ASKOFU DR MOSES KULOLA HIZI NI SIKU ZA MWISHO WATAKUJA MANABII NA MITUME WA UONGO
Жүктеу.....
Пікірлер: 37
@getrayakoyi91859 ай бұрын
Baba sauti Bado inasaidia wengi Moja wao ni Mimi nikiwa Kenya tutakukumbuka milele pumzika kwa amani🕊️🕊️🙏🥀
@rubonezajeanclaude5910 Жыл бұрын
Asante sana kwa mahubiri munayo tupa ya Moses, anafundisha maneno ya uzima, Mungu amulaze mahari pema
@shadrackmaingi1882 Жыл бұрын
A life changing message, believe and you will be saved.
@user-ot9io1xu1z5 ай бұрын
Mungu ambariki anayeandaa na kurusha mafundisho ya babu nabarikiwa na yeye na hakuna mfano wake ktk dunia hii miongoni mwa wahubiri waliopo sasa.
@trusttheprocess6800 Жыл бұрын
Whoooooi ndiyo maana Kenya hatuna mteule ambaye anahubiri injili iliyo hai,ilishatabiriwa 😢😢😢😢😢Mungu tusamehe na uturehemu tuinulie injili ya kweli Kenya 🇰🇪 🤲🤲🤲🙏🙏
@sarahyvonne45803 жыл бұрын
Eee mwenyezi mungu nisamee maudhi yangu kwako
@emmanuelmachira48832 жыл бұрын
Mahubiri yako ndio nayasikia kweli watu walio kua wanakusikiliza na kukuona walikufaidi sana. Roho yangu nafsi yangu akili yangu na mwili wangu watamani wokovu MUNGU NIJALIE WOKOVU WA KWELI. Hakika uu na MUNGU HUKO ULIKO. MUNGU YU MWEMA AMEN.
@SamwelKipenzi
3 ай бұрын
Amina ndugu, nikisikiliza injili ya huyu mzee nabadilika sana yaani sioni km nimekamilika hata kdg naogopa san. MUNGU atusaidie.
@laluubajuta6213 Жыл бұрын
Mahubiri yako yanaishi milele baba 🙏🙏🙏
@lightnessmsusa98832 жыл бұрын
Mafundisho yako ni msingi mkuu wa wokovu naamini umefika Mbinguni mtumishi mkuu wa Mungu
@user-yy6xh6tm2g3 ай бұрын
Amen 🙌🏻
@kabujefrank9892 жыл бұрын
Barikiwa sana mzee
@hasanygodda9242Ай бұрын
Amen
@christinamtega18882 жыл бұрын
Mungu nihurumie,
@nellydeborah9433 жыл бұрын
Nisamehe mungu
@deoelias841
2 жыл бұрын
Mungu nisaidie...🙏🙏
@agustinocharles26503 жыл бұрын
God is good
@orisabwe74242 жыл бұрын
Amen 🙏
@cordunhylowassa53432 жыл бұрын
Thanks Jesus
@nicksonimwakasendile94182 жыл бұрын
🙏🙏🙏thank you Jesus
@eunicebukokhe68052 жыл бұрын
Hallelujah
@michaelrweyemamu10683 жыл бұрын
Great
@georgekauma6432
3 жыл бұрын
Injili yenye mafundisho ya ujazo penye mapungufu ya Imani zaidi.
@jacksonsungwana23442 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani mzee Kulola,nakumbuka mahubiri yake Temeke Assemblies of God sijawahi pata kuona mfano wake tena.
@elizamanfam5372 жыл бұрын
Asante Yesu🙏🏽
@otiliaclement8866
Жыл бұрын
Thanks yesu
@victoriaaman59482 жыл бұрын
AMEN
@mariamapunda10252 жыл бұрын
I miss you baba, injili isiyo ghoshiwa
@isacklazaro21072 жыл бұрын
silas jaribu kutoa milio sio mizur kwenye vdeo zako
Пікірлер: 37
Baba sauti Bado inasaidia wengi Moja wao ni Mimi nikiwa Kenya tutakukumbuka milele pumzika kwa amani🕊️🕊️🙏🥀
Asante sana kwa mahubiri munayo tupa ya Moses, anafundisha maneno ya uzima, Mungu amulaze mahari pema
A life changing message, believe and you will be saved.
Mungu ambariki anayeandaa na kurusha mafundisho ya babu nabarikiwa na yeye na hakuna mfano wake ktk dunia hii miongoni mwa wahubiri waliopo sasa.
Whoooooi ndiyo maana Kenya hatuna mteule ambaye anahubiri injili iliyo hai,ilishatabiriwa 😢😢😢😢😢Mungu tusamehe na uturehemu tuinulie injili ya kweli Kenya 🇰🇪 🤲🤲🤲🙏🙏
Eee mwenyezi mungu nisamee maudhi yangu kwako
Mahubiri yako ndio nayasikia kweli watu walio kua wanakusikiliza na kukuona walikufaidi sana. Roho yangu nafsi yangu akili yangu na mwili wangu watamani wokovu MUNGU NIJALIE WOKOVU WA KWELI. Hakika uu na MUNGU HUKO ULIKO. MUNGU YU MWEMA AMEN.
@SamwelKipenzi
3 ай бұрын
Amina ndugu, nikisikiliza injili ya huyu mzee nabadilika sana yaani sioni km nimekamilika hata kdg naogopa san. MUNGU atusaidie.
Mahubiri yako yanaishi milele baba 🙏🙏🙏
Mafundisho yako ni msingi mkuu wa wokovu naamini umefika Mbinguni mtumishi mkuu wa Mungu
Amen 🙌🏻
Barikiwa sana mzee
Amen
Mungu nihurumie,
Nisamehe mungu
@deoelias841
2 жыл бұрын
Mungu nisaidie...🙏🙏
God is good
Amen 🙏
Thanks Jesus
🙏🙏🙏thank you Jesus
Hallelujah
Great
@georgekauma6432
3 жыл бұрын
Injili yenye mafundisho ya ujazo penye mapungufu ya Imani zaidi.
Pumzika kwa Amani mzee Kulola,nakumbuka mahubiri yake Temeke Assemblies of God sijawahi pata kuona mfano wake tena.
Asante Yesu🙏🏽
@otiliaclement8866
Жыл бұрын
Thanks yesu
AMEN
I miss you baba, injili isiyo ghoshiwa
silas jaribu kutoa milio sio mizur kwenye vdeo zako
@apostlemathew5801
Жыл бұрын
Kweli kabisa
Msiache kutupatia hayamafundisho namahu
See
Bado unaishi
Yesu wewe ni mngu urishinda kifo na mauti
Amen
Bado unaishi