Ukikosa Elimu sahihi ya Network Marketing utaona kila kitu ni utapeli.
@Barakaclassic18 күн бұрын
Wazee wa Good morning kumamake 😂😂😂😂😂😂
@annamussa18521 күн бұрын
Hao Alayance ni matapeli bara kutwa kujivalisha suti 😅
@fadhilisecha426822 күн бұрын
Jamii ya DeC hii...mbaya sana hii kitu. Mnawaumiza vijana
@HarunaKitiku-sv1fe18 күн бұрын
Hii kampuni si hii hii iliyopewa masaa 24 na mkuu wa wilaya njombe wawe wameshaondoka? Kumbe wapo kila mkoa?
@hawaelymaricca760220 күн бұрын
serikali ikurudishie nauli kwani walikutuma
@m.m.tvmbebamaono19 күн бұрын
Hao alayance global ni wahuni sana huku kahama waliwadanganya wengi.
@GilbertObed19 күн бұрын
Asa kama Tapeli Tanzania imeingiaje hiv hatuwez jiuliza na sisi Na Usalama wa Taifa upo Kila Kampun Serikali mwaita Tapeli Asa vijana wootee watajiajili kwenye KILIMO Kama hamtaki makampun Tanzania myafunge sio kudharirisha Vijana na Heshima zao hao watu wazima kabisa
@MichaelMaro-hj7yo22 күн бұрын
HATARI HAO KWA NCHI N SHIDA CHUNGUZEN NCHI NZIMA
@user-wh8xy3df6j17 күн бұрын
Sawa kabisa
@ChipugeLaulian-fz1mv19 күн бұрын
Wamepiga rafik angu mlioni 4 dah hao ni shda
@PascalMwita-bv8kr20 күн бұрын
Sidhani kama mnaweza kuzifunga sababu wanavibali pia wanao wanasheria😅😅😅😅 jitaidini muwatoe make walimtoa barabarani jamaangu😊😊
@user-hj8sc7jv5m21 күн бұрын
Kwani wasajili wa makampuni hawalijui hilo
@user-fj4kj8xc5x18 күн бұрын
Hii kampuni ya alliance in motion global wapo hapa dar tz toka muda labda serikali wafanye uchunguzi maana hii kampuni Haina shida
@sabinaluyego440820 күн бұрын
Waao, piga kazimtumishi
@yacinterchuwa214822 күн бұрын
Qnet awa
@julianmsele38807 күн бұрын
njoo ni itigi na manyoni wapo wengi sanaaa, na saiv wanahamia morogoro
@sayuni123-kl6xk22 күн бұрын
MOROGORO wamejaa sana
@joojombi2341
20 күн бұрын
Toa ripoti Polisi waka shughulikiwe. Serekali lazima iwajibike kutoa taarifa ktk redio na TV kupiga marufuku Tzd nzima upuuzi kama huo
@emmanuelmponji4553
19 күн бұрын
Kabisa wamejaa wana jiita Qnet
@NassTaima22 күн бұрын
Mi nshalipaga 60000😢
@khamisswalehe22 күн бұрын
wapo dar mbagala tafuteni vizuri
@FahadAbubakari
19 күн бұрын
Acha waibiwe hayo mambo yashazungumzwa sana sa ka mtu bado hakomi Kuna nini
@wisemaliva537622 күн бұрын
Hawa wanapiga utapeli kwa biashara ukinunua dawa hii ya meno ukifungua hii lebo inazawani mhh hapo ndiyo upigaji sasa
@Official8364020 күн бұрын
Wadada wa Oman wamepigwa sana kwa upumbavu wao yaani niwe Oman hàlafu nijiunge kitu nisichokielewa aisee wale walioliwa hd leo ukiwauliza wanaficha hawataki tuwacheke😂😂😂
@DM_1519 күн бұрын
Wazee wa hela za unicef
@user-nb6yh2bn9y21 күн бұрын
Jamaa kapigwa nanjaa mpaka anasahau jumangapi 😂😂😂
@yohanaraphael19225 күн бұрын
Wako pia kahama wengi hao wako bakungile house
@estakapufi758220 күн бұрын
Selikali wasiwaachiwe mpaka warudushe pesa zao uzuli mewakamata
@rosehaule676520 күн бұрын
Mwanangu alishaniambia pia na alikuwa ashaingia hawa watu wanawafatq watt chuo haswaa bahati nzuri tu mtoto wngu alijiongeza mwenyewe akanambia mama ni matapeli hawa akaachaga nilishukuru mnoo maana hili ni.pepo ukiingia utoki kirahisi Sasa hawa waeenda kukaa huko huko baadae serikali ndio inalaumiwa aisee
@anipelutego98916 күн бұрын
jamani mimi nimefika mpaka kwenye hilo kampuni lakini sjaona mafanikoio zaidi ya kukonda na njaa tulikuwa tunaaidiwa uongo kwakusema mtindo wa maisha nakusaidiana lakini skuweza kupata chochote na iliniskitisha manake niliumwa sikupata msaada na nikagundua ni uongo sana kitendo cha kumwita mtu kwa uongo
@anipelutego989
16 күн бұрын
na wazazi wanadanganywa hivo na kampuni hili
@sir_ENOCKMACHA18 күн бұрын
😀😀😀😀😀😀😀 kumbe mmewakamata eeh hapa tabora wako kama vumbi dah hii dunia hii khaaa
@joojombi234120 күн бұрын
Wapigaji hao, warejeshe pesa zao na wahusika wachukuliwe hatua kali
@user-kx3zy9eo2h20 күн бұрын
Ndugu yangu alingia hapo
@johnshauri313022 күн бұрын
Vijana warudishiwe hela walizotapeliwa siyo kupewa nauli
@zawadichalale404722 күн бұрын
Qnet qnet qnet matapeli watupu hao!
@khamisswalehe22 күн бұрын
dar wapo jaman dar wapo
@johnmshuta513322 күн бұрын
Hiyo cyo kampuni ni matapel
@Edger-bn2mt20 күн бұрын
Kwa hli hii mjuwe vjan kz hawana
@florianhenry719821 күн бұрын
Mtoto wangu alishawishiwa Kuacha chuo kikuu Ili ajiunge pale morogoro akaambiwa ni shirika la wazungu wanawasomesha nje ya nchi ....sikukubaliana nikaenda kuchunguza nikakuta ni madangulo tu .tembeza ngumi kichapo kikali mpaka Leo watu niliwahacha na alama ya ngeo pumbavu zenu.mtoto wangu nikamrudisha shuleni.......Wapo morogoro wengi wanatapeli wamanyara wameish UZA NGOMBE HADI WAMEISHA SERIKALI TTUSAIDIEN WATOTO WETU WANATELEKEZWA KWENYE MAMBO YA KAMALI
@FreyNetwork
19 күн бұрын
😅😅🤣🤣🤣safi,,,nimeipenda hio,,,wee ukikuta watwange achia na maalama kabisa🤣😅....very good 💯
@abednego387621 күн бұрын
Kumbe hawa matapeli wapo? 😂
@renatusmakolo902321 күн бұрын
kwa kuangalia wengine ni kama wahitimu wa chuo kabisa, inauma wanavyofanyiwa na hawa wajanja wajanja
@khamisswalehe22 күн бұрын
dar pia wapo hao
@stanleypius336521 күн бұрын
Kamata hao matapeli tu
@sixmundleonard213521 күн бұрын
Mang'ombe hayaishi jamani
@jackloxley286521 күн бұрын
😅😅
@user-br7sf6ey9t22 күн бұрын
🇹🇿😂😂😂😂 tz ninoma sana yn kunamda nafikiliasana akiliya mtumoja inavuta akili zawatu miambiri aiseee aponinoma sana uyojamaa niprofeshino alafu eti network maket 😂😂😂😂
@bashiruhassani101722 күн бұрын
Ata uku mwanza wapo weng
@GilbertObed
19 күн бұрын
Kila inchi hii Campan ipo wew wazungumza Mwanza 😁😁
@jacksonkoisi618922 күн бұрын
Kwakweli.hao.ni matapeli.kuna vijana wawili.moja ni waarusha na mwingine anatoka sindeni.majambazi kabisa na ubaya ukifika hapo nawewe unaambiwa mdanganye mwingine aende huko linguine nasikia mkisema wasasi usimuruusu mtoto wako aende akuna mtoto anaye mwambie mzazi anako enta.
@user-hi8le2vb7z22 күн бұрын
MLIWAFINYA MIDOMO??
@FrankGasper-eq2ui20 күн бұрын
😂😂😂😂
@DaheerK22 күн бұрын
Hali ngumu ww mkuu wawilaya watafutie kaz siyo kuongea tu
@rayisadesigns2646
21 күн бұрын
Huo ndiyo upumbavu wetu tunatetea hadi uhalifu..
@funnytv936119 күн бұрын
Hao jamaa wapo Wengi sana Hapa Tz nilishawahi na mimi Kuitwa niliuzulia siku moja Yani wanakua kama Wamelishwa madawa adi Wana Misemo yao ya Kuitikia, kituo Kipo iringa Ismila Hotel 👈 ndo Walikua apo awo jamaa inabidi Wakamatwe Vijana Wanapotea
Пікірлер: 59
Ukikosa Elimu sahihi ya Network Marketing utaona kila kitu ni utapeli.
Wazee wa Good morning kumamake 😂😂😂😂😂😂
Hao Alayance ni matapeli bara kutwa kujivalisha suti 😅
Jamii ya DeC hii...mbaya sana hii kitu. Mnawaumiza vijana
Hii kampuni si hii hii iliyopewa masaa 24 na mkuu wa wilaya njombe wawe wameshaondoka? Kumbe wapo kila mkoa?
serikali ikurudishie nauli kwani walikutuma
Hao alayance global ni wahuni sana huku kahama waliwadanganya wengi.
Asa kama Tapeli Tanzania imeingiaje hiv hatuwez jiuliza na sisi Na Usalama wa Taifa upo Kila Kampun Serikali mwaita Tapeli Asa vijana wootee watajiajili kwenye KILIMO Kama hamtaki makampun Tanzania myafunge sio kudharirisha Vijana na Heshima zao hao watu wazima kabisa
HATARI HAO KWA NCHI N SHIDA CHUNGUZEN NCHI NZIMA
Sawa kabisa
Wamepiga rafik angu mlioni 4 dah hao ni shda
Sidhani kama mnaweza kuzifunga sababu wanavibali pia wanao wanasheria😅😅😅😅 jitaidini muwatoe make walimtoa barabarani jamaangu😊😊
Kwani wasajili wa makampuni hawalijui hilo
Hii kampuni ya alliance in motion global wapo hapa dar tz toka muda labda serikali wafanye uchunguzi maana hii kampuni Haina shida
Waao, piga kazimtumishi
Qnet awa
njoo ni itigi na manyoni wapo wengi sanaaa, na saiv wanahamia morogoro
MOROGORO wamejaa sana
@joojombi2341
20 күн бұрын
Toa ripoti Polisi waka shughulikiwe. Serekali lazima iwajibike kutoa taarifa ktk redio na TV kupiga marufuku Tzd nzima upuuzi kama huo
@emmanuelmponji4553
19 күн бұрын
Kabisa wamejaa wana jiita Qnet
Mi nshalipaga 60000😢
wapo dar mbagala tafuteni vizuri
@FahadAbubakari
19 күн бұрын
Acha waibiwe hayo mambo yashazungumzwa sana sa ka mtu bado hakomi Kuna nini
Hawa wanapiga utapeli kwa biashara ukinunua dawa hii ya meno ukifungua hii lebo inazawani mhh hapo ndiyo upigaji sasa
Wadada wa Oman wamepigwa sana kwa upumbavu wao yaani niwe Oman hàlafu nijiunge kitu nisichokielewa aisee wale walioliwa hd leo ukiwauliza wanaficha hawataki tuwacheke😂😂😂
Wazee wa hela za unicef
Jamaa kapigwa nanjaa mpaka anasahau jumangapi 😂😂😂
Wako pia kahama wengi hao wako bakungile house
Selikali wasiwaachiwe mpaka warudushe pesa zao uzuli mewakamata
Mwanangu alishaniambia pia na alikuwa ashaingia hawa watu wanawafatq watt chuo haswaa bahati nzuri tu mtoto wngu alijiongeza mwenyewe akanambia mama ni matapeli hawa akaachaga nilishukuru mnoo maana hili ni.pepo ukiingia utoki kirahisi Sasa hawa waeenda kukaa huko huko baadae serikali ndio inalaumiwa aisee
jamani mimi nimefika mpaka kwenye hilo kampuni lakini sjaona mafanikoio zaidi ya kukonda na njaa tulikuwa tunaaidiwa uongo kwakusema mtindo wa maisha nakusaidiana lakini skuweza kupata chochote na iliniskitisha manake niliumwa sikupata msaada na nikagundua ni uongo sana kitendo cha kumwita mtu kwa uongo
@anipelutego989
16 күн бұрын
na wazazi wanadanganywa hivo na kampuni hili
😀😀😀😀😀😀😀 kumbe mmewakamata eeh hapa tabora wako kama vumbi dah hii dunia hii khaaa
Wapigaji hao, warejeshe pesa zao na wahusika wachukuliwe hatua kali
Ndugu yangu alingia hapo
Vijana warudishiwe hela walizotapeliwa siyo kupewa nauli
Qnet qnet qnet matapeli watupu hao!
dar wapo jaman dar wapo
Hiyo cyo kampuni ni matapel
Kwa hli hii mjuwe vjan kz hawana
Mtoto wangu alishawishiwa Kuacha chuo kikuu Ili ajiunge pale morogoro akaambiwa ni shirika la wazungu wanawasomesha nje ya nchi ....sikukubaliana nikaenda kuchunguza nikakuta ni madangulo tu .tembeza ngumi kichapo kikali mpaka Leo watu niliwahacha na alama ya ngeo pumbavu zenu.mtoto wangu nikamrudisha shuleni.......Wapo morogoro wengi wanatapeli wamanyara wameish UZA NGOMBE HADI WAMEISHA SERIKALI TTUSAIDIEN WATOTO WETU WANATELEKEZWA KWENYE MAMBO YA KAMALI
@FreyNetwork
19 күн бұрын
😅😅🤣🤣🤣safi,,,nimeipenda hio,,,wee ukikuta watwange achia na maalama kabisa🤣😅....very good 💯
Kumbe hawa matapeli wapo? 😂
kwa kuangalia wengine ni kama wahitimu wa chuo kabisa, inauma wanavyofanyiwa na hawa wajanja wajanja
dar pia wapo hao
Kamata hao matapeli tu
Mang'ombe hayaishi jamani
😅😅
🇹🇿😂😂😂😂 tz ninoma sana yn kunamda nafikiliasana akiliya mtumoja inavuta akili zawatu miambiri aiseee aponinoma sana uyojamaa niprofeshino alafu eti network maket 😂😂😂😂
Ata uku mwanza wapo weng
@GilbertObed
19 күн бұрын
Kila inchi hii Campan ipo wew wazungumza Mwanza 😁😁
Kwakweli.hao.ni matapeli.kuna vijana wawili.moja ni waarusha na mwingine anatoka sindeni.majambazi kabisa na ubaya ukifika hapo nawewe unaambiwa mdanganye mwingine aende huko linguine nasikia mkisema wasasi usimuruusu mtoto wako aende akuna mtoto anaye mwambie mzazi anako enta.
MLIWAFINYA MIDOMO??
😂😂😂😂
Hali ngumu ww mkuu wawilaya watafutie kaz siyo kuongea tu
@rayisadesigns2646
21 күн бұрын
Huo ndiyo upumbavu wetu tunatetea hadi uhalifu..
Hao jamaa wapo Wengi sana Hapa Tz nilishawahi na mimi Kuitwa niliuzulia siku moja Yani wanakua kama Wamelishwa madawa adi Wana Misemo yao ya Kuitikia, kituo Kipo iringa Ismila Hotel 👈 ndo Walikua apo awo jamaa inabidi Wakamatwe Vijana Wanapotea
Maishamagumu 😂
Sasa nyie mnashinďwa kuwatäfuta wenye makapun