"UKOMBOZI WA NYOTA ILIYOIBIWA"

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 76

  • @NguluValentinFuraha
    @NguluValentinFuraha2 ай бұрын

    Amen, nimebarikiwa kabisa kupitiya hili neno la MUNGU, mungu akubariki sana mchungaji

  • @glorytoGod639
    @glorytoGod6392 ай бұрын

    Wow! Mungu ana watu wake imara namna hii. Umebarikiwa mchungaji

  • @jeremiatitus4414
    @jeremiatitus4414 Жыл бұрын

    Nakuelewa Sana MCH.🙏 Mtaijua kwel nayo kwel itawaweka huru

  • @lucianshuma5477
    @lucianshuma54777 ай бұрын

    Mungu akubariki xana mtumishi wa Mungu

  • @mahombiandrew9220
    @mahombiandrew92202 ай бұрын

    Amen ,Mungu Ni mwema

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2je3 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai42508 ай бұрын

    Ubarikiwe mchungaji Katekela

  • @joycekaphevemba7215
    @joycekaphevemba7215 Жыл бұрын

    Amen Amen nimebarikiwa sana WATUMISHI WA Mungu jactan na amiel Mungu WA Baraka asiwapungukie kabisa

  • @suemwaita-ov4vl
    @suemwaita-ov4vl5 ай бұрын

    I'm so blessed God bless you Man of God❤

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu1063 ай бұрын

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN

  • @DoreenMwakibinga
    @DoreenMwakibinga4 ай бұрын

    Amen Yesu mweza wa yote

  • @rhodamahembe3206
    @rhodamahembe3206Ай бұрын

    Yesu nisaidie

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu1067 ай бұрын

    Amen I received

  • @margaretwaweru4777
    @margaretwaweru4777 Жыл бұрын

    Amen nimebarikiwa sana

  • @user-tz5xm2ey7f
    @user-tz5xm2ey7f9 ай бұрын

    Amena kubwa MUNGU akubariki sana mtumishi

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2je3 ай бұрын

    Amina.

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Жыл бұрын

    Baba itoshe kusema nakupenda unabomoa sana

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q Жыл бұрын

    Hiyo nikweli baba nimatesotu kuwa na mume mpagani baba Yangu muwenatuombeya 🙌

  • @user-ds2xv2ui5u
    @user-ds2xv2ui5u Жыл бұрын

    Duu ukomboz wa nyota jaman waafrica tuna shida sana wenzetu wametuacha mbal sana Kwa mambo ya Dunia hii sjui shida nn

  • @christinendayiragije5689
    @christinendayiragije5689 Жыл бұрын

    Amen amen.

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q Жыл бұрын

    Amen 🙏 ❤

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 Жыл бұрын

    Amen 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @gracemutono5023
    @gracemutono5023 Жыл бұрын

    Amen

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam5390 Жыл бұрын

    "Haleluya"

  • @user-nu9ww9ly6q
    @user-nu9ww9ly6q Жыл бұрын

    Amen Amen

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp9 ай бұрын

    Niombee mm pamoja na watoto wangu amiel katekela psy

  • @BonnyNgunja
    @BonnyNgunja3 ай бұрын

    Natama nifundishw na wew ili nimjuw mung namushukulu mung kuwalet watumiash kam ww ubalikiw

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s7 ай бұрын

    Mungu alimwambia Musa waambie watoe dhahabu na pesa, weka vyombo viwili, cha fedha ni chako na dhahabu yangu, Nabii akamwambia nipe nile kwanza, kabla ya Nabii kumtakia yule mama wa Serepta ilikuwa imeandikwa. wapi? , Unaelezea historia yako sawa ndiyo ulivyokuwa, onyesha basi ulicho pata.kwa Mungu, watu wanashida, onyesha Mungu wako, sio kubeza huduma za wenzako, sijawahi kuona Alphalukao na T,b, Joshua na Bushiri wakihubiri huduma za wengine bali Kristo

  • @prosperjuma905

    @prosperjuma905

    7 ай бұрын

    Hujaelewa nini hapo? Mwenzio anakwambia kimpangia mshirika kiwango. Kwenye hayo maandiko kuna aliyepangiwa kiwango?

  • @AziziMapunda-vt4nv
    @AziziMapunda-vt4nv4 ай бұрын

    Sikweli yapo yesu alipozaliwa mamajusi walihiyona nyota yake wakaenda kumusujudia

  • @NANCYOBURA-co5ph
    @NANCYOBURA-co5ph6 ай бұрын

    Pastor Mimi nakufwatilia from Kenya.....naomba number yako ya simu......naomba umuombe ndugu yangu.......tulimzika....but kutokana na mahubiri yako huenda ni kama alifanywa msukule

  • @NANCYOBURA-co5ph

    @NANCYOBURA-co5ph

    6 ай бұрын

    Alitolewa kafara na rafiki yake WA dhati.........tena alimuulia Kwa nyumba yake .......alidanganywa Kwa kupigiwa simu.....aendee akasimamie harusii......kumbe ndo walikua wamempangia kifo....huyo aliyemuita ndo bestfrnd yake.....kulikua hamnaa harusii.....walikua wamempangia kifo ...wakamulia hapo Kwa nyumba yake

  • @NANCYOBURA-co5ph

    @NANCYOBURA-co5ph

    6 ай бұрын

    Huenda ndugu yangu alifanywa msukule na hatujuii ......nimekua nikikuskiza daily .......and I beliv you can help us

  • @PastorPhilipMbaabu.
    @PastorPhilipMbaabu.2 ай бұрын

    Mayele ndio nani???

  • @mganyizimarcoenock3856
    @mganyizimarcoenock3856 Жыл бұрын

    Diamond alipewa biblia asome neno

  • @joshuamakota6714
    @joshuamakota6714 Жыл бұрын

    Ni ngumu kusema lakini Ukweli ni kwamba hakuna hubiri wala fundisho la mambo ya nyota katika biblia, hayo ni mambo ya kichawi/giza, kipimo ni biblia na Yesu Kristo pekee, tuoneshane ni wapi Yesu au biblia ilionesha au kufundisha mambo ya nyota. Shirki ipo kurogwa kupo ila biblia imetambuaje suala la nyota au imefundisha nini juu ya hilo??

  • @samwelstephen6376

    @samwelstephen6376

    8 ай бұрын

    Wewe siyo Mkristo, Kama ndiyo, basi hujaelewa sehemu.

  • @joshuamakota6714

    @joshuamakota6714

    8 ай бұрын

    @@samwelstephen6376 njoo na hoja za kwenye biblia sio za masimuliz ya mtu leta mistari ya biblia maana haijasahau jambo lolote. Uchawi upo kazi za mwovu zipo ila je biblia uasema nn juu ya nyota??

  • @lilianmbeyu

    @lilianmbeyu

    8 ай бұрын

    kwani walifikaje mamajusi mahali alipokuwa Yesu kazaliwa je hawakuongozwa na nyota ya Yesu,au unataka mafundisho gani kuhusu nyota

  • @joshuamakota6714

    @joshuamakota6714

    8 ай бұрын

    @@lilianmbeyu ile ilikua nyota ya Yesu ?? Wapi imeandikwa?? MUNGU alitumia nyota kuwaongoza tu wafike pale kama alivyotumia moto kwa wana wa israel kule jangwani. Wapi neno limesema ile ni nyota ya Ya Yesu au mahali bible ikasema eti Nayo nyota y Ibrahim ikang'aa au Eti Naye Daudi alikua na nyota ya Uongozi. Hakuna ishu za Nyota wanatumia watu wa shirki . Kwa Mungu kuna baraka tu sio ishu za nyota.

  • @lilianmbeyu

    @lilianmbeyu

    8 ай бұрын

    pole sababu ufunuo wako kaka uko chini isitoshe labda wewe si wa kristo ungekuwa ungeelewa karibu basi ujiunge na hii familia ya wakristo ili anene nawe uelewe ni kimo ndani ya mafunzo haya maana mimi mwenyewe nimushuhuda wa hili kabla hata nisikie mafunzo kuhusu nyota niliiona nyota yangu,karibu kwa Yesu

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo4723 Жыл бұрын

    Kumbe na wewe ni mganga wa kienyeji tu somo lako tu linakushuhudia

  • @yesuanikumbukejanuary8363

    @yesuanikumbukejanuary8363

    Жыл бұрын

    alisha okoka anatufundisha jinsi shetani na maraika wake wanavyo fanya kazi alisha acha AMEOKOKA.

  • @joshuamakota6714

    @joshuamakota6714

    Жыл бұрын

    Bora wewe umetambua Maana hiyo ni shirki tu hakuna fundisho la Nyota ndani ya biblia.

  • @joshuamakota6714

    @joshuamakota6714

    Жыл бұрын

    @@yesuanikumbukejanuary8363 badala ya kufundisha jinsi ya kumcha Mungu ye anafundisha kazi za shetani, zitakusaidia nini ukishazijua ? Ukiwa na Mungu anatosha, mjue Mungu zaidi sio shetan.

  • @charlesmapunda5905

    @charlesmapunda5905

    Жыл бұрын

    ​@@joshuamakota6714Ndugu bila haya mafundisho tusingejua mambo mengi na bado tungeishi kimazoea na kujiona ni sawa kumbe tulikua tunajidanganya. Bila haya mafundisho je hawa manabii wa uongo walivyo chachamaa na kuangamiza watu je tungewajua? na uzuri si yeye peke yake anae fundisha kuhusu hawa watu na hata mafundisho ya nyota wanafundisha wengi sasa we ukipinga sawa ila Mama Jusi wale walioona Nyota ya Yesu kuzaliwa kwani hawapo kwenye Biblia? na hao mama Jusi walikua na kazi gani kwenye Biblia? kama unasali Roman Katoliki basi haya mafundisho hutokubali au la kama baadhi ya vitu anavyo ongea unavishiriki lazima umuone hafai na nimuongo bila hivyo ulipaswa ushukuru kujua hayo mambo.

  • @abigailndizo1273

    @abigailndizo1273

    11 ай бұрын

    YESU anaokoa

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 Жыл бұрын

    Amen

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp9 ай бұрын

    Amen

Келесі