WAZIRI SILAA ASHANGAZWA NA MBUNGE WA ZAMANI | ANADAI HEKA 10 ZA MASHAMBA | MZEE BENDENDA HUNA SHAMBA

Ойын-сауық

Пікірлер: 22

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113Ай бұрын

    Matatizo ya aridhi na makazi ni meengi mnooooo waziri unajitahidi ila uwezi kuyamaliza kwa njia hii lazima uongeze waasaidizi na vikosi maalum kusikiliza matatizo yao nchi nzima na wakuletee yale ambayo yanahitaji nguvu ya waziri …. Ila nawe endelea , kazi nzuri saana 👏👏👏👏👏👏

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx2 ай бұрын

    Anafanya kama makonda ila zamakonda tamu sana zinasikika vizur

  • @Rai_online_tv

    @Rai_online_tv

    2 ай бұрын

    Na sisi tumeiona Hii shida ya Sauti Next time tutalifanyia kazi

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx2 ай бұрын

    Clip za slaa sy tam we nambie mi niko hapa mawazo

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын

    Silaa ya drone hinapiga mabomu kwa Mazuluma ya mali za masikini😂😂😂

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq2 ай бұрын

    Ulishindwa kutunga sheria bungeni nawewe mwenyewe unaumia komesha huyo mbunge

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting71802 ай бұрын

    Mpiga picha ubalipwa nunua boom tupate sauti nzuri. Video ni sauti kama hamna unaaribu kazi za watu na unatupa makelele

  • @ezevisionmediastudioezevis7855

    @ezevisionmediastudioezevis7855

    2 ай бұрын

    kumbe na wewe umeliona hili

  • @davidlinus6940
    @davidlinus69402 ай бұрын

    Ndugu bunge

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q2 ай бұрын

    Huyu mwenye upala sina imani naye

  • @Rai_online_tv

    @Rai_online_tv

    2 ай бұрын

    Mjanja mjanja au ha ha

  • @elizabethkikoti7265

    @elizabethkikoti7265

    2 ай бұрын

    Kweli kabisa mwandishi mfikishie ujumbe slaa awe makini na huyo kamishina

  • @elizabethkikoti7265

    @elizabethkikoti7265

    2 ай бұрын

    Halafu kama anatumia dumba huyo anaonekana mwizi

  • @cclaudeshilling957
    @cclaudeshilling9572 ай бұрын

    Mheshimiwa umekosea sana ungetakiwa usimamishe mahujiano mpaka azana hiishe alaf ndio uendelee mazungumzo yen

  • @nth3512

    @nth3512

    2 ай бұрын

    We nae, wadhani kila mtu ni muislamu? Mi mwenyew ni muislam ila inabidi ufaham huyu sio muislam, unayoyajua ww haina maana kila mtu anayajua. Em tumieni akili na uhalisia wa mazingira

  • @melkizedekikalanga3349

    @melkizedekikalanga3349

    2 ай бұрын

    Tumia akili, usifananishe kitambi na mimba

  • @dicksonkilupa2258

    @dicksonkilupa2258

    2 ай бұрын

    Wewe unajua sheria za liturugia? imani yako ni yako wengine haituhusu.

  • @sakayonsakihunga3496

    @sakayonsakihunga3496

    2 ай бұрын

    Umekalili

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai2 ай бұрын

    Azana ndo nini wewe

  • @musayosia4081

    @musayosia4081

    2 ай бұрын

    Ni uwito kwa waislam pindi wanapotaka kufanya ibada.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76862 ай бұрын

    HAO NDO WANAOTUMIA VYEO KUJILIMBIKIZIA MALI. 😂😂😂. VIONGOZI WETU WA KITANZANIA NI MIMI, MIMI, MIMI. WENGINE WAJIJUWE.

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki97582 ай бұрын

    Wewe usileti mambo ya udini hapa

Келесі