Inasikitisha sana.Waziri Mungu akulinde yaan japokuwa ni kazi yako ilaa wachache wana mindset kama yako...Mungu atakulipa kuwasaidia wanyonge.Mzee kama huyu anavohangaishwa na watu wasiojitambua..
@user-sl1ko9me7u3 ай бұрын
VIVA MH. WAZIRI SILAA....UTAPATA BARAKA KUBWA KWA KUWASAIDIA WAZEE KAMA HAWA WAMEODHULUMIWA ARDHI, NYUMBA NA MASHAMBA YAO.
@abdulrahmanally14122 ай бұрын
SLAA , ALLAH AKUPE UWEZO, AFYA, UENDELEE KUSAIDIA WALIODHULUMIWA ARDHI NA NYUMBA ZAO AMIN
@seemanishekiao2 ай бұрын
Mzee Makata . Wazee wetu hawa wa Tanga Mjini. Allah awahifadhi
Kazi ngumu waziri uwiiii Mungu akupe ulinzi tunakuimbea
@seifsaid99052 ай бұрын
Allah huyu wazil anatende haki bila kutak sifa na Allah amlipe hapa na kesho dunian
@marymanoni55363 ай бұрын
Kijana yupo kazini Hawa ndo watu wa kazi SS namuoma huyu na makonda ,joketi htr
@sportsnewjs43302 ай бұрын
Kwakweli tukipata viongozi 10 kama Waziri SILAA Wananchi wa Tanzania 🇹🇿 watapona kwamaumivu na mateso wanayosababishiwa na mafisadi na wezi wa sekta mbalimbali MUNGU awepe nguvu, awaongoze awalinde hawa viongozi wazalendo
@blandinamwarabu5025
2 ай бұрын
Kweli na Makonda angelipewa uwaziri nchi ingelienda mbio
@saidybhoky-lb7hg3 ай бұрын
ila hawa watu wa ardhi shida nn
@abubakarsuleman19832 ай бұрын
Huyu waziri ndie waziri pekee aliebeba kura nyingi za mama Samia ktk uchaguzi ujao bila shaka, anamsifia mama na kumuunga mkono kwa vitendo sio kwa porojo la mdomo, tumuombeeni dua kwa wingi sana mungu azidi kumpa hekima na busara, nguvu na ulinzi kwa kila shari zinazomsogelea, sijawahi muona mtumishi kama huyu, namuomba mungu asimuondoe duniani kama hajawa Rais wa Tanzania siku moja.
@iddydawood2020
2 ай бұрын
😅Vipi waziri wa kilimo, waziri wa maji na wa tamisemi Hao vijana unawaonaje???????!
@jedidahbintidaudi8241
Ай бұрын
hii sentence ya kwanza ulivozungumza yaani kweli kabisa..haswaa umetamka jambo la maana sana..Mungu wetu Akubariki kaka yangu. Mungu akulinde na kukuhifadhi siku zote za maisha yako. akujalia mno baba
@blandinamwarabu50252 ай бұрын
Waziri Mungu akujaalie
@ScopionScopion-zj9cd3 ай бұрын
heta kumi za peter hahaaaa mzee bhn
@mohamedomari6129
3 ай бұрын
Kitanga hicho ni zapita
@tukuyufm3 ай бұрын
uongozi kama huu niliumiss
@AwadAbedalla3 ай бұрын
🇪🇸🤲🤲🤲🤲❤️
@abdulrahmanally14122 ай бұрын
Slaa wanyooshe tu watanyooka tu hap watu waArdhi hao washenze, madhwalimu wakubwa
@emmanuelbernard95522 ай бұрын
Hivi hii nchi kweli tuna viongoz kweli wanaotenda haki,mbona aibu sana.
@mohamedomari61293 ай бұрын
Idara za ardhi wapewe pia waarabu waongoze. Maana kila kitu karibu kinatushinda.
@andrewkissava9184
2 ай бұрын
Kalubu mwarabu apewe aridhi zetu hakika wsislamu mmegeuzwa mazuzu na waarabu kwa harua ,Tende na ngamia kwa kujengewa masijid
@MACHOYATAI-jk6fu
2 ай бұрын
Waisilamu mnajipendekeza kwà waarabu sana mmewageuza ndio munguwenu
@mohamedomari6129
2 ай бұрын
@@MACHOYATAI-jk6fu Na wakiristo wanajipendekeza kwa wazungu. Haya umefurahi
@mohamedomari6129
2 ай бұрын
@@andrewkissava9184 unaitwa Andrew jina la kibantu nalo Hilo. Huo ni uandishi. Ambao wewe Huwezi fika tafakuri Yake. Imemaanisha kama DP world wamepewa waarabu sababu imetushinda na ardhi pia wapewe waarabu kwa maana ya wawekezeji sababu Sisi hatuna tunachokiweza zaidi ya ujinga kama ulivyofanya wewe. Ukichukia muarabu ama mzungu itasaidia nn Mwafrica.
@mohamedomari61293 ай бұрын
Nchi inatia aibu kusumbua wazee. Vijana tunasoma makaratasi tu. Kazi aibu.
@GodfreyOsward
3 ай бұрын
Sio swala wazee, swali tulipo dai Uhuru. Tulidai wa nini? Tz tunavyo ishi sasa inaonekana hatutambui kwa nini tulidai UHURU huo ndiyo ukweli
Пікірлер: 30
Inasikitisha sana.Waziri Mungu akulinde yaan japokuwa ni kazi yako ilaa wachache wana mindset kama yako...Mungu atakulipa kuwasaidia wanyonge.Mzee kama huyu anavohangaishwa na watu wasiojitambua..
VIVA MH. WAZIRI SILAA....UTAPATA BARAKA KUBWA KWA KUWASAIDIA WAZEE KAMA HAWA WAMEODHULUMIWA ARDHI, NYUMBA NA MASHAMBA YAO.
SLAA , ALLAH AKUPE UWEZO, AFYA, UENDELEE KUSAIDIA WALIODHULUMIWA ARDHI NA NYUMBA ZAO AMIN
Mzee Makata . Wazee wetu hawa wa Tanga Mjini. Allah awahifadhi
God bless you mheshimiwa waziri
Mbunge wangu Slaa,MITANO TENA!
Dah shekhe wetu huyo saidi abdala makata amezaaka kwakweli sasaivi
Kazi ngumu waziri uwiiii Mungu akupe ulinzi tunakuimbea
Allah huyu wazil anatende haki bila kutak sifa na Allah amlipe hapa na kesho dunian
Kijana yupo kazini Hawa ndo watu wa kazi SS namuoma huyu na makonda ,joketi htr
Kwakweli tukipata viongozi 10 kama Waziri SILAA Wananchi wa Tanzania 🇹🇿 watapona kwamaumivu na mateso wanayosababishiwa na mafisadi na wezi wa sekta mbalimbali MUNGU awepe nguvu, awaongoze awalinde hawa viongozi wazalendo
@blandinamwarabu5025
2 ай бұрын
Kweli na Makonda angelipewa uwaziri nchi ingelienda mbio
ila hawa watu wa ardhi shida nn
Huyu waziri ndie waziri pekee aliebeba kura nyingi za mama Samia ktk uchaguzi ujao bila shaka, anamsifia mama na kumuunga mkono kwa vitendo sio kwa porojo la mdomo, tumuombeeni dua kwa wingi sana mungu azidi kumpa hekima na busara, nguvu na ulinzi kwa kila shari zinazomsogelea, sijawahi muona mtumishi kama huyu, namuomba mungu asimuondoe duniani kama hajawa Rais wa Tanzania siku moja.
@iddydawood2020
2 ай бұрын
😅Vipi waziri wa kilimo, waziri wa maji na wa tamisemi Hao vijana unawaonaje???????!
@jedidahbintidaudi8241
Ай бұрын
hii sentence ya kwanza ulivozungumza yaani kweli kabisa..haswaa umetamka jambo la maana sana..Mungu wetu Akubariki kaka yangu. Mungu akulinde na kukuhifadhi siku zote za maisha yako. akujalia mno baba
Waziri Mungu akujaalie
heta kumi za peter hahaaaa mzee bhn
@mohamedomari6129
3 ай бұрын
Kitanga hicho ni zapita
uongozi kama huu niliumiss
🇪🇸🤲🤲🤲🤲❤️
Slaa wanyooshe tu watanyooka tu hap watu waArdhi hao washenze, madhwalimu wakubwa
Hivi hii nchi kweli tuna viongoz kweli wanaotenda haki,mbona aibu sana.
Idara za ardhi wapewe pia waarabu waongoze. Maana kila kitu karibu kinatushinda.
@andrewkissava9184
2 ай бұрын
Kalubu mwarabu apewe aridhi zetu hakika wsislamu mmegeuzwa mazuzu na waarabu kwa harua ,Tende na ngamia kwa kujengewa masijid
@MACHOYATAI-jk6fu
2 ай бұрын
Waisilamu mnajipendekeza kwà waarabu sana mmewageuza ndio munguwenu
@mohamedomari6129
2 ай бұрын
@@MACHOYATAI-jk6fu Na wakiristo wanajipendekeza kwa wazungu. Haya umefurahi
@mohamedomari6129
2 ай бұрын
@@andrewkissava9184 unaitwa Andrew jina la kibantu nalo Hilo. Huo ni uandishi. Ambao wewe Huwezi fika tafakuri Yake. Imemaanisha kama DP world wamepewa waarabu sababu imetushinda na ardhi pia wapewe waarabu kwa maana ya wawekezeji sababu Sisi hatuna tunachokiweza zaidi ya ujinga kama ulivyofanya wewe. Ukichukia muarabu ama mzungu itasaidia nn Mwafrica.
Nchi inatia aibu kusumbua wazee. Vijana tunasoma makaratasi tu. Kazi aibu.
@GodfreyOsward
3 ай бұрын
Sio swala wazee, swali tulipo dai Uhuru. Tulidai wa nini? Tz tunavyo ishi sasa inaonekana hatutambui kwa nini tulidai UHURU huo ndiyo ukweli