Unaweza kujibu kwanini unajiremba!?|Swali kutoka kwa Mch.Amiel Katekela

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 50

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis23884 ай бұрын

    Shetani anaadhibiwe ( siku za mwisho ) Yesu akubariki sana The Horn Pastor Amiel Katekela

  • @christinephilip5043
    @christinephilip50438 ай бұрын

    Hallelujah neno la Bwana ni upanga ukatao kuwili mwenye masikio na asikie🙏🙏🙏

  • @getrayakoyi9185
    @getrayakoyi91859 ай бұрын

    Shalom pst amiel kazia hapo angalau kusimu kusingie makanisani Mimi ni mama na hi tabia wanawake wa kikiristo wazoea mungu vibaya heshima imetoweka makanisani wewe sikiliza na uanguke miguhuni mwa mungu atusamehe ongera baba ❤

  • @feminakidiavai5849
    @feminakidiavai58498 ай бұрын

    Amen haya mafundisho mazuri tujirekebishe tuangalie mienendo zetu

  • @gracemutono5023
    @gracemutono50239 ай бұрын

    Amen asante sana mtumishi kwa mafundisho yako yatujenga sana kusema ukweli

  • @josephchivatsi64
    @josephchivatsi649 ай бұрын

    Aminaa Aminaa, ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu.

  • @user-lu2or6mm4g
    @user-lu2or6mm4g6 ай бұрын

    Mtumishi Mungu akukumbuke katika ufalme wake, wachungaji kama wewe wanahesabika kwa Dunia ya sasa, hawataki kuwambia watu kweli.

  • @ablankamlelwa864
    @ablankamlelwa8643 ай бұрын

    Kwa kweli Mungu akubari kwa Mfundisho mzuri

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu87189 ай бұрын

    Amina mtumishi unanibariki sana.

  • @user-ne4hf9xt6u
    @user-ne4hf9xt6u8 ай бұрын

    Amina Mchu ngaji barikiw sana

  • @gidionjohnmagombola5514
    @gidionjohnmagombola55146 ай бұрын

    Godbless you for nice message

  • @MariamLigoha
    @MariamLigoha9 ай бұрын

    Aysee, mchungaji upo kanisa Gani? Nimeipenda hii ibada, siku hizi watu wamejichanganya for sure!! Mungu akutunze mchungaji

  • @AgnessIbrahim-nt1kr
    @AgnessIbrahim-nt1kr3 ай бұрын

    Nakuelewa sana

  • @JulianaTryphony
    @JulianaTryphony9 ай бұрын

    Eee Bwana Yesu turehemu Wakristo..

  • @EmmyEmanuel-jo4ey
    @EmmyEmanuel-jo4ey9 ай бұрын

    Nabarikiwa sana unaposema kweli

  • @debbiebhappy9299
    @debbiebhappy92999 ай бұрын

    Nisamehe Yesu

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael79659 ай бұрын

    Amen mch Amieli

  • @melisakatu8668
    @melisakatu86688 ай бұрын

    Mtumishi ni kweli mtubu aminaaa

  • @odettebarengeke2469
    @odettebarengeke24699 ай бұрын

    Mungu atu samehe sana

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena22623 ай бұрын

    Amen barikiwa san kw ukweli unaotuambia Mungu akubariki🎉

  • @mercykasyoka4007
    @mercykasyoka40079 ай бұрын

    Jamani wewe katekela umenihubiria nimenyoa rasta,nikaacha makeup 💄 zote maana namtaka huyu yesu...barikiwa hii ndio neno tunaloliitaji kwa makanisa watu waambiwe ukweli akuna jina rehema kwa dhambi unayoijua....

  • @christinephilip5043

    @christinephilip5043

    8 ай бұрын

    Bwana akubariki mno❤❤

  • @DorcasMutanu-db2yo

    @DorcasMutanu-db2yo

    7 ай бұрын

    Amina barikiwa sana kwa uchanguzi wako wa hekima kupitia kwa ujumbe wa mtumishi

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam53909 ай бұрын

    Sema mtumishi.

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence18129 ай бұрын

    Injili hii ndiyo inayotakiwa kweli ihubiriwe bila hofu ya eti washirika watakimbia!

  • @HarryMbale-ie1ex
    @HarryMbale-ie1ex9 ай бұрын

    AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-hy2kt4ut4e
    @user-hy2kt4ut4e9 ай бұрын

    Ameni bwana akubariki Sana unanijenga Sana kimani

  • @prosperbyalugaba6939
    @prosperbyalugaba69398 ай бұрын

    Amen

  • @EmmelineNibampa
    @EmmelineNibampa3 ай бұрын

    Mungu akubaliki sana

  • @wambimbwelo5141
    @wambimbwelo51416 ай бұрын

    Yaani ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu ninabarikiwa sanaaaaaaa

  • @AgnessIbrahim-nt1kr
    @AgnessIbrahim-nt1kr3 ай бұрын

    Umeongea ukweli

  • @williammwakipesile1111
    @williammwakipesile11118 ай бұрын

    Mtumishi ubarikiwe kuna sehemu umeipiga chenga kuingi na vimini sket fupi hata wake wa wa.chungaji wahubiri wanavaa nguo za aibu fupi matiti nusu uchi tusaidie

  • @MariamLigoha
    @MariamLigoha9 ай бұрын

    MMchungaji una akili za Robo wa Mungu, upo kanisa lipo wapi nije niabudu japo mara Moja tu.

  • @drmaryjohnmponda3484
    @drmaryjohnmponda34849 ай бұрын

    AMEN

  • @EliaMwaijumba

    @EliaMwaijumba

    5 ай бұрын

    Hicho ndicho kimewaangusha wachungaji wengi mchungaji huko vizuri

  • @wilsonkombeyeri4623
    @wilsonkombeyeri46239 ай бұрын

    Mtumishi utakapo kuja Kenya, tafadhali beba hizo vitabu tunavitaka sana tujisomee

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa2999 ай бұрын

    Yes kashetani kameingia kanisani

  • @MariamLigoha
    @MariamLigoha9 ай бұрын

    Tunu ya taifa

  • @user-hu5hs6bv9z
    @user-hu5hs6bv9z9 ай бұрын

    Kweli

  • @RebeccaMagabe-uu8xg

    @RebeccaMagabe-uu8xg

    9 ай бұрын

    Asante sana mtumishi wa Mungu kukemia hayo maovu kanisani Mungu akubariki sana.

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani61339 ай бұрын

    Ameeeeeen

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur5 ай бұрын

    Nliota inzi ikiningia sehemu ya siri nkitaka kuitoa inapanda mpaka kwenye koo na inalia ikicheza ndani ya mwili,nkaota tena nlala kimapenzi na babangu mzazi 😢hivi manake nn wapendwa nahitaji maombi yenu

  • @kesiawailes1223
    @kesiawailes12239 ай бұрын

    Mtumishi WA MUNGU bado upo Tanga?

  • @user-ub8vm1go9j
    @user-ub8vm1go9j2 ай бұрын

    Namba zake jmn

  • @MariamLigoha
    @MariamLigoha9 ай бұрын

    Ungeweka namba ya kanisa Alan tutume sadaka maana hao wanaohubiri hayo walishaenda likizo, ni fungu ya taiga wewe kubakia Ili kuliponya kanisa

  • @JofreyDamson-nm6ec
    @JofreyDamson-nm6ec3 ай бұрын

    Nipo morogoro naomba namba Yako mtumishi

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv16322 ай бұрын

    ,😂😂

  • @gracemutono5023
    @gracemutono50239 ай бұрын

    ERICK tunaomba fitabu

  • @joshuabartonpolelaab4985
    @joshuabartonpolelaab49858 ай бұрын

    ACHA UJINGA BANA😄😄😄😄😁😁😁

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael55099 ай бұрын

    Amen

Келесі