mungu akufungue ndio haya yatakuelea
@maryammaryam7354
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jenistar4005
9 ай бұрын
Ni kwel huy jamaa anasema kwel kabsaa c uongo
Liongo hili yani anawaona watu hapo wapuuzi kabisa
@kakanicodemus3632
Жыл бұрын
Hahahah.....sasa ndugu yeye ndo alikuwepo , wewe haukuwepo na wala hamjui unasema liongo....una ushahid?
Hakuna mtu anakwenda kuzimu na kurudi.Labda hiyo ni sehemu nyingine
@happinessgeorge
Жыл бұрын
aki wanatuchanganya sana
Hata wachungaji mnao pokea hawa watu watokao kwa nguvu za giza Mungu awabarki Sana kwa uvumilivi na support muwapayo coz sio rahisi
Amen
🤣🤣🤣😅😅
Hata wachungaji mnao pokea hawa watu watokao kwa nguvu za giza Mungu awabarki Sana kwa uvumilivi na support muwapayo coz sio rahisi
Amen
@sethkuhanda8256
Жыл бұрын
wanaosema niuongo nikwamba Siri zinazo fichuliwa zinawaumiza sana I doubt wao nimawakala so inawachoma sana mioyo ila ndioivyo haina namna Yesu anaokoa.