VIDEO: WAZIRI SILAA NA WANANCHI WAWAKA DODOMA, JAMAA AUZA VIWANJA VYA NDUGU BILA URITHI
Жүктеу.....
Пікірлер: 60
@madelinazawadi1203 ай бұрын
Tunaomba na waziri wa Sheria na katiba awe anatembelea mahakamani aone uonevu unaoendelea huko
@user-uc8ei8kn3l
3 ай бұрын
Kabsa
@mohamedshabani79064 ай бұрын
Mzee magufuli ametengeneza njia mungu amuweke pazur uyu Mzee jaman
@user-su6yd2lt5f5 ай бұрын
Dogo unapambana. Mungu akupe maisha marefu
@susananyasani65262 ай бұрын
Super Hotuba ya Wananchi imenifurahisha sana wamesungumza haki na ukweli mbele ya Waziru Silaa asanteni
@jacksonmichael7995 ай бұрын
Wizara kaiweza
@shamimukanju84024 ай бұрын
Kazi iendelee mh.Jerry nakupongeza upewe maua yako Mwenyeezi Mungu aendelee kukuongoza
@iddimngazija19574 ай бұрын
Huyu kiongozi wa mfano wa kuigwa Mungu amuongoze atende haki kwenye uongozi wake
@user-hq2cg2rg1z5 ай бұрын
Hongera sana waziri kwa kazi nzuri
@mmarycalvin63953 ай бұрын
Good job , Minister Jerry
@CatherineMbatta28 күн бұрын
Slaa Mungu akutunze
@JlmwinukaOnlineTv4 ай бұрын
Kaziiendelee mh.jerry
@WilisonBagumya5 ай бұрын
Hongera saana waziri
@kilogreekachananawatuwasio40544 ай бұрын
Mungu AKUBALIKI waziri ❤
@joycemkeka37694 ай бұрын
Jamani Mali zimkuwa chanzo cha migogolo na chuki kwenye familia mungu atusaidie 🙏
@NeemaDaniel-fb4to3 ай бұрын
Kila ninapoangalia video zako nalia kama mtoto,Leo napata tabu Kwa sababu tu ndugu waliingia na kuuza viwanja,mashamba,bustani,na nyumba baada ya Baba yangu kufariki.Tena mbaya zaidi waliuza mama yangu akiwa hai wakaenda kumpangia chumba kimoja,mwisho Mama akafariki Kwa pressure.Natamani sana mheshimiwa ungenisaidia Kwa hili maana sijawahi kuambulia hata sent.
@bongo395 ай бұрын
Salute slaa
@gastimario75714 ай бұрын
Huyu wazili anapambana sana hadi 2030 tutakuwa mbali
@KeiFerouz-fn9oc5 ай бұрын
Rais wangu mama Samia suruhu hasani nakuomba sana ktk migogoro ya ardhi ikikupendeza huyu kijana silaa ana juhudi kubwa sana anatenda hali sana kama itakupendeza tunakuomba umpatie msaidizi ambaye awe naibu wake ndugu wiliamu lukuvi maana Kuna mahali alifikia pazuri sana hawa wakiwa pamoja watawasaidia sana wanaodhurumiwa na mapapa tunashukuru sana pia kutuletea Paulo makonda mungu akubariki sana mama
@zegelibilishanga60475 ай бұрын
❤😂 the wewe unafanya kazi nzuri tz nzima tunakuhitsji ila hatuwezi kukufikia wateule wengine wakusaidie huku wilayan tunaumia saana
@paskaziasholla74714 ай бұрын
Sasa huyu mzee anadhurumu ili aendenayo wapi jamani
@Abu-Hamza2543 ай бұрын
Ukipingwa na kijiji yote we KWISHA🤣🇰🇪
@sadikidaudi4605 ай бұрын
Kiukweli kunabaadhi yandugu hawana upendo wanaangalia maali kuliko undugu
@badmanno.16503 ай бұрын
Mzee Yona anaonekana mkorofi😅
@jtheophil54995 ай бұрын
Safi sana waziri uko makini sana
@charlesmnuo32925 ай бұрын
Tz aliimba mali ya baba inanitoa roho bora niinusuru roho yangu
@user-ry2ix2pv4q28 күн бұрын
Haki ya mungu bora mtu utafute chako tu hiyo kazi ya kumbea mali za marehemu siwez
@EdnaMuro-tx8osАй бұрын
Wazir kasimama
@user-sj3wf5vz7l2 ай бұрын
We mzee utaumbuliwa. Unaona dodoma kumekucha ndio unajileta
@damsonwilson52025 ай бұрын
Huyo Mzeee ni Tapeli Tu
@kaidrisa27113 ай бұрын
Naomba nimpe uwenye kiti hyo dada anae chonga hapo 😂😂
@zobakazizi76375 ай бұрын
Slaa hivi kweli nchi nzima utafanya hivyo utaweza? Kwa nini usiimarishe mfumo wa taasisi nzima!
@mosesnyelo1380
5 ай бұрын
Naamin anaimarisha na ndo mana wanataka kuja mambo mapya
@isaacmwaseba9972
4 ай бұрын
Kashatangaza nchi nzima hii ni ile migogoro sugu mfano huu ni wa mwaka 1985 bila hekima ya waziri utaua familia kwa kupigana.
@Chettymlambalipsi-lb9km5 ай бұрын
😂😂😂 huo mtanange sio mchezo ila wachuchu wanajua kujieleza😊😊
@drdd7745 ай бұрын
Mzee kawekwa mtu kati😅
@user-ze6lx9ng6s5 ай бұрын
Ni ufisadi mtuputu, RIP JPM
@leylamohamed99393 ай бұрын
WATAFUTE VYAO HAO WANA NDUGU UMASIKINI MBAYA SANA, WATOTO WA MAREHEMU SI NDIO WANA HAKI
@zegelibilishanga60475 ай бұрын
😅😅
@NOORMOHAMED-sg9lo3 ай бұрын
Kiswahili ni mirathi ya mila au kikabila sio kigogo.
@user-jt7uv6vu1d5 ай бұрын
Nasisi tunae baba yetu mdigo ametudhulum
@upendoeliya9329
3 ай бұрын
Waziri akija kwenu nenda ukaseme
@KeiFerouz-fn9oc5 ай бұрын
Dah dhuruma tupu jamani
@FredMwamgogwa-td6ni5 ай бұрын
Huyu anafaa sana
@evampuya-mp9vf5 ай бұрын
Waziri tumelipia Hati huu ni mwaka wa nne hatujapata Hati tusaidie Tafadhari nipo Ilemela Mwanza tulilipia 500,000/=
@ukweli255
Ай бұрын
NENDA OFISI ZA ARIDHI...Waoneshe Clib ya Waziri ile ameenda OFISI za ARIDHI DODOMA ASUBUHI ...kesi yako inafanana na yule Mama aliekuwa anasikilizwa Kila la kheri
@user-oh6pc7zd4s4 ай бұрын
FIDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA KUWADHULUMU ARDHI NA NYUMBA ZA WANYONGE
@user-jt7uv6vu1d5 ай бұрын
Muheshimiwa wapi weng kama hai wanadhulummmali za marw
@shaamemchauru13653 ай бұрын
NA SHERIA ANAZIJUA 😅😅😅😅😅
@namsamson34432 ай бұрын
Hivi walio chini ya waziri wanafanya nini mbona huyu anafanya kazi sana nawakati kuna walio chini yake wanapokea tu kodi zetu? Rais angalia hili wa
@Abu-Hamza2543 ай бұрын
Jerry Jembe🫡
@charlesmakuri7925 ай бұрын
Waziri hapo huyoamaa umemuonea hao wamejipanga kufanya vulugu
@evaristmbuya62203 ай бұрын
Hawa wazee wakizeeka wanakuwa wajinga sana
@charlesmnuo32925 ай бұрын
Aliye itafuta hiyo mali ameziacha wasiyotafuta wanapapurana
@josephatjordan2150
5 ай бұрын
Point
@JudithAdonis
3 ай бұрын
Ni changamoto aisee
@iambaizo3 ай бұрын
Mwamba anataka kuwapiga
@user-jt7uv6vu1d5 ай бұрын
Wanataka mali isiyowahusu hata kidogo watoto tunapata shida wenyewe wametulia tu
Пікірлер: 60
Tunaomba na waziri wa Sheria na katiba awe anatembelea mahakamani aone uonevu unaoendelea huko
@user-uc8ei8kn3l
3 ай бұрын
Kabsa
Mzee magufuli ametengeneza njia mungu amuweke pazur uyu Mzee jaman
Dogo unapambana. Mungu akupe maisha marefu
Super Hotuba ya Wananchi imenifurahisha sana wamesungumza haki na ukweli mbele ya Waziru Silaa asanteni
Wizara kaiweza
Kazi iendelee mh.Jerry nakupongeza upewe maua yako Mwenyeezi Mungu aendelee kukuongoza
Huyu kiongozi wa mfano wa kuigwa Mungu amuongoze atende haki kwenye uongozi wake
Hongera sana waziri kwa kazi nzuri
Good job , Minister Jerry
Slaa Mungu akutunze
Kaziiendelee mh.jerry
Hongera saana waziri
Mungu AKUBALIKI waziri ❤
Jamani Mali zimkuwa chanzo cha migogolo na chuki kwenye familia mungu atusaidie 🙏
Kila ninapoangalia video zako nalia kama mtoto,Leo napata tabu Kwa sababu tu ndugu waliingia na kuuza viwanja,mashamba,bustani,na nyumba baada ya Baba yangu kufariki.Tena mbaya zaidi waliuza mama yangu akiwa hai wakaenda kumpangia chumba kimoja,mwisho Mama akafariki Kwa pressure.Natamani sana mheshimiwa ungenisaidia Kwa hili maana sijawahi kuambulia hata sent.
Salute slaa
Huyu wazili anapambana sana hadi 2030 tutakuwa mbali
Rais wangu mama Samia suruhu hasani nakuomba sana ktk migogoro ya ardhi ikikupendeza huyu kijana silaa ana juhudi kubwa sana anatenda hali sana kama itakupendeza tunakuomba umpatie msaidizi ambaye awe naibu wake ndugu wiliamu lukuvi maana Kuna mahali alifikia pazuri sana hawa wakiwa pamoja watawasaidia sana wanaodhurumiwa na mapapa tunashukuru sana pia kutuletea Paulo makonda mungu akubariki sana mama
❤😂 the wewe unafanya kazi nzuri tz nzima tunakuhitsji ila hatuwezi kukufikia wateule wengine wakusaidie huku wilayan tunaumia saana
Sasa huyu mzee anadhurumu ili aendenayo wapi jamani
Ukipingwa na kijiji yote we KWISHA🤣🇰🇪
Kiukweli kunabaadhi yandugu hawana upendo wanaangalia maali kuliko undugu
Mzee Yona anaonekana mkorofi😅
Safi sana waziri uko makini sana
Tz aliimba mali ya baba inanitoa roho bora niinusuru roho yangu
Haki ya mungu bora mtu utafute chako tu hiyo kazi ya kumbea mali za marehemu siwez
Wazir kasimama
We mzee utaumbuliwa. Unaona dodoma kumekucha ndio unajileta
Huyo Mzeee ni Tapeli Tu
Naomba nimpe uwenye kiti hyo dada anae chonga hapo 😂😂
Slaa hivi kweli nchi nzima utafanya hivyo utaweza? Kwa nini usiimarishe mfumo wa taasisi nzima!
@mosesnyelo1380
5 ай бұрын
Naamin anaimarisha na ndo mana wanataka kuja mambo mapya
@isaacmwaseba9972
4 ай бұрын
Kashatangaza nchi nzima hii ni ile migogoro sugu mfano huu ni wa mwaka 1985 bila hekima ya waziri utaua familia kwa kupigana.
😂😂😂 huo mtanange sio mchezo ila wachuchu wanajua kujieleza😊😊
Mzee kawekwa mtu kati😅
Ni ufisadi mtuputu, RIP JPM
WATAFUTE VYAO HAO WANA NDUGU UMASIKINI MBAYA SANA, WATOTO WA MAREHEMU SI NDIO WANA HAKI
😅😅
Kiswahili ni mirathi ya mila au kikabila sio kigogo.
Nasisi tunae baba yetu mdigo ametudhulum
@upendoeliya9329
3 ай бұрын
Waziri akija kwenu nenda ukaseme
Dah dhuruma tupu jamani
Huyu anafaa sana
Waziri tumelipia Hati huu ni mwaka wa nne hatujapata Hati tusaidie Tafadhari nipo Ilemela Mwanza tulilipia 500,000/=
@ukweli255
Ай бұрын
NENDA OFISI ZA ARIDHI...Waoneshe Clib ya Waziri ile ameenda OFISI za ARIDHI DODOMA ASUBUHI ...kesi yako inafanana na yule Mama aliekuwa anasikilizwa Kila la kheri
FIDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA KUWADHULUMU ARDHI NA NYUMBA ZA WANYONGE
Muheshimiwa wapi weng kama hai wanadhulummmali za marw
NA SHERIA ANAZIJUA 😅😅😅😅😅
Hivi walio chini ya waziri wanafanya nini mbona huyu anafanya kazi sana nawakati kuna walio chini yake wanapokea tu kodi zetu? Rais angalia hili wa
Jerry Jembe🫡
Waziri hapo huyoamaa umemuonea hao wamejipanga kufanya vulugu
Hawa wazee wakizeeka wanakuwa wajinga sana
Aliye itafuta hiyo mali ameziacha wasiyotafuta wanapapurana
@josephatjordan2150
5 ай бұрын
Point
@JudithAdonis
3 ай бұрын
Ni changamoto aisee
Mwamba anataka kuwapiga
Wanataka mali isiyowahusu hata kidogo watoto tunapata shida wenyewe wametulia tu