VIDEO: WAZIRI SILAA NA WANANCHI WAWAKA DODOMA, JAMAA AUZA VIWANJA VYA NDUGU BILA URITHI

Пікірлер: 60

  • @madelinazawadi120
    @madelinazawadi1203 ай бұрын

    Tunaomba na waziri wa Sheria na katiba awe anatembelea mahakamani aone uonevu unaoendelea huko

  • @user-uc8ei8kn3l

    @user-uc8ei8kn3l

    3 ай бұрын

    Kabsa

  • @mohamedshabani7906
    @mohamedshabani79064 ай бұрын

    Mzee magufuli ametengeneza njia mungu amuweke pazur uyu Mzee jaman

  • @user-su6yd2lt5f
    @user-su6yd2lt5f5 ай бұрын

    Dogo unapambana. Mungu akupe maisha marefu

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65262 ай бұрын

    Super Hotuba ya Wananchi imenifurahisha sana wamesungumza haki na ukweli mbele ya Waziru Silaa asanteni

  • @jacksonmichael799
    @jacksonmichael7995 ай бұрын

    Wizara kaiweza

  • @shamimukanju8402
    @shamimukanju84024 ай бұрын

    Kazi iendelee mh.Jerry nakupongeza upewe maua yako Mwenyeezi Mungu aendelee kukuongoza

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija19574 ай бұрын

    Huyu kiongozi wa mfano wa kuigwa Mungu amuongoze atende haki kwenye uongozi wake

  • @user-hq2cg2rg1z
    @user-hq2cg2rg1z5 ай бұрын

    Hongera sana waziri kwa kazi nzuri

  • @mmarycalvin6395
    @mmarycalvin63953 ай бұрын

    Good job , Minister Jerry

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta28 күн бұрын

    Slaa Mungu akutunze

  • @JlmwinukaOnlineTv
    @JlmwinukaOnlineTv4 ай бұрын

    Kaziiendelee mh.jerry

  • @WilisonBagumya
    @WilisonBagumya5 ай бұрын

    Hongera saana waziri

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40544 ай бұрын

    Mungu AKUBALIKI waziri ❤

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka37694 ай бұрын

    Jamani Mali zimkuwa chanzo cha migogolo na chuki kwenye familia mungu atusaidie 🙏

  • @NeemaDaniel-fb4to
    @NeemaDaniel-fb4to3 ай бұрын

    Kila ninapoangalia video zako nalia kama mtoto,Leo napata tabu Kwa sababu tu ndugu waliingia na kuuza viwanja,mashamba,bustani,na nyumba baada ya Baba yangu kufariki.Tena mbaya zaidi waliuza mama yangu akiwa hai wakaenda kumpangia chumba kimoja,mwisho Mama akafariki Kwa pressure.Natamani sana mheshimiwa ungenisaidia Kwa hili maana sijawahi kuambulia hata sent.

  • @bongo39
    @bongo395 ай бұрын

    Salute slaa

  • @gastimario7571
    @gastimario75714 ай бұрын

    Huyu wazili anapambana sana hadi 2030 tutakuwa mbali

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc5 ай бұрын

    Rais wangu mama Samia suruhu hasani nakuomba sana ktk migogoro ya ardhi ikikupendeza huyu kijana silaa ana juhudi kubwa sana anatenda hali sana kama itakupendeza tunakuomba umpatie msaidizi ambaye awe naibu wake ndugu wiliamu lukuvi maana Kuna mahali alifikia pazuri sana hawa wakiwa pamoja watawasaidia sana wanaodhurumiwa na mapapa tunashukuru sana pia kutuletea Paulo makonda mungu akubariki sana mama

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga60475 ай бұрын

    ❤😂 the wewe unafanya kazi nzuri tz nzima tunakuhitsji ila hatuwezi kukufikia wateule wengine wakusaidie huku wilayan tunaumia saana

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla74714 ай бұрын

    Sasa huyu mzee anadhurumu ili aendenayo wapi jamani

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza2543 ай бұрын

    Ukipingwa na kijiji yote we KWISHA🤣🇰🇪

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi4605 ай бұрын

    Kiukweli kunabaadhi yandugu hawana upendo wanaangalia maali kuliko undugu

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16503 ай бұрын

    Mzee Yona anaonekana mkorofi😅

  • @jtheophil5499
    @jtheophil54995 ай бұрын

    Safi sana waziri uko makini sana

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo32925 ай бұрын

    Tz aliimba mali ya baba inanitoa roho bora niinusuru roho yangu

  • @user-ry2ix2pv4q
    @user-ry2ix2pv4q28 күн бұрын

    Haki ya mungu bora mtu utafute chako tu hiyo kazi ya kumbea mali za marehemu siwez

  • @EdnaMuro-tx8os
    @EdnaMuro-tx8osАй бұрын

    Wazir kasimama

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l2 ай бұрын

    We mzee utaumbuliwa. Unaona dodoma kumekucha ndio unajileta

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson52025 ай бұрын

    Huyo Mzeee ni Tapeli Tu

  • @kaidrisa2711
    @kaidrisa27113 ай бұрын

    Naomba nimpe uwenye kiti hyo dada anae chonga hapo 😂😂

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi76375 ай бұрын

    Slaa hivi kweli nchi nzima utafanya hivyo utaweza? Kwa nini usiimarishe mfumo wa taasisi nzima!

  • @mosesnyelo1380

    @mosesnyelo1380

    5 ай бұрын

    Naamin anaimarisha na ndo mana wanataka kuja mambo mapya

  • @isaacmwaseba9972

    @isaacmwaseba9972

    4 ай бұрын

    Kashatangaza nchi nzima hii ni ile migogoro sugu mfano huu ni wa mwaka 1985 bila hekima ya waziri utaua familia kwa kupigana.

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km5 ай бұрын

    😂😂😂 huo mtanange sio mchezo ila wachuchu wanajua kujieleza😊😊

  • @drdd774
    @drdd7745 ай бұрын

    Mzee kawekwa mtu kati😅

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s5 ай бұрын

    Ni ufisadi mtuputu, RIP JPM

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed99393 ай бұрын

    WATAFUTE VYAO HAO WANA NDUGU UMASIKINI MBAYA SANA, WATOTO WA MAREHEMU SI NDIO WANA HAKI

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga60475 ай бұрын

    😅😅

  • @NOORMOHAMED-sg9lo
    @NOORMOHAMED-sg9lo3 ай бұрын

    Kiswahili ni mirathi ya mila au kikabila sio kigogo.

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d5 ай бұрын

    Nasisi tunae baba yetu mdigo ametudhulum

  • @upendoeliya9329

    @upendoeliya9329

    3 ай бұрын

    Waziri akija kwenu nenda ukaseme

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc5 ай бұрын

    Dah dhuruma tupu jamani

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni5 ай бұрын

    Huyu anafaa sana

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf5 ай бұрын

    Waziri tumelipia Hati huu ni mwaka wa nne hatujapata Hati tusaidie Tafadhari nipo Ilemela Mwanza tulilipia 500,000/=

  • @ukweli255

    @ukweli255

    Ай бұрын

    NENDA OFISI ZA ARIDHI...Waoneshe Clib ya Waziri ile ameenda OFISI za ARIDHI DODOMA ASUBUHI ...kesi yako inafanana na yule Mama aliekuwa anasikilizwa Kila la kheri

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s4 ай бұрын

    FIDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA KUWADHULUMU ARDHI NA NYUMBA ZA WANYONGE

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d5 ай бұрын

    Muheshimiwa wapi weng kama hai wanadhulummmali za marw

  • @shaamemchauru1365
    @shaamemchauru13653 ай бұрын

    NA SHERIA ANAZIJUA 😅😅😅😅😅

  • @namsamson3443
    @namsamson34432 ай бұрын

    Hivi walio chini ya waziri wanafanya nini mbona huyu anafanya kazi sana nawakati kuna walio chini yake wanapokea tu kodi zetu? Rais angalia hili wa

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza2543 ай бұрын

    Jerry Jembe🫡

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri7925 ай бұрын

    Waziri hapo huyoamaa umemuonea hao wamejipanga kufanya vulugu

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya62203 ай бұрын

    Hawa wazee wakizeeka wanakuwa wajinga sana

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo32925 ай бұрын

    Aliye itafuta hiyo mali ameziacha wasiyotafuta wanapapurana

  • @josephatjordan2150

    @josephatjordan2150

    5 ай бұрын

    Point

  • @JudithAdonis

    @JudithAdonis

    3 ай бұрын

    Ni changamoto aisee

  • @iambaizo
    @iambaizo3 ай бұрын

    Mwamba anataka kuwapiga

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d5 ай бұрын

    Wanataka mali isiyowahusu hata kidogo watoto tunapata shida wenyewe wametulia tu

Келесі