Unaweza kujibu kwanini unajiremba!?|Swali kutoka kwa Mch.Amiel Katekela
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 50
Shetani anaadhibiwe ( siku za mwisho ) Yesu akubariki sana The Horn Pastor Amiel Katekela
Hallelujah neno la Bwana ni upanga ukatao kuwili mwenye masikio na asikie🙏🙏🙏
Shalom pst amiel kazia hapo angalau kusimu kusingie makanisani Mimi ni mama na hi tabia wanawake wa kikiristo wazoea mungu vibaya heshima imetoweka makanisani wewe sikiliza na uanguke miguhuni mwa mungu atusamehe ongera baba ❤
Amen haya mafundisho mazuri tujirekebishe tuangalie mienendo zetu
Amen asante sana mtumishi kwa mafundisho yako yatujenga sana kusema ukweli
Aminaa Aminaa, ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu.
Mtumishi Mungu akukumbuke katika ufalme wake, wachungaji kama wewe wanahesabika kwa Dunia ya sasa, hawataki kuwambia watu kweli.
Kwa kweli Mungu akubari kwa Mfundisho mzuri
Amina mtumishi unanibariki sana.
Amina Mchu ngaji barikiw sana
Godbless you for nice message
Aysee, mchungaji upo kanisa Gani? Nimeipenda hii ibada, siku hizi watu wamejichanganya for sure!! Mungu akutunze mchungaji
Nakuelewa sana
Eee Bwana Yesu turehemu Wakristo..
Nabarikiwa sana unaposema kweli
Nisamehe Yesu
Amen mch Amieli
Mtumishi ni kweli mtubu aminaaa
Mungu atu samehe sana
Amen barikiwa san kw ukweli unaotuambia Mungu akubariki🎉
Jamani wewe katekela umenihubiria nimenyoa rasta,nikaacha makeup 💄 zote maana namtaka huyu yesu...barikiwa hii ndio neno tunaloliitaji kwa makanisa watu waambiwe ukweli akuna jina rehema kwa dhambi unayoijua....
@christinephilip5043
8 ай бұрын
Bwana akubariki mno❤❤
@DorcasMutanu-db2yo
7 ай бұрын
Amina barikiwa sana kwa uchanguzi wako wa hekima kupitia kwa ujumbe wa mtumishi
Sema mtumishi.
Injili hii ndiyo inayotakiwa kweli ihubiriwe bila hofu ya eti washirika watakimbia!
AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ameni bwana akubariki Sana unanijenga Sana kimani
Amen
Mungu akubaliki sana
Yaani ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu ninabarikiwa sanaaaaaaa
Umeongea ukweli
Mtumishi ubarikiwe kuna sehemu umeipiga chenga kuingi na vimini sket fupi hata wake wa wa.chungaji wahubiri wanavaa nguo za aibu fupi matiti nusu uchi tusaidie
MMchungaji una akili za Robo wa Mungu, upo kanisa lipo wapi nije niabudu japo mara Moja tu.
AMEN
@EliaMwaijumba
5 ай бұрын
Hicho ndicho kimewaangusha wachungaji wengi mchungaji huko vizuri
Mtumishi utakapo kuja Kenya, tafadhali beba hizo vitabu tunavitaka sana tujisomee
Yes kashetani kameingia kanisani
Tunu ya taifa
Kweli
@RebeccaMagabe-uu8xg
9 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu kukemia hayo maovu kanisani Mungu akubariki sana.
Ameeeeeen
Nliota inzi ikiningia sehemu ya siri nkitaka kuitoa inapanda mpaka kwenye koo na inalia ikicheza ndani ya mwili,nkaota tena nlala kimapenzi na babangu mzazi 😢hivi manake nn wapendwa nahitaji maombi yenu
Mtumishi WA MUNGU bado upo Tanga?
Namba zake jmn
Ungeweka namba ya kanisa Alan tutume sadaka maana hao wanaohubiri hayo walishaenda likizo, ni fungu ya taiga wewe kubakia Ili kuliponya kanisa
Nipo morogoro naomba namba Yako mtumishi
,😂😂
ERICK tunaomba fitabu
ACHA UJINGA BANA😄😄😄😄😁😁😁
Amen