JINSI YA KULITUMIA NENO LA MUNGU ILI LIKUPE MATOKEO || PASTOR GEORGE MUKABWA || 14/04/2024

Фильм және анимация

Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
Gospel Teachings for soul winning Purpose.

Пікірлер: 79

  • @KhadijaFakhi
    @KhadijaFakhi3 ай бұрын

    Ewe mwenyezi mungu nitendee sawa sawa na mapenzi yako, mimi muislam ilitokea tuu ktk kugusagusa simu nikakutana na pastor George nikavitiwa na magundisho yake ki ukweli sijawahi kulala bila neno kutoka kwa pastor George kupitia mafundisho yake ki ukweli mungu akuwekee kiti chako peponi na uishi miaka mingi Nina Imani ni mpango wa mungu mim kulijua kanisa hili ubarikiwe sana

  • @annapeter1280

    @annapeter1280

    3 ай бұрын

    Barikwa sana khadija

  • @user-vh4rr9wh6w

    @user-vh4rr9wh6w

    3 ай бұрын

    Yesu akupe neema ya kumjua zaidi kumuamini na kumkiri kuwa Ni Mungu na ni Mwana wa Mungu, ukifika hapo utakua umeokoka na pia Yesu akupe haja za moyo wako

  • @RoseMapunda-pd6vg

    @RoseMapunda-pd6vg

    2 ай бұрын

    Mungu akupe neema zaid mpnz hakika ujakosea natamani kujua upo wapi

  • @user-mf5ls5kb7l

    @user-mf5ls5kb7l

    2 ай бұрын

    You are a vessel of honour in the Master 's Service. May The Holy Spirit of God lead all Through and Extend your Territories. God Bless and the Entire church community at Large and all Viewer. God Bless. Thank you. .

  • @christinaemanuelyusta4228

    @christinaemanuelyusta4228

    2 ай бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @agnesemmanuel5630
    @agnesemmanuel56303 ай бұрын

    Hili kanisa Kuna MUNGU wa kwel jamani nimesali Leo tu ila nimeona nguvu ya MUNGU 😢🙏

  • @WinnieMagoma

    @WinnieMagoma

    3 ай бұрын

    Ameeen

  • @annastaziamwakasege1366

    @annastaziamwakasege1366

    2 ай бұрын

    Huwa namfatilia U tube najifunza mengi mno,

  • @Milkah-br4gz

    @Milkah-br4gz

    2 ай бұрын

    ¹1❤❤❤😂❤❤❤​@@WinnieMagoma

  • @user-io8qb2ns7o

    @user-io8qb2ns7o

    2 ай бұрын

    Liko wap nataman sana niende na mimi

  • @herbertmutunga4281
    @herbertmutunga42812 ай бұрын

    Mchungaji George, Mungu azidi kukufunulia mafundisho mengi ndio watu wa Mungu tuzidi kupata ufahamu juu ya Neno la Mungu.

  • @FloraIloko
    @FloraIlokoАй бұрын

    Amen mchungaji mungu akubariki sana na akuzidishie

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha70612 ай бұрын

    Dah Mungu akubariki mtumishi mnao sali hapa mna neema

  • @fredrickryoba2452
    @fredrickryoba2452Ай бұрын

    God answer your prayer through his word

  • @NellyKadenyi-qc3em
    @NellyKadenyi-qc3emАй бұрын

    Amen Amen

  • @juliahkarisa3504
    @juliahkarisa35043 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @Happiness-cr7sv
    @Happiness-cr7sv3 ай бұрын

    Amina

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe44433 ай бұрын

    Mungu nimwema namwaminifu kutupa mchungaji anaetufundisha Neno laMungu kwamaarifa

  • @marymgonela2775
    @marymgonela27753 ай бұрын

    How I love this Pastor🙌,Mungu akuinue katika viwango vya juu zaidi.Mafundisho yako yamenijenga sana sana

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza76613 ай бұрын

    Mna bahati na neema kubwa sana washirika wa kanisa hili .Natamani kuhamia Mwanza niabudu hapo.Pastor Mungu akubariki unanivusha sanaaa.Bwana Yesu akutunze

  • @elizabethchima8098
    @elizabethchima8098Ай бұрын

    Haki Mungu anakutumia vyemaa Nimejaribu kuskiliza mahali pengine ili kupata ufafanuzi kama huu ila nlkua Sielewi lkn mahali hapa sasa ni sahihi kwangu Mungu akubariki na arndlee kukutumia vyema kwaajili yetu mtumishi 🙏

  • @happiness_713
    @happiness_7133 ай бұрын

    We perish due to lack of knowledge.... you are a blessing to me. Amen 🙏🙏🙏

  • @user-vx5rb6rg1v
    @user-vx5rb6rg1v3 ай бұрын

    Asante kwa mafunzo yko mazuri pastor tunabarikiwa sana🙏🙏🇸🇦🇰🇪

  • @annetvuseletse4509

    @annetvuseletse4509

    3 ай бұрын

    Tu

  • @user-dj3nq8mm3d
    @user-dj3nq8mm3d2 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu neno nzuri sana nimebarikiwa

  • @user-tc1pr1kv9n
    @user-tc1pr1kv9n3 ай бұрын

    Nabarikiwa na wewe Mchungqji. Jaman mbona natamani kuja mwanza niabudu hapo. Mungu akuinue zaidi baba. Huku mikoani tupo watoto wako wengi tu

  • @user-ef2bg1gs5l

    @user-ef2bg1gs5l

    2 ай бұрын

    Mungu wewe ni nguzo ya maisha yangu ,ibada iyi ni ya kwangu .

  • @PurMer-lx4qf
    @PurMer-lx4qf3 ай бұрын

    Asante Mungu Wangu matokeo yako yamebidilisha kakangu amepona katika Jina la yesuchristo Sasa guvu zako za maombi yamtia guvu.amen🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @suzanakisanga3027
    @suzanakisanga3027Ай бұрын

    Mtumishi wa Mungu pastor George Mungu akutunze na akuongezee nguvu Zaid kumwkilisha kiukweli nabarikiwa Sana na huduma aliyokuzawadia Mungu napona Mungu wa mbingu na nchi akubariki na kukulinda akuangazie nuru za USO wake na Skype amani

  • @monikadickson3651
    @monikadickson36512 ай бұрын

    Nabarikiwa mno na mafundisho haya Mungu akuinue Mch

  • @BroChare
    @BroChare3 ай бұрын

    Mungu akuzidishe sana my Pastor unatuvisha kila siku Mungu ukutunze

  • @InnocentHelmet-pn9mh
    @InnocentHelmet-pn9mh2 ай бұрын

    😢ubarikiwe pstr

  • @claunonyi2365
    @claunonyi23653 ай бұрын

    Mimi nabarikiwa sana na mafundisho yako mchungaji, ninakupenda Mungu akuzidishe mafuta zaidi. Hakika utukufu kwa Mungu

  • @lilianlawuo4731
    @lilianlawuo47313 ай бұрын

    Barikiwa Sana Na mafundisho Mtumishi. Hili fundisho linaloendelea SAA hii hapa kwangu Mimi Ni silaha. I thank God!

  • @zedekiahoriga7209
    @zedekiahoriga72093 ай бұрын

    Great teaching I have never heard someone teach like this man of God May God Almighty continue to give you wisdom

  • @savzai
    @savzai3 ай бұрын

    Amen thank you Lord for powerful words of God may God bless you all 🙏

  • @naseeralbishi4726
    @naseeralbishi4726Ай бұрын

    Akna kama wewe Mungu

  • @user-sj7cj1ok5e
    @user-sj7cj1ok5e3 ай бұрын

    Kongole pstr nimeelewa kati ya tithe na tithing zaka na utoaji wazaka neno Lilo neno katika zaka ,nyama-mzoga kwa kuhani na Moshi mungu yuapokea thanks kwa ufunuo huo Glory to God may He give you more revelation

  • @BarakRichmelon
    @BarakRichmelon3 ай бұрын

    Pastor Mungu akubark sana na azid kukutumia jinsi apendavyo Damu ya yesu iwe juu Yako

  • @salomengugi-hn9df
    @salomengugi-hn9df2 ай бұрын

    Teaching good man of God🎉

  • @josephkilimo3308
    @josephkilimo33082 ай бұрын

    Nakuelewa barikiwa sana Mtumishi.

  • @glorykimaro5620
    @glorykimaro56203 ай бұрын

    God is good all the time thanks you Pastor for the word of God Tunaendelea kukua hakika

  • @user-cw4qk1tm3f
    @user-cw4qk1tm3f3 ай бұрын

    May God empower you abundantly

  • @janewanja7252
    @janewanja72523 ай бұрын

    God bless you pastor the sermon is so powerful

  • @SuzanaSusuna

    @SuzanaSusuna

    Ай бұрын

    Namtukuza. Mungu kwako mtumishi jinsi. Mungu anavyokutumia kweli najifunza mengi mno barikiwa

  • @FurediMussa
    @FurediMussa2 ай бұрын

    Hakika ww nimutumishi Mungu akubaliki sana unatufundisha sana napenda sana mafundisho yako

  • @annapeter1280
    @annapeter12803 ай бұрын

    AMEEEN BABA HAWANIWEZI NINA NURU YA NENO.

  • @user-ef2bg1gs5l
    @user-ef2bg1gs5l2 ай бұрын

    Mungu wetu afananushwe na kitu kingine

  • @doreenephraim4057
    @doreenephraim40572 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi maana napokea ad Nataman nanze upya kusikiliza neema ipo mahar apa nam napokeaa

  • @jescamuna3055
    @jescamuna30553 ай бұрын

    Baraka za bwana ziwe nakila mtu somo zuri na linafunza vyema

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan203 ай бұрын

    Nimebarikiwa na somo hili na kuinuliwa kiroho.

  • @jackkerubo6158
    @jackkerubo61583 ай бұрын

    Glory be to God Halleluyah🙏🙏

  • @DaudiMichaelDaudimichael
    @DaudiMichaelDaudimichael2 ай бұрын

    Amina mtu wa mungu

  • @Judith-mw4ys
    @Judith-mw4ys3 ай бұрын

    Amen amen and amen 👏👏🙏

  • @JohnNjuguna-kb8xe
    @JohnNjuguna-kb8xe3 ай бұрын

    Amen pst kwa neno

  • @phyllisnanjlawafula443
    @phyllisnanjlawafula4432 ай бұрын

    HALLELUJAH AMEN 🙏🏿

  • @Daniella249
    @Daniella2493 ай бұрын

    Ameni Ameni, Napokea neema

  • @mlongongomr9925
    @mlongongomr99253 ай бұрын

    Amen amen 💕🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @elinambise3969
    @elinambise39692 ай бұрын

    Wewe ni Mungu

  • @rosemarymoshi7619
    @rosemarymoshi76192 ай бұрын

    Amen

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya32683 ай бұрын

    AMEN,AMEN.

  • @bonyemubita1470
    @bonyemubita14703 ай бұрын

    Unibariki sana pasta

  • @mwashitemkangya9551
    @mwashitemkangya95513 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @ElizabethLuambano-rl6ec
    @ElizabethLuambano-rl6ec3 ай бұрын

    Elizabeth Luambano Aminaa

  • @mercylangali8059
    @mercylangali80593 ай бұрын

    Powerful 🔥🔥🔥🔥

  • @hafsatyjumaa8137
    @hafsatyjumaa81373 ай бұрын

    Ameeen

  • @user-xj8jq7ne8r
    @user-xj8jq7ne8r3 ай бұрын

    Hakika

  • @violahchepkemei1525
    @violahchepkemei15253 ай бұрын

    Paybil haifanyi ,ukiwa outside the country please add number ya direct,I like your teachings and I always watch

  • @pastorgeorgemukabwajrc

    @pastorgeorgemukabwajrc

    2 ай бұрын

    0753333008. George

  • @user-ef2bg1gs5l
    @user-ef2bg1gs5l2 ай бұрын

    Uko muaminifu baba aufaninishwi na kitu kingine

  • @emmilynato6453
    @emmilynato64533 ай бұрын

    Yani nabubujika tu na furaha

  • @RoseMapunda-pd6vg
    @RoseMapunda-pd6vg2 ай бұрын

    Kama linge kuwa tanga kwa mafundisho haya ninge ama kanisa

  • @BlaiseKananemunguiko
    @BlaiseKananemunguiko3 ай бұрын

    Amina

  • @yvettembavu9306
    @yvettembavu93063 ай бұрын

    Amen Amen

Келесі