JINSI YA KULITUMIA NENO LA MUNGU ILI LIKUPE MATOKEO || PASTOR GEORGE MUKABWA || 14/04/2024
Фильм және анимация
Unaweza Tuma Sadaka yako kwenda ;
- M-Pesa Lipa Namba : 5252176
- MPESA number : +255 753 333 008 (Jina : George Stephen Mukabwa)
- KCB Bank Acc : 3300692938 (Jina : JESUS RESTORATION CENTER)
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
Пікірлер: 79
Ewe mwenyezi mungu nitendee sawa sawa na mapenzi yako, mimi muislam ilitokea tuu ktk kugusagusa simu nikakutana na pastor George nikavitiwa na magundisho yake ki ukweli sijawahi kulala bila neno kutoka kwa pastor George kupitia mafundisho yake ki ukweli mungu akuwekee kiti chako peponi na uishi miaka mingi Nina Imani ni mpango wa mungu mim kulijua kanisa hili ubarikiwe sana
@annapeter1280
3 ай бұрын
Barikwa sana khadija
@user-vh4rr9wh6w
3 ай бұрын
Yesu akupe neema ya kumjua zaidi kumuamini na kumkiri kuwa Ni Mungu na ni Mwana wa Mungu, ukifika hapo utakua umeokoka na pia Yesu akupe haja za moyo wako
@RoseMapunda-pd6vg
2 ай бұрын
Mungu akupe neema zaid mpnz hakika ujakosea natamani kujua upo wapi
@user-mf5ls5kb7l
2 ай бұрын
You are a vessel of honour in the Master 's Service. May The Holy Spirit of God lead all Through and Extend your Territories. God Bless and the Entire church community at Large and all Viewer. God Bless. Thank you. .
@christinaemanuelyusta4228
2 ай бұрын
Ubarikiwe sana
Hili kanisa Kuna MUNGU wa kwel jamani nimesali Leo tu ila nimeona nguvu ya MUNGU 😢🙏
@WinnieMagoma
3 ай бұрын
Ameeen
@annastaziamwakasege1366
2 ай бұрын
Huwa namfatilia U tube najifunza mengi mno,
@Milkah-br4gz
2 ай бұрын
¹1❤❤❤😂❤❤❤@@WinnieMagoma
@user-io8qb2ns7o
2 ай бұрын
Liko wap nataman sana niende na mimi
Mchungaji George, Mungu azidi kukufunulia mafundisho mengi ndio watu wa Mungu tuzidi kupata ufahamu juu ya Neno la Mungu.
Amen mchungaji mungu akubariki sana na akuzidishie
Dah Mungu akubariki mtumishi mnao sali hapa mna neema
God answer your prayer through his word
Amen Amen
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Amina
Mungu nimwema namwaminifu kutupa mchungaji anaetufundisha Neno laMungu kwamaarifa
How I love this Pastor🙌,Mungu akuinue katika viwango vya juu zaidi.Mafundisho yako yamenijenga sana sana
Mna bahati na neema kubwa sana washirika wa kanisa hili .Natamani kuhamia Mwanza niabudu hapo.Pastor Mungu akubariki unanivusha sanaaa.Bwana Yesu akutunze
Haki Mungu anakutumia vyemaa Nimejaribu kuskiliza mahali pengine ili kupata ufafanuzi kama huu ila nlkua Sielewi lkn mahali hapa sasa ni sahihi kwangu Mungu akubariki na arndlee kukutumia vyema kwaajili yetu mtumishi 🙏
We perish due to lack of knowledge.... you are a blessing to me. Amen 🙏🙏🙏
Asante kwa mafunzo yko mazuri pastor tunabarikiwa sana🙏🙏🇸🇦🇰🇪
@annetvuseletse4509
3 ай бұрын
Tu
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu neno nzuri sana nimebarikiwa
Nabarikiwa na wewe Mchungqji. Jaman mbona natamani kuja mwanza niabudu hapo. Mungu akuinue zaidi baba. Huku mikoani tupo watoto wako wengi tu
@user-ef2bg1gs5l
2 ай бұрын
Mungu wewe ni nguzo ya maisha yangu ,ibada iyi ni ya kwangu .
Asante Mungu Wangu matokeo yako yamebidilisha kakangu amepona katika Jina la yesuchristo Sasa guvu zako za maombi yamtia guvu.amen🎉🎉🎉🎉🎉❤
Mtumishi wa Mungu pastor George Mungu akutunze na akuongezee nguvu Zaid kumwkilisha kiukweli nabarikiwa Sana na huduma aliyokuzawadia Mungu napona Mungu wa mbingu na nchi akubariki na kukulinda akuangazie nuru za USO wake na Skype amani
Nabarikiwa mno na mafundisho haya Mungu akuinue Mch
Mungu akuzidishe sana my Pastor unatuvisha kila siku Mungu ukutunze
😢ubarikiwe pstr
Mimi nabarikiwa sana na mafundisho yako mchungaji, ninakupenda Mungu akuzidishe mafuta zaidi. Hakika utukufu kwa Mungu
Barikiwa Sana Na mafundisho Mtumishi. Hili fundisho linaloendelea SAA hii hapa kwangu Mimi Ni silaha. I thank God!
Great teaching I have never heard someone teach like this man of God May God Almighty continue to give you wisdom
Amen thank you Lord for powerful words of God may God bless you all 🙏
Akna kama wewe Mungu
Kongole pstr nimeelewa kati ya tithe na tithing zaka na utoaji wazaka neno Lilo neno katika zaka ,nyama-mzoga kwa kuhani na Moshi mungu yuapokea thanks kwa ufunuo huo Glory to God may He give you more revelation
Pastor Mungu akubark sana na azid kukutumia jinsi apendavyo Damu ya yesu iwe juu Yako
Teaching good man of God🎉
Nakuelewa barikiwa sana Mtumishi.
God is good all the time thanks you Pastor for the word of God Tunaendelea kukua hakika
May God empower you abundantly
God bless you pastor the sermon is so powerful
@SuzanaSusuna
Ай бұрын
Namtukuza. Mungu kwako mtumishi jinsi. Mungu anavyokutumia kweli najifunza mengi mno barikiwa
Hakika ww nimutumishi Mungu akubaliki sana unatufundisha sana napenda sana mafundisho yako
AMEEEN BABA HAWANIWEZI NINA NURU YA NENO.
Mungu wetu afananushwe na kitu kingine
Ubarikiwe sana mtumishi maana napokea ad Nataman nanze upya kusikiliza neema ipo mahar apa nam napokeaa
Baraka za bwana ziwe nakila mtu somo zuri na linafunza vyema
Nimebarikiwa na somo hili na kuinuliwa kiroho.
Glory be to God Halleluyah🙏🙏
Amina mtu wa mungu
Amen amen and amen 👏👏🙏
Amen pst kwa neno
HALLELUJAH AMEN 🙏🏿
Ameni Ameni, Napokea neema
Amen amen 💕🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wewe ni Mungu
Amen
AMEN,AMEN.
Unibariki sana pasta
Amen 🙏
Elizabeth Luambano Aminaa
Powerful 🔥🔥🔥🔥
Ameeen
Hakika
Paybil haifanyi ,ukiwa outside the country please add number ya direct,I like your teachings and I always watch
@pastorgeorgemukabwajrc
2 ай бұрын
0753333008. George
Uko muaminifu baba aufaninishwi na kitu kingine
Yani nabubujika tu na furaha
Kama linge kuwa tanga kwa mafundisho haya ninge ama kanisa
Amina
Amen Amen