Kweli kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤tunawapenda sana sana mwenyezi mungu awape afya njema ila muheshimiwa wazir silah mbunge wetu barabara yetu ya kitunda haifaii tusaidie muheshimiwa❤❤🙏
@yohanajelemia7116
3 ай бұрын
😢@@hadijauledi6995😢😢😢😢safi
@user-uo5em7im6b
3 ай бұрын
Afisa wa ardhi korogwe chanzo Cha migogoro korogwe
@aminaomary55673 ай бұрын
❤❤Yaan Majembe ya Samia wangu ni Kassim Majaliwa Waziri Mkuu'Makonda' Silaa waziri wa Aridhi'Ali Hapi'Chalamila'.Yaan watu hawa wanatisha wazuri wazuri tena.Chukuen Maua yenu.Hawagopi jambo lolote.❤❤❤❤
@abdallahibrahim280
2 ай бұрын
Yaani umewaona km mimi haswaaa ❤❤
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Mzee wa kwamsisi hao ..wanatembeaga na majini hao...mungu akulinde tu mweshimiwa
@reaganevral5258Ай бұрын
Uyu ajuwiii kitu makonda njo ana anajuwa saaana…awezi shika wamwiziiii
@MohamedMkota3 ай бұрын
duh hawa 😂😂 utafikiri watoto wachekechea😂😂
@raphaelkessy73603 ай бұрын
Mwenye kiti wa zamani aende kwa waziri wa zamani nime ipenda sana hiyo Mweshimiwa Jerry Wazigua ni Kichefu chefu hao😂😂😂
@SwaumuHassan-k9s24 күн бұрын
Mungu.awasaidie
@IbrahimMadulo3 ай бұрын
Ukoo huo ukioa una kazi 😂😂😂
@deniskaguo46983 ай бұрын
Hii familya balaaa
@blandinamwarabu50253 ай бұрын
Kosa kubwa ni la Serikali mnamwacha mtu anatumia ardhi ambayo Serikali imeishapanga matumizi lakini wananchi hawaeleweshwi. Hilo ni tatizo kubwa. Waziri nenda kwenye msingi wa tatizo. Wasaidie wananchi kutokana na msingi wa tatizo.
@allyabdallah43572 ай бұрын
Waziri mungu akupe moyo wa busara sana kwani watu wanaumia sana
@user-mz4gx2ek9y3 ай бұрын
We mzee hujui kujieleza b
@msatibongonyuzi143 ай бұрын
Hapo waziri umechemka wananchi wanaonekana wanaonewa😢😢
@yussufhashim44723 ай бұрын
I love Tanzania
@user-ex9sd8wm4l3 ай бұрын
Silaa endelea kusimamiya sheria mungu yupamoja nawe
@abdallahibrahim2802 ай бұрын
Daaah wazigua ni kuupanda mchongoma kuumbe kushuka ni ngoma😂😂
@user-ml5tq8hj2x3 ай бұрын
Makonda na slaa juu juu zaidi tunawakubali majembe ya kazi hayapepesi macho arusha wakuu wa vitengo matumbo joto😂😂😂😂😂
@user-ur7pw9ek6s
3 ай бұрын
😂😂😂
@HappyEmanuel-u1i17 күн бұрын
Dada mwenye kitambaa cheusi ni suzy bale mtupu
@RoseMziray17 күн бұрын
Kazi ngumu hii
@lawrencegwerino16562 ай бұрын
Ukioa kwenye hiyo familia shuhuri 😅
@valenakomba76863 ай бұрын
TATIZO SERIKALI NI YA CHAMA KIMOJA. KAMA SERIKALI INGEKUWA NI MSETO BASI HAO VIONGOZI WADOGOWADOGO WA VIJIJINI WANGEKUWA NA ADABU.
@MnubiMm
3 ай бұрын
Usifanye Mseto ndio utatizi wa Matatizo watendaji ndio haohao Sio Kila unachowaza sahihi huo ni mtazamo wako chama hichohicho ndio katoka huyo
@GodfreyOsward
3 ай бұрын
Tatizo si chama kimoja, tatizo ni sisi wenyewe tunapenda dhuluma. Msonge wa dhuluma ni rushwa wakati wa kuchaguana. bila kujali chama gani! Adhabu zingine hazisubili Ziko ndani kitendo chenyewe unacho kitenda. Mwl Nyerere
@user-bp2cc9eo6g
3 ай бұрын
Dhuruma haina chama,ni suala la mtu mmoja mmoja,huyu waziri anae washughurikia Manyangumi ya dhuruma ni CCM sio chadema wala ACT
@dalalihakweahakweya66623 ай бұрын
DAAAAAH KIONGOZI WANGU POLE SANA MAANA HAO WAZEWANGU WATANGA NYUMBANI KWANGU KOLOGWE MMENIANGUSHA SANA HAMJA JIPANGA KABISA WABISHI SANA KUELEWEKA NIKAZI SANA HAPO WAZIRI KAPATA TABU SANA KUTATUA
@audifacejosephat70713 ай бұрын
Duh huyu mzee mzigua ni shida mbishi kinyama
@Josephineexsuper3 ай бұрын
Hii familia imeshindwa kijipanga ktk maelezo..wana hasira sana na wanaongea kupitiliza.. ila wasiingize itikadi
@SalimKombo-xo4pqАй бұрын
Waziri salaa mbona hii kwesi inaelekea ni gumu. Mbona umeshidwa kutoa uwamuzi Mzuri. Napenda utoe haki
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Wazee wamsisi hao mmmh wanamajini hao
@richardnganya23113 ай бұрын
Tuijue ratiba ya mkoa wa Singida tujiandae
@MubinaRoshan3 ай бұрын
Walikuwa wanalala kwa sababu ya watoto wao walikuwa hawez kwenda barabara zilifungwa
@yussufhashim44723 ай бұрын
Wewe mzee nakupenda bure mpaka waziri amesalenda
@Josephineexsuper
3 ай бұрын
Mzee nimempenda buree
@FredMwamgogwa-td6ni3 ай бұрын
Uwo ukoo usiombe umpe mimba mtoto wao 😂😂😂😂
@abdallahibrahim2802 ай бұрын
Ila unayechukua videos tafadhali sauti ipo Chini
@user-vv9kk3gz5f3 ай бұрын
Masikini tunaonewa silaha hujatendahaki kwenye shamba labwembwera tulisha pewa wajanja wana tuzulum mungu anaona
@salimumohammedsalimu17202 ай бұрын
masikini hana rafiki
@MuhammadHassan-xp6dc3 ай бұрын
huyu mzee mwenye kofia kanifanya nicheke sana kila akiambiwa anyamaze hakubali
@Rai_online_tv
3 ай бұрын
Ha ha Uongozi sio mchezo Mh silaa apewe heko kwa kweli wengine hatuwezi hivi hapa Nishampiga mtu kichwa cha Mdomo
@senseiamani4684
3 ай бұрын
Haaaaaahaaaa
@asifiwematimbwi8600
2 ай бұрын
Nimecheka sanaaa😅😅😅
@josephminja7953Ай бұрын
😂 serikal ninan🤣
@abdull_hafidh3 ай бұрын
Rai TV jirekebishe saiti habar zako nyingi zinasumbua sauti
@Rai_online_tv
3 ай бұрын
Asant kwa Ushauri tunaufanyia kazi kaka Abdul
@susananyasani65263 ай бұрын
Watendaji wa Serikali wengi hawafuati Sheria kwa haki wanachukuwa Rushwa kutoka kwa Wananchi wanyonge
@aslaykweka74082 ай бұрын
Silaa utapata sukar wala pressure
@allyabdallah43572 ай бұрын
Waziri oparesheni vijiji tulipewa maeneo ya kujenga makazi mashamba tukawa tunalima kulekule kwenye mashamba yetu yale yale mkuu
@hajjiomary23832 ай бұрын
Mkuu tunakusubiri kigamboni bado atupo sawa
@moyolameck5553 ай бұрын
Jaman wazee wa KWA MSISI HAO. OOOHHH MSICHEZE NAO SHAURI YENU
@eppiemodest3 ай бұрын
Mh. Slaa. Huku barabara mbovu ukianzia Mwanagati hafi kitunda na Banana uje uangalie. Ukienda benki kutuma school fees ya mwanafunzi unatozwa pesa pembeni eti diwani wenu haturekebishii barabara tumemchagua bure wanasema. Benki zote hawafanyi hivyo ila ni benki ya Mwanagati mdomo wa simba. Imefunguliwa juzijuzi tu. Siyo ile benki ya mama Mary Nchimbi.
@user-vv9kk3gz5f3 ай бұрын
Silaha unapo twambia sisi ni wavamizi alafu wanachukua matajiri sisi masikini tukale wapi
@MedrinaUtonga-dg5lg3 ай бұрын
Mh unakutana na vingi
@kilogreekachananawatuwasio40543 ай бұрын
Huyo diwani kama Anatukana viongozi wa serekali simu za mikononi mnazo mlicodini muwe na Ushaidi wa kumpeleka jela mshenzi kwanini Atukane viongozi huyu mzee Anategemia majini yake ndio Mdomo mlefu
@user-mp4yt7ps5q3 ай бұрын
Hapo Kunamambo ya siasa majilani zao waliuza je kwanini wengine wazuiwe
@alfinmbilinyi59853 ай бұрын
Hiyo kesi ni rahisi sana waziri kutoa maamuzi,kama historia inaonyesha ni lao serikali wapeni hilo eneo mkitaka kutumia kwa serikali wapeni pesa za fidia kwisha.wakipata mamilioni ni raia watanzania hao wapeni tz ina ardhi malumbano ya nini?Mtaanza kuuana kisa ardhi.Hapo kuna tatizo kubwa sana.
@libeberu3 ай бұрын
Huku ndo Tanga sasa, ukitaka kwenda kujifunza sheria nenda mahakama za huku
@kwilasacharles17473 ай бұрын
Masikini hawezi kuwa na haki hata siku moja
@evelynmwaimu-vd9jo3 ай бұрын
Ccm hoyeee!!!
@hamidabarraball31623 ай бұрын
Msimamizi wa mirasi hajui kiongea
@user-xk7vy4gb6g3 ай бұрын
Sauti hamna
@godfreylutengano93673 ай бұрын
Ila ukweli hiyo familia ni mbovu
@user-mp4yt7ps5q3 ай бұрын
Hapo panashida eti tutampiga🤣🤣🤣🤣 kkkk
@Rai_online_tv
3 ай бұрын
Ha ha ha akileta za kuleta wata Mtwanga
@geraldlyimo28593 ай бұрын
Kumbe hapo pana uongozi wa chadeee na usisi m hapo hawapati kituuu
@kashindesalha81073 ай бұрын
Mweshimiwa nakuaminia Leo pangumu hapo
@lightnessmarwa17553 ай бұрын
Ukiooa kwa huyo mama mwenye kilemba chekundu umeenda na maji😂😂😂
@jasonwatz7457
3 ай бұрын
😂😂😂 imeaisha hiyo
@nanguniMtaita-hz4zt3 ай бұрын
Waziri shauri hili nKuona leo limekuzidi kimo. Mbona umeshindwa kulitatua?
@zaharamlau88173 ай бұрын
Hiyo familia ni konyoo asee😂😂😂😂😂
@blandinamwarabu50253 ай бұрын
Waziri una kazi
@SalimKombo-xo4pqАй бұрын
Hawa wazee wa mezulumiwa haki zao.
@user-kh1tn6yr8b3 ай бұрын
Nirichoona apo diwani hana history ya kijiji awo wazee wahaki
@frankyjohn96293 ай бұрын
Wazirhapo hakuna no Bora makonda
@AminaLibisa3 ай бұрын
Mzee ana mawenge😂😂
@HashimYahya-ic2wn2 ай бұрын
Nani nani ndo nini
@rashidabdallah58253 ай бұрын
Diwan anataka kujifanya eneo la serikali ili alifanyie mchakato
@DanyEnto3 ай бұрын
Kumi tena kwa mheshimiwa🙌🙌🙌🙌🙌
@user-mz4gx2ek9y3 ай бұрын
Shida hamjui kujieleza
@HashimYahya-ic2wn2 ай бұрын
Waze wamajini hao
@IssaIddi-vb9yi2 ай бұрын
Apo mueshimiwa kazi unayo
@frankgichuhi89933 ай бұрын
The guy next tu waziri always rude..and corupt
@giftmusa65433 ай бұрын
Waziri katupiwa kitu
@mudhihirIbrahim-hb7ry3 ай бұрын
Raia wamedata hao
@jackmabirangacharles93983 ай бұрын
Hao ndio Waziguwa 😂
@Esterkomba-ef7eb3 ай бұрын
Hawa nikiboko
@lawrencegwerino16562 ай бұрын
Sıkılızeni nyie uongozi hauna umri ..
@lawrencegwerino16562 ай бұрын
Haha wasambaa shuhuri
@waluohopaulo21163 ай бұрын
Huyu diwani achunguzwe
@damianikimario5695
3 ай бұрын
Waziri uko vizuri wakati mwgine inaleta hasira kuwasikliza nikipaji tosha ongera saanaa..piga kazi kaka sllaa mwenyezi mungu akusimamie unabusara sana na hekma.
@aminaomary55672 ай бұрын
Watendaji wazuri mwingine nilisahau Rc wa Manyara Bi Sendega ni hatari sana huyu mama❤❤❤
@shafiijuma32823 ай бұрын
piga kazi
@anastaziashihumbi3 ай бұрын
Slaa hamna kitu...ukonga barabara ni shida kuanzia mombasa hadi bombambili shida lakini hata kuonekana kwa watu wake haonekani....25 hayupo bungeni
@rehemakilapilo3507
3 ай бұрын
Barabarabza mitaa zipo chini ya Tarura ndio wahusika wa kukarabati na kujenga
@anastaziashihumbi
3 ай бұрын
@@rehemakilapilo3507 acha kumtetea ww...ukonga imemshinda na hatakiwi kabisa...mbona mbunge gwajima anafuatilia barabara zote kwenye jimbo lake yy yupo tu ...hata kama ni zarura yy ni msimazi mkuu wa jimbo la ukonga ameferi sana
@JosephuSwai
3 ай бұрын
Barabara ni changamoto ya kawaida kaka ata ulaya mpaka Leo wanatengeneza
@CharlesNkanda
3 ай бұрын
25 slaa yupo bungeni upende usipende yupo kwa nguvu ya watanzania wote tena atabaki kuwa waziri
@HashimYahya-ic2wn2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉
@abdull_hafidh3 ай бұрын
Mbona hapa Dr slaa kama ameelemea sana upande wa serekali hawa raia mbona wanaonekana wanahaki
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Serikali pia ina haki
@jamesmailo8780
3 ай бұрын
Wakolofi sana ningumu kupata haki hawajui kujieleza
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Usije dhan serikali haina haki
@othumanomari15893 ай бұрын
Mrango8
@AminaLibisa3 ай бұрын
😂😂😂kivumbi na jasho
@dicksonkilupa22583 ай бұрын
Kwani ndg waziri mahame ni sawa na kuipoteza haki? mbona watu wengi tulihamishwa na bado tunamiliki maeneo yetu? Ina maana tumevamia?
@jtheophil54993 ай бұрын
Bongooo😂😂😂😂
@jescasanga20053 ай бұрын
😂😂
@Commentsplus3 ай бұрын
Hahahahahahahahaha
@yussufhashim44723 ай бұрын
Huyu waziri ni chalii anacheka tu
@khalsasalim79303 ай бұрын
Hii familia kiboko 😂
@humphreyjosephat50023 ай бұрын
Hii familia sio yakuoa kabisa
@user-ur7pw9ek6s
3 ай бұрын
Cha moto utakiona utakua jahanam ya duniani😂😂😂.
@bilid41283 ай бұрын
Wazigua ni wajinga sanaa😊
@zainabumohamed600
3 ай бұрын
acha dharau
@emmanueltuppa5459
3 ай бұрын
Hiyo kauli sio njema kama ulivyo itamka kwa mjumuisho,bilashaka unatatizo la (kutofikiri jambo kabla ya maamuzi) hii inatafsiri maisha yako halisi,pole sana, bora ya huyo mjinga kuliko hilo kabila lako kama ndio hivyo watu wa sampuli hii ya mjumuisho hawawezagi hata kujisimamia binafsi ktk familia,wanataka mjumuisho kila jambo wakifikiri watu wote ni sawa na wanakua watu wa lawama siku zote kwenye familia hilo ni tatizo
Пікірлер: 121
Tunakupenda wewe na makonda mpa vizuri
@hadijauledi6995
3 ай бұрын
Kweli kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤tunawapenda sana sana mwenyezi mungu awape afya njema ila muheshimiwa wazir silah mbunge wetu barabara yetu ya kitunda haifaii tusaidie muheshimiwa❤❤🙏
@yohanajelemia7116
3 ай бұрын
😢@@hadijauledi6995😢😢😢😢safi
@user-uo5em7im6b
3 ай бұрын
Afisa wa ardhi korogwe chanzo Cha migogoro korogwe
❤❤Yaan Majembe ya Samia wangu ni Kassim Majaliwa Waziri Mkuu'Makonda' Silaa waziri wa Aridhi'Ali Hapi'Chalamila'.Yaan watu hawa wanatisha wazuri wazuri tena.Chukuen Maua yenu.Hawagopi jambo lolote.❤❤❤❤
@abdallahibrahim280
2 ай бұрын
Yaani umewaona km mimi haswaaa ❤❤
Mzee wa kwamsisi hao ..wanatembeaga na majini hao...mungu akulinde tu mweshimiwa
Uyu ajuwiii kitu makonda njo ana anajuwa saaana…awezi shika wamwiziiii
duh hawa 😂😂 utafikiri watoto wachekechea😂😂
Mwenye kiti wa zamani aende kwa waziri wa zamani nime ipenda sana hiyo Mweshimiwa Jerry Wazigua ni Kichefu chefu hao😂😂😂
Mungu.awasaidie
Ukoo huo ukioa una kazi 😂😂😂
Hii familya balaaa
Kosa kubwa ni la Serikali mnamwacha mtu anatumia ardhi ambayo Serikali imeishapanga matumizi lakini wananchi hawaeleweshwi. Hilo ni tatizo kubwa. Waziri nenda kwenye msingi wa tatizo. Wasaidie wananchi kutokana na msingi wa tatizo.
Waziri mungu akupe moyo wa busara sana kwani watu wanaumia sana
We mzee hujui kujieleza b
Hapo waziri umechemka wananchi wanaonekana wanaonewa😢😢
I love Tanzania
Silaa endelea kusimamiya sheria mungu yupamoja nawe
Daaah wazigua ni kuupanda mchongoma kuumbe kushuka ni ngoma😂😂
Makonda na slaa juu juu zaidi tunawakubali majembe ya kazi hayapepesi macho arusha wakuu wa vitengo matumbo joto😂😂😂😂😂
@user-ur7pw9ek6s
3 ай бұрын
😂😂😂
Dada mwenye kitambaa cheusi ni suzy bale mtupu
Kazi ngumu hii
Ukioa kwenye hiyo familia shuhuri 😅
TATIZO SERIKALI NI YA CHAMA KIMOJA. KAMA SERIKALI INGEKUWA NI MSETO BASI HAO VIONGOZI WADOGOWADOGO WA VIJIJINI WANGEKUWA NA ADABU.
@MnubiMm
3 ай бұрын
Usifanye Mseto ndio utatizi wa Matatizo watendaji ndio haohao Sio Kila unachowaza sahihi huo ni mtazamo wako chama hichohicho ndio katoka huyo
@GodfreyOsward
3 ай бұрын
Tatizo si chama kimoja, tatizo ni sisi wenyewe tunapenda dhuluma. Msonge wa dhuluma ni rushwa wakati wa kuchaguana. bila kujali chama gani! Adhabu zingine hazisubili Ziko ndani kitendo chenyewe unacho kitenda. Mwl Nyerere
@user-bp2cc9eo6g
3 ай бұрын
Dhuruma haina chama,ni suala la mtu mmoja mmoja,huyu waziri anae washughurikia Manyangumi ya dhuruma ni CCM sio chadema wala ACT
DAAAAAH KIONGOZI WANGU POLE SANA MAANA HAO WAZEWANGU WATANGA NYUMBANI KWANGU KOLOGWE MMENIANGUSHA SANA HAMJA JIPANGA KABISA WABISHI SANA KUELEWEKA NIKAZI SANA HAPO WAZIRI KAPATA TABU SANA KUTATUA
Duh huyu mzee mzigua ni shida mbishi kinyama
Hii familia imeshindwa kijipanga ktk maelezo..wana hasira sana na wanaongea kupitiliza.. ila wasiingize itikadi
Waziri salaa mbona hii kwesi inaelekea ni gumu. Mbona umeshidwa kutoa uwamuzi Mzuri. Napenda utoe haki
Wazee wamsisi hao mmmh wanamajini hao
Tuijue ratiba ya mkoa wa Singida tujiandae
Walikuwa wanalala kwa sababu ya watoto wao walikuwa hawez kwenda barabara zilifungwa
Wewe mzee nakupenda bure mpaka waziri amesalenda
@Josephineexsuper
3 ай бұрын
Mzee nimempenda buree
Uwo ukoo usiombe umpe mimba mtoto wao 😂😂😂😂
Ila unayechukua videos tafadhali sauti ipo Chini
Masikini tunaonewa silaha hujatendahaki kwenye shamba labwembwera tulisha pewa wajanja wana tuzulum mungu anaona
masikini hana rafiki
huyu mzee mwenye kofia kanifanya nicheke sana kila akiambiwa anyamaze hakubali
@Rai_online_tv
3 ай бұрын
Ha ha Uongozi sio mchezo Mh silaa apewe heko kwa kweli wengine hatuwezi hivi hapa Nishampiga mtu kichwa cha Mdomo
@senseiamani4684
3 ай бұрын
Haaaaaahaaaa
@asifiwematimbwi8600
2 ай бұрын
Nimecheka sanaaa😅😅😅
😂 serikal ninan🤣
Rai TV jirekebishe saiti habar zako nyingi zinasumbua sauti
@Rai_online_tv
3 ай бұрын
Asant kwa Ushauri tunaufanyia kazi kaka Abdul
Watendaji wa Serikali wengi hawafuati Sheria kwa haki wanachukuwa Rushwa kutoka kwa Wananchi wanyonge
Silaa utapata sukar wala pressure
Waziri oparesheni vijiji tulipewa maeneo ya kujenga makazi mashamba tukawa tunalima kulekule kwenye mashamba yetu yale yale mkuu
Mkuu tunakusubiri kigamboni bado atupo sawa
Jaman wazee wa KWA MSISI HAO. OOOHHH MSICHEZE NAO SHAURI YENU
Mh. Slaa. Huku barabara mbovu ukianzia Mwanagati hafi kitunda na Banana uje uangalie. Ukienda benki kutuma school fees ya mwanafunzi unatozwa pesa pembeni eti diwani wenu haturekebishii barabara tumemchagua bure wanasema. Benki zote hawafanyi hivyo ila ni benki ya Mwanagati mdomo wa simba. Imefunguliwa juzijuzi tu. Siyo ile benki ya mama Mary Nchimbi.
Silaha unapo twambia sisi ni wavamizi alafu wanachukua matajiri sisi masikini tukale wapi
Mh unakutana na vingi
Huyo diwani kama Anatukana viongozi wa serekali simu za mikononi mnazo mlicodini muwe na Ushaidi wa kumpeleka jela mshenzi kwanini Atukane viongozi huyu mzee Anategemia majini yake ndio Mdomo mlefu
Hapo Kunamambo ya siasa majilani zao waliuza je kwanini wengine wazuiwe
Hiyo kesi ni rahisi sana waziri kutoa maamuzi,kama historia inaonyesha ni lao serikali wapeni hilo eneo mkitaka kutumia kwa serikali wapeni pesa za fidia kwisha.wakipata mamilioni ni raia watanzania hao wapeni tz ina ardhi malumbano ya nini?Mtaanza kuuana kisa ardhi.Hapo kuna tatizo kubwa sana.
Huku ndo Tanga sasa, ukitaka kwenda kujifunza sheria nenda mahakama za huku
Masikini hawezi kuwa na haki hata siku moja
Ccm hoyeee!!!
Msimamizi wa mirasi hajui kiongea
Sauti hamna
Ila ukweli hiyo familia ni mbovu
Hapo panashida eti tutampiga🤣🤣🤣🤣 kkkk
@Rai_online_tv
3 ай бұрын
Ha ha ha akileta za kuleta wata Mtwanga
Kumbe hapo pana uongozi wa chadeee na usisi m hapo hawapati kituuu
Mweshimiwa nakuaminia Leo pangumu hapo
Ukiooa kwa huyo mama mwenye kilemba chekundu umeenda na maji😂😂😂
@jasonwatz7457
3 ай бұрын
😂😂😂 imeaisha hiyo
Waziri shauri hili nKuona leo limekuzidi kimo. Mbona umeshindwa kulitatua?
Hiyo familia ni konyoo asee😂😂😂😂😂
Waziri una kazi
Hawa wazee wa mezulumiwa haki zao.
Nirichoona apo diwani hana history ya kijiji awo wazee wahaki
Wazirhapo hakuna no Bora makonda
Mzee ana mawenge😂😂
Nani nani ndo nini
Diwan anataka kujifanya eneo la serikali ili alifanyie mchakato
Kumi tena kwa mheshimiwa🙌🙌🙌🙌🙌
Shida hamjui kujieleza
Waze wamajini hao
Apo mueshimiwa kazi unayo
The guy next tu waziri always rude..and corupt
Waziri katupiwa kitu
Raia wamedata hao
Hao ndio Waziguwa 😂
Hawa nikiboko
Sıkılızeni nyie uongozi hauna umri ..
Haha wasambaa shuhuri
Huyu diwani achunguzwe
@damianikimario5695
3 ай бұрын
Waziri uko vizuri wakati mwgine inaleta hasira kuwasikliza nikipaji tosha ongera saanaa..piga kazi kaka sllaa mwenyezi mungu akusimamie unabusara sana na hekma.
Watendaji wazuri mwingine nilisahau Rc wa Manyara Bi Sendega ni hatari sana huyu mama❤❤❤
piga kazi
Slaa hamna kitu...ukonga barabara ni shida kuanzia mombasa hadi bombambili shida lakini hata kuonekana kwa watu wake haonekani....25 hayupo bungeni
@rehemakilapilo3507
3 ай бұрын
Barabarabza mitaa zipo chini ya Tarura ndio wahusika wa kukarabati na kujenga
@anastaziashihumbi
3 ай бұрын
@@rehemakilapilo3507 acha kumtetea ww...ukonga imemshinda na hatakiwi kabisa...mbona mbunge gwajima anafuatilia barabara zote kwenye jimbo lake yy yupo tu ...hata kama ni zarura yy ni msimazi mkuu wa jimbo la ukonga ameferi sana
@JosephuSwai
3 ай бұрын
Barabara ni changamoto ya kawaida kaka ata ulaya mpaka Leo wanatengeneza
@CharlesNkanda
3 ай бұрын
25 slaa yupo bungeni upende usipende yupo kwa nguvu ya watanzania wote tena atabaki kuwa waziri
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉
Mbona hapa Dr slaa kama ameelemea sana upande wa serekali hawa raia mbona wanaonekana wanahaki
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Serikali pia ina haki
@jamesmailo8780
3 ай бұрын
Wakolofi sana ningumu kupata haki hawajui kujieleza
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Usije dhan serikali haina haki
Mrango8
😂😂😂kivumbi na jasho
Kwani ndg waziri mahame ni sawa na kuipoteza haki? mbona watu wengi tulihamishwa na bado tunamiliki maeneo yetu? Ina maana tumevamia?
Bongooo😂😂😂😂
😂😂
Hahahahahahahahaha
Huyu waziri ni chalii anacheka tu
Hii familia kiboko 😂
Hii familia sio yakuoa kabisa
@user-ur7pw9ek6s
3 ай бұрын
Cha moto utakiona utakua jahanam ya duniani😂😂😂.
Wazigua ni wajinga sanaa😊
@zainabumohamed600
3 ай бұрын
acha dharau
@emmanueltuppa5459
3 ай бұрын
Hiyo kauli sio njema kama ulivyo itamka kwa mjumuisho,bilashaka unatatizo la (kutofikiri jambo kabla ya maamuzi) hii inatafsiri maisha yako halisi,pole sana, bora ya huyo mjinga kuliko hilo kabila lako kama ndio hivyo watu wa sampuli hii ya mjumuisho hawawezagi hata kujisimamia binafsi ktk familia,wanataka mjumuisho kila jambo wakifikiri watu wote ni sawa na wanakua watu wa lawama siku zote kwenye familia hilo ni tatizo
Mungu.awasaidie
Waziri umeshindwa kuwasaidia wananchi😢😢