Udhaifu wa imani | Kinachosababisha waamini kuishi na hofu na mashaka|Mch.Amiel Katekela
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 25
Asante sana kwa mafundisho mazuri. Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.
Niombee niwashinde watesi
Mtumishi mm ninahitaji kupokea roho mtakatifu nahitaj mungu anifungue afungue maisha yangu na awe ndan yangu nipo tayar kupokea neema yamungu
@EliasHerman-qy4gt
Ай бұрын
Naomba namba yako mtumishi
Be blessed katekela
AMEN!!!!!
Usipowatambua maaduizako huwezi kuwashinda.
❤❤🎉
Ameen and ameen be blessed more
@DIGNAJASTIN-dl8yj
4 ай бұрын
Urembo mwingine unatisha itabidi mtumishi awe anavaa angalau nguo za rangi
Jamani naombeni namba ya huyu mtumishi
Ameen😂
Asante Kwa mafundisho mtumishi,,,ila Nina mashaka na urembo wa kwenye ilo koti,,,yaani nikiangalia vizuuuuuri aaf nikizuuuum naona mara sura ya mtu hivi,,kama fuvu fuvu hivi....kiukweli halijanibariki kabisaaaaa
@user-lm5px2bh2b
4 ай бұрын
Kiukweli umenena yalio moyon mwanangu kuhusu koti
@JoshuaKashongole
4 ай бұрын
Jaman kwahiyo walokole haturuhusiwi kuvaa chochote
@JoshuaKashongole
4 ай бұрын
Hemu tusimpe kila kitu kizur shetani tu duhhh
Hapo kwenye mwayo mh mm nkianza tu kuomba jmn miayo haikauki ad najiogopa jmn
@wisdomhalisi......8891
5 ай бұрын
Jua TU unawageni/wapangaji ndani yako.
@MjakaziGladys
5 ай бұрын
@@wisdomhalisi......8891 hahaha kwaio mniombee sindio
@eliudndadeba6193
5 ай бұрын
@@MjakaziGladys yakemee una mamlaka yaambia kama hayatokei mwili wako uwe sumu kwao
@franciscamwakinyali2682
4 ай бұрын
@@wisdomhalisi......8891endelea kuomba ng'oa kila pando amabalo baba wa mbinguni hakupanda vitaondokaa,Ila KWA mifungo haswaaa
Mcungaji bwana asifiwe nisaidiye unipe namba ya hwatsap mimini sadikibernald mufwatiriyani wako
Mtumishi jitahidi uvae nguo za rangi moja maan maua maua sio maxur
@franciscamwakinyali2682
4 ай бұрын
Maua sio mazuri kivipi jamn hahahah
@christinemwakio7870
3 ай бұрын
Yes rangi ni moja tu kwa watumishi ukiwa madhabahuni, sio mix bt plain... Mungu hapendi mix kabisa ata ukikaa vizuri na Mungu usiku before ibada waletewa rangi ya kuvaa kesho bt haikuagi mixed-up, plain.. ujumbe huwa clean Roho mtakatifu anaposhuka akiona umetii kama ni green watu wana kombolewa kwa fujo na kwa mpigo kwa utukufu wa Bwana Yesu.... kama Red aaah Vita vinapiganwa, ngome zashambuliwa deliverance za hali ya juu mpaka watu wanabaki wakimtukuza Mungu Roho mtakatifu hufurahi sana unapo tii na colours, ila naamini hili hufunzwa wachache na Roho Mtakatifu 🙏 tusikilize Roho mtakatifu kwa makini... ila nafurahia kilicho wekwa ndani ya mchungaji Amiel Katekela ukiwa na vifungo vya kuzimu usikize kisha fatilia maombi yatakayo ombwa hakika unafunguliwa kabisa Mungu akubariki mtumishi wa Mungu Amieli pamoja na team zima promover tv ❤🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪