No video
Nilifanyakazi kuzimu na watu hawa maarufu|Babu wa Loliondo,Kanumba
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 38
Nawa salimu nakuwapa hongera kwa kazi zenu kutoka Congo DRC
Mch saidia familia ya kanumba umrudishe kwa uweza we nguvu za Mungu wa mbinguni unayemwabudu
Bwana YESU asifiwe,, ubarikiwe sana mutumishi wa MUNGU kwa shuhuda,,na sasa huyu ni mtumishi wa MUNGU sasa swali yangu ni ivi hawezi fanya maombi huyo kanumba akarejea duniani tena?🙏🙏🇰🇪
@rasgwandumikaisi7489
Жыл бұрын
Inaelekea amepoteza nguvu, alipoacha kilinge na kuamua kuokoka,
Kumbe Mfalme Zumaridi yupo sawa!
Amina
Kanumba need to come back too
Je kanumba kwa maombi ya watu wa Mungu hawezi kutoka
Aseh htr sana
Shalom! Je kale katoto ka kule Rorya kanaombea watu niko ni vipi? Waambie watu wasiangamie tafadhali.
Oh my God....
Can Kanumba be saved?
Mungu nilinde Mimi na watoto wangu
Ndo maana baadhi ya viongozi wa dini waliwakataza waumini wake kwenda kwa babu.
Jaman tusiwe watu kimbilia kilakitu
Hivi huu uongo utaisha lini kanisani?
Mambo
Nihatari uyu baba iko naushuhuda muzuri mno
Sasa mtumishi je walio tumia ni vipi hakuna madhara yoyote kwao
Unataka umaarufutuu.
😢😢Unatisha ww
@khadijatanzania7817
Жыл бұрын
Unatukumbusha Wazazi wetu Njinsi wanavyo tesekea huko waliko😢😢maana sijui waliendea njia ngani Aiza mbingun Au kuzimu😢😢😢
Jamani natafuta part one nianzie mwanzo nansiipati😂😂
@PROMOVERTVLive
2 жыл бұрын
Nenda promover tv
@rosepeter8996
2 жыл бұрын
@@PROMOVERTVLive ..nimeipata asante ndio naiendeleza part one...barikiwa sana mr jacktan.
@PROMOVERTVLive
2 жыл бұрын
Amen
Nashangaa watu wanamwuliza kanumba je ndugu zao waliokufa hawawezi kuwaombea?
@joivon3038
Жыл бұрын
Nawashangaa hata mm
Na walikufa kweli wengi walizikwa loliondo
mbona siuoni sehemu ya tano
@PROMOVERTVLive
2 жыл бұрын
Tafta PROMOVER TV
Ivi mbone vidéo zenu ni fupi saaana mno ?
@PROMOVERTVLive
2 жыл бұрын
ukiangalia mpaka mwiso kuna maelekezo hapo
@florafaustine4637
2 жыл бұрын
Hongera sana promover tv
@Faraja2023
2 жыл бұрын
Ni ndefu nenda promover tv
Tupe ushuhuda wote
@PROMOVERTVLive
2 жыл бұрын
Hapo mwisho tumeandika jinsi ya kupata ushuhuda wote