Waziri wa ardhi tunamkubari sana nchi yetu ina adhina ya kutosha ya viongozi wazuri yaani wanafaa sana kuwa marais wa baadae
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
hii kazi ngumu sana kwa waziri. inabidi afatize kama baba mkwe wa Musa alivomshauri..tunamuomba Mungu Amshushe Roho wake aingie kwa watendaji wote ili kazi ifanyke kwa wepesi na kwa haraka kisha wanchi wote kupata haki zao
@husseinkarim76632 ай бұрын
Nampenda sana waziri Slaa hana longolongo au upendeleo. Mama Samiya ulioteshwa kumweka huyu waziri wa Ardhi? He is fit for this job,tafazali usimtoe hapo.
@williammbuzimai57443 ай бұрын
Kaka ismail pole sana,,
@MudhiryHassan-pq4se2 ай бұрын
Huyu jamaa hawawezi kutoboa kwa huy kka. Na ana kila document
@gilliansiara33243 ай бұрын
Mnununuzi lazima kua makini,na manunuzi ya ardhi,buyer be,,,,,,,,,,
@elisantemrita94903 ай бұрын
Kwani maafisa Arizi kwann wasinyongwe
@yayananajota5838
3 ай бұрын
Waliwe mshikaki kudadeki😏😏
@MohamedIbrahim-bn1gz
3 ай бұрын
Tutawasomea albadiri
@user-oy2fi5qz9n
3 ай бұрын
Hahaha kweli hakuna wanachikifanya
@husseinmachozi66743 ай бұрын
Huyu dada hapo mpigaji anavyomkata jicho mlalamikaji😅
@rehemakanyere4188
3 ай бұрын
Huyo dada pia ana roho mbaya sana anakodoa macho
@kaaakwakutuliaa5179
3 ай бұрын
hwa ni kifanya maamuzi magumu tu
@dignakanje45082 ай бұрын
Mweshiwa hawa watu ndio wanao sababishaga vifo vyawafanya biashara.Kwatamaa zao
@khaliduhadi23363 ай бұрын
Hao watu ni mashetani aisee fukuza kazi hao
@samwellwiza10983 ай бұрын
Udongo kwa ufongo unanyang'anya udongo bila ya utaratibu wa wizara inayosimamia udongo na udongoni tutarudi kama udongo.... Ardhi ni swala la kiroho
@yayananajota58383 ай бұрын
Mashetani watu hao, kuanzia surazao mpaka roho zao, 😏😏😏
@abdullayahya87173 ай бұрын
Hapo kama wanampa kiwanja basi ni lazima kiwanja ambacho na yeye aridhike sio kumtupa madongo poromoko lazima wizara iwajibike
@user-so9fo5tv3j3 ай бұрын
Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande (Quran 4:135)
hao watu ni matapeli Bw Waziri, kwanini wanambughudhu huyu Ismaili ?
@msafirimfilinge82223 ай бұрын
Hao wame hukua hela😢😢😢
@abdulimecksoni24243 ай бұрын
Nnchii hii daaah wanyonge wanaonewaa snaa
@muhammadmassoud35763 ай бұрын
Ulimwambia kama unampa kiwanja kingine
@aliabdallah84562 ай бұрын
Safari hii uku Makonda uku Silaa hapatoshi lazima haki itapatikana tu
@user-vv9kk3gz5f2 ай бұрын
Watu wanapiga hatia mnawarudisha kwenye umasikini sisi masikin tunateseka hakuna wakutusaida wala wakutusikiliza uuuwi mugutuagalie
@muhammadmassoud35763 ай бұрын
Muogopeni aliye waumba
@mohamedomari61293 ай бұрын
Afisa ardhi anavyomsemelea uongo mlalamikaji ni ajabu. Mh
@mohamedomari61293 ай бұрын
Nchi ya kitu kidogo.
@user-vv9kk3gz5f2 ай бұрын
Hawa viogozi wa ardhi wanajali matumbo yao nafamilia zao magufuli baba upowapi utusaide
@MohamedIbrahim-bn1gz3 ай бұрын
Wele jamaa wanapiga makofi ya nini
@kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын
Hawa watu wako wa chini waziri wanataka kukualibia jina lako majambazi fukuza kazi wakalime shamba wezi watupu Ao Mtu Anayo kalatasi zote lisiti zote majambazi Umekahaa nao kulia kwako waziri
@kaaakwakutuliaa51793 ай бұрын
alafu mbona waislamu wana sikilizwa sana nimefatiliaa sana
@saidmohammed1458
3 ай бұрын
kama haki na ukiwa mkristo hausikilizwi? inaangaliwa haki na sio udini wakati mwingine ni coincidence
@hassanabdala7383
3 ай бұрын
Ww huna akili Wacha uchochezi wanasikilizwa watu walio zulumiwa mchina pia amesikilizwa na haki yake amepewa Wacha chuki ndugu Tanzania hakuna ukabil wala udini
@mwinyiadadi1604
3 ай бұрын
Mm nakushauri bwana ismail wadai pesa zako hao sio watu wazuri kwako
Пікірлер: 42
Waziri wa ardhi tunamkubari sana nchi yetu ina adhina ya kutosha ya viongozi wazuri yaani wanafaa sana kuwa marais wa baadae
hii kazi ngumu sana kwa waziri. inabidi afatize kama baba mkwe wa Musa alivomshauri..tunamuomba Mungu Amshushe Roho wake aingie kwa watendaji wote ili kazi ifanyke kwa wepesi na kwa haraka kisha wanchi wote kupata haki zao
Nampenda sana waziri Slaa hana longolongo au upendeleo. Mama Samiya ulioteshwa kumweka huyu waziri wa Ardhi? He is fit for this job,tafazali usimtoe hapo.
Kaka ismail pole sana,,
Huyu jamaa hawawezi kutoboa kwa huy kka. Na ana kila document
Mnununuzi lazima kua makini,na manunuzi ya ardhi,buyer be,,,,,,,,,,
Kwani maafisa Arizi kwann wasinyongwe
@yayananajota5838
3 ай бұрын
Waliwe mshikaki kudadeki😏😏
@MohamedIbrahim-bn1gz
3 ай бұрын
Tutawasomea albadiri
@user-oy2fi5qz9n
3 ай бұрын
Hahaha kweli hakuna wanachikifanya
Huyu dada hapo mpigaji anavyomkata jicho mlalamikaji😅
@rehemakanyere4188
3 ай бұрын
Huyo dada pia ana roho mbaya sana anakodoa macho
@kaaakwakutuliaa5179
3 ай бұрын
hwa ni kifanya maamuzi magumu tu
Mweshiwa hawa watu ndio wanao sababishaga vifo vyawafanya biashara.Kwatamaa zao
Hao watu ni mashetani aisee fukuza kazi hao
Udongo kwa ufongo unanyang'anya udongo bila ya utaratibu wa wizara inayosimamia udongo na udongoni tutarudi kama udongo.... Ardhi ni swala la kiroho
Mashetani watu hao, kuanzia surazao mpaka roho zao, 😏😏😏
Hapo kama wanampa kiwanja basi ni lazima kiwanja ambacho na yeye aridhike sio kumtupa madongo poromoko lazima wizara iwajibike
Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande (Quran 4:135)
Uyooo munamtoaa mboni yureee mwenyeee gorofaaa mumemuachaaa vp
Awa wtndj da 😢 yn hwana uluma
Huyu dada hafai kuwa hata kiongozi,anadharau sn
hao watu ni matapeli Bw Waziri, kwanini wanambughudhu huyu Ismaili ?
Hao wame hukua hela😢😢😢
Nnchii hii daaah wanyonge wanaonewaa snaa
Ulimwambia kama unampa kiwanja kingine
Safari hii uku Makonda uku Silaa hapatoshi lazima haki itapatikana tu
Watu wanapiga hatia mnawarudisha kwenye umasikini sisi masikin tunateseka hakuna wakutusaida wala wakutusikiliza uuuwi mugutuagalie
Muogopeni aliye waumba
Afisa ardhi anavyomsemelea uongo mlalamikaji ni ajabu. Mh
Nchi ya kitu kidogo.
Hawa viogozi wa ardhi wanajali matumbo yao nafamilia zao magufuli baba upowapi utusaide
Wele jamaa wanapiga makofi ya nini
Hawa watu wako wa chini waziri wanataka kukualibia jina lako majambazi fukuza kazi wakalime shamba wezi watupu Ao Mtu Anayo kalatasi zote lisiti zote majambazi Umekahaa nao kulia kwako waziri
alafu mbona waislamu wana sikilizwa sana nimefatiliaa sana
@saidmohammed1458
3 ай бұрын
kama haki na ukiwa mkristo hausikilizwi? inaangaliwa haki na sio udini wakati mwingine ni coincidence
@hassanabdala7383
3 ай бұрын
Ww huna akili Wacha uchochezi wanasikilizwa watu walio zulumiwa mchina pia amesikilizwa na haki yake amepewa Wacha chuki ndugu Tanzania hakuna ukabil wala udini
@mwinyiadadi1604
3 ай бұрын
Mm nakushauri bwana ismail wadai pesa zako hao sio watu wazuri kwako
@jazeerajuma5014
2 ай бұрын
We nae acha udini
@yustomwaisomania2587
Ай бұрын
Acha ushamba wewe