No video

Nilifanyakazi kuzimu na watu hawa maarufu|Babu wa Loliondo,Kanumba

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 38

  • @sergionbinradje8357
    @sergionbinradje83572 жыл бұрын

    Nawa salimu nakuwapa hongera kwa kazi zenu kutoka Congo DRC

  • @margaretmabishi8297
    @margaretmabishi8297 Жыл бұрын

    Mch saidia familia ya kanumba umrudishe kwa uweza we nguvu za Mungu wa mbinguni unayemwabudu

  • @maxmillahnafula8279
    @maxmillahnafula82792 жыл бұрын

    Bwana YESU asifiwe,, ubarikiwe sana mutumishi wa MUNGU kwa shuhuda,,na sasa huyu ni mtumishi wa MUNGU sasa swali yangu ni ivi hawezi fanya maombi huyo kanumba akarejea duniani tena?🙏🙏🇰🇪

  • @rasgwandumikaisi7489

    @rasgwandumikaisi7489

    Жыл бұрын

    Inaelekea amepoteza nguvu, alipoacha kilinge na kuamua kuokoka,

  • @rasgwandumikaisi7489
    @rasgwandumikaisi7489 Жыл бұрын

    Kumbe Mfalme Zumaridi yupo sawa!

  • @ayetafatuu8715
    @ayetafatuu87152 жыл бұрын

    Amina

  • @Queenrinna98
    @Queenrinna982 жыл бұрын

    Kanumba need to come back too

  • @elizabethsimbenga4773
    @elizabethsimbenga47732 жыл бұрын

    Je kanumba kwa maombi ya watu wa Mungu hawezi kutoka

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter66502 жыл бұрын

    Aseh htr sana

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 Жыл бұрын

    Shalom! Je kale katoto ka kule Rorya kanaombea watu niko ni vipi? Waambie watu wasiangamie tafadhali.

  • @daisymuthoni675
    @daisymuthoni6752 жыл бұрын

    Oh my God....

  • @daisymuthoni675
    @daisymuthoni6752 жыл бұрын

    Can Kanumba be saved?

  • @liesharehema5193
    @liesharehema51932 жыл бұрын

    Mungu nilinde Mimi na watoto wangu

  • @heritier5119
    @heritier51192 жыл бұрын

    Ndo maana baadhi ya viongozi wa dini waliwakataza waumini wake kwenda kwa babu.

  • @user-xt9ne3uv5d
    @user-xt9ne3uv5d9 ай бұрын

    Jaman tusiwe watu kimbilia kilakitu

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji355 Жыл бұрын

    Hivi huu uongo utaisha lini kanisani?

  • @jafetfredi6222
    @jafetfredi62222 жыл бұрын

    Mambo

  • @jolemerci2155
    @jolemerci21552 жыл бұрын

    Nihatari uyu baba iko naushuhuda muzuri mno

  • @neemakusuhibwa347
    @neemakusuhibwa347 Жыл бұрын

    Sasa mtumishi je walio tumia ni vipi hakuna madhara yoyote kwao

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo71419 ай бұрын

    Unataka umaarufutuu.

  • @khadijatanzania7817
    @khadijatanzania7817 Жыл бұрын

    😢😢Unatisha ww

  • @khadijatanzania7817

    @khadijatanzania7817

    Жыл бұрын

    Unatukumbusha Wazazi wetu Njinsi wanavyo tesekea huko waliko😢😢maana sijui waliendea njia ngani Aiza mbingun Au kuzimu😢😢😢

  • @rosepeter8996
    @rosepeter89962 жыл бұрын

    Jamani natafuta part one nianzie mwanzo nansiipati😂😂

  • @PROMOVERTVLive

    @PROMOVERTVLive

    2 жыл бұрын

    Nenda promover tv

  • @rosepeter8996

    @rosepeter8996

    2 жыл бұрын

    @@PROMOVERTVLive ..nimeipata asante ndio naiendeleza part one...barikiwa sana mr jacktan.

  • @PROMOVERTVLive

    @PROMOVERTVLive

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @ngwanafabian4612
    @ngwanafabian46122 жыл бұрын

    Nashangaa watu wanamwuliza kanumba je ndugu zao waliokufa hawawezi kuwaombea?

  • @joivon3038

    @joivon3038

    Жыл бұрын

    Nawashangaa hata mm

  • @heritier5119
    @heritier51192 жыл бұрын

    Na walikufa kweli wengi walizikwa loliondo

  • @Uboboh
    @Uboboh2 жыл бұрын

    mbona siuoni sehemu ya tano

  • @PROMOVERTVLive

    @PROMOVERTVLive

    2 жыл бұрын

    Tafta PROMOVER TV

  • @sergionbinradje8357
    @sergionbinradje83572 жыл бұрын

    Ivi mbone vidéo zenu ni fupi saaana mno ?

  • @PROMOVERTVLive

    @PROMOVERTVLive

    2 жыл бұрын

    ukiangalia mpaka mwiso kuna maelekezo hapo

  • @florafaustine4637

    @florafaustine4637

    2 жыл бұрын

    Hongera sana promover tv

  • @Faraja2023

    @Faraja2023

    2 жыл бұрын

    Ni ndefu nenda promover tv

  • @petermageta4987
    @petermageta49872 жыл бұрын

    Tupe ushuhuda wote

  • @PROMOVERTVLive

    @PROMOVERTVLive

    2 жыл бұрын

    Hapo mwisho tumeandika jinsi ya kupata ushuhuda wote

Келесі