VIJANA wafumwa WAKIFUNDISHWA KUFANYA BIASHARA YA UTAPELI TABORA, DC ATINGA NA DIFENDA

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 59

  • @denismbulule1777
    @denismbulule177717 күн бұрын

    Ukikosa Elimu sahihi ya Network Marketing utaona kila kitu ni utapeli.

  • @Barakaclassic
    @Barakaclassic18 күн бұрын

    Wazee wa Good morning kumamake 😂😂😂😂😂😂

  • @annamussa185
    @annamussa18521 күн бұрын

    Hao Alayance ni matapeli bara kutwa kujivalisha suti 😅

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha426822 күн бұрын

    Jamii ya DeC hii...mbaya sana hii kitu. Mnawaumiza vijana

  • @HarunaKitiku-sv1fe
    @HarunaKitiku-sv1fe18 күн бұрын

    Hii kampuni si hii hii iliyopewa masaa 24 na mkuu wa wilaya njombe wawe wameshaondoka? Kumbe wapo kila mkoa?

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca760220 күн бұрын

    serikali ikurudishie nauli kwani walikutuma

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono19 күн бұрын

    Hao alayance global ni wahuni sana huku kahama waliwadanganya wengi.

  • @GilbertObed
    @GilbertObed19 күн бұрын

    Asa kama Tapeli Tanzania imeingiaje hiv hatuwez jiuliza na sisi Na Usalama wa Taifa upo Kila Kampun Serikali mwaita Tapeli Asa vijana wootee watajiajili kwenye KILIMO Kama hamtaki makampun Tanzania myafunge sio kudharirisha Vijana na Heshima zao hao watu wazima kabisa

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo22 күн бұрын

    HATARI HAO KWA NCHI N SHIDA CHUNGUZEN NCHI NZIMA

  • @user-wh8xy3df6j
    @user-wh8xy3df6j17 күн бұрын

    Sawa kabisa

  • @ChipugeLaulian-fz1mv
    @ChipugeLaulian-fz1mv19 күн бұрын

    Wamepiga rafik angu mlioni 4 dah hao ni shda

  • @PascalMwita-bv8kr
    @PascalMwita-bv8kr20 күн бұрын

    Sidhani kama mnaweza kuzifunga sababu wanavibali pia wanao wanasheria😅😅😅😅 jitaidini muwatoe make walimtoa barabarani jamaangu😊😊

  • @user-hj8sc7jv5m
    @user-hj8sc7jv5m21 күн бұрын

    Kwani wasajili wa makampuni hawalijui hilo

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x18 күн бұрын

    Hii kampuni ya alliance in motion global wapo hapa dar tz toka muda labda serikali wafanye uchunguzi maana hii kampuni Haina shida

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego440820 күн бұрын

    Waao, piga kazimtumishi

  • @yacinterchuwa2148
    @yacinterchuwa214822 күн бұрын

    Qnet awa

  • @julianmsele3880
    @julianmsele38807 күн бұрын

    njoo ni itigi na manyoni wapo wengi sanaaa, na saiv wanahamia morogoro

  • @sayuni123-kl6xk
    @sayuni123-kl6xk22 күн бұрын

    MOROGORO wamejaa sana

  • @joojombi2341

    @joojombi2341

    20 күн бұрын

    Toa ripoti Polisi waka shughulikiwe. Serekali lazima iwajibike kutoa taarifa ktk redio na TV kupiga marufuku Tzd nzima upuuzi kama huo

  • @emmanuelmponji4553

    @emmanuelmponji4553

    19 күн бұрын

    Kabisa wamejaa wana jiita Qnet

  • @NassTaima
    @NassTaima22 күн бұрын

    Mi nshalipaga 60000😢

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe22 күн бұрын

    wapo dar mbagala tafuteni vizuri

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    19 күн бұрын

    Acha waibiwe hayo mambo yashazungumzwa sana sa ka mtu bado hakomi Kuna nini

  • @wisemaliva5376
    @wisemaliva537622 күн бұрын

    Hawa wanapiga utapeli kwa biashara ukinunua dawa hii ya meno ukifungua hii lebo inazawani mhh hapo ndiyo upigaji sasa

  • @Official83640
    @Official8364020 күн бұрын

    Wadada wa Oman wamepigwa sana kwa upumbavu wao yaani niwe Oman hàlafu nijiunge kitu nisichokielewa aisee wale walioliwa hd leo ukiwauliza wanaficha hawataki tuwacheke😂😂😂

  • @DM_15
    @DM_1519 күн бұрын

    Wazee wa hela za unicef

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y21 күн бұрын

    Jamaa kapigwa nanjaa mpaka anasahau jumangapi 😂😂😂

  • @yohanaraphael1922
    @yohanaraphael19225 күн бұрын

    Wako pia kahama wengi hao wako bakungile house

  • @estakapufi7582
    @estakapufi758220 күн бұрын

    Selikali wasiwaachiwe mpaka warudushe pesa zao uzuli mewakamata

  • @rosehaule6765
    @rosehaule676520 күн бұрын

    Mwanangu alishaniambia pia na alikuwa ashaingia hawa watu wanawafatq watt chuo haswaa bahati nzuri tu mtoto wngu alijiongeza mwenyewe akanambia mama ni matapeli hawa akaachaga nilishukuru mnoo maana hili ni.pepo ukiingia utoki kirahisi Sasa hawa waeenda kukaa huko huko baadae serikali ndio inalaumiwa aisee

  • @anipelutego989
    @anipelutego98916 күн бұрын

    jamani mimi nimefika mpaka kwenye hilo kampuni lakini sjaona mafanikoio zaidi ya kukonda na njaa tulikuwa tunaaidiwa uongo kwakusema mtindo wa maisha nakusaidiana lakini skuweza kupata chochote na iliniskitisha manake niliumwa sikupata msaada na nikagundua ni uongo sana kitendo cha kumwita mtu kwa uongo

  • @anipelutego989

    @anipelutego989

    16 күн бұрын

    na wazazi wanadanganywa hivo na kampuni hili

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA18 күн бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀 kumbe mmewakamata eeh hapa tabora wako kama vumbi dah hii dunia hii khaaa

  • @joojombi2341
    @joojombi234120 күн бұрын

    Wapigaji hao, warejeshe pesa zao na wahusika wachukuliwe hatua kali

  • @user-kx3zy9eo2h
    @user-kx3zy9eo2h20 күн бұрын

    Ndugu yangu alingia hapo

  • @johnshauri3130
    @johnshauri313022 күн бұрын

    Vijana warudishiwe hela walizotapeliwa siyo kupewa nauli

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale404722 күн бұрын

    Qnet qnet qnet matapeli watupu hao!

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe22 күн бұрын

    dar wapo jaman dar wapo

  • @johnmshuta5133
    @johnmshuta513322 күн бұрын

    Hiyo cyo kampuni ni matapel

  • @Edger-bn2mt
    @Edger-bn2mt20 күн бұрын

    Kwa hli hii mjuwe vjan kz hawana

  • @florianhenry7198
    @florianhenry719821 күн бұрын

    Mtoto wangu alishawishiwa Kuacha chuo kikuu Ili ajiunge pale morogoro akaambiwa ni shirika la wazungu wanawasomesha nje ya nchi ....sikukubaliana nikaenda kuchunguza nikakuta ni madangulo tu .tembeza ngumi kichapo kikali mpaka Leo watu niliwahacha na alama ya ngeo pumbavu zenu.mtoto wangu nikamrudisha shuleni.......Wapo morogoro wengi wanatapeli wamanyara wameish UZA NGOMBE HADI WAMEISHA SERIKALI TTUSAIDIEN WATOTO WETU WANATELEKEZWA KWENYE MAMBO YA KAMALI

  • @FreyNetwork

    @FreyNetwork

    19 күн бұрын

    😅😅🤣🤣🤣safi,,,nimeipenda hio,,,wee ukikuta watwange achia na maalama kabisa🤣😅....very good 💯

  • @abednego3876
    @abednego387621 күн бұрын

    Kumbe hawa matapeli wapo? 😂

  • @renatusmakolo9023
    @renatusmakolo902321 күн бұрын

    kwa kuangalia wengine ni kama wahitimu wa chuo kabisa, inauma wanavyofanyiwa na hawa wajanja wajanja

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe22 күн бұрын

    dar pia wapo hao

  • @stanleypius3365
    @stanleypius336521 күн бұрын

    Kamata hao matapeli tu

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard213521 күн бұрын

    Mang'ombe hayaishi jamani

  • @jackloxley2865
    @jackloxley286521 күн бұрын

    😅😅

  • @user-br7sf6ey9t
    @user-br7sf6ey9t22 күн бұрын

    🇹🇿😂😂😂😂 tz ninoma sana yn kunamda nafikiliasana akiliya mtumoja inavuta akili zawatu miambiri aiseee aponinoma sana uyojamaa niprofeshino alafu eti network maket 😂😂😂😂

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani101722 күн бұрын

    Ata uku mwanza wapo weng

  • @GilbertObed

    @GilbertObed

    19 күн бұрын

    Kila inchi hii Campan ipo wew wazungumza Mwanza 😁😁

  • @jacksonkoisi6189
    @jacksonkoisi618922 күн бұрын

    Kwakweli.hao.ni matapeli.kuna vijana wawili.moja ni waarusha na mwingine anatoka sindeni.majambazi kabisa na ubaya ukifika hapo nawewe unaambiwa mdanganye mwingine aende huko linguine nasikia mkisema wasasi usimuruusu mtoto wako aende akuna mtoto anaye mwambie mzazi anako enta.

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z22 күн бұрын

    MLIWAFINYA MIDOMO??

  • @FrankGasper-eq2ui
    @FrankGasper-eq2ui20 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @DaheerK
    @DaheerK22 күн бұрын

    Hali ngumu ww mkuu wawilaya watafutie kaz siyo kuongea tu

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    21 күн бұрын

    Huo ndiyo upumbavu wetu tunatetea hadi uhalifu..

  • @funnytv9361
    @funnytv936119 күн бұрын

    Hao jamaa wapo Wengi sana Hapa Tz nilishawahi na mimi Kuitwa niliuzulia siku moja Yani wanakua kama Wamelishwa madawa adi Wana Misemo yao ya Kuitikia, kituo Kipo iringa Ismila Hotel 👈 ndo Walikua apo awo jamaa inabidi Wakamatwe Vijana Wanapotea

  • @Starbrunodg
    @Starbrunodg20 күн бұрын

    Maishamagumu 😂

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r20 күн бұрын

    Sasa nyie mnashinďwa kuwatäfuta wenye makapun

Келесі